Askofu Gwajima - Siri ya Kusubiri Kabla ya Ndoa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tembelea page yake ya facebook: www. jgwajima au website: www.ufufuonauzimamimistries.com

Комментарии • 39

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 5 лет назад +1

    dah, Ubarikiwe mtumishi.

  • @victorialubwaza1583
    @victorialubwaza1583 11 месяцев назад

    Amen

  • @larzapiproduction1427
    @larzapiproduction1427 6 лет назад +1

    Nakupenda sana rabi

  • @mwaumark4372
    @mwaumark4372 3 года назад +1

    This man is blessed I say.

  • @laimosmasebo1117
    @laimosmasebo1117 7 лет назад +1

    asante sana mchungaji nakufuatilia sana mafundisho yako! siku nikipata nafasi ya kuja mjini ntahudhuria ibadani kwako.

  • @muumbisdota5509
    @muumbisdota5509 7 лет назад +2

    So encouraging I will pause before I remarry thanks servant of God

  • @reginarhina6837
    @reginarhina6837 8 лет назад +2

    Asante kwa mafundisha kwa sisi atuja olewe.

    • @allymanywele3299
      @allymanywele3299 7 лет назад

      Regina Rhina 0786035773 namba yng nibeep naomba

  • @bernadethahassanmkandya86
    @bernadethahassanmkandya86 8 лет назад

    Baba tumbua baba, mara nyingi watu hatuelewi umuhimu wa kuwa na kazi na ni muhimu sana.ukiuliza hayo utaambiwa upo kimwili hasa mwanamke. wanawake utabebeshwa majukumu yote na hataki u mwambie kweli! Bwana Yesu akubariki baba kwa kutuwaka sawa!

  • @julietknight6270
    @julietknight6270 4 года назад +1

    Awesome teaching. Thank you Servant of GOD.

  • @jenimakoi5250
    @jenimakoi5250 5 лет назад

    Ahsante sana imenigusa mi ambae sijaolewa

  • @yunesnyabonyi1728
    @yunesnyabonyi1728 7 лет назад

    ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu

  • @mwajumamapunda624
    @mwajumamapunda624 8 лет назад +1

    somo nzuli xn ubalikiwe xn bb mch.nganyi

  • @isayamanyonyi8826
    @isayamanyonyi8826 7 лет назад +2

    kwenye majukum hapo Ameen

  • @musafirisuzana6862
    @musafirisuzana6862 6 лет назад

    kweli kabisa ubarikiw

  • @larzapiproduction1427
    @larzapiproduction1427 6 лет назад

    Ubarikiwe san

  • @festoallan2035
    @festoallan2035 6 лет назад

    somo zuri saaaaaaana

  • @agnessmwakyusa5875
    @agnessmwakyusa5875 7 лет назад

    barikiwa sana

  • @marietherese6680
    @marietherese6680 7 лет назад

    ubarikiwa

  • @paulonestory8356
    @paulonestory8356 6 лет назад

    Amina kubwa

  • @estherwaga1955
    @estherwaga1955 6 лет назад

    Thanks MOG

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake940 7 лет назад

    safi sana una akili. ila achana n.a. suala la bashite

  • @franciskiwale5322
    @franciskiwale5322 7 лет назад

    unanibariki baba

  • @lukafrancois7504
    @lukafrancois7504 8 лет назад +1

    lakini Mungu haku mwambia mwana mme akae bila mke ,bali aliwabariki wakaijaze dunia, yaani Mungu haja penda mtu akae bila kuoa, na Mungu hakumwambia ADAMU atafute kwanza pesa za kumtunza mkewe na watoto baadaye waishi pamoja .wewe zamani ulisemaka kuna watu wana weza kupata maisha wakiwa wawili, kama mtu hapendi kuoa zababu hana pesa huyo anachemsha ukasema tena anatakiwa aowe kwa sababu baraka zake zitakuja wakati ana mke au mme. tena ukasema kunawatu hawaolewi ni kwasababu wanafungwa na nguvu za kichawi au wana mtupia majini ili asiolewe au kuoa kwenye ulimwengu wa roho, leo tena unasema kuwa singo ni vizuri , haujuwi kama utachanganya watu? mtu atafikiri anafuata maneno yako kumbe analongwa bila kujuwa , akisema mimi sipendi kuoa au kuolewa bila mafanyikio, unaposema biti awe na nyumba au gari unamaanisha akiwa na vitu hivyo ataenda kuoa mwana mme? unayo imani kwamba Mungu aliwahumba watu wote sawasawa? kama wewe ulikuwa napesa kabla aujaoa unafikiri hivyo ndivyo Mungu aliwapangia watu wote?. mimi niliowa bila pesa lakini leo ninapesa kidogo za kusaidia familia yangu, pesa hizo nazitafuta wakati niko na mke wangu na Mungu akafungua milango ya baraka. kwa hiyo usivunje watu moyo wakati wewe sio Mungu wa maisha ya watu. kuna maneno mazuri unayo sema na mangine ya kuvunja watu moyo. unaposema mtu akitaka kuowa awe kwanza na maisha sawa ,sasa akikosa maisha atakuja kwako akwambie , nakosa maisha lakini nataka kuoa ni fanye je? usifundishe watu kufanya usharati na kondomo kwa sababu Mungu hapendi hivyo. mtu anatakiwa ahoe ,aholewe kwa sababu ya tamaha ya mwili wake hivyo ndivyo Biblia inasema. unaposema mtu anaye pewa talaka avumilie na atafute mme mwengine mzuri , unamaanisha wewe unasapoti watu wapewe talaka, ili waolewe tena ,biblia inawaita watu kama hao wazinifu, na mtu kama huyo kuholewa au kuoa mpaka mmoja wao afariki kwanza.

    • @gadielmchome203
      @gadielmchome203 8 лет назад +1

      upo njema ktk jina la yesu.Bwana akulinde

  • @ImanWambuiIman
    @ImanWambuiIman 8 лет назад +1

    umenichanua pasta

  • @isayamanyonyi8826
    @isayamanyonyi8826 7 лет назад

    hiyo ni fafanuzi ya kibinadam ila siyo ya Mungu, mengine unasema ya kwel ila mengine hapana

  • @isaacshauri4828
    @isaacshauri4828 8 лет назад

    Barikiwa

  • @isayamanyonyi8826
    @isayamanyonyi8826 7 лет назад +1

    Aisifiaye mvua isha mchapa, hahahahaaaah

  • @estasage498
    @estasage498 5 лет назад

    Mwanzo sura 2:18

  • @user-sm9ty6qd7r
    @user-sm9ty6qd7r 8 лет назад

    Asante Sana mchungaji unayo sema ni kweli nimebarikiwa...lakini mimi nili Kuwa kwa ndoa 16 years Mungu akanibariki watoto 4 talaka ikaja tumeachana for 6 years nimeokoka,je mchungaji naeza olewa tena?

    • @mbithejustus246
      @mbithejustus246 7 лет назад

      انا انا la uwezi olewa tena as long your husband is alife au awe msharatibusb

    • @user-sm9ty6qd7r
      @user-sm9ty6qd7r 7 лет назад

      Josephat Gwajima RudishaTv Amen pastor josphat gwajima Mungu akubariki sana neema ya mungu izidi juu yako milele Amina

  • @isayamanyonyi8826
    @isayamanyonyi8826 7 лет назад

    utawafanya vijana wasiowane

  • @mercylinenanjala6787
    @mercylinenanjala6787 8 лет назад +2

    Amen

  • @godlistenbenedict9641
    @godlistenbenedict9641 6 лет назад

    Amen

  • @ocesweet297
    @ocesweet297 8 лет назад

    amen