Nadhani chadema imeshaingiliwa ili kuvurugwa. Ungetulia tuu chadema na kuwakosoa openly. Ila kwenda ccm ni sawa na kuruka mwiba mmoja mbaya na kukanyaga mbigili mbaya nyingi
Maneno yake haya sijui kama anakumbuka,akili ndogo kuongoza akili kubwa,ametukosea sana lkn amechafuka kupita kawaida aache siasa akahubiri .Lkn pia atahubiri nn na usaliti ungali ukimfuata?Ovyo sana Msigwa
Hivi kwann wabunge wa Chadema wengi ni njaa kali sn? Umelipwa mshahara miaka 10 kweli umeshindwa kuwa na miradi ya maana hadi mnakuja kuwa omba omba kwa mliowatukana kila kukicha? Mbn kabla ya Sugu hajakushinda ulikuwa hujahama na kuyasema hayo unayoyasema sasa? Akiri ndogo uliyokuwa unaisema kila ck ndo sasa nimegundua kuwa ulikuwa unajitukana wewe mwenyewe
Pole sana Mchungaji. Hujatambua mpaka leo Ole wa kuwategemea wanadamu hasa wana siasa? Nadhani huko unakoenda ni shimoni rudi tu madhabahuni umtumikie Mungu wako.
Msigwa pole kwa madhila yote lkn hongera kwa kujiunga na ccm. Bila shaka umepiga hesabu ya kuangalia maslahi yako ya mbeleni. Kati ya demokrasia na fedha ukiamua kuchagua fedha pia niuchaguzi halali. Ila mwakani ccm wakikutosa kura za maoni usije ukachukia mana kule iringa mini tayari wanaccm wanaye mtu wao. Lakini usiogope zipo nafasi za viti maalumu.
why wanasiasa hamuaniki? mioyo yenu ina Siri gani na siasa? eeeeeeeewewwwwwwiiiii mchungaji peter msigwa.. Joshua nasari..david silinde...peter lijua likali...mbunge wa shinyanga mjini.. ( katambi} mmmmhhhh naona kama naota...je tuamini kama mnaruaminosha uongo unao fanana na ukweli ?
Hakutakuwa na maana yakudanganya Dunia kama Tanzania kuna Demokrasia wakati hakuna. Huyu toka aingilie sakata la Ngorongoro nilijua hana maana kabisa. CCM wanatenda haki gani?
Nakumbuka nilishawahi soma kitabu * The mine boy* Themes za kitabu hikoo ninkwamba mpambanaji huwa hakimbii tatizo huwa anarikabili! Sasa msigwa ww %100 ni njaaa umefikir kuwa nikitoka mapema huku 2025 ntapewa uongoz huko! na maisha yaende! Sasa na cc hawatakupa uongoz! Utajuta sanaa! 1- watu umeshapoteza iman yao kwako 2- Wadhiwa wako kama mchungaji umekuwa 000 Ila njaaa nyooooko kwakweli
Tanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachoendeshwa na viongozi wasio wabinafsi Ili kuiondoa CCM madarakani. Vyama tulivyo navyo kamwe haviwezi kuiondoa CCM. Wengi tunakimbilia kutukana wanaohamia CCM, kama hatutakubali kujichunguza na kujitafakari tuendelee kuwashutumu wanaohama kuwa ni wasaliti huo ni ujinga.
Mpumbavu wewe mbona uliposhindwa uchaguzi, ulisema kwamba umekubali kushindwa na utaendelea kuwa mwanachama mwaminifu. Yaani hata usoni tu umeonyesha nuru yote imeondoka. Kumbe ulikuwa unataka kuuza kanda yote ya nyasa mchumia tumbo. Hatutakata tamaa ondoka wewe na mwisho wako mbaya. Je mbona ccm ulikuwa unaikosoa leo unauhalali gani wa kuhamia CCM hali ya kuwa ulikuwa mkosoaji? Mjinga mkubwa wewe
😂😂kwenda CCM bola ungeamua kua raia mwema hasiye na Chama au kuachana na siasa😢 hicho Chama Cha CCM kumejaa uchafu naona jina la uchungaji uliondoe kwenye Moyo wako...
Sasa kweli kama atakaa kwenye chama kwa maana ys kuwa kiongozi tuu basi wanachama watakuwa wachache sana. Huko ulikoenda ndiko kwenye haki kweli. Kuondoka kwa namna hiyo kumeonyesha immaturity.
Uongozi wa kanda kukosa tu!! Mtu huyo!!! Ccm !!! Mimi siku ya kuja kutoka CHADEMA mbiooooo!!!! Kwenda kwenye maombi!!! Lkn sio huko!!!! Ama kweli umeniacha hoi!!!!!!
Linaona hata aibu kweli chadema sasa kimekuwa ccm sasa wanachukua watu walioshindwa uchaguzi? Chakushangaa miaka 7 kanda ya nyasa hakuna alichokifanya. Amezoofisha chama na alikuwa pandikizi. Mi naamini sasa chadema ni chama kinachokuwa na tishio kwa ccm. Kwani kwa siasa izi alizofanya magu na CCM yake hadi leo. Ndiyo kipimo tosha cha kuchuja wanasiasa uchwaa na wachumia tumbo. Yani sura lako tu linaonyesha uongo mkubwa na uso wa haya!
Umeshakuwa kiongozi kwa miaka kadhaa kwanini ukishindwa usikubali? Wewe unataka madaraka kwa nguvu nenda kafanane nao wanaopora madaraka huku kwetu ni haki tu.
Huna akili nimegundua hebu kaangalie marehe lowasa alipohamie chadema kama.uliwahi kusikia popote anakosoa ccm alikokuwa amehama na aligombea urais chadema sasa wewe kuhama chadema unataka kutuamilisha ulikuwa mtumwa wa mtu akili zako mbovu sana hufai kutumia jina la mchungaji wewe
Hiyo ndio siasa ilivyo msimlaumu msigwa huo ni uamuzi tuheshimu na ndio demokrasia .pia nawashangaa wanaomlaumu mkuu wa mkoa chalamila kugeuka kimtazamo Kwa uongozi uliopita na kwenda na siasa za usasa na kwenda sambamba na mama samia
Chama cha 3 hicho ktk kuhamia ccm wakiwa hawajampa uongozi anahama kwa akili za kawaida ccm huwachukuwa viongozi wa upinzan sikama wanamapenzi nao na huwa ccm hawawamin mwisho wanapotea.
TUTAAMINUJE KUWA UNAIKOSOA CHADEMA NA YA KUWA CCM INATEKELEZA YALE UNAYOKOAOA ? YAANI WANA SIASA MIMI WANANICHOSHA HASWA WA TANZANIA NI WAONGO WANAFIKI WAZANSIKI NA NJAAA KALIIIIIII.
Huyu jamaa wiki iliyopita alitukana chama na serikari yake akiwa na kwenye mikutano singida Leo anakaribishwa na Rais. Hapa sio msigwa tu hata CCM inajivunia heshima.
Hufai hata kuitwa mchungaji, wewe ni mwizi na mnyang'anyi tu! Huna lolote!
Umedharirika we do msigwa kweli au copy
Angalia macho yake kama mchawi!
Msigwa,,msigwa, msigwa funga kinywa,,utakuja kujutia kauli zako
Leo kwa akili zako timamu unatuaminisha kwamba ccm ni chama kizuri, huna tofauti na maiti!
Alie kwambia CCM chama kibaya nani?
Dah... Tundu Lissu juzijuzi hapa alikuwa naye jukwaani. Kumbe mwenzake account ishasoma.
Ume fail mchungaji huna msimamo
Njaa nenda ipo siku utakuwa moto nenda zakayo
Amekula matapishi yake huyo
Ukiingia CCM muda huo huo unafanana nao kila kitu.
Nadhani chadema imeshaingiliwa ili kuvurugwa. Ungetulia tuu chadema na kuwakosoa openly. Ila kwenda ccm ni sawa na kuruka mwiba mmoja mbaya na kukanyaga mbigili mbaya nyingi
USAJILI UMEANZA KUELEKEA 2025 ...DIRISHA LIMEFUNGULIWA Well done. .
Huyu mchungaji uchwara kumbe ndie aliekwenda kujifanya anamsapoti lisu kumbe ndie alikua anampelekea wahuni
Akili mkubwa imekubali kuongozwa na akili ndogo umekulupuka mng'ang'azi wa madaraka kweli huna uvumilivu akaanguka sikuelewi kabisa mimi
Maneno yake haya sijui kama anakumbuka,akili ndogo kuongoza akili kubwa,ametukosea sana lkn amechafuka kupita kawaida aache siasa akahubiri .Lkn pia atahubiri nn na usaliti ungali ukimfuata?Ovyo sana Msigwa
Hivi kwann wabunge wa Chadema wengi ni njaa kali sn? Umelipwa mshahara miaka 10 kweli umeshindwa kuwa na miradi ya maana hadi mnakuja kuwa omba omba kwa mliowatukana kila kukicha? Mbn kabla ya Sugu hajakushinda ulikuwa hujahama na kuyasema hayo unayoyasema sasa?
Akiri ndogo uliyokuwa unaisema kila ck ndo sasa nimegundua kuwa ulikuwa unajitukana wewe mwenyewe
Hoja ulizosema ungezijenga hata ukiwa chadema. Twambie why umetoka chadema usilete maneno. Twambie ukweli why umetoka chadema?
Kasema chama kimegeuka SACCOS ya Mbowe
Hafai ata kuchunga mbuzi
Unaanza kuropoka sasa, nyamaza tu,
kuna wakati ulitoa ahadi kama ukihamia ccm gari lako nyumba zako sichomoe moto,,,vp utachoma mwenyewe au?
Mwambie achome huyo
kuna...siku mtaelewa..kuwa mpinzani katika taifa hili ni ZITTO ZUBERI KABWE
Pole sana Mchungaji. Hujatambua mpaka leo Ole wa kuwategemea wanadamu hasa wana siasa? Nadhani huko unakoenda ni shimoni rudi tu madhabahuni umtumikie Mungu wako.
Nafikiri mnaendelea tu kufungua macho Leo ccm kinauchaguzi mzuri duu hatari Sana.Mchungaji pole Sana kwa mawazo finyu.
Kwa Iringa Mjini Msigwa ni nguli wa siasa. Ataiathiri CHADEMA pakubwa kuelekea uchaguzi mkuu.
Wewe ni mpumbavu...nenda kawekwe
Msigwa pole kwa madhila yote lkn hongera kwa kujiunga na ccm. Bila shaka umepiga hesabu ya kuangalia maslahi yako ya mbeleni. Kati ya demokrasia na fedha ukiamua kuchagua fedha pia niuchaguzi halali. Ila mwakani ccm wakikutosa kura za maoni usije ukachukia mana kule iringa mini tayari wanaccm wanaye mtu wao. Lakini usiogope zipo nafasi za viti maalumu.
Deadliest politics! Mwalimu Nyerere aliwahi kusema wapo wanasiasa Malaya!
Msimtukane mtu kwa uhuruwake nyiemanyumbu msiokuwa nacheo chochote chadema
Uchungaji wake huwa siuelewi,,mchungaji huwa mkweli na asiye yumbayumba
makala ccm kuna haki?vp mpina na sukuri,,kama kuna haki,, mpina mbona asipate haki na ukweli?
why wanasiasa hamuaniki? mioyo yenu ina Siri gani na siasa? eeeeeeeewewwwwwwiiiii mchungaji peter msigwa.. Joshua nasari..david silinde...peter lijua likali...mbunge wa shinyanga mjini.. ( katambi} mmmmhhhh naona kama naota...je tuamini kama mnaruaminosha uongo unao fanana na ukweli ?
Umeanza upumbafu umechoka kisiasa kwani si umeshindwa uchaguzi unatoka
Ogopa mtu mwenye ndimi mbili, Nyoka.
Mchungaji msigwa umechelewa sanaaa kuchukua maamuzi. Ungewahi zaidi
Nilikuwa nafikiri wewe ni mtu kumbe msigwa ni pepo hajui analofanya tumsamehe tu
Mkapige madili mtatoa hesabu siku yamwisho
Huyu sio mchungaji ni tapeli sawa Na chui aliyejika ngozi ya kondoo
Lissu alisema kunapesa zimemwaga kwenye uchaguzi wa chadema
Hiii nchi niyetu sote kuhama chama walasiyo tatizo tujenge nchi yetu kwaamani
CCM kama ulikihama ukirudi hawakuamini tena hivyo atafute shughuli ya kufanya akumbuke wenzie waliotupwa jalalani
Umekula hela, funga domo lako. Sisi watu wazima zaidi yako, shika adabu yako
Mimi nauliza swali, Endapo kama wote wakihamia ccm kama mnavyotaka, Je, kutakuwa na umuhimu gani wa siasa!
Hakutakuwa na maana yakudanganya Dunia kama Tanzania kuna Demokrasia wakati hakuna. Huyu toka aingilie sakata la Ngorongoro nilijua hana maana kabisa. CCM wanatenda haki gani?
@@leokamil6284msisahau pia kuhama chama ni sehemu ya tafsiri ya democrasia na ni justification ya individual freedom katika kufurahia haki yake.
Wewe umegeuka chawa
Haya bhana kapige makofi moto ukieasubiri
Weka maneno ya Amina chadema imekuheshimisha ipo siku utaikumbuka
Nakumbuka nilishawahi soma kitabu
* The mine boy*
Themes za kitabu hikoo
ninkwamba mpambanaji huwa hakimbii tatizo huwa anarikabili!
Sasa msigwa ww %100
ni njaaa
umefikir kuwa nikitoka mapema huku 2025 ntapewa uongoz huko! na maisha yaende!
Sasa na cc hawatakupa uongoz!
Utajuta sanaa!
1- watu umeshapoteza iman yao kwako
2- Wadhiwa wako kama mchungaji umekuwa 000
Ila njaaa nyooooko kwakweli
Tanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachoendeshwa na viongozi wasio wabinafsi Ili kuiondoa CCM madarakani. Vyama tulivyo navyo kamwe haviwezi kuiondoa CCM. Wengi tunakimbilia kutukana wanaohamia CCM, kama hatutakubali kujichunguza na kujitafakari tuendelee kuwashutumu wanaohama kuwa ni wasaliti huo ni ujinga.
Hahahahahaha pole hutudanganyi nawe uwe unaitikia ndiooooo mikatapa yakutuumiza watanzania
Alaaniwe huyo njaa ndo himempeleka huko
Hatukwelewi msigwa unauchu wa madaraka
CCM mchukue tahadhari kubwa na huyu mtu ,Niko paleee
Hakika misgwa umejdhalilisha sana sana sana
Juzi juzi tu alikuwa anawatuka anawaita akili ndogo jamaniii hawa wanasiasa ni kuwaogopa kama ukoma
DA! Hata wew msigwa paka Ccm wana Ccm wana kushangaa
KWELI SASA NAKUBALI MPIGA ZUMARII ANAIMBA ULE WIMBO MLIPAJI ANATAKA
Msigwa tafuta kazi ujue umekwisha
Wanasaikolojia tumekuelewa zaidi ya aliyoyazungumza,nadhani amefanya maamuzi kwa kukurupuka,hata ukimuangalia ni kama hajiamini na maamuzi yake.
Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!
Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!
YAANI MSIGWA NI JIZI,YAANI TUNA WASHUNGAJI FEKI, JMN MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI.
Msigwa bora ungesema unaacha siasa ila sio kwenda kwa watu uliowaponda kwa miaka yote yani hauwezi kueleweka
Umekula matapishi Yako mwenyewe broo
Mpumbavu wewe mbona uliposhindwa uchaguzi, ulisema kwamba umekubali kushindwa na utaendelea kuwa mwanachama mwaminifu. Yaani hata usoni tu umeonyesha nuru yote imeondoka. Kumbe ulikuwa unataka kuuza kanda yote ya nyasa mchumia tumbo. Hatutakata tamaa ondoka wewe na mwisho wako mbaya. Je mbona ccm ulikuwa unaikosoa leo unauhalali gani wa kuhamia CCM hali ya kuwa ulikuwa mkosoaji? Mjinga mkubwa wewe
Kumbe yani huyu afai kuitwa mchungaji msaliti na mwenye tamaa ya fedha umehongwa sana
Msigwa akili zako zipo kisogoni huaminiki ni muongo kupitiliza
Mch ngani wasio nakweli tunaka sukari mwafaka wake
Actually kama kweli wewe ni mchungaji jihudhuru dhambi haitakuacha salmaa na hata huko ulikoenda sio salama kwako hautakuwa na Uhuru
NJAA MBAYA SANA. LIJUA KALI HIVI YUPO WAPI. 🤣🤣🤣🤣🤣YUDA WAPO WENGI HAKI.
MKUU WA WILAYA
Mashetani yote uchungaji wa kichawi na kiganga kuanzia leo natoka kanisani kwako mnafiki mkubwa
hivi uenyekiti kanda ya nyasa una maslahi gani mpaka msigwa uliposhindwa uchaguzi huo uchanganyikiwe kiasi hiki
Shida ya chadema hawataki kuwambiwa ukweli
MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI, MSIGWA SHETANI WEWE
😂😂kwenda CCM bola ungeamua kua raia mwema hasiye na Chama au kuachana na siasa😢 hicho Chama Cha CCM kumejaa uchafu naona jina la uchungaji uliondoe kwenye Moyo wako...
Uyu mtu nashindwa hata awe kundi gan la kiumbe dunian
Mchungaji huyu n mnafiki njaa na uroho wa madaeaka
Amekosa kura chadema uyo mwehu tu
Urafi huo mkapige madili
Hhahahahah siasa ni laana pesa ni kubwa kweli 😂😂
Hawezi kuvumiliya njaa
Sasa kweli kama atakaa kwenye chama kwa maana ys kuwa kiongozi tuu basi wanachama watakuwa wachache sana. Huko ulikoenda ndiko kwenye haki kweli. Kuondoka kwa namna hiyo kumeonyesha immaturity.
Uongozi wa kanda kukosa tu!! Mtu huyo!!! Ccm !!! Mimi siku ya kuja kutoka CHADEMA mbiooooo!!!! Kwenda kwenye maombi!!! Lkn sio huko!!!! Ama kweli umeniacha hoi!!!!!!
Linaona hata aibu kweli chadema sasa kimekuwa ccm sasa wanachukua watu walioshindwa uchaguzi? Chakushangaa miaka 7 kanda ya nyasa hakuna alichokifanya. Amezoofisha chama na alikuwa pandikizi. Mi naamini sasa chadema ni chama kinachokuwa na tishio kwa ccm. Kwani kwa siasa izi alizofanya magu na CCM yake hadi leo. Ndiyo kipimo tosha cha kuchuja wanasiasa uchwaa na wachumia tumbo. Yani sura lako tu linaonyesha uongo mkubwa na uso wa haya!
Umenikwaza bhn msingwa
Wewe ni kama mwana wavmilia ukiona baba anakosea je ni kuiyama family au n kuishauli iwe ilipo kulose ww s mchungaj mlakondooooo
Msigwa Hana tofauti na malaya
Umeshakuwa kiongozi kwa miaka kadhaa kwanini ukishindwa usikubali? Wewe unataka madaraka kwa nguvu nenda kafanane nao wanaopora madaraka huku kwetu ni haki tu.
Huyo ni njaa tu ila chadema na wao ni taabu tu Bora arudi chama Dume ccm
We ni kenge umefata ela
Huna akili nimegundua hebu kaangalie marehe lowasa alipohamie chadema kama.uliwahi kusikia popote anakosoa ccm alikokuwa amehama na aligombea urais chadema sasa wewe kuhama chadema unataka kutuamilisha ulikuwa mtumwa wa mtu akili zako mbovu sana hufai kutumia jina la mchungaji wewe
Kwel siasa ni upumbavu
Hana lolote kafeli kisiasa muumba wa haki amlaani kwa tamaa zake
Unamshuru mungu labda kea unafiki.kila siku mama angalia kua wanaiba na acha waibe kwani watazikwa na vyo!!?amakweli tumbo likiuma akili Ina pumbaa.
Taperi uyuuu umeyakanyaga
Hiyo ndio siasa ilivyo msimlaumu msigwa huo ni uamuzi tuheshimu na ndio demokrasia .pia nawashangaa wanaomlaumu mkuu wa mkoa chalamila kugeuka kimtazamo Kwa uongozi uliopita na kwenda na siasa za usasa na kwenda sambamba na mama samia
Aya bhana mchungaji ,
Mavi yako were mnafk huon Ata aibu na kisura chako kama msukule
Usimtaje hata Mungu hapo kaka ,umetukosea sana wanachi
Muongo kweli kweli
Chama cha 3 hicho ktk kuhamia ccm wakiwa hawajampa uongozi anahama kwa akili za kawaida ccm huwachukuwa viongozi wa upinzan sikama wanamapenzi nao na huwa ccm hawawamin mwisho wanapotea.
Siasa ya maslahi tumbo ni hatari sana,
TUTAAMINUJE KUWA UNAIKOSOA CHADEMA NA YA KUWA CCM INATEKELEZA YALE UNAYOKOAOA ? YAANI WANA SIASA MIMI WANANICHOSHA HASWA WA TANZANIA NI WAONGO WANAFIKI WAZANSIKI NA NJAAA KALIIIIIII.
Kumbe Huwa ni kabaya hiv
Ila njaa mbaya jamani😂😂
Huyu jamaa wiki iliyopita alitukana chama na serikari yake akiwa na kwenye mikutano singida Leo anakaribishwa na Rais. Hapa sio msigwa tu hata CCM inajivunia heshima.