Maneno mazuri na Yana hisia lakini je? Maneno ya wanasiasa ni ya kweli? Hawa Leo wanasema hili kesho wanageuka Neno Hilo Hilo. Sasa SAMIA na LEMA wote ni wanasiasa!!!
Afadhali umejibu. Mie huyo unayemuita rais huwa namuita rahis. Hana cha kupoteza kwa sababu urahis aliupata kirahisi baada ya kufa kirahisi Magufuli baada ya kuharibu sifa ya urais na kuufanya uungu kirahis rahisi hivi. Kwani nchi hii ni mali yake binafasi. Usihofu kurudishwa Saskatchewan. Unakumbuka simu niliyokupigia toka Manitoba wakati ukijiandaa kurejea huko? Hata sisi hatujakimbia njaa. Tuna mali huko. Ila kwa ujinga wa kuabudiana, kwanini kujihangaisha kuishi kwenye nchi ya kibabaishaji. Wakati mwingine mjilaumu kwa ujinga wa kudhani kuwa hakuna maisha sehemu nyingine. We bado mdogo. Tafuta nchi zenye heshima na uhakika wa maisha Afrika umalizie maisha yako. Unadhani sisi ni wajinga? Huyo wenu, kama alivyosema Tundu Lissu, huyo ni Magu wa kike.
Mi ni ccm lakn lema umeongea point sana mungu akubariki
CCM ni mashetani
SAHIHI KABISA GODBLESS LEMA.
Eee Mungu iangalie nchi hii. Inahitaji hekima Yako.
Umeongea Fact Kabisa..
Masikini mama Tz ! !
Hii ni, uchungu, huruma na huzuni.
Maneno mazuri na Yana hisia lakini je?
Maneno ya wanasiasa ni ya kweli? Hawa Leo wanasema hili kesho wanageuka Neno Hilo Hilo.
Sasa SAMIA na LEMA wote ni wanasiasa!!!
Afadhali umejibu. Mie huyo unayemuita rais huwa namuita rahis. Hana cha kupoteza kwa sababu urahis aliupata kirahisi baada ya kufa kirahisi Magufuli baada ya kuharibu sifa ya urais na kuufanya uungu kirahis rahisi hivi. Kwani nchi hii ni mali yake binafasi. Usihofu kurudishwa Saskatchewan. Unakumbuka simu niliyokupigia toka Manitoba wakati ukijiandaa kurejea huko? Hata sisi hatujakimbia njaa. Tuna mali huko. Ila kwa ujinga wa kuabudiana, kwanini kujihangaisha kuishi kwenye nchi ya kibabaishaji. Wakati mwingine mjilaumu kwa ujinga wa kudhani kuwa hakuna maisha sehemu nyingine. We bado mdogo. Tafuta nchi zenye heshima na uhakika wa maisha Afrika umalizie maisha yako. Unadhani sisi ni wajinga? Huyo wenu, kama alivyosema Tundu Lissu, huyo ni Magu wa kike.
ALISEMA "MAHULUKUTABU" PIYA😅
Unaongelea huyu mahlukutaabu anayewaita wenzie mahlukutaabu!