- Видео 669
- Просмотров 3 908 657
Chadema Kaskazini
Танзания
Добавлен 11 мар 2017
Kataa Uchafuzi kwenye Uchaguzi
LEMA ATOA TAMKO ZITO KUHUSU UKIUKWAJI WA TARATIBU ZA UANDIKISHAJI.
LEMA ATOA TAMKO ZITO KUHUSU UKIUKWAJI WA TARATIBU ZA UANDIKISHAJI.
Просмотров: 2 810
Видео
LEMA ATOBOA SIRI NZITO KUHUSU UANDIKISHAJI NA MIKAKATI YA SERIKALI.
Просмотров 7 тыс.12 часов назад
LEMA ATOBOA SIRI NZITO KUHUSU UANDIKISHAJI NA MIKAKATI YA SERIKALI.
MBOWE ANENA MAZITO KUELEKEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
Просмотров 1,6 тыс.21 час назад
MBOWE ANENA MAZITO KUELEKEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
Baba Bon asimulia alivyoandamana Kininja Dar
Просмотров 11314 дней назад
Baba Bon asimulia alivyoandamana Kininja Dar
MAKONDA NDIYE ALIYEONGOZA JARIBIO LA MAUAJI YA LISSU.
Просмотров 21414 дней назад
MAKONDA NDIYE ALIYEONGOZA JARIBIO LA MAUAJI YA LISSU.
Mtoto wa MBOWE amekatwa na Polisi Magomeni.
Просмотров 79021 день назад
Mtoto wa MBOWE amekatwa na Polisi Magomeni.
MBOWE, LISSU wakamatwa LEMA hajulikani alipo.
Просмотров 2,3 тыс.21 день назад
MBOWE, LISSU wakamatwa LEMA hajulikani alipo.
“Mkisikia MBOWE amepigwa risasi msirudi nyuma endeleeni Mbele.” - MBOWE
Просмотров 52521 день назад
“Mkisikia MBOWE amepigwa risasi msirudi nyuma endeleeni Mbele.” - MBOWE
LEMA AFUNGUKA MAZITO BAADA YA HOTUBA YA RAIS KWENYE MIAKA 60 YA POLISI
Просмотров 29 тыс.21 день назад
LEMA AFUNGUKA MAZITO BAADA YA HOTUBA YA RAIS KWENYE MIAKA 60 YA POLISI
Boni Yai anyimwa dhamana, Kibatala afunguka
Просмотров 7121 день назад
Boni Yai anyimwa dhamana, Kibatala afunguka
Boniface Jacob akamatwa na Polisi, Kanyimwa dhamana.
Просмотров 23028 дней назад
Boniface Jacob akamatwa na Polisi, Kanyimwa dhamana.
LEMA awaonya Polisi, Msiumize watu, Watoto wenu hamuwapeleki Shule na Magari ya kuwasha.
Просмотров 15 тыс.28 дней назад
LEMA awaonya Polisi, Msiumize watu, Watoto wenu hamuwapeleki Shule na Magari ya kuwasha.
“Sifikirii kukimbia Nchi, kuliko nikimbie bora nife” - LEMA
Просмотров 9 тыс.Месяц назад
“Sifikirii kukimbia Nchi, kuliko nikimbie bora nife” - LEMA
MAANDAMANO yapamba moto Masonga atoa wito kuelekea Septemba 23
Просмотров 1 тыс.Месяц назад
MAANDAMANO yapamba moto Masonga atoa wito kuelekea Septemba 23
“(CHADEMA) Msimamo wetu upo pale pale” - Mrema
Просмотров 197Месяц назад
“(CHADEMA) Msimamo wetu upo pale pale” - Mrema
(BAVICHA) kuingia barabarani waibuka na Samia Must Go, Wataka viongozi wawajibike.
Просмотров 1,3 тыс.Месяц назад
(BAVICHA) kuingia barabarani waibuka na Samia Must Go, Wataka viongozi wawajibike.
“ALI KIBAO AMEUAWA, AMEMWAGIWA TINDIKALI” - MBOWE
Просмотров 433Месяц назад
“ALI KIBAO AMEUAWA, AMEMWAGIWA TINDIKALI” - MBOWE
Alichokisema SOKA kabla ya KUTEKWA hiki hapa.
Просмотров 1,7 тыс.Месяц назад
Alichokisema SOKA kabla ya KUTEKWA hiki hapa.
ccm wakwamisha Elimu bora Kilimanjaro, wafungia Computer tangu 2018 hadi leo.
Просмотров 301Месяц назад
ccm wakwamisha Elimu bora Kilimanjaro, wafungia Computer tangu 2018 hadi leo.
TAASISI ZA DINI ZIKO WAPI KUKEMEA UTEKAJI - LEMA
Просмотров 73Месяц назад
TAASISI ZA DINI ZIKO WAPI KUKEMEA UTEKAJI - LEMA
Wameanza kujitaja wenyewe, Serikali ilihusika kuiba kura 2020, kilichotokea kwenye mapori DC Longido
Просмотров 153Месяц назад
Wameanza kujitaja wenyewe, Serikali ilihusika kuiba kura 2020, kilichotokea kwenye mapori DC Longido
WAMASAI WAMEDANGANYWA NA SERIKALI KUPOOZA MOTO
Просмотров 366Месяц назад
WAMASAI WAMEDANGANYWA NA SERIKALI KUPOOZA MOTO
Spika kajichanganya hoja ya UTEKAJI, Mwabukusi aeleza TLS kuchukua hatua.
Просмотров 600Месяц назад
Spika kajichanganya hoja ya UTEKAJI, Mwabukusi aeleza TLS kuchukua hatua.
Huyu kijana wanae polisi, kuna siku kama Abdul hatatekwa atatekwa mjukuu wake
Просмотров 157Месяц назад
Huyu kijana wanae polisi, kuna siku kama Abdul hatatekwa atatekwa mjukuu wake
Spika anazuia mjadala wa watukutekwa, Mahakama imetoa kibali kwa polisi kuteka watu - LEMA
Просмотров 189Месяц назад
Spika anazuia mjadala wa watukutekwa, Mahakama imetoa kibali kwa polisi kuteka watu - LEMA
CHADEMA Arusha watoa tamko kali, Hatuibiwi tena kura tumejipanga.
Просмотров 236Месяц назад
CHADEMA Arusha watoa tamko kali, Hatuibiwi tena kura tumejipanga.
Akija kisela anarudishwa kisela, Boya huyo!
Просмотров 416Месяц назад
Akija kisela anarudishwa kisela, Boya huyo!
MTU akipiga kura nani atajua kampigia nani atazuia kumpigia MTU sasa munataka kulalamika bure kila munapolalamika Mara kupinga uandikishaji haitosaida wacha watu waende sasa mukisema kesho munataandamana tutakwenda kwendaje huko kujiandikisha kamani MNA mnatunyanyasa
Kiongozi bora wa karne wa Tanzania uko vizuri lema
Yana mwisho
Waache wajidanganye mwisho wa udhalimu umekwisha!
Ndio wale kina Mwigulu kumvalisha suti za kijani mtoto na kumnunulia machine ya copy kutoa msaada. Hawa ndio wezi wanaoandaliwa. Taifa linaelekea wapi!!
manguakibaliki
mm nilishasema samia afuteviama basi ibakiccm
Jamani jamani huku tanga waandikishaji wa daftali la wpiga kula sasa wanapita na wenyeviti wa vitongoji nyumba kwa nyumba na kuwaandikishia huko wakijua wewe ni wa upinzani hawakupitii wewe je hizi siyo dalili za wizi kweli?
Ni hatari kweli kweli.
Kwakifufupi ni kwamba kura zimeshapigwa ngoja.muone matokeo
KUJIKUBALI KUPITILIZA NI MBAYA SANA!!
ONGEA YOTE LAKINI TUNAOMBA USIMWONGELEE HAYATI MAGUFULI. TUNAMPENDA SANA, UTAHARIBU HOTUBA YAKO.
Unashindwa kuelewa kwa sababu ya uelewa mdogo
Pole sana Lena. Mungu Baba Ataendelea kukutetea.
Kweli baadhi ya watu hawana ufahamu
KAMANDA LEMA USHAURI WANGU EBU TUACHE UCHAGUZI MAANA HAWA WATAWALA WAMEJIPANGA KUHARIBI
Hii ni sauti ya mtu aliye nyikani, itengenezeni njiani zenu, lema umetumwa na Mungu watanzania usipo isikiliza sauti hii ya lema basi mabadiliko Ya nchi hii tusahau, Mungu akulinde na awe pamoja nawe Lema wewe ni Tunu ya Taifa.
Lema wewe ni jema
Miimi hapo nashindwa kuelewa sasa hiyo ni kampeni au mlalamiko mimi sijaelewa baada kuwafamisha watu nini utafanya nini watu wakuelewe
Uwaambie watu utafanya nn ? Wakati watz wamekata tamaa hata na huwo uchaguz yan hata anayo ongea bado tunahtaji elimu ya katba na sheria kbsa maana hata maana kupga kura hakuna ss. Watu wanajisifia wamefanya kaz nzur katka taifa hili lakn bado hawajiamin...kwa nn usiache uchaguz huru km kweli ww umefanya kaz nzur
Atafanya Nini Kwa nchi gani yaani ninyi amuhusiki na haya mambo kwani hakuna ndugu Yako aliye umizwa Wala kuuwawa ila utapata uchungu yatapokukuta
Naipenda nchi yanga tuishi Kwa haki na amani
Anaongea Kwa uchungu kwasababu wananchi hatujitambui na tumeathirika na maccm
Akitekwa ndugu yako ndio utaelewa saivi unaona ni shwari tu
Lema has spoken reality with the painful is even about give up political activity in Tanzania way ccm leadership brutal leadership in Tanzania national
Ccm can not allowed tanzania people elect leader they need why because ccm leadership full of coruption leader on leadership police brutality it let tanzania people fell to act protesting and we tanzania do that mince we will continue safering under ccm leadership for long time because tanzania politician exhausted explain to peaple who fear deeth fear react agest ccm brutal leadership wich rulling tanzania by arn face we have spoken about brutal local gavment election under ccm brutality election wich ccm lie on the world the res election in Tanzania wich ccm dasnt allowed democracy in Tanzania let be frank chadema you can't go on election with such brutal local gavment election is lmposible why ccm treating tanzania people go on election Because already we have been feded fear with the ccm leadership
12:41 maneno haya yanaumiza mioyo sana, alisema kulshevu wa USSR alisema waliokoka na janga la nuklia watawaonea wivu waliokufa, tumeaanza kusikia msibani ya kuwa bora ,marehemu ameenda kupumzika na taabu za dunia, naiombea nchi na viongozi watende mema tusifike huko❤ Mungu ihurumie nchi yetu tupite vema ktk chaguzi, amina
Mm namuelewaga lema sana sana ila sisi niwaoga sio siri
Yan kuna baadhi ya watanzania ni O" kabsaa yan umoja hawan kabsaa Aiseee wnakatisha tamaa snaa aloo Siku hawa wakina lema wakichoka tutakuf km kuku
Sugu balaa
❤❤❤
Tangia nianze kukusikia leo umesema mambo mazito mno
Kweli chadema✌ndio tumaini langu na chama pendwa ambacho ni nakipenda kw dhati na vile vile CCM wanakiogopa chama hiki cha✌kuliko vyama vyte hapa tanzania
Ninandoto siku Moja nikamuone Mzee huyu ninamuelewa sana
Huyu mzee anapaswa kuwa rais wa nchi amesheheni busara za kutosha
Hii speech imenikosha kuanzia leo CCM chama changu byeeeee hodi CHADEMA nimeelewa nia ya Chadema kumbe huwa wanapigwa na kuumizwa bado wanatunza amani ya nchi yangu Tanzania leo rasmi mimi ni mwanachama wenu Mungu IBARIKI Tanzania
Ndugu yangu Isack, usiniache nipo pamoja na wewe CHADEMA ndiyo habari ya sasa
Very nice, we luv your speech.
Very strong speech.
Mungu ww ndiye unajuwa kama huyu kijana yupo hai au hayupo fanya njiya pasipo na njiya
Askari kazi nzuri kuzarau Sheri za inch ni kuzalisha watu wahovu leo unashindwa kuwasilikiza walio madarakani je ukishika madaraka Sheri zitafutwa u babe uzidi mara dufu hakuna inch au shirika litakutetea juu unaiweka katiba hatarini kutoeshimiwa na raia urizarahu mahakama ya tz sasa watakuonyesha wakuzingatia na kueshim Sheria ni weew siyo mit na ngombe ningelijuwa ITAKUJA tu
Tanzania tuna enda wap jamani😂😂😂😂
Mko sawa eshima imepungua acha walekebishe tz hailikuwa taifa la watu waongo na wazushi walikuwa wema ajabu umewapote juu ya tamaa kuitaji sifa kwa watu ubora wa taifa utarudi kama Sheria zitafutwa kama zamani
Kweli tumechoka wananchi
Chadema inazidi kunoga🎉🎉
Nenda kaandamane pekeyo mana sababu ya kuandamana haipo kabisaa wala hatujaijua kisa t umekosa ubunge hyahhhhaaa
Kwa hisia kali sana na mungu atatulinda na mbowe hatodhurika kwa namna ye yote
Achakutisha askali inatakiwa upingwe Wewe mwenyewe .Kuna wajinga wanamsifia Lema kwaujinga wake .
Lema umeongea kitu kikubwa sana. Kama ccm wanaakiri wajifunze kwakweli halinimbaya sana . Tuendako nipabaya zaidi.
Wamesha leta malakibao tu. Unataka walete paka vip nyie ccm
Mungu tusaidie watanzania
Wapo wanaoongea kwa ushabiki sababu hayajawakuta,Ikitokea kwako ndio utamuelewa Lema.Watu wazima kabisa mnashindwa kutafakari jinsi nchi inavyoendeshwa? Mpaka wauawe ndugu zenu ndio muelewe? Hebu amkeni kutoka kwenye huo usingizi mzito
Siasa za sasa hivi zimebadilika sana,
Wangapi wanaamini heshima ya Lema kwa muheshimiwa Rais imejaa unafiki na uoga
😭😭
Huna hoja mbona mbowe hakukimbia