Hii nyimbo nikiiskiliza huwa nalia sana nilienda mumewangu alikua dar essalam akanitumia wasshp hii nyimbo haja maliza wiki mumewangu akapata ajari na kufa Allah amlaze mumewangu pema peponi
🌹Oooh Mungu wangu; Hii ni Fasihi asilia ya Kiafrika "Lugha ya Kiswahili" ni lugha inayoenea kutoka nchi za Afrika Mashariki hadi juu ya Afrika Kaskazini🌹Oooh my God; This is pure original african Literature "Swahili Language" it is a spreading language from East African Countries to upper North Africa 🌹
if your in east AFRICA and you dont know the sweetness of swahili language sorry for you. laugha safi sana tarabu muruwa kabisa much love from Kampala lalalalalala
Nyimbo zenye Mafunzo ndani ya Nyoyo za Wenye Hekima zao. Raha kwatu kusikiliza Jamani. Mbona kazi ipo. Kupata Phd Siyo kazi. Kazi kubwa Phd kuigeuza Pesa .
Napenda sana Tanzania Mimi mkenya , huku kwetu kuna ufalah sana corrupt nation ....pongezi sana Tanzania
🙏
😂😂😂😂😂unachoma
Respect from Kenya to our brothers and sisters of Tanzania ,we appreciate and congratulate you. Thanks God bless you kwa bidii zenu .....
Iam a Kenyan but I love Tanzanian so much , big love from Kenya my kaka and Dada of Tanzania
😍
Karibu ukarbie
I'm Ugandan bt i love taarab for Tz
We love u Kenya and Uganda sisters brothers no one can denied that
Mungu Akubariki Jamani
😨😨😨 Daaaah imenitoa machoz hii nyimbo ya Mzee matona
kwann
Who still here in 2024 ✌ i wish they still make this kind of music 🎶 old but gold 💯
Hizi hadithi za kuhakikiwa MashaAllah. Ukifa unazikwa na hausahauliki ka Issa Matonna much respect
Natamani natamani kuyaona macho yako,Siku tulio katana leo naikumbukia,asante sana issa matona pumzika kwa amani babu yetu
Mungu amuifathi
Mwenyezi mungu akupe pepo insha Allah 🙏...sauti yako inabaki masikioni daima
Shakila Masoud mungu akupunguzie adhabu kaburì
Kaswida amn
Ashura 🤣🤣🤣 umejua kuni furahisha
😭😭😭😭😭
Manshaallah mzee wetu ulikuwa ukifikisha ujumbe sasa
mungu akuleem uko uripo twa kukumba Mzee we2 Isa matona Kwa nyimbo zako zina ujumbe kwer kabsa sio taarab zasasa
Hii nyimbo nikiiskiliza huwa nalia sana nilienda mumewangu alikua dar essalam akanitumia wasshp hii nyimbo haja maliza wiki mumewangu akapata ajari na kufa Allah amlaze mumewangu pema peponi
Amin na pole my dear
Dah pole sana
Amen 🙏
Pole Sana dada hiyo Ni kazi Ya Allah
Pole saaana bibie muombee Dua sana ipo siku mtakurana huko akhere❤❤
Mzee mhenga, huyu. Mungu akulaze pema Mzee wetu Issa Matona. Utabaki kutushauri alfu ulela.
Mzee issa naye yupo sana💪💪💪🇰🇪🇰🇪💯💯💯.napenda zake pia!!..
Mwimbo mzuri sana wa maadili unaweza kusikiliza na wazazi sebuleni maana una mafumbo
Mungu Akupunguzie Adhabu zakapur babu yetu kipenzi Aamiin 😢😢
Mungu muweke mahali pema pepon
izi ndio taarabu sasa sio mambo ya nikuchambe nikuchambe
Right yhthht t gv
Inshallah kesho ni siku.mzi let...kenyan man loves,tz taarabu...
Utakumbukwa saana pamoja na nyimbo zako marehemu isaah
ahmed caagane papa wetu wa mpani
🌹Oooh Mungu wangu; Hii ni Fasihi asilia ya Kiafrika "Lugha ya Kiswahili" ni lugha inayoenea kutoka nchi za Afrika Mashariki hadi juu ya Afrika Kaskazini🌹Oooh my God; This is pure original african Literature "Swahili Language" it is a spreading language from East African Countries to upper North Africa 🌹
RIP
Issa Matona
Mungu Akupunguzie Adhabu za
Kabuli ..
Uliitendea haki Taarabu...
if your in east AFRICA and you dont know the sweetness of swahili language sorry for you. laugha safi sana tarabu muruwa kabisa much love from Kampala lalalalalala
We're west Africa we love this song but we don't understand it
Huu wimbo naupenda sana ❤
From kenya...nairobi we love you guys
Wonderful music, by the way that bassist rocks bigtime
❤zikumbukwe japo zakale ujumbe uwafikie waleo navizazi vyao😢😢😢😢😢
Mungu akulaze pema babaetu,akusamehe madhambi yako inshaaala🙏
Pole sana ngoma mzuri nakumbuka hiyo nikiwa marekani
Dahhh nakumbuka kwetu tanga jamani😭nilikuwa mdogo sana ila mama angu alikua akiimba sana izi taarab.natamn nataman niyaone macho yako👌👌
Na kwel akija akikutokaaa usije kuliaaa nae.....
God bless the late Mr Issa Matona. What a talent? I love all of your songs. They are lovely stuff. Rest in Peace RIP🍎👍.
Mungu akurehemu baba huishi sauti yko bdo IPO kwenye miyo ytu
Continue resting in peace baba yetu,2022 still listening to your songs from Kenya
Baba umeenda Ila sauti umetuachia mwenyezi mungu akulaze mahala pema
Much love from Kenya ❤ tamu sana never gets old!
Tamu
Sana
Tamu
Sana
Nyimbo pambe sana. Maneno mazuri.
Mung akup pumziko la milele mz matona naangalia hii 2024
I am Issa from Rwanda I love Talaab of Matoma so much
Urumva ibyo aririmba?
Mungu Akuepushie Maovu hk Uliko. Amin
Maa shaw Allah taraab za Zaman Zina maneno kuntu
Halwa,,tutazidi kumkumbuka babu issa,,, sizaona mtunzi zaidi yako, Rip
asanteee Sana baba mungu akuweke mahalii pema
Nipo apa baada ya kusikiliza nyimbo ya mond unachezaje dah 🇹🇿🇹🇿
2024 still listening to you are song na bado INA ladha yake, Allah akuepushe na Adhabu za kaburini
Amin 💔 this guy was a legend 💯
Napenda,sana
MaashaaAllah maneno kuntu mungu akulaze mahari pema
Nataka kuwambia ambao. hamkuepo enzi hizo. Popote palipo kuwa naharusi. bila nyimbo Hii harusi hakuna.
ushasema kaka
Ali
Enzi hizo spika ni zile za dizaini ya kawa.
😂😂😂🙌
Za kitambo nzuri
babu wetu wa pwani; kweli madafu ni tamu lakini lillilo ndani ni ladha zaidi
Matona utatona matone kesho na hakuna wa kukusaidia
2020 I'm still watching ❤
Old is gold mashallah ALLAH barik.
Mungu akujalie kauli thabitii
Hahaaahahaa hoyaa safi taarabu MashaAllah maneno swadakta kbsaa.ulonae mzuie akija akikutoka usije kulia nae.
Dah vizuli vishaenda kwao tena
Bado tunaisikiliza 2024 Sasa alhamdulilah
Watoto km wakina Idrisa Sultan hawawezi kumuelewa Mzee Issa Matona hasa kwenye MAVAZI watabaki kuchekacheka tu.
Mungu akupumzishe pakustahilipo mzee wetu
Mwenyezimungu amlazemaharipemapeponi almhumu issamatona
Nazikubari
Sina shaka sina mapenzi ni kazi yako💋💋
Daahh whoo watching this 2019-20
Allhwa akup kaul dhabit mzee wety
Me
01/08/2020.. And its goog music..
pumnzika kwaamani mnzee wetu issa matona
Habiba 00 ni hawa. Wa kiebeni
2024 hands up wen listening 🎧 to Issa Matona guys
Issa matona hana baya
Nan yupo huu mwaka 2020
2023 still rocking
Mm huyu hapa
Hakuna alooo
@@HappyBlackberries-df8ii❤
mwenyezi mungu akurehem mzee wetu
Allah akujalie kheri
❤❤❤❤❤ MASHALLAH SIKIA SAUTI
MashaaAllah, MashaaAllah, MashaaAllah wajina
2023 bado tupo kwa sana pumzika kwa aman mzee ngoma tamu sana
Kweli ulo naye mzuwie akija akikutoka utajuta mbona,Allah akurehem mzee issah.
❤❤❤❤❤❤❤2024 burudani umetuachia mzee wetu Allah azidi kukurehemu na akupe kauli thabiti
tarabu.safi sana inaburudisha
Hata tokea Kama wewe mungu akulehem
Sijui hata nimefuata Nini huku 2024✌️✌️
Nyimb nzur san
Taarabu nyimbo tamu
Salute to you Issa Matona
Wimbo mtamu sana
Hongera sana babu
Allah ampe kauli thaabit Maneno mazito akiwepo unaona Wa nini akiondoka Maneno mdomoni na kusingizia watoto wanapatashida
Allah akurehemu issa matona
I just love this song. Sad to learn mzee is not alive
Nyimbo zenye Mafunzo ndani ya Nyoyo za Wenye Hekima zao. Raha kwatu kusikiliza Jamani. Mbona kazi ipo. Kupata Phd Siyo kazi. Kazi kubwa Phd kuigeuza Pesa .
Sauti yako itabaki hakuna kama wewe mungu akulaze mahali pema peponi
2023 tujuane na likes uwo mnaz unabomoka 🇶🇦
Old iz gold innalillahi waina illahi rojuin matonya
ok😜
Mashallah allah akuondelee mchanga wa macho
Mungu mpunguzie azabu
2021 😂🇰🇪🇰🇪🏃🏾
Babu jinga alifungwa mtoni astahili anyongwe kaiba mtoto wa jumbe.
Usiutie mapengo msomeno wangu
Allah ampe kauli thabit na amuweke mahala pema peponi amina
Ta Laoukana tsissi elewa piya makalema za rongolwa bé mhimbo Washi hâlé wu stawi swafi.
Salama wa rangu chissiwa ya shi maore.
Nani huyo yupo 2024
Nipo
the tape nostalgia is strong on this one...
Usijitiye mapengo msumeno wangu
Umetuachia kumbukumbu ya sauti yako umetutangulia mbele za haki nasi tuko nyuma yako,mola hailaze nafsi yako mahala pema peponi.
Mashslahh yanieee ww achatu
Tupo pamoja 2021
Tupo kabisa
2022 is still sweet♥
Mungu akulaze mahali pema peponi
Magemu
Inanikumbusha miaka ya 80 sasa zaidi ya miaka 40 imepita mziki bado inatesa sana aisee wakati huo nikiwa Singida
2021
Kijembe kongoka mpiniwe nikutie kibanuo nimepata dereva ajuae gari yangu yenda mbio😄😄2019 mpo
🎯🎯🎯🎯
Wimbo nzuri Sana.
Baabu Matona roho yako ilale mahala pema peponi
Baraka Yusufu uko fast
May ur soul Rest In Peace
innalillah wainailayh rajun
Mungu akupe pumziko la milele mzee Issa Matonya