MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
    Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa ametoa sababu mbalimbali zilizomfanya akachukua uamuzi wa kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), kubwa ni utendaji wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuwaunganisha Watanzania.
    Mchungaji Msigwa amesema hay leo Jumapili, Juni 30, 2024, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyikia Ofisi Ndogo za CCM, Lumumba akiwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla.
    Ni saa chache kupita tangu alipojiunga na CCM mbele ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Комментарии • 167

  • @rosemaryhamilton5700
    @rosemaryhamilton5700 3 месяца назад +2

    Karibu Kamanda nyumbani kumenogaa

  • @masoudmussa4786
    @masoudmussa4786 3 месяца назад +2

    Hongera ur wellcome comrades👌

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 3 месяца назад +7

    Chadema imekuwa saccos ya mtu mmoja 😂😂😂

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 3 месяца назад +1

    Welcome Msigwa , CCM is every thing Sasa utaona maana ya uongozi

  • @fillomuhenga4240
    @fillomuhenga4240 3 месяца назад +3

    Njoo msigwa tukijenge chama chetu Cha mapinduzi

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 3 месяца назад +11

    Msigwa anatueleza ukiona haki haitendeki sehemu fulani, ungana na wasio haki kutenda uovu.

    • @AlbinMsechu
      @AlbinMsechu 3 месяца назад +2

      Mpuuzi tu

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 3 месяца назад

      Mimi nikiona mpinzani anaungana na CCM ,siyo sawa pamoja na hoja zake nooo

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 3 месяца назад +11

    Tunamtuumu msigwa tu lakini Madai yake yanaweza kuwa na mashiko na nguvu hivyo Chadema ni vyema kujitafakari

    • @BashiruShabani-w5j
      @BashiruShabani-w5j 3 месяца назад

      Kahogwa ache unafiki

    • @ce-08
      @ce-08 3 месяца назад +1

      ​@@BashiruShabani-w5j huenda kweli kahongwa ila chadema pia kunashida mbowe inatakiwa kunawakati aachie wenzie uwenyekiti wa chama Kila cku yy tu

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 3 месяца назад +4

    Bora ungepiga kimya ukaachana na siasa za vyama.

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim764 3 месяца назад

    SAFI..... SANAAAA. MSIGWA KUAMIA ...CHAMA TAWALA

  • @saidmohd2665
    @saidmohd2665 3 месяца назад

    hiii dunia bhana

  • @GeorgeJoseph-l3x
    @GeorgeJoseph-l3x 3 месяца назад +2

    Duh Tanzania yetu

  • @lucasolobiis4504
    @lucasolobiis4504 3 месяца назад +2

    Huyu nae tenaa 🤣🤣🤣🤣🤣,, mbwa ninyi wanasiasa

  • @chamlilemhando7478
    @chamlilemhando7478 3 месяца назад

    Katika interview hii msigwa hayupo sawa amelishwa maneno.Yeye ni mpinzani aendelee kuwa mpinzani .

  • @MagakaManyanya
    @MagakaManyanya 3 месяца назад +2

    Katiba sio ya chadema ni ya wananchi msigwa. Nenda salama

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 3 месяца назад +3

    Msigwa umetukosea sana. Bora ungeenda CUF au ACT basi tujue bado upo upinzani. CCM mh😔

    • @mkadammkadam
      @mkadammkadam 3 месяца назад +1

      Mchezaji wa daraja la juu akitoka kwenye timu yake kwa sababu yoyote ile atakwenda kwenye timu ya daraja la juu zaidi na sio kurudi daraja la chini. CCM ndio kimbilio kwa mtu kama Msigwa.

  • @h77-f8m
    @h77-f8m 2 месяца назад +1

    Mchaga na siasa wapi na wapi mboye ni mwizi tuu

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 3 месяца назад

    Nimesema mara nyingi kuwa shida yetu sio katiba bali ni watu wa kuisimamia katiba hiyo na Msigwa ni shahidi kuwa Ubora wa katiba unategemea sana ubora wa wasimamizi. Chadema ina katiba nzuri sana lakini ina viongozi wabinafsi na madikteta. Walio hama chama hicho ni wengi tu na malalamiko na hoja zao ni zilezile. Katiba mpya ni kama gari mpya ambalo maisha yake yanategemea ubora wa dereva.

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 3 месяца назад

    Karibu sana tz...hongera kwa ueledi wakutambuwa sehem salama na tulivu, jenga uimara kwenye pambana na song mbele

  • @rdmjeshi
    @rdmjeshi 3 месяца назад +4

    Njaa zinamsumbua huyu Mzee msigwa kishapewa asali kishaambiwa atapewa kitengo kaona masilahi hapa hamna mchungaji ni unafiki juzi juzi alikua anapondea hakuna maendeleo saivi anasema Serikali inafanya vzr huo sini unafiki Sasa aisee 😢😢😢😢😢

    • @bbclondonulimwenguwasoka6126
      @bbclondonulimwenguwasoka6126 3 месяца назад

      CCM Kila kitu

    • @joycemagonze948
      @joycemagonze948 3 месяца назад

      Wewe ni mtumishi wa Mungu lakini mbona muongo? Hakika unachekesha pamoja na undumila kuwili,hueleweki kabisa acha uroho ndo maana hata maneno yanakupotea

    • @bbclondonulimwenguwasoka6126
      @bbclondonulimwenguwasoka6126 3 месяца назад

      Acha ale maisha nani asiyependa kuitumikia CCM hata we ukiitwa ni chapu

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 3 месяца назад

    Siasa za hivo tulishazichoka soon utapotea boss

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 3 месяца назад +4

    Mimi nafikiri Mh. Msigwa ulipaswa tu kusema"nimeamua kuhama chama na kujiunga na CCM". Lakini all in all, hayo ni maamuzi yako wala hakuna anayeweza kukupinga.

  • @ce-08
    @ce-08 3 месяца назад

    Chadema jimbo la iringa kulipata tena labda 2035

  • @ZABRONKANDI
    @ZABRONKANDI 3 месяца назад

    Binasfi nimejiskia vibaya kwa maamuzi yakooo 😢😢😢

  • @sophiaamnaay9726
    @sophiaamnaay9726 3 месяца назад

    Heee amekuwaje leo huyu! Nenda salama CHADEMA haina njaa ya watu. Kuondoka kwako kutaleta mamia ya watu .

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 3 месяца назад

    ila Mzee Mungu anakuona hivi kweli ni Mchungaji huyu? 🤣🤣

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 месяца назад

    chadomo chama cha wachaga, umefanya vizuri Peter Msigwa
    mbowe ni mwenyekiti wa kudumu wa chadomo

  • @eliphasmlengu6331
    @eliphasmlengu6331 3 месяца назад

    Tujiulize angelishinda haya yangelikuwepo? Answer is big No.

  • @eliphasmlengu6331
    @eliphasmlengu6331 3 месяца назад

    I knew this is going to happen Nafikiri ukombozi wa Tanzania bado sana yaani sungu kuwa m/kiti jamaa nogwa huyo CCM

  • @JofreyMasangula-x1c
    @JofreyMasangula-x1c Месяц назад

    Dahh 😂😂😂 ccm walimpeleka lowasa chadema leo chadema msigwa aenda ccm

  • @johnchrisbrown-b5g
    @johnchrisbrown-b5g 3 месяца назад

    Tumbo la watu lina shida kweli jamani

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro9600 3 месяца назад +1

    Msigwa kaa kinywa we are not stupid

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 3 месяца назад

    Ndoo maana ninasema hawa wachungaji hamna kituu

  • @jmastertz161
    @jmastertz161 3 месяца назад

    hamna mtu hapa

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 месяца назад

    Kwanini hukuyasema hayo kabla hujaondoka unakosea leo wakati pia uliisema vibaya CCM angalia clip zako za nyuma na weka akiba ya maneno brother.
    Daah ama kweli yangoswe mwachie ngoswe.

  • @KibeloMpembelo
    @KibeloMpembelo 3 месяца назад

    Msigwa is hungry man

  • @TatizoLyanzi
    @TatizoLyanzi 3 месяца назад

    Nenda kafe huko bna

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 3 месяца назад +1

    Ccm mpeni udc huyu vinginevyo atawakimbia huyu😂

  • @jmastertz161
    @jmastertz161 3 месяца назад

    njaa tu

  • @nestor384
    @nestor384 3 месяца назад

    Porojo za Msigwa

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 3 месяца назад +2

    hapo uliposema chama chetu kimekosa agenda kuwa makini hii clip itakatwa itatumika vibaya

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 3 месяца назад

    Sasa hapo unaongea nini kuaribu chama

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 месяца назад

    uezi ona ushoga kama huu kenya

  • @nelsonkikotimandela9819
    @nelsonkikotimandela9819 3 месяца назад

    Swali ni moja tu!Je ungeshinda kwenye uchaguzi wa Chadema ungeendelea na Chadema?au umehama kisa umeshindwa uchaguzi?

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 3 месяца назад

    Wanasiasa hatari, ukikosa cheo unahama chama😂

  • @joeljulius7147
    @joeljulius7147 3 месяца назад

    Kama kweli unaamini hivyo na kwa maneno yako maana yake CCM pia haipo vzr na ili kutuaminisha kuwa sio njaa iliyokuhamisha ungeanzisha chama chako. Watanzania pia tuna akili. Tunajua vzr

  • @khatibramadhan8740
    @khatibramadhan8740 3 месяца назад

    kwer usaliti upo huku clatous chama huku msigwa😂😂😂

  • @stevemahenge847
    @stevemahenge847 3 месяца назад

    Mhhhh hizi njaa zinatutesa kweli amekua mbunge misimu miwili lakin leo anasema chama kimekosa agenda dhuuuu Mungu tusaidie

  • @JofreyMasangula-x1c
    @JofreyMasangula-x1c Месяц назад

    Alitabili magu mda saana

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 3 месяца назад

    trending ya mpina kwishney 😂😂

  • @JesusJesus-ny1sm
    @JesusJesus-ny1sm 3 месяца назад

    Wewe Msigwa mnatufanya wananchi tujuwe mpo kwa maslahi yenu binafsi tu mambo mnayofanya hata aibu hamuoni, kuliko kwenda CCM ungekwenda upinzani ungeeleweka !!!!! Au ungeacha siasa utulie kimya kwanza, mmesema sana CCM haifai unakwendaje hapo hapo tena !??? Mnadhani WaTanzania hawafikiriii !!!!?

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli1478 3 месяца назад

    Yaaaan kitu ambacho katika maisha yangu sikiamin nimwanasiasa yaaan Msigwa leo hii ndo wewe unaongia hivi??????

  • @jacobmwera9636
    @jacobmwera9636 3 месяца назад

    kwahyo we mzee unatwambia umekaa zaidi ya miaka 20, hiyo ya demokrasia kukosekana chadema hukuwahi kuiona ndo umetambua baada ya kupgwa chini kwenye uchaguzi?

  • @SweetBertMlinda-bq7mp
    @SweetBertMlinda-bq7mp 3 месяца назад

    Hata ongea yako tuu imebadilika ulivokuja huku, karibu sana. Huku hatubwati kama ulivokua unabwata kule 😂😂😂😂

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 3 месяца назад +2

    Je mbowe ndiye alipiga kura huko uliposhindwa? hauwezi kutudanganya

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 3 месяца назад +1

    Chadema msiumie namjua msigwa kule amekwenda kwa kazi maalum akisha timiza kazi aliyo tumwa atarudi soon hivyo ccm kama mlidhani mmelamba dume basi na wahikikisu subirini time will talk ccm kwa ujuma imekula kweni

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 3 месяца назад

    Unachokiongea ni kweli chadema bado sana sanaa wanakula tu pesa za wananchi na ubaguzi mie nimewatoa thamani kusema mzanzibar ubaguzi wa waz chama kesho utasikia wale wapare wale wazaramu achanni na hicho chadema

    • @priscuskimario495
      @priscuskimario495 3 месяца назад

      Wananchi wa wapi? Kwani kinakusamya kodi? Ama kweli hili taifa Lina mambulula

  • @innocentfortunatus725
    @innocentfortunatus725 3 месяца назад

    Nimekumbuka JPM, HAPA KAZI TU .😅😅

  • @vincentmwaya6910
    @vincentmwaya6910 3 месяца назад +1

    Wwe Ni tapeli wa siasa tyu, unajiita mchungaji kwahiyo ulipokuwa chadema ulikuwa unaongepea watu na Sasa upo ccm utaongea ukweli??? Acha kujidhalilisha msigwa

  • @eliphasmlengu6331
    @eliphasmlengu6331 3 месяца назад

    Anauhalali gani kumsema mbowe? Kweli achapakuche tuone mwanga

  • @jescageorge-fv8yt
    @jescageorge-fv8yt 3 месяца назад

    Huna lolote msality wew

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 3 месяца назад +6

    kukosa uwenyekiti wa kanda ya nyasa ndiyo imekua nongwa kumbe wewe ni decteta

    • @mbokhamumwaliswaha8138
      @mbokhamumwaliswaha8138 3 месяца назад

      Nafikiri CDM ndio maana walimfanyia mzengwe kwenye ule uchaguzi wa kanda. Walimjua haaminiki kwa sababu ni miaka mingi amekuwa akituhumiwa kwenda CCM. Hayo yote hakuyaona miaka ishirini aliyokuwa chadema kama kiongozi na mbunge.

  • @victorvenantkaigarula6255
    @victorvenantkaigarula6255 3 месяца назад +1

    Ni njaa tu, maslahi na kuhangaikia tumbo.

  • @MagakaManyanya
    @MagakaManyanya 3 месяца назад +1

    Mama hakuna anaemkubali nenda kaongeze nguvu walau apate hata asilimia tano.

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 3 месяца назад

    Uwongee basi kidogo mzee ubakishe jaman.wewe umeisha hama sibas

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 3 месяца назад

    Uchaguzi wa mwaka 2020 alizulumiwa kw amadai yake ya mwanzo na ni haohao aliojiunga nao ndo walimkosesha haki. je hko kuna jipi jipya ambalo unaona ni zuri au ni uroho tu
    \

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 3 месяца назад

    Kesho anakuwa mbunge kwa tiketi ya ccm Iringa

  • @godsson5954
    @godsson5954 3 месяца назад +1

    Mpwa kama mpwaa karb SANA

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 3 месяца назад

    Mie namvulia kofia mama samia sluu hassan sifikirii kama kuna mwanasiasa nguli kwa Katanzania ukamkosa mama samia ye wala hapigani na kelele ye anajua vya kupiga na baada ya mika 5 ijayo upinzani hamna Tanzania

  • @RenardMakori
    @RenardMakori 3 месяца назад

    Ivi huyu ni msigwa aliye sema kua walioko ccm hawana upeo na yeye leo amekua mmoja wa wale ambaye awana upeo, NIME MKUBALI MH. LISU ANAONA MBAMBALI ARUFU YA PESA CHAFU LEO TUMEKUBALI MSIGWA NDIO WALIOPEWA KUJA KUARIBU UCHAGUZI WA KANDA.

  • @JumaMagoma-g4q
    @JumaMagoma-g4q 3 месяца назад +1

    Njaaaaaa

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 2 месяца назад

      Tena njaa mbaya Sana ndugu yangu😂, hana lolote zaidi yakutaka maokoto tu hapo anajua atapata chochote kitu cha ziada😂.

  • @frenktarimo4703
    @frenktarimo4703 3 месяца назад +1

    Mchungaji tapeli sijui kanisank lako ni i lile la mashoga nini kwenda huko tapeli mkubwa wewe utatuambia nini wewe mchungaji unakula jaxa mwenyewe

  • @ThomasMselle-rw5ej
    @ThomasMselle-rw5ej 3 месяца назад

    Inawezekana unayosema! Ulikuwaje ukashuhudia hayo kwa miaka yote bila kuongea ila baada ya kuukosa uwenyekiti wa kanda (maslai) ndo unasema. Usije kuleta unafiki wako huku CCM hautavumiliwa ulimsigina sana JPM

  • @jmastertz161
    @jmastertz161 3 месяца назад

    mpak kuongea anaona aibu vile anavopondaga ccm sasa ccm wataelew jinsi ya kuishi na huyu mtu

  • @NATACIARAPHAEL-iz8kr
    @NATACIARAPHAEL-iz8kr 3 месяца назад

    Mwanasiasa Malayamalaya huyu umeyarudia matapishi

  • @emmanuelmaghina1709
    @emmanuelmaghina1709 3 месяца назад

    Amepagawa na Pepo

  • @edistidiusmutalemwa5758
    @edistidiusmutalemwa5758 3 месяца назад

    Kwenye msafara wa mamba,kenge wapo pia!

  • @ibrahimkonga2975
    @ibrahimkonga2975 3 месяца назад

    Msaliti wewe huna haja ya kumshukuru mungu laana inakutafuna huna ata sifa ata ya kuitwa mchungaji ""njaa imekukaba umenunuliwa😂😂😂😂""

  • @japhetkavishe2347
    @japhetkavishe2347 3 месяца назад

    Kwann umehama mara tu baada ya kushindwa uenyekiti wa kanda ya Nyasa mheshimiwa mchungaji?

    • @kadrimwingamno258
      @kadrimwingamno258 3 месяца назад

      Ngoja nimjibie. Kuhama kwake. Kaamua kumia golini. Ukiwa kiongozi wa chama cha upinzani, kawaida kuna udambu dambu unaopatikana kutoka kwa chama tawala. Sasa ukiwa upizani na hauna cheo chochote inakubidi usubiri viongozi wako mpaka wa kukumbuke. Sijui umenipata?

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 3 месяца назад

    Surayaketu inaonyesha ni yuda Toka anyimwe uwenyekiti

  • @enockmakombe3144
    @enockmakombe3144 3 месяца назад

    😅😅😅😅😅 duhhh

  • @BahatiLewis
    @BahatiLewis 3 месяца назад

    Hawa ndio wachungaji tulio nao mungu atakupiga muda si mrefu

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 месяца назад

      Hawa ni wanadamu halisi. Si wachumgaji. Yesu alipokele Jerusalem Kwa nyimbo hosena mwana wa daudi, siku chache hao wakasema msulubishe.

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 3 месяца назад

    daaah what a shame

  • @EliyaPaulo-uf6hh
    @EliyaPaulo-uf6hh 3 месяца назад

    Yaani ylitaka uendelee na kanda uliposhindwa na Sugu ndio unakuja hoja dhaifu namna hiyo?sasa namuomba Mungu 2025 hao ccm wakuteue ugombee hapo iringa halafu uone utakavyo pata Aibu...fyoooooo

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un 3 месяца назад

    Mh hahahaha bora hata niangalie tu sinamaneno 😂😂😂

  • @hhangali2006
    @hhangali2006 3 месяца назад +2

    Msigwa as a Pastor...
    CCM hakuna Haki, wewe unapigania Haki. Kurudi CCM you are lost, lost for ever. Your Character is questionable. A man of Principles couldn't do what you did Buddy.
    This is for your own down fall no led no more.

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 3 месяца назад

    Pumbavuuu kweli weee

  • @josephborn4460
    @josephborn4460 3 месяца назад

    Oya ogopeni njaa mazee
    Haijawahi kumwacha mtu salama

  • @EpiphaniaLukas
    @EpiphaniaLukas 3 месяца назад

    Ushapotea brother endelea kupalilia uovu wako

  • @success-only
    @success-only 3 месяца назад

    Njaaa ya kichwa 😂😂😂

  • @sungisungi6589
    @sungisungi6589 3 месяца назад

    Msigwa hanywi pombe ,havuti sigara ,bangi Wala sio mtu wa bebes. Asingeweza kuendelea kukaa na Lile genge la wahuni😅😅. Hata lisu anajikaza tu chadema sio mahala pake

  • @melkisedekkaijage2777
    @melkisedekkaijage2777 3 месяца назад

    Never trust a politician. Never ever.

  • @rashidomari5224
    @rashidomari5224 3 месяца назад

    Anaandikiwa vya kuongea au?? Kigugumizi kingi. 😅😅😅😅

  • @CharlesElias-zh5hz
    @CharlesElias-zh5hz 3 месяца назад

    Kwahio mtumish hata ww ulikuwa unadanganya

  • @masamakijames7837
    @masamakijames7837 3 месяца назад

    Hata makamu mwenyekniti Zito Kabwe aliondoka chama hakijafa,miaka 20 leo baada ya kukuosa uenyekiti kanda ndo unagundua huo ubaya?hata chekechea wa karne hii itamshangaza

  • @AlimasiLukomba
    @AlimasiLukomba 3 месяца назад

    Hapa chadema na waelewa mko smtika

  • @gm003
    @gm003 3 месяца назад

    CDM ni salama zaidi sasa bila huyu mtu, ALIJIONA UN SUBSTUTABLE....Habari yako wewe ni kwisha!!

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 3 месяца назад

    Acha utani wako kusema wamshukuru Mwenyezi Mungu. Huna Mungu ww. Ungevumilia yaliyokusibu hadi ufie CHADEMA. Hakuna cha sacos wewe ni mfia mlo. Huna aibu. Mimi nilitaka kujiunga na CHADEMA lakini umeharibu sasa najipima tena kuna nini kinachowqsibu zaidi.ya matumbo? Msigwa shame on you. Sasa nikushauri, kaa kimya bila kunyea kambi, hiyo.SACOS niwewe unayedhania.

  • @EliyaPaulo-uf6hh
    @EliyaPaulo-uf6hh 3 месяца назад

    Kwenda zako ulitaka tu ubaki kuwa m/kiti wa kanda mpuuzi kabisa ww leo wakusema hayo?😢utaongea nn juzi tu ulikuwa manyoni jukwaani unapayuka leo hii eti Chadema unaiponda?ama kweli njaa mbaya

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 3 месяца назад

    IPO SIKU UTATWAMBIA CHAMA KIPI KINA HAKI

  • @mswakalaization_
    @mswakalaization_ 3 месяца назад

    Kikubwa maokoto😂