Kisima_Ng'wanankanda Official Video 4k

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #Dir,Migera,MTC, Tanzania#

Комментарии • 260

  • @ibrahimmbogo1274
    @ibrahimmbogo1274 11 месяцев назад +8

    Ipo siku wataelewa tu jamaa yangu natamani nikuone ikulu unapfomu live kwa nguvu zake mungu itawezakan amina Ibrah nyarugusu hapa

  • @bigtimetz
    @bigtimetz 11 месяцев назад +19

    Kisima leo umejua kutufurahisha mashabiki zako salutiii🔥🔥🔥

  • @mbuziwakutaga
    @mbuziwakutaga 11 месяцев назад +7

    Yaan skuiz kisima ndo unazid kutufraisha mashabiki wako hususan mm yaan ukiwa unacheza ndo Huwa unatukosha kweli nipo hapa tunaiangalia video yako na familia wanaenjoy💪💪

  • @japhetsahani7121
    @japhetsahani7121 10 месяцев назад +6

    Mimi nmshabiki wa gude gude ila nmehamia kwa kisima **KISIMA was a pure talent from god,, love this song from Canada 🎣🎣🎿🎿🛷🛷🛷🛷🎿🎿🛷🛷🎿🎿🎣🎣🎣🎿🛷🛷🎮🎱♥️🔮🎰🀄🎮🎲

  • @user-gw4qi8ri9o
    @user-gw4qi8ri9o 11 месяцев назад +10

    Msanii namba moja nyimbo za asili

  • @PascoMakandila-yk7sk
    @PascoMakandila-yk7sk 11 месяцев назад +8

    Uko vzr najivunia kuwa msukuma aisee

  • @janjajanjatv7939
    @janjajanjatv7939 11 месяцев назад +6

    Wimbo huu unanifanya niwe jasili sana hongera sana kaka kisima🔥🔥🔥

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @SAGANDANDAKILO-h9d
    @SAGANDANDAKILO-h9d 9 месяцев назад +2

    Kisima nakuelewa sana ndg yangu endelea na hiyo Kasi kiukweli unatoa fundisho kubwa sana Kwa Watu wanaosikiliza ujumbe. Mungu akutie nguvu na akuepushe mbali na watesi wako ambao hawapendi mafanikio Yako. Mimi nitaendelea kuwa Shabiki wako namba Moja kutoka Mwandoya- Meatu. Ubarikiwe sana.

  • @AbelSalu
    @AbelSalu 27 дней назад +2

    ww ni fahari ya wasukuma wote mashairi makali pia style umeua

  • @Ndushikayungilo722
    @Ndushikayungilo722 11 месяцев назад +2

    Hakika kisima wewe ni mtunzi wa tungo za kuelimisha jamii hongeraaaaa.

  • @jersonlukinda9410
    @jersonlukinda9410 11 месяцев назад +4

    Mfalme wa wafalme, Hongera sana Mwamba.

  • @bonifacehamis4088
    @bonifacehamis4088 10 месяцев назад +2

    Babu Peter kasuku nipo naye hapa anajisikia amani kuona ukimpa sifa zake anaujunzi sana kwenye tiba ya kienyeji 💥💥💥🥳

  • @AlliPo-21
    @AlliPo-21 11 месяцев назад +3

    Hiv nyimbo imetoka au naota greatest singer pamoja sana❤

  • @philipodiyarago7797
    @philipodiyarago7797 11 месяцев назад +4

    Good job mr majabala congrats

  • @HASSANISAKALANI-xv7nw
    @HASSANISAKALANI-xv7nw 11 месяцев назад +3

    Big up kaka tupo pamoja tuna kupenda sana kisima by January from Nhwande.

  • @Kilasmndewa
    @Kilasmndewa 11 месяцев назад +6

    Hizi ngoma huwaga ni hatari sana . Kisima majabala watu wanangoja shoo Yako Kwa hamu sana huku dodoma . Yaani huwezi kuwambia kitu kuhusu ww❤❤❤

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @mussamhigi5678
    @mussamhigi5678 11 месяцев назад +2

    hongera sana kwa kazi nzuri komaa mwenyezi mungu akusaidie ufike mbali zaidi ya hapo ulipo

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 6 месяцев назад +1

    From Saudi Arabia 🇸🇦. I love my country Tanzania, love my tribe sukuma.

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @RichardMakingi
    @RichardMakingi 11 месяцев назад +4

    Nipo moro wilaya ya moro vijijiniwalugulu na wapogolo wanazikubali nyimbo zako nazipiga sana huku njoo upige show huku moro

    • @RichardMakingi
      @RichardMakingi 11 месяцев назад +1

      Naitwa Richard Makingi saluti kwako kisima pambana jembe langu

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @stevenlameck9014
    @stevenlameck9014 3 месяца назад +2

    Nakuamini sana kisima huumwaka ni wakwako naipenda nikiwa kigoma m..k..muha

  • @IkambulaMtunga4670
    @IkambulaMtunga4670 11 месяцев назад +5

    Agreatest Singer Majabala fundi wa nyimbo za asili Big up bro

    • @KOmom-fh2vg
      @KOmom-fh2vg 9 месяцев назад

      ❤❤❤❤❤

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏

    • @KabiligaHassan
      @KabiligaHassan Месяц назад

      🎉

  • @burhaniasanali8666
    @burhaniasanali8666 11 месяцев назад +2

    Aiseeeh kisima uko vzr na video zako ila bigap sana uko vzr nipo hapa igunga nawatemeshea kz zako

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @paulbhozenganwa
    @paulbhozenganwa 11 месяцев назад +4

    Pumbavu zako kisima nahii🎉🎉🎉

  • @josephndekele3586
    @josephndekele3586 11 месяцев назад +4

    Kazi nzuri,hongera sana

  • @baloziwaghetto814
    @baloziwaghetto814 11 месяцев назад +4

    tofauti yako na wasukuma wenzako n kwambaa nyimbo zako n zakuandika so akil inatumikaaa ,,,ila wenzako wanaimbago ovyo ovyo tuuu

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @Jameskakola
    @Jameskakola 11 месяцев назад +3

    Leo nimeipata ninayo ipeda hiii nyimbo james kakola hapa❤❤❤❤

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @SamwelJacob-xj2zw
    @SamwelJacob-xj2zw 11 месяцев назад +3

    Chacha wewee??? Biggest singer in sukuma

  • @MUSAMASANJAMIKOMANGWA
    @MUSAMASANJAMIKOMANGWA 5 месяцев назад +2

    Sema kweli kisima tunajivunia wasukuma minguu akuzidishie balaka ili uzid kutufuluaisha

  • @JumamgemamatogoloMatogol-de8gx
    @JumamgemamatogoloMatogol-de8gx 10 месяцев назад +2

    Afrika Tanzania 🇹🇿 zima wasukuma ndio wanaongoza kwa mziki wa asili hakuna kabila lingine linaloongoza kwa mziki wa asili budagala na kisima na bahati Bugalama na gude gude nakubari shoo

  • @millardtz6493
    @millardtz6493 11 месяцев назад +4

    Kazi nzuri , the greatest singer

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏

  • @NTEMI-OBURUDANI
    @NTEMI-OBURUDANI 11 месяцев назад +5

    Nakubari sana jamaa yangu ngoma kari sana 🎉🎉🎉

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @kulwashuga
    @kulwashuga 11 месяцев назад +3

    Kisima ama kweli wajua kufurahisha ss washabiki wako make hui ngoma tuliisubili kwa hamu sana nikitokea simiyu meatu

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏

  • @hamischiba4458
    @hamischiba4458 11 месяцев назад +4

    Safiiiii san kijana.

  • @user-xz6fz5nz2s
    @user-xz6fz5nz2s 11 месяцев назад +2

    Kaz nzr kaka kisima endelea kutufurahisha

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @radoxvaxibndavis7068
    @radoxvaxibndavis7068 10 месяцев назад +2

    director migera appreciate ,,kisima cna cha kusema

  • @GeraldPombe
    @GeraldPombe Месяц назад +1

    asante sana wimbo mzuri sana

  • @machiyajohnmbasa2746
    @machiyajohnmbasa2746 11 месяцев назад +4

    Sana kaka unaweza sana❤❤❤

  • @dottomoshidottomoshi
    @dottomoshidottomoshi 11 месяцев назад +3

    Miaka mingi sana kaka unajua kuimba💪💪💪

  • @S.m.Sumaha
    @S.m.Sumaha 11 месяцев назад +3

    Sin neno mkuu mungu azid kukuongoza good job

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏

  • @davidwizyrade2914
    @davidwizyrade2914 6 месяцев назад +3

    Nice mwamba hii nimeipenda sana tena kama hapo mwisho sita

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @user-dc7ls3qx9f
    @user-dc7ls3qx9f 11 месяцев назад +3

    Your the winner❤

  • @yohannajr9558
    @yohannajr9558 11 месяцев назад +6

    Nyimbo iko poa Sana huwez kuchoka kusikiliza na kuangalia video yake 🙏🙏

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @mussamashiba568
    @mussamashiba568 11 месяцев назад +4

    Aiseeeee unajua kuimba

  • @williamshimba9371
    @williamshimba9371 5 месяцев назад +2

    😅my favourite singer

  • @richiemadoshi8865
    @richiemadoshi8865 Месяц назад +1

    Big up mdogo wangu

  • @user-samweli
    @user-samweli 11 месяцев назад +2

    Nazunije ngosha ukembaga chiza sana 🎉🎉

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @AmosManyanza
    @AmosManyanza 3 месяца назад +1

    No one cn stop legaae

  • @barnabamasigani221
    @barnabamasigani221 11 месяцев назад +4

    Nice song brother

  • @ChazzyJohn
    @ChazzyJohn 12 дней назад +1

    Dumisha tamaduni zetu Kisima (very nice Kisima Mungu akulinde uzidi kuelimisha kwa nyimbo zako nzuri kaka)

  • @JumamgemamatogoloMatogol-de8gx
    @JumamgemamatogoloMatogol-de8gx 10 месяцев назад +1

    Kisima tuliwahi kucheza naye kwenye ngoma nza asili baliadi simiyu mimi nilikua munungule kwa bagalu yeye ni ngika alikua kwa Mayunga kidoyayi lakini sasa mgaga wetu alikufa na mbina ikafa yeye kisima kaendelea kuitangaza tamaduni yetu hongera kweke

  • @NhobolangassaSteven
    @NhobolangassaSteven 10 месяцев назад +2

    Hogera kisima umetufurahisha sana washabiki wako

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @pawakabili6069
    @pawakabili6069 11 месяцев назад +3

    Safi sana homeboy,, unajua unachokifanya, no one like you in sukuma tribe artists. wengine wakae pembeni wanatumalizia MB's zetu bule. Nyimbo zao hazina dhamira.

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @user-gv2iw2jr3q
    @user-gv2iw2jr3q 7 месяцев назад +2

    Kisima umetisha sana kaka mimi nipo karagwe kagera.

    • @user-gv2iw2jr3q
      @user-gv2iw2jr3q 7 месяцев назад

      Tuko pamoja kaka karibu karagwe chonyonyo

  • @JanePetro-r7z
    @JanePetro-r7z Месяц назад +1

    Congraturation bro

  • @NgoshaSimeo-ex5yn
    @NgoshaSimeo-ex5yn 8 месяцев назад +2

    Nice to you my favourite singers

  • @Pascocharles1997
    @Pascocharles1997 11 месяцев назад +3

    Endelea kuachia ngoma br tumezisubr kwahamu sana

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏

  • @robertndega208
    @robertndega208 11 месяцев назад +2

    Kazi ya mwanaume, Tupambane huku tukiburudika na nyimbo za king Majabala.
    Karibu tena na tena Majmoto

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @joshuaezekiel5268
    @joshuaezekiel5268 11 месяцев назад +4

    achia na shikome hapo umetisha sana

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏

  • @kidevunationmedia4656
    @kidevunationmedia4656 11 месяцев назад +3

    ngoma kali sana kaka majabala 😂

  • @masungasayi3298
    @masungasayi3298 11 месяцев назад +4

    Hongera kk pamoja sana

  • @mbuziwakutaga
    @mbuziwakutaga 11 месяцев назад +2

    Kisima kumbe na kucheza unajua🔥🔥🔥

  • @KabulaJoram
    @KabulaJoram 2 месяца назад +2

    Kisima mtu wa maana kabisaa cku moja nkikuona maokoto yako yako kwangu

  • @fredrickhenrygwantemi1816
    @fredrickhenrygwantemi1816 10 месяцев назад +4

    Alright My home boy, you're talented man

  • @marcokasuka105
    @marcokasuka105 11 месяцев назад +5

    Honger faz

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏

  • @user-gv2ow7kl8p
    @user-gv2ow7kl8p Месяц назад +1

    Hujawah kutetereka bro

  • @shijadotto
    @shijadotto 11 месяцев назад +2

    Safi brother biga kazi❤

  • @philipophilimon
    @philipophilimon 11 месяцев назад +2

    Kisima aichia na shikome pamoja shilatu

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏

  • @onesmomalifedha4709
    @onesmomalifedha4709 11 месяцев назад +2

    Pamoja kisima -from Moshi tz.Bhabha Ng'wanankanda nnamala wa masala!!!

  • @rogetichuo4687
    @rogetichuo4687 11 месяцев назад +2

    Nice job get salute broo......MTC up....!!

  • @nyimba20
    @nyimba20 10 месяцев назад +1

    Ni kwel kabsa unao kula nao ndo wanaokuchimba inauma ila haina namna

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @juniorkibunje2289
    @juniorkibunje2289 10 месяцев назад +1

    Kisima nafurahia kaz zako piga kaz kuna wasanii wanakuponda kiukweli inanichoma ila so shida ss binadam ukisonga mbele tu kidogo wanataman hata wakutoe roho kwakidogo ulicho nacho

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Месяц назад +1

    Nipo uturki kwass lakini nasikiliza ❤❤

  • @HonaBujiku
    @HonaBujiku 10 месяцев назад +1

    Kali ya mwaka jmn ❤Mimi mshabiki wako kutoka mahembe simiyu saivi nipo mbeya shuleni chuo

  • @stivenjiduki6606
    @stivenjiduki6606 11 месяцев назад +2

    Congoraaaaaaa🔥🔥🔥

  • @MabulaJonasLukaja-cm9je
    @MabulaJonasLukaja-cm9je 8 месяцев назад +1

    tunasubiri kisima kazi ya 2024 haraka niko pande za Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @MabulaJonasLukaja-cm9je
      @MabulaJonasLukaja-cm9je 8 месяцев назад

      Haki nyimbo zako ziko sawa brother, sio za matusi, kama za msanii wetu ngulyati , haki alimtusi msanii gude gude sikupenda kabisa na gude gude hana noma kabisa

    • @mayalamagoso5692
      @mayalamagoso5692 8 месяцев назад

      Resvd

  • @AmosPastory-yb1em
    @AmosPastory-yb1em 6 месяцев назад

    Nyimbo nzuri sana na inaujumbe nasikiliza na naipenda kazi yako sana japo mimi ni ngalu nawe ni ngika

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @bonifacehamis4088
    @bonifacehamis4088 10 месяцев назад +3

    Unajua sana kisima wetu

  • @makandagregory5977
    @makandagregory5977 7 дней назад +1

    King kisima

  • @AmerikAmeriameri
    @AmerikAmeriameri 3 месяца назад +1

    Pamoja kiongoz wet❤

  • @PhilipoLubango-wv6qr
    @PhilipoLubango-wv6qr 11 месяцев назад +2

    Uko vizuri bro👍👍

  • @mwigulumegejiwa
    @mwigulumegejiwa 2 месяца назад +1

    Unatisha brooo

  • @pauloisuto4528
    @pauloisuto4528 2 месяца назад +2

    Pamoj san kisim

  • @JacksonJacob-n2c
    @JacksonJacob-n2c 8 дней назад +1

    Sikiliza we kisima,hebu tupia namba za ngw'anankanda tumfate akatuzindike sisi

  • @jthedjmusicngudukwimbatv7707
    @jthedjmusicngudukwimbatv7707 11 месяцев назад +3

    Nyie kila mtu wa kwanza semeni nini wadau ngojeni m nicheki maufundi kwanza kama haki imetendeka afu nakuja kwamala ya pili na Neno sasa

  • @BoniphaceSaid
    @BoniphaceSaid 4 месяца назад +2

    Namba Moja hapana Kuna budaghala jaman usisahau Hilo kaka mm nampa namba2 kisima

  • @MachimuKija
    @MachimuKija 2 месяца назад +1

    Kisima ww nihatali wanyooshe

  • @abellutonja4589
    @abellutonja4589 11 месяцев назад +2

    Bhulumba bo mbuli bhuhtina pafyumu😂😂😂😂 nyoko kisima aseee nmecheka

  • @umemetv5919
    @umemetv5919 11 месяцев назад +3

    Achia na shikomeeeeeee baba

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @RachelThomas-ox3jr
    @RachelThomas-ox3jr 11 месяцев назад +3

    Nyimbo zetu za asili naenjoy sana japo spo nyumban nkiona kaz hiz nakumbuka kwetu usukuman❤

    • @AllyHamis-d9y
      @AllyHamis-d9y 10 месяцев назад +1

      bigapu,kisima,mminishabikiwakotokakitambo saanailasijawaikukutana nawewe,kwenyeeshooyako,kalibia,zanzibali

  • @jumastephano2688
    @jumastephano2688 Месяц назад +1

    Ulingosha sana nkoi

  • @user-ts3co7kd4n
    @user-ts3co7kd4n 7 месяцев назад +1

    😂 kisima we ni noma sana

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Haaaaa noma sana tule hamo.
      Samahan Kwa usumbufu naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili kutoka NFM Redio.
      Naomba usabcrube chaneli yangu Kwa ajili ya masimulizi mbali mbali ya makabila yetu na Wasanii wa Asili

  • @josephshija9333
    @josephshija9333 11 месяцев назад +2

    Kiongozi hatari sana yaani moto

  • @lucasbusagala4033
    @lucasbusagala4033 11 месяцев назад +3

    Imenigusa San at kwetu kwa busagara wapo umewafikishia ujumbe

  • @SamweriMkaga
    @SamweriMkaga 2 месяца назад +1

    Katie ya wasanii wa ability kwa kisìma mwisho

  • @YohanaTanika-ff2vf
    @YohanaTanika-ff2vf 10 месяцев назад +1

    Namkubali sana kisima mungu akupe maisha marefu

  • @makoyerichard5937
    @makoyerichard5937 11 месяцев назад +2

    NOMA JUU YA NOMAAAAA

  • @MihayoJoseph
    @MihayoJoseph 2 месяца назад +1

    Kama Yuko vizur sana usitanie

  • @thentuzumusic
    @thentuzumusic 11 месяцев назад +2

    THE NTUZU MUSIC KAFIKA

  • @MREMA-et5us
    @MREMA-et5us 9 месяцев назад +2

    Uko v ❤

    • @Wamiujiza
      @Wamiujiza 4 месяца назад

      Kaka samahan sana Mimi naitwa Didas Wamiujiza ni mtangazaji wa kipindi Cha Asili yetu kutoka kigoma naomba usabcrube account yangu 🙏

  • @user-sk2xe6kf1f
    @user-sk2xe6kf1f 10 месяцев назад +1

    Kisima uje na dar es salaam tukuone hata maana unatisha sana mtandaon