Pole sana mh.shida makonda alilianzisha mwenyewe so linywe baba duniani kote huwezi ona wanatangaza wauza na watumiaji madawa hadharani hata siku moja unless akutwe na madawa hapo ndipo atatangazwa so nadhani alikuwa anataka sifa kuonyesha yeye anafanya kazi,so this is bad for him
Pole xana mwexhimiwa maixha ya umungu lazma ujalibiwe katika nyanja zote hvyo simama katika bwana pekee na yey atakuvuxha ktk milima na mabonde mana anakuzidixhia baraka zaidi katka utendaji kazi wako
Wow pole sana pastor ukiokoka unakutana na mengi kweli I can believe how police come to someone house and search like this njoo maana wasungu wanaendelea kabisa. pole pastor
MTUMISHI wa mungu Bwana YESU apewe sifa, kama wewe ni mtumishi wa taasisi ulionayo muombe sana MUNGU akupe neema hayo yote uliotendewa achilia mwache MUNGU atende kazi. maneno yote hayo kwa nini usiwaachie wanasiasa? wewe uligombea jimbo gani? ya MUNGU mpe MUNGU ya kaisari mpe kaisari......ameeeen!!!!
Kweli ma'ana.raisi.akisikia kitu kibaya lazima adhibitishe.likiwemo.jeshi la polisi.gwajima nakupendaga sana ila makonda.msamehe baba askofu msamehe.mwachilie chamoto amekiona kuna watu.wanatumia.dini kufanya uovu wasio.na.macho.wanafikili na.wakina gwajima
tunaelekea wapi Tanzania,zama izi nizakutajwa au kusingiziwa na viongozi wetu wa serikari? Na anayetaja anatetewa nakulindwa tuseme na serikari,huu ndio utawala waaina ipi.Ningefurahia sana ninyi watu waTBC mumtafute Makonda na kumwoji aseme kwanini anachafua majina ya wananchi wake.Pia Mbona Raisi wetu aonekani au hasemi neno kuusiana nawananchi wake waliomweka madarakani wananyanyaswa na kusingiziwa na watendaji wake wa kazi.
kama kweli wa KIONGOZI WA kiroho umesamehe, mbona unaendelea kumsiliba Makonda? Pengo ulipomkashfu alitamka maneno ya kusamehe tu na akakaa kimya. WHY NOT YOU?
🤦♀️😀🇹🇿💪KTK SABABU HIZI BAD EXPERIENCE 🇹🇿NILIPOFIKA AMERICAN NIKAKIFUNZA KUWA HODARI MAKINI KWA KUNAKILI CONFÉRENCE! S. WHATEVER KEEPS NAKARA MAANDISHI,IMAGES PHOTO S ,CAMERA,📲☎️📷📼📸📹!!HATA NIKIFIKA MAHAKAMANI IF NOT NECESSARY TO HAVE ADVOCAT,GOD ONLY STAND BY ME WITH MY PROUVES!!JUU HATA ADVOCAT ANAWEZA AKA KU DEFANDE VIBAYA KUTO KUWEKA VIZURI DEFFENCE YA VIFUNGU NUMBERS OOPT:257 SHERIA !!
acha maneno weka ukweli coz unaongea tu lkn hufuatiliii jinsi jamiii inavyo athrika na madawa ya kulevya?tena ilibidi wangechapa hata vipeperushi wakabandika barabaran
Hamna kitabu wa gazeti kwan ww nani Yussuf Manji na wengine kwan ww nani c uliitwa tu tuacheni bhana km huna tuhuma c basi makunda yy mwenye yeye kapewa tu majina kwakua yeye ndie alotaja !!!!!
🤦♀️😀🇹🇿💪!YOU CAN GET HORSES READY FOR BATTLE ,BUT ITS THE ‘’ LORD ‘’ WHO GIVES ‘’ VICTORY (💪.LET THE TRUTH MADE FREE EVERYONE!!HII MAMBO YA KUTANA AU KUSINGIZIA ICHI ZA MAREKANI!AMERICA .CANADA HAYAWATAKI !!HUWEZI KUSIMAMA MAHAMANI ETI !! WEWE ULIYEMTAJA MTU UKIFIKA MAHAKAMANI!!WEWE ULIOTAJA NDIO UNAFUNGWA JELA!!KWERI WAKATI NIKIWA!!🇹🇿KAMA ICHI YANGU!!NIMEKUWA NIKIONA WATU WANAKAMATWA KWA KUTAJWA!!HATA KUPIGWA NA JESHI LA SUNGUSUNGU MPAKA KUFARIKI!!HII SYSTÈME ITOKE!!MBO YA KUTAJANA UNA GEUSS!!!MTU!!🇹🇿🛑🤚!! AMERICA CANADA ,MAREKANI UNATAKIWA UWE NA PROUVE ,KAMA REGSTRATION 📹📷📸☎️📲📼!!📝!!HIVI NDIVYO VISIBITISHO VINATAKIWA KABLA YA KUTAJA JINA LA MTU!!LASIVYO UKIMTAJA MTU BILA PROUVE!!OBJECTS UTIWE JERA!!YAANI KTK VITU VYA SYSTÈME YETU NINAYO HATE!!HIZI GEUSS!!VICTIMES!!🛑🤚HUWA NATIAGOOD JOSK 🤦♀️😆😆😆😆!!BUT WHICH !! I WAS WISHING!!NINGEKUWA WAZIRI!!NINGEKUWA NAFUNGA WATU!!⚖️🔨!!AT LEAST 50 PEOPLE PER WEEK!!🤦♀️😆😆😆.. YAANI UKINILETEA KESI KAMA HIZI ETI UDOKEZI KAMA HUNA PROUVES LIKE 📸📹📄📷📼📝)PHOTOS IMAGES)!!NINAKUTIA JELA WEWE MTAJA MAJINA!!📖☝️PROVERBS 20:12’’ THE LORD HAS GIVEN US EYES 👀 TO SEE WITH AND EARS 👂 TO LISTEN WITH,,📖☝️!!.REAL HUU MCHEZO UKOMESHWE KWA KUONESHA PROUVES KABLA YA KUTAJA MTU!!/WATUKWA UHALIFU!🛑🤚
Kisasi ni juu ya Bwana....Mungu wa majeshi ashughulike naye.......
Pole sana mh.shida makonda alilianzisha mwenyewe so linywe baba duniani kote huwezi ona wanatangaza wauza na watumiaji madawa hadharani hata siku moja unless akutwe na madawa hapo ndipo atatangazwa so nadhani alikuwa anataka sifa kuonyesha yeye anafanya kazi,so this is bad for him
temptations pastor pole sana Vyema unajuwa neno don't giveup
Pole xana mwexhimiwa maixha ya umungu lazma ujalibiwe katika nyanja zote hvyo simama katika bwana pekee na yey atakuvuxha ktk milima na mabonde mana anakuzidixhia baraka zaidi katka utendaji kazi wako
marco mgwesa amen
pole Baba, mungu wa ibrahimu na Isaka awe pamoja nawe
Wow pole sana pastor ukiokoka unakutana na mengi kweli I can believe how police come to someone house and search like this njoo maana wasungu wanaendelea kabisa. pole pastor
Raymond Lucas
Mashaallah mungu akubariki zaidi.
Duuu pole Sana kuonewa ata sisi tumeonewa Sana tunalia ooooh mungu tuokoe na hii janga la mateso ya mama huyu samia
Pole sana Baba mchungaji mungu atakulipa
pole mch Ngwajima
MTUMISHI wa mungu Bwana YESU apewe sifa, kama wewe ni mtumishi wa taasisi ulionayo muombe sana MUNGU akupe neema hayo yote uliotendewa achilia mwache MUNGU atende kazi. maneno yote hayo kwa nini usiwaachie wanasiasa? wewe uligombea jimbo gani? ya MUNGU mpe MUNGU ya kaisari mpe kaisari......ameeeen!!!!
Vincent Joseph empty brain
Mr.GWAJIMA vita vya mtakatifu si vya Damu na nyama ,vita vyetu ni vya roho
Pole sana Mtumishi wa Mungu
Mungu ni Mkuu. Anawajua walio wake waliokuprovoke Mungu atasema Nao kwa haki
Kweli ma'ana.raisi.akisikia kitu kibaya lazima adhibitishe.likiwemo.jeshi la polisi.gwajima nakupendaga sana ila makonda.msamehe baba askofu msamehe.mwachilie chamoto amekiona kuna watu.wanatumia.dini kufanya uovu wasio.na.macho.wanafikili na.wakina gwajima
Cha Muhimu we funga Siku Saba Mungu mwenyewe atajibu maombi. Na kudhihirisha mchana
Mungu atalipa tu
Pole sana
Mwenyezi mungu yupo
Pole sana,maneno ya busara sana
Watu tusifanye kazi kwa kuonekana kwa watu,sifa huua
#Bampa to bampa....Aluta continuaaaaaaaaaaaaaa
safi sana
Apa makonda aliweza
Mmh jamani mtihani
!!
samehee. mtazame kristo
jmn kwan mung ana watumish ee
okey bishop
tumekuelewa mchungaji
Makonda alikuwa ajui alichokuwa anakifanya
Wew mnafiki
Nileteeni gwajima
tunaelekea wapi Tanzania,zama izi nizakutajwa au kusingiziwa na viongozi wetu wa serikari? Na anayetaja anatetewa nakulindwa tuseme na serikari,huu ndio utawala waaina ipi.Ningefurahia sana ninyi watu waTBC mumtafute Makonda na kumwoji aseme kwanini anachafua majina ya wananchi wake.Pia Mbona Raisi wetu aonekani au hasemi neno kuusiana nawananchi wake waliomweka madarakani wananyanyaswa na kusingiziwa na watendaji wake wa kazi.
uko sahihi mchungaji
wanafiki wakubwa nyinyi iko siku mungu atawaubua twajua wazi dunia hamtaki mkweli makonda mkweli
hata yesu alikokotwa ila mwisho wataaibika wao
kama kweli wa KIONGOZI WA kiroho umesamehe, mbona unaendelea kumsiliba Makonda? Pengo ulipomkashfu alitamka maneno ya kusamehe tu na akakaa kimya. WHY NOT YOU?
Tupo wapi leo Pengo??? Yupo wapi Makonda mwenyewe???? Asili inalipa....
HAKIKA UMEKUWA WAZI ASKOFU
vyeti ooooooooo mkweri sasa
unamlaumu makonda bure tuu yy kahoji watu wakataja nayy hajataja kwautashi wake kaelezwa ndomana ukaitwa kwenye mahojiano
Wewe zuzu kweli kweli
pole
🤦♀️😀🇹🇿💪KTK SABABU HIZI BAD EXPERIENCE 🇹🇿NILIPOFIKA AMERICAN NIKAKIFUNZA KUWA HODARI MAKINI KWA KUNAKILI CONFÉRENCE! S. WHATEVER KEEPS NAKARA MAANDISHI,IMAGES PHOTO S ,CAMERA,📲☎️📷📼📸📹!!HATA NIKIFIKA MAHAKAMANI IF NOT NECESSARY TO HAVE ADVOCAT,GOD ONLY STAND BY ME WITH MY PROUVES!!JUU HATA ADVOCAT ANAWEZA AKA KU DEFANDE VIBAYA KUTO KUWEKA VIZURI DEFFENCE YA VIFUNGU NUMBERS OOPT:257 SHERIA !!
naomba namba ya Askofu Gwajima,ninashida nae, nitumiwe kupitia
0754930408
0655130408
mpolomsafiri@gmail.com
acha maneno weka ukweli coz unaongea tu lkn hufuatiliii jinsi jamiii inavyo athrika na madawa ya kulevya?tena ilibidi wangechapa hata vipeperushi wakabandika barabaran
Ukweli ni upi unaoujua wewe?
Philipo Cosmad hujielewi wewe......wala hujitambui
Hamna kitabu wa gazeti kwan ww nani Yussuf Manji na wengine kwan ww nani c uliitwa tu tuacheni bhana km huna tuhuma c basi makunda yy mwenye yeye kapewa tu majina kwakua yeye ndie alotaja !!!!!
sasa kumbe yote hayo yalipita na ukachiwa kufanya shuhuli zako mambo yameisha mbona bado unamuongelea mwenzio kwa kejeli na madharau juu ya majukwaa
Unamwambia nani sasa unamwambia nani
Hellow.
🤦♀️😀🇹🇿💪!YOU CAN GET HORSES READY FOR BATTLE ,BUT ITS THE ‘’ LORD ‘’ WHO GIVES ‘’ VICTORY (💪.LET THE TRUTH MADE FREE EVERYONE!!HII MAMBO YA KUTANA AU KUSINGIZIA ICHI ZA MAREKANI!AMERICA .CANADA HAYAWATAKI !!HUWEZI KUSIMAMA MAHAMANI ETI !! WEWE ULIYEMTAJA MTU UKIFIKA MAHAKAMANI!!WEWE ULIOTAJA NDIO UNAFUNGWA JELA!!KWERI WAKATI NIKIWA!!🇹🇿KAMA ICHI YANGU!!NIMEKUWA NIKIONA WATU WANAKAMATWA KWA KUTAJWA!!HATA KUPIGWA NA JESHI LA SUNGUSUNGU MPAKA KUFARIKI!!HII SYSTÈME ITOKE!!MBO YA KUTAJANA UNA GEUSS!!!MTU!!🇹🇿🛑🤚!! AMERICA CANADA ,MAREKANI UNATAKIWA UWE NA PROUVE ,KAMA REGSTRATION 📹📷📸☎️📲📼!!📝!!HIVI NDIVYO VISIBITISHO VINATAKIWA KABLA YA KUTAJA JINA LA MTU!!LASIVYO UKIMTAJA MTU BILA PROUVE!!OBJECTS UTIWE JERA!!YAANI KTK VITU VYA SYSTÈME YETU NINAYO HATE!!HIZI GEUSS!!VICTIMES!!🛑🤚HUWA NATIAGOOD JOSK 🤦♀️😆😆😆😆!!BUT WHICH !! I WAS WISHING!!NINGEKUWA WAZIRI!!NINGEKUWA NAFUNGA WATU!!⚖️🔨!!AT LEAST 50 PEOPLE PER WEEK!!🤦♀️😆😆😆.. YAANI UKINILETEA KESI KAMA HIZI ETI UDOKEZI KAMA HUNA PROUVES LIKE 📸📹📄📷📼📝)PHOTOS IMAGES)!!NINAKUTIA JELA WEWE MTAJA MAJINA!!📖☝️PROVERBS 20:12’’ THE LORD HAS GIVEN US EYES 👀 TO SEE WITH AND EARS 👂 TO LISTEN WITH,,📖☝️!!.REAL HUU MCHEZO UKOMESHWE KWA KUONESHA PROUVES KABLA YA KUTAJA MTU!!/WATUKWA UHALIFU!🛑🤚