LEMA AFUNGUKA MAZITO BAADA YA HOTUBA YA RAIS KWENYE MIAKA 60 YA POLISI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 11

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn 39 минут назад

    Mi ni ccm lakn lema umeongea point sana mungu akubariki

  • @Chekibobu
    @Chekibobu 38 минут назад +2

    CCM ni mashetani

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 Час назад

    SAHIHI KABISA GODBLESS LEMA.

  • @VitusNdaruhekeye
    @VitusNdaruhekeye 4 минуты назад

    Eee Mungu iangalie nchi hii. Inahitaji hekima Yako.

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy5107 54 минуты назад

    Umeongea Fact Kabisa..

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 16 минут назад

    Masikini mama Tz ! !
    Hii ni, uchungu, huruma na huzuni.

  • @JohnBosco-d3g
    @JohnBosco-d3g 9 минут назад

    Maneno mazuri na Yana hisia lakini je?
    Maneno ya wanasiasa ni ya kweli? Hawa Leo wanasema hili kesho wanageuka Neno Hilo Hilo.
    Sasa SAMIA na LEMA wote ni wanasiasa!!!

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 14 минут назад

    Afadhali umejibu. Mie huyo unayemuita rais huwa namuita rahis. Hana cha kupoteza kwa sababu urahis aliupata kirahisi baada ya kufa kirahisi Magufuli baada ya kuharibu sifa ya urais na kuufanya uungu kirahis rahisi hivi. Kwani nchi hii ni mali yake binafasi. Usihofu kurudishwa Saskatchewan. Unakumbuka simu niliyokupigia toka Manitoba wakati ukijiandaa kurejea huko? Hata sisi hatujakimbia njaa. Tuna mali huko. Ila kwa ujinga wa kuabudiana, kwanini kujihangaisha kuishi kwenye nchi ya kibabaishaji. Wakati mwingine mjilaumu kwa ujinga wa kudhani kuwa hakuna maisha sehemu nyingine. We bado mdogo. Tafuta nchi zenye heshima na uhakika wa maisha Afrika umalizie maisha yako. Unadhani sisi ni wajinga? Huyo wenu, kama alivyosema Tundu Lissu, huyo ni Magu wa kike.

  • @khadi-z4o
    @khadi-z4o 45 минут назад

    ALISEMA "MAHULUKUTABU" PIYA😅

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha 7 минут назад

      Unaongelea huyu mahlukutaabu anayewaita wenzie mahlukutaabu!