Agizo la Rais Magufuli kuhusu Wamachinga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Ni agizo la Rais Magufuli Ikulu Dar es salaam kuhusu Wafanyabiashara ndogondogo kwenye maeneo mbalimbali ya Tanzania maarufu kama Wamachinga.

Комментарии • 452

  • @zuwenaabdi1670
    @zuwenaabdi1670 3 года назад +12

    Walikuja hapa baada ya machinga kufukunzwa gonga like hapa! hapo mama alivaa ngozi ya kondoo

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 3 года назад +11

    Ungepunguza kupost inauma sana unaposikiliza speech za jpm baba mwenye upendo wa kweli na watu wake.

  • @bonydemaria2030
    @bonydemaria2030 8 лет назад +17

    Kauli ya "hapa kazi tu" ni ngumu sana kueleweka. Tupo nyuma yako Mh. Rais... ! Best work ever seen in Tanzania!

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 3 года назад +9

    Siwezi kuacha kukulilia Baba. Ningekuwa na uwezo ningezuia kifo chako. Lakini kila mwanadamu ana ukomo. Mungu atupe mwisho mwema.

  • @hamzaallymwaihojo
    @hamzaallymwaihojo 3 года назад +15

    Kumbe mzee alishamuagiza awatunze machinga hawa,
    Wanawake, Mungu anawaona😭😭.

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 8 лет назад +18

    nimefurahishwa sana na kauli ya Rais Wangu Magufuli, na agizo lake kwa wafanya biashara wadogowadogo, wachimbaji wadogo, wananchi waliopo kwenye maeneo ya hifadhi za wanyama.UTU, UBINADAMU, ILANI, vizingatiwe! MUNGU AKULINDE SANA RAISI WANGU, NA WANAOKUSAIDIA! Umetibu majeraha ya watu wengi waliokuwa wananyanyaswa kwenye nchi yao! WE LOVE YOU MAGUFULI. tuna njaa lakini tupo salama!

  • @felixjilalajilala8398
    @felixjilalajilala8398 8 лет назад +9

    mungu atupe nini sisi watanzania katupatia rais mwenye busara nyingi ewe mwenyez mungu mbariki magufuri awe na maisha malefu awe na moyo huohuo wa kuwasaidia watanzania

  • @amosmichael487
    @amosmichael487 3 года назад +3

    Wewe mwanamke Mungu anakuona Mungu yupo

  • @tanzaniaonfoot8641
    @tanzaniaonfoot8641 8 лет назад +7

    Kwa miaba ya wamachinga wote napenda kusema kuwa tulimuomba Mungu atupe raisi atakaye tetea wanyongi, kweli Mungu katusikia na kujibu maombi yetu! Mungu akujalia maisha malefu yenye afya njema mheshimiwa Dr. J Pombe Magufuli.

    • @amirlove8036
      @amirlove8036 8 лет назад +2

      asante RAIS wetu

    • @amirlove8036
      @amirlove8036 8 лет назад +1

      RAIS magufur we we ni jembe tutetee baba hata bodaboda tunazinguliwa kinoma sana!

  • @adelinajonsony5802
    @adelinajonsony5802 3 года назад +13

    Rip tunakukumbuka Sana baba sema tangu umeondoka mama amekiuka kila kitu amekusaliti kwa kiwango Cha Hali ya juu Sana

  • @kahemamzava1608
    @kahemamzava1608 3 года назад +5

    Mapumziko mema baba Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @nassorokatuga7465
    @nassorokatuga7465 7 лет назад +6

    Mungu akupe maisha malefu rais wetu mpendw

  • @daudimariseli3627
    @daudimariseli3627 8 лет назад +2

    asante mh rais Allah akupe nguvu na akupe maisha marefu na uongozi uliotukuka baba tupo nyuma yako tukikuombea uzid kutufurahisha baba yetu asante sana kwa maelekezo kwa viongozi wote.....mungu akubariki na mungu aibariki afrika

  • @ramlaothman5771
    @ramlaothman5771 3 года назад +3

    Kabla ya hapa tulipo mwanamke Ali play part ya usaliti akamsaliti Adam the same to madam president,, inshort wanawake ni wasalitii... Allah atuondolee hiyo roho inshallah

  • @japhetselestine2156
    @japhetselestine2156 3 года назад +4

    Tunakukumbuka baba, tena Tunakukumbuka kwa mazuri siyo kwa mabaya, RIP my president

  • @oswardjunior7310
    @oswardjunior7310 3 года назад +7

    Delila alikuwa yuko makini kumsikiliza kumbe ki moyo nafsi yake ilikuwa inamuuma

  • @kisianganijob1068
    @kisianganijob1068 8 лет назад +32

    how i wish we had this kind of leadership in Kenya....God bless you Mr.President,one of a kind.Long live your excellency and long live Africa!

    • @clt9914
      @clt9914 8 лет назад +3

      For sure, the kind of hyena-like leaders we have in Africa, makes one feel having a commanding president of this caliber. Pretending to be men of rule of law while squandering resources and humiliating their very citizenry is a proof of their insanity.

    • @allysultani1089
      @allysultani1089 3 года назад

      Mwenyezi mungu akupe rehema nyingi ulipo dokta magufuli.

    • @karanibonge5906
      @karanibonge5906 3 года назад

      Ruto is coming there mtakua poa

  • @mukhsintwaha5909
    @mukhsintwaha5909 3 года назад +6

    Pumzika kwa amani JPM ulithubutu daima uliyaishi maneno yko

  • @elmediano8125
    @elmediano8125 3 года назад +2

    Mungu azidi kukuifadhi my G daima tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭😭

  • @jasbirswaran4338
    @jasbirswaran4338 8 лет назад +14

    big president JJPM,salute kubwa mkubwa wa nchi,maneno kuntu

  • @matanamaduhu8699
    @matanamaduhu8699 3 года назад +16

    RIP JPM. You will forever remain in hour hearts. You truly devoted your life to serve the poor. Mama seems to forget all these 😭😭😭😭💔💔💔

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 8 лет назад +20

    da sihakosea kabisa kumpa huyu mtu kura yangu Allah akulinde baba

  • @masterdaudi7683
    @masterdaudi7683 3 года назад +4

    Huyu mama kaja tofauti nawewe daaaah pumzika kwa amani magufuli..

  • @alecsbiggz418
    @alecsbiggz418 8 лет назад +4

    MR.President i salute you! you are more than a President well done good job and may God bless ,protect and guide you . we need more Magufulis in Africa to transform the Continent. the only african Head of state who really worry about the poor. Go on Mr.President the whole continent loves and apreciate what you are doing to the Country.

  • @athewinersdone731
    @athewinersdone731 8 лет назад +13

    Wewe ni rulu ya Tanzania pia Africa nimeipenda debate yako kweli you is my true President I'm loving you Mr President

  • @shijalupondeja908
    @shijalupondeja908 3 года назад +7

    Dah hadi inauma sana,pumzika kwa Amani Baba.

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 3 года назад +3

    Tutakukumbuka sana raisi wa wanyonge kipenzi cha mtetezi wa Tanzania

  • @rashidijulius6511
    @rashidijulius6511 8 лет назад +1

    Mungu akupe maisha mareefu na yenye furaha. na akuongezee utekelezaji mwingine wa mambo mengine. asante saana mh Rais JPM.

  • @abdallahmagera9160
    @abdallahmagera9160 5 лет назад

    MUNGU nimipango yako atukujua kama tutampata mtanzania mwenye kuwapenda watu wake tunakuomba MUNGU wetu mtie nguvu na afya njema Amina

  • @ajeydevgan7108
    @ajeydevgan7108 8 лет назад +3

    Nimemuelewa mkuu wa nchi yuko vizuri sana Mungu ambariki sana.

  • @fipa1823
    @fipa1823 3 года назад +3

    Magufuli alikuwa one king of Tanzanian pamoja na Africa......

  • @universalcreativestudio8488
    @universalcreativestudio8488 8 лет назад +5

    Heshima kwako!.. Mhe, Rais wetu JONH POMBE JOSEPH MAGUFULI...... Mwenyezi Mungu akulinde... kungekua na uwezekano wakugombea Urasi wa Dunia tunaamin ungepata..... hapa wasio kuelewa ni wazembe wa fikra!... (Viliza). na tunavyokufaham huwezi kukwamishwa na watu wa Design hiyo!.. tuko pamoja na wewe katika maombi!..

  • @goalsworldwide5583
    @goalsworldwide5583 8 лет назад +4

    Magufuli oyeeeee Mungu akupe maisha marefu Mh.Rais

  • @kuhandajoshua8688
    @kuhandajoshua8688 8 лет назад +12

    Hakika Mungu anapotaka kujibu maombi ya vilio vya wanadamu hapa duniani, huinua kiongozi aliye na moyo wa Mungu ambaye atawatumikia wanadamu ili kutimiza kusudi la Mungu katika taifa husika. WATANZANIA, TUMWOMBEE JPM...

  • @officialkinghezekiah2094
    @officialkinghezekiah2094 8 лет назад +5

    sikukupa kuraa mkuu,,bt in the end i realize that yooo the great one,God Bless U

    • @fatumashabani5341
      @fatumashabani5341 5 лет назад

      Allah akupe maisha malef rais wetu hatuna cha kukurip ira Mungu atakurip

  • @johanithajacob8715
    @johanithajacob8715 3 года назад +10

    Tulioxkia hotuba ya samia khc machnga tkard tena hapa kwa baba tujuane rest in peace my president

  • @mamacompyu5925
    @mamacompyu5925 8 лет назад +5

    katika cku ulionifurahisha magufuli leo umenifurahisha Sana Shikmoh bba kweli wwe ni mtetezi WA wanyonge
    mungu akupe afya njema

  • @shakirarashid9181
    @shakirarashid9181 8 лет назад +10

    shikamoo rais wangu Ni Kweli watu tunakimbia nchi yetu kisa maisha magumu ila kwa ninavyo ona tutaludi na ss nchi kwetu tueshimiwe tumechoka kuitwa mashaghara duuuh Asante mungu kwa kumuleta magufuli

  • @emmanuelrugambwa588
    @emmanuelrugambwa588 5 лет назад +1

    Mungu ibariki Tanzania na Rais Magufuli. From Rwanda

    • @musamgutu7760
      @musamgutu7760 4 года назад

      Alafu eti nikapigie kura upinzani subutuu apa jpm tuuu

  • @reubenjackson7327
    @reubenjackson7327 8 лет назад +3

    ua the best president in Africa,,, swala la wawekezaji hilo cc kama wananchi linatuuma sana,,, tunaomba ulifanyie kaz kwa sababu watanzania weng c wawekezaj na hata wakitafuta uwekezaj hawapew kulipaumbele kama wagen, jpm Fanya kaz!!

  • @husseinswahili7382
    @husseinswahili7382 8 лет назад +18

    Asant baba Asant baba Natamani katiba ya Tanzania ibadilishwe ili ukae madarakani miaka yote ya uhai wako.
    Ewe mungu tulindie Rais wetu na mpe hekma nyingi.

  • @abduladhimually3542
    @abduladhimually3542 8 лет назад +8

    Hongeera mh.......ila umeongea muda mrefu ila sijaona hata glasi ya maji

  • @piusemma1
    @piusemma1 8 лет назад +10

    This is a Credit. This man is powerful.

  • @saromejusto9587
    @saromejusto9587 3 года назад +5

    Jmni inaima mbona,na inakua ngumu kwangu kuukubali ukweli kua haupo baba

  • @boniphacemshigito2199
    @boniphacemshigito2199 8 лет назад +6

    love this speach ,Mungu akupe hekima zaid

  • @cleopatraayhankandal6041
    @cleopatraayhankandal6041 3 года назад +5

    Lait mtu angekuwa anakufa na kurudi tena walah tz kingewaka

  • @simonkiwise4454
    @simonkiwise4454 3 года назад +10

    Mzee tutakukumbuka sana kama ulivyosema mwenyewe! R.i.p

  • @veronicasweets4360
    @veronicasweets4360 8 лет назад +2

    Eee Mungu mbariki huyu baba. Mjalie maisha marefu

  • @babiornewton1008
    @babiornewton1008 8 лет назад +4

    This guy speaks alot of sense,In Kenya Hwakers are being humiliated,tossed left and right.I wish we had this kind of president

  • @alfinmbilinyi1326
    @alfinmbilinyi1326 3 года назад +2

    Yeah!huyo ndiyo JPM hasara kubwa ya Tanzania kumpoteza duu tutakukumbuka daima.

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 3 года назад +6

    “Sisi ndiyo wenye serikali, siyo wao”, napenda sana kiongozi anayetambua mamlaka yake na kuyatumia vizuri, the big JPM!.

  • @pastorychokala2795
    @pastorychokala2795 8 лет назад +2

    ivi anaemsema vibaya huyu rais anaakili au tope? mungu akubariki sana rais wa nchi yangu.

  • @senimagina8455
    @senimagina8455 3 года назад

    Pamoja sana kazi yako hata Mungu mwenyewe kaipenda

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias7762 3 года назад +4

    Tutakukumbuka sana mzee wetu.

  • @festoignas4146
    @festoignas4146 8 лет назад +3

    Naomba Mungu akupe Bodyguard wake malaika wakulinde mana Mungu ameyaoma maonevu ya watanzania kutokana na viongoz bas may God direct you towards victory yote yanayokuandamana yakukose isipokuwa mema tu. Mungu tulindie rais wetu Mh. Dr. John Pombe Mgufuli .

  • @HabibaHabiba-mi1ez
    @HabibaHabiba-mi1ez 8 лет назад +9

    Nimeamin Kweli Sasa Tanzania Inakiongoz Mwenye Upendo Na Wananchi Wake Mungu Akubalik

    • @samwelhintay669
      @samwelhintay669 8 лет назад +1

      kuepusha matamko ya kila uchao ni lazima mfuate sheria mlizotunga na pia mheshimiwa ingekuwa vizuri ukajenga taifa lenye dira ili hata wewe ukitoka ajaye ataifuata

    • @denistarange5580
      @denistarange5580 3 года назад

      @@samwelhintay669 dah

  • @izeman7633
    @izeman7633 8 лет назад +3

    haijawahi kutokea maamuzi km hayo
    upo sawa kabisa
    u re the right president

  • @ashaissakambona8560
    @ashaissakambona8560 8 лет назад +3

    Asante bb ww.ndie Rais wasaidie wamachiga.hao.wafukuze watendaji zako wa kz.ivi amuwaonei.uluma jamani.wanavoagaika wanawadhalilisha.sana

  • @mabugabm7708
    @mabugabm7708 3 года назад +2

    Maisha yanaenda kasi saana jamani aise, duh...?!!! Watetezi wa jana, leo wamegeuka kuwa watesaji tena...!!!

  • @kasimuwesu2620
    @kasimuwesu2620 3 года назад +2

    John pombe lala kwa aman lakin hawa ulio waacha huku wamekueka het marehem hana hak ......

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 3 года назад +5

    R.l.P our lovely President.
    Tutakukumbuka daima.

  • @igobekomagessa4430
    @igobekomagessa4430 8 лет назад +1

    Mungu wetu tunakushukuru kutupa Rais ambaye kwakweli hatukujua wala hatukutarajia ni kwa upendo wako kwetu mlinde Rais wetu na endelea kumpa ujasiri na maelekezo yatokayo kwako ili kusudi lako litimie Tanzania na kwawatanzania Amen!!!!

  • @joashnyabange8830
    @joashnyabange8830 8 лет назад +8

    Rais, Rais, Rais, Rais, Rais, mh magufuli wewe ni kiongozi wa kuigwa kweli kweli tunakupenda sana baba yetu 2020 utapata 100% ya wapiga kura, ila Waziri wa elimu atufungulie mkopo na sisi wenye diploma tupate kuanzia mwakani!

  • @kubyjuma4843
    @kubyjuma4843 3 года назад +11

    Rest in internal peace my president of all time..........😭😭😭

  • @shafiimpilika8264
    @shafiimpilika8264 5 лет назад +2

    huyu sio Rais tu! Bali ni Mtume wa Mungu kwa sisi watanzania

  • @iam1366-o7b
    @iam1366-o7b 3 года назад +1

    NO WAY ICAN FORGET YOU DAD UR KIND LIKE

  • @josephhuberty8248
    @josephhuberty8248 8 лет назад

    This is leadership we want ,proud of u son of Africa

  • @johanesbina1302
    @johanesbina1302 3 года назад +3

    Samia anavyochangia kama MTU vilee😂😂😂😂😂😂 duuh haya maisha si powa

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +2

    Rais yoyote yule mpime kwa yamtokayo mdomoni ( hotuba zisizo za kuandikiwa) maana mdomo huongea ya moyoni na dhamira. Kama matendo hayafanani na yamtokayo basi huyo wa namna yake

  • @allymapinda8804
    @allymapinda8804 8 лет назад +17

    Huyu Rais sio mchezo aisee! speaks to their faces straight.

  • @simplissamba1943
    @simplissamba1943 3 года назад +2

    dah kwann mung alimchukua lkniiiiii😰😰😰😰😰😰😰😰😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @paulmasansi1815
    @paulmasansi1815 3 года назад +5

    Rest in the perfect Paradise Hon.JPM

  • @leonardlameck7486
    @leonardlameck7486 28 дней назад

    Ikiwa na huyo anayewanyanyasa wamachinga leo alikuwepo hapo,kukiuka kauli ya marehemu kuna usalama kweli mbele za Mungu?Pole zake

  • @mds5293
    @mds5293 3 года назад +1

    Ni ngumu sana rekodi yako kuvunjwa my president

  • @thobiasboniface338
    @thobiasboniface338 8 лет назад +3

    ahsante rais wetu kwa kaz nzur

  • @philbertmgaza5434
    @philbertmgaza5434 3 года назад +3

    Mjomba tunakukumbuka na ulisema tutakukumbuka siku moja sasa yametimia RIP MJOMBA

  • @ayubusaidi922
    @ayubusaidi922 3 года назад +1

    Mungu munamuomba baba da angekuludisha jamani au mungu anupe mbadara wako wengine hapo hajasikia

  • @patricknguya1602
    @patricknguya1602 7 лет назад +3

    We ndio raisi wangu miaka1000

  • @alfredymakuru8333
    @alfredymakuru8333 3 года назад +2

    Pumzika kwa amen baba...taifa linakukumbuka kwa memaa yako

  • @neemajoseph6596
    @neemajoseph6596 3 года назад

    Vizuri Avindum dah tutakuku mbuka daima bab pumzika kwa Amahn mungu Awenawe

  • @fabiandaud8717
    @fabiandaud8717 3 года назад +3

    Baba tunazidi kukukumbuka tunatamani Tena uludi ndunia uone kinacho endelea baba magufuli

  • @anathaliamwangamila3296
    @anathaliamwangamila3296 3 года назад +1

    Hakuna raisi Bora kama wewe. RIP daima unaishi katika mioyo ya wanyonge wengi

  • @buddahpest4686
    @buddahpest4686 3 года назад +2

    Chuma kama Chuma kime pumzka ila Mungu Mwema atakatika moto tuta ishi

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +3

    Hii hotuba ni kitabu cha sulihisho la umachinga RIP Dk JPM . Hotuba zako ni ushaidi. Upendeke, usipendeke , uenziwe, usienziwe hotuba zako zitabaki kuwa ushaidi.

  • @bensonstelius4026
    @bensonstelius4026 3 года назад

    Aiseeee mungu akubaliki Sana uliko uko baba

  • @expensivecrew3159
    @expensivecrew3159 3 года назад +3

    Pumzika kwa amani baba etu

  • @jacksonkagwala9144
    @jacksonkagwala9144 8 лет назад +4

    mungu akuongoze uzidi kuwatetea wanyonge

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita9894 3 года назад +3

    Viongozi wengi waliokulia mjini hawawezi kumuelewa Huyu magu

  • @bigmaneliudy1906
    @bigmaneliudy1906 3 года назад +6

    Baba tuta kukumbuka leo tume ambiwa tuondoke

  • @dauditumaini7658
    @dauditumaini7658 3 года назад +2

    Yaani huyu mama samia duh amekuwa kipengele kwa swala la wamachinga yaani mpaka imekuwa kero haoni kama analeta balaa ndani ya inchi na uhongozi wake wanamshauri vibaya sana anasaahu kwamba anaelekea uchaguzi nani atampigia kura hajuwi kama wanaomshauri hivyo wanataka aribikiwe sivi ili asipate kura za wananchi atalikumbuka hili akikosa kura

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 3 года назад +2

    Jpm .😭Tutakukumbuka tumeanza kuona dar

  • @BennyChristian
    @BennyChristian 8 лет назад +10

    huyu ndo raisi wallahi, hata hela ikipotea vipi mtaani huyu ndo anafaaa miaka 50 mbele

    • @simonlulenga2530
      @simonlulenga2530 7 лет назад

      Asante mheshimiwa unauwezo mkubwa wa kufanya analysis na kumake decision mkubwa na Mungu akubariki Rais wetu.
      Na siai waendesha pikipiki kwa shughuli za kila Siku tumepigwa marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam, mpaka kwa kibali na kibali ni sh. 170,000/= kwa mwaka! Mh. Rais kwanza ifahamike kwamba tunaendesha pikipiki badala ya magari kwa sababu ya kuwa na kipato chetu kidogo 170,000/= tunazitoa wapi? Na kwa mini pikipiki tu na siyo wamiliki wa magari nao waingie katkati ya jiji kwa vibali??? Huu ni ubaguzi ni ukaburu mkubwa sana. Tunaomba utuangalie na sisi.

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 3 года назад +2

    Kwa Sasa Hali sio shwali

  • @RoseMary-hp5bz
    @RoseMary-hp5bz 8 лет назад +1

    Amin my president mungu atutangulie

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 3 года назад +3

    Muone hapa mama Samia kimya kama malaika. Yote ya Magufuli akayabwaga. Watanzania sasa wanateseka. Baba Magufuli tunakukumbuka sana. Huyu mama ni balaa. Hapo alikuwa akitumia tu unafiki mkubwa kawaonyesha Watanzania. KAWADANGANYA WATANZANIA. 2025BAKICHAGULIWA TENA CCM ITAKUWA INWAKOSEA SANA WATANZANIA. SHE IS UNFIT TO GOVERN THIS COUNTRY.

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 3 года назад +4

    Apa lazima tuuu kila mtu atakukumbk wewe ndo ulitambua shida za wananchi Ila Sasaiv washabomolewa Pumzika kwa Amani JPM

  • @shakurfakii5458
    @shakurfakii5458 3 года назад +2

    Alaf kumbe na mam alkuwa pemben akiitikia dah😂😂nlisahau

  • @manenomohamed592
    @manenomohamed592 8 лет назад +2

    asante ww ndiye rais wa kwel safi sana nimependa.

  • @saadamusa8901
    @saadamusa8901 3 года назад +1

    Jaman kweli asiye badirika ni mungu pekeyake

  • @renatussima5274
    @renatussima5274 3 года назад +2

    Sasa Yako wapi haya, mbona ka hakuwepo, iv mda wa kupitia kauli za Magufuli anao aundo basi tena. Ee Mpe pumziko la amani..