Swahili: Kimasomaso

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Swahili music by Issa Matona (Tanzania)
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 596

  • @hafidhame6433
    @hafidhame6433 8 месяцев назад +40

    Daah hizo ndio nyimbo za kusikiliza 2024

  • @anonymoussaid5986
    @anonymoussaid5986 6 месяцев назад +37

    Anayeskiliza 2024 🎉

  • @HusnaMuhammed-yx8nl
    @HusnaMuhammed-yx8nl 7 месяцев назад +15

    Nyimbo nzuri 2024

  • @mwana2731
    @mwana2731 5 месяцев назад +89

    Wanaosikiliza hii nyimbo 2024 gonga like tukisonga

  • @masoudsigali4523
    @masoudsigali4523 2 года назад +37

    Tangu 1997 mpaka sasa 2022 naisikiliza huu wimbo hakika old iz gold......R.i.p waliotutangulia kwa Allah

  • @willfredychazz2845
    @willfredychazz2845 3 года назад +36

    Hizi ndonyimbo sasa za kuelimisha sio zile moyoyo anae kubar nyimbo za mzee wetu issa tuonane hapa dore juu hpo tujuane

  • @chegewainaina8038
    @chegewainaina8038 Год назад +15

    Wimbo mtamu huu, nani ausikiza mwaka 2023. Radha kama ya jana..

  • @JumaAlly-fb5pc
    @JumaAlly-fb5pc 6 месяцев назад +69

    Anayaeangalia kimasomaso 2024 like hapa👌

  • @faridaramadhan2509
    @faridaramadhan2509 3 года назад +57

    2021 tujuae tunaosikiliza huu wimbo mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kaburi ulijua kutunga nyimbo zenye mafundisho issa matona rip

  • @ummusalmaan9063
    @ummusalmaan9063 2 года назад +11

    Allahuma aghfirlahu warhamhu waskinhu FIL jannah

  • @shariffaabdalla2170
    @shariffaabdalla2170 5 лет назад +14

    Maaso maso mwanangu asimuone jicho la hasid mwanangu lisimuonee🥰🥰🥰naipenda had bass ii nyimbo tokea mdogo naisikia maharusin had namie nimeolewa nimeimbiwa 🥰♥️

  • @halimamshami3279
    @halimamshami3279 5 лет назад +44

    This will forever be "THE BEST"wedding song. ..rabbii amrehemuuu

  • @ziadayasiniziadayasini9978
    @ziadayasiniziadayasini9978 8 лет назад +58

    Isa matona mungu akuondo shekhe adhabu ya kabru hii nyimbo haishi fasheni big up kwako

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Год назад +26

    On top of its strong wedding message, I like its poetry! Superb poetry indeed. Issa Matona sang over 16 poetic verses very smoothly.

  • @fatimanzota1440
    @fatimanzota1440 9 лет назад +20

    Masha allah ujumbe mzuri si ishi hamu kuisikiliza hii nyimbo inanikumbusha harusi ya dada yangu mpendwa mungu awalaze mahari pema peponi.

  • @asyaateteatete6179
    @asyaateteatete6179 4 года назад +71

    2020 nani askia wimbo uyu? Congo nipo

    • @johnkahekwa8962
      @johnkahekwa8962 4 года назад

      Nami Niko Bukavu/ Congo. Naendeleya kumpenda Mzee Issa kabisa.

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 6 лет назад +65

    The song reminds me those days in Primary School coming back home from school for lunch and then you find Mom is starting prepare lunch while singing this song, you want to rush back to school before luch was over for fear of being punished......But she insist you....subiri kwanza ule mwanangu. Nakuombea kila la heri mama.

  • @MussaKingu255
    @MussaKingu255 8 месяцев назад +1

    2024 twende sambamba na mzee wetu issa matona

  • @aishaomar8305
    @aishaomar8305 Год назад +12

    2023 and this song still lit🔥 i remember listening to it at weddings when young till played on my wedding. Mashaallah haichoshi

  • @mariamissa8761
    @mariamissa8761 9 лет назад +57

    R.I.P maashaallah ulikuwa na ujumbe mzuri sanaaa hii nyimbo naiona mpya kila ninapoickiza

  • @ndolasaid6323
    @ndolasaid6323 4 года назад +216

    Anayesikiliza mwaka 2020 anyooshe mkono juuu

    • @saumsuleiman9794
      @saumsuleiman9794 4 года назад

      ☝️

    • @mgayarashidi34
      @mgayarashidi34 4 года назад +1

      Mani anasikiliza nyimbo za ISA matona minipo tanga nawewe taja ulipo kamaunasikiliza nauumpenzi wataarabu zazamani

    • @hadijahamisi3709
      @hadijahamisi3709 4 года назад

      Npooo

    • @Hesbonful
      @Hesbonful 4 года назад

      Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

    • @mrismail5437
      @mrismail5437 4 года назад

      🙋‍♂️

  • @Hesbonful
    @Hesbonful 4 года назад +5

    Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

  • @AbubakarAsman
    @AbubakarAsman Месяц назад +1

    Alosema "Old US Gold" na "Chungu kuu halikosi ukoko",Njoo unywe soda kubwa kwa bill yangu...Aaaaagh,Napenda Sana❤

  • @ramahuwezjua9743
    @ramahuwezjua9743 5 лет назад +19

    mashallah babayet issa matona Allah akufanyie wepesi

  • @AminaAmina-cl9fe
    @AminaAmina-cl9fe 2 года назад +23

    Can't wait for my mum to request it to be played during my wedding while dancing with her InshaAllah

  • @ahmadothuman190
    @ahmadothuman190 2 года назад +218

    Siku ukija tena kusikiliza kimasomaso achia like yako

  • @nambuacassandramlaki3516
    @nambuacassandramlaki3516 3 года назад +52

    Its year 2021 bado nasikiliza huu wimbo.😭😭 Rest in Peace Issa Motana

  • @pillykenedy2140
    @pillykenedy2140 5 лет назад +8

    Nyimbo za uyu baba mashaAlaah!,huchoki kusikiliza mungu akupunguzie adhab ya kabri

    • @Hesbonful
      @Hesbonful 4 года назад

      Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

  • @sirderanym7986
    @sirderanym7986 4 года назад +40

    Can't wait for this to be played on my wedding.....

  • @issaali1321
    @issaali1321 2 года назад +2

    Allah amsamehe makosa yake. Alikuwa legend. Alikuwa akija kwa jirani nyumba ya pili Magomeni Zanzibar. Mzee alikuwa hodari sana. Hakuna marejeo yetu sote ni kwa Allah. Mashairi yake yalikuwa ya kipekee.

  • @TheFamilesso
    @TheFamilesso 8 лет назад +121

    This is and will always be the classic East African wedding song

    • @yasinmakandalau4414
      @yasinmakandalau4414 7 лет назад +4

      That's true

    • @myreennao9434
      @myreennao9434 7 лет назад +3

      TheFamilesso thats true

    • @jumamgangaibrahimunguguru6066
      @jumamgangaibrahimunguguru6066 6 лет назад +1

      mzee alikua moto si mchezo

    • @halimamasare6838
      @halimamasare6838 5 лет назад +1

      Absolutely 👌

    • @Hesbonful
      @Hesbonful 4 года назад +5

      Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

  • @johnmapunda99
    @johnmapunda99 6 лет назад +6

    Mwenyezi Mungu amuweke mahali pema Mzee Issa Matona, alikuwa ana uwezo wa ajabu wa kuimba. Mashairi yake ni kama mwalimu vile anafundisha!

  • @saidimhina4632
    @saidimhina4632 5 лет назад +7

    Gooood long time sana nipo kijj kimoja kinaitwa mandera korogwe tanga 1987

  • @Jumasaidi-iv8cj
    @Jumasaidi-iv8cj 3 месяца назад +1

    😢😢😢 hii nyimbo imenitoa machoz nafunga ndoa hali ya kuwa nishamzika mama eeeh allah nakuomba mpunguzie mama yangu azabu na kaburi na umeweke mahali pema pepon

  • @hadijasaidy2598
    @hadijasaidy2598 5 лет назад +3

    allah amuweka mahali pema popeni awapunguzi adhabu ya karibu waliotutangulia mbele ya haki.....🙏🙏🙏🙏

  • @mohdmussa7749
    @mohdmussa7749 8 лет назад +88

    He was one of his kind. R.I.P Issa Matona, Bi Kidude, Sitti Bint Saad, Omar Kopa and all the great Zanzibar voices

    • @raymondtuli1518
      @raymondtuli1518 6 лет назад

      Mohd Mussa nice comment!

    • @jamilajabu2902
      @jamilajabu2902 6 лет назад

      mungu awapumzishe salama

    • @zianaally9412
      @zianaally9412 6 лет назад

      kiboko uyo mtu mungu ampe wepesi kaburini

    • @bahatia6626
      @bahatia6626 5 лет назад

      Mohd Ni?ssan

    • @Hesbonful
      @Hesbonful 4 года назад

      Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

  • @aminamahmoud8784
    @aminamahmoud8784 5 лет назад +28

    Smash the like below if u r still listening to this 2019 jun# mwacha mila ni mtumwa.....Mombasa city

  • @ahmedhassanadam7248
    @ahmedhassanadam7248 3 года назад +2

    Mm ni kijana wa zama za kileo lkn marafki zangu hunicheka nikiskiza na kuenjoy hizi zilizopendwa...Old is Gold...Zina message hizi nyimbo

  • @kibwanajuma6370
    @kibwanajuma6370 6 лет назад +16

    ALLAH amrehemu mzee ISSA MATONA

  • @ramadhanmseba4689
    @ramadhanmseba4689 9 лет назад +13

    Daima tuta kukumbuka, daima tutakuenzi, mungu akulaze mahali pema peponi
    Amiiiiin"""

  • @AthumanRamadhani-k4e
    @AthumanRamadhani-k4e 3 месяца назад +1

    Kusema kweli huyu mwamba alikuwa gwiji Allah amrehemu

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 4 года назад +2

    Old is gold taarab Zanzibar
    Vya kale ni dhahabu,,Viva Zanzibar
    Our be loved Marhoum Issa Matona
    Our be loved Zanzibar taarab

    • @mcback4384
      @mcback4384 4 месяца назад

      Ni mtanganyika kutoka Tanga sio zanzibar

  • @natepam4486
    @natepam4486 2 года назад +1

    1989 harusi ya mjombangu,,asante Issa hajatokea mwny ana nyimbo tamu km zako,Allah akuweke pema

  • @nurumwamboga8115
    @nurumwamboga8115 Год назад +1

    R.I.p kwa hakika nyimbo za huyu mzee zilikua nzury....na kuelimisha🥰nazipenda sana nyimbo zake

  • @nambuacassandramlaki3516
    @nambuacassandramlaki3516 4 года назад +7

    Huu wimbo jamani. Ni mzuri.Huyu jamaa alikuwa na kipaji

  • @janathyjuma8706
    @janathyjuma8706 4 года назад +2

    Allah akupe mwanga kabrin ......naakupunguziee adhb xa kbrii...........old ix gold ..ixaa nkupenda mnoo

  • @niyahdelajungle3717
    @niyahdelajungle3717 6 лет назад +40

    😮😮😮😮 I'm from the Comoros Island and this song is always played on wedding celebrations 🤔
    #Swahili #Bantu

  • @zainabualhinai3934
    @zainabualhinai3934 8 лет назад +10

    jamani isa matonya mungu amleem alikuwa na nyimbo msuli sana

  • @sabrinathequeen4628
    @sabrinathequeen4628 3 года назад +2

    Nikiolewa nataka niweke huu Wimbo… kwasbabu ndio aloekewa mama angu alivyoolewa😔❤️

  • @hamisiramadhan2453
    @hamisiramadhan2453 7 лет назад +44

    Allah aiweke roho yake mahali pema peponi.

  • @halimamajaliwa5404
    @halimamajaliwa5404 4 года назад +1

    Penda sana kimasomaso jamanii issa matona mungu akuepushie azabu za kaburii🙏🙏🙏

  • @omaryahmed7914
    @omaryahmed7914 5 лет назад +6

    Mwenyezi mungu akulaze mahari pema pepon aaaaamina

  • @KarimMarango
    @KarimMarango 8 лет назад +9

    Asante sana for this - Tanzania - I miss you so much!!!!

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker9086 4 года назад +4

    Wana Pangani bado mpoo kumbukeni enzi zetu tinga tinga na juhudi 1970 malindi na mitaa juu raha tupu.

  • @sakinaabd5898
    @sakinaabd5898 9 лет назад +13

    Verry nice hongera ya kiiasili thank's kwa wale wotutilia na Mungu amrehemu babu aloitunga Ishallah amlaze pema peponi Amin

  • @capramlacky8152
    @capramlacky8152 4 года назад +3

    Tutauona mpambanoooo leo 2020...continue to rest in peace

  • @stephenwambugu3977
    @stephenwambugu3977 5 лет назад +47

    2019 June. Haishi fasheni. From dubai

  • @namisara6859
    @namisara6859 8 лет назад +33

    wavuvi warudi mbio, na vyombo vimegongana..kuna papa usingizi jitahadharini vijana..papa limetoa penzi mawimbi linatawanya,..vidagaa na mikizi leo mtaliwa mnaona...ati aje apaaah! 😃

  • @nzaumusyoka
    @nzaumusyoka 9 лет назад +8

    Ngoma yenye ladha sio vitu ivi ivi. Hongera

  • @ronarona2200
    @ronarona2200 6 лет назад +3

    Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana,marehemu baba yangu. ..

  • @babuushilla3435
    @babuushilla3435 11 лет назад +13

    Beautiful Tanzania,we will always remember our Hero and Legend Issa Matona.R.I.P Mzee

    • @aishaelias986
      @aishaelias986 7 лет назад

      Babuu Shilla mimi mkenya nimeolewa na mzungu na hii nyimbo ndio ilichezwa. Sikujua kama kafa jamani 😣😣😭😭

    • @syksyk7295
      @syksyk7295 5 лет назад

      Inna lilah wa ina lilah rajuin mble yk nyuma yetu

    • @syksyk7295
      @syksyk7295 5 лет назад

      Ardh inatubeba weng jaaman ivy pnd tutapotembea juu ya ardh tutembee kw heshma n unynyekev kbw

  • @mymy_myriammgomri6303
    @mymy_myriammgomri6303 Год назад

    Cette chanson, ma grand-mère (paix à son âme) l’aimait beaucoup et ça me fait plaisir de la réécouter en 2023🥰❤❤

  • @babat5272
    @babat5272 3 года назад

    safar yetu. nimoja mungu akupunguzie. Adhabu ya kabur babu yetu issa matona mshaul wetu

  • @Ikram-f7q
    @Ikram-f7q 9 месяцев назад +2

    InshaAllah 1 Day on my wedding day

  • @bashiramissi4250
    @bashiramissi4250 11 лет назад +1

    Marehemu issa matona allah akurehemu akupunguzie azabu za kaburini na akuweke mahala pema.

  • @luyaamatho9580
    @luyaamatho9580 Год назад

    2023 tukuje hapa Tutakuenzi daima pumzika kwa amani mzee Isa matona

  • @beautylight987
    @beautylight987 5 лет назад +9

    2019 bado IPO kilelen janaa firdaus iwe pepo yako amiin

    • @shaythabdul2717
      @shaythabdul2717 4 года назад

      Firdaus kwa kuimba jmn

    • @Hesbonful
      @Hesbonful 4 года назад

      Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa RUclips. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 Год назад

    Mzaliwa wa kisiwa Cha marashi Asante isa.

  • @kingwigo2961
    @kingwigo2961 4 года назад +7

    🎹👏👏kimasomaso hii ngoma ilifana saana kwa kiba wedding in 254 mc

  • @allyjaphary8108
    @allyjaphary8108 2 года назад +9

    I'm listening to this in 2022 n maybe inshaallah i wish to play this in my wedding someday in the future

    • @stn4873
      @stn4873 2 года назад

      In Shaa Allah.

  • @zuhurakhamis2447
    @zuhurakhamis2447 4 года назад

    Mashallah ujimbe nimeuskia lnshallah nakaribia kuolewa ntayafanya yote hayaaa amiiin allah nisaidie

  • @majaller6951
    @majaller6951 2 года назад +11

    2022 we still here,Issa was a legend, may he keep on Resting In Peace.

  • @rashidijulius6511
    @rashidijulius6511 7 лет назад +30

    ALLAH Ampe jannah amiin

  • @oman11oman59
    @oman11oman59 5 лет назад +1

    Waoh mzee wangu mungu akulaze mahali pema peponi amen amen

  • @greatone5492
    @greatone5492 5 лет назад +8

    We are egyptians loves your voice

  • @mwanawetumwagora6283
    @mwanawetumwagora6283 6 лет назад +1

    Mungu akulaze mahalapema peponi shekhe issa matona.

  • @fatumafatuma9931
    @fatumafatuma9931 Год назад +8

    Wanao angalia kwa mwaka huu wa 2023 tujuane kwa like

  • @khadijaissaeddd6334
    @khadijaissaeddd6334 8 лет назад +8

    Allah akulaze pema aliko laza walotangulia in shaallah

  • @muddyaforeal1145
    @muddyaforeal1145 5 лет назад +12

    Wako Wapi Manyakanga Wanaocheza Mkinda Wakataze Wari Wao Wasiniombe Kwainda Mara Nipe Mara Nipe Vingine Vitawashinda Eti Aje Hapa.

  • @nyabisemaro8885
    @nyabisemaro8885 3 года назад +5

    Nimeshindwa hata kucoment Maana Wenzangu Mliocoment Mmeshamaliza kila Kitu Kusema kweli Huuu Wimbo wanaitafuta Ndoa hebu Sikilizeni Mafunzo haya Ndoa Itakuwa tamu Nawaambia

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 5 лет назад +2

    Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi yaarab awarehem wote waliotangulia mbele ya haki

  • @shemaemmanuel7373
    @shemaemmanuel7373 Год назад +1

    nami ndipo Rwanda lakini wimbo huyu inaelimisha sana

  • @khadijauledy8206
    @khadijauledy8206 4 года назад

    Mwenyez mungu ailaze roho ya mpenz wetu issa matona amina

  • @JosephDesideri
    @JosephDesideri 10 лет назад +2

    Daima Utakumbukwa Mzee wetu Issa Matona. RIP

  • @radhiahassan8798
    @radhiahassan8798 2 года назад

    😭😭😭😭😭mwenyeezi mungu akupe kauri thabiti baba angu

  • @bazilycharles888
    @bazilycharles888 3 года назад +3

    Nyimbo nzuri sana haichoshi kusikiliza

  • @milova7552
    @milova7552 10 лет назад +2

    dah yani wimbo wamaana maneno mazima matupu good znz beg up.never day

  • @hawaabdallahsaid9220
    @hawaabdallahsaid9220 5 лет назад +1

    Mola akulaze pema maneno kuntu mafunzo kwa maharusi mashaallah

  • @saudakisimba9032
    @saudakisimba9032 3 года назад

    Mwenyezi Mungu Akupe Kauri Thabiti Nyimbo bado iko gadp

  • @ednamachocho3059
    @ednamachocho3059 7 дней назад

    Yaani taarabu zenye mafunzo naomba LIKES ZENU ZILIPENDWA NA BADO ZINAPENDWA

  • @AshaMbeyu
    @AshaMbeyu Год назад +1

    Nazipenda sana nyimbo zahuyu mzee ❤❤❤

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 4 года назад +1

    Naipenda nyimbi zote za issa matonya pumzika kwa amani baba.

  • @saab20122013
    @saab20122013 9 лет назад +2

    Samira salim:mashallah wasia wa babu...mungu akuweke mahali pema insha'allah..

  • @joanrwegoshora785
    @joanrwegoshora785 6 лет назад +8

    i love it, mume ukampe raha usiende kumpa tabu....

    • @mwanalikhamis9875
      @mwanalikhamis9875 3 года назад

      saizi tena hakuna mwanamme wakumpa ra hawapo tena loo

    • @mwanalikhamis9875
      @mwanalikhamis9875 3 года назад

      mwanamme gani saivi ukimwambia e anakwambia oo aaaaaa hakuna wanaume kunavifuu dume

  • @Rahma-it4jj
    @Rahma-it4jj 4 года назад +3

    Mungu akupunguzie adhabu za kaburii😭😭

  • @BeatriceKavishe-lu4tw
    @BeatriceKavishe-lu4tw 4 месяца назад

    napenda sana hii nyimbo inaujumbe mazuri sana

  • @tatujumamaro3607
    @tatujumamaro3607 3 года назад +5

    I remember my late mother when I was young...

  • @mauajohn949
    @mauajohn949 5 лет назад +11

    2019 naangalia pumzika kwa amani baba🙏

  • @zaitunsalem3319
    @zaitunsalem3319 Год назад +2

    Jannah firdaus 2023 tuko wangapi nipewe like.

  • @florenceimali3965
    @florenceimali3965 2 месяца назад

    So sweet song , old is gold naipenda sana