Mzee Dewji umezungumza kweli kuna mashabiki Simba ni wanafiki sana Chasambi kampenda MAX akina GB 64 hovyo sana na akina Mzarama hovyo kabisa wanamsema mtoto wa watu balaa wanamkosesha raha sana
DOGO ALIKUWA ANAONGEA KWA KUJIKUBALI SANA NAKUJIONA ET KWENYE TIMU YANGUUU HAKUN,, HAKUNA NINAYE MKUBALI. WALA SHIDA SIYO KUMKUBALI MCHEZAJI WA YANGA MBINA MAX MWENYEWE ALISEMA ANAMKUBALI AWESU NA FEI
Hata hao wachambuzi wanaaangalia mechi mbili tuu za Simba na Yanga. Kwa hiyo tunaweza kusema kwamba hao ni wachambuzi wa Simba na Yanga. Unakaa unajiuliza hivi inawezekanaje nchi hii timu zipo 16 lakini redioni zinasikika Simba na Yanga tuuu.
Ayo, mwambieni yule mchambuzi uchwala wa majizo pale EFM anajikutaga anaongea sana kiingereza Cha hovyo hovyo,nadhan hata ethics za kazi yake hazijui,anashindwa kuchambua,anatanguliza ushabiki,Kila mchambuzi ni shabik wa team fulan ila wawapo kazini Huwa wanakuwa neutral ili kuepuka bias,ila huyo majnun aso maana....ametufanya Hadi tushndwe kusikiliza kipindi chao
Hivyo watanzania tunashida gani Kila kitu mtu lazima akosoe, kwenye mpira,siasa ujuaji mwingi Mzee kaongea points,haijalishi mi shabiki wa yanga yupo right.
Nyinyi watu wengine mna chuki na jamii yenye tofauti ya ngozi na sisi , wanao nyonya hii nchi ni viongozi wetu wote wa kila kada, mawaziri wabunge ma manager, raisi , polisi na kila kitengo hao ndio wanao ifilisi hii nchi , sio wafanya biashara wanao kamuliwa kodi
Hongera san Kwa maneno yako ya busara tena chasambi kocha ampe nafasi ya kucheza kila mechi
Excellent Mzee Azim.
Safi sana umeongea kisoka mzee wetu
Asante Kiongozi nimekusikia.
Sawa sawa mzee, Uko sahihi
Kikubwa timu ya simba iache back pass ambazo zinatupa shida muda wote kamara atachoka tu muda wote mpira nyuma mengine mashuti kwelikweli aaaah!.
Hii ni kweli kabisaaa
Yaan Tena cku hz wanapendaa me nakacrikaa
Hakuna timu haipigi back pass duniani mzew
Wana simba 2musamehe2 chasabi kuliko kusemasea2 ukiabiwawewe ukachezemoutaweza ❤❤simba ubaya ubwelaaaa wanasimbaaa
Tanzania hatuna wachambuzi mzee wangu.
Chasambi bado tunamjhitaji
Huyo mtoto awe serious mzee ,aache utoto tatizo uongozi umeweka matumaini makubwa kwa huyo chasambi ndio maaana anavimba kichwa anaona sawa tu
Huna akili
Mi ni shabiki wa yanga ila we jamaa hivyo unajielewa?
Acha ushamba
Jamaa uko sawa kweli, et mtoto aache utoto anaachaje wakati ni mtoto?
Wacheni ushamba ktk soka, mazur mangapi Chasambi amefany, ss kosa moj iwe shida? Hv mnajua mnachokiongea lkn. Muacheni dogo acheze mpira, km mmeshindwa kushabikia mpira bc tafuteni michez mingine mushabikie.
Mzee unabusara kubwa
Mzee Dewji umezungumza kweli kuna mashabiki Simba ni wanafiki sana Chasambi kampenda MAX akina GB 64 hovyo sana na akina Mzarama hovyo kabisa wanamsema mtoto wa watu balaa wanamkosesha raha sana
Mzee umeongea kwa busara lkn Kagoma ana 28 kama skosei n'a sio 19
Mzee Shikamoo
DOGO ALIKUWA ANAONGEA KWA KUJIKUBALI SANA NAKUJIONA ET KWENYE TIMU YANGUUU HAKUN,, HAKUNA NINAYE MKUBALI. WALA SHIDA SIYO KUMKUBALI MCHEZAJI WA YANGA MBINA MAX MWENYEWE ALISEMA ANAMKUBALI AWESU NA FEI
Umeongea ukweli mtupu
Ee 😳 kumbe chasambi anamzidi kagoma miaka 😮😮 nilikua sijui
kwahyo ndo avae GPRS kwann matajiri wengi wanaavaa GPRS mkononi
We mzee Tuache kwa lile shuti alizamilia kutufunga kabisa umebebwa tu na mo wewe ni utopolo uliyejivika ngozi ya Simba hebu tuache bhana
Huyu gwiji kwenye Mambo ya mpira vizr Sana mzee
Muambie tyu Aweke pamba Kichwan Asiwasikilize😅😅 3:13
USKUTE HUYU MZEE NDO MWENYE SIMBA MAANA NDO ANAKUWAGA MSITAR WA MBELE KUSIMAMA PENYE SHIDA
Ameongea points tupu kuanzia Kwa mashabiki mpka wachambuzi wamekuwa wanafk hawapo fair Leo wanamsakama chasambi kesho watamsifia usenge mtupu
Hata hao wachambuzi wanaaangalia mechi mbili tuu za Simba na Yanga. Kwa hiyo tunaweza kusema kwamba hao ni wachambuzi wa Simba na Yanga. Unakaa unajiuliza hivi inawezekanaje nchi hii timu zipo 16 lakini redioni zinasikika Simba na Yanga tuuu.
Nilisha wa challenge kama wana uwezo watuchambulie hata game moja EPL
Mzeeh Wa Busara
Harafu pia, kumsema mchezaji anapokosea anazudi kuvurugwa wakati mechi bado nyingi
Hao watu wenye hasira wasioweza kuzuia hasira zao kama kina Gb64, wahijiwe siku moja baada ya mechi ili wapate muda wa kujitafakar
MZEE WA BUSARA
Ayo, mwambieni yule mchambuzi uchwala wa majizo pale EFM anajikutaga anaongea sana kiingereza Cha hovyo hovyo,nadhan hata ethics za kazi yake hazijui,anashindwa kuchambua,anatanguliza ushabiki,Kila mchambuzi ni shabik wa team fulan ila wawapo kazini Huwa wanakuwa neutral ili kuepuka bias,ila huyo majnun aso maana....ametufanya Hadi tushndwe kusikiliza kipindi chao
Siyo wapondaji ni Wachambua mavuzi ya wake zao
Uongozi ufanye mpango basi umlete zengeli uwanyamani ili kumtuliza kijana
unachosema ni sawa ila akilin mwang hayupo tena ye apambanie nafasi yake tu ila mi siyo shabiki yake tena hyo chalii
Hamza ilifunga magoli mangapi HAPO SIMBA, ILA BACK PUS ZIPUNGUE.
Mzee mi shabiki wa yanga ila we Mzee, umeongea kimpira na weledi na busara.
Unamjua lakini huyu mzee??? Et shabiki wa yanga 😂😂😂😂
@omariaman7818 umeelewa comment yangu ebu isome Kwanza
Hata mim nampenda max nzengel ana nidham
Wewe mzee umeinyonya sana Taifa letu kwa kujificha kwenye Team ya Simba
Hv yule Dogo alitekwa na nani mzee??
Unahitajika cantral station posta uje uelezee kwa upana kile unachokihisi tufanyie kazi
Hivyo watanzania tunashida gani Kila kitu mtu lazima akosoe, kwenye mpira,siasa ujuaji mwingi Mzee kaongea points,haijalishi mi shabiki wa yanga yupo right.
Nyinyi watu wengine mna chuki na jamii yenye tofauti ya ngozi na sisi , wanao nyonya hii nchi ni viongozi wetu wote wa kila kada, mawaziri wabunge ma manager, raisi , polisi na kila kitengo hao ndio wanao ifilisi hii nchi , sio wafanya biashara wanao kamuliwa kodi
Ukubwa dawa!
MZEE ,KATIKA washabiki wa CMBA naona wwe peke yako ndio unakili, hao wengine ni zero blain,
Nawe sio Blain ni brain tuanzie hapo hata wewe ni zeroooooo brain😂😂😂😂😂
@@taseleli9181hao wa yanga ndo zero brain 😂😂😂