KISIMA _SHILATU OFFICIAL VIDEO 4K

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #Dir_Migera#mtc_tanzania

Комментарии • 260

  • @mwitarhobi-r6q
    @mwitarhobi-r6q 4 месяца назад +18

    Wasukuma kwenye soko la muziki mmekuwa,Ka makirikiri wa Botswana bhana😂😂.Ka unakubaliana na mimi hebu gonga like

  • @user-qe4yi8hl6n
    @user-qe4yi8hl6n 23 дня назад +2

    nizaga hange na shilatu kalomonchocho" okwigwa Awuuuu,Awuuuuuuuuuuuu"hichi kiitikio uliweza sana, nakusikiliza kutoka 🇩🇪

  • @JessyMabula
    @JessyMabula 5 месяцев назад +2

    😂❤ yaan Mungu mwenyezi akutetee kwa kila jambo baya wanalokuwazia😊

  • @Makolo_Rob
    @Makolo_Rob 9 месяцев назад +7

    Pround of my culture SUKUMA proud of my country Tanzania 🇹🇿 proud of Africa…. Kutoka Nebraska 🇺🇸…. Bhagesi kisima tulaga mbina bhabha

  • @jumastephano2688
    @jumastephano2688 Месяц назад +1

    Wew msanii wangu pemdwa wa kisukuma,alaf unajua kupangilia mistar saf San 🤜🤛

  • @machiyajohnmbasa2746
    @machiyajohnmbasa2746 9 месяцев назад +4

    Hakika wewe ni first artist traditional in Tanzania

  • @marrykuchagula
    @marrykuchagula 9 месяцев назад +10

    Ninakuona kisima ngoma nzuri sana

  • @GehaShimiyu
    @GehaShimiyu 9 месяцев назад +5

    Leo nami naomba nikoment mara nying nimekuwa nikiaangaliaa TU video 📷 zako pasipo kukomenti,,Kwa kweli director wako anajua kushuti,jinsi unavovaa inaonnyeshaa uhalisia wa utamaduni,pia inatofautisha kati ya traditional songs na zingnee Big up kaka,am your fellow sukuma from shshiyu but now am at dar es salaam,nitahakikisha naview video zako zote Kila unapoachia,,,wabheja sana kisimaa❤❤❤❤

  • @CNM-u3c
    @CNM-u3c 9 месяцев назад +5

    Hatujawah kufeli na hatutegemei kufeli hii video nilikuwa naisubiri kwa hamu sana salute kwako

  • @FrancePetro-m1z
    @FrancePetro-m1z 9 месяцев назад +4

    Kisima nakupata ❤❤❤ sana sana huku iriga pia wahehe wamekukubali brother kaz nzuri

  • @jumastephano2688
    @jumastephano2688 Месяц назад +1

    Hii ndo asili sasa achana na wengne muda wowote kukuimba wew

  • @sadickally-j9m
    @sadickally-j9m 5 месяцев назад +2

    💪 congratulatons br kisima your more Lengend in Sukuma land 🔥

  • @nyalalibuswelu5512
    @nyalalibuswelu5512 2 месяца назад +3

    Natamani sana hii video ifikishe views nyingi kuliko Nzuki maana hii ni moto zaidi ya Nzuki 🐝

    • @user-qe4yi8hl6n
      @user-qe4yi8hl6n Месяц назад

      ivi nyimbo za asili wanalipwaa kweli youtube????

  • @Frankjosep
    @Frankjosep 28 дней назад +1

    Upo vizuri kisima chapa kazi lakini kati ya nyimbo amboy naikubari """NZUKII"""""

  • @PaulNigo-yq5ps
    @PaulNigo-yq5ps 9 месяцев назад +4

    Nahiii ndo video niliyo isubili kwahamu mwaka huu KAZI nzuri yenye ujumbe mzur sana hongera sana msanii wangu kisima pg kaz kaka❤❤❤❤❤❤💯💯💯

  • @felixwilliam1999
    @felixwilliam1999 9 месяцев назад +3

    Great sukuma singer ....lyembo lya wiza ! Hongera

  • @sfggf468
    @sfggf468 9 месяцев назад +4

    Wewe ni msanii namba 1 wa Kisukuma kwa sasa. PONGEZI KWAKE DIRECTOR

  • @Jema2003
    @Jema2003 5 месяцев назад +3

    Nimerudi Tena kuangalia huu wimbo nikimaliza naangalia SHIKOME nikitoka hapo nasikilia BHAZUNIJE Kwa huyu mwamba kuacha kuskiliza nyimbo zake Bado hamjanishawishi GEMELAGA ULUJUGWISELA LEKANAGA NASHO ❤

  • @RashdyMussa-uj7nm
    @RashdyMussa-uj7nm 19 дней назад +1

    Nakubal sana mwanguuuuu,,,twazunijeee😂

  • @KabelelaVa
    @KabelelaVa 8 месяцев назад +2

    Kisima majabala mie mashabiki wako hajawahi tokea Msanii wa kunikosha kama kusima kila kipindi changu cha Hali ya kisiasa Kisima Umekuwa mfariji Wangu Hongera Sana.

  • @JohnSamwel-r1i
    @JohnSamwel-r1i 2 месяца назад

    Kaka kisima mm siomsukuma ila ww umesababisha nimejua kisukuma iposiku napenda sana kazi yako Unakaz kama nzuki bhuhabhi shiratu inani marizia bandi hyokazi❤❤❤

  • @bashrafsshiraa5587
    @bashrafsshiraa5587 6 месяцев назад +3

    Me c msukuma ila ninabahat yakua na marafiki w kisukuma bac najiuta nakuelewa sana nyimbozako zote nazifwatilia vizuri kila wakat nasikiliza mpk wanahic me ni msukuma pia kuna mdada mmoja mnene wite msalimie sana kwenye uchezajiwake hana mambo meng nawakubali sana

  • @mbuziwakutaga
    @mbuziwakutaga 9 месяцев назад +4

    Hii Kali sana kisima skutegemea❤❤

  • @deusgamaya7763
    @deusgamaya7763 9 месяцев назад +2

    Ujawahi kufel mkuuu nilijua utauwaa tu maanaa tulisubili xanaa itoshe tu kusemaa hayupo,,I'm very more impressed with u man big up kazii iendelee tenaah🌷🌷🌷

  • @jthedjmusicngudukwimbatv7707
    @jthedjmusicngudukwimbatv7707 9 месяцев назад +2

    Kuiga sio dhambi kikubwa maendeleo tupongezane panapofaa pia tukosoane panapo kasoro hayo ndiyo maisha ya amani na furaha namaliza kwa kusema shikamo industry ya asili (I LOVE YOU FOR ALL BEST)

  • @salujohn7679
    @salujohn7679 9 месяцев назад +4

    Najifunza mengi sana kutoka kwako MTC KISIMA NYANDA MAJABALA

  • @ChristinaSami-dj5ej
    @ChristinaSami-dj5ej 9 месяцев назад +4

    Wimbo wangu pendwa💃❤

  • @SamwelJacob-xj2zw
    @SamwelJacob-xj2zw 8 месяцев назад +3

    Nakukubali sana tu tangu nianze kuzielewa tungo zako 🔥 🔥 🔥

  • @pascalmoga2522
    @pascalmoga2522 6 месяцев назад +2

    Extraordinary talented 🔥🔥🔥

  • @cosmasrobert2056
    @cosmasrobert2056 9 месяцев назад +2

    Saf sana tulikuwa tunaisubria kwa hamu sana
    hongera sana kaka unajua sana kaka pia director wako nampa 100% maana ujumbe wa nyimbo na video zipo sana na pia asili yetu inaonekana hongera kwa hilo

  • @MalulumaMayala
    @MalulumaMayala 5 месяцев назад +4

    Kaka mungu akuogezee kazi nzr unafanya

  • @AlexandarBeatus-ee8iz
    @AlexandarBeatus-ee8iz 5 месяцев назад +2

    This is kisima the greatest singer in sukuma tribe

  • @JonhManywel
    @JonhManywel 9 месяцев назад +3

    Bro fany na nyimbo inayo husu jna lako hilo itafay vzr sana hnger xan my bro

  • @user-kx7mj1cz7s
    @user-kx7mj1cz7s 6 месяцев назад +2

    Hongera sana kijana! Kipaji chako kimekuheshimisha sana mungu akubariki

  • @mashimbabujiku1250
    @mashimbabujiku1250 8 месяцев назад +4

    Kisima wewe ni mkali ila kwa gude gude hufiki

    • @Charz_massele
      @Charz_massele 4 месяца назад

      Acha kufananisha @Kisima na vitu vya hovyo hovyo!
      Go back and listen to
      1. Sundi 2. Shikome 3. Mwakata
      4. Bhazunije 5. Bhuhabhi 6. Shilatu.
      Soma tungo, sikiliza tone kisha earn the content kwenye kila wimbo.
      And who's Gude Gude???

  • @EliasNkuba
    @EliasNkuba 9 месяцев назад +2

    Mwamba unajua bhna hakuna mwngine zaidi king2 king1❤❤❤❤❤

  • @japhetsahani7121
    @japhetsahani7121 9 месяцев назад +7

    nilkuwa mshabiki wa gude gude ila Leo nmehamia kwa ##KISIMA ## je washabiki wa kisima mnanipokea vipi????????🎶🎶🎵🔇📻🔇📣🎶🎵🔈

    • @Emma562
      @Emma562 9 месяцев назад +1

      Ayayayayayà kumbe sio mwamiñífúúú weweee!!!! mh mboña gude ñaye anàimbà vizuri tuuu semà darasani bana làzima apatíkàne ze súpa àmbaye kwa sasa ni nyanda majabhala

    • @japhetsahani7121
      @japhetsahani7121 9 месяцев назад

      @@Emma562 yes

  • @massanja21
    @massanja21 9 месяцев назад +3

    Wasukuma tupewe nini huu nimda sahihi wa kuishika AFRICA 🌍 nzima na kufuta kabisa utawala uliowekwa na MAKHIRIKHIRI tuna majeshi ya kutosha team imekamilika BIG UP SANA KISIMA &MIGERA Much❤❤❤❤

  • @KHALIMATHAYO
    @KHALIMATHAYO 8 месяцев назад +2

    Kaka uko vizr sana kwa sasa no one like you in traditional songs especially Tanzania

  • @DeusMabula-k6n
    @DeusMabula-k6n 9 месяцев назад +2

    Song Kali kaka keep it na endelea kuwaelimisha Watanzania

  • @user-yr8gu2fv5j
    @user-yr8gu2fv5j 9 месяцев назад +2

    Kisima nakukubali sna kijan don't give up❤❤

  • @marcokasuka105
    @marcokasuka105 9 месяцев назад +2

    Honger father Mung akufankishe sana2 pga kaz

  • @joshualukas2123
    @joshualukas2123 8 месяцев назад +2

    Kwer watakusumbua🎉 watakapo jua ulipo zindikiwa❤❤❤❤❤❤❤

  • @poaswahilimovies99k
    @poaswahilimovies99k 9 месяцев назад +3

    Chuga iyoo majabala umevaa mhh by from tabora SIKONGE 🇹🇿

  • @Newtonwilfred-kr6np
    @Newtonwilfred-kr6np 3 месяца назад +1

    Hongera hiyo kaliii sana

  • @SaidNzumbi
    @SaidNzumbi Месяц назад +1

    Nakubali hiyo ngoma bro❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @RaysonSaimon
    @RaysonSaimon 2 месяца назад +1

    ❤❤❤Kisima salute kwako kaka

  • @safarikhamis4005
    @safarikhamis4005 8 месяцев назад +2

    Majabara Traditional culture hongera sana kaka kwa kazi. Nzr

  • @jumaselestine8498
    @jumaselestine8498 7 месяцев назад +2

    Much love from BURKINA FASO,, ONE Day I'll visit you❤ 2:08

  • @dickmanmtumbayamwanzamoja308
    @dickmanmtumbayamwanzamoja308 9 месяцев назад +3

    🔥 🔥 hatujawahi kuferi

  • @ankofabi1705
    @ankofabi1705 8 месяцев назад +1

    Kisima Nakuombea Kwa Mwenyezi Mungu Hii 2024 Iwe Ya Mafanikio Makubwa Sana Na Uzidi Kudondosha Ngoma Kali Kuliko Hata Hizi
    Kila Kukicha Ngoma Zako Zinazidi Kua Tamu Tu Dah! We Acha Tu
    Eee Mwenyezi Mungu Tusaidie

  • @MarwachachaChachamarwa-sq8cy
    @MarwachachaChachamarwa-sq8cy 7 месяцев назад +2

    Nipo dar kaka nakupongeza sana kazi nzuri🎉🎉🎉🎉

  • @ElikanaMwalongo-qd2xs
    @ElikanaMwalongo-qd2xs 5 месяцев назад +2

    Hongera kisima unaupiga mwingi Hadi huku iringa nakusikia

  • @mwelimazozo9691
    @mwelimazozo9691 9 месяцев назад +3

    Ngoma hii 🔥🔥tumeisubir kwahamu sana

  • @jessicarichard2580
    @jessicarichard2580 8 месяцев назад +2

    Best song nimefulahia sana huu wimbo majabala

  • @maduhumanyangu1544
    @maduhumanyangu1544 9 месяцев назад +2

    Hongera sana Bwana Kaka, Sanaa yako itaishi enzi na enzi.
    Wasukuma umetuwakilisha kwamba sisi ni kabila kubwa Tanzania na Africa na tunaweza Fani ya Uimbaji.

  • @saidmoctar2832
    @saidmoctar2832 6 месяцев назад +2

    Il chante bien en tout cas❤❤❤

  • @lazarodaudi1689
    @lazarodaudi1689 6 месяцев назад +2

    Nakukubali sana Kishusho Simon Majabala aka KISIMA

  • @mussamatondo-w3h
    @mussamatondo-w3h 13 дней назад +1

    Nalipenda kabila langu sana,kwenye kutafuta pesa huwa halirudi nyuma,kisima pambana ndugu leo umejulikana kila kona

  • @MihayoOscar
    @MihayoOscar 9 месяцев назад +2

    Pamojasana mtc mshabikikutoka nsungwa tabora

  • @SospeterGeorge
    @SospeterGeorge 9 месяцев назад +5

    Nyimbo zipo hivi Sasa so Kama Akina Fulani wamekuwa wakikuimba Lisa wewe unapendwa Sana na mzee wko juma kasuka

  • @malambimasele7415
    @malambimasele7415 3 месяца назад +2

    Hongera bro mungu akubariki xana kwa nyimbo zur

  • @Emma562
    @Emma562 9 месяцев назад +2

    Ndio kaka,nàelewa broo tolaga milémo ñyànda majabhala

  • @NKwigwa4Gmwanasebha
    @NKwigwa4Gmwanasebha 8 месяцев назад +2

    Kisima lini masumbwe ndani ya mjengon unakiwashag San msanii wa kwanza kufikisha watazamaji 1m we kisima umepigaje achia mawe mapya wapigwe na vi2 vizito kuna wa2 hawajui kwamba we kwa sas king of asili

  • @rogetichuo4687
    @rogetichuo4687 9 месяцев назад +3

    Seenable ❤❤❤❤more Kisima and Migera SHILATU

  • @JonathanMapolu-ec2nz
    @JonathanMapolu-ec2nz 9 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤❤❤❤ nyanda majabala

  • @HelenaBupamba
    @HelenaBupamba 7 месяцев назад +2

    Jmn umeua kweny ahuahu ahuahau❤

  • @MussasitaMasuke-tw1vg
    @MussasitaMasuke-tw1vg 9 месяцев назад +2

    Sawa kisima sulwa hapa natoka ngambasingu nakubali

  • @PaulNigo-yq5ps
    @PaulNigo-yq5ps 9 месяцев назад +19

    Nipen likes zangu wadau wa msanii wetu kisima majabala the big super star wetu wasukuma

  • @jumaselestine8498
    @jumaselestine8498 7 месяцев назад +2

    Much love from BU RKINA FASO,, ONE Day I'll visit you❤ 2:08

  • @johnmasangwa6471
    @johnmasangwa6471 9 месяцев назад +2

    Kazi nzuri bro Mungu alibariki na kazi yako

  • @lukindamangwelela4569
    @lukindamangwelela4569 8 месяцев назад +2

    Brother unyama sanaaa sema nn Nina Ngoma tuje tupig pamoja kama hautojal

  • @maliganyakanuda
    @maliganyakanuda 9 месяцев назад +2

    nilingoja sana,hatimaye

  • @SeifMziray-o8j
    @SeifMziray-o8j Месяц назад +1

    Uku dodom tunakukubali sna broo❤

  • @bundupendeleo
    @bundupendeleo 9 месяцев назад +2

    Bado hawajasema na watasema yaani mpaka waseme yaani baado mmmmmmh natamani siku moja nikuone lubanga mwamba we ndo msukuma sasa una kila sababu ya kuitwa msaniii

  • @danielstephano9723
    @danielstephano9723 7 месяцев назад +2

    @director Migera umetisha sana mtu wangu video kali sana

  • @simonisangijo4867
    @simonisangijo4867 8 месяцев назад +2

    Ukhanonhyaga no o`ng`wabhabha👍

  • @josephjoshuakubagwa
    @josephjoshuakubagwa 7 месяцев назад +1

    Ni mda wako kaka nmeaza kukufatilia tang kwenye wimbo wako wa ntemi ni ntemi uko vzur sana npo dar hapa watu wanakubar sana nyimbo zako au sku moja uje ata pale bunju utukusanye wasukuma ote

  • @emmanuelkulwa9227
    @emmanuelkulwa9227 6 месяцев назад +1

    Kisima nakubali Sana ingependeza tuonane sijui nakupata wap mm napatkana masmbwe mbogwe geita

  • @MabugaLukasi
    @MabugaLukasi 9 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤❤ Tisha sana mwamba wangu

  • @isayathebest9539
    @isayathebest9539 9 месяцев назад +4

    Nakukubali Sana kisima

  • @samwelsamwel4042
    @samwelsamwel4042 9 месяцев назад +3

    Hicho kiatu balaaa chuga hioooo baba 😂

  • @pascomagese3065
    @pascomagese3065 9 месяцев назад +1

    sana kaka umeuwa chukua maua yako 🌼🌼🌼🌸🌱🌳

  • @noelmasere1400
    @noelmasere1400 6 месяцев назад +2

    lini buchosa nakufuaitilia sana tangu ng'wana jomo gad sasa karibu uje Buchosa utoe shoo

  • @MasanjaLuhunja
    @MasanjaLuhunja 9 месяцев назад +11

    Eti ndio unakuta ng'wana Sala naye anaropoka ili tu aichafue brand ya MTC, mwisho WA cku watazidi kuchafuka wao na MTC inazd kusonga mbele , hongera sana mwamba kwanza Jana mwakitoryo no 5 umetukosha kishenzi mfalme wa asili , ki ufupi Bado sana hata wanaokuwinda ni kama vile wanawindana wao tu king,

  • @barakapiniel7846
    @barakapiniel7846 8 месяцев назад +2

    Dar es salaam tupo nawe bega kwa bega kwa kazi zako nzuri

  • @danielokoth3152
    @danielokoth3152 9 месяцев назад +2

    Congratulations kwa kazi nzuri

  • @onestartz
    @onestartz 7 месяцев назад +1

    Kisima me banw mziki wako unanivutia sana natamani kuujiwa zaidi ningependa sana nipate mawasiliano na wewe na mengi ya kujifunza Kaka.

  • @jumaedward7110
    @jumaedward7110 9 месяцев назад +3

    Nizaga hange na Shilatu😄😄😄

  • @emmanuelmanugulilo8925
    @emmanuelmanugulilo8925 8 месяцев назад +2

    Tumia lugha ya kisukuma usichanganye na maneno ya kiswahili,unapunguza ubora wa wimbo,big up

  • @KAPAGALAKAPAGALA-dl9qd
    @KAPAGALAKAPAGALA-dl9qd 8 месяцев назад +2

    Namadi chaniko amajilatu 😂😂 Keep up kisima

  • @TimotheoSengasenga
    @TimotheoSengasenga 4 месяца назад +1

    Wapi group la ngwana ng'waluuu kikosi Cha maangamizi nomaaaaaa yes nice

  • @ignacebulabulalundulaoleka
    @ignacebulabulalundulaoleka 9 месяцев назад +5

    ❤❤❤❤ ,C,EST MAGNIFIQUE COMME RYTHME.

  • @bonifacehamis4088
    @bonifacehamis4088 5 месяцев назад +2

    Kalisana hiii 🔥🔥

  • @user-zq8nf6on1x
    @user-zq8nf6on1x 9 месяцев назад +4

    My brother big up Sanaa,you a creative and innovation

  • @immabahatiimmabahati2373
    @immabahatiimmabahati2373 7 месяцев назад +2

    Kaka unatisha mpaka huku arusha ngoma zako tunazipiga sana vip bahati bugalama mbona anatowa nyimbo za mafungu mafungu shida nn

  • @masungazabron4571
    @masungazabron4571 9 месяцев назад +1

    safi sana mkuu tulianza na frola mpaka sasa mambo ni fire❤❤

  • @erastolukanya1333
    @erastolukanya1333 9 месяцев назад +4

    Karibu kasozibakaya

  • @mussa-rs8kh
    @mussa-rs8kh 2 месяца назад +1

    Nakubal kisima

  • @Renardmabimbi
    @Renardmabimbi 5 месяцев назад +3

    Bhazunije oshigile bung'wene twimbilage ngika