MSIGWA AWAVUA NGUO CHADEMA, ATAJA KILA KITU PESA ZA CHADEMA ZINAPOENDA''KAMA NADANGANYA LISSU ASEME.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #JAMBOTV
    MSIGWA AWAVUA NGUO CHADEMA, ATAJA KILA KITU PESA ZA CHADEMA ZINAPOENDA''CHADENA DIGITAL SIO MALI YETU''
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 806

  • @FestoLalata
    @FestoLalata Месяц назад +10

    Lengo lako Mhe msigwa ili upate nini au ni chadema yote ijiunge na ccm mbona nivigumu kwamba kila mtu alogwe Kama ulivyo logwa wewe,lengo lako ufanane na mhe mwenyekiti,basi jitahidi ukae kwenye nafasi ya mama mhe Samia maana lengo lako ni ulingane na mwenyekiti wa chama,pole sana

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 Месяц назад

      Ndani ya Chadema hakuna nafasi ya uwenye kiti wa chama bali ufalme na ukurugenzi wa maisha katika hiyo kampuni yao ambayo wao wanaiita eti ni chama cha siasa...!!!

  • @ElizabethLaizer-x2e
    @ElizabethLaizer-x2e Месяц назад +23

    Ulipokuwa chadema ulikua unarapu hivihivi ulikua unahongwa na mbowe?peleka uroho wa madaraka huko ccm

  • @nchimachalosomasi311
    @nchimachalosomasi311 Месяц назад +12

    Jamani njaa Mbaya. Tujifunze kujitegemea kuliko kutegemea. Huo uchawa haukupi heshima hata siku Moja zaidi ya kuzaraulika tu. Hapo kila mtu anakuona ni boya kwa kukosa mwelekeo

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Месяц назад

      Hapana sio njaa ndo ukweli usitake kuficha ukweli siku zote kwenye pesa kuna shida na ukiona ivyo lipo ye sio mtt mdogo

    • @WillbadBeda
      @WillbadBeda Месяц назад

      Kweli njaa mbaya sana

    • @Kalunirashidi
      @Kalunirashidi 19 дней назад

      wewe unasema njaa Mbaya matamanio yako u kweli utabaki ivyo

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Месяц назад +16

    Mbowe ametoka familia tajri tz hvyo huwez lingana nae, pia cdm haina pesa za kuvuja km unavyowahadaa watu, ruzuku ya cdm hukaguliwa na C.A.G toka mwaka 1995 haijatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya fedha. Taifa lina vtu vingi vya kujadili ongeen matatzo ya nchi

  • @user-eg3hr3gh7z
    @user-eg3hr3gh7z Месяц назад +7

    Tz ni kubwa sana na watu wana uelewa tofauti mkubwa na mdogo kuna mtu alisema kuwa makini anae kuambia kuhusu wengine ndiye huyo huyo atawambia wengine luhusiu wewe dunia mapito!

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 Месяц назад +20

    Mwanaume unatia aibu jaman sasa haya yote yanini.mbona huligombea sasa ungeshinda ungeondoka?.

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 Месяц назад +29

    Ukimaliza kumtusi mbowe utapata mshahara

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Месяц назад +5

      kama kuna Ufisadi kwanini CAG anatoa hati aafi kila mwaka ?? wewe na CAG nani mkweli?

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Месяц назад +7

      Sasa katukanwa mbowe mnaumia mbona kila siku Samia anatukanwa mnafurahia tulieni dawa iwaingie vizuri 🤣🤣🤣😊

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 Месяц назад +5

      Hajamtusi kasema kweli

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Месяц назад +2

      We ni mjinga sana, hujui kitu, chadema ni sakosi ya wachaga, kama unapenda upinzani katafute chama, cha haki kwa watanzania wote, na si chadema. Mimi niliachana na chadema 2014

    • @omarymkamba3045
      @omarymkamba3045 Месяц назад

      ​@@hamisimuhunzi7916CHADEMA haijawahi kupata hati safi

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga Месяц назад +3

    Bravooo,acha kujitia aibu hapo ,Watanzania wa leo sio wa jana,wanajua kilakitu, ufala mwingi boya domo kubwa wewe tena bayaaa .

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b Месяц назад +1

      NIKWELI NDIO MAANA HATA OFIC HAWANA WE NDIO DOMO UNATETEA UJINGA WW UTAKIJUA CHAMA ZAIDI YA MSIGWA

  • @willymgaya7618
    @willymgaya7618 Месяц назад +20

    Wanasiasa mmeacha kuzungumza matatizo ya wananchi mmeishia kusemana tu majukwani. Mnatushangaza sana. Mbona tunawachoka .Acheni kutuona wananchi hatuelewi mambo yenu. MSIGWA zungumza mambo yanayohusu matatizo ya wananchi sio ya mtu.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад

      Samahani ujue wanaojielewa kama wewe ni wachache hawa wameshajua kundi jengine la watu hupenda unafki na uhasidi ndio maana hana lingine la kusema isipokuwa majungu.Upuuzi sana kaona ndio kik ya kutafutia jina badala ya kudeal na shida za wananchi. Katika nchi hii tunatakiwa sisi wenyewe tuamke kwa pamoja alafu sisi ndio waamuzi wa chama gani tukiweke kikishindwa tunatoa mpaka tuone wepi ni sahihi kutuongoza. Bila hivyo tutaishia kupigiwa mafumbo na malumbano huku wakijineemesha watu wachache.

    • @RBMBAKARI-bv6wn
      @RBMBAKARI-bv6wn Месяц назад +2

      Lazima apasue ukweli

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Месяц назад

      Ukiona ivyo ujue CCM imekwisha kumueka uyu umbwa anae ungana na umbwa wenzake

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd Месяц назад

      sasa huyu sinjaa hapo kapewa pesa ndefu

    • @paulmagao9167
      @paulmagao9167 Месяц назад

      Msigwa kachanganyikiwa. Wajinga tu ndo wanamsikiliza. Mbona majuzi tu aligombea uenyekiti wa Nyasa. Ok. Kuna Mo , Bill Gates foundation na wote bado ni CEOs wa kampuni zao na hakuna Conflit of interests. Njaa inamsumbua Mchungaji fake.

  • @user-nx1it7pp5x
    @user-nx1it7pp5x Месяц назад +27

    Njaa zinakusumbua tu msigwa uriwasema sana hao ccm sasa unawase chadema kifo chako cha kisiasa kimefika

    • @MalamboSelijusi
      @MalamboSelijusi Месяц назад +3

      Anaelewa anachokiongea lowasa almpa pesa dakika zamwisho kapewa ugombea wakati lowasa nimtuhumiwa waufisadi ,mpaka kaachia uwaziri mkuu wakati huo ,mbowe lisu nawengine wanawaita ma ccm ,,hakuna chama nikikundi chamtei mkwe wambowe

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Месяц назад +3

      We ni mjinga sana, hujui kitu, chadema ni sakosi ya wachaga, kama unapenda upinzani katafute chama, cha haki kwa watanzania wote, na si chadema. Mimi niliachana na chadema 2014

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 Месяц назад

      Nimekuelewa vizuri ndomaana mbowe h haachii kiti​@@martinisadru9899

    • @LassonDominick
      @LassonDominick Месяц назад

      ​@@martinisadru9899 wew nae tumia akili bro!!!! Kula mwenye akili timamu anahaki ya kuwa upinzani kwa mambo yanayofanywa na CCM!! Sijakataa maana kuna mazuri yanayofanywa na chama cha mapinduzi lakini namabaya yapo wanayafanya! Kwahyo kama wanayafanya hayo mabaya lazima yasemwe2 hata ufanyeje lazima watasema!!! CHADEMA KAZI MUNAIFANYA KUBWA SAANA!!!

    • @matipukamatipuka9654
      @matipukamatipuka9654 Месяц назад

      Wafinye

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga Месяц назад +2

    Kataja Ulemavu wa Mwenzie Mungu wanguuuuu.Baba Mchungaji nadi sera na ilani
    Mama anatosha sana

  • @samuelmakara
    @samuelmakara Месяц назад +7

    Hongera msigwa. Unaonyesha uzuzu wa hali ya juu😊

  • @nelsonshillah6618
    @nelsonshillah6618 Месяц назад +14

    Hata hao wanakushangilia lkn lazima wana maswali juu yako

  • @EbenezerMagari
    @EbenezerMagari Месяц назад +7

    1,katiba
    2,tume huru
    3,umasikini
    UNGEGUSA KIPENGELE KIMOJA TU NINGESHA KUTUNZA LKN MJUNGU 😢
    NOTHING APOOO

  • @gerachtangatya2835
    @gerachtangatya2835 Месяц назад +6

    Hawa wachungaji wa cku hz ndo wanautukanisha ukristu ila MUNGU anawaona

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Месяц назад +1

      Huyu alikua mchungaji wa kujitangaza mwenyewe maana alianzisha kanisa lake mwenyewe akajiita mchungaji yeye mwenyewe

  • @laupetpet7779
    @laupetpet7779 Месяц назад +14

    Wewe si ulikua unasema Samia ameuza bandari yetu?? Je amerudisha?? Au emenda kuungana nae kuuza???

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Месяц назад

      umasikini unamsumbua Msigwa kuwa na share ktk kampuni yeyote sio ufisadi hata yeye anaweza nunua..

  • @Anithawilielemi-uh3ww
    @Anithawilielemi-uh3ww Месяц назад +6

    Kumbe Msigwa mmekula sana hiyo foundation kwa miaka mingi,Ila bado sitakuelewa mpaka ututhibitishie kama mchungaji hukuwahi kujuwa kuwa unatenda dhambi?

  • @mohamedismail1376
    @mohamedismail1376 Месяц назад +17

    Sio hoja majungu

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k Месяц назад

      Apa kwanza tunasambalatisha ngurunzinza mpaka maji muyaite mma😂😂😂

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Месяц назад +7

    Huyu jamaa ni mtu ambaye yuko frustrated kwa hiyo anazungumza kwa hasira sana. Yeye ni CDM mchana na usiku, anajaribu kujustify kuondoka kwake kwa maneno mepesi!.

  • @castorymhoja6050
    @castorymhoja6050 Месяц назад +1

    Mimi nilikuwa najua mchungaji kumbe shetani mkumbwa mzee usifikili watanania wanakuelewa

  • @christophermwampashe465
    @christophermwampashe465 Месяц назад +19

    Ulikuwa wapi kuyasema haya yote ukiwa ndani ya chama?

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Месяц назад +1

      Halafu anamtaja Mungu sbb za yeye kuondoka..hivi angeshinda uchg angekuwa hapo? sbb za kuondoka ni kushindwa uchaguzi hakuna lingine.

    • @herybertsabai6503
      @herybertsabai6503 Месяц назад

      Walisema kina zito wakafukuzwa, ngoja siku Mh Lisu nae atoke sijui utasemaje. pole sana

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 Месяц назад

      Ameamua kusema baada ya kutoka chadema kama walivyofanya akina Slaa, Selasini, Zito, Kubenea, Lijualikali, Lowasa, Sumaye, Nyarandu, Mashinji, Upendo Peneza, Aman Kaburou, Kafulila, Katambi, James Milya, Silinde---orodha ni ndefu.
      Siyo wote waliokwenda CCM wengine walikwenda ACT na NCCR .

  • @fredymbilinyi6323
    @fredymbilinyi6323 Месяц назад +10

    Usitukane mkunga wakati uzazi ungalipo, hekima nikunyamaza,

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 Месяц назад +1

      Mh Wanasiasa hawana *UZAZI*

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 Месяц назад

      Kuna mzazi gani wa kula mwenyewe huku wanawe wakishinda njaa na kulala njaa??!! ​@@sskondopoleani9616

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 Месяц назад

    Siasa🙌🙌🙌🙌

  • @user-cz5sd6ys8i
    @user-cz5sd6ys8i Месяц назад +13

    Kuwa na akiba ya maneno haya yote umejua baada ya kushindwa na sugu,hakuna asiye kujia ni njaa2zina kusumbua

  • @reubenmhagama8164
    @reubenmhagama8164 Месяц назад +3

    Njaa hiyooo pole msigwa! Cheo kimekutoa hakuna jipya

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 Месяц назад +4

    Huwezi kukiangusha CHADEMA hata ufanyeje

  • @tusanemheta8638
    @tusanemheta8638 Месяц назад +7

    😂😂 Chadema haifi Leo Wala kesho Mbwa ww

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Месяц назад +1

    Usimwamini mtu kwenye maisha😂😂😂yuda alie msaliti yesu

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 Месяц назад +5

    Njaa msigwa mungu anawaona mnataka kuua demokrasia.

  • @jumahalifamkindi2175
    @jumahalifamkindi2175 Месяц назад +1

    Ubinafsi na Njaa ni mbaya sana kwa viongozi wetu hawa wa kiafrica wasio na uzalendo na nchi zao ni Bora tungetawaliwa tu na Wazungu maana wangetunyonya pia tungenufaika na fursa za kimaendeleo kuliko hivi sasa wachache ndio wananufaika na nchi hii

  • @user-sb6gm8ll3b
    @user-sb6gm8ll3b Месяц назад +1

    Mzeee lowasa alikusa mstarab sana aliporud ccm akuwa na maneno alisema nimerud nyumba n, Sasa mchungaj ww duu hatar Mungu anakuona, unasemea kilema Cha mwenzio hakuomba kuwa vile, hata km ni siasa no umepitiliza ila njaaa mbaya sana

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Месяц назад +1

    Sisiemu NI majinga kweli mnakaribisha mwehu na eti mnakaa mnamsikilza na kpigia makofi.temeeeni mate huyo

  • @melch3097
    @melch3097 Месяц назад +4

    Daaah, vifo viko tofauti ila huyu jamaa, atakufa vibaya

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j Месяц назад +2

    Msema kweli ni mpz wa Mungu msigwa kapiga kwenye mshono 😂😂

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Месяц назад +2

    Yaani huyu Msigwabsasahv hana hata point, ni majungu tu anataka ku survive nayo. Fanya siasa

  • @Athuman-rd4br
    @Athuman-rd4br 19 дней назад

    siasa kweli kumanina

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Месяц назад +12

    Masikinii😢 hadi huruma.
    Weka akiba ya maneno.

  • @fridaernestmkedege900
    @fridaernestmkedege900 Месяц назад

    Ahsante kwa kuwa umeyaona hayo juzi

  • @sammymdemeka7937
    @sammymdemeka7937 Месяц назад +3

    Umekuja kuvubaza CCM hatukuelewi shida zetu wananchi ni maisha magumu na umasikini. Hiyo kitchen party ya Mbowe Mbowe Mbowe inatusaidia nini?

  • @christophermpogole4944
    @christophermpogole4944 Месяц назад +1

    Kukaa kimya pia ni jibu, usidharau waliokutoa ukaonekana!

  • @Yama-l7b
    @Yama-l7b Месяц назад +1

    Mimi ni Ccm lkn mtu kama huyu afai hata kidogo ccm tuwe makini sana na huyu mtu njaa inampa aropoke atatusaliti tu na sisi

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Месяц назад

    Hongera

  • @Gahii-s5q
    @Gahii-s5q Месяц назад +3

    Sjawai kuona mchungaji anaewasukumizia kongoo kwenye shimo la Moto, ili yeye ale minofu.

  • @nassibu-hy5ny
    @nassibu-hy5ny Месяц назад

    Njaa mbaya sana msigwa punguza uchawa

  • @hellenwilliamwilliam8256
    @hellenwilliamwilliam8256 Месяц назад +7

    Njaa mbaya sana

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl Месяц назад +2

    Elimu Elimu Elimu. Tunataka sera safi za ccm sasa. Msigwa sema hayo tupate raha. Ok

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 Месяц назад +7

    Mm nikushauli tu uwe na akiba ya maneno hya wakati mnagombea na sugu na sugu amekupiga chin asingekupiga chini ungesema hyo maneno harafu ww unajiita mchungaji hya

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Месяц назад

    Yupo sawa mboye anamiliki Pesa nyingi Kuliko chama

  • @leloleonard4845
    @leloleonard4845 Месяц назад +2

    Njaa mbaya sana 😂😂

  • @PeterMwakisambwe-ys3rr
    @PeterMwakisambwe-ys3rr Месяц назад

    Njaa mbaya brother pole msigwa

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel1179 Месяц назад +9

    Wewe mwizi na mchawi kabisa!

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Месяц назад

    Huyu ndiye mchungaji????
    Mungu tusaidie sana na ibariki Tanzania yetu 🇹🇿🇹🇿

  • @user-jg2dy4kb6j
    @user-jg2dy4kb6j Месяц назад +2

    Msigwa zungumza matatizo ya wananchi si kumsema mbowe,mbowe strong man

  • @mwitamwikwabe6611
    @mwitamwikwabe6611 Месяц назад

    Pole mzee umemia sanaa ww ndie unatutadanganya ww mzigwa

  • @florianmodest6215
    @florianmodest6215 Месяц назад

    Mtu masikini sana huyu!. Hana maisha ana chuki mno. Ndio maana ana uchu wa madaraka.

  • @mwalimumbukuzi7273
    @mwalimumbukuzi7273 Месяц назад

    Duh huyu jamaa ni noma mbowe na we zake mnaumbuka. Mlimuamini kumbe ni mchungaji tu anaumia kimungu

  • @user-xh8zd4gm6s
    @user-xh8zd4gm6s Месяц назад

    Msigwa upon ccm unajizalilisha je were uko safi

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Месяц назад

    Atali tupu komaa nao msingwa tu akuna namna ccm oyeeee👍👍👍👍👍

  • @jonesvictor6173
    @jonesvictor6173 Месяц назад

    Msigwaaaa hongera kwa kujipambania

  • @hemedilikunguala6485
    @hemedilikunguala6485 Месяц назад

    Njaa hiyo

  • @abdulrahmankafuku3449
    @abdulrahmankafuku3449 Месяц назад +1

    ❤❤😂😂

  • @nateriuslukinjason3108
    @nateriuslukinjason3108 Месяц назад

    njaa njaa kali

  • @MerryWilliam-r4l
    @MerryWilliam-r4l Месяц назад

    Unatumia nguvu sana

  • @lazarokajole5454
    @lazarokajole5454 Месяц назад

    Njaa mbaya Sana jmn

  • @melcksedeki1012
    @melcksedeki1012 Месяц назад

    Wajumbe walijua wew ni mnafiki ndiomaana wakamchagua Sugu

  • @franciscoivo1591
    @franciscoivo1591 Месяц назад +2

    Unayoongea sawa kiongozi,ila nashindwa kuelewa kwa nini hukusema hapo awali,ungeshinda uongozi ungeondoka?,kwa mini hukusema hayo siku xote,
    Wewe huaminiki karibu huku kwetu lakini si wakuaminika rather a selfish!

  • @khamishemedsaid2134
    @khamishemedsaid2134 25 дней назад

    Kweli msigwa bora umehamiya ccm sababu chadema hawana sera

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Месяц назад

    Huna point,

  • @Michaelmwakikao
    @Michaelmwakikao Месяц назад

    Umeishiwa Sera

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Месяц назад

    Safi sana mh Msigwa

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Месяц назад

      Yani dawa inawingia vizuri chadema wamebaki kusema njaa mbaya 🤣🤣 kumbe inawauma CCM tunaburudika sana yani mimi sichoki kumsikiliza Msigwa mpaka na lala na sauti ya Msigwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Месяц назад

      ​@@halimamasai2234inatuuma nini sisi hatujishuhulishi na wanao kula matapishi yao kama kina msigwa, peoples power always

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 Месяц назад +1

    Huyu jamaa kumbe kichwani niuchafu tu'

  • @frankmoshi346
    @frankmoshi346 Месяц назад

    Njaaa mbaya

  • @ExaveryMtware
    @ExaveryMtware Месяц назад +1

    Wew tengeneza ajenda ulikuwa mdudu mdg sana hivo weka mtazamo wako kama msigwa nchi utaivusha vp katika wimbi la umasikini chini ya mama Samia acha porojo

  • @kihongole87-ns1bo
    @kihongole87-ns1bo Месяц назад

    Mwanamke malaya

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Месяц назад

    Da!jamaa kawa na majungu sana😂😂😂

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo2320 Месяц назад +1

    HUYO sio bule wangewahi kumpima akili yake maana ni mjinga tuu ndio ataweza muelewa

  • @kLaknFXIOLI73acvSSWurw
    @kLaknFXIOLI73acvSSWurw Месяц назад

    Alipokuwa chadema hoja ilikuwa matatizo ya wananchi kaingia CCM hoja ni Mbowe. Bongo bahati mbaya.

  • @user-pj5fp2xx3d
    @user-pj5fp2xx3d Месяц назад

    Angesemaje akiwa huko, acheni aseme Ili tuwajue viongozi wetu wanalivyo mafisadi maana chadema sio Mali Yao, kama hawatokei wasaliti sisi wananchi hatuwez jua vyama vyetu vinavyoitafuna nchi na sisi wananchi tunaishia kutaabika na kuwashangilia

  • @geoffreymwafongochristop-vd6ob
    @geoffreymwafongochristop-vd6ob Месяц назад

    Msigwa, kaka umechemka, Torati siko hivyo we ni shetani kweli, ila Mungu akusamehe, Sana Ndugu tulikuamini, Sana kuliko CCM,

  • @samsonsimon3138
    @samsonsimon3138 Месяц назад +1

    Kilichokutoa chadema ni nini kushindwa uchanguzi ama tamaa ya madaraka

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Месяц назад

    Kama kweli kamanda yupo hvo hafai kujiita kamanda

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 Месяц назад

    Unajiaibisha muungwana anakaaga kimyaaaaaaa.Yesu alikuwa mnyenyekevu na mkimya ungefuata nake tungelikuona wa maana sana.yendo z

  • @gimongebaruchachagoryo-jo9ww
    @gimongebaruchachagoryo-jo9ww Месяц назад

    😊

  • @lusekelomtafya894
    @lusekelomtafya894 Месяц назад

    Msigwa anafeli sana angejifunza kwa wenzie walio pita Dr silaa, Zito kabwe, lakini huko ccm wakina Nape wapo pia awaone wakina Dr bashilu wakina plofesa Palamagamba wako wapi? Chama kina wenyewe

  • @SirajiHamis-pc1kh
    @SirajiHamis-pc1kh Месяц назад

    Njaa tu wew huna jipya

  • @Eatdalyricsup
    @Eatdalyricsup Месяц назад

    Yaani uyu ana shukurani

  • @LomnyakiLaizer-i2y
    @LomnyakiLaizer-i2y Месяц назад +2

    Kweli unadhihirisha uwendawazimu wako

  • @officialkinghimself2637
    @officialkinghimself2637 Месяц назад

    Umesahau katiba,umesahau sheria,umesahau mateso ya Magufuri leo umekuwa chawa

  • @musajulius3667
    @musajulius3667 Месяц назад

    Tutaona mengi sana watu wanafunguliwa macho

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 Месяц назад

    Vibaya sana unafanya unafiq sana muogope m.mungu

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Месяц назад

    Huyu ndiye Juma magoma wa CCM!!! Njaa mbaya

  • @JeremiahMwakanyamale
    @JeremiahMwakanyamale Месяц назад +1

    Mchungaji feki,anunuliwa Kwa pesa ajifanya kutamba ccm,mshtakini huyo aliituss sana ccm.

  • @nikutusyamsokwa3476
    @nikutusyamsokwa3476 17 дней назад

    Msigwa anatakiwa kujibu Kwa nn amehama baada ya kushindwa uchaguzi,Uenyekiti WA Kanda ya nyanza

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Месяц назад

    Chagadema ni wezi zaidi yaCCM.

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Месяц назад

    Siku moja CCM na CHADEMA na vyama vyote vitakufa afu kitainuka chama cha vijana wenye Nguvu ,hekima na hofu ya Mungu kuongoza taifa letu iki kuleta tiba ya mioyo ya watanzania ila pia kuishangaza dunia kuwa Tanzania na africa tuna uwezo pia.
    Japo kwa sasa Tumuombee rais wetu na mchi yetu mbali na changamoto maumivu na kukata tamaa kwingi ila Mwenyezi Mungu ni mwaminifu yote yanakusudi chini ya jua

  • @mohamedismail1376
    @mohamedismail1376 Месяц назад +7

    Hovyo sana

  • @hiyanimsangi73
    @hiyanimsangi73 Месяц назад

    Hakuna kama msigwa...umetisha mkuu

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Месяц назад

    Vizuri sana mlipue ataacha siku nyingine

  • @laupetpet7779
    @laupetpet7779 Месяц назад +24

    Mbona umepunic boya wewe

  • @user-kg5tr3vh4d
    @user-kg5tr3vh4d Месяц назад

    Msigwa we shoga