Makonda Ataja Majina Mengine 65 ya Watuhumiwa wa Kuuza ‘Unga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametaja majina ya watuhumiwa wengine 65 wa madawa ya kulevya, wakiwemo Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Elikael Mbowe, Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, Askofu Josephat Gwajima na Mbunge Mstaafu wa Kinondoni, Idd Azzan

Комментарии • 15

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 3 года назад +3

    Hongeren kwa kaz mzr mrio ifanya na bba maguful🙏lkn sasaiv wamerud kwa kaz na kusingizia kes watu leo sabaya leo makonda chuki ya kisasi hii ndio leo hi wanaripiza...lkn mrisaidya sana watto wetu wariasirika sana viongoz wa chadema hawana dimukasia bar ni uchafu wa madawa ya kuleva na ushoga...

    • @jamesshao538
      @jamesshao538 2 года назад

      Huyu fala tu hongera ya nini bwegee tu huyu

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 Год назад +1

    Congratulations 👏👏👏👏 Kwa kazi ya kupambana na madwa ya kulevya

  • @jeremiahpatel7916
    @jeremiahpatel7916 3 года назад +3

    Ulev wa madaraka mshamba

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 месяца назад

    Na wewe mwenyewe ujitaje dhuma inazo zudhumu watu

  • @jotitv7513
    @jotitv7513 3 года назад +2

    Hi laaana ya kumchafua Manji inakutafuna

  • @sarshahemed284
    @sarshahemed284 3 года назад +2

    Tumepitia mengi sana hii nchiii...pwaa

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 2 месяца назад

    Hii vita siyo yetu.ina wenyewe

  • @barakamwakyolile9263
    @barakamwakyolile9263 Год назад

    This was not a serious conversation about crimes especially a serious crime like drug trafficking… kwanza unakula na list ilokamilika na inatangazwa na police maana ndo ana wadhifa wa kufanya uchunguzi. Chombo cha dola

  • @EsterPaul-uc7ny
    @EsterPaul-uc7ny 4 месяца назад

    Hongeraa kwakazi unanyoifanyaa mheshimiwaa hakika mungu akupee maishaaa marefu

  • @janewacera7812
    @janewacera7812 7 лет назад +2

    Kazi Nzuri

  • @makobamasawemangu4122
    @makobamasawemangu4122 Год назад

    Wew jamaa ulikuaga lijinga sana enzi za Maguful ulikuwa unaonge kwa kibul sana

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 Год назад

    Akili ndogo

  • @gideonemmanyi9593
    @gideonemmanyi9593 2 месяца назад

    Nchi iliharibika sana hongera Mama umetuliza nchi