Very ethical & straight foward leader. I wish other leaders could demonstrate the same quality. Those power mongers who have crossed the lines should be eliminated from the system completely-they do not work for the party/country but for their own interests.
Definitely I agree with what you say, those are not committed or responsible leaders, they are just mere money maniacs who are there to justify individual ambitions!
Mwenyekiti anayeenda kugombea nafasi za kisiasa ni wa kuogopa kama ukoma.kwann aliomba kusaidia chama kama anamaslahi yake mengine.nashauri ili kukomesha hii Tabia baada ya uteuzi waondolewe kabisa kwenye nafasi za kusaidia chama maana haikuwa lengo lao
Kwa kweli KM wa CCM, Chama kimelamba Dume, unasimamia Maadili ya Chama, pia Mikoani wapo Viongozi wasioridhika na vyeo,leo anacho hiki,kesho kile,na mtondogoo kile, pia suala la kuhujumu Chama nitatizo kubwa, lifanyiwe Kazi.
Kuna baadhi ya wateule wa Rais wameanza kumbp Rais aliyewaamini akawateuwa ,sasa wamelewa madaraka wanaanza kupuuza hata ushauri wake.ni utovu wa nidhamu na kumkosea adabu meh. Rais. Wamejaa Tamaa na kujitajirisha haraharaka.
Bashiru, tukikutaka uwe raisi, utakuwa😠, utake usitake. Kama unafaa, tutakubebesha tu 🤨uwe katibu mkuu au katibu mdogo, Hata haijawahi kutokea basi utakuwa wa kwanza, katiba si msahafu,Usitufokee🤓
Kweli kabisa sio kiongozi tu anaestaili kuacha alama bali kila mwanadamu yampasa kuacha alama duniani atustaili kuzidiwa na konokono akipita pahara anacha alama hivyo basi yatupasa nasi .big up Dr Bashiru jembe la chama dume
🤣🤣🤣🤣Duuuhhh yn hapo inaonekana kabsaa walio wengi wao wanataka uchu wa madaraka na masilahi yao binafsi But sio Issue xana watakutana na Mzee magu baadae
Mara nyingi naikubali CCM na nampongeza Rais Magufuli anafanya kazi nzuri ingawa kaisahau Zanzibar lakini hiki kinachofanyika sasa siungi mkono, kwamba Kiongozi akienda kugombea Rais anatengua hii sio sawa, ni mamlaka yake lakini kama ambavyo tunakubaliana sote kuwa Rais Magufuli hakuna mbadala wake wapo pia baadhi ya wateuliwa wake hawana mbadala. Kimsingi Bunge likifunjwa hakuna Serikali acha mchakato uendelee ndio Utamaduni wa chama chetu baada ya awamu mpya utapanga awamu mpya hii kulazimisha kuna watu wasitendwe haki ili waumizwe kwa sababu wamegombea hii sio sawa.
Walio wengi walioacha nafasi zao, kwa kauli hii walio wengi ndio kwaheri, hata kwa kauli ya JPM na Bashiru walio wengi waliokua na wadhifa ndio basi tena waombe wapate ubunge wakikosa kwaheri wawe wapiga debe la CCM
@@christinewomanoffaith5479 kabisa bora wakose shwain sana, km huyu bashite kamtukanisha sana Magu kwa nafasi ile leo wakuondoka kizembe huyu ndio angekosa kabisa hana kweli fadhila na vyeti vyake fake🏃♂️🏃♂️
Bashiku nimekuerewa Sana katika chama kusimamia haki je kwavyama vingine haki iyo inapatika kupitia chaguzi namanisha wateule hao wanafwata haki uyu kashindaje
Kazi ya ukatibu imepata mkunaji ila niombe kiombe kiongozi watu wasihukukumiwe kwa kuwa tu wameacha nafasi zao nakwenda kugombea nafasi za Ubungo bali watu wapewe haki zao ili chama kiendelee kuwepo wasameheni wameteleza watajifunza
Mimi ni CCM damu damu lakini CCM huwezi kupata cheo kama huna fedha (sijuwi zinatolewa saa ngapi, lkn RUSHWA ipo) na ukiwa mtoto wa Kiongozi wengine watabaki kuwa washindikizaji hawana chao. Uadilifu ndani ya Chama bado hauko sawa sawa, maandiko yapo vizuri na kila swali lina jawabu.
CCM ipi hiyo?Zama za kuitegemea hela kukupa uongozi zimepitwa na wakati.Ushahidi ni utitiri wa walio chukua form kugombea, kipindi kilichopita usingeona haya kwa sababu waligombea wachache wenye hela.
@@hamoudrushenya8650 Hakuna siku duniani ambayo mwenye fedha atakuwa sawa na alokuwa hana, CCM ninayoungumza ni hii hii iliyoanzishwa 5/2/1977. Hujuwi siasa, wingi wa Wagombea sio dalili tosha ya demokrasia bali ni aina nyingine ya RUSHWA ambapo wenye nguvu (fedha) wamewatumia watu kugawanyisha kura ili mwisho wa siku aibuke mshindi. Hapana mlalahoi atashinda hapo. Mbona kwenye Rais hakujitokeza mtu kama sababu kafanya vizuri (tunakubali wote hapo) kwani hakuna Wabunge au Madiwani au Wawakilishi waliofanya vizuri? Kuna hitaji akili kubwa kuelewa Change mindset ambae akili zake has changed negetively hawezi kuelewa.
Mimi naona kwanza ushauri ungeutowa kwa Rais kwani nayeye pia anakosea kuwapa watu wasio wanachama uwongozi yani kwenje mikutano yake anateuwatu wapinzani bila kufanta utaratibu wachama
Mm sion kosa n sawa MTU unajiendeleza kielimu..........ukirifhika unadumaa kiakili......huwez jua pengine wewe ni rais ujae........ht baba wa taifa alikua na umr mdogo Ila Kaz kubwa angeridhika tusingepata uhuru
Naishauri ccm inakoelekea ni kubaya mumelewa kukubalika kwenu ,wakati vyama vinatafuta watu wenye mvuto kwa ajili ya kushinda uchaguzi nyie mnazuia watu kugombea why? Nani aliwai kutosheka ? 1, jpm alikuwa waziri hakutosheka akataka urais 2, bashiru ulikuwa mwalimu haukutosheka Leo ni katibu mkuu 3, jk alikuwa mwanajeshi akutosheka akaenda kwenye siasa adi urais 4, mkapa alikuwa mtumishi Wa ikulu hakutosheka akaenda kwenye ubunge shida iko wapi? Unatudanganya jk alikuwa mwanajeshi akaenda kwenye siasa mbona hakutosheka jeshini
Hujaelewa. Kugombea ni haki ya mtu na kanuni za Chama zinaruhusu. Ila ukigombea na ukiwa ni mteule lazima uachie cheo cha kuteuliwa wakae wengine. Hata ukiwa ni mfanyakazi wa Sheria inasema uache kazi.
Kimsingi kiongozi yeyote kuamua kuacha kazi na kugombea nyadhifa fulani ni sahihi kabisa. Ni haki yake ya msingi katika kutimiza malengo na matarajio yake kimaisha. Shida ni kwa viongozi wateule wasiozingatia ushauri wa aliyewaweka kwenye nyadhifa zao, ni sawa na kumpiga Kofi la Uso.
Pia na Rais umwambie kuteuwa watu bila kufata utaratibu wachama nayeye pia anakosea mbona hamuyasemi wapinzani wengi wanateuliwa bila kufata utaratibu wachama nahilo pia useme
Katibu kweli umezungumza sahihi,na imani kweli ya serikali ya awamu ya tano mmeahidi na mmetekeleza na pia umeondoa ule utoaji rushwaa Hivyo vijana waende tu tutawaunga mkono tu wakipita, Mwenyekiti asimamie ipasavyo viva ccm
Hawa vijana sio wazuri kama wamepewa madalaka wamekadi kwa dhalau Sasa wanaonekana hawako tayari kukufanya kazi na Rais Hata tukiwachagua watakwenda kumhujumu. Kazi kwetu wapiga kura.
Wapinzan wa bongo walivyo wapuuzi, safar utashangaa wanaendelekea kupokea makapi ya ccm yatakayo drop kwny kura za maoni kama 2015 ambavyo huwa hayajifunzi tu
Sijui watu wanapenda nini ubunge. Hakuna cha maaana kama hautaki kusaidia jamii yako na upo kwaajili ya maslahi yako binafsi labda nitakuelewa. Vijana pigeni kazi.
Million 10 Kati ya million 59? Katika kipindi chote cha utawala ni tatizo kubwa na alama ya kutokubalika katika jamii. Uwezo wa kuwafikia wananchi ni mkubwa kwa CCM na Serakali yake tofauti na vyama vingine vilivyo kosa uhuru wa kufanya shughuli za za kisiasa ili kuwafikia wananchi wengi ili waongeze wanachama. Nini Maoni yako?
Makonda kashindwa kutambua alama za nyakati, alishindwa kujuwa kuwa ana maadui wengi sana Serikalini na ndani ya Chama. Alikuwa yupo kwa Ihsani na imani ya Rais lakini keshaivunja. Wabunge wanaripoti shida zao kwa RC leo wewe ni RC unaomba Ubunge, why? Ni kweli ukiwa Mbunge una uhakika wa kibarua kwa miaka 5 hata ukifanya vibaya lakini nafasi ya uteuzi inapotea wakati wowote.
Mariam Uko sahihi Ila MAKONDA KAANZA NA UVCCM KATUMIKIA VYWMA,UKUU WA MKOA KATUMIKIA VYEMA,NK.NI KIONGOZI KAACHA ALAMA KAKOMESHA MADAWA YA KULEVYA.MAADUI WANAOMCHUKIA NI WALE WALIOTAKA KULETA MADAWA AU RUSHWA. ANASTAHILI KUWA KIONGOZI WA NGAZI YA JUU.
Makonda hakuzaliwa kuwa mk7u wa mkoa hivyo ana haki ya kugombea kuwa mbunge waache kuminya demokrasia hata hivyo makonda ana nafasi ya kwenda upinzani akiona huko wanamkandamiza.
Chama changu pendwa CCM wapeni watu uhuru wa kuchagua cha kufanya wasilazimishwe kufanya kitu asichotaka, hivyo msiwapige vita. Na hata Ndugu Bashiru hapo anasema ni haiki yao kugombea basi tusimame hapo na kuwapa hiyo haki ya kugombea.
Kama wangekuwa hawazipendi nafasi walizokuwa nazo walipaswa kutokukubali uteuzi.. lakini kila nafasi unataka wewe DC time wewe, MPs time wewe wengine ambao hawana hizo nyazifa kubwa kubwa waende wapi kama kila kitu wewe!!
Hichi chama sio maliyenu pekeyenu kuwa muamuetu mnalolitaka nyie ndio liwe haiwezekani hivyo kila mwana chama anahaki yakugombea msilete mambo mnayo yataka nyie
Tatizo Ally hujaelewa.Hakuna mtu anayekatazwa kugombea bali kwakuwa ana nafasi yakutumikia wananchi basi ajiuzulu kwanza huko ndipo aombe nafasi ya kazi kwenye ubunge.
Kuna watu wamepewa dhamaa ya kuwakilisha majimbo mbalimbali kwa hawamu 2 Ila hawatendei haki watu wa majimbo hayo,tunaomba chama izingatie hili( Mara ni haibu watu wanarubuniwa na matajirin wanawachagua)
Dismas.. ubunge maslah .posho vikao vya bunge,posho ukiwa kwenye vikao vya KAMATI za bunge.posho ukaguzi wa miradi kwenye kamati za bunge.marupurupu kibao na ile nono ya kumaliza awamu.
Dr bashiru sawa kabisa mungu akupe maisha marefu mheshimiwa 👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Very ethical & straight foward leader. I wish other leaders could demonstrate the same quality. Those power mongers who have crossed the lines should be eliminated from the system completely-they do not work for the party/country but for their own interests.
Definitely I agree with what you say, those are not committed or responsible leaders, they are just mere money maniacs who are there to justify individual ambitions!
In short "Bashiru is a great leader"
I agree... 👌
Ndio umuhimu wa wasomi wazalendo.
Mwenyekiti anayeenda kugombea nafasi za kisiasa ni wa kuogopa kama ukoma.kwann aliomba kusaidia chama kama anamaslahi yake mengine.nashauri ili kukomesha hii Tabia baada ya uteuzi waondolewe kabisa kwenye nafasi za kusaidia chama maana haikuwa lengo lao
Great! Proper and clear responses
Ahsante kwa kumkumbuka baba yangu mzazi
point....nakuelewa sana kiongoz wetu wa chama
Sijui kama wanamuelewa katibu Mkuu ndg Bashiru..Mimi ninamuelewa ....
Binafsi nimemuelewa bro!
Dah Katibu Wa Ccm yuko vizuri
Dr Bashiru,you are a great man my brother.Your integrity is unquestionable and I like you.Akili safi na unyenyekevu mkubwa.
Katibu Safi sana uko sawa kbs
Huyu ndie Katibu wa ukweli,kwa kweli chama kimepata mtu sahihi kwenye nafasi hii nyeti
Katibu msenge
Alikua mkuu wa idara ya siasa UDSM na ni mbobezi pia
@@Burange666 elimu huna kama ungefika chuo kikuu mliman ungemjua vzr
@@Burange666 chunga dolelako linalo andika
@@Burange666 unajaribu kutuonyesha Tania taking ya utotoni.
Kwamba tukuone hats wazazi walk wana Tabia hizo?
Pole Sana
Huyu katibu mkuu JPM alichagua asee. Bonge la kion§ozi🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amenikumbusha mbali uyo mzee uyo mbagwa aliogopeka saana kwetu tulikuwa wadogo ila adi sasa tumeishamaliza vyuo ila bado tunamkumbuka kwa kazi zake
Nimekupata sana Dr
2025 unaweza kuwa rais kwanini hapana?
Akili yako ni safi kabisa sio sawa na Polepole anaeendekza mipasho na ngonjera tu.
Hapo uko sawa kabisa dr
Nimekuelewa ndg katibu
Mmmh makonda hapiti
Hakika CCM INA mtendaji mkuu sahihi kabisa
Agreed with you 💯💯💯💯 Bashiru your legend love you bro
Kwa kweli KM wa CCM, Chama kimelamba Dume, unasimamia Maadili ya Chama, pia Mikoani wapo Viongozi wasioridhika na vyeo,leo anacho hiki,kesho kile,na mtondogoo kile, pia suala la kuhujumu Chama nitatizo kubwa, lifanyiwe Kazi.
Safi Sana, nimekuelewa mkuu
Huyu Dr. Bashiru yupo poa sana
Nimekuelewa sana, katibu mkuu
MH.KATIBU MKUU
UKO VIZURI 100%
Kuna baadhi ya wateule wa Rais wameanza kumbp Rais aliyewaamini akawateuwa ,sasa wamelewa madaraka wanaanza kupuuza hata ushauri wake.ni utovu wa nidhamu na kumkosea adabu meh. Rais. Wamejaa Tamaa na kujitajirisha haraharaka.
Bashiru, tukikutaka uwe raisi, utakuwa😠, utake usitake. Kama unafaa, tutakubebesha tu 🤨uwe katibu mkuu au katibu mdogo, Hata haijawahi kutokea basi utakuwa wa kwanza, katiba si msahafu,Usitufokee🤓
Kweli kabisa sio kiongozi tu anaestaili kuacha alama bali kila mwanadamu yampasa kuacha alama duniani atustaili kuzidiwa na konokono akipita pahara anacha alama hivyo basi yatupasa nasi .big up Dr Bashiru jembe la chama dume
mbagwa alikuwa anazingua sana kitambo kile
Prof M. K
Umemsema makonda ndio miaka 5 kawa Dc na Rc sasa anataka ubunge
Hapo Katibu Mkuu nisha kabisa wenye tamaa waache tamaa.
Umeeleweka Katibu
Uwa nakuelewa sana kiongoz wangu
Yupo mtu litampata jambo
🤣🤣🤣🤣Duuuhhh yn hapo inaonekana kabsaa walio wengi wao wanataka uchu wa madaraka na masilahi yao binafsi But sio Issue xana watakutana na Mzee magu baadae
Mwenyekiti bashiru usichoke sana, hoja ni hao wakuu wamikoa wanao tamba wao nilazima washinde wakiongoZwa na makonda,huyo akipita nitaamini hata wewe umemshindwa.
Mara nyingi naikubali CCM na nampongeza Rais Magufuli anafanya kazi nzuri ingawa kaisahau Zanzibar lakini hiki kinachofanyika sasa siungi mkono, kwamba Kiongozi akienda kugombea Rais anatengua hii sio sawa, ni mamlaka yake lakini kama ambavyo tunakubaliana sote kuwa Rais Magufuli hakuna mbadala wake wapo pia baadhi ya wateuliwa wake hawana mbadala. Kimsingi Bunge likifunjwa hakuna Serikali acha mchakato uendelee ndio Utamaduni wa chama chetu baada ya awamu mpya utapanga awamu mpya hii kulazimisha kuna watu wasitendwe haki ili waumizwe kwa sababu wamegombea hii sio sawa.
Safiiii sana
Katibu Mkuu anaushawishi katika hoja anazozijenga akitetea jambo.. Ana busara na ni muungwana sana. CCM ina Kiongozi.
Haya yakisimamiwa imara yatakiimarisha sana chama kwani hakutakiwa na ubakaji wa nafasi za uongozi chamani na kitaifa
ccm Safi sana
Sawa katibu mkuu
Katibu wako msenge
Walio wengi walioacha nafasi zao, kwa kauli hii walio wengi ndio kwaheri, hata kwa kauli ya JPM na Bashiru walio wengi waliokua na wadhifa ndio basi tena waombe wapate ubunge wakikosa kwaheri wawe wapiga debe la CCM
Na ubunge hawapati ktk jina la Yesu!
Wawapisha na wengine
@@christinewomanoffaith5479 kabisa bora wakose shwain sana, km huyu bashite kamtukanisha sana Magu kwa nafasi ile leo wakuondoka kizembe huyu ndio angekosa kabisa hana kweli fadhila na vyeti vyake fake🏃♂️🏃♂️
hawaridhiki hao baba ila acha wa'wapishe wengine kwenye hivyo viti walivyo viachaa
U ar a nature!
Siasa bwana na maelekezo yote hayo utashangaa makonda kapitishwa na kuwa mbunge
Waacheni kuwasema umri wa uongozi ni kutumikia wananchi wakati wa ujana, hata kikwete alianza siasa akiwa kijana,, wananchi ndiyo tutawapima
Bashiku nimekuerewa Sana katika chama kusimamia haki je kwavyama vingine haki iyo inapatika kupitia chaguzi namanisha wateule hao wanafwata haki uyu kashindaje
Kazi ya ukatibu imepata mkunaji ila niombe kiombe kiongozi watu wasihukukumiwe kwa kuwa tu wameacha nafasi zao nakwenda kugombea nafasi za Ubungo bali watu wapewe haki zao ili chama kiendelee kuwepo wasameheni wameteleza watajifunza
Hapo lazima wakatwe panga🤣🤣🤣
Wana tamaa hao hakuna kusamehewa c waliapa wenyewe
Kote wanataka wao.Ni bora kuachia kumoja shika nafasi unayoitaka na ukikosa imekula kwako.
Patamu hapo!Wataula wa chuya!!!
Wateule wa JPM watuachie sisi wakulima tugombee
Mimi ni CCM damu damu lakini CCM huwezi kupata cheo kama huna fedha (sijuwi zinatolewa saa ngapi, lkn RUSHWA ipo) na ukiwa mtoto wa Kiongozi wengine watabaki kuwa washindikizaji hawana chao. Uadilifu ndani ya Chama bado hauko sawa sawa, maandiko yapo vizuri na kila swali lina jawabu.
CCM ipi hiyo?Zama za kuitegemea hela kukupa uongozi zimepitwa na wakati.Ushahidi ni utitiri wa walio chukua form kugombea, kipindi kilichopita usingeona haya kwa sababu waligombea wachache wenye hela.
@Change Mindset Jenga hoja yako tu, huna haja ya matusi.
@@hamoudrushenya8650 Hakuna siku duniani ambayo mwenye fedha atakuwa sawa na alokuwa hana, CCM ninayoungumza ni hii hii iliyoanzishwa 5/2/1977. Hujuwi siasa, wingi wa Wagombea sio dalili tosha ya demokrasia bali ni aina nyingine ya RUSHWA ambapo wenye nguvu (fedha) wamewatumia watu kugawanyisha kura ili mwisho wa siku aibuke mshindi. Hapana mlalahoi atashinda hapo. Mbona kwenye Rais hakujitokeza mtu kama sababu kafanya vizuri (tunakubali wote hapo) kwani hakuna Wabunge au Madiwani au Wawakilishi waliofanya vizuri? Kuna hitaji akili kubwa kuelewa Change mindset ambae akili zake has changed negetively hawezi kuelewa.
Mimi naona kwanza ushauri ungeutowa kwa Rais kwani nayeye pia anakosea kuwapa watu wasio wanachama uwongozi yani kwenje mikutano yake anateuwatu wapinzani bila kufanta utaratibu wachama
Msitishe watu mkajifanya kama njie ndio chama chenu kilamwana chama ana ana hakiyake kugombea
Acheni kumsema jamani,aliyo yafanya ni makubwa kuliko mnacho msakama nacho.angalieno mema yake.
Mm sion kosa n sawa MTU unajiendeleza kielimu..........ukirifhika unadumaa kiakili......huwez jua pengine wewe ni rais ujae........ht baba wa taifa alikua na umr mdogo Ila Kaz kubwa angeridhika tusingepata uhuru
Unajua nini Wtz tumekwishakuwa wengi,hakuna sababu yakwenda kugombea huku umeshika nafasi.Jiondoe kwenye madaraka ndipo ukagombee.
Naishauri ccm inakoelekea ni kubaya mumelewa kukubalika kwenu ,wakati vyama vinatafuta watu wenye mvuto kwa ajili ya kushinda uchaguzi nyie mnazuia watu kugombea why?
Nani aliwai kutosheka ?
1, jpm alikuwa waziri hakutosheka akataka urais
2, bashiru ulikuwa mwalimu haukutosheka Leo ni katibu mkuu
3, jk alikuwa mwanajeshi akutosheka akaenda kwenye siasa adi urais
4, mkapa alikuwa mtumishi Wa ikulu hakutosheka akaenda kwenye ubunge shida iko wapi?
Unatudanganya jk alikuwa mwanajeshi akaenda kwenye siasa mbona hakutosheka jeshini
Hujaelewa. Kugombea ni haki ya mtu na kanuni za Chama zinaruhusu. Ila ukigombea na ukiwa ni mteule lazima uachie cheo cha kuteuliwa wakae wengine. Hata ukiwa ni mfanyakazi wa Sheria inasema uache kazi.
@@christophermwanilwa7074 kuna wengine ni wazur kukoment lkn wazito kuelewa mada husika
Huyu jamaa ni tunu ktk hii nchi
Kimsingi kiongozi yeyote kuamua kuacha kazi na kugombea nyadhifa fulani ni sahihi kabisa. Ni haki yake ya msingi katika kutimiza malengo na matarajio yake kimaisha. Shida ni kwa viongozi wateule wasiozingatia ushauri wa aliyewaweka kwenye nyadhifa zao, ni sawa na kumpiga Kofi la Uso.
Hata katibu hajasema hana haki bali kwenye mchakato lazima uache nafasi uliyopewa kwanza ndipo ugombee.
Pia na Rais umwambie kuteuwa watu bila kufata utaratibu wachama nayeye pia anakosea mbona hamuyasemi wapinzani wengi wanateuliwa bila kufata utaratibu wachama nahilo pia useme
Ok
Wanataka kutawala wao kila kitu wawe waoo zote ni rohombaya
jamani kwa maneno haya ya busara nahisi tumtafutie mwenzetu kazi nyingine
😂😂
😂😂😂
Daa! Yaan ata sielewi elewi sa sijui itakuaje.
Makonda hamtampitisha?
Katibu kweli umezungumza sahihi,na imani kweli ya serikali ya awamu ya tano mmeahidi na mmetekeleza
na pia umeondoa ule utoaji rushwaa
Hivyo vijana waende tu
tutawaunga mkono tu wakipita,
Mwenyekiti asimamie ipasavyo
viva ccm
Hawa vijana sio wazuri kama wamepewa madalaka wamekadi kwa dhalau Sasa wanaonekana hawako tayari kukufanya kazi na Rais Hata tukiwachagua watakwenda kumhujumu. Kazi kwetu wapiga kura.
Serikali ya ccm wasenge wezi
Sema baba kuna viongizi hawajui hizo kanuni
Wamejiridhisha na uteuzk
Mzee wa mafaili aeneze mafaili hadi tarafani mwenye kucheza rafu aadhibiwe
Mzee wako msenge anafirwa
Dr. Bashiru
Mheshimiwa Makonda hajiamini Katibu nimekuelewa... huyo bado..angeharibu Sana ...SNOBBY..
Pole bashite
Wapinzan wa bongo walivyo wapuuzi, safar utashangaa wanaendelekea kupokea makapi ya ccm yatakayo drop kwny kura za maoni kama 2015 ambavyo huwa hayajifunzi tu
Acha ujinga usikalili
Sijui watu wanapenda nini ubunge. Hakuna cha maaana kama hautaki kusaidia jamii yako na upo kwaajili ya maslahi yako binafsi labda nitakuelewa. Vijana pigeni kazi.
Miladi ayoo tufikishie ujumbe kwa magufuli wachimbaji tuliyoko igomaa mafinga tunanyanyasika
Weweee
Viogozi wagazi zakata wanawagombea kunasehemu mabalozi wanapewa ukoo wajipanga kwahilo madiwani wegi watapita wasiyo kubalika kwanaichi uchaguzi watu wamemaliza wamebaki kutangazwa wajumbe 100 kaweka wakwake kilakijiji 15x5=75 tayar hesabu ndg bilakujali mbovu kiasigani
Kwa maelekezo hayo ni wajibu wa viongozi na wanachama kuzingatia maadili na misingi ya CHAMA CHA MAPINDUZI.
Wasira
Million 10 Kati ya million 59? Katika kipindi chote cha utawala ni tatizo kubwa na alama ya kutokubalika katika jamii. Uwezo wa kuwafikia wananchi ni mkubwa kwa CCM na Serakali yake tofauti na vyama vingine vilivyo kosa uhuru wa kufanya shughuli za za kisiasa ili kuwafikia wananchi wengi ili waongeze wanachama. Nini Maoni yako?
Nini tena?
duuuuu kwa maelezo hayo makonda aji tadhmini sn nawengineoo pia😀
Hata akijitathinim kaishachelewa
Makonda kashindwa kutambua alama za nyakati, alishindwa kujuwa kuwa ana maadui wengi sana Serikalini na ndani ya Chama. Alikuwa yupo kwa Ihsani na imani ya Rais lakini keshaivunja.
Wabunge wanaripoti shida zao kwa RC leo wewe ni RC unaomba Ubunge, why? Ni kweli ukiwa Mbunge una uhakika wa kibarua kwa miaka 5 hata ukifanya vibaya lakini nafasi ya uteuzi inapotea wakati wowote.
Mariam
Uko sahihi
Ila MAKONDA KAANZA NA UVCCM KATUMIKIA VYWMA,UKUU WA MKOA KATUMIKIA VYEMA,NK.NI KIONGOZI KAACHA ALAMA KAKOMESHA MADAWA YA KULEVYA.MAADUI WANAOMCHUKIA NI WALE WALIOTAKA KULETA MADAWA AU RUSHWA.
ANASTAHILI KUWA KIONGOZI WA NGAZI YA JUU.
@@sylvestrengwelu2012 Ngazi ya juu ni ipi? Mkuu wa mkoa au Mbunge wa Kigamboni!!? Hahahahahaaa
MAKONDA SIYO LEVEL YENU,
SUBIRINI UCHAGUZI UISHE
HAYA MNAYOSEMA MTAJIKATAA WENYEWE.
MTAKUJA NIAMBIA.
Sijawaelewa ccm yaani mgombea anateuliwa au kura za maoni ndo zinatoa mgombea ambaye anakubalika kwa wananchi
Makonda hakuzaliwa kuwa mk7u wa mkoa hivyo ana haki ya kugombea kuwa mbunge waache kuminya demokrasia hata hivyo makonda ana nafasi ya kwenda upinzani akiona huko wanamkandamiza.
Chama changu pendwa CCM wapeni watu uhuru wa kuchagua cha kufanya wasilazimishwe kufanya kitu asichotaka, hivyo msiwapige vita. Na hata Ndugu Bashiru hapo anasema ni haiki yao kugombea basi tusimame hapo na kuwapa hiyo haki ya kugombea.
Kama wangekuwa hawazipendi nafasi walizokuwa nazo walipaswa kutokukubali uteuzi.. lakini kila nafasi unataka wewe DC time wewe, MPs time wewe wengine ambao hawana hizo nyazifa kubwa kubwa waende wapi kama kila kitu wewe!!
Htr
Mfano bora wa maadili.
baba ngombea uraixi
Hichi chama sio maliyenu pekeyenu kuwa muamuetu mnalolitaka nyie ndio liwe haiwezekani hivyo kila mwana chama anahaki yakugombea msilete mambo mnayo yataka nyie
Tatizo Ally hujaelewa.Hakuna mtu anayekatazwa kugombea bali kwakuwa ana nafasi yakutumikia wananchi basi ajiuzulu kwanza huko ndipo aombe nafasi ya kazi kwenye ubunge.
KWELI
Vizuri wanyoweni kwa magaeya chupa
Kuna watu wamepewa dhamaa ya kuwakilisha majimbo mbalimbali kwa hawamu 2 Ila hawatendei haki watu wa majimbo hayo,tunaomba chama izingatie hili( Mara ni haibu watu wanarubuniwa na matajirin wanawachagua)
hakuna kitu kibaya kwa kiongozi msomi kuwa na benefit of intrest
Kama nani Benny
Mie zozo nieleweshe
Dida
Haa katibu eti Ilikua Ni kata ya KATERERO
😂😂😂😂😂umehisi nini tena mzeebabaaa 😜😜😜
Duh
Ssm ndicho chama chakupita bila kupngwa
Hivi kweli,unaacha ukuu wa mkoa au mkuu wa wilaya kwenda kugombea ubunge???!!.Kuna nini cha zaidi kwenye ubunge?,au kuna maslahi zaidi?!!.
Mi nahsi anaona Kuna probability akipita kuangaliwa kwenye nafas ya uwazir
Tamaa tamaa tuu
Kazi ya muda mchache unapata gari ya mkopo ukimaliza miaka mitano kiinua mgongo kikubwa ndo mana watu wanaacha kazi zao na taaluma zao
Dismas.. ubunge maslah .posho vikao vya bunge,posho ukiwa kwenye vikao vya KAMATI za bunge.posho ukaguzi wa miradi kwenye kamati za bunge.marupurupu kibao na ile nono ya kumaliza awamu.
Makonda kalowa
Tunasubiri matokeo ya kura za maoni.
Namkumbuka mbagwa alikua anachapa mpaka viboko nakuwekwa selo.alikua kiboko mbaya sio mchezo kaka
Kwahiyo akikosa anarudi kweny nafasi yake
Nafasi gan ? Wakati walishateuliwa wengine?