Kisima majabala seeema tukupe nini mashabiki jamaaan nawaomba wasukuma wote kila kona tumpe supports msanii wety azidi kufanya vizuri zaidi ya hapo maana juhudi zake zinajidhihirisha kabisa kuwa amekuwa msanii mwenye mashairi safi, nyimbo zenye mafundisho na maadili, nyimbo amabazo ynaweza kusikiliza ukiwa na familia hakuna matusi wala maloloso yaani nyimbo haina KAVIVI💥💥💥💥💥KISIMA💫MAJABALA💫💥💥💥
Piga kazi Mwamba mtu yoyote anayejitambua lazima aheshimu unachokifanya wewe ni mtu wa watu kazi yako ishaonekana kitambo na ikashemika kwa kila mtu Mungu tu ndiye mwenye uwezo wa kushusha piga kazi kwenda mbele hakuna kurudi nyuma tupe tunachostahili mashabiki zako na sisi hatutachoka kukusupport. Majabala Traditional Culture. 👏👏👏👏💪💪❤❤🙏
Nitacoment mara moja tu ....ni kwamba....ulichokifanya kutoa nyimbo sehemu mbali mbali. 👉🙏. umefanya vzr sanaaa moja wapo wa kujua sehemu gn nafeli kimziki lkn kufikia hapo nakupa👉🙏🙏🙏🙏%%%%%%zote
Yani hapa ndo penyewe piga kazi jembe letu tunakukubali sana Bhazunije tena kwahii ohoooooo ohooo kisima huu wimbo nemekesha nausikiliza yan haiishiwi utamu
safi sanaaa bhazunije ,hiyo imeenda mungu akutangulie uendelee kuwapa madini ukisikia kioo Cha jamii ndo hivi sas inavotakiw maana naona umebaki wewe wa kuimba za ujumb andaa jiwe lingine kama Hilo hata lichukue mda ila likiingia liwe la moto
Big up Sana my blood,kweli elimu ni ufunguo wa maisha kwa wenye juhudi kama Kisima by Mongo kinamweli 1 Ngudu-Mwanza Tz,now nipo Dar es salaam,Congulatulations to you Kisima.
hata mm naimekubali Mzee kisima pambana kaka wewe Hadi Sasa ni namba Moja kwa sababu nyimbo zako ni funzo kwa jamii mungu akulinde akupe maisha malefu jamii za asili zinahitaji mtu kama wewe
Majabala ww ndoo umenifanya niwe nasikiliza nyimbo za asili..endelea kutupa madini....bila ww nisingekua nasikiliza nyimbo za kisukuma big up bro ❤❤❤❤❤
Daaaah kwakwel hii nyimbo inanipa nguvu pale ninapoteswa na majungu na maneno ya wenye wivu. Mungu akuzidishie kipaji chako kidumu
Kisima majabala seeema tukupe nini mashabiki jamaaan nawaomba wasukuma wote kila kona tumpe supports msanii wety azidi kufanya vizuri zaidi ya hapo maana juhudi zake zinajidhihirisha kabisa kuwa amekuwa msanii mwenye mashairi safi, nyimbo zenye mafundisho na maadili, nyimbo amabazo ynaweza kusikiliza ukiwa na familia hakuna matusi wala maloloso yaani nyimbo haina KAVIVI💥💥💥💥💥KISIMA💫MAJABALA💫💥💥💥
Mfalme wa nyimbo za asili saizi mwamba safi sana piga kazi mnyatuzu mwenzangu ❤
Talented mtu mwenye kipaji pekee katika tasinia ya nyimbo za kisukuma 🎉Familia kutoka Salawe mhangu
Piga kazi Mwamba mtu yoyote anayejitambua lazima aheshimu unachokifanya wewe ni mtu wa watu kazi yako ishaonekana kitambo na ikashemika kwa kila mtu
Mungu tu ndiye mwenye uwezo wa kushusha piga kazi kwenda mbele hakuna kurudi nyuma tupe tunachostahili mashabiki zako na sisi hatutachoka kukusupport.
Majabala Traditional Culture. 👏👏👏👏💪💪❤❤🙏
Ahahahahaha Safi sana rafiki angu nimekukubar hiii ngoma nimeierewa sanaa❤❤❤❤❤❤
Kweli hii nyimbo iko vzl wapizan lazima wajipange hawatakuweza zindi kuwakela baka wachoke wenyewe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥
Umeniliwaza kisima nilikofikia najilaniangu niligonge alisikilize blo nakukubali nakuombea uwendereye namungu akubariki upatekingi zaid mungu yupo nawew❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
King wa kisukuma sawizi piga kazi mnyatuzu mwenzangu ❤
nilikuwa nasubil nyimbo ya kibabe kama hii 👍👍👍👍👍
Nitacoment mara moja tu ....ni kwamba....ulichokifanya kutoa nyimbo sehemu mbali mbali. 👉🙏. umefanya vzr sanaaa moja wapo wa kujua sehemu gn nafeli kimziki lkn kufikia hapo nakupa👉🙏🙏🙏🙏%%%%%%zote
Nazunije nyanda
Kisima wewe Ni Msanii Namba Moja Duniani kwenye Asili Mimi Ndio Nasema Sasa❤❤🔥🔥🔥
Goma kali sana 🎉🎉🎉🎉 greatest singer in wapi jaman! Sukuma land tribe
Nakuelewa sana ndg, nitazidi kuwa shabiki wako. Kisima Mungu akubariki sana
Unaakili sana MWAMBA , na cku zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawe kaka , Niko nawe MWAMBA mpaka wakuue
Pamoja saaana kaka angu kisima tunakupenda sana msanii wetu kisima nyumbn kwtu bariad simiyu
Kazi Nzur sana Iko poa mno Hongera sana
Nyimbo nzur nimeielewa❤❤🔥🙏
Kazi nzur hakika we nijabar
Kisima leo nime penda sana nimekua muombaji wanyimbo zako kwa madenca wako kila mda hatimae kilio changu kimejibiwa
Mungu fundi nyanda . Majabala moto Kwa kotela khole
Yani hapa ndo penyewe piga kazi jembe letu tunakukubali sana
Bhazunije tena kwahii ohoooooo ohooo kisima huu wimbo nemekesha nausikiliza yan haiishiwi utamu
Wew kwa sasa ni msanii bora nakuita king kisima
Respect kaka
Unafanya vzr saana pande za chato lini tumekumbuka show za nyimbo zako
King kisima nani anakuzingua kama vipi umle kimya kimya bila kujua
I salute you kisima majabala no one can disturbing you
Nimo ntale bokelaga nghubhi👏👏 kisima nyanda majabala. Ila aha giki ULUBHALINJONGA NANG'HO ULISHINA nani uokuminyiwa😂?
Wew kaka nihatari unajua sana 🙏🙏
Uko vzur kaka piga kazii ni kipaji kikubwa utafika mbali unatmia vzr Fasihi andishi .
Msalimie sana mdogo wang doto ,,,huku chato mwaka huu hujatutembelea 😂
Da kiukwer mm naona wewe namba 1 kwangu mana uwa nakukubali sana kisima🎉🎉
Ila bhayanda ahene mletuwakisha chiza sana Sukumaland👏👏👏👏👏. Hongera sana Kisima
Saaaafi japo nimechelewa ila bado nakusikiliza
Dah braza natamani ckumoja nikutane nawe tubonge
unasema kweli Kabisa hata huku morogoro tunafulahia nyimbo zako ni nzuri sana kakaa
Moto fire mwaka huu Salamiti imefika tayari kwa DJ JUMA MANAMBA
Kazi nzuri,makini yenye uhalisia hakika Kuna Nguvu ndani Yako
Mungu abariki kazi ya mikono Yako Kisima*🇹🇿
Huku Moshi tunaenjoy na Nyimbo zako bwana
Bro uko pow (uko vizuri) zaidi ya hao unaofananishwa nao kikubwa pambana tu kutoa nyimbo za mafunzo
Bhazunije nyanda gete chukua maua yako KABILA ndan🎉🎉🎉🎉
Saf kwa kaz nzuri 👍👍
❤❤ upo makin Sana kaka
safi sanaaa bhazunije ,hiyo imeenda mungu akutangulie uendelee kuwapa madini ukisikia kioo Cha jamii ndo hivi sas inavotakiw maana naona umebaki wewe wa kuimba za ujumb andaa jiwe lingine kama Hilo hata lichukue mda ila likiingia liwe la moto
Nakubali kaka nimeerewa sana nyimbo iyo
Kanda ya mashariki endelea kutawala mkuu nakupata sana niko pande za chato. Ulintemi nyanda majabhala
du! hatar sana kisima ong'wise
Duuh ila huyu janaaa noma sana yaan
Congratulation my brother kazi nzuri sana umetumia hakili nyingi afu kisukuma cha ndani kabisa
Mmh noma sana nyimbo nzur
watu tumekubali bado yeye tu ujumbe umeshamfikia
ngoma kali sana kaka hongera kwa utunzi wako naamini kwenye video huwezi kutuangusha
Ukiendelea hivi utafika mbali unajua kupangilia mashairi nyimbo nzuri Sana likini punguza maneno kwenye mashairi yako.
Big up Sana my blood,kweli elimu ni ufunguo wa maisha kwa wenye juhudi kama Kisima by Mongo kinamweli 1 Ngudu-Mwanza Tz,now nipo Dar es salaam,Congulatulations to you Kisima.
Corrections,congratulations instead of Congulatulations on my comment to you my greatest singer..,best wishes.
Mimi nasema hivi kisima ni zawadi yetu sisi wasukuma kutoka kwa mungu hata mimi nasema safi chapa kazi ng'wanaume
Ila Kisima nahene 🙌🙌🙌🙌🙌🙌👊
Unakubuka shalo B hap nyamala kweli miaka ming
Nakumval
Kazi nzuri zinajionyesha zenyewe hongera kwa nyimbo nzuri
waoooh🎤⏮️⏸️⏭️🔊🙏✅☑️
Kaka uko vzr sana
Kisima nakubali kaka nipo dar es salaam ila napiga ngoma zako moyo wang namwailia laha za usukumani😂
This is very good song kisima fanya zaidi usiwe unapotea sana
NGOSHA WA MKAYAAAAAAA MWAMBA WA VIPINDI VYA ASILIIII TOKA MBANTU MEDIAAAAAAA NIMEPITAAAA BHAZUNIJEEEEEEEEEEEEEE MPAKA KONOOO NKOIIII
Kisima majabhala hakika mungu akulinde unpeeled kufundisha wanaoshindana na wewe hawawezi
Kipji unacho mungu akulinde2
Big up my gifted and talented artist of sukuma land tribe from MTC boy
Tuzunyije ng'ana ng'wana wanee kazi nzr sana watachoka tuu songa mbele
Kisima wew sahiv niharmonize wakisukuma hakuna anae kufikia mashail Yako bro bigapu sana jamalangu
❤🙏🙏🙏❤❤❤❤MUNGU AKUJALIE ZAIDI KAKA
Okey very talented 🎉😮
Wewe jamaa kiukwel hua nafatria sana kazi zako sana hongela ikoloye. Nakukubal sana
uko vizuli broo
We noma sana
Kweli hukosei watu wengine wanawivu lakini ukiwaeshimu watu hata baraka unapatu
🎉Kazi nzuri
Dayaga Nshimba Yakisukuma🎉❤
hata mm naimekubali Mzee kisima pambana kaka wewe Hadi Sasa ni namba Moja kwa sababu nyimbo zako ni funzo kwa jamii mungu akulinde akupe maisha malefu jamii za asili zinahitaji mtu kama wewe
Majabala ww ndoo umenifanya niwe nasikiliza nyimbo za asili..endelea kutupa madini....bila ww nisingekua nasikiliza nyimbo za kisukuma big up bro ❤❤❤❤❤
My brother from another mother nakukubar sana kisima 💪💪💪
Beeet na ujuzi tunatak tofaut mn nyimb zinafann
Kisima ww n mwamba
Bhakugishiwa mbiti MTC Tanzania hatujawahi kufeli very nice work big up br
Kisima nakupata vizuri kutoka NEVADA Usa, Hongera sana brother.
Aise kaka kisima nikikutana na wewe nahakikisha nimejipost tiktok make tarehe 23 nilikuona katoro sema nilikua na kazi tu
❤❤Hunabaya ilitu usilewe sifa kaka❤❤❤😂😂😂
Wew nouma mwamb
Safi sana bwana mkubwa hakika ww uko vizuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hamna wa kubixha tena kwa kweli uwezo unajiziilixha hongera xan kaka
Ukimya wako umekuja kukata kiu yote yaan ww ni zaidi ya msaniii❤❤❤
Kishushu bariad ndani
Hii Ndo iwe ya kwanza kutoka video
Kazi nzuri sana
poaw kaka hongera ur very talented
bonge la nyimbo kama unampenda kisima like hapa
Wewe kisima ni diamond wa kisukuma you are at nice
Ni hatar😮
Sawa bn kaka anatisha sana saluut kwake kisima
wewe ni denger hatari 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Yani hi nyimbo hamunakitu humuwez gude gude wew hata kwa dawa
Wewe unamuweza nano😂😂
Mim sio msukuma ila napenda Sana kusikiliza nyimbo zako 🎉
Nakkubal Xana majabala karibu tena runzewe hakika hatujawah kkuanguxha tunakupend
Video lini mkuu❤
Unajitahidi sana kakaagu unawazid wanao tukanana tu kwa nyimbo
Kaka uko sawa kabisa kazi nzuri lakini nataka tufanye collable moja by shreck boy
Hakika bro tumekubali ❤❤❤❤🎉
Nice song my brother 💖 ipo sku nitakuwa daci wako