Agizo la Rais Magufuli kuhusu Wamachinga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 дек 2016
  • Ni agizo la Rais Magufuli Ikulu Dar es salaam kuhusu Wafanyabiashara ndogondogo kwenye maeneo mbalimbali ya Tanzania maarufu kama Wamachinga.

Комментарии • 446

  • @zuwenaabdi1670
    @zuwenaabdi1670 2 года назад +10

    Walikuja hapa baada ya machinga kufukunzwa gonga like hapa! hapo mama alivaa ngozi ya kondoo

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 2 года назад +11

    Ungepunguza kupost inauma sana unaposikiliza speech za jpm baba mwenye upendo wa kweli na watu wake.

  • @hamzaallymwaihojo
    @hamzaallymwaihojo 2 года назад +15

    Kumbe mzee alishamuagiza awatunze machinga hawa,
    Wanawake, Mungu anawaona😭😭.

  • @bonydemaria2030
    @bonydemaria2030 7 лет назад +17

    Kauli ya "hapa kazi tu" ni ngumu sana kueleweka. Tupo nyuma yako Mh. Rais... ! Best work ever seen in Tanzania!

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 2 года назад +9

    Siwezi kuacha kukulilia Baba. Ningekuwa na uwezo ningezuia kifo chako. Lakini kila mwanadamu ana ukomo. Mungu atupe mwisho mwema.

  • @adelinajonsony5802
    @adelinajonsony5802 2 года назад +13

    Rip tunakukumbuka Sana baba sema tangu umeondoka mama amekiuka kila kitu amekusaliti kwa kiwango Cha Hali ya juu Sana

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 7 лет назад +18

    nimefurahishwa sana na kauli ya Rais Wangu Magufuli, na agizo lake kwa wafanya biashara wadogowadogo, wachimbaji wadogo, wananchi waliopo kwenye maeneo ya hifadhi za wanyama.UTU, UBINADAMU, ILANI, vizingatiwe! MUNGU AKULINDE SANA RAISI WANGU, NA WANAOKUSAIDIA! Umetibu majeraha ya watu wengi waliokuwa wananyanyaswa kwenye nchi yao! WE LOVE YOU MAGUFULI. tuna njaa lakini tupo salama!

  • @kahemamzava1608
    @kahemamzava1608 2 года назад +5

    Mapumziko mema baba Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @felixjilalajilala8398
    @felixjilalajilala8398 7 лет назад +9

    mungu atupe nini sisi watanzania katupatia rais mwenye busara nyingi ewe mwenyez mungu mbariki magufuri awe na maisha malefu awe na moyo huohuo wa kuwasaidia watanzania

  • @amosmichael487
    @amosmichael487 2 года назад +3

    Wewe mwanamke Mungu anakuona Mungu yupo

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 7 лет назад +20

    da sihakosea kabisa kumpa huyu mtu kura yangu Allah akulinde baba

  • @jasbirswaran4338
    @jasbirswaran4338 7 лет назад +14

    big president JJPM,salute kubwa mkubwa wa nchi,maneno kuntu

  • @matanamaduhu8699
    @matanamaduhu8699 2 года назад +16

    RIP JPM. You will forever remain in hour hearts. You truly devoted your life to serve the poor. Mama seems to forget all these 😭😭😭😭💔💔💔

  • @nassorokatuga7465
    @nassorokatuga7465 6 лет назад +6

    Mungu akupe maisha malefu rais wetu mpendw

  • @oswardjunior7310
    @oswardjunior7310 2 года назад +6

    Delila alikuwa yuko makini kumsikiliza kumbe ki moyo nafsi yake ilikuwa inamuuma

  • @mukhsintwaha5909
    @mukhsintwaha5909 2 года назад +6

    Pumzika kwa amani JPM ulithubutu daima uliyaishi maneno yko

  • @kisianganijob1068
    @kisianganijob1068 7 лет назад +32

    how i wish we had this kind of leadership in Kenya....God bless you Mr.President,one of a kind.Long live your excellency and long live Africa!

    • @clt9914
      @clt9914 7 лет назад +3

      For sure, the kind of hyena-like leaders we have in Africa, makes one feel having a commanding president of this caliber. Pretending to be men of rule of law while squandering resources and humiliating their very citizenry is a proof of their insanity.

    • @allysultani1089
      @allysultani1089 2 года назад

      Mwenyezi mungu akupe rehema nyingi ulipo dokta magufuli.

    • @karanibonge5906
      @karanibonge5906 2 года назад

      Ruto is coming there mtakua poa

  • @shijalupondeja908
    @shijalupondeja908 2 года назад +7

    Dah hadi inauma sana,pumzika kwa Amani Baba.

  • @japhetselestine2156
    @japhetselestine2156 2 года назад +4

    Tunakukumbuka baba, tena Tunakukumbuka kwa mazuri siyo kwa mabaya, RIP my president

  • @josephhuberty8248
    @josephhuberty8248 7 лет назад +14

    This is leadership we want ,proud of u son of Africa

  • @tanzaniaonfoot8641
    @tanzaniaonfoot8641 7 лет назад +7

    Kwa miaba ya wamachinga wote napenda kusema kuwa tulimuomba Mungu atupe raisi atakaye tetea wanyongi, kweli Mungu katusikia na kujibu maombi yetu! Mungu akujalia maisha malefu yenye afya njema mheshimiwa Dr. J Pombe Magufuli.

    • @amirlove8036
      @amirlove8036 7 лет назад +2

      asante RAIS wetu

    • @amirlove8036
      @amirlove8036 7 лет назад +1

      RAIS magufur we we ni jembe tutetee baba hata bodaboda tunazinguliwa kinoma sana!

  • @ramlaothman5771
    @ramlaothman5771 2 года назад +3

    Kabla ya hapa tulipo mwanamke Ali play part ya usaliti akamsaliti Adam the same to madam president,, inshort wanawake ni wasalitii... Allah atuondolee hiyo roho inshallah

  • @johanithajacob8715
    @johanithajacob8715 2 года назад +10

    Tulioxkia hotuba ya samia khc machnga tkard tena hapa kwa baba tujuane rest in peace my president

  • @kuhandajoshua8688
    @kuhandajoshua8688 7 лет назад +12

    Hakika Mungu anapotaka kujibu maombi ya vilio vya wanadamu hapa duniani, huinua kiongozi aliye na moyo wa Mungu ambaye atawatumikia wanadamu ili kutimiza kusudi la Mungu katika taifa husika. WATANZANIA, TUMWOMBEE JPM...

  • @athewinersdone731
    @athewinersdone731 7 лет назад +13

    Wewe ni rulu ya Tanzania pia Africa nimeipenda debate yako kweli you is my true President I'm loving you Mr President

  • @masterdaudi7683
    @masterdaudi7683 2 года назад +4

    Huyu mama kaja tofauti nawewe daaaah pumzika kwa amani magufuli..

  • @saromejusto9587
    @saromejusto9587 2 года назад +5

    Jmni inaima mbona,na inakua ngumu kwangu kuukubali ukweli kua haupo baba

  • @elmediano8125
    @elmediano8125 2 года назад +2

    Mungu azidi kukuifadhi my G daima tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭😭

  • @husseinswahili7382
    @husseinswahili7382 7 лет назад +18

    Asant baba Asant baba Natamani katiba ya Tanzania ibadilishwe ili ukae madarakani miaka yote ya uhai wako.
    Ewe mungu tulindie Rais wetu na mpe hekma nyingi.

  • @universalcreativestudio8488
    @universalcreativestudio8488 7 лет назад +5

    Heshima kwako!.. Mhe, Rais wetu JONH POMBE JOSEPH MAGUFULI...... Mwenyezi Mungu akulinde... kungekua na uwezekano wakugombea Urasi wa Dunia tunaamin ungepata..... hapa wasio kuelewa ni wazembe wa fikra!... (Viliza). na tunavyokufaham huwezi kukwamishwa na watu wa Design hiyo!.. tuko pamoja na wewe katika maombi!..

  • @alecsbiggz418
    @alecsbiggz418 7 лет назад +4

    MR.President i salute you! you are more than a President well done good job and may God bless ,protect and guide you . we need more Magufulis in Africa to transform the Continent. the only african Head of state who really worry about the poor. Go on Mr.President the whole continent loves and apreciate what you are doing to the Country.

  • @cleopatraayhankandal6041
    @cleopatraayhankandal6041 2 года назад +5

    Lait mtu angekuwa anakufa na kurudi tena walah tz kingewaka

  • @kubyjuma4843
    @kubyjuma4843 2 года назад +11

    Rest in internal peace my president of all time..........😭😭😭

  • @mamacompyu5925
    @mamacompyu5925 7 лет назад +5

    katika cku ulionifurahisha magufuli leo umenifurahisha Sana Shikmoh bba kweli wwe ni mtetezi WA wanyonge
    mungu akupe afya njema

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 2 года назад +3

    Tutakukumbuka sana raisi wa wanyonge kipenzi cha mtetezi wa Tanzania

  • @abduladhimually3542
    @abduladhimually3542 7 лет назад +8

    Hongeera mh.......ila umeongea muda mrefu ila sijaona hata glasi ya maji

  • @piusemma1
    @piusemma1 7 лет назад +10

    This is a Credit. This man is powerful.

  • @simonkiwise4454
    @simonkiwise4454 2 года назад +10

    Mzee tutakukumbuka sana kama ulivyosema mwenyewe! R.i.p

  • @fipa1823
    @fipa1823 2 года назад +3

    Magufuli alikuwa one king of Tanzanian pamoja na Africa......

  • @daudimariseli3627
    @daudimariseli3627 7 лет назад +2

    asante mh rais Allah akupe nguvu na akupe maisha marefu na uongozi uliotukuka baba tupo nyuma yako tukikuombea uzid kutufurahisha baba yetu asante sana kwa maelekezo kwa viongozi wote.....mungu akubariki na mungu aibariki afrika

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 2 года назад +5

    R.l.P our lovely President.
    Tutakukumbuka daima.

  • @shakirarashid9181
    @shakirarashid9181 7 лет назад +10

    shikamoo rais wangu Ni Kweli watu tunakimbia nchi yetu kisa maisha magumu ila kwa ninavyo ona tutaludi na ss nchi kwetu tueshimiwe tumechoka kuitwa mashaghara duuuh Asante mungu kwa kumuleta magufuli

  • @ajeydevgan7108
    @ajeydevgan7108 7 лет назад +3

    Nimemuelewa mkuu wa nchi yuko vizuri sana Mungu ambariki sana.

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 2 года назад +6

    “Sisi ndiyo wenye serikali, siyo wao”, napenda sana kiongozi anayetambua mamlaka yake na kuyatumia vizuri, the big JPM!.

  • @goalsworldwide5583
    @goalsworldwide5583 7 лет назад +4

    Magufuli oyeeeee Mungu akupe maisha marefu Mh.Rais

  • @officialkinghezekiah2094
    @officialkinghezekiah2094 7 лет назад +5

    sikukupa kuraa mkuu,,bt in the end i realize that yooo the great one,God Bless U

    • @fatumashabani5341
      @fatumashabani5341 4 года назад

      Allah akupe maisha malef rais wetu hatuna cha kukurip ira Mungu atakurip

  • @reubenjackson7327
    @reubenjackson7327 7 лет назад +3

    ua the best president in Africa,,, swala la wawekezaji hilo cc kama wananchi linatuuma sana,,, tunaomba ulifanyie kaz kwa sababu watanzania weng c wawekezaj na hata wakitafuta uwekezaj hawapew kulipaumbele kama wagen, jpm Fanya kaz!!

  • @bigmaneliudy1906
    @bigmaneliudy1906 2 года назад +6

    Baba tuta kukumbuka leo tume ambiwa tuondoke

  • @boniphacemshigito2199
    @boniphacemshigito2199 7 лет назад +6

    love this speach ,Mungu akupe hekima zaid

  • @HabibaHabiba-mi1ez
    @HabibaHabiba-mi1ez 7 лет назад +9

    Nimeamin Kweli Sasa Tanzania Inakiongoz Mwenye Upendo Na Wananchi Wake Mungu Akubalik

    • @samwelhintay669
      @samwelhintay669 7 лет назад +1

      kuepusha matamko ya kila uchao ni lazima mfuate sheria mlizotunga na pia mheshimiwa ingekuwa vizuri ukajenga taifa lenye dira ili hata wewe ukitoka ajaye ataifuata

    • @denistarange5580
      @denistarange5580 2 года назад

      @@samwelhintay669 dah

  • @paulmasansi1815
    @paulmasansi1815 2 года назад +5

    Rest in the perfect Paradise Hon.JPM

  • @BennyChristian
    @BennyChristian 7 лет назад +10

    huyu ndo raisi wallahi, hata hela ikipotea vipi mtaani huyu ndo anafaaa miaka 50 mbele

    • @simonlulenga2530
      @simonlulenga2530 6 лет назад

      Asante mheshimiwa unauwezo mkubwa wa kufanya analysis na kumake decision mkubwa na Mungu akubariki Rais wetu.
      Na siai waendesha pikipiki kwa shughuli za kila Siku tumepigwa marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam, mpaka kwa kibali na kibali ni sh. 170,000/= kwa mwaka! Mh. Rais kwanza ifahamike kwamba tunaendesha pikipiki badala ya magari kwa sababu ya kuwa na kipato chetu kidogo 170,000/= tunazitoa wapi? Na kwa mini pikipiki tu na siyo wamiliki wa magari nao waingie katkati ya jiji kwa vibali??? Huu ni ubaguzi ni ukaburu mkubwa sana. Tunaomba utuangalie na sisi.

  • @johanesbina1302
    @johanesbina1302 2 года назад +3

    Samia anavyochangia kama MTU vilee😂😂😂😂😂😂 duuh haya maisha si powa

  • @joashnyabange8830
    @joashnyabange8830 7 лет назад +8

    Rais, Rais, Rais, Rais, Rais, mh magufuli wewe ni kiongozi wa kuigwa kweli kweli tunakupenda sana baba yetu 2020 utapata 100% ya wapiga kura, ila Waziri wa elimu atufungulie mkopo na sisi wenye diploma tupate kuanzia mwakani!

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias7762 2 года назад +4

    Tutakukumbuka sana mzee wetu.

  • @shadrackfidel809
    @shadrackfidel809 2 года назад +7

    Once upon a time,
    Tanzania ilimpata kiongozi..

  • @babiornewton1008
    @babiornewton1008 7 лет назад +4

    This guy speaks alot of sense,In Kenya Hwakers are being humiliated,tossed left and right.I wish we had this kind of president

  • @omarimkwama6902
    @omarimkwama6902 2 года назад +1

    Mmeniona lakini nilivyo tulia kama naelewa vile uku nikiambulia ambulia neno moja moja utanitaka 😂😂

  • @kasimuwesu2620
    @kasimuwesu2620 2 года назад +2

    John pombe lala kwa aman lakin hawa ulio waacha huku wamekueka het marehem hana hak ......

  • @shakurfakii5458
    @shakurfakii5458 2 года назад +2

    Alaf kumbe na mam alkuwa pemben akiitikia dah😂😂nlisahau

  • @alfinmbilinyi1326
    @alfinmbilinyi1326 2 года назад +2

    Yeah!huyo ndiyo JPM hasara kubwa ya Tanzania kumpoteza duu tutakukumbuka daima.

  • @simplissamba1943
    @simplissamba1943 2 года назад +2

    dah kwann mung alimchukua lkniiiiii😰😰😰😰😰😰😰😰😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @izeman7633
    @izeman7633 7 лет назад +3

    haijawahi kutokea maamuzi km hayo
    upo sawa kabisa
    u re the right president

  • @hudumayakufunguliwanakuwek1366
    @hudumayakufunguliwanakuwek1366 2 года назад +1

    NO WAY ICAN FORGET YOU DAD UR KIND LIKE

  • @mabugabm7708
    @mabugabm7708 2 года назад +2

    Maisha yanaenda kasi saana jamani aise, duh...?!!! Watetezi wa jana, leo wamegeuka kuwa watesaji tena...!!!

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 2 года назад +4

    Apa lazima tuuu kila mtu atakukumbk wewe ndo ulitambua shida za wananchi Ila Sasaiv washabomolewa Pumzika kwa Amani JPM

  • @emmanuelrugambwa588
    @emmanuelrugambwa588 4 года назад +1

    Mungu ibariki Tanzania na Rais Magufuli. From Rwanda

    • @musamgutu7760
      @musamgutu7760 4 года назад

      Alafu eti nikapigie kura upinzani subutuu apa jpm tuuu

  • @rashidijulius6511
    @rashidijulius6511 7 лет назад +1

    Mungu akupe maisha mareefu na yenye furaha. na akuongezee utekelezaji mwingine wa mambo mengine. asante saana mh Rais JPM.

  • @alimachiusaugustine1445
    @alimachiusaugustine1445 2 года назад +3

    Sasa najiuliza maswali mengi kwanini urifariki mtetezi wa wanyonnge

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 года назад +2

    Rais yoyote yule mpime kwa yamtokayo mdomoni ( hotuba zisizo za kuandikiwa) maana mdomo huongea ya moyoni na dhamira. Kama matendo hayafanani na yamtokayo basi huyo wa namna yake

  • @veronicasweets4360
    @veronicasweets4360 7 лет назад +2

    Eee Mungu mbariki huyu baba. Mjalie maisha marefu

  • @sunny_banksfx
    @sunny_banksfx 2 года назад +5

    Wangapi tumekuja hapa Leo baada ya miaka minne? Rest in peace #JPM

  • @pastorychokala2795
    @pastorychokala2795 7 лет назад +2

    ivi anaemsema vibaya huyu rais anaakili au tope? mungu akubariki sana rais wa nchi yangu.

  • @jacksonkagwala9144
    @jacksonkagwala9144 7 лет назад +4

    mungu akuongoze uzidi kuwatetea wanyonge

  • @expensivecrew3159
    @expensivecrew3159 2 года назад +3

    Pumzika kwa amani baba etu

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 2 года назад +2

    Kwa Sasa Hali sio shwali

  • @estareliya5818
    @estareliya5818 2 года назад +4

    Lala salama baba

  • @abdallahmagera9160
    @abdallahmagera9160 5 лет назад

    MUNGU nimipango yako atukujua kama tutampata mtanzania mwenye kuwapenda watu wake tunakuomba MUNGU wetu mtie nguvu na afya njema Amina

  • @thobiasboniface338
    @thobiasboniface338 7 лет назад +3

    ahsante rais wetu kwa kaz nzur

  • @manenomohamed592
    @manenomohamed592 7 лет назад +2

    asante ww ndiye rais wa kwel safi sana nimependa.

  • @paulosadoi8309
    @paulosadoi8309 7 лет назад +6

    magufuri kwanini hatukukupata kama wewe miaka 30 iliyo pita????? tunge kuwa wapi sasa

  • @ashaissakambona8560
    @ashaissakambona8560 7 лет назад +3

    Asante bb ww.ndie Rais wasaidie wamachiga.hao.wafukuze watendaji zako wa kz.ivi amuwaonei.uluma jamani.wanavoagaika wanawadhalilisha.sana

  • @barutwatv8308
    @barutwatv8308 2 года назад +3

    Baba saiz amesha sahau ushaul ako mtokee BC ata kwa ndoto mkumbushe

  • @rosetui6070
    @rosetui6070 3 года назад +7

    I wish there is translations on the screen. would be nice to listen

  • @fabiandaud8717
    @fabiandaud8717 2 года назад +3

    Baba tunazidi kukukumbuka tunatamani Tena uludi ndunia uone kinacho endelea baba magufuli

  • @buddahpest4686
    @buddahpest4686 2 года назад +2

    Chuma kama Chuma kime pumzka ila Mungu Mwema atakatika moto tuta ishi

  • @shafiimpilika8264
    @shafiimpilika8264 4 года назад +2

    huyu sio Rais tu! Bali ni Mtume wa Mungu kwa sisi watanzania

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 7 лет назад +5

    asante baba mungu akuongoze ktk maamuzi yako

  • @igobekomagessa4430
    @igobekomagessa4430 7 лет назад +1

    Mungu wetu tunakushukuru kutupa Rais ambaye kwakweli hatukujua wala hatukutarajia ni kwa upendo wako kwetu mlinde Rais wetu na endelea kumpa ujasiri na maelekezo yatokayo kwako ili kusudi lako litimie Tanzania na kwawatanzania Amen!!!!

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 года назад +3

    Hii hotuba ni kitabu cha sulihisho la umachinga RIP Dk JPM . Hotuba zako ni ushaidi. Upendeke, usipendeke , uenziwe, usienziwe hotuba zako zitabaki kuwa ushaidi.

  • @alfredymakuru8333
    @alfredymakuru8333 2 года назад +2

    Pumzika kwa amen baba...taifa linakukumbuka kwa memaa yako

  • @allymapinda8804
    @allymapinda8804 7 лет назад +17

    Huyu Rais sio mchezo aisee! speaks to their faces straight.

  • @festoignas4146
    @festoignas4146 7 лет назад +3

    Naomba Mungu akupe Bodyguard wake malaika wakulinde mana Mungu ameyaoma maonevu ya watanzania kutokana na viongoz bas may God direct you towards victory yote yanayokuandamana yakukose isipokuwa mema tu. Mungu tulindie rais wetu Mh. Dr. John Pombe Mgufuli .

  • @philbertmgaza5434
    @philbertmgaza5434 2 года назад +3

    Mjomba tunakukumbuka na ulisema tutakukumbuka siku moja sasa yametimia RIP MJOMBA

  • @mrpambatv3420
    @mrpambatv3420 2 года назад +3

    Yani huyo mama ametulila kama binadam kumbe moyoni mwake!!!!!????? RIP JPM

  • @daudimakaya9240
    @daudimakaya9240 7 лет назад +7

    kuna watu wanajuashida za watanzania kama huyu raisi wetu magufur ndo maana nakukubal

    • @mubarikmohammed557
      @mubarikmohammed557 4 года назад

      I'm Ghanaian I love this man he did a great job May almighty ALLAH let him win again because he can fight for Africans,rest of the African presidents should look at him and change,all African leader should stop taking loans from china Africa is rich

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 2 года назад +2

    Jpm .😭Tutakukumbuka tumeanza kuona dar

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita9894 2 года назад +3

    Viongozi wengi waliokulia mjini hawawezi kumuelewa Huyu magu

  • @jacktonmakau3397
    @jacktonmakau3397 2 года назад +2

    Leo mama amekuwa wehu kabisa ..wamachinga wanafukunzwa

  • @renatussima5274
    @renatussima5274 2 года назад +2

    Sasa Yako wapi haya, mbona ka hakuwepo, iv mda wa kupitia kauli za Magufuli anao aundo basi tena. Ee Mpe pumziko la amani..