Huku kwetu SIMIYU meatu mbunge wa ccm nimwanamke jusi walikua na chaguzi akapigwa chini. matokeo yalipo toka meshindwa DJ aliachia hiyo ngoma. nayeye huyo mama yuto. Yani mkutano ulipoisha tu. DJ tukaskia yupo sero aisee tulishangaa Sana 🤣🤣🤣
Kisima majabala, mm nipo dar es salaam nazisikilza nyimbo zako ,wazalamo wananiuliza maan ya huu wimbo nawaelewesha ,piga Kaz msanii unaejua kupangilia mistar saf San 👍👍👍 Hakuna wimbo wa asili uliofika views 3.9M hii imevunja recod mm nitaendelea kuiangalia kila siku ili ifike 4M views nitafurahi sana kisima
Auna mpinzani kamanda uko vyema kabisa mpaka mda mwingine huwa nataman nami niungane nawe kweny kuonesha style maan napenda San nyimbo zako kaka one love
What a good music young man keep on and take Africa higher not music playing and making ladies feel nice all the time never this music of yours is good congratulations.
Leo tarehe 06 - 09 - 2024 nasikiliza Nzuki nipo Geita, namkubali sana KISIMA ni mbunifu sana anawazidi wasanii wenzake wa kisukuma... Content inaendana na matukio na setting ❤🫶
Great song, and creative, hello sukuma Land mwanza, shinyanga simiyu geita na tabora mikono juu tuko vizuri sana
Mie sio msukuma ila nyimbo za asili nazipenda sana japo sizielewi ila zinanikosha kwakweli love much from Singida 💯 ❤❤❤❤
Jmn nkuj
@@victorsospeter1231 sawa 🫶
@z 8:00 ayumar2955
Wimbo safii❤❤❤❤❤
Kwenye huu wimbo, kuna yule mdada mweupe, mwambieni siwezi kuishi bila yeye aiseee 🙌🏾
Baba mwana nkanda bagohayaga bogota boteho 😂😂😂😂umetishaaa sanaaaa💯💯
Kisima napenda nyimbo zako bigup
Yan me. Mpk milele
Viva wasanii WA kisukuma viva nawapenda sana ndg zangu mko vizuri mnooooooooo 🎉🎉🎉
Ni moto saaana. Waaaaaaaaaaaaaah 💕
Nice nice kisima from kampala
Mungu akifanyie wepesi ktk kazi zako.pesa sina ningekuita hapa dar uje utoe show mlimani city
Kijana big up sana msalimie juma kasuka hapo mwendakulima budushi
Wimbo mzuri sana.Wasukuma mko vizuri.👏👏👏
Karibu tukuhudumie
Isipokuwa aunt Zumaridi anatuponza🤣🤣🤣
@@paulkidula1663 🤣🤣🤣🙌
@@jilamamaduka267 😂😂😂
mapenda sana nyimbo za huyu kaka anajua na anajua tena mungu ampe maisha mrefuu❤
Njoo na mkoa wa kigoma wilayani kasulu hakika huta jutia hayo maokoto itakayo pata 👏👏😃😀
Well done.The performance is entertaining and we'll conducted.Makumbusho ya utamaduni wetu mazuri.
Mimi ni kalenjin lkni wimbo imwesa good work Boss,high level of dancing,
Huyu mwamba ni fundi sana aseee natamani siku nikija mwanza nionane nae
yaani ngoma Hii imebamba sana hapa Mbarali mkoani Mbeya.kwakwel hongera sana bro pamoja sana
Huku kwetu SIMIYU meatu mbunge wa ccm nimwanamke jusi walikua na chaguzi akapigwa chini. matokeo yalipo toka meshindwa DJ aliachia hiyo ngoma. nayeye huyo mama yuto. Yani mkutano ulipoisha tu. DJ tukaskia yupo sero aisee tulishangaa Sana 🤣🤣🤣
jikotale e nzoke, sema wew kisima unajuaa sana unapangliia vina na mizan🌎🇹🇿🔥🔥🔥
Hapa ulipiga jamaa. Biti tyu yenyewe ni shidaa brother. Najivunia kuwa msukuma
Longer sana huyu jamaa anatisha ngoma kali Niko tandahimba ila nainjoi na hii ngoma duuuu.
Nyimbo za kisukuma nazipenda Sanaa
Kaka nimetoka Dar sijawahi kanyaga Mwanza Ila toka nimekuja huku huyu jamaa anabalaa sielewi kinachoimbwa ila ngoma zina mzuka sana hizi 😅😅😂
🤣🤣🤣
Anakwambia nyuki waporini ukimchokoza lazma akutafune sawasa na ww umetulia mtu anakuzingua
Give credit where it belongs....from Kenya only from our on soil our motherland Africa big salute friend..
Nyimbo angu pendwa🔥🔥🔥🔥
Mm cyo msukuma Ila nakupenda kisukuma na nimejitahid nikijuwe mpaka nimekijua namshukulu Sana mashimba Jeremiah bundara kwakunifuza kisukuma fanta apa
Napenda Sana kisukuma nanyimbo zake ingawa mm c msukuma
Kisima majabala, mm nipo dar es salaam nazisikilza nyimbo zako ,wazalamo wananiuliza maan ya huu wimbo nawaelewesha ,piga Kaz msanii unaejua kupangilia mistar saf San 👍👍👍
Hakuna wimbo wa asili uliofika views 3.9M hii imevunja recod mm nitaendelea kuiangalia kila siku ili ifike 4M views nitafurahi sana kisima
❤❤naishafika
😂😂rahim wew@@rahmarahmaramadhani
Naandika mashairi kwa kupangilia safi sana.
kisima namkubali kinomah yani mjombaaaa huna baya
Hongela sana Kaka angu kwazi nzuli mwenyezi mungu akupe umlimrefu yenye furaha ❤️💪💪najivua Kuwa msukuma jmn
Hongera Sana nzuki jitahidi kabisaa kutembea mikoani kufanya show maana umejua kutuvuruga haswa haswa 👏👏👏👏👏💪💪💪💪😄
Fantastic Sukuma tribe song Hongera Saana unavyopambna Kisima
Uyu mudada wa brown namupenda sana she look like angel ,munisaidiye jina lake
Kweli man wimbo mtam saana zuke
Big up bro unatuwakilisha vyema Sana kwenye asili mungu akutunze
Tunaomba uongezee bidii,kwa kweli unatufurahi kwa nyimbo zako na ujumbe mzuri unaota kwa jamii
Kaka big up Sana,Mungu akusaidie Sana by Mongo toka Kinamweli Ngudu Mwanza TZ.
Wimbo mzuri uliotulia sana "nzuki" hongera sana unajua kufikisha ujumbe kaka
kisim na❤ kukubar san pamban
Hapo kaka umetisha ilembaya leka shikutwange nzuki ngwana bhunala 👏👏👏
Yaan hadi laha kwa kwr m mwenye natamn niwe nacheza hongela sana mungu kakupa kipaji so wale wanao imba matuc wale wanajiita nyanda masome
J uh t do go
O
Naipenda kabila langù❤❤❤ asante kisim
Mimi ni msukuma napenda sana nyimbo za kaka yangu kisima
Kisima majabala hiingoma inanikumbusha mbali hongera kwa u unifu👏👏👏
Wimbo mzri Sana ujumbe Bora hakika unaweza home boy
Fureeeeeeeeshi Sana'a ngomahiyo
Yabatale nzuki yene ihambage ubhone kisimaaaaaaaa!!!
Huyu mwamba anajua mpaka anakera
Auna mpinzani kamanda uko vyema kabisa mpaka mda mwingine huwa nataman nami niungane nawe kweny kuonesha style maan napenda San nyimbo zako kaka one love
Kwa kweli huu wimbo naupenda sana japokuwa unamlenga mshindani wake lakini unaujumbe mzuri sana
Hongera sana Kisima hakika unaweza
Awuuuuuu hongera sanaa kaka wimbo mzuri
Pamoja sana bwana mdogo vitu vyako viko Safi nipo ngelengele Moro nasikiliza
Honger kijan wetu unatuletea ngoma za kuelimisha jamii
safi sana kisima nakupata vyema nikiwa bukoba umeshoot vizur
Uko vizuri ndugu, Mungu azidi kkuinua zaidi
it is a nice song from my tribal kisima big up brother
Nyimbo zake ujumbe, zina vina, yaani mashairi anafuata vina.
Hii hatali nzuki umetisha hongera maixha malefu mwana MTC
Nyimbo nzur sana hongera kisima
Hongera sana kwa ngoma hii shushu nipo morogoro ila nimeipata vyema pamoja sana enz hzo kabila magu kama unakumbka
Nipo hapa mwenz wa kumi 2022 video ya kwanza ya nyimbo za kisukuma kufikiaha watazamaji million Moja na lak Tano,, waooooo Wasukuma oyeeeeeee
Short of words indeed empressive video from eastern Africa
Hata namm nimusukuma nainjoy
Nyimbo nzur nyanda majabala ..nani uyo osambije enzuki maana kalugano akene 😊
Wow jamon nmesikiliza ad machoz ya furaha
Hongera sana kwa wimbo wa mafundisho big up
Juuuu mkito wa koras mheshimiwa utabomoa sipika za watu. Imekaa kiasiri Zaid af Tam. Hongera san
Nipo Congo Lubumbashi kikazi, natokea Kakola kahama, Leo 27/10/2024 nimekuja kusikiliza tena🙌🙌
Proudly sukuma.....leka jigutale nzuki ulijisambya ng'wenekhele....
Safi Sana hii nyimbo Kila siku naisikiliza jaman 🍷
Nimetokea kupenda nyimbo zako kisima endelea kututolea zaidi
Uko vzr sana brother yang heko kwako
Mimi niko kigali rwanda nazisikilizaga sana nyimbo zako kisima
Pamoja ndugu
Am from Kenya and i I really love the song
Am from Kenya and i really love this song
Heshima sana kwa kisima sjaona msanii wa kisukuma mwenye kipaji hiki
What a good music young man keep on and take Africa higher not music playing and making ladies feel nice all the time never this music of yours is good congratulations.
An ducatate one than all traditional singer this made him to trend any where much love from mwanza my close bro
really good work, congratulations Kisima nimekuelewa kutoka moshi
Mimi binafsi nimekuelewa sana niko geita
Fresh boy nimeipata mziki
Kisima ongeza new song Kama ya nyuki keep it up brooo❤🎉
Congrats 👏 kinehe lolo, mwangaloka.👍
Hongera kaka chapa kazi
naitwa magiret fulaha nipo kagongwa hapakahama kisma nazielrewa sana nyimbo zako kazabuti kijana
Kwahuu mwimbo nimekupenda Bure 😘😘😘 boss
Great of Africa! Kisima ameupiga mwingi
Nyimbo nzuri mno ,🌷🌷🌷🌷🌸
Nice song ,,,,, karibu tena lule aka masasi kama dar
True African beat fully of joy and the African heritage.A ugandan and i have indeed enjoyed videos packaging despite not knowing the language.
Kazi nzuri kijana. Songa mbele
Me soon msukuma lakin nakubali sana broo,
Fundi wa music ✋ kwangu we ni no1
Love from uganda Hey great music brother
Hongera sana Kwa ubunifu wa hari ya ju sna
Hahaha khuchaganya na khugunilwa nimeipenda Sana Hii nzuki
Kisima your talent proves beyond no doubt that you are capable,my God uplift you to the height that you never dreamed.
Leo tarehe 06 - 09 - 2024 nasikiliza Nzuki nipo Geita, namkubali sana KISIMA ni mbunifu sana anawazidi wasanii wenzake wa kisukuma... Content inaendana na matukio na setting ❤🫶
SaWawa.nimbara
Wap wasukuma👊👊👊
Had mda huu nasikiliza nyimbo zetu wasukuma oyeee❤❤❤
Dilagawiza ba baba na ba mayu. Nwanitogisha gete gete.
Concord of sweet music.
Excellent 👌
Mbasha Record is a best 🎙 for the heavy entertainment industry. Big up.