KATIBU MKUU CCM, DKT BASHIRU AFUNGUKA KUHUSU VIONGOZI WANAOACHA NAFASI ZAO NAKWENDA KUGOMBEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025

Комментарии • 199

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 года назад +4

    Dr bashiru sawa kabisa mungu akupe maisha marefu mheshimiwa 👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @erickkundy5322
    @erickkundy5322 4 года назад +23

    Very ethical & straight foward leader. I wish other leaders could demonstrate the same quality. Those power mongers who have crossed the lines should be eliminated from the system completely-they do not work for the party/country but for their own interests.

    • @sylvesterjose3286
      @sylvesterjose3286 4 года назад

      Definitely I agree with what you say, those are not committed or responsible leaders, they are just mere money maniacs who are there to justify individual ambitions!

    • @mashakakalamba519
      @mashakakalamba519 4 года назад +2

      In short "Bashiru is a great leader"

    • @sifamushi1747
      @sifamushi1747 4 года назад +1

      I agree... 👌

    • @kiatu
      @kiatu 4 года назад +1

      Ndio umuhimu wa wasomi wazalendo.

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 4 года назад +2

      Mwenyekiti anayeenda kugombea nafasi za kisiasa ni wa kuogopa kama ukoma.kwann aliomba kusaidia chama kama anamaslahi yake mengine.nashauri ili kukomesha hii Tabia baada ya uteuzi waondolewe kabisa kwenye nafasi za kusaidia chama maana haikuwa lengo lao

  • @erastokinemelo7872
    @erastokinemelo7872 4 года назад +1

    Great! Proper and clear responses

  • @kaizambagwa5128
    @kaizambagwa5128 4 года назад +1

    Ahsante kwa kumkumbuka baba yangu mzazi

  • @grecioussilas9885
    @grecioussilas9885 4 года назад +5

    point....nakuelewa sana kiongoz wetu wa chama

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza5339 4 года назад +9

    Sijui kama wanamuelewa katibu Mkuu ndg Bashiru..Mimi ninamuelewa ....

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 4 года назад +1

    Dah Katibu Wa Ccm yuko vizuri

  • @SafeHaven_TV
    @SafeHaven_TV 4 года назад +9

    Dr Bashiru,you are a great man my brother.Your integrity is unquestionable and I like you.Akili safi na unyenyekevu mkubwa.

  • @selestineluziga1447
    @selestineluziga1447 4 года назад +19

    Huyu ndie Katibu wa ukweli,kwa kweli chama kimepata mtu sahihi kwenye nafasi hii nyeti

    • @Burange666
      @Burange666 4 года назад +2

      Katibu msenge

    • @emmanuelsimon545
      @emmanuelsimon545 4 года назад

      Alikua mkuu wa idara ya siasa UDSM na ni mbobezi pia

    • @emmanuelsimon545
      @emmanuelsimon545 4 года назад +1

      @@Burange666 elimu huna kama ungefika chuo kikuu mliman ungemjua vzr

    • @seifjuma3471
      @seifjuma3471 4 года назад

      @@Burange666 chunga dolelako linalo andika

    • @kalundaluhanga4923
      @kalundaluhanga4923 4 года назад

      @@Burange666 unajaribu kutuonyesha Tania taking ya utotoni.
      Kwamba tukuone hats wazazi walk wana Tabia hizo?
      Pole Sana

  • @nestor384
    @nestor384 4 года назад +4

    Huyu katibu mkuu JPM alichagua asee. Bonge la kion§ozi🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @gridkibanda2582
    @gridkibanda2582 4 года назад +4

    Amenikumbusha mbali uyo mzee uyo mbagwa aliogopeka saana kwetu tulikuwa wadogo ila adi sasa tumeishamaliza vyuo ila bado tunamkumbuka kwa kazi zake

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 4 года назад +5

    Nimekupata sana Dr

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 4 года назад +12

    2025 unaweza kuwa rais kwanini hapana?

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 4 года назад

    Akili yako ni safi kabisa sio sawa na Polepole anaeendekza mipasho na ngonjera tu.

  • @issamanguri1890
    @issamanguri1890 4 года назад +2

    Hapo uko sawa kabisa dr

  • @ramadhanaliramadhan9364
    @ramadhanaliramadhan9364 4 года назад +9

    Nimekuelewa ndg katibu

  • @kilimanjaro_media
    @kilimanjaro_media 4 года назад +3

    Mmmh makonda hapiti

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 4 года назад +1

    Hakika CCM INA mtendaji mkuu sahihi kabisa

  • @akramsayjr591
    @akramsayjr591 4 года назад +3

    Agreed with you 💯💯💯💯 Bashiru your legend love you bro

  • @gavanaally4176
    @gavanaally4176 4 года назад +4

    Kwa kweli KM wa CCM, Chama kimelamba Dume, unasimamia Maadili ya Chama, pia Mikoani wapo Viongozi wasioridhika na vyeo,leo anacho hiki,kesho kile,na mtondogoo kile, pia suala la kuhujumu Chama nitatizo kubwa, lifanyiwe Kazi.

  • @felistermaximillian2793
    @felistermaximillian2793 4 года назад +4

    Safi Sana, nimekuelewa mkuu

  • @rugakali2157
    @rugakali2157 4 года назад

    Huyu Dr. Bashiru yupo poa sana

  • @mtakatifubony1829
    @mtakatifubony1829 4 года назад

    Nimekuelewa sana, katibu mkuu

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 4 года назад +5

    MH.KATIBU MKUU
    UKO VIZURI 100%

  • @frbm1729
    @frbm1729 4 года назад +6

    Kuna baadhi ya wateule wa Rais wameanza kumbp Rais aliyewaamini akawateuwa ,sasa wamelewa madaraka wanaanza kupuuza hata ushauri wake.ni utovu wa nidhamu na kumkosea adabu meh. Rais. Wamejaa Tamaa na kujitajirisha haraharaka.

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 4 года назад

    Bashiru, tukikutaka uwe raisi, utakuwa😠, utake usitake. Kama unafaa, tutakubebesha tu 🤨uwe katibu mkuu au katibu mdogo, Hata haijawahi kutokea basi utakuwa wa kwanza, katiba si msahafu,Usitufokee🤓

  • @grationkato7253
    @grationkato7253 4 года назад

    Kweli kabisa sio kiongozi tu anaestaili kuacha alama bali kila mwanadamu yampasa kuacha alama duniani atustaili kuzidiwa na konokono akipita pahara anacha alama hivyo basi yatupasa nasi .big up Dr Bashiru jembe la chama dume

  • @abdulseif4093
    @abdulseif4093 4 года назад +1

    mbagwa alikuwa anazingua sana kitambo kile

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 4 года назад +1

    Prof M. K

  • @hamedmaskari518
    @hamedmaskari518 4 года назад +2

    Umemsema makonda ndio miaka 5 kawa Dc na Rc sasa anataka ubunge

  • @rodgersmwakipesile6306
    @rodgersmwakipesile6306 4 года назад

    Hapo Katibu Mkuu nisha kabisa wenye tamaa waache tamaa.

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 4 года назад +7

    Umeeleweka Katibu

  • @fredmapunda
    @fredmapunda 4 года назад +6

    Uwa nakuelewa sana kiongoz wangu

  • @ibtysophy3467
    @ibtysophy3467 4 года назад +2

    Yupo mtu litampata jambo

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 4 года назад +5

    🤣🤣🤣🤣Duuuhhh yn hapo inaonekana kabsaa walio wengi wao wanataka uchu wa madaraka na masilahi yao binafsi But sio Issue xana watakutana na Mzee magu baadae

  • @samsondecoman983
    @samsondecoman983 4 года назад

    Mwenyekiti bashiru usichoke sana, hoja ni hao wakuu wamikoa wanao tamba wao nilazima washinde wakiongoZwa na makonda,huyo akipita nitaamini hata wewe umemshindwa.

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 4 года назад

    Mara nyingi naikubali CCM na nampongeza Rais Magufuli anafanya kazi nzuri ingawa kaisahau Zanzibar lakini hiki kinachofanyika sasa siungi mkono, kwamba Kiongozi akienda kugombea Rais anatengua hii sio sawa, ni mamlaka yake lakini kama ambavyo tunakubaliana sote kuwa Rais Magufuli hakuna mbadala wake wapo pia baadhi ya wateuliwa wake hawana mbadala. Kimsingi Bunge likifunjwa hakuna Serikali acha mchakato uendelee ndio Utamaduni wa chama chetu baada ya awamu mpya utapanga awamu mpya hii kulazimisha kuna watu wasitendwe haki ili waumizwe kwa sababu wamegombea hii sio sawa.

  • @martinemasunga5802
    @martinemasunga5802 4 года назад +6

    Safiiii sana

  • @rosemushi3178
    @rosemushi3178 4 года назад

    Katibu Mkuu anaushawishi katika hoja anazozijenga akitetea jambo.. Ana busara na ni muungwana sana. CCM ina Kiongozi.

  • @MusicArousedFeelings
    @MusicArousedFeelings 4 года назад

    Haya yakisimamiwa imara yatakiimarisha sana chama kwani hakutakiwa na ubakaji wa nafasi za uongozi chamani na kitaifa

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 4 года назад +1

    ccm Safi sana

  • @mubofuthegreat4955
    @mubofuthegreat4955 4 года назад +10

    Sawa katibu mkuu

    • @Burange666
      @Burange666 4 года назад +1

      Katibu wako msenge

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 4 года назад +2

    Walio wengi walioacha nafasi zao, kwa kauli hii walio wengi ndio kwaheri, hata kwa kauli ya JPM na Bashiru walio wengi waliokua na wadhifa ndio basi tena waombe wapate ubunge wakikosa kwaheri wawe wapiga debe la CCM

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 года назад +1

      Na ubunge hawapati ktk jina la Yesu!
      Wawapisha na wengine

    • @sheryphamwenevalley6124
      @sheryphamwenevalley6124 4 года назад

      @@christinewomanoffaith5479 kabisa bora wakose shwain sana, km huyu bashite kamtukanisha sana Magu kwa nafasi ile leo wakuondoka kizembe huyu ndio angekosa kabisa hana kweli fadhila na vyeti vyake fake🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 4 года назад +5

    hawaridhiki hao baba ila acha wa'wapishe wengine kwenye hivyo viti walivyo viachaa

  • @abuumwinyimkuu4842
    @abuumwinyimkuu4842 4 года назад

    U ar a nature!

  • @dicksonwambura9840
    @dicksonwambura9840 4 года назад

    Siasa bwana na maelekezo yote hayo utashangaa makonda kapitishwa na kuwa mbunge

  • @Tiffany2-Jr
    @Tiffany2-Jr 4 года назад +1

    Waacheni kuwasema umri wa uongozi ni kutumikia wananchi wakati wa ujana, hata kikwete alianza siasa akiwa kijana,, wananchi ndiyo tutawapima

  • @silikonnyondo5146
    @silikonnyondo5146 4 года назад

    Bashiku nimekuerewa Sana katika chama kusimamia haki je kwavyama vingine haki iyo inapatika kupitia chaguzi namanisha wateule hao wanafwata haki uyu kashindaje

  • @danielbugwema6969
    @danielbugwema6969 4 года назад +5

    Kazi ya ukatibu imepata mkunaji ila niombe kiombe kiongozi watu wasihukukumiwe kwa kuwa tu wameacha nafasi zao nakwenda kugombea nafasi za Ubungo bali watu wapewe haki zao ili chama kiendelee kuwepo wasameheni wameteleza watajifunza

    • @thieryniyonkuru1067
      @thieryniyonkuru1067 4 года назад

      Hapo lazima wakatwe panga🤣🤣🤣

    • @pancrasmwenda7307
      @pancrasmwenda7307 4 года назад

      Wana tamaa hao hakuna kusamehewa c waliapa wenyewe

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 4 года назад

      Kote wanataka wao.Ni bora kuachia kumoja shika nafasi unayoitaka na ukikosa imekula kwako.

  • @revokatkashasha8714
    @revokatkashasha8714 4 года назад +1

    Patamu hapo!Wataula wa chuya!!!

  • @sungwambuga9255
    @sungwambuga9255 4 года назад +1

    Wateule wa JPM watuachie sisi wakulima tugombee

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 4 года назад +1

    Mimi ni CCM damu damu lakini CCM huwezi kupata cheo kama huna fedha (sijuwi zinatolewa saa ngapi, lkn RUSHWA ipo) na ukiwa mtoto wa Kiongozi wengine watabaki kuwa washindikizaji hawana chao. Uadilifu ndani ya Chama bado hauko sawa sawa, maandiko yapo vizuri na kila swali lina jawabu.

    • @hamoudrushenya8650
      @hamoudrushenya8650 4 года назад

      CCM ipi hiyo?Zama za kuitegemea hela kukupa uongozi zimepitwa na wakati.Ushahidi ni utitiri wa walio chukua form kugombea, kipindi kilichopita usingeona haya kwa sababu waligombea wachache wenye hela.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 года назад

      @Change Mindset Jenga hoja yako tu, huna haja ya matusi.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 года назад

      @@hamoudrushenya8650 Hakuna siku duniani ambayo mwenye fedha atakuwa sawa na alokuwa hana, CCM ninayoungumza ni hii hii iliyoanzishwa 5/2/1977. Hujuwi siasa, wingi wa Wagombea sio dalili tosha ya demokrasia bali ni aina nyingine ya RUSHWA ambapo wenye nguvu (fedha) wamewatumia watu kugawanyisha kura ili mwisho wa siku aibuke mshindi. Hapana mlalahoi atashinda hapo. Mbona kwenye Rais hakujitokeza mtu kama sababu kafanya vizuri (tunakubali wote hapo) kwani hakuna Wabunge au Madiwani au Wawakilishi waliofanya vizuri? Kuna hitaji akili kubwa kuelewa Change mindset ambae akili zake has changed negetively hawezi kuelewa.

  • @allymussa4557
    @allymussa4557 4 года назад

    Mimi naona kwanza ushauri ungeutowa kwa Rais kwani nayeye pia anakosea kuwapa watu wasio wanachama uwongozi yani kwenje mikutano yake anateuwatu wapinzani bila kufanta utaratibu wachama

  • @allymussa4557
    @allymussa4557 4 года назад

    Msitishe watu mkajifanya kama njie ndio chama chenu kilamwana chama ana ana hakiyake kugombea

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 4 года назад +2

    Acheni kumsema jamani,aliyo yafanya ni makubwa kuliko mnacho msakama nacho.angalieno mema yake.

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 4 года назад +3

    Mm sion kosa n sawa MTU unajiendeleza kielimu..........ukirifhika unadumaa kiakili......huwez jua pengine wewe ni rais ujae........ht baba wa taifa alikua na umr mdogo Ila Kaz kubwa angeridhika tusingepata uhuru

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 4 года назад

      Unajua nini Wtz tumekwishakuwa wengi,hakuna sababu yakwenda kugombea huku umeshika nafasi.Jiondoe kwenye madaraka ndipo ukagombee.

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo9105 4 года назад +1

    Naishauri ccm inakoelekea ni kubaya mumelewa kukubalika kwenu ,wakati vyama vinatafuta watu wenye mvuto kwa ajili ya kushinda uchaguzi nyie mnazuia watu kugombea why?
    Nani aliwai kutosheka ?
    1, jpm alikuwa waziri hakutosheka akataka urais
    2, bashiru ulikuwa mwalimu haukutosheka Leo ni katibu mkuu
    3, jk alikuwa mwanajeshi akutosheka akaenda kwenye siasa adi urais
    4, mkapa alikuwa mtumishi Wa ikulu hakutosheka akaenda kwenye ubunge shida iko wapi?
    Unatudanganya jk alikuwa mwanajeshi akaenda kwenye siasa mbona hakutosheka jeshini

    • @christophermwanilwa7074
      @christophermwanilwa7074 4 года назад

      Hujaelewa. Kugombea ni haki ya mtu na kanuni za Chama zinaruhusu. Ila ukigombea na ukiwa ni mteule lazima uachie cheo cha kuteuliwa wakae wengine. Hata ukiwa ni mfanyakazi wa Sheria inasema uache kazi.

    • @ibtysophy3467
      @ibtysophy3467 4 года назад

      @@christophermwanilwa7074 kuna wengine ni wazur kukoment lkn wazito kuelewa mada husika

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Год назад

    Huyu jamaa ni tunu ktk hii nchi

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose3286 4 года назад +2

    Kimsingi kiongozi yeyote kuamua kuacha kazi na kugombea nyadhifa fulani ni sahihi kabisa. Ni haki yake ya msingi katika kutimiza malengo na matarajio yake kimaisha. Shida ni kwa viongozi wateule wasiozingatia ushauri wa aliyewaweka kwenye nyadhifa zao, ni sawa na kumpiga Kofi la Uso.

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 4 года назад

      Hata katibu hajasema hana haki bali kwenye mchakato lazima uache nafasi uliyopewa kwanza ndipo ugombee.

  • @allymussa4557
    @allymussa4557 4 года назад

    Pia na Rais umwambie kuteuwa watu bila kufata utaratibu wachama nayeye pia anakosea mbona hamuyasemi wapinzani wengi wanateuliwa bila kufata utaratibu wachama nahilo pia useme

  • @swaleheamri2303
    @swaleheamri2303 4 года назад +2

    Ok

    • @fathilaothman7870
      @fathilaothman7870 4 года назад

      Wanataka kutawala wao kila kitu wawe waoo zote ni rohombaya

  • @mathiasmsese6128
    @mathiasmsese6128 4 года назад +7

    jamani kwa maneno haya ya busara nahisi tumtafutie mwenzetu kazi nyingine

  • @moyesmboya6171
    @moyesmboya6171 4 года назад +1

    Makonda hamtampitisha?

  • @neemachriss2605
    @neemachriss2605 4 года назад +3

    Katibu kweli umezungumza sahihi,na imani kweli ya serikali ya awamu ya tano mmeahidi na mmetekeleza
    na pia umeondoa ule utoaji rushwaa
    Hivyo vijana waende tu
    tutawaunga mkono tu wakipita,
    Mwenyekiti asimamie ipasavyo
    viva ccm

    • @lubambeheneli133
      @lubambeheneli133 4 года назад

      Hawa vijana sio wazuri kama wamepewa madalaka wamekadi kwa dhalau Sasa wanaonekana hawako tayari kukufanya kazi na Rais Hata tukiwachagua watakwenda kumhujumu. Kazi kwetu wapiga kura.

    • @Burange666
      @Burange666 4 года назад +1

      Serikali ya ccm wasenge wezi

  • @josephmwinyi
    @josephmwinyi 4 года назад +4

    Sema baba kuna viongizi hawajui hizo kanuni

  • @nabii-zc1hm
    @nabii-zc1hm 4 года назад

    Wamejiridhisha na uteuzk

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 4 года назад +4

    Mzee wa mafaili aeneze mafaili hadi tarafani mwenye kucheza rafu aadhibiwe

    • @Burange666
      @Burange666 4 года назад +1

      Mzee wako msenge anafirwa

  • @barakaabel482
    @barakaabel482 4 года назад

    Dr. Bashiru

  • @mytimeonce1479
    @mytimeonce1479 4 года назад

    Mheshimiwa Makonda hajiamini Katibu nimekuelewa... huyo bado..angeharibu Sana ...SNOBBY..

  • @abdulkuluwia6525
    @abdulkuluwia6525 4 года назад

    Pole bashite

  • @johndaud1663
    @johndaud1663 4 года назад +3

    Wapinzan wa bongo walivyo wapuuzi, safar utashangaa wanaendelekea kupokea makapi ya ccm yatakayo drop kwny kura za maoni kama 2015 ambavyo huwa hayajifunzi tu

  • @seuryanael3518
    @seuryanael3518 4 года назад

    Sijui watu wanapenda nini ubunge. Hakuna cha maaana kama hautaki kusaidia jamii yako na upo kwaajili ya maslahi yako binafsi labda nitakuelewa. Vijana pigeni kazi.

    • @eliasaid538
      @eliasaid538 4 года назад

      Miladi ayoo tufikishie ujumbe kwa magufuli wachimbaji tuliyoko igomaa mafinga tunanyanyasika

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi 4 года назад +2

    Weweee

  • @georgejohnmitanga5763
    @georgejohnmitanga5763 4 года назад +1

    Viogozi wagazi zakata wanawagombea kunasehemu mabalozi wanapewa ukoo wajipanga kwahilo madiwani wegi watapita wasiyo kubalika kwanaichi uchaguzi watu wamemaliza wamebaki kutangazwa wajumbe 100 kaweka wakwake kilakijiji 15x5=75 tayar hesabu ndg bilakujali mbovu kiasigani

  • @enzielias1543
    @enzielias1543 4 года назад

    Kwa maelekezo hayo ni wajibu wa viongozi na wanachama kuzingatia maadili na misingi ya CHAMA CHA MAPINDUZI.

  • @maserojoseph9073
    @maserojoseph9073 4 года назад +1

    Wasira

  • @sultanaljabri5109
    @sultanaljabri5109 4 года назад +1

    Million 10 Kati ya million 59? Katika kipindi chote cha utawala ni tatizo kubwa na alama ya kutokubalika katika jamii. Uwezo wa kuwafikia wananchi ni mkubwa kwa CCM na Serakali yake tofauti na vyama vingine vilivyo kosa uhuru wa kufanya shughuli za za kisiasa ili kuwafikia wananchi wengi ili waongeze wanachama. Nini Maoni yako?

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo9105 4 года назад +1

    Nini tena?

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 4 года назад +4

    duuuuu kwa maelezo hayo makonda aji tadhmini sn nawengineoo pia😀

    • @denisimaliyaweni9183
      @denisimaliyaweni9183 4 года назад

      Hata akijitathinim kaishachelewa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 года назад

      Makonda kashindwa kutambua alama za nyakati, alishindwa kujuwa kuwa ana maadui wengi sana Serikalini na ndani ya Chama. Alikuwa yupo kwa Ihsani na imani ya Rais lakini keshaivunja.
      Wabunge wanaripoti shida zao kwa RC leo wewe ni RC unaomba Ubunge, why? Ni kweli ukiwa Mbunge una uhakika wa kibarua kwa miaka 5 hata ukifanya vibaya lakini nafasi ya uteuzi inapotea wakati wowote.

    • @sylvestrengwelu2012
      @sylvestrengwelu2012 4 года назад

      Mariam
      Uko sahihi
      Ila MAKONDA KAANZA NA UVCCM KATUMIKIA VYWMA,UKUU WA MKOA KATUMIKIA VYEMA,NK.NI KIONGOZI KAACHA ALAMA KAKOMESHA MADAWA YA KULEVYA.MAADUI WANAOMCHUKIA NI WALE WALIOTAKA KULETA MADAWA AU RUSHWA.
      ANASTAHILI KUWA KIONGOZI WA NGAZI YA JUU.

    • @erickmoses6395
      @erickmoses6395 4 года назад

      @@sylvestrengwelu2012 Ngazi ya juu ni ipi? Mkuu wa mkoa au Mbunge wa Kigamboni!!? Hahahahahaaa

    • @sylvestrengwelu2012
      @sylvestrengwelu2012 4 года назад

      MAKONDA SIYO LEVEL YENU,
      SUBIRINI UCHAGUZI UISHE
      HAYA MNAYOSEMA MTAJIKATAA WENYEWE.
      MTAKUJA NIAMBIA.

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo9105 4 года назад

    Sijawaelewa ccm yaani mgombea anateuliwa au kura za maoni ndo zinatoa mgombea ambaye anakubalika kwa wananchi

  • @josephndekele3586
    @josephndekele3586 4 года назад

    Makonda hakuzaliwa kuwa mk7u wa mkoa hivyo ana haki ya kugombea kuwa mbunge waache kuminya demokrasia hata hivyo makonda ana nafasi ya kwenda upinzani akiona huko wanamkandamiza.

  • @revocatuschailla1027
    @revocatuschailla1027 4 года назад

    Chama changu pendwa CCM wapeni watu uhuru wa kuchagua cha kufanya wasilazimishwe kufanya kitu asichotaka, hivyo msiwapige vita. Na hata Ndugu Bashiru hapo anasema ni haiki yao kugombea basi tusimame hapo na kuwapa hiyo haki ya kugombea.

    • @nestor384
      @nestor384 4 года назад +1

      Kama wangekuwa hawazipendi nafasi walizokuwa nazo walipaswa kutokukubali uteuzi.. lakini kila nafasi unataka wewe DC time wewe, MPs time wewe wengine ambao hawana hizo nyazifa kubwa kubwa waende wapi kama kila kitu wewe!!

  • @mecksonsamwel5605
    @mecksonsamwel5605 4 года назад +2

    Htr

  • @kasimugullum5862
    @kasimugullum5862 4 года назад

    Mfano bora wa maadili.

  • @nyakamwebakeha2915
    @nyakamwebakeha2915 2 года назад

    baba ngombea uraixi

  • @allymussa4557
    @allymussa4557 4 года назад

    Hichi chama sio maliyenu pekeyenu kuwa muamuetu mnalolitaka nyie ndio liwe haiwezekani hivyo kila mwana chama anahaki yakugombea msilete mambo mnayo yataka nyie

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 4 года назад

      Tatizo Ally hujaelewa.Hakuna mtu anayekatazwa kugombea bali kwakuwa ana nafasi yakutumikia wananchi basi ajiuzulu kwanza huko ndipo aombe nafasi ya kazi kwenye ubunge.

  • @simonthomas3505
    @simonthomas3505 4 года назад +4

    KWELI

  • @sameramwajdu9029
    @sameramwajdu9029 4 года назад +1

    Vizuri wanyoweni kwa magaeya chupa

  • @godshajulius7086
    @godshajulius7086 4 года назад

    Kuna watu wamepewa dhamaa ya kuwakilisha majimbo mbalimbali kwa hawamu 2 Ila hawatendei haki watu wa majimbo hayo,tunaomba chama izingatie hili( Mara ni haibu watu wanarubuniwa na matajirin wanawachagua)

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 года назад +1

    hakuna kitu kibaya kwa kiongozi msomi kuwa na benefit of intrest

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed5546 4 года назад

    Mie zozo nieleweshe

  • @rashidsaleh3585
    @rashidsaleh3585 4 года назад

    Dida

  • @jamesnigo7868
    @jamesnigo7868 4 года назад

    Haa katibu eti Ilikua Ni kata ya KATERERO

    • @seifjuma3471
      @seifjuma3471 4 года назад

      😂😂😂😂😂umehisi nini tena mzeebabaaa 😜😜😜

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 4 года назад

    Duh

  • @fidemgina9979
    @fidemgina9979 4 года назад

    Ssm ndicho chama chakupita bila kupngwa

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 4 года назад

    Hivi kweli,unaacha ukuu wa mkoa au mkuu wa wilaya kwenda kugombea ubunge???!!.Kuna nini cha zaidi kwenye ubunge?,au kuna maslahi zaidi?!!.

    • @modestussanga5413
      @modestussanga5413 4 года назад

      Mi nahsi anaona Kuna probability akipita kuangaliwa kwenye nafas ya uwazir
      Tamaa tamaa tuu

    • @lucanusnickata8852
      @lucanusnickata8852 4 года назад

      Kazi ya muda mchache unapata gari ya mkopo ukimaliza miaka mitano kiinua mgongo kikubwa ndo mana watu wanaacha kazi zao na taaluma zao

    • @barikilinus5274
      @barikilinus5274 4 года назад

      Dismas.. ubunge maslah .posho vikao vya bunge,posho ukiwa kwenye vikao vya KAMATI za bunge.posho ukaguzi wa miradi kwenye kamati za bunge.marupurupu kibao na ile nono ya kumaliza awamu.

  • @pancrasmwenda7307
    @pancrasmwenda7307 4 года назад

    Makonda kalowa

  • @tumaininerei5948
    @tumaininerei5948 4 года назад

    Tunasubiri matokeo ya kura za maoni.

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 4 года назад

    Namkumbuka mbagwa alikua anachapa mpaka viboko nakuwekwa selo.alikua kiboko mbaya sio mchezo kaka

  • @samsonsimon7882
    @samsonsimon7882 4 года назад

    Kwahiyo akikosa anarudi kweny nafasi yake