Baba tumbua baba, mara nyingi watu hatuelewi umuhimu wa kuwa na kazi na ni muhimu sana.ukiuliza hayo utaambiwa upo kimwili hasa mwanamke. wanawake utabebeshwa majukumu yote na hataki u mwambie kweli! Bwana Yesu akubariki baba kwa kutuwaka sawa!
lakini Mungu haku mwambia mwana mme akae bila mke ,bali aliwabariki wakaijaze dunia, yaani Mungu haja penda mtu akae bila kuoa, na Mungu hakumwambia ADAMU atafute kwanza pesa za kumtunza mkewe na watoto baadaye waishi pamoja .wewe zamani ulisemaka kuna watu wana weza kupata maisha wakiwa wawili, kama mtu hapendi kuoa zababu hana pesa huyo anachemsha ukasema tena anatakiwa aowe kwa sababu baraka zake zitakuja wakati ana mke au mme. tena ukasema kunawatu hawaolewi ni kwasababu wanafungwa na nguvu za kichawi au wana mtupia majini ili asiolewe au kuoa kwenye ulimwengu wa roho, leo tena unasema kuwa singo ni vizuri , haujuwi kama utachanganya watu? mtu atafikiri anafuata maneno yako kumbe analongwa bila kujuwa , akisema mimi sipendi kuoa au kuolewa bila mafanyikio, unaposema biti awe na nyumba au gari unamaanisha akiwa na vitu hivyo ataenda kuoa mwana mme? unayo imani kwamba Mungu aliwahumba watu wote sawasawa? kama wewe ulikuwa napesa kabla aujaoa unafikiri hivyo ndivyo Mungu aliwapangia watu wote?. mimi niliowa bila pesa lakini leo ninapesa kidogo za kusaidia familia yangu, pesa hizo nazitafuta wakati niko na mke wangu na Mungu akafungua milango ya baraka. kwa hiyo usivunje watu moyo wakati wewe sio Mungu wa maisha ya watu. kuna maneno mazuri unayo sema na mangine ya kuvunja watu moyo. unaposema mtu akitaka kuowa awe kwanza na maisha sawa ,sasa akikosa maisha atakuja kwako akwambie , nakosa maisha lakini nataka kuoa ni fanye je? usifundishe watu kufanya usharati na kondomo kwa sababu Mungu hapendi hivyo. mtu anatakiwa ahoe ,aholewe kwa sababu ya tamaha ya mwili wake hivyo ndivyo Biblia inasema. unaposema mtu anaye pewa talaka avumilie na atafute mme mwengine mzuri , unamaanisha wewe unasapoti watu wapewe talaka, ili waolewe tena ,biblia inawaita watu kama hao wazinifu, na mtu kama huyo kuholewa au kuoa mpaka mmoja wao afariki kwanza.
Asante Sana mchungaji unayo sema ni kweli nimebarikiwa...lakini mimi nili Kuwa kwa ndoa 16 years Mungu akanibariki watoto 4 talaka ikaja tumeachana for 6 years nimeokoka,je mchungaji naeza olewa tena?
dah, Ubarikiwe mtumishi.
Amen
Nakupenda sana rabi
This man is blessed I say.
asante sana mchungaji nakufuatilia sana mafundisho yako! siku nikipata nafasi ya kuja mjini ntahudhuria ibadani kwako.
So encouraging I will pause before I remarry thanks servant of God
Asante kwa mafundisha kwa sisi atuja olewe.
Regina Rhina 0786035773 namba yng nibeep naomba
Baba tumbua baba, mara nyingi watu hatuelewi umuhimu wa kuwa na kazi na ni muhimu sana.ukiuliza hayo utaambiwa upo kimwili hasa mwanamke. wanawake utabebeshwa majukumu yote na hataki u mwambie kweli! Bwana Yesu akubariki baba kwa kutuwaka sawa!
Awesome teaching. Thank you Servant of GOD.
Y
Ahsante sana imenigusa mi ambae sijaolewa
ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu
somo nzuli xn ubalikiwe xn bb mch.nganyi
kwenye majukum hapo Ameen
kweli kabisa ubarikiw
Ubarikiwe san
somo zuri saaaaaaana
barikiwa sana
ubarikiwa
Amina kubwa
Thanks MOG
safi sana una akili. ila achana n.a. suala la bashite
unanibariki baba
lakini Mungu haku mwambia mwana mme akae bila mke ,bali aliwabariki wakaijaze dunia, yaani Mungu haja penda mtu akae bila kuoa, na Mungu hakumwambia ADAMU atafute kwanza pesa za kumtunza mkewe na watoto baadaye waishi pamoja .wewe zamani ulisemaka kuna watu wana weza kupata maisha wakiwa wawili, kama mtu hapendi kuoa zababu hana pesa huyo anachemsha ukasema tena anatakiwa aowe kwa sababu baraka zake zitakuja wakati ana mke au mme. tena ukasema kunawatu hawaolewi ni kwasababu wanafungwa na nguvu za kichawi au wana mtupia majini ili asiolewe au kuoa kwenye ulimwengu wa roho, leo tena unasema kuwa singo ni vizuri , haujuwi kama utachanganya watu? mtu atafikiri anafuata maneno yako kumbe analongwa bila kujuwa , akisema mimi sipendi kuoa au kuolewa bila mafanyikio, unaposema biti awe na nyumba au gari unamaanisha akiwa na vitu hivyo ataenda kuoa mwana mme? unayo imani kwamba Mungu aliwahumba watu wote sawasawa? kama wewe ulikuwa napesa kabla aujaoa unafikiri hivyo ndivyo Mungu aliwapangia watu wote?. mimi niliowa bila pesa lakini leo ninapesa kidogo za kusaidia familia yangu, pesa hizo nazitafuta wakati niko na mke wangu na Mungu akafungua milango ya baraka. kwa hiyo usivunje watu moyo wakati wewe sio Mungu wa maisha ya watu. kuna maneno mazuri unayo sema na mangine ya kuvunja watu moyo. unaposema mtu akitaka kuowa awe kwanza na maisha sawa ,sasa akikosa maisha atakuja kwako akwambie , nakosa maisha lakini nataka kuoa ni fanye je? usifundishe watu kufanya usharati na kondomo kwa sababu Mungu hapendi hivyo. mtu anatakiwa ahoe ,aholewe kwa sababu ya tamaha ya mwili wake hivyo ndivyo Biblia inasema. unaposema mtu anaye pewa talaka avumilie na atafute mme mwengine mzuri , unamaanisha wewe unasapoti watu wapewe talaka, ili waolewe tena ,biblia inawaita watu kama hao wazinifu, na mtu kama huyo kuholewa au kuoa mpaka mmoja wao afariki kwanza.
upo njema ktk jina la yesu.Bwana akulinde
umenichanua pasta
Amen pastor tumejifunza kitu
hiyo ni fafanuzi ya kibinadam ila siyo ya Mungu, mengine unasema ya kwel ila mengine hapana
Barikiwa
Aisifiaye mvua isha mchapa, hahahahaaaah
Mwanzo sura 2:18
Asante Sana mchungaji unayo sema ni kweli nimebarikiwa...lakini mimi nili Kuwa kwa ndoa 16 years Mungu akanibariki watoto 4 talaka ikaja tumeachana for 6 years nimeokoka,je mchungaji naeza olewa tena?
انا انا la uwezi olewa tena as long your husband is alife au awe msharatibusb
Josephat Gwajima RudishaTv Amen pastor josphat gwajima Mungu akubariki sana neema ya mungu izidi juu yako milele Amina
utawafanya vijana wasiowane
Amen
Amen
amen