kisima _Bhazunije Official Audio

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 221

  • @NeemaMchele-y1t
    @NeemaMchele-y1t 7 дней назад +2

    Daaaah kwakwel hii nyimbo inanipa nguvu pale ninapoteswa na majungu na maneno ya wenye wivu. Mungu akuzidishie kipaji chako kidumu

  • @busungu_tv
    @busungu_tv 5 месяцев назад +17

    Kisima majabala seeema tukupe nini mashabiki jamaaan nawaomba wasukuma wote kila kona tumpe supports msanii wety azidi kufanya vizuri zaidi ya hapo maana juhudi zake zinajidhihirisha kabisa kuwa amekuwa msanii mwenye mashairi safi, nyimbo zenye mafundisho na maadili, nyimbo amabazo ynaweza kusikiliza ukiwa na familia hakuna matusi wala maloloso yaani nyimbo haina KAVIVI💥💥💥💥💥KISIMA💫MAJABALA💫💥💥💥

  • @YohanaKimola
    @YohanaKimola 5 дней назад +1

    Mfalme wa nyimbo za asili saizi mwamba safi sana piga kazi mnyatuzu mwenzangu ❤

  • @moseslubinza7401
    @moseslubinza7401 Месяц назад +1

    Talented mtu mwenye kipaji pekee katika tasinia ya nyimbo za kisukuma 🎉Familia kutoka Salawe mhangu

  • @IkambulaMtunga4670
    @IkambulaMtunga4670 5 месяцев назад +8

    Piga kazi Mwamba mtu yoyote anayejitambua lazima aheshimu unachokifanya wewe ni mtu wa watu kazi yako ishaonekana kitambo na ikashemika kwa kila mtu
    Mungu tu ndiye mwenye uwezo wa kushusha piga kazi kwenda mbele hakuna kurudi nyuma tupe tunachostahili mashabiki zako na sisi hatutachoka kukusupport.
    Majabala Traditional Culture. 👏👏👏👏💪💪❤❤🙏

  • @MacktridaPita
    @MacktridaPita 5 месяцев назад +1

    Ahahahahaha Safi sana rafiki angu nimekukubar hiii ngoma nimeierewa sanaa❤❤❤❤❤❤

  • @imanwelisuby
    @imanwelisuby 5 месяцев назад +6

    Kweli hii nyimbo iko vzl wapizan lazima wajipange hawatakuweza zindi kuwakela baka wachoke wenyewe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ibrahimbaraka5262
    @ibrahimbaraka5262 5 месяцев назад +6

    Umeniliwaza kisima nilikofikia najilaniangu niligonge alisikilize blo nakukubali nakuombea uwendereye namungu akubariki upatekingi zaid mungu yupo nawew❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @YohanaKimola
    @YohanaKimola 5 дней назад +1

    King wa kisukuma sawizi piga kazi mnyatuzu mwenzangu ❤

  • @AlliPo-21
    @AlliPo-21 5 месяцев назад +12

    nilikuwa nasubil nyimbo ya kibabe kama hii 👍👍👍👍👍

  • @kadegeasilitv-zt9bv
    @kadegeasilitv-zt9bv 5 месяцев назад +10

    Nitacoment mara moja tu ....ni kwamba....ulichokifanya kutoa nyimbo sehemu mbali mbali. 👉🙏. umefanya vzr sanaaa moja wapo wa kujua sehemu gn nafeli kimziki lkn kufikia hapo nakupa👉🙏🙏🙏🙏%%%%%%zote

  • @Director_Kitindi_Complete
    @Director_Kitindi_Complete 5 месяцев назад +5

    Kisima wewe Ni Msanii Namba Moja Duniani kwenye Asili Mimi Ndio Nasema Sasa❤❤🔥🔥🔥

  • @massanja221
    @massanja221 5 месяцев назад +4

    Goma kali sana 🎉🎉🎉🎉 greatest singer in wapi jaman! Sukuma land tribe

  • @SAGANDANDAKILO-h9d
    @SAGANDANDAKILO-h9d 5 месяцев назад +4

    Nakuelewa sana ndg, nitazidi kuwa shabiki wako. Kisima Mungu akubariki sana

  • @MasanjaSamweli-b3r
    @MasanjaSamweli-b3r 5 месяцев назад +5

    Unaakili sana MWAMBA , na cku zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawe kaka , Niko nawe MWAMBA mpaka wakuue

  • @gumadambiti4071
    @gumadambiti4071 5 месяцев назад +4

    Pamoja saaana kaka angu kisima tunakupenda sana msanii wetu kisima nyumbn kwtu bariad simiyu

  • @mahungujulius1788
    @mahungujulius1788 5 месяцев назад +5

    Kazi Nzur sana Iko poa mno Hongera sana

  • @barnabastitus9952
    @barnabastitus9952 2 месяца назад +1

    Nyimbo nzur nimeielewa❤❤🔥🙏

  • @JumannemaicoThobias
    @JumannemaicoThobias 5 месяцев назад +5

    Kazi nzur hakika we nijabar

  • @williamjames5267
    @williamjames5267 5 месяцев назад +4

    Kisima leo nime penda sana nimekua muombaji wanyimbo zako kwa madenca wako kila mda hatimae kilio changu kimejibiwa

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku 5 месяцев назад +4

    Mungu fundi nyanda . Majabala moto Kwa kotela khole

  • @yoshuapaul8300
    @yoshuapaul8300 5 месяцев назад +2

    Yani hapa ndo penyewe piga kazi jembe letu tunakukubali sana
    Bhazunije tena kwahii ohoooooo ohooo kisima huu wimbo nemekesha nausikiliza yan haiishiwi utamu

  • @FabianMihambo
    @FabianMihambo 5 месяцев назад +4

    Wew kwa sasa ni msanii bora nakuita king kisima

  • @mussanyanda-bz5xk
    @mussanyanda-bz5xk 5 месяцев назад +4

    Unafanya vzr saana pande za chato lini tumekumbuka show za nyimbo zako

  • @JumamgemamatogoloMatogol-de8gx
    @JumamgemamatogoloMatogol-de8gx 5 месяцев назад +4

    King kisima nani anakuzingua kama vipi umle kimya kimya bila kujua

  • @MsalikaSabuni-d9t
    @MsalikaSabuni-d9t Месяц назад +1

    I salute you kisima majabala no one can disturbing you

  • @KAPAGALAKAPAGALA-dl9qd
    @KAPAGALAKAPAGALA-dl9qd 5 месяцев назад +4

    Nimo ntale bokelaga nghubhi👏👏 kisima nyanda majabala. Ila aha giki ULUBHALINJONGA NANG'HO ULISHINA nani uokuminyiwa😂?

  • @BennyKhane-c7c
    @BennyKhane-c7c 2 месяца назад +1

    Wew kaka nihatari unajua sana 🙏🙏

  • @GeorgeShokolo
    @GeorgeShokolo 29 дней назад +1

    Uko vzur kaka piga kazii ni kipaji kikubwa utafika mbali unatmia vzr Fasihi andishi .

    • @GeorgeShokolo
      @GeorgeShokolo 29 дней назад +1

      Msalimie sana mdogo wang doto ,,,huku chato mwaka huu hujatutembelea 😂

  • @bboytv5861
    @bboytv5861 5 месяцев назад +2

    Da kiukwer mm naona wewe namba 1 kwangu mana uwa nakukubali sana kisima🎉🎉

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 5 месяцев назад +2

    Ila bhayanda ahene mletuwakisha chiza sana Sukumaland👏👏👏👏👏. Hongera sana Kisima

  • @Boniphacehachili
    @Boniphacehachili 5 месяцев назад +5

    Saaaafi japo nimechelewa ila bado nakusikiliza

  • @leticiachares727
    @leticiachares727 5 месяцев назад +6

    Dah braza natamani ckumoja nikutane nawe tubonge

  • @SimonNgwenesho
    @SimonNgwenesho 5 месяцев назад +2

    unasema kweli Kabisa hata huku morogoro tunafulahia nyimbo zako ni nzuri sana kakaa

  • @manambavideoproduction8394
    @manambavideoproduction8394 5 месяцев назад +7

    Moto fire mwaka huu Salamiti imefika tayari kwa DJ JUMA MANAMBA

  • @emmanuelmathias876
    @emmanuelmathias876 5 месяцев назад +4

    Kazi nzuri,makini yenye uhalisia hakika Kuna Nguvu ndani Yako
    Mungu abariki kazi ya mikono Yako Kisima*🇹🇿
    Huku Moshi tunaenjoy na Nyimbo zako bwana

  • @lukindamangwelela4569
    @lukindamangwelela4569 5 месяцев назад +3

    Bro uko pow (uko vizuri) zaidi ya hao unaofananishwa nao kikubwa pambana tu kutoa nyimbo za mafunzo

  • @ndeteleleoizdory2292
    @ndeteleleoizdory2292 5 месяцев назад +4

    Bhazunije nyanda gete chukua maua yako KABILA ndan🎉🎉🎉🎉

  • @FrancePetro-m1z
    @FrancePetro-m1z 5 месяцев назад +4

    Saf kwa kaz nzuri 👍👍

  • @EmmanuelMayenze
    @EmmanuelMayenze 5 месяцев назад +1

    ❤❤ upo makin Sana kaka

  • @deusmusic3683
    @deusmusic3683 5 месяцев назад +1

    safi sanaaa bhazunije ,hiyo imeenda mungu akutangulie uendelee kuwapa madini ukisikia kioo Cha jamii ndo hivi sas inavotakiw maana naona umebaki wewe wa kuimba za ujumb andaa jiwe lingine kama Hilo hata lichukue mda ila likiingia liwe la moto

  • @JosephRobert-oz4cz
    @JosephRobert-oz4cz 5 месяцев назад +3

    Nakubali kaka nimeerewa sana nyimbo iyo

  • @danielsamwel3538
    @danielsamwel3538 Месяц назад +1

    Kanda ya mashariki endelea kutawala mkuu nakupata sana niko pande za chato. Ulintemi nyanda majabhala

  • @lucaspangarasi9368
    @lucaspangarasi9368 5 месяцев назад +5

    du! hatar sana kisima ong'wise

  • @mattaamosbinamba2588
    @mattaamosbinamba2588 3 месяца назад +3

    Duuh ila huyu janaaa noma sana yaan

  • @blessingmalulu3982
    @blessingmalulu3982 4 месяца назад +1

    Congratulation my brother kazi nzuri sana umetumia hakili nyingi afu kisukuma cha ndani kabisa

  • @FabianMihambo
    @FabianMihambo 5 месяцев назад +4

    Mmh noma sana nyimbo nzur

  • @cosmasrobert2056
    @cosmasrobert2056 5 месяцев назад +2

    watu tumekubali bado yeye tu ujumbe umeshamfikia
    ngoma kali sana kaka hongera kwa utunzi wako naamini kwenye video huwezi kutuangusha

  • @jacksonerasto3696
    @jacksonerasto3696 Месяц назад +1

    Ukiendelea hivi utafika mbali unajua kupangilia mashairi nyimbo nzuri Sana likini punguza maneno kwenye mashairi yako.

  • @HussenHatam
    @HussenHatam 5 месяцев назад +1

    Big up Sana my blood,kweli elimu ni ufunguo wa maisha kwa wenye juhudi kama Kisima by Mongo kinamweli 1 Ngudu-Mwanza Tz,now nipo Dar es salaam,Congulatulations to you Kisima.

    • @HussenHatam
      @HussenHatam 5 месяцев назад

      Corrections,congratulations instead of Congulatulations on my comment to you my greatest singer..,best wishes.

  • @user-yy8fx6yq8w
    @user-yy8fx6yq8w 5 месяцев назад +1

    Mimi nasema hivi kisima ni zawadi yetu sisi wasukuma kutoka kwa mungu hata mimi nasema safi chapa kazi ng'wanaume

  • @nguzotv
    @nguzotv 5 месяцев назад +3

    Ila Kisima nahene 🙌🙌🙌🙌🙌🙌👊

  • @Saimon244
    @Saimon244 5 месяцев назад +5

    Unakubuka shalo B hap nyamala kweli miaka ming

  • @ChristinaSami-dj5ej
    @ChristinaSami-dj5ej 5 месяцев назад +8

    Kazi nzuri zinajionyesha zenyewe hongera kwa nyimbo nzuri

    • @JohnLucas-nv2jv
      @JohnLucas-nv2jv 4 месяца назад

      waoooh🎤⏮️⏸️⏭️🔊🙏✅☑️

  • @RichardFrancis-nj3hb
    @RichardFrancis-nj3hb 3 месяца назад +1

    Kaka uko vzr sana

  • @MichaelShimba
    @MichaelShimba 2 месяца назад

    Kisima nakubali kaka nipo dar es salaam ila napiga ngoma zako moyo wang namwailia laha za usukumani😂

  • @andrealoveness2875
    @andrealoveness2875 5 месяцев назад +1

    This is very good song kisima fanya zaidi usiwe unapotea sana

  • @mtembezimathias
    @mtembezimathias 3 месяца назад +1

    NGOSHA WA MKAYAAAAAAA MWAMBA WA VIPINDI VYA ASILIIII TOKA MBANTU MEDIAAAAAAA NIMEPITAAAA BHAZUNIJEEEEEEEEEEEEEE MPAKA KONOOO NKOIIII

  • @JohnJohnisrael
    @JohnJohnisrael 3 месяца назад +1

    Kisima majabhala hakika mungu akulinde unpeeled kufundisha wanaoshindana na wewe hawawezi

  • @AnastaziaMhondwa
    @AnastaziaMhondwa 4 месяца назад +1

    Kipji unacho mungu akulinde2

  • @TimotheoSengasenga
    @TimotheoSengasenga 4 месяца назад +1

    Big up my gifted and talented artist of sukuma land tribe from MTC boy

  • @eugeniaritte9771
    @eugeniaritte9771 5 месяцев назад +1

    Tuzunyije ng'ana ng'wana wanee kazi nzr sana watachoka tuu songa mbele

  • @JaphetKulwa-kz1cj
    @JaphetKulwa-kz1cj 4 месяца назад +1

    Kisima wew sahiv niharmonize wakisukuma hakuna anae kufikia mashail Yako bro bigapu sana jamalangu

  • @EsteriaMandira
    @EsteriaMandira 3 месяца назад +1

    ❤🙏🙏🙏❤❤❤❤MUNGU AKUJALIE ZAIDI KAKA

  • @samwelsamwel4042
    @samwelsamwel4042 5 месяцев назад +2

    Okey very talented 🎉😮

  • @StanleyDaud-nm9ku
    @StanleyDaud-nm9ku 3 месяца назад +1

    Wewe jamaa kiukwel hua nafatria sana kazi zako sana hongela ikoloye. Nakukubal sana

  • @JAMLIHUMAYOLA
    @JAMLIHUMAYOLA 13 дней назад +1

    uko vizuli broo

  • @BoniphaceNghwaya
    @BoniphaceNghwaya 5 месяцев назад +5

    We noma sana

  • @GodyfreyAlex
    @GodyfreyAlex 4 месяца назад +1

    Kweli hukosei watu wengine wanawivu lakini ukiwaeshimu watu hata baraka unapatu

  • @teacherkaligodottonjige
    @teacherkaligodottonjige 5 месяцев назад +3

    🎉Kazi nzuri

  • @PascalSongo-qo4xp
    @PascalSongo-qo4xp 5 месяцев назад +2

    Dayaga Nshimba Yakisukuma🎉❤

  • @sadicksadickkenyatta1371
    @sadicksadickkenyatta1371 5 месяцев назад +3

    hata mm naimekubali Mzee kisima pambana kaka wewe Hadi Sasa ni namba Moja kwa sababu nyimbo zako ni funzo kwa jamii mungu akulinde akupe maisha malefu jamii za asili zinahitaji mtu kama wewe

  • @mungatandassa5453
    @mungatandassa5453 5 месяцев назад +1

    Majabala ww ndoo umenifanya niwe nasikiliza nyimbo za asili..endelea kutupa madini....bila ww nisingekua nasikiliza nyimbo za kisukuma big up bro ❤❤❤❤❤

  • @KingimmaKelela
    @KingimmaKelela 4 месяца назад +1

    My brother from another mother nakukubar sana kisima 💪💪💪

  • @sundimalekwa8391
    @sundimalekwa8391 5 месяцев назад +1

    Beeet na ujuzi tunatak tofaut mn nyimb zinafann

  • @LeonardLuzali
    @LeonardLuzali Месяц назад +1

    Kisima ww n mwamba

  • @HermanwilliamHermanwilliam
    @HermanwilliamHermanwilliam 5 месяцев назад +1

    Bhakugishiwa mbiti MTC Tanzania hatujawahi kufeli very nice work big up br

  • @jersonlukinda9410
    @jersonlukinda9410 5 месяцев назад +1

    Kisima nakupata vizuri kutoka NEVADA Usa, Hongera sana brother.

  • @Mr.EyanTz
    @Mr.EyanTz 5 месяцев назад +2

    Aise kaka kisima nikikutana na wewe nahakikisha nimejipost tiktok make tarehe 23 nilikuona katoro sema nilikua na kazi tu

  • @RukongerenatusSumuni
    @RukongerenatusSumuni 5 месяцев назад +2

    ❤❤Hunabaya ilitu usilewe sifa kaka❤❤❤😂😂😂

  • @jumastephano2688
    @jumastephano2688 Месяц назад +1

    Wew nouma mwamb

  • @KulwaShuga-z2r
    @KulwaShuga-z2r 5 месяцев назад +1

    Safi sana bwana mkubwa hakika ww uko vizuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @deusgamaya7763
    @deusgamaya7763 5 месяцев назад +1

    Hamna wa kubixha tena kwa kweli uwezo unajiziilixha hongera xan kaka

  • @mjukuuhotelitv7736
    @mjukuuhotelitv7736 5 месяцев назад +1

    Ukimya wako umekuja kukata kiu yote yaan ww ni zaidi ya msaniii❤❤❤

  • @user-ij6gr8pp7b
    @user-ij6gr8pp7b 5 месяцев назад +4

    Kishushu bariad ndani

  • @ngasamotv358
    @ngasamotv358 5 месяцев назад +6

    Hii Ndo iwe ya kwanza kutoka video

  • @mathiasbuban5175
    @mathiasbuban5175 5 месяцев назад +2

    Kazi nzuri sana

  • @ZuberyNdauli
    @ZuberyNdauli 5 месяцев назад +2

    poaw kaka hongera ur very talented

  • @daud652
    @daud652 Месяц назад +1

    bonge la nyimbo kama unampenda kisima like hapa

  • @First_bornKM
    @First_bornKM 5 месяцев назад +3

    Ni hatar😮

  • @MichaelMbushi
    @MichaelMbushi 4 месяца назад +1

    Sawa bn kaka anatisha sana saluut kwake kisima

  • @BenjaminShilikale-i1h
    @BenjaminShilikale-i1h Месяц назад +2

    wewe ni denger hatari 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf 4 месяца назад +3

    Yani hi nyimbo hamunakitu humuwez gude gude wew hata kwa dawa

  • @mageleonlinetv1474
    @mageleonlinetv1474 3 месяца назад +1

    Mim sio msukuma ila napenda Sana kusikiliza nyimbo zako 🎉

  • @WillibethAthanas
    @WillibethAthanas 5 месяцев назад +1

    Nakkubal Xana majabala karibu tena runzewe hakika hatujawah kkuanguxha tunakupend

  • @SabuMrama
    @SabuMrama 4 месяца назад +1

    Video lini mkuu❤

  • @MariamOmary-ep7ok
    @MariamOmary-ep7ok 4 месяца назад +1

    Unajitahidi sana kakaagu unawazid wanao tukanana tu kwa nyimbo

  • @BoniphaceSaid
    @BoniphaceSaid 4 месяца назад +1

    Kaka uko sawa kabisa kazi nzuri lakini nataka tufanye collable moja by shreck boy

  • @user-kl9rz4gi1d
    @user-kl9rz4gi1d 5 месяцев назад +1

    Hakika bro tumekubali ❤❤❤❤🎉

  • @RachelFofote
    @RachelFofote 5 месяцев назад +1

    Nice song my brother 💖 ipo sku nitakuwa daci wako