Ngwa'na yulita nakupata nipo kigoma mpakan na bulundi kata ya mabamba niliambiwa kua we nimwalimu Leo nimekutana wimbo wako Tena unasema siyo mwalimu kaxa kaka Dunia siyo nzuri nyimbo zako nzuri zinafaliji kwel kaka mungu akupe hekima njema na uimbaji mzur
Kaka Ntemi naona u mzuri katika SoMo la History naona hapo AFRICA AND EXTENAL WORLD semaa uhakikaàaaa mungu aendelee kukusaidiiaaa ntemiii omabala uendelee kufurshisha wasukumaa
Ng'walimu wa Ndingo🙌, Safi saana Nyanda DODO, NTEMI omabala 🌏, kazi yako nzuri mnoo💪 mungu akuweke uishi sana furaha ya wa Bhasukuma😇❤, NTEMI ni mmojatu💯 nakupata sana nikiwa 🇬🇧🌹
Kiukweli kaka hata mimi nilikua naambiwa et wewe nimwalim ila hizi radio za nywele nimbaya sasa kaka ntemi 🎉🎉
Haya Mambo Ni 🔥🔥🔥
Apewe Maua Yake Brother Ng'wana Kan'gwa Like Sasa Kama Wewe Sio Muongo
Unstoppable!! This is a national song!!
Ngwa'na yulita nakupata nipo kigoma mpakan na bulundi kata ya mabamba niliambiwa kua we nimwalimu Leo nimekutana wimbo wako Tena unasema siyo mwalimu kaxa kaka Dunia siyo nzuri nyimbo zako nzuri zinafaliji kwel kaka mungu akupe hekima njema na uimbaji mzur
Mzee wa Mabamba unapajua Kigogo?!!
@@robertngwala1323ivi nikweli ama maneno ya watu tuu
Mimi yona niko mwime ya nyakato maarufu senta ya fatherjames jilani na mwana kishimba hongera sana ngwana kangwa wewe ni mwalimu wa nyimbo
Mi Niko msikiti WA zuwena jirani yako😂
Huyu ndio msanii bora wa muda wote wa nyimbo za asili✍️✍️✍️
Safi saana ngw'ana kang'wa kazi Moja nzuli nzito ✊✊✊
Hata mimi nilishagaambiwa kuwa Ng'wanakangw'a ni mwalimu wa Sekondari leo nimekupata
Kweli kabisa ledio za Damu ni mbaya:
Sema t ww ni kichwa asiependa nyimbo zako huyo mchawi sisi wanakahama tunaenjoy sana!
Kaka Ntemi naona u mzuri katika SoMo la History naona hapo AFRICA AND EXTENAL WORLD semaa uhakikaàaaa mungu aendelee kukusaidiiaaa ntemiii omabala uendelee kufurshisha wasukumaa
Najivunia sana kuwa msukuma mimi penda sana❤❤❤
Kaka kama kama hapo sawa sasaa tumekuelewaaa
Pamoja sana kaka
NI HATARI SANA!! MOROGORO TUMEIPATA NA KUIPOKEA!!! Salamiti wamekumiss sana toka 2020 hawajakuona
Mziki mzuri kutoka BTM AFRICA hakika ni za kwetu Mungu awabariki sana ahsanteni
Pamoja tuna sikiliza mziki mzuri ni 🔥🔥🔥
kweli kaka nisha kubali nyimbo nzuri sana
Achana nao fantastic kaz yako kaka ukjona vivyo just umewazidi kitu
Nyimbo iko moto,congratulation ilumbuye omukaya 🥁🎺🎼🎼
@@FloraChuja wabheja sana
Ukubatandula kikuba gete,, ulu wapanga bakalili lyembo wafunya lyingi?❤❤❤
Nimeitafuta muno nyimbo ya bhakango. niambie jina la wimbo my brother
Hata Mimi pia niliambiwa ila sikuamini Leo ndo Nimepata Jibu Pamoja sana from kagongwa
Yan wewe ndo najivunia wewe wewe ndo msaniiii wangu kabisa jamaaa yangu nakukubali sana ❤❤❤❤❤❤
Hongera NTEMI O MABALA
Uko vizuri unafundisha ongeza bidii zaidi
Watu wabaya Sana kaka ,Ila huo ndio ukubwa,
Ntemiiiiiiii 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nyimbo zako hazichoshi kusikiliza.... Nataman tena itokee show uwanja wa Magufuli tufurikeee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Our all time G.O.A.T from sukumaland.
Congratulations bro you nailed it💪
I appreciate you 🙏 thanks brother ✍️
Ntimi omabala napenda sana uimbajiwako mnguakuzidishie namimi naimba kwako nikama dalasa vizuli hutaki bifu
Chapa kazi kaka yangu
No doubt your the best traditional singer
Thanks bro
Africa and the external world ❤
Uko vzr brooo
Ng'walimu wa Ndingo🙌, Safi saana Nyanda DODO, NTEMI omabala 🌏, kazi yako nzuri mnoo💪 mungu akuweke uishi sana furaha ya wa Bhasukuma😇❤, NTEMI ni mmojatu💯 nakupata sana nikiwa 🇬🇧🌹
Asante sana Latifa
Fundi sana.....kukaya ni kukaya duhu ng'wana obhasukuma!
Wooooh what a wonderful video🎉🎉, I was so much waiting thank you. Keep it up good work 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hope you enjoyed it!
Sana Kiongozi bigup mmetisha bila kusahau producer hongereni sana.
Brother angu ! Wewe na kisima na Bhudagala Mnatuwakilisha vzuri sana kabila letu la Kisukuma
Umeuwa kaka 🎉🎉🎉
Ebwana uko vizuri huku kwetu mwanyagula ulituburudisha sana karibu sana
Asante sana ndugu
Ng'wana kang'wa chapakazi acha na maneno ya walimwengu
Mwalimu waoooo
Bigup sana kamanda wetu
Ki ukweli hata mimi nakukubali sana, piga kazi
Keep it up brother, good song
KWAHYO jina la Ntemi umeachana nalo tena
Unaimbi vizuri sana kwanza unasauti nzuri unaimba vitu vya kufundisha vyenye maadali kwa jamii yenu❤❤
Kweli kaka Hata Sisi tulikua tunasikia na sisi
nyipo ni 🎉🎉🎉❤ safi sana
Kaka na kukubali kinoma kaka angu ❤❤
Piga kazi kaka achana nao kibali unacho na tunakukubali kinoma sanaaaaaa❤❤❤❤❤
Najua ni ngumu kujiamini kwasababu bado hajaona kipaji changu (ISAWIMA)
Hongera sn kaka hii nyimbo nakumbuka uliizindua Usagari Leo umetoka video ni nzr sn hongera na karbu Tena Usagari
Kazi nzuri sana ndugu yangu
Uko sawa jamaa ang
Kaka nakukibali sana from nguruka Uvinza Kigoma
Unapafahamu kwa kizanga
Uko sawa mwalimu
Hongera sana ww una sauti nzuriii mno naitwa mama Credo Mwaipopo mchezaji wa yanga zamani sasa anaishi sweden
Nakukubali kk saruuut
Chapa kazi mwana kamwa
Kazi nzur sana pia Director Migera ❤❤
Safi sana ndugu❤❤ sanamkuu
Nyimbo zako ni nzuri sana masumbwe tuna Enjoy nyimbo zako Brother🎉🎉🎉
Eeeee matulo lelo bhucherelwe sana kajideo kasonga ong'wanudo
Chapa kazi bro naipenda sana kazi yako
Hongera sana brooh
Niko dar lkn nyimbo za kisukuma muda wote mpaka wazalamo cku hizi wanacheza💯💯💯💯💯
😂😂😂 umeshawaibahao safisana❤❤
Ni atari, halafu mabiti unayakamata kisomi na voice so clear
Kazi nzuri ntemi sema umekanyima mngyao
Aaaah teacher wandingo
Ningelikuwa bara ningeichukua hata kwenye liblary tafadhali nisaidie niipate hiyo nyimbo nipo mbali sana pemba
🔥🔥🎶 imebamba kinomanoma
Hangamaga bhabha Ntemi Omabala, nimo go wiza noi.
Uko vzr sans
Kazi nzuri.
@@Mackimilly Asante sana
Ila mungu alikupa melodi yakipekeee tu Safi sana najivunia wewe uimbaji wako unanikosha sana popote unasikiliza tu
Much of love to you 🎉
Nakubali bwana kaka
Tuma pamoja kaka
Boom🔥🔥🔥
dahh nakupata vizur kutoka dar es salaam Tanzania❤
Bomu Kali 🔥🔥🔥🔥
Mimi Eliza mzukila nipo dar nakupenda sana pia napenda nyimbo zako
Wimbo mzuri🎉🎉🎉 sana
Na kweli kaka wewe ni mwalimu/bila D mbili huwezi kunielewa
Kazi Kaz kaka.
Good ❤❤
Good job Mr mwanakang'wa
hao ndiyo wanadam
Nakkubal san mwanakamwa from katoro geita
Mwenye nakubar msukuma mwenzang 2ko juu
They are singing like the Akamba language that spoken in Kenya Eastern province.
Kaka hao ndo wanadamu
Weweeeeee✍🏾🎉🎉🎉🎉🥰
Uko vzr kaka
Nakuamin broo
Nimepita
Uhakik brother 🙏
Wengi wanajuwa hivo ndugu
Nakubal sana aisee
nikiwa nchini Zambia nazifatilia san kk nyimbo zako
Ulingosha nkoyi