MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 162

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel1179 3 месяца назад +12

    Hufai hata kuitwa mchungaji, wewe ni mwizi na mnyang'anyi tu! Huna lolote!

  • @JumaSafari-x5l
    @JumaSafari-x5l 3 месяца назад +2

    Umedharirika we do msigwa kweli au copy

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel1179 3 месяца назад +11

    Angalia macho yake kama mchawi!

  • @StevenMtambo
    @StevenMtambo 3 месяца назад +9

    Msigwa,,msigwa, msigwa funga kinywa,,utakuja kujutia kauli zako

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel1179 3 месяца назад +19

    Leo kwa akili zako timamu unatuaminisha kwamba ccm ni chama kizuri, huna tofauti na maiti!

    • @Blacksamitz
      @Blacksamitz 3 месяца назад

      Alie kwambia CCM chama kibaya nani?

  • @susanndanshau1185
    @susanndanshau1185 3 месяца назад +1

    Dah... Tundu Lissu juzijuzi hapa alikuwa naye jukwaani. Kumbe mwenzake account ishasoma.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 месяца назад +7

    Ume fail mchungaji huna msimamo

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el 3 месяца назад +7

    Njaa nenda ipo siku utakuwa moto nenda zakayo

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y 3 месяца назад +8

    Amekula matapishi yake huyo

  • @shahamzanda5857
    @shahamzanda5857 3 месяца назад +7

    Ukiingia CCM muda huo huo unafanana nao kila kitu.

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 3 месяца назад +5

    Nadhani chadema imeshaingiliwa ili kuvurugwa. Ungetulia tuu chadema na kuwakosoa openly. Ila kwenda ccm ni sawa na kuruka mwiba mmoja mbaya na kukanyaga mbigili mbaya nyingi

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 3 месяца назад +2

    USAJILI UMEANZA KUELEKEA 2025 ...DIRISHA LIMEFUNGULIWA Well done. .

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise 3 месяца назад +5

    Huyu mchungaji uchwara kumbe ndie aliekwenda kujifanya anamsapoti lisu kumbe ndie alikua anampelekea wahuni

  • @shadrackdamson7904
    @shadrackdamson7904 3 месяца назад +5

    Akili mkubwa imekubali kuongozwa na akili ndogo umekulupuka mng'ang'azi wa madaraka kweli huna uvumilivu akaanguka sikuelewi kabisa mimi

    • @plujoncylugano4611
      @plujoncylugano4611 3 месяца назад

      Maneno yake haya sijui kama anakumbuka,akili ndogo kuongoza akili kubwa,ametukosea sana lkn amechafuka kupita kawaida aache siasa akahubiri .Lkn pia atahubiri nn na usaliti ungali ukimfuata?Ovyo sana Msigwa

  • @justinekamala9703
    @justinekamala9703 3 месяца назад +3

    Hivi kwann wabunge wa Chadema wengi ni njaa kali sn? Umelipwa mshahara miaka 10 kweli umeshindwa kuwa na miradi ya maana hadi mnakuja kuwa omba omba kwa mliowatukana kila kukicha? Mbn kabla ya Sugu hajakushinda ulikuwa hujahama na kuyasema hayo unayoyasema sasa?
    Akiri ndogo uliyokuwa unaisema kila ck ndo sasa nimegundua kuwa ulikuwa unajitukana wewe mwenyewe

  • @nelsongodfrey9952
    @nelsongodfrey9952 3 месяца назад +4

    Hoja ulizosema ungezijenga hata ukiwa chadema. Twambie why umetoka chadema usilete maneno. Twambie ukweli why umetoka chadema?

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 3 месяца назад +6

    Hafai ata kuchunga mbuzi

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 3 месяца назад +5

    Unaanza kuropoka sasa, nyamaza tu,

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 3 месяца назад +5

    kuna wakati ulitoa ahadi kama ukihamia ccm gari lako nyumba zako sichomoe moto,,,vp utachoma mwenyewe au?

  • @nestorygwanko4013
    @nestorygwanko4013 3 месяца назад

    kuna...siku mtaelewa..kuwa mpinzani katika taifa hili ni ZITTO ZUBERI KABWE

  • @faithmlay5944
    @faithmlay5944 3 месяца назад +5

    Pole sana Mchungaji. Hujatambua mpaka leo Ole wa kuwategemea wanadamu hasa wana siasa? Nadhani huko unakoenda ni shimoni rudi tu madhabahuni umtumikie Mungu wako.

  • @denisosward7464
    @denisosward7464 3 месяца назад +3

    Nafikiri mnaendelea tu kufungua macho Leo ccm kinauchaguzi mzuri duu hatari Sana.Mchungaji pole Sana kwa mawazo finyu.

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 3 месяца назад

    Kwa Iringa Mjini Msigwa ni nguli wa siasa. Ataiathiri CHADEMA pakubwa kuelekea uchaguzi mkuu.

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 3 месяца назад +4

    Wewe ni mpumbavu...nenda kawekwe

  • @Robust78
    @Robust78 3 месяца назад +2

    Msigwa pole kwa madhila yote lkn hongera kwa kujiunga na ccm. Bila shaka umepiga hesabu ya kuangalia maslahi yako ya mbeleni. Kati ya demokrasia na fedha ukiamua kuchagua fedha pia niuchaguzi halali. Ila mwakani ccm wakikutosa kura za maoni usije ukachukia mana kule iringa mini tayari wanaccm wanaye mtu wao. Lakini usiogope zipo nafasi za viti maalumu.

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 3 месяца назад

    Deadliest politics! Mwalimu Nyerere aliwahi kusema wapo wanasiasa Malaya!

  • @jameschristian5876
    @jameschristian5876 3 месяца назад

    Msimtukane mtu kwa uhuruwake nyiemanyumbu msiokuwa nacheo chochote chadema

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 3 месяца назад

    Uchungaji wake huwa siuelewi,,mchungaji huwa mkweli na asiye yumbayumba

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 3 месяца назад +4

    makala ccm kuna haki?vp mpina na sukuri,,kama kuna haki,, mpina mbona asipate haki na ukweli?

    • @FredymaswiMwita-oj6gv
      @FredymaswiMwita-oj6gv 3 месяца назад

      why wanasiasa hamuaniki? mioyo yenu ina Siri gani na siasa? eeeeeeeewewwwwwwiiiii mchungaji peter msigwa.. Joshua nasari..david silinde...peter lijua likali...mbunge wa shinyanga mjini.. ( katambi} mmmmhhhh naona kama naota...je tuamini kama mnaruaminosha uongo unao fanana na ukweli ?

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi 3 месяца назад

    Umeanza upumbafu umechoka kisiasa kwani si umeshindwa uchaguzi unatoka

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 3 месяца назад

    Ogopa mtu mwenye ndimi mbili, Nyoka.

  • @matinyahaule792
    @matinyahaule792 3 месяца назад

    Mchungaji msigwa umechelewa sanaaa kuchukua maamuzi. Ungewahi zaidi

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi7329 3 месяца назад

    Nilikuwa nafikiri wewe ni mtu kumbe msigwa ni pepo hajui analofanya tumsamehe tu

  • @BahatiLogondisha-vq7gg
    @BahatiLogondisha-vq7gg 3 месяца назад

    Mkapige madili mtatoa hesabu siku yamwisho

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 2 месяца назад

    Huyu sio mchungaji ni tapeli sawa Na chui aliyejika ngozi ya kondoo

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 3 месяца назад

    Lissu alisema kunapesa zimemwaga kwenye uchaguzi wa chadema

  • @BobMollel
    @BobMollel 3 месяца назад

    Hiii nchi niyetu sote kuhama chama walasiyo tatizo tujenge nchi yetu kwaamani

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 2 месяца назад

    CCM kama ulikihama ukirudi hawakuamini tena hivyo atafute shughuli ya kufanya akumbuke wenzie waliotupwa jalalani

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 3 месяца назад

    Umekula hela, funga domo lako. Sisi watu wazima zaidi yako, shika adabu yako

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel1179 3 месяца назад +6

    Mimi nauliza swali, Endapo kama wote wakihamia ccm kama mnavyotaka, Je, kutakuwa na umuhimu gani wa siasa!

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 месяца назад

      Hakutakuwa na maana yakudanganya Dunia kama Tanzania kuna Demokrasia wakati hakuna. Huyu toka aingilie sakata la Ngorongoro nilijua hana maana kabisa. CCM wanatenda haki gani?

    • @alexjohn7361
      @alexjohn7361 3 месяца назад

      ​@@leokamil6284msisahau pia kuhama chama ni sehemu ya tafsiri ya democrasia na ni justification ya individual freedom katika kufurahia haki yake.

  • @juliusbura4550
    @juliusbura4550 3 месяца назад +3

    Wewe umegeuka chawa

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 3 месяца назад

    Haya bhana kapige makofi moto ukieasubiri

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali 2 месяца назад

    Weka maneno ya Amina chadema imekuheshimisha ipo siku utaikumbuka

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 месяца назад

    Nakumbuka nilishawahi soma kitabu
    * The mine boy*
    Themes za kitabu hikoo
    ninkwamba mpambanaji huwa hakimbii tatizo huwa anarikabili!
    Sasa msigwa ww %100
    ni njaaa
    umefikir kuwa nikitoka mapema huku 2025 ntapewa uongoz huko! na maisha yaende!
    Sasa na cc hawatakupa uongoz!
    Utajuta sanaa!
    1- watu umeshapoteza iman yao kwako
    2- Wadhiwa wako kama mchungaji umekuwa 000
    Ila njaaa nyooooko kwakweli

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 месяца назад

    Tanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachoendeshwa na viongozi wasio wabinafsi Ili kuiondoa CCM madarakani. Vyama tulivyo navyo kamwe haviwezi kuiondoa CCM. Wengi tunakimbilia kutukana wanaohamia CCM, kama hatutakubali kujichunguza na kujitafakari tuendelee kuwashutumu wanaohama kuwa ni wasaliti huo ni ujinga.

  • @VictorNgosi
    @VictorNgosi 3 месяца назад +1

    Hahahahahaha pole hutudanganyi nawe uwe unaitikia ndiooooo mikatapa yakutuumiza watanzania

  • @mohamedkashindi7689
    @mohamedkashindi7689 3 месяца назад

    Alaaniwe huyo njaa ndo himempeleka huko

  • @AsifiweMwakabwenda
    @AsifiweMwakabwenda 3 месяца назад

    Hatukwelewi msigwa unauchu wa madaraka

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 3 месяца назад +1

    CCM mchukue tahadhari kubwa na huyu mtu ,Niko paleee

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct 2 месяца назад

    Hakika misgwa umejdhalilisha sana sana sana

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 3 месяца назад +7

    Juzi juzi tu alikuwa anawatuka anawaita akili ndogo jamaniii hawa wanasiasa ni kuwaogopa kama ukoma

  • @FrancisRogears-w7i
    @FrancisRogears-w7i 22 дня назад

    DA! Hata wew msigwa paka Ccm wana Ccm wana kushangaa

  • @bonifacemwanga3115
    @bonifacemwanga3115 2 месяца назад

    KWELI SASA NAKUBALI MPIGA ZUMARII ANAIMBA ULE WIMBO MLIPAJI ANATAKA

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 2 месяца назад

    Msigwa tafuta kazi ujue umekwisha

  • @AminaNdele
    @AminaNdele 3 месяца назад +1

    Wanasaikolojia tumekuelewa zaidi ya aliyoyazungumza,nadhani amefanya maamuzi kwa kukurupuka,hata ukimuangalia ni kama hajiamini na maamuzi yake.

    • @TheresiaKwaslema
      @TheresiaKwaslema 3 месяца назад

      Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!

    • @TheresiaKwaslema
      @TheresiaKwaslema 3 месяца назад

      Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 месяца назад

    YAANI MSIGWA NI JIZI,YAANI TUNA WASHUNGAJI FEKI, JMN MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI.

  • @UfahamuwaKristo
    @UfahamuwaKristo 3 месяца назад

    Msigwa bora ungesema unaacha siasa ila sio kwenda kwa watu uliowaponda kwa miaka yote yani hauwezi kueleweka

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 3 месяца назад +1

    Umekula matapishi Yako mwenyewe broo

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 3 месяца назад

    Mpumbavu wewe mbona uliposhindwa uchaguzi, ulisema kwamba umekubali kushindwa na utaendelea kuwa mwanachama mwaminifu. Yaani hata usoni tu umeonyesha nuru yote imeondoka. Kumbe ulikuwa unataka kuuza kanda yote ya nyasa mchumia tumbo. Hatutakata tamaa ondoka wewe na mwisho wako mbaya. Je mbona ccm ulikuwa unaikosoa leo unauhalali gani wa kuhamia CCM hali ya kuwa ulikuwa mkosoaji? Mjinga mkubwa wewe

  • @aloycesingano1352
    @aloycesingano1352 3 месяца назад

    Kumbe yani huyu afai kuitwa mchungaji msaliti na mwenye tamaa ya fedha umehongwa sana

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 3 месяца назад

    Msigwa akili zako zipo kisogoni huaminiki ni muongo kupitiliza

  • @BahatiLogondisha-vq7gg
    @BahatiLogondisha-vq7gg 3 месяца назад

    Mch ngani wasio nakweli tunaka sukari mwafaka wake

  • @LazaroELucas
    @LazaroELucas 3 месяца назад

    Actually kama kweli wewe ni mchungaji jihudhuru dhambi haitakuacha salmaa na hata huko ulikoenda sio salama kwako hautakuwa na Uhuru

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 3 месяца назад +2

    NJAA MBAYA SANA. LIJUA KALI HIVI YUPO WAPI. 🤣🤣🤣🤣🤣YUDA WAPO WENGI HAKI.

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi7329 3 месяца назад

    Mashetani yote uchungaji wa kichawi na kiganga kuanzia leo natoka kanisani kwako mnafiki mkubwa

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 2 месяца назад

    hivi uenyekiti kanda ya nyasa una maslahi gani mpaka msigwa uliposhindwa uchaguzi huo uchanganyikiwe kiasi hiki

  • @MwitaChacha-l9t
    @MwitaChacha-l9t 2 месяца назад

    Shida ya chadema hawataki kuwambiwa ukweli

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 месяца назад

    MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI, MSIGWA SHETANI WEWE

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 3 месяца назад

    😂😂kwenda CCM bola ungeamua kua raia mwema hasiye na Chama au kuachana na siasa😢 hicho Chama Cha CCM kumejaa uchafu naona jina la uchungaji uliondoe kwenye Moyo wako...

  • @angelvictor718
    @angelvictor718 3 месяца назад

    Uyu mtu nashindwa hata awe kundi gan la kiumbe dunian

  • @nihifadhimpalala639
    @nihifadhimpalala639 3 месяца назад

    Mchungaji huyu n mnafiki njaa na uroho wa madaeaka

  • @ZachariaBenedicto-u9x
    @ZachariaBenedicto-u9x 3 месяца назад

    Amekosa kura chadema uyo mwehu tu

  • @BahatiLogondisha-vq7gg
    @BahatiLogondisha-vq7gg 3 месяца назад

    Urafi huo mkapige madili

  • @aloycesingano1352
    @aloycesingano1352 3 месяца назад

    Hhahahahah siasa ni laana pesa ni kubwa kweli 😂😂

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 3 месяца назад

    Hawezi kuvumiliya njaa

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel6980 3 месяца назад

    Sasa kweli kama atakaa kwenye chama kwa maana ys kuwa kiongozi tuu basi wanachama watakuwa wachache sana. Huko ulikoenda ndiko kwenye haki kweli. Kuondoka kwa namna hiyo kumeonyesha immaturity.

  • @daudibukuku6490
    @daudibukuku6490 3 месяца назад +1

    Uongozi wa kanda kukosa tu!! Mtu huyo!!! Ccm !!! Mimi siku ya kuja kutoka CHADEMA mbiooooo!!!! Kwenda kwenye maombi!!! Lkn sio huko!!!! Ama kweli umeniacha hoi!!!!!!

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 3 месяца назад

    Linaona hata aibu kweli chadema sasa kimekuwa ccm sasa wanachukua watu walioshindwa uchaguzi? Chakushangaa miaka 7 kanda ya nyasa hakuna alichokifanya. Amezoofisha chama na alikuwa pandikizi. Mi naamini sasa chadema ni chama kinachokuwa na tishio kwa ccm. Kwani kwa siasa izi alizofanya magu na CCM yake hadi leo. Ndiyo kipimo tosha cha kuchuja wanasiasa uchwaa na wachumia tumbo. Yani sura lako tu linaonyesha uongo mkubwa na uso wa haya!

  • @kassimjumanne5399
    @kassimjumanne5399 3 месяца назад

    Umenikwaza bhn msingwa

  • @Meshack-r9t
    @Meshack-r9t 3 месяца назад

    Wewe ni kama mwana wavmilia ukiona baba anakosea je ni kuiyama family au n kuishauli iwe ilipo kulose ww s mchungaj mlakondooooo

  • @DicksonLyimo-ie7md
    @DicksonLyimo-ie7md 3 месяца назад

    Msigwa Hana tofauti na malaya

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 3 месяца назад

    Umeshakuwa kiongozi kwa miaka kadhaa kwanini ukishindwa usikubali? Wewe unataka madaraka kwa nguvu nenda kafanane nao wanaopora madaraka huku kwetu ni haki tu.

  • @TibaisaTalla
    @TibaisaTalla 3 месяца назад

    Huyo ni njaa tu ila chadema na wao ni taabu tu Bora arudi chama Dume ccm

  • @EdsonDaud-rg5jk
    @EdsonDaud-rg5jk 2 месяца назад

    We ni kenge umefata ela

  • @petershokolo9894
    @petershokolo9894 3 месяца назад

    Huna akili nimegundua hebu kaangalie marehe lowasa alipohamie chadema kama.uliwahi kusikia popote anakosoa ccm alikokuwa amehama na aligombea urais chadema sasa wewe kuhama chadema unataka kutuamilisha ulikuwa mtumwa wa mtu akili zako mbovu sana hufai kutumia jina la mchungaji wewe

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 3 месяца назад

    Kwel siasa ni upumbavu

  • @mohamedkashindi7689
    @mohamedkashindi7689 3 месяца назад

    Hana lolote kafeli kisiasa muumba wa haki amlaani kwa tamaa zake

  • @gadielkahemba6514
    @gadielkahemba6514 3 месяца назад +2

    Unamshuru mungu labda kea unafiki.kila siku mama angalia kua wanaiba na acha waibe kwani watazikwa na vyo!!?amakweli tumbo likiuma akili Ina pumbaa.

  • @Teddy-z4i
    @Teddy-z4i 3 месяца назад +2

    Taperi uyuuu umeyakanyaga

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 3 месяца назад

    Hiyo ndio siasa ilivyo msimlaumu msigwa huo ni uamuzi tuheshimu na ndio demokrasia .pia nawashangaa wanaomlaumu mkuu wa mkoa chalamila kugeuka kimtazamo Kwa uongozi uliopita na kwenda na siasa za usasa na kwenda sambamba na mama samia

  • @Landisy
    @Landisy 3 месяца назад

    Aya bhana mchungaji ,

  • @mtewelemtewele0260
    @mtewelemtewele0260 3 месяца назад +1

    Mavi yako were mnafk huon Ata aibu na kisura chako kama msukule

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 3 месяца назад +1

    Usimtaje hata Mungu hapo kaka ,umetukosea sana wanachi

  • @mohamedkashindi7689
    @mohamedkashindi7689 3 месяца назад

    Muongo kweli kweli

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 3 месяца назад

    Chama cha 3 hicho ktk kuhamia ccm wakiwa hawajampa uongozi anahama kwa akili za kawaida ccm huwachukuwa viongozi wa upinzan sikama wanamapenzi nao na huwa ccm hawawamin mwisho wanapotea.

  • @JanuaryBacabura-em3sg
    @JanuaryBacabura-em3sg 3 месяца назад

    Siasa ya maslahi tumbo ni hatari sana,

  • @lothanathanael2286
    @lothanathanael2286 3 месяца назад

    TUTAAMINUJE KUWA UNAIKOSOA CHADEMA NA YA KUWA CCM INATEKELEZA YALE UNAYOKOAOA ? YAANI WANA SIASA MIMI WANANICHOSHA HASWA WA TANZANIA NI WAONGO WANAFIKI WAZANSIKI NA NJAAA KALIIIIIII.

  • @AmiriKilibwa
    @AmiriKilibwa 3 месяца назад +3

    Kumbe Huwa ni kabaya hiv

  • @AshrafImam-o7t
    @AshrafImam-o7t 3 месяца назад

    Ila njaa mbaya jamani😂😂

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 3 месяца назад +1

    Huyu jamaa wiki iliyopita alitukana chama na serikari yake akiwa na kwenye mikutano singida Leo anakaribishwa na Rais. Hapa sio msigwa tu hata CCM inajivunia heshima.