MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA.
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa ametoa sababu mbalimbali zilizomfanya akachukua uamuzi wa kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), kubwa ni utendaji wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuwaunganisha Watanzania.
Mchungaji Msigwa amesema hay leo Jumapili, Juni 30, 2024, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyikia Ofisi Ndogo za CCM, Lumumba akiwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla.
Ni saa chache kupita tangu alipojiunga na CCM mbele ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Karibu Kamanda nyumbani kumenogaa
Hongera ur wellcome comrades👌
Chadema imekuwa saccos ya mtu mmoja 😂😂😂
Welcome Msigwa , CCM is every thing Sasa utaona maana ya uongozi
Njoo msigwa tukijenge chama chetu Cha mapinduzi
Msigwa anatueleza ukiona haki haitendeki sehemu fulani, ungana na wasio haki kutenda uovu.
Mpuuzi tu
Mimi nikiona mpinzani anaungana na CCM ,siyo sawa pamoja na hoja zake nooo
Tunamtuumu msigwa tu lakini Madai yake yanaweza kuwa na mashiko na nguvu hivyo Chadema ni vyema kujitafakari
Kahogwa ache unafiki
@@BashiruShabani-w5j huenda kweli kahongwa ila chadema pia kunashida mbowe inatakiwa kunawakati aachie wenzie uwenyekiti wa chama Kila cku yy tu
Bora ungepiga kimya ukaachana na siasa za vyama.
SAFI..... SANAAAA. MSIGWA KUAMIA ...CHAMA TAWALA
hiii dunia bhana
Duh Tanzania yetu
Huyu nae tenaa 🤣🤣🤣🤣🤣,, mbwa ninyi wanasiasa
Katika interview hii msigwa hayupo sawa amelishwa maneno.Yeye ni mpinzani aendelee kuwa mpinzani .
Katiba sio ya chadema ni ya wananchi msigwa. Nenda salama
Msigwa umetukosea sana. Bora ungeenda CUF au ACT basi tujue bado upo upinzani. CCM mh😔
Mchezaji wa daraja la juu akitoka kwenye timu yake kwa sababu yoyote ile atakwenda kwenye timu ya daraja la juu zaidi na sio kurudi daraja la chini. CCM ndio kimbilio kwa mtu kama Msigwa.
Mchaga na siasa wapi na wapi mboye ni mwizi tuu
Nimesema mara nyingi kuwa shida yetu sio katiba bali ni watu wa kuisimamia katiba hiyo na Msigwa ni shahidi kuwa Ubora wa katiba unategemea sana ubora wa wasimamizi. Chadema ina katiba nzuri sana lakini ina viongozi wabinafsi na madikteta. Walio hama chama hicho ni wengi tu na malalamiko na hoja zao ni zilezile. Katiba mpya ni kama gari mpya ambalo maisha yake yanategemea ubora wa dereva.
Karibu sana tz...hongera kwa ueledi wakutambuwa sehem salama na tulivu, jenga uimara kwenye pambana na song mbele
Njaa zinamsumbua huyu Mzee msigwa kishapewa asali kishaambiwa atapewa kitengo kaona masilahi hapa hamna mchungaji ni unafiki juzi juzi alikua anapondea hakuna maendeleo saivi anasema Serikali inafanya vzr huo sini unafiki Sasa aisee 😢😢😢😢😢
CCM Kila kitu
Wewe ni mtumishi wa Mungu lakini mbona muongo? Hakika unachekesha pamoja na undumila kuwili,hueleweki kabisa acha uroho ndo maana hata maneno yanakupotea
Acha ale maisha nani asiyependa kuitumikia CCM hata we ukiitwa ni chapu
Siasa za hivo tulishazichoka soon utapotea boss
Mimi nafikiri Mh. Msigwa ulipaswa tu kusema"nimeamua kuhama chama na kujiunga na CCM". Lakini all in all, hayo ni maamuzi yako wala hakuna anayeweza kukupinga.
Ndo ukwel kamanda
Chadema jimbo la iringa kulipata tena labda 2035
Binasfi nimejiskia vibaya kwa maamuzi yakooo 😢😢😢
Heee amekuwaje leo huyu! Nenda salama CHADEMA haina njaa ya watu. Kuondoka kwako kutaleta mamia ya watu .
ila Mzee Mungu anakuona hivi kweli ni Mchungaji huyu? 🤣🤣
chadomo chama cha wachaga, umefanya vizuri Peter Msigwa
mbowe ni mwenyekiti wa kudumu wa chadomo
Tujiulize angelishinda haya yangelikuwepo? Answer is big No.
I knew this is going to happen Nafikiri ukombozi wa Tanzania bado sana yaani sungu kuwa m/kiti jamaa nogwa huyo CCM
Dahh 😂😂😂 ccm walimpeleka lowasa chadema leo chadema msigwa aenda ccm
Tumbo la watu lina shida kweli jamani
Msigwa kaa kinywa we are not stupid
Ndoo maana ninasema hawa wachungaji hamna kituu
hamna mtu hapa
Kwanini hukuyasema hayo kabla hujaondoka unakosea leo wakati pia uliisema vibaya CCM angalia clip zako za nyuma na weka akiba ya maneno brother.
Daah ama kweli yangoswe mwachie ngoswe.
Msigwa is hungry man
Nenda kafe huko bna
Ccm mpeni udc huyu vinginevyo atawakimbia huyu😂
njaa tu
Porojo za Msigwa
hapo uliposema chama chetu kimekosa agenda kuwa makini hii clip itakatwa itatumika vibaya
Sasa hapo unaongea nini kuaribu chama
uezi ona ushoga kama huu kenya
Swali ni moja tu!Je ungeshinda kwenye uchaguzi wa Chadema ungeendelea na Chadema?au umehama kisa umeshindwa uchaguzi?
Wanasiasa hatari, ukikosa cheo unahama chama😂
Kama kweli unaamini hivyo na kwa maneno yako maana yake CCM pia haipo vzr na ili kutuaminisha kuwa sio njaa iliyokuhamisha ungeanzisha chama chako. Watanzania pia tuna akili. Tunajua vzr
kwer usaliti upo huku clatous chama huku msigwa😂😂😂
Mhhhh hizi njaa zinatutesa kweli amekua mbunge misimu miwili lakin leo anasema chama kimekosa agenda dhuuuu Mungu tusaidie
Alitabili magu mda saana
trending ya mpina kwishney 😂😂
Wewe Msigwa mnatufanya wananchi tujuwe mpo kwa maslahi yenu binafsi tu mambo mnayofanya hata aibu hamuoni, kuliko kwenda CCM ungekwenda upinzani ungeeleweka !!!!! Au ungeacha siasa utulie kimya kwanza, mmesema sana CCM haifai unakwendaje hapo hapo tena !??? Mnadhani WaTanzania hawafikiriii !!!!?
Yaaaan kitu ambacho katika maisha yangu sikiamin nimwanasiasa yaaan Msigwa leo hii ndo wewe unaongia hivi??????
kwahyo we mzee unatwambia umekaa zaidi ya miaka 20, hiyo ya demokrasia kukosekana chadema hukuwahi kuiona ndo umetambua baada ya kupgwa chini kwenye uchaguzi?
Hata ongea yako tuu imebadilika ulivokuja huku, karibu sana. Huku hatubwati kama ulivokua unabwata kule 😂😂😂😂
Je mbowe ndiye alipiga kura huko uliposhindwa? hauwezi kutudanganya
Chadema msiumie namjua msigwa kule amekwenda kwa kazi maalum akisha timiza kazi aliyo tumwa atarudi soon hivyo ccm kama mlidhani mmelamba dume basi na wahikikisu subirini time will talk ccm kwa ujuma imekula kweni
Unachokiongea ni kweli chadema bado sana sanaa wanakula tu pesa za wananchi na ubaguzi mie nimewatoa thamani kusema mzanzibar ubaguzi wa waz chama kesho utasikia wale wapare wale wazaramu achanni na hicho chadema
Wananchi wa wapi? Kwani kinakusamya kodi? Ama kweli hili taifa Lina mambulula
Nimekumbuka JPM, HAPA KAZI TU .😅😅
Wwe Ni tapeli wa siasa tyu, unajiita mchungaji kwahiyo ulipokuwa chadema ulikuwa unaongepea watu na Sasa upo ccm utaongea ukweli??? Acha kujidhalilisha msigwa
Anauhalali gani kumsema mbowe? Kweli achapakuche tuone mwanga
Huna lolote msality wew
kukosa uwenyekiti wa kanda ya nyasa ndiyo imekua nongwa kumbe wewe ni decteta
Nafikiri CDM ndio maana walimfanyia mzengwe kwenye ule uchaguzi wa kanda. Walimjua haaminiki kwa sababu ni miaka mingi amekuwa akituhumiwa kwenda CCM. Hayo yote hakuyaona miaka ishirini aliyokuwa chadema kama kiongozi na mbunge.
Ni njaa tu, maslahi na kuhangaikia tumbo.
Kwahiy ww unadhan chadem wale hawapat kitu au
Mama hakuna anaemkubali nenda kaongeze nguvu walau apate hata asilimia tano.
Uwongee basi kidogo mzee ubakishe jaman.wewe umeisha hama sibas
Uchaguzi wa mwaka 2020 alizulumiwa kw amadai yake ya mwanzo na ni haohao aliojiunga nao ndo walimkosesha haki. je hko kuna jipi jipya ambalo unaona ni zuri au ni uroho tu
\
Kesho anakuwa mbunge kwa tiketi ya ccm Iringa
Huyu amefuata mlo😂
Mpwa kama mpwaa karb SANA
Mie namvulia kofia mama samia sluu hassan sifikirii kama kuna mwanasiasa nguli kwa Katanzania ukamkosa mama samia ye wala hapigani na kelele ye anajua vya kupiga na baada ya mika 5 ijayo upinzani hamna Tanzania
Ivi huyu ni msigwa aliye sema kua walioko ccm hawana upeo na yeye leo amekua mmoja wa wale ambaye awana upeo, NIME MKUBALI MH. LISU ANAONA MBAMBALI ARUFU YA PESA CHAFU LEO TUMEKUBALI MSIGWA NDIO WALIOPEWA KUJA KUARIBU UCHAGUZI WA KANDA.
Njaaaaaa
Tena njaa mbaya Sana ndugu yangu😂, hana lolote zaidi yakutaka maokoto tu hapo anajua atapata chochote kitu cha ziada😂.
Mchungaji tapeli sijui kanisank lako ni i lile la mashoga nini kwenda huko tapeli mkubwa wewe utatuambia nini wewe mchungaji unakula jaxa mwenyewe
Inawezekana unayosema! Ulikuwaje ukashuhudia hayo kwa miaka yote bila kuongea ila baada ya kuukosa uwenyekiti wa kanda (maslai) ndo unasema. Usije kuleta unafiki wako huku CCM hautavumiliwa ulimsigina sana JPM
mpak kuongea anaona aibu vile anavopondaga ccm sasa ccm wataelew jinsi ya kuishi na huyu mtu
Mwanasiasa Malayamalaya huyu umeyarudia matapishi
Amepagawa na Pepo
Kwenye msafara wa mamba,kenge wapo pia!
Msaliti wewe huna haja ya kumshukuru mungu laana inakutafuna huna ata sifa ata ya kuitwa mchungaji ""njaa imekukaba umenunuliwa😂😂😂😂""
Kwann umehama mara tu baada ya kushindwa uenyekiti wa kanda ya Nyasa mheshimiwa mchungaji?
Ngoja nimjibie. Kuhama kwake. Kaamua kumia golini. Ukiwa kiongozi wa chama cha upinzani, kawaida kuna udambu dambu unaopatikana kutoka kwa chama tawala. Sasa ukiwa upizani na hauna cheo chochote inakubidi usubiri viongozi wako mpaka wa kukumbuke. Sijui umenipata?
Surayaketu inaonyesha ni yuda Toka anyimwe uwenyekiti
😅😅😅😅😅 duhhh
Hawa ndio wachungaji tulio nao mungu atakupiga muda si mrefu
Hawa ni wanadamu halisi. Si wachumgaji. Yesu alipokele Jerusalem Kwa nyimbo hosena mwana wa daudi, siku chache hao wakasema msulubishe.
daaah what a shame
Yaani ylitaka uendelee na kanda uliposhindwa na Sugu ndio unakuja hoja dhaifu namna hiyo?sasa namuomba Mungu 2025 hao ccm wakuteue ugombee hapo iringa halafu uone utakavyo pata Aibu...fyoooooo
Mh hahahaha bora hata niangalie tu sinamaneno 😂😂😂
Msigwa as a Pastor...
CCM hakuna Haki, wewe unapigania Haki. Kurudi CCM you are lost, lost for ever. Your Character is questionable. A man of Principles couldn't do what you did Buddy.
This is for your own down fall no led no more.
Ameisha huyo
Pumbavuuu kweli weee
Oya ogopeni njaa mazee
Haijawahi kumwacha mtu salama
Ushapotea brother endelea kupalilia uovu wako
Njaaa ya kichwa 😂😂😂
Msigwa hanywi pombe ,havuti sigara ,bangi Wala sio mtu wa bebes. Asingeweza kuendelea kukaa na Lile genge la wahuni😅😅. Hata lisu anajikaza tu chadema sio mahala pake
Never trust a politician. Never ever.
Anaandikiwa vya kuongea au?? Kigugumizi kingi. 😅😅😅😅
Kwahio mtumish hata ww ulikuwa unadanganya
Hata makamu mwenyekniti Zito Kabwe aliondoka chama hakijafa,miaka 20 leo baada ya kukuosa uenyekiti kanda ndo unagundua huo ubaya?hata chekechea wa karne hii itamshangaza
Hapa chadema na waelewa mko smtika
CDM ni salama zaidi sasa bila huyu mtu, ALIJIONA UN SUBSTUTABLE....Habari yako wewe ni kwisha!!
Acha utani wako kusema wamshukuru Mwenyezi Mungu. Huna Mungu ww. Ungevumilia yaliyokusibu hadi ufie CHADEMA. Hakuna cha sacos wewe ni mfia mlo. Huna aibu. Mimi nilitaka kujiunga na CHADEMA lakini umeharibu sasa najipima tena kuna nini kinachowqsibu zaidi.ya matumbo? Msigwa shame on you. Sasa nikushauri, kaa kimya bila kunyea kambi, hiyo.SACOS niwewe unayedhania.
Kwenda zako ulitaka tu ubaki kuwa m/kiti wa kanda mpuuzi kabisa ww leo wakusema hayo?😢utaongea nn juzi tu ulikuwa manyoni jukwaani unapayuka leo hii eti Chadema unaiponda?ama kweli njaa mbaya
IPO SIKU UTATWAMBIA CHAMA KIPI KINA HAKI
Kikubwa maokoto😂