Bishop Gwajima Amejibu Tetesi za Utajiri wake/Anajenga Uwanja wa Watu 60,000 kwa Ajili ya Maombi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mtumishi Josephat Gwajima amefunguka kwenye kipindi cha Power Breakfast kuhusu utajiri wake .....

Комментарии • 178

  • @mithletlwoyelo6044
    @mithletlwoyelo6044 4 года назад +7

    This is one of the servants of God I respect and listen to.More grace!

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 3 года назад

    ndugu gwajima anajibu kwa hekima may GOD bless him

  • @felixmwacha6216
    @felixmwacha6216 4 года назад +7

    Yesu alikufa kwa ajil yetu inatupasa kumwamwin il tuingie mbingun nimeielewa hiyo bishop

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 4 года назад +1

    Kwanini mko studio but mchukua local video sauti haiko well

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho2432 4 года назад +5

    Shikamooh gwajima

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 4 года назад

      🤣 🤣 🤣 🤣 Barack! 🤔

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato2941 4 года назад

    Acha aendelee kukusanya sadakkma za watu mungu anamuona

    • @queenjaneth886
      @queenjaneth886 4 года назад

      Huna Akili kabisa na unachokiongea hujui unaongea tu Bible inasema watu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndo wewe sasa

    • @eliassospeter
      @eliassospeter 3 года назад

      Sasa unataka uajiliwe wewe ukakusanye?? Mbona akili kidogo unauliza nini sasa hapa?! Kazi ya sadaka ni nini? Hebu soma na maandiko ili uelewe.

    • @margaretkarambu936
      @margaretkarambu936 Год назад

      Ukienda kanisani ni lazima utoe sadaka.

  • @sospeterkamala5481
    @sospeterkamala5481 4 года назад +7

    Hao watangazazaji wamekutana na kichwa kinachowazidi akili na Mungu

  • @yaletbweye5565
    @yaletbweye5565 4 года назад +1

    Uwezi kujilinganisha na Papa,sababu papa hanamali zake binafsi,malianazo tumia zinabaki kanisani

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Ameongea mfano tu kwani papa ni Nani si binadam tu na yy kuanza Kanisa lake ipo kisheria na hata kutoa sadaka hakuna kudhikiwa bunduki hata ukitaka usiende hushtakiwi sadaka sadaka Tena wasemaji wa sadaka wao wanatoa mia mbili

  • @Goodmusic2017
    @Goodmusic2017 4 года назад

    Mwenye akili kashaelewa...!!
    No time to argue...!😃😃😃

  • @wekaputv9406
    @wekaputv9406 4 года назад

    Kachemka

  • @iamthefarmerceo2316
    @iamthefarmerceo2316 4 года назад

    MasOUD Kipanya is the RADIO PRESENTER OF ANOTHER LEVELS!! Mwaswalii ya akili na yeye anazo akili pia.

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 4 года назад

    Mwongo marizote zamakanisa haya yakireo huwa nimarizo na wanaandikisha kbs serekarini kama mariyao

    • @jerryjuma1339
      @jerryjuma1339 3 года назад

      nawewe fungua kanisa Kama unaona anafaidi mwenzio

  • @azadida801
    @azadida801 4 года назад

    Mchungaji vipi kuhusu dawa ya corona, hapo ndio pa kusaidia, kama kweli unatembea na Yesu wapi dawa ya Corona

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад

      Na baada ya kupona mbona sijaona ukirudisha shukrani kwa Mungu sio vizuri kudhihaki maana hata sisi tunapaswa kuomba sio baada ya tatizo ndio tuambie Watumishi km unahubiri nione na hili ukilifanya neno linasema ktk Ezra inuka maana shuhuli hii inakuhusu

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 4 года назад

    Nanyie watangazaji muulizeni maswali ya msingi alisema corona HAITAINGIA sasa imeingia ajibu huyo Mungu kigeugeu akoje?

    • @jordanfromyt2861
      @jordanfromyt2861 4 года назад

      john mligo labha ulisikia vibaya au?

    • @lechoaidan8416
      @lechoaidan8416 3 года назад

      Haijaingia kwake ,,Kama i
      meingia imekuja na wenyewe tu

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania1005 4 года назад

    Daa hii interview ingekuwa kule WASAFI TV comments zingekuwa zaidi M1 ila hapa zipo 81 tu yaani chini ya 100 daa hii ni hatari ndugu zangu watanzania mgonjwa yupo ICU

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji9960 4 года назад +8

    clouds Tunaomba mtuleteee video za Sam_Sasali akiwa anaperusi na kudadisi na wakina kipanya

  • @fidelialucassamkhumbi2476
    @fidelialucassamkhumbi2476 4 года назад +4

    I love the bishop, umaskini haupo mbinguni, ndio negative yenyewe

  • @miltonmugisha1805
    @miltonmugisha1805 4 года назад +11

    Gwajima is very smart Hasa hapo kwenye muujiza mkubwa

  • @silajulius3467
    @silajulius3467 Год назад +1

    kabisa. muujiza mkuu Ni Mtu kuokoka na kumpokea Yesu Kristo

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 4 года назад +5

    Uwatakase kwa ile kweli neno lako (Mungu) ndiyo kweli. Yohana 17:17

  • @denistimothy6650
    @denistimothy6650 4 года назад +1

    Yan uyo lady presenter ana put much concentration ya kuhangaika na kisim chake kuchukua video wakat kuna camera zimefungwa apo 😅😷

  • @SaidChambi
    @SaidChambi 4 месяца назад

    Askofu Gwajima ichambue bible

  • @AbigaëlKatumbwe
    @AbigaëlKatumbwe 3 месяца назад

    Mchungaji tu me kuelewa.

  • @magnusnkomola5950
    @magnusnkomola5950 4 года назад +1

    Huwa najiuliza sana WATU WA mungu kuwa matajiri NA kushindwa kusaidia maskini NI SAHIHI kweli? Ndiyo mungu anasema HIVYO.
    Huwa sijasikia hapa kwetu Tz wachungaji wakisaidia WATU wanapopata majanga.
    NI toe mfano kwa NABII TB JOSHUA JINSI MUNGU ANAVYO MBARIKI NA KUWAPONYA WATU WAKE KWA HATUA HIYO NAONA UWEPO WA MWENYEZI MUNGU.

    • @mathewssilungwe7692
      @mathewssilungwe7692 2 года назад +1

      Hakuna mtumishi nabi kama TB Joshua hapa TZ.... Yule TB Joshua alitoka kwa Yesu na pia tutamuona wote tukifa Mbinguni.

  • @josej9888
    @josej9888 4 года назад +4

    Chuma hicho.

  • @ovn-sportswear4983
    @ovn-sportswear4983 4 года назад +3

    Kabla ya yote watangazaji na waumi nendeni mkaisikilize nyimbo ya afande sele ft bele9 dini zililetwa tu kutoka mashariki ya mbali sasa inashangaza amzungumzii kabla ya hao watu weupe kuja africa sisi watu weusi tulikuwa hatu mungu wa mtume mweusi tiii kamimi au wewe leo hii unajifanya unaimani ya kuletewa

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 4 года назад

      Ukitaka kusema hivo enzi hizo hata Hospital hazikuwepo viwanda mashule, umeme nk

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 4 года назад

      Na kingine hata ww said hukuwa na dini hiyo kabla ya mwarabu

    • @bernardmwenda5186
      @bernardmwenda5186 4 года назад

      Said Athmani, inaonesha hujui Mungu ni nini! Unafikiria kuwa Mungu unaweza kumtengeneza hata wewe akawa Mungu wako.
      Mungu ni muumba wa wote, ni Baba wa wote wenye mwili. Wazungu kama waliteta dini ambayo hukuielewa inaweza kuwa sawa kwa sababu kuna dini nyingi; zinazoitwa za Kikristo na zinazoitwa za Kiislam. Dini siyo Mungu, lakini Mungu bado yuko. Mungu anawafanya watu kuacha dhambi wakishamtambua na kujua madhara ya dhambi, kwamba ni moto wa Jehanam. Nikizungumza hilo bado utasema ni mafundisho ya kizungu au ya kigeni; ni kwa sababu hujampokea huyo Mungu. Nikikuelezea kwa maandiko katika biblia utasema zimeletwa na wageni, bado moyo wako utakuwa mbali. Jambo moja fahamu tu kuwa, sisi ni viumbe, hatutaishi milele hapa duniani, na aliyetuumba ni Mungu mwenye haki yote, anataka tuishi maisha ya kutokuwa na dhambi au maisha ya utakatifu, Zaburi 16:3. Mwanadamu kwa jitihada hawezi kuishi maisha hayo, ni mpaka ajitambui na ahitaji msaada wa kushinda dhambi kutoka kwa Mungu mweyewe.
      Ni suala geni kwako, lakini tu ni kwamba wenye dhambi wote , wakifa wanaenda jehanamu ya moto, kama huamini utakapokuwa umekufa utaamini maneno haya.

  • @jaafarjacka3320
    @jaafarjacka3320 4 года назад +4

    Masoud Kipanya........maswali magumu unauliza

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 4 года назад +5

    Baba angu Askofu akiongea natamani Kila mtu anyamaze nimsikie kwa Makini

  • @MiriamMeshack-k6z
    @MiriamMeshack-k6z Месяц назад

    Mawimbi mafuno🎉

  • @abujuhaifah7461
    @abujuhaifah7461 4 года назад +6

    Gwajima swali kuhusu utajiri umezungusha nakupa F kwa ulivojibu yaonesha munawaibia ao wananchi

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 4 года назад +1

      Amna mtu anaeibiwa maana sadaka sio lazima

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 4 года назад

      Kiukweli asemae wanaibiwa wananchi unakuta hasomi maandiko bibilia iko wazi hilo ni 1la pili kuhusu kutaja mali zake acheni kbs mm naona haina mantiki yoyote huwezi kuchukuwa mazingila ya ulaya ukaya leta Afrika hapo nikitu hakiwezekani hapo tu kuna watu walikuwa wanasubiri kwa hamu ataje halafu angeona ambacho kingefatia

    • @queenjaneth886
      @queenjaneth886 4 года назад

      Ongea machache Abu maana Mali zake wewe hazikuhusu hata kidogo

  • @chitemakeha2067
    @chitemakeha2067 4 года назад +5

    Mlidhani gwajima kapataje utajiri? Nyie watu gwajima ni intelligent sana yan hamkujua?

    • @syriacussylivester4594
      @syriacussylivester4594 3 года назад

      Kweli jamani iweni makin huyoo ni mtumishi mkubwa anaetumika kimungu so badili mawazo yenu ety mtaumbukaaa

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji9960 4 года назад +2

    Ila masoud naona umemuivisha ciza

  • @sunrishmussan7929
    @sunrishmussan7929 4 года назад +1

    Maswali mengne mnayotakiwa kuwaulza hawa wachungaji nkwamba KWANINI WAMEKUWA HAWAWAXOMEI WAUMINI WAO BAADHI YA SURA KWENYE BIBLE bali wamekuwa wakifichafcha tu mambo na kuwaxomea xehmu wanazoona zitawanufaisha wao?

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 3 года назад

    Mali zake na utajili vina mahusiano gani mwacheni awatumikie tz

  • @azizaz1628
    @azizaz1628 4 года назад

    Leteni zaka kamilighalani ili kiwemo chakula ktk nyumba yangumkanijaribu kwa njia hiyo asema Bwana wa majeshi. Malaki 3:10
    Nataka kusema nn zaka na sadaka ni mali ya Bwana. Kwa hiyo hata gwajima ni lzm atoe zaka na sadaka tena kwa uaminifu na km hatoi bibilia inamuhesabu kuwa ni mwizi.

  • @abahimbangerina380
    @abahimbangerina380 4 года назад

    SIZYA hebu fanya upate mwenzio maana nimekuona leo kumbe umeisha kuwa mtu mzima. Napenda maongezi na maswali yenu...challenging questions.

  • @abrahamyohana4953
    @abrahamyohana4953 4 года назад +2

    Oya muachenihuyo gwajima! Mutamuumbua

  • @thomasbukuru
    @thomasbukuru Год назад

    Bishop GWAJIMA Chuma kabixa

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 3 года назад

    Mali ya kanisa nani mwenye kanisa wakati wewe ndiyo mmiliki wa kanisa?

  • @saidahamada7782
    @saidahamada7782 4 года назад +1

    Mali za sadaka hizo

  • @TimothYamunda
    @TimothYamunda 6 месяцев назад

    Unahekima ya kristo ndani yako mzee ❤❤❤

  • @RaimundoZacariasJonas-jq1bg
    @RaimundoZacariasJonas-jq1bg 8 месяцев назад

    Nimependa apo kwenhe muhujiza

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 4 года назад +2

    Maswali magumu sana aise

  • @mariarashid6140
    @mariarashid6140 Год назад

    Bishop wangu gwajima tunakupenda

  • @OyengelaMariam-wk6qm
    @OyengelaMariam-wk6qm 11 месяцев назад

    I love my Dad gwajima may God bless him

  • @emmanuelbasu4672
    @emmanuelbasu4672 3 года назад

    nisaidie nmb yako askof Gwajima

  • @Patience.67
    @Patience.67 2 года назад

    Nampenda Baba gwajima enyewe ana mafunzo mema

  • @laurentmbakile9389
    @laurentmbakile9389 4 года назад +1

    Leo cameraman yuko vizur!

  • @silverman6930
    @silverman6930 4 года назад +4

    Wajinga ndio wanaoliwa ...

  • @davidkihiga3531
    @davidkihiga3531 4 года назад +1

    my role model

  • @margaretkarambu936
    @margaretkarambu936 Год назад

    A brilliant Man of God.

  • @mwaminiwivine2840
    @mwaminiwivine2840 4 года назад

    Diyounawapa ujumbe hawasikiye

  • @hamadshein8272
    @hamadshein8272 4 года назад +2

    Ckuwatuma muende kuponya watu kwa jina langu.mimi nyie cwajui. Yesu huyo ndo anacma sasa cjui hpo pamekaaje.

    • @robathzingu1650
      @robathzingu1650 4 года назад +1

      Una - refer toka wapi hiki unachokisema hapa? Biblia au Korani? Kama ni Biblia toka kitabu gani na aya ya ngapi ndugu?

    • @hamadshein8272
      @hamadshein8272 4 года назад +1

      @@robathzingu1650 yesu kawakana hawa mitume feki hta kabla y cku y mwisho.sasa hta nikikwambia ukacme hta badilika.wewe komaa mpka cku ya mwisho.ukakataliwe live.

    • @hamadshein8272
      @hamadshein8272 4 года назад +1

      @@leokadiakajuna8000 uctoe povu.dogo rudi ucme baibo wewe unaendaga kuimba tu.

    • @hamadshein8272
      @hamadshein8272 4 года назад +1

      @@leokadiakajuna8000 wanao jiita mitume walijua hlo.

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 4 года назад

      Tutajie hilo andiko linatoka kitabu gani Cha biblia na sura ya ngapi

  • @elinihakieliakunda9967
    @elinihakieliakunda9967 4 года назад

    Majibu anayotoa kwangu bado sana

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 4 месяца назад

      mfuate Kawe utapata majibu yoote na Kiu itaisha

  • @kibonahenry1521
    @kibonahenry1521 4 года назад +5

    Huyu jamaaan anapoint xana

  • @raymondmelele1911
    @raymondmelele1911 4 года назад +2

    Uyo jamaa ana point sana

  • @mr_kajombaremelo_og2134
    @mr_kajombaremelo_og2134 4 года назад +4

    Naipenda clouds

  • @aminamunezero
    @aminamunezero 4 года назад +1

    Namkubalisana.sikuhizi simsikikuliamsha dude

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji9960 4 года назад +1

    maswali lit pekee hiii ndo clouds

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 4 года назад +1

    Maswali haya mh!🙆

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 4 года назад +1

    Gwajima janja janja sana veve ,unajbu maswal kijanja janja sana

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 4 года назад

    hawa ni wachungaji waongo tu wanaijua kweli hawataki kuifundisha.

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 года назад +1

    Amen.

  • @uhurusamora860
    @uhurusamora860 4 года назад

    Nabii wa shetani huyo tapeli! Yesu hakuwa tajiri wala Papa wa Vatikan sio tajiri ana mamlaka tu!! Kumbuka "Tajiri kuingia ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupenya ktk tundu la sindano" mungu anakuona!!

    • @bernardmwenda5186
      @bernardmwenda5186 4 года назад

      Mamlaka ya Papa ni ya mbinguni au duniani? Papa kwa taarifa yako ni Rais, akiingia nchi yoyote anapigiwa mizinga kama Rais.
      Rais halafu kiongozi wa dini! Cha msingi nadhani ni utakatifu na uaminifu kwa Mungu, na pia kuhubiria watu kweli ili waende mbinguni.

    • @eh2construction575
      @eh2construction575 4 года назад

      Ndo ulivyoelewa kumbe, endelea kuwa maskini. Ukiwmbiwa toa mchango wa kujenga kanisa unahama kanisa, toka kwenye umaskini. Yesu alikuwa maskini ili tuwe matajiri

    • @akagast5225
      @akagast5225 3 года назад

      Kwan ww unapenda umasikini?

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 4 года назад

    Come on.... wewe jamaa Baba mtakatifu sio tajiri kama usemavyoooo wala hana utajiri binafsi kama usemavyo.... usiwalaghai watu. Utajiri wa Papa ni wa kanisa na wewe ni wako binafsi.

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 4 года назад +1

      we tako kweli inamaana hujui kwamba papa ni rais wa roma ?? unajua miongoni mwa watu matajiri duniani yupo papa emb kasome uskae kujibu jibu tu vitu hujui

    • @bernardmwenda5186
      @bernardmwenda5186 4 года назад

      Katoliki ni taasisi Papa ni kiongozi Mkuu wa taasisi hiyo. Ufufuo na Uzima ni taasisi na Gwajima ni kiongozi Mkuu wa taasisi hiyo, tatizo liko wapi? Kama ni mali, taasisi ya Katoliki inayo, na pia Ufufuo na Uzima nao wanayo kidogo kutokana na ukubwa wa taasisi yao. Tatizo liko wapi? Nadhani tatizo ni ile hali ya kuzaliwa katika mazingira hayo, sasa unapoona mazingira mengine unaona kama si halali isipokuwa yale uliyoyazoea unaona ndiyo sawa. Ndiyo maana kutokana na watu kuwa na mazoea hayo, wanafikia hali ya kusema, mtu asipokuwa dini fulani basi hatamwona Mungu; wanadhani kwamba ile dini aliyozaliwa na kurithishwa na wazazi wake ndiyo dini ya kweli; hata mimi ndivyo nilivyokuwa.

  • @hamadhamza8764
    @hamadhamza8764 4 года назад +1

    Hamna kitu hapo sadaka tu za waumini hizo asiwalishe watu matango poli

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 4 года назад

      Sasa ww ndo unamjua zaid ya anavojijua yy?

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 4 года назад

      kwani akila sadaka ttzo nini siana wafundisha neno kuna kitu cha bure.

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 4 года назад +1

    Wewe mchungaji unasema ni mfuasi wa Yesu na Yesu anasema msimwite mtu baba kiimani hapa duniani... Mbona hueleweki... Mathayo 23:9
    Mathayo 23:9 BHND
    Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni.
    BHND: Biblia Habari Njema

    • @linnamlay3643
      @linnamlay3643 4 года назад +5

      Hiyo tafsiri huwezi kuijua kama huijui biblia,hilo neno baba litakusumbua,usisome biblia kutafuta cha ku comment neno la Mungu kwa mkristo linaeleweka katika kufunuliwa kwa neema tuu,halina degree ya kwanza katika kusoma biblia,unaweza ukaisoma biblia hadi uzeeke usijue alichomaanisha Mungu,lakini anaweza akamfunulia mtoto mchanga,au hata asiyejua kusoma akaijua biblia, so unapotoa maoni jitafakari kwanza nia yako ni ya kimungu au ushabiki usokuw na tija kibiblia???Mungu akufunulie neno lake katika kweli ndugu yangu.

    • @leokadiakajuna8000
      @leokadiakajuna8000 4 года назад

      Ttzo hujui inamaana gn km haujui biblia hutoelewa kitu umo

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад

      @@linnamlay3643 wewe unae elewa toa ufafanuzi Yesu kakusudia nini?

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад

      @@leokadiakajuna8000 Nilifikiri ungetoa Andiko kua unaweza mwita Askofu baba hata kama hana mke au umemzidi umri umwite baba

    • @princepeter2110
      @princepeter2110 4 года назад

      Ndo ipo hivo ila mkiifata,biblia kichwa,kichwa,utakuwa unasoma riwaya,za bunuas

  • @graceufufuo1502
    @graceufufuo1502 4 года назад +1

    👍👍💯

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 4 года назад +1

    Hawa jamaa wana take advantage kutoka watu masikini.. Kwa uongo wao.. Wanafufua au wanaponya kwa jina la Yesu... Mchungaji sasa kuna wagonjwa wa Corona kwanini msiwaponye kwa jina la Yesu?

    • @jamesmlengela156
      @jamesmlengela156 4 года назад +3

      Juma usiseme waongo swali ni je hao wagonjwa wanaamini Yesu anaponya?au Maana imani ndio uponya mtu

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад

      @@jamesmlengela156 wacha uongo wewe toa Andiko jina la Yesu linaponya, mwenyewe Yesu anasema mimi siwezi kufanya jambo lo lote kwa mamlaka yangu mwenyewe... Soma Yohana 5.30

    • @eliarichard9218
      @eliarichard9218 4 года назад +1

      Juma Jaffary yesu anaponya watu kwakuwa Baba yake Mungu wa mbinguni amemluhusu kuponya ndiyo maana hata mtumishi yoyote wa Mungu hawezi kuponya kila mtu Bali mbaka ambiwe na Mungu wake kuwa mtu furani au Fanya jambo furani kwaajili ya nchii na Mungu atakuwa nae cku zote

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад

      @@eliarichard9218 Toa Andiko Mungu kasema Yesu ni mwanangu... Yesu amesema yeye ni mwanadamu

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад

      @@eliarichard9218 matayo 26 62 Kisha kuhani mkuu akasimama, akamwambia Yesu, “Huna jibu? Husikii huo ushahidi waliotoa watu hao?” 63 Lakini Yesu hakusema neno. Basi kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha kwa jina la Mungu aliye hai, tuambie kama wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu.”
      Mungu.”
      64 Yesu akajibu, “Umetamka mwenyewe. Lakini nina waambieni nyote kwamba baada ya hapa, mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kulia wa Mungu mwenye uweza na akija juu ya mawingu ya mbin guni

  • @treyguydangote4034
    @treyguydangote4034 4 года назад

    Uyo mzee mla sadaka tuu hana lolote dini biashara tuuu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 года назад

    Mnajaribu kumtakasa muulizeni kondoo wa bwana kaacha kuwatafuna? Matapeli wajanjawajanja

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 года назад

    Usiongelee uislam haukuhusu wala haujui.

    • @chripinecharl3s302
      @chripinecharl3s302 4 года назад

      MUNGU TUSAIDIE NA HAWA WATUMISHI WA SIKU HIZI!

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 4 года назад

      kaongelea kibaya nin hapo we fala?

    • @frankanold9803
      @frankanold9803 3 года назад

      sikujui wewe ni nani lakini I guess anaujua uislamu kuliko wewe

    • @amosidjuma3146
      @amosidjuma3146 3 года назад

      @@frankanold9803 Nataka kuwahona anaye tikisa tazaniya mimi ni ir amosi Niko diyarasi