Nakukuabli sana kaka, nilipokuona mara ya kwanza fb kwenye interview nikikumbuka mbali sana na niliona picha kubwa sana mbele yako ni muda tu, najua unakoelekea ni katika nchi ya asali na maziwa, shetani alitumia nafasi yake kukudidimiza lakini Mungu huwa hamwachi mtu wake asilimia 100%. Nikupongeze sana tena sana kwa kuanzisha online TV 📺 🙏 naona TV 📺 kubwa ya mjengo mkubwa mbele yako. Endelea kumwamini Mungu kama anavyokuamini, kuna kitu kikubwa kimo ndani yako ni mtu mwenye jicho la tatu ndiye awezaye kukiona, casual people can't see it. See you on the top. More blessings are on your fingerprints.
Uko sahihi sana kaka
Nakukuabli sana kaka, nilipokuona mara ya kwanza fb kwenye interview nikikumbuka mbali sana na niliona picha kubwa sana mbele yako ni muda tu, najua unakoelekea ni katika nchi ya asali na maziwa, shetani alitumia nafasi yake kukudidimiza lakini Mungu huwa hamwachi mtu wake asilimia 100%.
Nikupongeze sana tena sana kwa kuanzisha online TV 📺 🙏 naona TV 📺 kubwa ya mjengo mkubwa mbele yako. Endelea kumwamini Mungu kama anavyokuamini, kuna kitu kikubwa kimo ndani yako ni mtu mwenye jicho la tatu ndiye awezaye kukiona, casual people can't see it. See you on the top. More blessings are on your fingerprints.
daah uyu mweu ana TV 😅😅😅
Tutakoma kulinga 😂😂😂
Mandindindi😂😂😂
I like the way you speak ur mind. Always you don't keep anything which indicates to confuse you.
Well said,,fact kabisa
😂😂😂😂😂😂
WEWE mwenyewe una akili Gani!!!!?
Hahahaha mandindind
Konk na kukubari sana mambaz tivi yetu idum mrete