Maaso maso mwanangu asimuone jicho la hasid mwanangu lisimuonee🥰🥰🥰naipenda had bass ii nyimbo tokea mdogo naisikia maharusin had namie nimeolewa nimeimbiwa 🥰♥️
The song reminds me those days in Primary School coming back home from school for lunch and then you find Mom is starting prepare lunch while singing this song, you want to rush back to school before luch was over for fear of being punished......But she insist you....subiri kwanza ule mwanangu. Nakuombea kila la heri mama.
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Allah amsamehe makosa yake. Alikuwa legend. Alikuwa akija kwa jirani nyumba ya pili Magomeni Zanzibar. Mzee alikuwa hodari sana. Hakuna marejeo yetu sote ni kwa Allah. Mashairi yake yalikuwa ya kipekee.
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
😢😢😢 hii nyimbo imenitoa machoz nafunga ndoa hali ya kuwa nishamzika mama eeeh allah nakuomba mpunguzie mama yangu azabu na kaburi na umeweke mahali pema pepon
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Nimeshindwa hata kucoment Maana Wenzangu Mliocoment Mmeshamaliza kila Kitu Kusema kweli Huuu Wimbo wanaitafuta Ndoa hebu Sikilizeni Mafunzo haya Ndoa Itakuwa tamu Nawaambia
Daah hizo ndio nyimbo za kusikiliza 2024
Anayeskiliza 2024 🎉
Nyimbo nzuri 2024
Wanaosikiliza hii nyimbo 2024 gonga like tukisonga
👍👍👍👍
Mm
Tangu 1997 mpaka sasa 2022 naisikiliza huu wimbo hakika old iz gold......R.i.p waliotutangulia kwa Allah
Hizi ndonyimbo sasa za kuelimisha sio zile moyoyo anae kubar nyimbo za mzee wetu issa tuonane hapa dore juu hpo tujuane
Wimbo mtamu huu, nani ausikiza mwaka 2023. Radha kama ya jana..
Nipo hapa April 21, 2023
Nipo hapa omani Raha km zote 25 ,4,2023😅
Oo@@hawarajab
Anayaeangalia kimasomaso 2024 like hapa👌
2021 tujuae tunaosikiliza huu wimbo mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kaburi ulijua kutunga nyimbo zenye mafundisho issa matona rip
Mwajina
Mwanga wamilele humuangaziye ee bwana mungu wamajeshi
Allahuma aghfirlahu warhamhu waskinhu FIL jannah
Maaso maso mwanangu asimuone jicho la hasid mwanangu lisimuonee🥰🥰🥰naipenda had bass ii nyimbo tokea mdogo naisikia maharusin had namie nimeolewa nimeimbiwa 🥰♥️
This will forever be "THE BEST"wedding song. ..rabbii amrehemuuu
Isa matona mungu akuondo shekhe adhabu ya kabru hii nyimbo haishi fasheni big up kwako
On top of its strong wedding message, I like its poetry! Superb poetry indeed. Issa Matona sang over 16 poetic verses very smoothly.
Masha allah ujumbe mzuri si ishi hamu kuisikiliza hii nyimbo inanikumbusha harusi ya dada yangu mpendwa mungu awalaze mahari pema peponi.
2020 nani askia wimbo uyu? Congo nipo
Nami Niko Bukavu/ Congo. Naendeleya kumpenda Mzee Issa kabisa.
The song reminds me those days in Primary School coming back home from school for lunch and then you find Mom is starting prepare lunch while singing this song, you want to rush back to school before luch was over for fear of being punished......But she insist you....subiri kwanza ule mwanangu. Nakuombea kila la heri mama.
c
Ha ha ha ha duh ni mm kabisa
@@halimatossa7065 Hahahahaha mama huyo
Praise to all mothers in the words
Jmon thats mothers love 💕
2024 twende sambamba na mzee wetu issa matona
2023 and this song still lit🔥 i remember listening to it at weddings when young till played on my wedding. Mashaallah haichoshi
R.I.P maashaallah ulikuwa na ujumbe mzuri sanaaa hii nyimbo naiona mpya kila ninapoickiza
Mariam Issa dah kwakweli Yani nikisikiliza mpaka nalia yani
Good morning everyone
Anayesikiliza mwaka 2020 anyooshe mkono juuu
☝️
Mani anasikiliza nyimbo za ISA matona minipo tanga nawewe taja ulipo kamaunasikiliza nauumpenzi wataarabu zazamani
Npooo
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
🙋♂️
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Alosema "Old US Gold" na "Chungu kuu halikosi ukoko",Njoo unywe soda kubwa kwa bill yangu...Aaaaagh,Napenda Sana❤
mashallah babayet issa matona Allah akufanyie wepesi
Can't wait for my mum to request it to be played during my wedding while dancing with her InshaAllah
insha Allah
@@farhiyawarsame9697 thanks darling
Insha Allah..
Inshallah 🙏
Usikose kunialika 😅
Siku ukija tena kusikiliza kimasomaso achia like yako
😂
2023
Tuko pamoja
2023
❤❤❤❤❤😂
Its year 2021 bado nasikiliza huu wimbo.😭😭 Rest in Peace Issa Motana
September 2021 bado ni mtamu
Obrigado pela músicas Bwana issa
Nyimbo za uyu baba mashaAlaah!,huchoki kusikiliza mungu akupunguzie adhab ya kabri
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Can't wait for this to be played on my wedding.....
when is ur wedding
Insha Allah
All the Best Ukhty...
Allah amsamehe makosa yake. Alikuwa legend. Alikuwa akija kwa jirani nyumba ya pili Magomeni Zanzibar. Mzee alikuwa hodari sana. Hakuna marejeo yetu sote ni kwa Allah. Mashairi yake yalikuwa ya kipekee.
This is and will always be the classic East African wedding song
That's true
TheFamilesso thats true
mzee alikua moto si mchezo
Absolutely 👌
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Mwenyezi Mungu amuweke mahali pema Mzee Issa Matona, alikuwa ana uwezo wa ajabu wa kuimba. Mashairi yake ni kama mwalimu vile anafundisha!
Yani daaah
Gooood long time sana nipo kijj kimoja kinaitwa mandera korogwe tanga 1987
Kweli we muhenga Hongera sana
😢😢😢 hii nyimbo imenitoa machoz nafunga ndoa hali ya kuwa nishamzika mama eeeh allah nakuomba mpunguzie mama yangu azabu na kaburi na umeweke mahali pema pepon
Amin
allah amuweka mahali pema popeni awapunguzi adhabu ya karibu waliotutangulia mbele ya haki.....🙏🙏🙏🙏
He was one of his kind. R.I.P Issa Matona, Bi Kidude, Sitti Bint Saad, Omar Kopa and all the great Zanzibar voices
Mohd Mussa nice comment!
mungu awapumzishe salama
kiboko uyo mtu mungu ampe wepesi kaburini
Mohd Ni?ssan
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Smash the like below if u r still listening to this 2019 jun# mwacha mila ni mtumwa.....Mombasa city
Mm ni kijana wa zama za kileo lkn marafki zangu hunicheka nikiskiza na kuenjoy hizi zilizopendwa...Old is Gold...Zina message hizi nyimbo
ALLAH amrehemu mzee ISSA MATONA
Daima tuta kukumbuka, daima tutakuenzi, mungu akulaze mahali pema peponi
Amiiiiin"""
Kusema kweli huyu mwamba alikuwa gwiji Allah amrehemu
Old is gold taarab Zanzibar
Vya kale ni dhahabu,,Viva Zanzibar
Our be loved Marhoum Issa Matona
Our be loved Zanzibar taarab
Ni mtanganyika kutoka Tanga sio zanzibar
1989 harusi ya mjombangu,,asante Issa hajatokea mwny ana nyimbo tamu km zako,Allah akuweke pema
R.I.p kwa hakika nyimbo za huyu mzee zilikua nzury....na kuelimisha🥰nazipenda sana nyimbo zake
Huu wimbo jamani. Ni mzuri.Huyu jamaa alikuwa na kipaji
sana
Allah akupe mwanga kabrin ......naakupunguziee adhb xa kbrii...........old ix gold ..ixaa nkupenda mnoo
😮😮😮😮 I'm from the Comoros Island and this song is always played on wedding celebrations 🤔
#Swahili #Bantu
Niyah DELAJUNGLE HV
Niyah DELAJUNGLE
That nice to hear
Nice song
You're so beautiful Niyah
jamani isa matonya mungu amleem alikuwa na nyimbo msuli sana
Nikiolewa nataka niweke huu Wimbo… kwasbabu ndio aloekewa mama angu alivyoolewa😔❤️
njoo tuoane mwakani
Kwahiyo Unataka Kushindana Na Mama Yako
Allah aiweke roho yake mahali pema peponi.
AMEEN
Mariam K
Bi moza
Amina!
Penda sana kimasomaso jamanii issa matona mungu akuepushie azabu za kaburii🙏🙏🙏
Mwenyezi mungu akulaze mahari pema pepon aaaaamina
Asante sana for this - Tanzania - I miss you so much!!!!
Wana Pangani bado mpoo kumbukeni enzi zetu tinga tinga na juhudi 1970 malindi na mitaa juu raha tupu.
Inalillah wainalillah rajaun
Pangani home maeneo ya boza
Verry nice hongera ya kiiasili thank's kwa wale wotutilia na Mungu amrehemu babu aloitunga Ishallah amlaze pema peponi Amin
Tutauona mpambanoooo leo 2020...continue to rest in peace
2019 June. Haishi fasheni. From dubai
Aswaaa
@@halimamohammedy9247 nikweli yaani kila unataka niisikilize
Yani inanikosha vilivyo haswaa
Isihaka Konde From Tanzania izondio zetu kipindi hichoo
🥰👌💯
wavuvi warudi mbio, na vyombo vimegongana..kuna papa usingizi jitahadharini vijana..papa limetoa penzi mawimbi linatawanya,..vidagaa na mikizi leo mtaliwa mnaona...ati aje apaaah! 😃
hicho kiswahili huwa kinanipagawisha aisee
Mashaallah
@@nzaumusyoka hiyo ndio ladha na hazina ya lugha ya Kisw kimejaa vionjo na nahau za kuvutia
Ni fumbo gumu sana kama huna D2 huwezi ng'amua😂
Ngoma yenye ladha sio vitu ivi ivi. Hongera
Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana,marehemu baba yangu. ..
Beautiful Tanzania,we will always remember our Hero and Legend Issa Matona.R.I.P Mzee
Babuu Shilla mimi mkenya nimeolewa na mzungu na hii nyimbo ndio ilichezwa. Sikujua kama kafa jamani 😣😣😭😭
Inna lilah wa ina lilah rajuin mble yk nyuma yetu
Ardh inatubeba weng jaaman ivy pnd tutapotembea juu ya ardh tutembee kw heshma n unynyekev kbw
Cette chanson, ma grand-mère (paix à son âme) l’aimait beaucoup et ça me fait plaisir de la réécouter en 2023🥰❤❤
safar yetu. nimoja mungu akupunguzie. Adhabu ya kabur babu yetu issa matona mshaul wetu
InshaAllah 1 Day on my wedding day
Marehemu issa matona allah akurehemu akupunguzie azabu za kaburini na akuweke mahala pema.
2023 tukuje hapa Tutakuenzi daima pumzika kwa amani mzee Isa matona
2019 bado IPO kilelen janaa firdaus iwe pepo yako amiin
Firdaus kwa kuimba jmn
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
Mzaliwa wa kisiwa Cha marashi Asante isa.
🎹👏👏kimasomaso hii ngoma ilifana saana kwa kiba wedding in 254 mc
I'm listening to this in 2022 n maybe inshaallah i wish to play this in my wedding someday in the future
In Shaa Allah.
Mashallah ujimbe nimeuskia lnshallah nakaribia kuolewa ntayafanya yote hayaaa amiiin allah nisaidie
2022 we still here,Issa was a legend, may he keep on Resting In Peace.
ALLAH Ampe jannah amiin
rashidi julius Aamiin.
rashidi julius Ameen
rashidi julius mzeemajuto
Amiin
Waoh mzee wangu mungu akulaze mahali pema peponi amen amen
We are egyptians loves your voice
Good good
Manshallah. Mzee wetu kwa mafundisho🙏🙏
Mungu akulaze mahalapema peponi shekhe issa matona.
Wanao angalia kwa mwaka huu wa 2023 tujuane kwa like
2023 nipo jaman inanikosha
Nice 👍
Allah akulaze pema aliko laza walotangulia in shaallah
Wako Wapi Manyakanga Wanaocheza Mkinda Wakataze Wari Wao Wasiniombe Kwainda Mara Nipe Mara Nipe Vingine Vitawashinda Eti Aje Hapa.
Nimeshindwa hata kucoment Maana Wenzangu Mliocoment Mmeshamaliza kila Kitu Kusema kweli Huuu Wimbo wanaitafuta Ndoa hebu Sikilizeni Mafunzo haya Ndoa Itakuwa tamu Nawaambia
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi yaarab awarehem wote waliotangulia mbele ya haki
nami ndipo Rwanda lakini wimbo huyu inaelimisha sana
Mwenyez mungu ailaze roho ya mpenz wetu issa matona amina
Daima Utakumbukwa Mzee wetu Issa Matona. RIP
😭😭😭😭😭mwenyeezi mungu akupe kauri thabiti baba angu
Nyimbo nzuri sana haichoshi kusikiliza
dah yani wimbo wamaana maneno mazima matupu good znz beg up.never day
Mola akulaze pema maneno kuntu mafunzo kwa maharusi mashaallah
Mwenyezi Mungu Akupe Kauri Thabiti Nyimbo bado iko gadp
Yaani taarabu zenye mafunzo naomba LIKES ZENU ZILIPENDWA NA BADO ZINAPENDWA
Nazipenda sana nyimbo zahuyu mzee ❤❤❤
Naipenda nyimbi zote za issa matonya pumzika kwa amani baba.
Samira salim:mashallah wasia wa babu...mungu akuweke mahali pema insha'allah..
i love it, mume ukampe raha usiende kumpa tabu....
saizi tena hakuna mwanamme wakumpa ra hawapo tena loo
mwanamme gani saivi ukimwambia e anakwambia oo aaaaaa hakuna wanaume kunavifuu dume
Mungu akupunguzie adhabu za kaburii😭😭
napenda sana hii nyimbo inaujumbe mazuri sana
I remember my late mother when I was young...
2019 naangalia pumzika kwa amani baba🙏
Jannah firdaus 2023 tuko wangapi nipewe like.
So sweet song , old is gold naipenda sana