Elizabeth Maliganya - Gushoka Kaya (Official music video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #ELIZABETHMALIGANYA #GUSHOKAKAYA #HARDTONERECORD
    Elizabeth Maliganya - Gushoka Kaya (Official music video)

Комментарии • 227

  • @emmanuelsamamba6645
    @emmanuelsamamba6645 Год назад +83

    Aliyerudia huu wimbo kuuangalia gonga like nyingi wimbo mzuri safi sana unahamasisha kupambana ila tukumbuke nyumbani walau kusalimia mara moja kwa mwaka

  • @user-uo1rj6vp5b
    @user-uo1rj6vp5b 5 месяцев назад +5

    Nimesikiliza leo trh 18 mwezi 4 niminuka kwenda kukata tikek kueleke shy

  • @SaidNzumbi
    @SaidNzumbi Месяц назад +2

    Nakukubali sana mwanamama wetu kwa nyimbo nzuri sana

  • @kasaranimrudi7310
    @kasaranimrudi7310 3 месяца назад +4

    ❤ umenigusa eliza...KWELI turudi nyumbani

  • @bujumburatv2925
    @bujumburatv2925 Год назад +13

    Bonge la Ngoma asee,nmerudia kama mara 30 na naendelea nayo🙏🙏🙏❤️

  • @amosmacompyuta1015
    @amosmacompyuta1015 Год назад +13

    Mjeshi niko hapa kuchukua nyimbo ya Eliza dada yangu kipenzi hongera

  • @zacharialubazu3481
    @zacharialubazu3481 Год назад +13

    Kazi nzuri,Wasukuma kuiga mambo mazuri sio dhambi.Tuige Wachaga wanavyofanya kila mwaka 25 Desemba wanarudi nyumbani kukutana kula pamoja na kuhamasishana maendeleo,Wasukuma tuamke sasa,Hatujachelewa!

  • @peterndutu8885
    @peterndutu8885 Год назад +13

    Nimesikiliza zaidi mara kumi haunichoshi.

  • @RestutaRobert-mb9dc
    @RestutaRobert-mb9dc 4 месяца назад +2

    Unadumisha mila yakisukuma kasoro mavazi sijapenda kuvaa kimasai tena

  • @wilsondotto9332
    @wilsondotto9332 Год назад +9

    Kwahuu wimbo umenisababisha mwaka mpya nikashelehekee nyumbani

  • @luciaboniphac9369
    @luciaboniphac9369 Год назад +3

    Mnakubushwa Jamani mlioenda kutafuta maisha alafu mesahau kulundi nyumbani kusalimia wazazi

  • @KulwaMasanja-yd5kn
    @KulwaMasanja-yd5kn Год назад +26

    Kama ww ni msukuma gonga like hap 💥 2:22

  • @khamisrashid9645
    @khamisrashid9645 Год назад +3

    Wapi sukuma mieeee I love shy tbr mwnz smy geit dushoge kaya

  • @helvetasswiss4638
    @helvetasswiss4638 Год назад +6

    Malibhoto 😂😂😂 upo vizuri sana dada Eliza unanikumbusha mbali sana ,,,,nipo Dodoma napanga harusi yangu nikuite tu unajua aisee

  • @gracegrace2561
    @gracegrace2561 Год назад +10

    Hongera sana mama wimbo mzuri sana

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 8 месяцев назад +4

    Ungevaa asili yako ingekaa poa zaidi

  • @lufungaoscar9368
    @lufungaoscar9368 Год назад +2

    Sawa ilombolyane, wayomba na kosombola yawiza Bhole..

  • @pr.peterthefactministry5772
    @pr.peterthefactministry5772 Год назад +4

    Hii poa Sana tamaduni ya kisukuma haijapotea kazi njema Ila tusimsahau Mungu Hilo la msingi pia

  • @FredyJuma-yn6ui
    @FredyJuma-yn6ui 11 месяцев назад +2

    Lyembo lya wiza saana okabheja nwanike ukolyemba elembo ele

  • @YulithaYoram
    @YulithaYoram 11 дней назад

    Baad ya kuusikiliza kwenye harusi nimeamua nidownload sipend nyimbo za kisukuma lkn kwenye huu nimeupend San pongez kwa mwimbaji👏👏👏

  • @allymagesa4431
    @allymagesa4431 Год назад +6

    Good creative
    Beat imetulia sana
    Wimbo mzuri unamafundisho makubwa sana hasa kwa vijana tunaopambana

  • @kulwaselemani8493
    @kulwaselemani8493 Год назад +4

    ❤❤❤ wimbo mzuri hongera sana lakn kashinje apewe mafuta ajipake 😅😅

  • @annadotto2429
    @annadotto2429 Год назад +7

    Hakika dada wimbo mzuri sana tena unamafundisho mazur . Hongera sana

  • @emmanueldeke9603
    @emmanueldeke9603 9 месяцев назад +3

    Yaan nimeurudia lakini sichoki kuuuangalia, tushokagi kaya, mpaka machozi ya furaha yananitoka😅😅❤

  • @hamismashala6817
    @hamismashala6817 Год назад +2

    Kazi nzr Sana Dada yetu unazidi kutuwakilisha bariad ndani

  • @wilsonlaurent1110
    @wilsonlaurent1110 Год назад +7

    Ujumbe muhimu sana kwa wa Tanzania wote. Hongeraa sana mama

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 Год назад +3

    Kati ya hao wababa nimemuona X wangu😃😃😃😃😃😃😃

  • @richardkayanda2317
    @richardkayanda2317 16 дней назад

    Watu wengine wamejaa kukosoatu badala ya kusifia kile amewaza na kukowasilisha, huu ujumbe first one umegusa msukuma yaani unahamasisha wasukuma, na namba two, unagusa watu wote wanaojua kabila la kisukuma , atakama ni msukuma nae akumbuke kwao jamani au kuna ubaya yeye kukumbushwa

  • @jtv4044
    @jtv4044 9 месяцев назад +3

    Nazunyagha sengi ong’wise 😊wabeja sana

  • @IsayaKuzenza
    @IsayaKuzenza Месяц назад +1

    Eliza kuna mtu ana hitaji uje uimbe kwenye sherehe tukupateje tuko magu

  • @lucysamson4720
    @lucysamson4720 Год назад +4

    Wimbo mzuri dada Elizabeth unamafundisho sana

  • @NdattuMtogwa
    @NdattuMtogwa 5 месяцев назад

    Jaman Elizabeth umenikumbusha kaya gete

  • @NgelelaJohn-ui8vc
    @NgelelaJohn-ui8vc 9 месяцев назад +1

    Watu tumeupenda sana huu wimbo mama yetu endelea kutufunza

  • @HOJAROBERT-ug7rj
    @HOJAROBERT-ug7rj Год назад +3

    Wimbo mzuri nimeupenda

  • @yogeshkumar-zp3tl
    @yogeshkumar-zp3tl 11 месяцев назад +1

    Duh kweli huu wimbo umenikumbusha mbali

  • @balagwakatambi6497
    @balagwakatambi6497 Год назад +1

    Dada yangu barikiwa Sana kazi tunaislewa yaan mpka imenigussa Sana ogomabhele maliloto, bhugali, nyamaa jangokomele ,na manda , nshigino dah❤️❤️❤️❤️😂😂😂

  • @AishaPetro-x1x
    @AishaPetro-x1x 11 месяцев назад +1

    Da wimbo mazur san mama ❤❤❤❤❤❤❤ wasukuma hyeeeeeeeeeedd❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @ElizabethFrank-r4n
    @ElizabethFrank-r4n 2 месяца назад

    Umetisha wajinaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @GeorgeMsonge
    @GeorgeMsonge Год назад +5

    Hii video mwisho wa Maneno❤️💪💪💪
    Beat lake ni Next Level-Big Up sana Studio👏👏👏
    Ujumbe wake unagusa wengi✅

  • @maganyilamandu7279
    @maganyilamandu7279 Год назад +2

    Daaaaah nimeikubal sana,,seba agwambeleje sana ilumbu wane o dutwa mchane🔥🔥

  • @BenjaminJames-t5n
    @BenjaminJames-t5n 2 месяца назад

    Hizi zote laha za wasukuma

  • @MaliganyaIgegu
    @MaliganyaIgegu 4 месяца назад

    Safi sana ubarikiwe

  • @NeemaCostantine
    @NeemaCostantine 3 месяца назад

    Bariadi moja♥️♥️♥️♥️

  • @RuthLameck
    @RuthLameck Год назад +1

    Wimbo mzur ubalikiwe mama❤❤

  • @eliahmashala5180
    @eliahmashala5180 9 месяцев назад +1

    Wimbo mkali balaa,,,hongera sana mama

  • @MwajumaChacha-sx7ew
    @MwajumaChacha-sx7ew 4 месяца назад

    Hongera sanaaaaaaaaaaaaaa

  • @magrethhazina2281
    @magrethhazina2281 Год назад +1

    Safi sana tufikie na uku Kwa kk Ako manyara

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 Год назад +1

    💯💯💯👌👌🌹🌹🌹🌹😍😍😍😍😍🥀🥀wimbo unanibamba nikiwa gulf weuweeeeee natikisa kichwa nikiwa hamamuuuuu Nalibehi kwiza nkoi🇴🇲🇴🇲🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @RachelThomas-ox3jr
    @RachelThomas-ox3jr Год назад +2

    Unanikosha sana na nyimbo zako ❤❤❤

  • @jovinpaul6937
    @jovinpaul6937 Год назад +1

    Piga kazi dada wimbo mzuri
    sana pia Ujumbe mzuri

  • @SalomeIlomo-n4y
    @SalomeIlomo-n4y Год назад

    Wimbo mzuri Sana Mimi sio msukuma ila hii nyimbo inaujumbe

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma7581 Год назад +1

    Neyooo lulu ahaaa nanigwaa luluu dushokagiii kayaaaaaa🙆🏾‍♂️

  • @hangimakina1263
    @hangimakina1263 Год назад

    Ujumbe mzuri sana tutafute ila tukumbuke nyumbani safi sana shemeji yangu

  • @MarcoBulenganija-xr7uf
    @MarcoBulenganija-xr7uf Год назад

    Mzazi Ni mzazi tukumbuke nyumbani jamn😢😢😮😮😮

  • @neypeterbenjamin9172
    @neypeterbenjamin9172 Год назад +2

    Nakupenda mnoo mama angu💋💋💋🥰🥰🥰🥰

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 8 месяцев назад

    Tunarudi madam tupo nyumban❤❤❤😂😂😂

  • @christinankila6945
    @christinankila6945 Год назад +1

    🎉🎉🎉🤗🤗 Barikiwa sana Kwa wimbo mzuri I🎉🎉🎉🎉

  • @SaidyMhalule
    @SaidyMhalule 2 месяца назад

    Safi sana

  • @mussamazoya7994
    @mussamazoya7994 8 месяцев назад

    Sengi wabheja Kutwizukija

  • @khadijajacobo627
    @khadijajacobo627 Год назад

    Ivi asili yawasukuma kumbe vazi Kama lakimasai amependeza Sana jmn

  • @User255tv
    @User255tv 7 месяцев назад

    Lyimbo lya wiza. Aliyo lulu ingobho sha mashigela, nuzwalile ngobho sha kukaya nu bhegije no bhagheshi.

  • @sagudangussa3348
    @sagudangussa3348 Год назад +1

    Hongera mama kwa huyu hongera

  • @brorichardmusingithe7th11
    @brorichardmusingithe7th11 10 месяцев назад

    Eliza tisha sana nakutafutia platform ufanye kazi kubwa Mikoa ya nyanda, za juu kusini yote..... ❤❤❤❤

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 10 месяцев назад

    Neyo mayo olekesoga gete

  • @tumainimalulu7708
    @tumainimalulu7708 9 месяцев назад

    Ling'waka lashilaga

  • @jamesjohn9160
    @jamesjohn9160 Год назад +1

    Obeja Mayu
    Kulaga Uhangame

  • @mawazojames9729
    @mawazojames9729 Год назад

    kaz nzur Sana ya kufanyia kaz

  • @ibrahimmartine9185
    @ibrahimmartine9185 Год назад +1

    Wimbo mzur san ,kaz nzur san

  • @veronicapaul2314
    @veronicapaul2314 Год назад

    Aiseeee nmemis nyumbn kwa mama yangu gafra..hapo kweny mashishanga sasa daaaaah💕💕💕

  • @AishaPetro-x1x
    @AishaPetro-x1x 10 месяцев назад

    Asante mama❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @somanda8140
    @somanda8140 Год назад +2

    Umeua sana eliza daaaa

  • @HardtoneStudioKahama
    @HardtoneStudioKahama Год назад +2

    Moto go peteroliiiii💥💥💥

  • @sagudangussa3348
    @sagudangussa3348 Год назад

    Kwa wimbo huu mm umenixhawixhi sana wimbo huuu

  • @AishaPetro-x1x
    @AishaPetro-x1x 11 месяцев назад

    ❤❤❤❤safi san

  • @PriskaJoseph-s6y
    @PriskaJoseph-s6y 7 месяцев назад

    ❤yani kama vile zahabu ya kisukuma had mala 30 nalidia siuchoki

  • @gubimalongo2174
    @gubimalongo2174 Год назад +1

    Kipaji kikubwa sana, watu kama hawa wanatakiwa kupewa support.

  • @machembaluchagula
    @machembaluchagula 6 месяцев назад

    Naomba mawasiliano yako kuna sherehe naitaji uimbe kwangu dada

  • @khadijajacobo627
    @khadijajacobo627 Год назад

    Wimbo mzuri ajabu mm pia nimekuja nyumbani kula sikuu kuu yapasaka

  • @kiminyoelias4757
    @kiminyoelias4757 Год назад +1

    Nakupenda sana eliza pambana

  • @gumadambiti4071
    @gumadambiti4071 Год назад +1

    Kazi nzuri nimeipanda sana dada

  • @LetisiaJohn-n8k
    @LetisiaJohn-n8k Год назад

    Hegeko gete olesawa gete mayo,♥️♥️

  • @Lakhishi-oc3kt
    @Lakhishi-oc3kt Год назад

    Nakotokilwe sana mayo wane ukimbaga chidha

  • @WinnieObedy
    @WinnieObedy 8 месяцев назад +1

    Mimi Hadi Leo nipo nyumban

  • @teamfocusfunny966
    @teamfocusfunny966 11 месяцев назад

    Wamasai Mko vizuri,wimbo mzuri

  • @vumiliapetrepaul462
    @vumiliapetrepaul462 Год назад

    Naipenda cn huu wimbo hongera dada

  • @daudcharles4816
    @daudcharles4816 Год назад +2

    Nashokaga Kaya ❤️❤️❤️

  • @naemasalum3954
    @naemasalum3954 Год назад +1

    G'wanauswe Mungu agwambeleje🤲🙏♥️♥️♥️♥️

  • @RobertBelarmino-uh8xf
    @RobertBelarmino-uh8xf 9 месяцев назад

    Anaimba kisukuma Arusha ndiyo kwao?!!;

  • @anethmakongoro5207
    @anethmakongoro5207 Год назад

    Nyimbo nzur sana ongera endelea ku2wakilisha vizur wasukuma lkn mavaz yakimasai tena mbona kama 2naiga tamadun ambayo syo yetu

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад

      kwenye mavazi kweli kachemsha hata kuruka ruka ivo kimasai kaiga

  • @ConsolathaJoseph
    @ConsolathaJoseph 8 месяцев назад

    Nakukubari Sana kamanda pambana2 kipenz

  • @elizabethnkatha3341
    @elizabethnkatha3341 Год назад +7

    Good work Eliza your songs blessed me keep going

    • @Lakhishi-oc3kt
      @Lakhishi-oc3kt Год назад

      Nakotokilwe sana mayo wane ikimbaga chidha

  • @geldamkama5625
    @geldamkama5625 6 месяцев назад

    Good bless you

  • @khadijajacobo627
    @khadijajacobo627 Год назад

    Alafu kapanda ngamia mwenyew kapendeza

  • @elizabethpatrick6245
    @elizabethpatrick6245 Год назад

    Hongera sana lizumeimba vizuri 🥰🥰🥰🥰

  • @chollejr_
    @chollejr_ 9 месяцев назад

    Kwani we ni maasai😂

  • @JigangaMayanzani
    @JigangaMayanzani 8 месяцев назад

    Kwanini wewe elizabhet uigize mila ya kabila ambalo sio la kwako harafu ujumbe unaelenga kabila lingine

  • @MangeJumamange-nw8sw
    @MangeJumamange-nw8sw Год назад

    Ananyimbo nzur San dad huyu

  • @reysymonkasonoku8486
    @reysymonkasonoku8486 Год назад

    Nimeupenda San hii nyimbo inahamasisha

  • @shinjesalawi5838
    @shinjesalawi5838 Год назад +1

    hogera dada yangu eliza

    • @Wiliam-wf9cj
      @Wiliam-wf9cj Год назад

      Hongera mama kazi nzuri umeifanya nimeipenda sana

  • @TravelMashaka
    @TravelMashaka Год назад

    Nyimbo Kali sana daah....😅😅