Ng'wana Kang'wa - Mwalimu (Official Video) 4k

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 217

  • @Ng_wenda_Pole
    @Ng_wenda_Pole 2 месяца назад +21

    Kiukweli kaka hata mimi nilikua naambiwa et wewe nimwalim ila hizi radio za nywele nimbaya sasa kaka ntemi 🎉🎉

  • @malingomediaofficial
    @malingomediaofficial 2 месяца назад +18

    Haya Mambo Ni 🔥🔥🔥
    Apewe Maua Yake Brother Ng'wana Kan'gwa Like Sasa Kama Wewe Sio Muongo

  • @isayadamas6470
    @isayadamas6470 7 дней назад +1

    Unstoppable!! This is a national song!!

  • @JosephMisalaba-b4y
    @JosephMisalaba-b4y Месяц назад +5

    Ngwa'na yulita nakupata nipo kigoma mpakan na bulundi kata ya mabamba niliambiwa kua we nimwalimu Leo nimekutana wimbo wako Tena unasema siyo mwalimu kaxa kaka Dunia siyo nzuri nyimbo zako nzuri zinafaliji kwel kaka mungu akupe hekima njema na uimbaji mzur

    • @robertngwala1323
      @robertngwala1323 Месяц назад +1

      Mzee wa Mabamba unapajua Kigogo?!!

    • @DevidRaphael-v1u
      @DevidRaphael-v1u 22 дня назад

      ​@@robertngwala1323ivi nikweli ama maneno ya watu tuu

  • @kitulabuilding9246
    @kitulabuilding9246 2 месяца назад +4

    Mimi yona niko mwime ya nyakato maarufu senta ya fatherjames jilani na mwana kishimba hongera sana ngwana kangwa wewe ni mwalimu wa nyimbo

    • @lazarodaudi1689
      @lazarodaudi1689 26 дней назад

      Mi Niko msikiti WA zuwena jirani yako😂

  • @hassanlususu
    @hassanlususu 2 месяца назад +7

    Huyu ndio msanii bora wa muda wote wa nyimbo za asili✍️✍️✍️

  • @khamzalockymaster6008
    @khamzalockymaster6008 2 месяца назад +6

    Safi saana ngw'ana kang'wa kazi Moja nzuli nzito ✊✊✊

  • @Mtakujapaschal-yj8je
    @Mtakujapaschal-yj8je 4 дня назад

    Hata mimi nilishagaambiwa kuwa Ng'wanakangw'a ni mwalimu wa Sekondari leo nimekupata

  • @petromasunga3715
    @petromasunga3715 6 дней назад

    Kweli kabisa ledio za Damu ni mbaya:

  • @EmilyAndrea-b9f
    @EmilyAndrea-b9f 2 месяца назад +5

    Sema t ww ni kichwa asiependa nyimbo zako huyo mchawi sisi wanakahama tunaenjoy sana!

  • @Dottohubert-gx3eu
    @Dottohubert-gx3eu 2 месяца назад +4

    Kaka Ntemi naona u mzuri katika SoMo la History naona hapo AFRICA AND EXTENAL WORLD semaa uhakikaàaaa mungu aendelee kukusaidiiaaa ntemiii omabala uendelee kufurshisha wasukumaa

  • @AngelPaul-vn1zd
    @AngelPaul-vn1zd 5 дней назад

    Najivunia sana kuwa msukuma mimi penda sana❤❤❤

  • @Ngoshawamkaya
    @Ngoshawamkaya 2 месяца назад +6

    Kaka kama kama hapo sawa sasaa tumekuelewaaa

  • @manambavideoproduction8394
    @manambavideoproduction8394 2 месяца назад +4

    NI HATARI SANA!! MOROGORO TUMEIPATA NA KUIPOKEA!!! Salamiti wamekumiss sana toka 2020 hawajakuona

  • @paschalmboje9664
    @paschalmboje9664 2 месяца назад +2

    Mziki mzuri kutoka BTM AFRICA hakika ni za kwetu Mungu awabariki sana ahsanteni

    • @paschalmboje9664
      @paschalmboje9664 2 месяца назад

      Pamoja tuna sikiliza mziki mzuri ni 🔥🔥🔥

  • @NgunoMbasa
    @NgunoMbasa Месяц назад +2

    kweli kaka nisha kubali nyimbo nzuri sana

  • @VeronikaJoseph-w6h
    @VeronikaJoseph-w6h Месяц назад +1

    Achana nao fantastic kaz yako kaka ukjona vivyo just umewazidi kitu

  • @FloraChuja
    @FloraChuja 2 месяца назад +1

    Nyimbo iko moto,congratulation ilumbuye omukaya 🥁🎺🎼🎼

  • @Elizabethpaulo-c8u
    @Elizabethpaulo-c8u 2 месяца назад +2

    Ukubatandula kikuba gete,, ulu wapanga bakalili lyembo wafunya lyingi?❤❤❤

  • @Meenahamad
    @Meenahamad 2 месяца назад +3

    Nimeitafuta muno nyimbo ya bhakango. niambie jina la wimbo my brother

  • @mahungujulius1788
    @mahungujulius1788 2 месяца назад +4

    Hata Mimi pia niliambiwa ila sikuamini Leo ndo Nimepata Jibu Pamoja sana from kagongwa

  • @josephkafumu3006
    @josephkafumu3006 2 месяца назад +1

    Yan wewe ndo najivunia wewe wewe ndo msaniiii wangu kabisa jamaaa yangu nakukubali sana ❤❤❤❤❤❤

  • @jumannehassan242
    @jumannehassan242 Месяц назад +1

    Hongera NTEMI O MABALA

  • @jumannehassan242
    @jumannehassan242 Месяц назад +1

    Uko vizuri unafundisha ongeza bidii zaidi

  • @ntemistar
    @ntemistar Месяц назад +2

    Watu wabaya Sana kaka ,Ila huo ndio ukubwa,

  • @IkambulaMtunga4670
    @IkambulaMtunga4670 2 месяца назад +5

    Ntemiiiiiiii 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @anniemagayane2984
    @anniemagayane2984 2 месяца назад +1

    Nyimbo zako hazichoshi kusikiliza.... Nataman tena itokee show uwanja wa Magufuli tufurikeee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @yohanangimba5733
    @yohanangimba5733 2 месяца назад +1

    Our all time G.O.A.T from sukumaland.
    Congratulations bro you nailed it💪

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  2 месяца назад

      I appreciate you 🙏 thanks brother ✍️

  • @PeterAmosi-c6v
    @PeterAmosi-c6v Месяц назад +1

    Ntimi omabala napenda sana uimbajiwako mnguakuzidishie namimi naimba kwako nikama dalasa vizuli hutaki bifu

  • @MathiasMasamaki
    @MathiasMasamaki Месяц назад +3

    Chapa kazi kaka yangu

  • @yohanamkono4169
    @yohanamkono4169 2 месяца назад +3

    No doubt your the best traditional singer

  • @leonardmaduhu6580
    @leonardmaduhu6580 Месяц назад

    Uko vzr brooo

  • @latifa7358
    @latifa7358 2 месяца назад +2

    Ng'walimu wa Ndingo🙌, Safi saana Nyanda DODO, NTEMI omabala 🌏, kazi yako nzuri mnoo💪 mungu akuweke uishi sana furaha ya wa Bhasukuma😇❤, NTEMI ni mmojatu💯 nakupata sana nikiwa 🇬🇧🌹

  • @danielmabula9589
    @danielmabula9589 2 месяца назад +2

    Fundi sana.....kukaya ni kukaya duhu ng'wana obhasukuma!

  • @reginampigachai7645
    @reginampigachai7645 2 месяца назад +4

    Wooooh what a wonderful video🎉🎉, I was so much waiting thank you. Keep it up good work 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @marcosalu-gc6ts
    @marcosalu-gc6ts Месяц назад +1

    Sana Kiongozi bigup mmetisha bila kusahau producer hongereni sana.

  • @EmanuelFaida
    @EmanuelFaida 2 месяца назад +5

    Brother angu ! Wewe na kisima na Bhudagala Mnatuwakilisha vzuri sana kabila letu la Kisukuma

  • @NTEMI-OBURUDANI
    @NTEMI-OBURUDANI 2 месяца назад +4

    Umeuwa kaka 🎉🎉🎉

  • @SayiMboje-r2h
    @SayiMboje-r2h 2 месяца назад +1

    Ebwana uko vizuri huku kwetu mwanyagula ulituburudisha sana karibu sana

  • @ChengulaMasuke
    @ChengulaMasuke 3 дня назад

    Ng'wana kang'wa chapakazi acha na maneno ya walimwengu

  • @PaschalPaulnalimi
    @PaschalPaulnalimi 12 дней назад

    Mwalimu waoooo

  • @Zachriss
    @Zachriss 2 месяца назад +4

    Bigup sana kamanda wetu

  • @machjames7243
    @machjames7243 Месяц назад +1

    Ki ukweli hata mimi nakukubali sana, piga kazi

  • @jamesmakuthu7036
    @jamesmakuthu7036 2 месяца назад +1

    Keep it up brother, good song

  • @lazarodaudi1689
    @lazarodaudi1689 26 дней назад +1

    KWAHYO jina la Ntemi umeachana nalo tena

  • @HogaTuli
    @HogaTuli Месяц назад +1

    Unaimbi vizuri sana kwanza unasauti nzuri unaimba vitu vya kufundisha vyenye maadali kwa jamii yenu❤❤

  • @Devilinintungwawc2vk
    @Devilinintungwawc2vk 2 месяца назад +1

    Kweli kaka Hata Sisi tulikua tunasikia na sisi

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 2 месяца назад +2

    nyipo ni 🎉🎉🎉❤ safi sana

  • @veronicaJohnsoni
    @veronicaJohnsoni Месяц назад +1

    Kaka na kukubali kinoma kaka angu ❤❤

  • @paulinaernest
    @paulinaernest 2 месяца назад +1

    Piga kazi kaka achana nao kibali unacho na tunakukubali kinoma sanaaaaaa❤❤❤❤❤

  • @BhahehiTz
    @BhahehiTz 17 дней назад +1

    Najua ni ngumu kujiamini kwasababu bado hajaona kipaji changu (ISAWIMA)

  • @EmmanuelKalelanda
    @EmmanuelKalelanda 2 месяца назад +1

    Hongera sn kaka hii nyimbo nakumbuka uliizindua Usagari Leo umetoka video ni nzr sn hongera na karbu Tena Usagari

  • @sayimayunga364
    @sayimayunga364 2 месяца назад +2

    Kazi nzuri sana ndugu yangu

  • @BasilAnthony-g6c
    @BasilAnthony-g6c Месяц назад +1

    Uko sawa jamaa ang

  • @DaudiLuyago-yw8zp
    @DaudiLuyago-yw8zp 2 месяца назад +2

    Kaka nakukibali sana from nguruka Uvinza Kigoma

  • @BasilAnthony-g6c
    @BasilAnthony-g6c Месяц назад +1

    Uko sawa mwalimu

  • @julitamwaipopo5874
    @julitamwaipopo5874 2 месяца назад +1

    Hongera sana ww una sauti nzuriii mno naitwa mama Credo Mwaipopo mchezaji wa yanga zamani sasa anaishi sweden

  • @PetroMwandu-j7v
    @PetroMwandu-j7v Месяц назад +1

    Nakukubali kk saruuut

  • @MathiasMasamaki
    @MathiasMasamaki Месяц назад +1

    Chapa kazi mwana kamwa

  • @kachelengwa
    @kachelengwa 2 месяца назад +1

    Kazi nzur sana pia Director Migera ❤❤

  • @abdalahSakikoti
    @abdalahSakikoti Месяц назад

    Safi sana ndugu❤❤ sanamkuu

  • @BahatiKubezya
    @BahatiKubezya 2 месяца назад +1

    Nyimbo zako ni nzuri sana masumbwe tuna Enjoy nyimbo zako Brother🎉🎉🎉

  • @IsackKija
    @IsackKija 2 месяца назад +2

    Eeeee matulo lelo bhucherelwe sana kajideo kasonga ong'wanudo

  • @FelsterMatonange
    @FelsterMatonange Месяц назад +1

    Chapa kazi bro naipenda sana kazi yako

  • @StellaJohn-cx7dz
    @StellaJohn-cx7dz 2 месяца назад +2

    Hongera sana brooh

  • @michaelpeter8948
    @michaelpeter8948 2 месяца назад +1

    Niko dar lkn nyimbo za kisukuma muda wote mpaka wazalamo cku hizi wanacheza💯💯💯💯💯

    • @user-de9ct3no6m
      @user-de9ct3no6m 2 месяца назад

      😂😂😂 umeshawaibahao safisana❤❤

  • @falejilala1158
    @falejilala1158 2 месяца назад +1

    Ni atari, halafu mabiti unayakamata kisomi na voice so clear

  • @frankthomas3738
    @frankthomas3738 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri ntemi sema umekanyima mngyao

  • @amosmacompyuta1015
    @amosmacompyuta1015 2 месяца назад +4

    Aaaah teacher wandingo

  • @AliphonceMartina
    @AliphonceMartina 2 месяца назад +2

    Ningelikuwa bara ningeichukua hata kwenye liblary tafadhali nisaidie niipate hiyo nyimbo nipo mbali sana pemba

  • @Fillygideon
    @Fillygideon 2 месяца назад +2

    🔥🔥🎶 imebamba kinomanoma

  • @User255tv
    @User255tv 2 месяца назад +2

    Hangamaga bhabha Ntemi Omabala, nimo go wiza noi.

  • @Cathe-x2k
    @Cathe-x2k Месяц назад +1

    Uko vzr sans

  • @Mackimilly
    @Mackimilly 2 месяца назад +3

    Kazi nzuri.

  • @josephkafumu3006
    @josephkafumu3006 2 месяца назад +2

    Ila mungu alikupa melodi yakipekeee tu Safi sana najivunia wewe uimbaji wako unanikosha sana popote unasikiliza tu

  • @cecilialembo-rf2gf
    @cecilialembo-rf2gf 2 месяца назад +2

    Much of love to you 🎉

  • @mabalaVideostudio
    @mabalaVideostudio 2 месяца назад +2

    Nakubali bwana kaka

  • @MASHALANDEKEJA
    @MASHALANDEKEJA Месяц назад +1

    Tuma pamoja kaka

  • @isackjohn7123
    @isackjohn7123 2 месяца назад +3

    Boom🔥🔥🔥

  • @kingmawese
    @kingmawese 2 месяца назад +1

    dahh nakupata vizur kutoka dar es salaam Tanzania❤

  • @reubenjung
    @reubenjung 2 месяца назад +2

    Bomu Kali 🔥🔥🔥🔥

  • @LucasGabrielmwasaga
    @LucasGabrielmwasaga 25 дней назад +1

    Mimi Eliza mzukila nipo dar nakupenda sana pia napenda nyimbo zako

  • @user-xe5pe3lj6u
    @user-xe5pe3lj6u 2 месяца назад +2

    Wimbo mzuri🎉🎉🎉 sana

  • @user-kv1vv8sm6i
    @user-kv1vv8sm6i Месяц назад

    Na kweli kaka wewe ni mwalimu/bila D mbili huwezi kunielewa
    Kazi Kaz kaka.

  • @DIRECTOR_MSAFIRIJ
    @DIRECTOR_MSAFIRIJ 2 месяца назад +6

    Good ❤❤

  • @ClementJulias
    @ClementJulias 2 месяца назад +1

    Good job Mr mwanakang'wa

  • @Joiyce
    @Joiyce Месяц назад

    hao ndiyo wanadam

  • @MathiasMasamaki
    @MathiasMasamaki Месяц назад

    Nakkubal san mwanakamwa from katoro geita

  • @JoshuaShambuli
    @JoshuaShambuli 23 дня назад

    Mwenye nakubar msukuma mwenzang 2ko juu

  • @alphayomogunde7828
    @alphayomogunde7828 Месяц назад +1

    They are singing like the Akamba language that spoken in Kenya Eastern province.

  • @NagrethSimon
    @NagrethSimon Месяц назад +2

    Kaka hao ndo wanadamu

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 2 месяца назад +2

    Weweeeeee✍🏾🎉🎉🎉🎉🥰

  • @MASHALANDEKEJA
    @MASHALANDEKEJA 2 месяца назад +2

    Uko vzr kaka

  • @PaskariHamisi
    @PaskariHamisi Месяц назад

    Nakuamin broo

  • @MigeraStudio
    @MigeraStudio 2 месяца назад +4

    Nimepita

  • @ReonardPetro-y6o
    @ReonardPetro-y6o 2 месяца назад +2

    Uhakik brother 🙏

  • @LabiMponda
    @LabiMponda 2 месяца назад

    Wengi wanajuwa hivo ndugu

  • @NanyambatcLaboratory
    @NanyambatcLaboratory 27 дней назад +1

    Nakubal sana aisee

  • @NgunoMbasa
    @NgunoMbasa Месяц назад +2

    nikiwa nchini Zambia nazifatilia san kk nyimbo zako

  • @ShigelaMakula
    @ShigelaMakula Месяц назад +1

    Ulingosha nkoyi