nimefurahishwa sana na kauli ya Rais Wangu Magufuli, na agizo lake kwa wafanya biashara wadogowadogo, wachimbaji wadogo, wananchi waliopo kwenye maeneo ya hifadhi za wanyama.UTU, UBINADAMU, ILANI, vizingatiwe! MUNGU AKULINDE SANA RAISI WANGU, NA WANAOKUSAIDIA! Umetibu majeraha ya watu wengi waliokuwa wananyanyaswa kwenye nchi yao! WE LOVE YOU MAGUFULI. tuna njaa lakini tupo salama!
mungu atupe nini sisi watanzania katupatia rais mwenye busara nyingi ewe mwenyez mungu mbariki magufuri awe na maisha malefu awe na moyo huohuo wa kuwasaidia watanzania
For sure, the kind of hyena-like leaders we have in Africa, makes one feel having a commanding president of this caliber. Pretending to be men of rule of law while squandering resources and humiliating their very citizenry is a proof of their insanity.
Kwa miaba ya wamachinga wote napenda kusema kuwa tulimuomba Mungu atupe raisi atakaye tetea wanyongi, kweli Mungu katusikia na kujibu maombi yetu! Mungu akujalia maisha malefu yenye afya njema mheshimiwa Dr. J Pombe Magufuli.
Kabla ya hapa tulipo mwanamke Ali play part ya usaliti akamsaliti Adam the same to madam president,, inshort wanawake ni wasalitii... Allah atuondolee hiyo roho inshallah
Hakika Mungu anapotaka kujibu maombi ya vilio vya wanadamu hapa duniani, huinua kiongozi aliye na moyo wa Mungu ambaye atawatumikia wanadamu ili kutimiza kusudi la Mungu katika taifa husika. WATANZANIA, TUMWOMBEE JPM...
Asant baba Asant baba Natamani katiba ya Tanzania ibadilishwe ili ukae madarakani miaka yote ya uhai wako. Ewe mungu tulindie Rais wetu na mpe hekma nyingi.
Heshima kwako!.. Mhe, Rais wetu JONH POMBE JOSEPH MAGUFULI...... Mwenyezi Mungu akulinde... kungekua na uwezekano wakugombea Urasi wa Dunia tunaamin ungepata..... hapa wasio kuelewa ni wazembe wa fikra!... (Viliza). na tunavyokufaham huwezi kukwamishwa na watu wa Design hiyo!.. tuko pamoja na wewe katika maombi!..
MR.President i salute you! you are more than a President well done good job and may God bless ,protect and guide you . we need more Magufulis in Africa to transform the Continent. the only african Head of state who really worry about the poor. Go on Mr.President the whole continent loves and apreciate what you are doing to the Country.
asante mh rais Allah akupe nguvu na akupe maisha marefu na uongozi uliotukuka baba tupo nyuma yako tukikuombea uzid kutufurahisha baba yetu asante sana kwa maelekezo kwa viongozi wote.....mungu akubariki na mungu aibariki afrika
shikamoo rais wangu Ni Kweli watu tunakimbia nchi yetu kisa maisha magumu ila kwa ninavyo ona tutaludi na ss nchi kwetu tueshimiwe tumechoka kuitwa mashaghara duuuh Asante mungu kwa kumuleta magufuli
ua the best president in Africa,,, swala la wawekezaji hilo cc kama wananchi linatuuma sana,,, tunaomba ulifanyie kaz kwa sababu watanzania weng c wawekezaj na hata wakitafuta uwekezaj hawapew kulipaumbele kama wagen, jpm Fanya kaz!!
kuepusha matamko ya kila uchao ni lazima mfuate sheria mlizotunga na pia mheshimiwa ingekuwa vizuri ukajenga taifa lenye dira ili hata wewe ukitoka ajaye ataifuata
Asante mheshimiwa unauwezo mkubwa wa kufanya analysis na kumake decision mkubwa na Mungu akubariki Rais wetu. Na siai waendesha pikipiki kwa shughuli za kila Siku tumepigwa marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam, mpaka kwa kibali na kibali ni sh. 170,000/= kwa mwaka! Mh. Rais kwanza ifahamike kwamba tunaendesha pikipiki badala ya magari kwa sababu ya kuwa na kipato chetu kidogo 170,000/= tunazitoa wapi? Na kwa mini pikipiki tu na siyo wamiliki wa magari nao waingie katkati ya jiji kwa vibali??? Huu ni ubaguzi ni ukaburu mkubwa sana. Tunaomba utuangalie na sisi.
Rais, Rais, Rais, Rais, Rais, mh magufuli wewe ni kiongozi wa kuigwa kweli kweli tunakupenda sana baba yetu 2020 utapata 100% ya wapiga kura, ila Waziri wa elimu atufungulie mkopo na sisi wenye diploma tupate kuanzia mwakani!
Rais yoyote yule mpime kwa yamtokayo mdomoni ( hotuba zisizo za kuandikiwa) maana mdomo huongea ya moyoni na dhamira. Kama matendo hayafanani na yamtokayo basi huyo wa namna yake
Mungu wetu tunakushukuru kutupa Rais ambaye kwakweli hatukujua wala hatukutarajia ni kwa upendo wako kwetu mlinde Rais wetu na endelea kumpa ujasiri na maelekezo yatokayo kwako ili kusudi lako litimie Tanzania na kwawatanzania Amen!!!!
Hii hotuba ni kitabu cha sulihisho la umachinga RIP Dk JPM . Hotuba zako ni ushaidi. Upendeke, usipendeke , uenziwe, usienziwe hotuba zako zitabaki kuwa ushaidi.
Naomba Mungu akupe Bodyguard wake malaika wakulinde mana Mungu ameyaoma maonevu ya watanzania kutokana na viongoz bas may God direct you towards victory yote yanayokuandamana yakukose isipokuwa mema tu. Mungu tulindie rais wetu Mh. Dr. John Pombe Mgufuli .
I'm Ghanaian I love this man he did a great job May almighty ALLAH let him win again because he can fight for Africans,rest of the African presidents should look at him and change,all African leader should stop taking loans from china Africa is rich
Walikuja hapa baada ya machinga kufukunzwa gonga like hapa! hapo mama alivaa ngozi ya kondoo
Ungepunguza kupost inauma sana unaposikiliza speech za jpm baba mwenye upendo wa kweli na watu wake.
Kumbe mzee alishamuagiza awatunze machinga hawa,
Wanawake, Mungu anawaona😭😭.
Kauli ya "hapa kazi tu" ni ngumu sana kueleweka. Tupo nyuma yako Mh. Rais... ! Best work ever seen in Tanzania!
Siwezi kuacha kukulilia Baba. Ningekuwa na uwezo ningezuia kifo chako. Lakini kila mwanadamu ana ukomo. Mungu atupe mwisho mwema.
Rip tunakukumbuka Sana baba sema tangu umeondoka mama amekiuka kila kitu amekusaliti kwa kiwango Cha Hali ya juu Sana
nimefurahishwa sana na kauli ya Rais Wangu Magufuli, na agizo lake kwa wafanya biashara wadogowadogo, wachimbaji wadogo, wananchi waliopo kwenye maeneo ya hifadhi za wanyama.UTU, UBINADAMU, ILANI, vizingatiwe! MUNGU AKULINDE SANA RAISI WANGU, NA WANAOKUSAIDIA! Umetibu majeraha ya watu wengi waliokuwa wananyanyaswa kwenye nchi yao! WE LOVE YOU MAGUFULI. tuna njaa lakini tupo salama!
Mapumziko mema baba Mungu akulaze mahali pema peponi
mungu atupe nini sisi watanzania katupatia rais mwenye busara nyingi ewe mwenyez mungu mbariki magufuri awe na maisha malefu awe na moyo huohuo wa kuwasaidia watanzania
Wewe mwanamke Mungu anakuona Mungu yupo
Da huyu mama simuelewi hata kidovo hana huruma
da sihakosea kabisa kumpa huyu mtu kura yangu Allah akulinde baba
big president JJPM,salute kubwa mkubwa wa nchi,maneno kuntu
RIP JPM. You will forever remain in hour hearts. You truly devoted your life to serve the poor. Mama seems to forget all these 😭😭😭😭💔💔💔
the guy will remain my President even though he is not alive
@@ruhumbikabundala2214 me too💔
Mungu akupe maisha malefu rais wetu mpendw
😭😭😭😭
Delila alikuwa yuko makini kumsikiliza kumbe ki moyo nafsi yake ilikuwa inamuuma
Pumzika kwa amani JPM ulithubutu daima uliyaishi maneno yko
how i wish we had this kind of leadership in Kenya....God bless you Mr.President,one of a kind.Long live your excellency and long live Africa!
For sure, the kind of hyena-like leaders we have in Africa, makes one feel having a commanding president of this caliber. Pretending to be men of rule of law while squandering resources and humiliating their very citizenry is a proof of their insanity.
Mwenyezi mungu akupe rehema nyingi ulipo dokta magufuli.
Ruto is coming there mtakua poa
Dah hadi inauma sana,pumzika kwa Amani Baba.
Tunakukumbuka baba, tena Tunakukumbuka kwa mazuri siyo kwa mabaya, RIP my president
This is leadership we want ,proud of u son of Africa
Kwa miaba ya wamachinga wote napenda kusema kuwa tulimuomba Mungu atupe raisi atakaye tetea wanyongi, kweli Mungu katusikia na kujibu maombi yetu! Mungu akujalia maisha malefu yenye afya njema mheshimiwa Dr. J Pombe Magufuli.
asante RAIS wetu
RAIS magufur we we ni jembe tutetee baba hata bodaboda tunazinguliwa kinoma sana!
Kabla ya hapa tulipo mwanamke Ali play part ya usaliti akamsaliti Adam the same to madam president,, inshort wanawake ni wasalitii... Allah atuondolee hiyo roho inshallah
Tulioxkia hotuba ya samia khc machnga tkard tena hapa kwa baba tujuane rest in peace my president
Hahahah Daaaaaah 😩😩
Magu alikuwa side ya watu wa hali ya chini lakin mama sio kabxaaaa
Hakika Mungu anapotaka kujibu maombi ya vilio vya wanadamu hapa duniani, huinua kiongozi aliye na moyo wa Mungu ambaye atawatumikia wanadamu ili kutimiza kusudi la Mungu katika taifa husika. WATANZANIA, TUMWOMBEE JPM...
Wewe ni rulu ya Tanzania pia Africa nimeipenda debate yako kweli you is my true President I'm loving you Mr President
Huyu mama kaja tofauti nawewe daaaah pumzika kwa amani magufuli..
Jmni inaima mbona,na inakua ngumu kwangu kuukubali ukweli kua haupo baba
Mungu azidi kukuifadhi my G daima tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭😭
Asant baba Asant baba Natamani katiba ya Tanzania ibadilishwe ili ukae madarakani miaka yote ya uhai wako.
Ewe mungu tulindie Rais wetu na mpe hekma nyingi.
😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭MUNGUAmempenda Zaidi Yetu
Heshima kwako!.. Mhe, Rais wetu JONH POMBE JOSEPH MAGUFULI...... Mwenyezi Mungu akulinde... kungekua na uwezekano wakugombea Urasi wa Dunia tunaamin ungepata..... hapa wasio kuelewa ni wazembe wa fikra!... (Viliza). na tunavyokufaham huwezi kukwamishwa na watu wa Design hiyo!.. tuko pamoja na wewe katika maombi!..
MR.President i salute you! you are more than a President well done good job and may God bless ,protect and guide you . we need more Magufulis in Africa to transform the Continent. the only african Head of state who really worry about the poor. Go on Mr.President the whole continent loves and apreciate what you are doing to the Country.
Lait mtu angekuwa anakufa na kurudi tena walah tz kingewaka
Rest in internal peace my president of all time..........😭😭😭
katika cku ulionifurahisha magufuli leo umenifurahisha Sana Shikmoh bba kweli wwe ni mtetezi WA wanyonge
mungu akupe afya njema
Tutakukumbuka sana raisi wa wanyonge kipenzi cha mtetezi wa Tanzania
Hongeera mh.......ila umeongea muda mrefu ila sijaona hata glasi ya maji
This is a Credit. This man is powerful.
Mzee tutakukumbuka sana kama ulivyosema mwenyewe! R.i.p
Daah
Umeona Mama anavyoitikia na kinachotokea sasa mmmh!
Police wangu cina comment!
Magufuli alikuwa one king of Tanzanian pamoja na Africa......
asante mh rais Allah akupe nguvu na akupe maisha marefu na uongozi uliotukuka baba tupo nyuma yako tukikuombea uzid kutufurahisha baba yetu asante sana kwa maelekezo kwa viongozi wote.....mungu akubariki na mungu aibariki afrika
R.l.P our lovely President.
Tutakukumbuka daima.
shikamoo rais wangu Ni Kweli watu tunakimbia nchi yetu kisa maisha magumu ila kwa ninavyo ona tutaludi na ss nchi kwetu tueshimiwe tumechoka kuitwa mashaghara duuuh Asante mungu kwa kumuleta magufuli
Nikwel tutamkumbuka sana aisee
Nimemuelewa mkuu wa nchi yuko vizuri sana Mungu ambariki sana.
“Sisi ndiyo wenye serikali, siyo wao”, napenda sana kiongozi anayetambua mamlaka yake na kuyatumia vizuri, the big JPM!.
Hiyo the big alipotosha sana
Magufuli oyeeeee Mungu akupe maisha marefu Mh.Rais
sikukupa kuraa mkuu,,bt in the end i realize that yooo the great one,God Bless U
Allah akupe maisha malef rais wetu hatuna cha kukurip ira Mungu atakurip
ua the best president in Africa,,, swala la wawekezaji hilo cc kama wananchi linatuuma sana,,, tunaomba ulifanyie kaz kwa sababu watanzania weng c wawekezaj na hata wakitafuta uwekezaj hawapew kulipaumbele kama wagen, jpm Fanya kaz!!
Baba tuta kukumbuka leo tume ambiwa tuondoke
love this speach ,Mungu akupe hekima zaid
Nimeamin Kweli Sasa Tanzania Inakiongoz Mwenye Upendo Na Wananchi Wake Mungu Akubalik
kuepusha matamko ya kila uchao ni lazima mfuate sheria mlizotunga na pia mheshimiwa ingekuwa vizuri ukajenga taifa lenye dira ili hata wewe ukitoka ajaye ataifuata
@@samwelhintay669 dah
Rest in the perfect Paradise Hon.JPM
huyu ndo raisi wallahi, hata hela ikipotea vipi mtaani huyu ndo anafaaa miaka 50 mbele
Asante mheshimiwa unauwezo mkubwa wa kufanya analysis na kumake decision mkubwa na Mungu akubariki Rais wetu.
Na siai waendesha pikipiki kwa shughuli za kila Siku tumepigwa marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam, mpaka kwa kibali na kibali ni sh. 170,000/= kwa mwaka! Mh. Rais kwanza ifahamike kwamba tunaendesha pikipiki badala ya magari kwa sababu ya kuwa na kipato chetu kidogo 170,000/= tunazitoa wapi? Na kwa mini pikipiki tu na siyo wamiliki wa magari nao waingie katkati ya jiji kwa vibali??? Huu ni ubaguzi ni ukaburu mkubwa sana. Tunaomba utuangalie na sisi.
Samia anavyochangia kama MTU vilee😂😂😂😂😂😂 duuh haya maisha si powa
Anaitikia kinafki
Rais, Rais, Rais, Rais, Rais, mh magufuli wewe ni kiongozi wa kuigwa kweli kweli tunakupenda sana baba yetu 2020 utapata 100% ya wapiga kura, ila Waziri wa elimu atufungulie mkopo na sisi wenye diploma tupate kuanzia mwakani!
Tutakukumbuka sana mzee wetu.
Once upon a time,
Tanzania ilimpata kiongozi..
🤔🤔
This guy speaks alot of sense,In Kenya Hwakers are being humiliated,tossed left and right.I wish we had this kind of president
Mmeniona lakini nilivyo tulia kama naelewa vile uku nikiambulia ambulia neno moja moja utanitaka 😂😂
😂😂😂😂
John pombe lala kwa aman lakin hawa ulio waacha huku wamekueka het marehem hana hak ......
Alaf kumbe na mam alkuwa pemben akiitikia dah😂😂nlisahau
Yeah!huyo ndiyo JPM hasara kubwa ya Tanzania kumpoteza duu tutakukumbuka daima.
dah kwann mung alimchukua lkniiiiii😰😰😰😰😰😰😰😰😭😭😭😭😭😭😭😭
haijawahi kutokea maamuzi km hayo
upo sawa kabisa
u re the right president
NO WAY ICAN FORGET YOU DAD UR KIND LIKE
Maisha yanaenda kasi saana jamani aise, duh...?!!! Watetezi wa jana, leo wamegeuka kuwa watesaji tena...!!!
Apa lazima tuuu kila mtu atakukumbk wewe ndo ulitambua shida za wananchi Ila Sasaiv washabomolewa Pumzika kwa Amani JPM
Mungu ibariki Tanzania na Rais Magufuli. From Rwanda
Alafu eti nikapigie kura upinzani subutuu apa jpm tuuu
Mungu akupe maisha mareefu na yenye furaha. na akuongezee utekelezaji mwingine wa mambo mengine. asante saana mh Rais JPM.
😭😭😭
Sasa najiuliza maswali mengi kwanini urifariki mtetezi wa wanyonnge
Kwann jaman
Rais yoyote yule mpime kwa yamtokayo mdomoni ( hotuba zisizo za kuandikiwa) maana mdomo huongea ya moyoni na dhamira. Kama matendo hayafanani na yamtokayo basi huyo wa namna yake
Eee Mungu mbariki huyu baba. Mjalie maisha marefu
Wangapi tumekuja hapa Leo baada ya miaka minne? Rest in peace #JPM
ivi anaemsema vibaya huyu rais anaakili au tope? mungu akubariki sana rais wa nchi yangu.
mungu akuongoze uzidi kuwatetea wanyonge
Pumzika kwa amani baba etu
Kwa Sasa Hali sio shwali
Lala salama baba
MUNGU nimipango yako atukujua kama tutampata mtanzania mwenye kuwapenda watu wake tunakuomba MUNGU wetu mtie nguvu na afya njema Amina
ahsante rais wetu kwa kaz nzur
asante ww ndiye rais wa kwel safi sana nimependa.
magufuri kwanini hatukukupata kama wewe miaka 30 iliyo pita????? tunge kuwa wapi sasa
Asante bb ww.ndie Rais wasaidie wamachiga.hao.wafukuze watendaji zako wa kz.ivi amuwaonei.uluma jamani.wanavoagaika wanawadhalilisha.sana
jamani mbona ata uku.dubai wamachiga wapo
Baba saiz amesha sahau ushaul ako mtokee BC ata kwa ndoto mkumbushe
I wish there is translations on the screen. would be nice to listen
Baba tunazidi kukukumbuka tunatamani Tena uludi ndunia uone kinacho endelea baba magufuli
Chuma kama Chuma kime pumzka ila Mungu Mwema atakatika moto tuta ishi
huyu sio Rais tu! Bali ni Mtume wa Mungu kwa sisi watanzania
asante baba mungu akuongoze ktk maamuzi yako
Mungu wetu tunakushukuru kutupa Rais ambaye kwakweli hatukujua wala hatukutarajia ni kwa upendo wako kwetu mlinde Rais wetu na endelea kumpa ujasiri na maelekezo yatokayo kwako ili kusudi lako litimie Tanzania na kwawatanzania Amen!!!!
Hii hotuba ni kitabu cha sulihisho la umachinga RIP Dk JPM . Hotuba zako ni ushaidi. Upendeke, usipendeke , uenziwe, usienziwe hotuba zako zitabaki kuwa ushaidi.
Pumzika kwa amen baba...taifa linakukumbuka kwa memaa yako
Huyu Rais sio mchezo aisee! speaks to their faces straight.
Naomba Mungu akupe Bodyguard wake malaika wakulinde mana Mungu ameyaoma maonevu ya watanzania kutokana na viongoz bas may God direct you towards victory yote yanayokuandamana yakukose isipokuwa mema tu. Mungu tulindie rais wetu Mh. Dr. John Pombe Mgufuli .
Mjomba tunakukumbuka na ulisema tutakukumbuka siku moja sasa yametimia RIP MJOMBA
Yani huyo mama ametulila kama binadam kumbe moyoni mwake!!!!!????? RIP JPM
kuna watu wanajuashida za watanzania kama huyu raisi wetu magufur ndo maana nakukubal
I'm Ghanaian I love this man he did a great job May almighty ALLAH let him win again because he can fight for Africans,rest of the African presidents should look at him and change,all African leader should stop taking loans from china Africa is rich
Jpm .😭Tutakukumbuka tumeanza kuona dar
Viongozi wengi waliokulia mjini hawawezi kumuelewa Huyu magu
Leo mama amekuwa wehu kabisa ..wamachinga wanafukunzwa
Sasa Yako wapi haya, mbona ka hakuwepo, iv mda wa kupitia kauli za Magufuli anao aundo basi tena. Ee Mpe pumziko la amani..