Kuna mtu nilimshauri apunguze Yale ma clip kwenye nyimbo za. Msanii fulan tumekosana nadhani atakuwa kajifunza saizi vile vi clip Kuna director fulani anazidisha mpaka ladha ya video inaisha na intro zote mbovu tyu anatumia ma picha ya mtandaon ya kudownld Dunia imebadilika sana wewe upewe maua yako tyu acha wanichukie ila ukweli nimesema Director lazima uwe mkali ili ufanye kazi za viwango kongole Migera 🔥🔥🔥🔥🔥
Unafanya kazi mzuri sana lakini zingatia Sana mavazi coz hizi nyimbo zinatumika mpaka msibani,na kwenye familia jitahid Sana kutunza tamaduni za kisukuma tupo pamoja sana your the best see you at the top 🤝
Lakin pia ma directions wengi wa asili napenda sana kazi zenu ila migera naelewa ndio unatisha 😂😂 siyo siri, kuna watu wanatakiwa wajifunze sana kwako make ki ukweli bado wanapelea kweli ata wao wanalijua hili .
Nipeni like zangu .. nawakilisha wasukuma nikiwa ARUSHA na my best singer kisima❤❤
Naitwa James kakola nimeipenda hilani wimbo mzur sana... ❤❤❤❤❤❤
Bonge la wimbo jirani. Unatoa elimu sana, hongera sana Kisima
Nakubali ❤❤ mwamba hii jiran my love 🎵
Kishushu one my brother piga kazi
Kazi nzuri tunasubiri video ya shikome
Shiratu from morogoro tz
Kalibu kakola jamaa yet
Leo nimekuwa wakwanza kutazama Ngoma ya Kisima Jilani Hongera sana.
Unyama mwingi sana bro
Migera shot it🔥🔥🔥🔥🔥
Wapeleke wapeleke🎉🎉❤
Hakika kaka wewe unajua kutupa vitu vizuri Mungu akupe maisha marefu tuendelee kuijoy mziki mzuri
Respect Xana mtc tanzanian tribe brother Sina Cha kukulipa Bali mungu ndo atakulipa ,
Notes Benjamin Paulo naishi dar er salama nimeipenda nyimbo ya kisima jilan
Kuna mtu nilimshauri apunguze Yale ma clip kwenye nyimbo za. Msanii fulan tumekosana nadhani atakuwa kajifunza saizi vile vi clip Kuna director fulani anazidisha mpaka ladha ya video inaisha na intro zote mbovu tyu anatumia ma picha ya mtandaon ya kudownld Dunia imebadilika sana wewe upewe maua yako tyu acha wanichukie ila ukweli nimesema
Director lazima uwe mkali ili ufanye kazi za viwango kongole Migera 🔥🔥🔥🔥🔥
Asante boss wangu
Nyimbo yangu ya kila cku toka itoke, naipenda sana hii nyimbo pamoj😢na ng'wanakanda
Nikajua huku wa kwanza hawapo kumbe wapo ngojanikae kwa kutulia sema hongera kwa wote wanaosaport kaz zetu mungu abariki kazi za mikono yenu
huja wahi kufeli 🙏🙏🙏🙏
Hongera sana 😅😅😅😅
Dam yangu kwa hii 🙌🏼🙌🏼
Iko vizur br pambanaga gete ikuluye tulebako
Siko mbali sana na mwendakulima, ni hapa Msalala ,hiyo jirani respect broo
Unyama mwingi bro
Unyama mwingi bro
Migera hujawai kuferi ❤ karibu nyarugusu mwambie kisima Ibrah anakusilima sana pia ni shabiki yake. No 1 gusu zima
Oky
Kisima nakubali sana nyimbo zako karibu ishila
❤ unapendwa na wengi kaka Pinga kazi
Nenhe Nzinza kwenga Sengerema,nale ila namubhetela jirani!!!!
Ki ukweli wakupe mauwa Yako tu. Weweni hatari sana. Saluti kaka!! Uishi miaka 1000000000!!!!
Nakukubar mnyantunzu mwenzangu
Asante kisima nikitokea meatu kwa wimbo huu mungu akutangulie kwa utendaji wako
Jilani wise wadotuja geteshi🎉🎉
Sulwa sulwa from kishapu shinyanga shabiki wa ukweli wa mtc Tz upo vizur kisima in Sukuma tribe song
Sure
Kazi nzuri sana
Nice job thanks kwa director migera
Nakubali sana kazii zako bro nashinda zasikilza muda wote from kahama town
Hongera san kaka umeupiga mwingi hapa ❤❤❤
Sawa kaka pamoja Kali
Sana toto la kisukuma huna baya waache na majungu yao cjui masufulia wamemuachia nan
Kaz nzut
Kisima baba tupumzishe utatuuwa. Watu wanatuvunjia meza huku . Zikipigwa ngoma zako mpaka wagonjwa wanapona
Hahahahahah
Unafanya kazi mzuri sana lakini zingatia Sana mavazi coz hizi nyimbo zinatumika mpaka msibani,na kwenye familia jitahid Sana kutunza tamaduni za kisukuma tupo pamoja sana your the best see you at the top 🤝
Big up sana nawakilisha kutoka dodoma
Upo poa kaka Pinga kazi brother
yaani huku mtaani ni balaa tupu,kila kona ni jirani na ng'wanankanda😅😅😅 iduta is coming.......
Nimeipata vyema sana hii nyimbo
Bado SHIRATHU 🎉🎉
Stor nzur sana kisima
Hongera jamaa Ila director wako anakung'alisha Sana HD mpk inazid mwambie awe anakupa na nightvideo location capturing itakuwa poa Sana
Duuu haya kaka
🎉🎉🎉🎉🎉
Good 👍uvaaje unaua sana kisima
THE NTUZU MUSIC KAFIKA
Upo poa kaka Pinga kazi brother
Bonge la video
Nipo arusha napiga hizi nyimbo mpaka wamasai wananifata kujua zinamanisha nini
Niko Arusha piah sanawari nmetoka kula hiki chuma
Nakupata vzr sana nikiwa kisiwani Comoro ,
Jamani kisim natani ❤❤❤❤❤❤ 1:11
Uko v ❤
nakubali sana ngoma zako
Kisima uko Sana
Kikosi Cha wachezaji wako kipo vizuli lakin simuon ;machangata ? na Simon 💯💯💯💯 kazi. zuli sana
TAYARI DJ MUSA KASEKESE MPANDA KAFIKA KUCHOTA NYIMBO MPYA I 2023
Tupi pamoja sana asili yetu wasukuma
Nakupeda
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Good
Niko Lindi nasikiliza ngoma za kwetu Mwanza
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mm nkiwa home jion lazma nianze na ngoma mbili za mwamba
This song is my gift...I thanks Kisima
6:35
Antoni chonja
FAtiliya
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤝🤝🤝🤝
Angu ndo ikaya iyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lakin pia ma directions wengi wa asili napenda sana kazi zenu ila migera naelewa ndio unatisha 😂😂 siyo siri, kuna watu wanatakiwa wajifunze sana kwako make ki ukweli bado wanapelea kweli ata wao wanalijua hili .
Asante
😂😂😂😂
matiasi. fungwa
Good