Leo nami naomba nikoment mara nying nimekuwa nikiaangaliaa TU video 📷 zako pasipo kukomenti,,Kwa kweli director wako anajua kushuti,jinsi unavovaa inaonnyeshaa uhalisia wa utamaduni,pia inatofautisha kati ya traditional songs na zingnee Big up kaka,am your fellow sukuma from shshiyu but now am at dar es salaam,nitahakikisha naview video zako zote Kila unapoachia,,,wabheja sana kisimaa❤❤❤❤
Nimerudi Tena kuangalia huu wimbo nikimaliza naangalia SHIKOME nikitoka hapo nasikilia BHAZUNIJE Kwa huyu mwamba kuacha kuskiliza nyimbo zake Bado hamjanishawishi GEMELAGA ULUJUGWISELA LEKANAGA NASHO ❤
Kisima majabala mie mashabiki wako hajawahi tokea Msanii wa kunikosha kama kusima kila kipindi changu cha Hali ya kisiasa Kisima Umekuwa mfariji Wangu Hongera Sana.
Kaka kisima mm siomsukuma ila ww umesababisha nimejua kisukuma iposiku napenda sana kazi yako Unakaz kama nzuki bhuhabhi shiratu inani marizia bandi hyokazi❤❤❤
Me c msukuma ila ninabahat yakua na marafiki w kisukuma bac najiuta nakuelewa sana nyimbozako zote nazifwatilia vizuri kila wakat nasikiliza mpk wanahic me ni msukuma pia kuna mdada mmoja mnene wite msalimie sana kwenye uchezajiwake hana mambo meng nawakubali sana
Ujawahi kufel mkuuu nilijua utauwaa tu maanaa tulisubili xanaa itoshe tu kusemaa hayupo,,I'm very more impressed with u man big up kazii iendelee tenaah🌷🌷🌷
Kuiga sio dhambi kikubwa maendeleo tupongezane panapofaa pia tukosoane panapo kasoro hayo ndiyo maisha ya amani na furaha namaliza kwa kusema shikamo industry ya asili (I LOVE YOU FOR ALL BEST)
Saf sana tulikuwa tunaisubria kwa hamu sana hongera sana kaka unajua sana kaka pia director wako nampa 100% maana ujumbe wa nyimbo na video zipo sana na pia asili yetu inaonekana hongera kwa hilo
Acha kufananisha @Kisima na vitu vya hovyo hovyo! Go back and listen to 1. Sundi 2. Shikome 3. Mwakata 4. Bhazunije 5. Bhuhabhi 6. Shilatu. Soma tungo, sikiliza tone kisha earn the content kwenye kila wimbo. And who's Gude Gude???
Ayayayayayà kumbe sio mwamiñífúúú weweee!!!! mh mboña gude ñaye anàimbà vizuri tuuu semà darasani bana làzima apatíkàne ze súpa àmbaye kwa sasa ni nyanda majabhala
Wasukuma tupewe nini huu nimda sahihi wa kuishika AFRICA 🌍 nzima na kufuta kabisa utawala uliowekwa na MAKHIRIKHIRI tuna majeshi ya kutosha team imekamilika BIG UP SANA KISIMA &MIGERA Much❤❤❤❤
Kisima Nakuombea Kwa Mwenyezi Mungu Hii 2024 Iwe Ya Mafanikio Makubwa Sana Na Uzidi Kudondosha Ngoma Kali Kuliko Hata Hizi Kila Kukicha Ngoma Zako Zinazidi Kua Tamu Tu Dah! We Acha Tu Eee Mwenyezi Mungu Tusaidie
Hongera sana Bwana Kaka, Sanaa yako itaishi enzi na enzi. Wasukuma umetuwakilisha kwamba sisi ni kabila kubwa Tanzania na Africa na tunaweza Fani ya Uimbaji.
Kisima lini masumbwe ndani ya mjengon unakiwashag San msanii wa kwanza kufikisha watazamaji 1m we kisima umepigaje achia mawe mapya wapigwe na vi2 vizito kuna wa2 hawajui kwamba we kwa sas king of asili
Bado hawajasema na watasema yaani mpaka waseme yaani baado mmmmmmh natamani siku moja nikuone lubanga mwamba we ndo msukuma sasa una kila sababu ya kuitwa msaniii
Ni mda wako kaka nmeaza kukufatilia tang kwenye wimbo wako wa ntemi ni ntemi uko vzur sana npo dar hapa watu wanakubar sana nyimbo zako au sku moja uje ata pale bunju utukusanye wasukuma ote
Eti ndio unakuta ng'wana Sala naye anaropoka ili tu aichafue brand ya MTC, mwisho WA cku watazidi kuchafuka wao na MTC inazd kusonga mbele , hongera sana mwamba kwanza Jana mwakitoryo no 5 umetukosha kishenzi mfalme wa asili , ki ufupi Bado sana hata wanaokuwinda ni kama vile wanawindana wao tu king,
Wasukuma kwenye soko la muziki mmekuwa,Ka makirikiri wa Botswana bhana😂😂.Ka unakubaliana na mimi hebu gonga like
Namba ya sim
nizaga hange na shilatu kalomonchocho" okwigwa Awuuuu,Awuuuuuuuuuuuu"hichi kiitikio uliweza sana, nakusikiliza kutoka 🇩🇪
😂❤ yaan Mungu mwenyezi akutetee kwa kila jambo baya wanalokuwazia😊
Amina ✅🙏🙏🙏🙏🙏
Pround of my culture SUKUMA proud of my country Tanzania 🇹🇿 proud of Africa…. Kutoka Nebraska 🇺🇸…. Bhagesi kisima tulaga mbina bhabha
Wew msanii wangu pemdwa wa kisukuma,alaf unajua kupangilia mistar saf San 🤜🤛
Hakika wewe ni first artist traditional in Tanzania
Ninakuona kisima ngoma nzuri sana
Hogera kisima wimbo mzurii
Leo nami naomba nikoment mara nying nimekuwa nikiaangaliaa TU video 📷 zako pasipo kukomenti,,Kwa kweli director wako anajua kushuti,jinsi unavovaa inaonnyeshaa uhalisia wa utamaduni,pia inatofautisha kati ya traditional songs na zingnee Big up kaka,am your fellow sukuma from shshiyu but now am at dar es salaam,nitahakikisha naview video zako zote Kila unapoachia,,,wabheja sana kisimaa❤❤❤❤
Hatujawah kufeli na hatutegemei kufeli hii video nilikuwa naisubiri kwa hamu sana salute kwako
Kisima nakupata ❤❤❤ sana sana huku iriga pia wahehe wamekukubali brother kaz nzuri
Hii ndo asili sasa achana na wengne muda wowote kukuimba wew
💪 congratulatons br kisima your more Lengend in Sukuma land 🔥
Natamani sana hii video ifikishe views nyingi kuliko Nzuki maana hii ni moto zaidi ya Nzuki 🐝
ivi nyimbo za asili wanalipwaa kweli youtube????
Upo vizuri kisima chapa kazi lakini kati ya nyimbo amboy naikubari """NZUKII"""""
Nahiii ndo video niliyo isubili kwahamu mwaka huu KAZI nzuri yenye ujumbe mzur sana hongera sana msanii wangu kisima pg kaz kaka❤❤❤❤❤❤💯💯💯
Great sukuma singer ....lyembo lya wiza ! Hongera
Wewe ni msanii namba 1 wa Kisukuma kwa sasa. PONGEZI KWAKE DIRECTOR
Nimerudi Tena kuangalia huu wimbo nikimaliza naangalia SHIKOME nikitoka hapo nasikilia BHAZUNIJE Kwa huyu mwamba kuacha kuskiliza nyimbo zake Bado hamjanishawishi GEMELAGA ULUJUGWISELA LEKANAGA NASHO ❤
Nakubal sana mwanguuuuu,,,twazunijeee😂
Kisima majabala mie mashabiki wako hajawahi tokea Msanii wa kunikosha kama kusima kila kipindi changu cha Hali ya kisiasa Kisima Umekuwa mfariji Wangu Hongera Sana.
Kaka kisima mm siomsukuma ila ww umesababisha nimejua kisukuma iposiku napenda sana kazi yako Unakaz kama nzuki bhuhabhi shiratu inani marizia bandi hyokazi❤❤❤
Me c msukuma ila ninabahat yakua na marafiki w kisukuma bac najiuta nakuelewa sana nyimbozako zote nazifwatilia vizuri kila wakat nasikiliza mpk wanahic me ni msukuma pia kuna mdada mmoja mnene wite msalimie sana kwenye uchezajiwake hana mambo meng nawakubali sana
Hii Kali sana kisima skutegemea❤❤
Ujawahi kufel mkuuu nilijua utauwaa tu maanaa tulisubili xanaa itoshe tu kusemaa hayupo,,I'm very more impressed with u man big up kazii iendelee tenaah🌷🌷🌷
Kuiga sio dhambi kikubwa maendeleo tupongezane panapofaa pia tukosoane panapo kasoro hayo ndiyo maisha ya amani na furaha namaliza kwa kusema shikamo industry ya asili (I LOVE YOU FOR ALL BEST)
Najifunza mengi sana kutoka kwako MTC KISIMA NYANDA MAJABALA
Wimbo wangu pendwa💃❤
Nakukubali sana tu tangu nianze kuzielewa tungo zako 🔥 🔥 🔥
Extraordinary talented 🔥🔥🔥
Saf sana tulikuwa tunaisubria kwa hamu sana
hongera sana kaka unajua sana kaka pia director wako nampa 100% maana ujumbe wa nyimbo na video zipo sana na pia asili yetu inaonekana hongera kwa hilo
Kaka mungu akuogezee kazi nzr unafanya
This is kisima the greatest singer in sukuma tribe
Bro fany na nyimbo inayo husu jna lako hilo itafay vzr sana hnger xan my bro
Hongera sana kijana! Kipaji chako kimekuheshimisha sana mungu akubariki
Kisima wewe ni mkali ila kwa gude gude hufiki
Acha kufananisha @Kisima na vitu vya hovyo hovyo!
Go back and listen to
1. Sundi 2. Shikome 3. Mwakata
4. Bhazunije 5. Bhuhabhi 6. Shilatu.
Soma tungo, sikiliza tone kisha earn the content kwenye kila wimbo.
And who's Gude Gude???
Mwamba unajua bhna hakuna mwngine zaidi king2 king1❤❤❤❤❤
nilkuwa mshabiki wa gude gude ila Leo nmehamia kwa ##KISIMA ## je washabiki wa kisima mnanipokea vipi????????🎶🎶🎵🔇📻🔇📣🎶🎵🔈
Ayayayayayà kumbe sio mwamiñífúúú weweee!!!! mh mboña gude ñaye anàimbà vizuri tuuu semà darasani bana làzima apatíkàne ze súpa àmbaye kwa sasa ni nyanda majabhala
@@Emma562 yes
Wasukuma tupewe nini huu nimda sahihi wa kuishika AFRICA 🌍 nzima na kufuta kabisa utawala uliowekwa na MAKHIRIKHIRI tuna majeshi ya kutosha team imekamilika BIG UP SANA KISIMA &MIGERA Much❤❤❤❤
Thank you🌹
Kaka uko vizr sana kwa sasa no one like you in traditional songs especially Tanzania
Song Kali kaka keep it na endelea kuwaelimisha Watanzania
Kisima nakukubali sna kijan don't give up❤❤
Honger father Mung akufankishe sana2 pga kaz
Kwer watakusumbua🎉 watakapo jua ulipo zindikiwa❤❤❤❤❤❤❤
Chuga iyoo majabala umevaa mhh by from tabora SIKONGE 🇹🇿
Hongera hiyo kaliii sana
Nakubali hiyo ngoma bro❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤Kisima salute kwako kaka
Majabara Traditional culture hongera sana kaka kwa kazi. Nzr
Much love from BURKINA FASO,, ONE Day I'll visit you❤ 2:08
🔥 🔥 hatujawahi kuferi
Kisima Nakuombea Kwa Mwenyezi Mungu Hii 2024 Iwe Ya Mafanikio Makubwa Sana Na Uzidi Kudondosha Ngoma Kali Kuliko Hata Hizi
Kila Kukicha Ngoma Zako Zinazidi Kua Tamu Tu Dah! We Acha Tu
Eee Mwenyezi Mungu Tusaidie
Jah bless
Nipo dar kaka nakupongeza sana kazi nzuri🎉🎉🎉🎉
Hongera kisima unaupiga mwingi Hadi huku iringa nakusikia
Ngoma hii 🔥🔥tumeisubir kwahamu sana
Best song nimefulahia sana huu wimbo majabala
Hongera sana Bwana Kaka, Sanaa yako itaishi enzi na enzi.
Wasukuma umetuwakilisha kwamba sisi ni kabila kubwa Tanzania na Africa na tunaweza Fani ya Uimbaji.
Il chante bien en tout cas❤❤❤
Nakukubali sana Kishusho Simon Majabala aka KISIMA
Nalipenda kabila langu sana,kwenye kutafuta pesa huwa halirudi nyuma,kisima pambana ndugu leo umejulikana kila kona
Pamojasana mtc mshabikikutoka nsungwa tabora
Nyimbo zipo hivi Sasa so Kama Akina Fulani wamekuwa wakikuimba Lisa wewe unapendwa Sana na mzee wko juma kasuka
Hongera bro mungu akubariki xana kwa nyimbo zur
Ndio kaka,nàelewa broo tolaga milémo ñyànda majabhala
Kisima lini masumbwe ndani ya mjengon unakiwashag San msanii wa kwanza kufikisha watazamaji 1m we kisima umepigaje achia mawe mapya wapigwe na vi2 vizito kuna wa2 hawajui kwamba we kwa sas king of asili
Seenable ❤❤❤❤more Kisima and Migera SHILATU
❤❤❤❤❤❤❤ nyanda majabala
Jmn umeua kweny ahuahu ahuahau❤
Sawa kisima sulwa hapa natoka ngambasingu nakubali
Nipen likes zangu wadau wa msanii wetu kisima majabala the big super star wetu wasukuma
Much love from BU RKINA FASO,, ONE Day I'll visit you❤ 2:08
Welcome
Kazi nzuri bro Mungu alibariki na kazi yako
Brother unyama sanaaa sema nn Nina Ngoma tuje tupig pamoja kama hautojal
nilingoja sana,hatimaye
Uku dodom tunakukubali sna broo❤
Bado hawajasema na watasema yaani mpaka waseme yaani baado mmmmmmh natamani siku moja nikuone lubanga mwamba we ndo msukuma sasa una kila sababu ya kuitwa msaniii
@director Migera umetisha sana mtu wangu video kali sana
Ukhanonhyaga no o`ng`wabhabha👍
Ni mda wako kaka nmeaza kukufatilia tang kwenye wimbo wako wa ntemi ni ntemi uko vzur sana npo dar hapa watu wanakubar sana nyimbo zako au sku moja uje ata pale bunju utukusanye wasukuma ote
Kisima nakubali Sana ingependeza tuonane sijui nakupata wap mm napatkana masmbwe mbogwe geita
❤❤❤❤❤ Tisha sana mwamba wangu
Nakukubali Sana kisima
Hicho kiatu balaaa chuga hioooo baba 😂
sana kaka umeuwa chukua maua yako 🌼🌼🌼🌸🌱🌳
lini buchosa nakufuaitilia sana tangu ng'wana jomo gad sasa karibu uje Buchosa utoe shoo
Eti ndio unakuta ng'wana Sala naye anaropoka ili tu aichafue brand ya MTC, mwisho WA cku watazidi kuchafuka wao na MTC inazd kusonga mbele , hongera sana mwamba kwanza Jana mwakitoryo no 5 umetukosha kishenzi mfalme wa asili , ki ufupi Bado sana hata wanaokuwinda ni kama vile wanawindana wao tu king,
Na wewe usijipendekeze kwakisima
Dar es salaam tupo nawe bega kwa bega kwa kazi zako nzuri
Congratulations kwa kazi nzuri
Kisima me banw mziki wako unanivutia sana natamani kuujiwa zaidi ningependa sana nipate mawasiliano na wewe na mengi ya kujifunza Kaka.
Nizaga hange na Shilatu😄😄😄
Tumia lugha ya kisukuma usichanganye na maneno ya kiswahili,unapunguza ubora wa wimbo,big up
Nenda na wakati
Namadi chaniko amajilatu 😂😂 Keep up kisima
Wapi group la ngwana ng'waluuu kikosi Cha maangamizi nomaaaaaa yes nice
❤❤❤❤ ,C,EST MAGNIFIQUE COMME RYTHME.
Kalisana hiii 🔥🔥
My brother big up Sanaa,you a creative and innovation
Kaka unatisha mpaka huku arusha ngoma zako tunazipiga sana vip bahati bugalama mbona anatowa nyimbo za mafungu mafungu shida nn
safi sana mkuu tulianza na frola mpaka sasa mambo ni fire❤❤
Karibu kasozibakaya
Nakubal kisima
Bhazunije oshigile bung'wene twimbilage ngika