MAHOJIANO YA ASKOFU GWAJIMA NA TBC KUHUSU TUHUMA ZA MAKONDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 фев 2017

Комментарии • 61

  • @sophiamrutu8516
    @sophiamrutu8516 7 лет назад +1

    Kisasi ni juu ya Bwana....Mungu wa majeshi ashughulike naye.......

  • @masakivlogs
    @masakivlogs 7 лет назад +4

    Pole sana mh.shida makonda alilianzisha mwenyewe so linywe baba duniani kote huwezi ona wanatangaza wauza na watumiaji madawa hadharani hata siku moja unless akutwe na madawa hapo ndipo atatangazwa so nadhani alikuwa anataka sifa kuonyesha yeye anafanya kazi,so this is bad for him

  • @magmag4648
    @magmag4648 7 лет назад

    temptations pastor pole sana Vyema unajuwa neno don't giveup

  • @marcomgwesa7156
    @marcomgwesa7156 7 лет назад

    Pole xana mwexhimiwa maixha ya umungu lazma ujalibiwe katika nyanja zote hvyo simama katika bwana pekee na yey atakuvuxha ktk milima na mabonde mana anakuzidixhia baraka zaidi katka utendaji kazi wako

  • @yonamwaisaka8596
    @yonamwaisaka8596 7 лет назад

    pole Baba, mungu wa ibrahimu na Isaka awe pamoja nawe

  • @reginarhina5812
    @reginarhina5812 7 лет назад

    Wow pole sana pastor ukiokoka unakutana na mengi kweli I can believe how police come to someone house and search like this njoo maana wasungu wanaendelea kabisa. pole pastor

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e 6 лет назад

    Mashaallah mungu akubariki zaidi.

  • @elizalameck7943
    @elizalameck7943 2 года назад

    Duuu pole Sana kuonewa ata sisi tumeonewa Sana tunalia ooooh mungu tuokoe na hii janga la mateso ya mama huyu samia

  • @twilumbakabelege2201
    @twilumbakabelege2201 7 лет назад

    Pole sana Baba mchungaji mungu atakulipa

  • @jamilapatrick1135
    @jamilapatrick1135 7 лет назад +1

    pole mch Ngwajima

  • @vincentjoseph7768
    @vincentjoseph7768 7 лет назад +1

    MTUMISHI wa mungu Bwana YESU apewe sifa, kama wewe ni mtumishi wa taasisi ulionayo muombe sana MUNGU akupe neema hayo yote uliotendewa achilia mwache MUNGU atende kazi. maneno yote hayo kwa nini usiwaachie wanasiasa? wewe uligombea jimbo gani? ya MUNGU mpe MUNGU ya kaisari mpe kaisari......ameeeen!!!!

    • @edward83113
      @edward83113 7 лет назад

      Vincent Joseph empty brain

  • @moviewtanzania8821
    @moviewtanzania8821 7 лет назад +2

    Mr.GWAJIMA vita vya mtakatifu si vya Damu na nyama ,vita vyetu ni vya roho

  • @doreenmalesi6039
    @doreenmalesi6039 7 лет назад

    Pole sana Mtumishi wa Mungu

  • @chetichiwamba2020
    @chetichiwamba2020 7 лет назад

    Mungu ni Mkuu. Anawajua walio wake waliokuprovoke Mungu atasema Nao kwa haki

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 6 месяцев назад

    Kweli ma'ana.raisi.akisikia kitu kibaya lazima adhibitishe.likiwemo.jeshi la polisi.gwajima nakupendaga sana ila makonda.msamehe baba askofu msamehe.mwachilie chamoto amekiona kuna watu.wanatumia.dini kufanya uovu wasio.na.macho.wanafikili na.wakina gwajima

  • @moviewtanzania8821
    @moviewtanzania8821 7 лет назад

    Cha Muhimu we funga Siku Saba Mungu mwenyewe atajibu maombi. Na kudhihirisha mchana

  • @rebekakyando4271
    @rebekakyando4271 7 лет назад +2

    Mungu atalipa tu

  • @alphanossgibson9978
    @alphanossgibson9978 7 лет назад

    Pole sana

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 6 лет назад

    Mwenyezi mungu yupo

  • @carendaniel6117
    @carendaniel6117 7 лет назад

    Pole sana,maneno ya busara sana

  • @hisexcellencyhon.dandabeni84
    @hisexcellencyhon.dandabeni84 7 лет назад +1

    Watu tusifanye kazi kwa kuonekana kwa watu,sifa huua

  • @josephatmapunda537
    @josephatmapunda537 7 лет назад

    #Bampa to bampa....Aluta continuaaaaaaaaaaaaaa

  • @peterherman4279
    @peterherman4279 7 лет назад

    safi sana

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 3 месяца назад

    Apa makonda aliweza

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 7 лет назад

    Mmh jamani mtihani
    !!

  • @tumainitemu1521
    @tumainitemu1521 7 лет назад

    samehee. mtazame kristo

  • @user-de7nf8pp3w
    @user-de7nf8pp3w 7 лет назад

    jmn kwan mung ana watumish ee

  • @ufufuonauzimakenya913
    @ufufuonauzimakenya913 7 лет назад

    okey bishop

  • @innobugobola1694
    @innobugobola1694 3 года назад

    Makonda alikuwa ajui alichokuwa anakifanya

  • @johnmatole1911
    @johnmatole1911 3 года назад

    Wew mnafiki

  • @ozybizness3914
    @ozybizness3914 2 года назад

    Nileteeni gwajima

  • @babujuve1464
    @babujuve1464 7 лет назад

    tunaelekea wapi Tanzania,zama izi nizakutajwa au kusingiziwa na viongozi wetu wa serikari? Na anayetaja anatetewa nakulindwa tuseme na serikari,huu ndio utawala waaina ipi.Ningefurahia sana ninyi watu waTBC mumtafute Makonda na kumwoji aseme kwanini anachafua majina ya wananchi wake.Pia Mbona Raisi wetu aonekani au hasemi neno kuusiana nawananchi wake waliomweka madarakani wananyanyaswa na kusingiziwa na watendaji wake wa kazi.

  • @lazaroedward5062
    @lazaroedward5062 7 лет назад

    uko sahihi mchungaji

    • @shabansalum9283
      @shabansalum9283 7 лет назад

      wanafiki wakubwa nyinyi iko siku mungu atawaubua twajua wazi dunia hamtaki mkweli makonda mkweli

  • @honestmghase9598
    @honestmghase9598 7 лет назад

    hata yesu alikokotwa ila mwisho wataaibika wao

  • @salumsalum789
    @salumsalum789 7 лет назад +1

    kama kweli wa KIONGOZI WA kiroho umesamehe, mbona unaendelea kumsiliba Makonda? Pengo ulipomkashfu alitamka maneno ya kusamehe tu na akakaa kimya. WHY NOT YOU?

    • @anafihamis27
      @anafihamis27 3 года назад

      Tupo wapi leo Pengo??? Yupo wapi Makonda mwenyewe???? Asili inalipa....

  • @mohamedally9774
    @mohamedally9774 7 лет назад

    HAKIKA UMEKUWA WAZI ASKOFU

  • @ramadhanali1881
    @ramadhanali1881 6 лет назад

    vyeti ooooooooo mkweri sasa

  • @zuwenasalim38
    @zuwenasalim38 7 лет назад

    unamlaumu makonda bure tuu yy kahoji watu wakataja nayy hajataja kwautashi wake kaelezwa ndomana ukaitwa kwenye mahojiano

  • @tumainitemu1521
    @tumainitemu1521 7 лет назад

    pole

  • @gracependo4438
    @gracependo4438 5 лет назад

    🤦‍♀️😀🇹🇿💪KTK SABABU HIZI BAD EXPERIENCE 🇹🇿NILIPOFIKA AMERICAN NIKAKIFUNZA KUWA HODARI MAKINI KWA KUNAKILI CONFÉRENCE! S. WHATEVER KEEPS NAKARA MAANDISHI,IMAGES PHOTO S ,CAMERA,📲☎️📷📼📸📹!!HATA NIKIFIKA MAHAKAMANI IF NOT NECESSARY TO HAVE ADVOCAT,GOD ONLY STAND BY ME WITH MY PROUVES!!JUU HATA ADVOCAT ANAWEZA AKA KU DEFANDE VIBAYA KUTO KUWEKA VIZURI DEFFENCE YA VIFUNGU NUMBERS OOPT:257 SHERIA !!

  • @mpoloonlinetv1373
    @mpoloonlinetv1373 7 лет назад

    naomba namba ya Askofu Gwajima,ninashida nae, nitumiwe kupitia
    0754930408
    0655130408
    mpolomsafiri@gmail.com

  • @cosrevynewchord2022
    @cosrevynewchord2022 7 лет назад +1

    acha maneno weka ukweli coz unaongea tu lkn hufuatiliii jinsi jamiii inavyo athrika na madawa ya kulevya?tena ilibidi wangechapa hata vipeperushi wakabandika barabaran

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 7 лет назад

    Hamna kitabu wa gazeti kwan ww nani Yussuf Manji na wengine kwan ww nani c uliitwa tu tuacheni bhana km huna tuhuma c basi makunda yy mwenye yeye kapewa tu majina kwakua yeye ndie alotaja !!!!!

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 7 лет назад

    sasa kumbe yote hayo yalipita na ukachiwa kufanya shuhuli zako mambo yameisha mbona bado unamuongelea mwenzio kwa kejeli na madharau juu ya majukwaa

  • @bashitemakonda1540
    @bashitemakonda1540 7 лет назад

    Unamwambia nani sasa unamwambia nani

  • @gracependo4438
    @gracependo4438 5 лет назад

    🤦‍♀️😀🇹🇿💪!YOU CAN GET HORSES READY FOR BATTLE ,BUT ITS THE ‘’ LORD ‘’ WHO GIVES ‘’ VICTORY (💪.LET THE TRUTH MADE FREE EVERYONE!!HII MAMBO YA KUTANA AU KUSINGIZIA ICHI ZA MAREKANI!AMERICA .CANADA HAYAWATAKI !!HUWEZI KUSIMAMA MAHAMANI ETI !! WEWE ULIYEMTAJA MTU UKIFIKA MAHAKAMANI!!WEWE ULIOTAJA NDIO UNAFUNGWA JELA!!KWERI WAKATI NIKIWA!!🇹🇿KAMA ICHI YANGU!!NIMEKUWA NIKIONA WATU WANAKAMATWA KWA KUTAJWA!!HATA KUPIGWA NA JESHI LA SUNGUSUNGU MPAKA KUFARIKI!!HII SYSTÈME ITOKE!!MBO YA KUTAJANA UNA GEUSS!!!MTU!!🇹🇿🛑🤚!! AMERICA CANADA ,MAREKANI UNATAKIWA UWE NA PROUVE ,KAMA REGSTRATION 📹📷📸☎️📲📼!!📝!!HIVI NDIVYO VISIBITISHO VINATAKIWA KABLA YA KUTAJA JINA LA MTU!!LASIVYO UKIMTAJA MTU BILA PROUVE!!OBJECTS UTIWE JERA!!YAANI KTK VITU VYA SYSTÈME YETU NINAYO HATE!!HIZI GEUSS!!VICTIMES!!🛑🤚HUWA NATIAGOOD JOSK 🤦‍♀️😆😆😆😆!!BUT WHICH !! I WAS WISHING!!NINGEKUWA WAZIRI!!NINGEKUWA NAFUNGA WATU!!⚖️🔨!!AT LEAST 50 PEOPLE PER WEEK!!🤦‍♀️😆😆😆.. YAANI UKINILETEA KESI KAMA HIZI ETI UDOKEZI KAMA HUNA PROUVES LIKE 📸📹📄📷📼📝)PHOTOS IMAGES)!!NINAKUTIA JELA WEWE MTAJA MAJINA!!📖☝️PROVERBS 20:12’’ THE LORD HAS GIVEN US EYES 👀 TO SEE WITH AND EARS 👂 TO LISTEN WITH,,📖☝️!!.REAL HUU MCHEZO UKOMESHWE KWA KUONESHA PROUVES KABLA YA KUTAJA MTU!!/WATUKWA UHALIFU!🛑🤚