Aliyerudia huu wimbo kuuangalia gonga like nyingi wimbo mzuri safi sana unahamasisha kupambana ila tukumbuke nyumbani walau kusalimia mara moja kwa mwaka
Kazi nzuri,Wasukuma kuiga mambo mazuri sio dhambi.Tuige Wachaga wanavyofanya kila mwaka 25 Desemba wanarudi nyumbani kukutana kula pamoja na kuhamasishana maendeleo,Wasukuma tuamke sasa,Hatujachelewa!
Watu wengine wamejaa kukosoatu badala ya kusifia kile amewaza na kukowasilisha, huu ujumbe first one umegusa msukuma yaani unahamasisha wasukuma, na namba two, unagusa watu wote wanaojua kabila la kisukuma , atakama ni msukuma nae akumbuke kwao jamani au kuna ubaya yeye kukumbushwa
Aliyerudia huu wimbo kuuangalia gonga like nyingi wimbo mzuri safi sana unahamasisha kupambana ila tukumbuke nyumbani walau kusalimia mara moja kwa mwaka
Nimeupenda sana🥰🥰🥰
sana
Huu wimbo nimekuelewa sana
Nimesikiliza leo trh 18 mwezi 4 niminuka kwenda kukata tikek kueleke shy
Nakukubali sana mwanamama wetu kwa nyimbo nzuri sana
❤ umenigusa eliza...KWELI turudi nyumbani
Bonge la Ngoma asee,nmerudia kama mara 30 na naendelea nayo🙏🙏🙏❤️
Mjeshi niko hapa kuchukua nyimbo ya Eliza dada yangu kipenzi hongera
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri,Wasukuma kuiga mambo mazuri sio dhambi.Tuige Wachaga wanavyofanya kila mwaka 25 Desemba wanarudi nyumbani kukutana kula pamoja na kuhamasishana maendeleo,Wasukuma tuamke sasa,Hatujachelewa!
Hakika
@@SabinaPaul ulimhola?
Nimesikiliza zaidi mara kumi haunichoshi.
Unadumisha mila yakisukuma kasoro mavazi sijapenda kuvaa kimasai tena
Kwahuu wimbo umenisababisha mwaka mpya nikashelehekee nyumbani
Kazi nzuli
Anajua sanaaa
Mnakubushwa Jamani mlioenda kutafuta maisha alafu mesahau kulundi nyumbani kusalimia wazazi
Kama ww ni msukuma gonga like hap 💥 2:22
Kasem😮a
Wapi sukuma mieeee I love shy tbr mwnz smy geit dushoge kaya
tupooooo
Malibhoto 😂😂😂 upo vizuri sana dada Eliza unanikumbusha mbali sana ,,,,nipo Dodoma napanga harusi yangu nikuite tu unajua aisee
Hongera sana mama wimbo mzuri sana
Ungevaa asili yako ingekaa poa zaidi
Sawa ilombolyane, wayomba na kosombola yawiza Bhole..
Hii poa Sana tamaduni ya kisukuma haijapotea kazi njema Ila tusimsahau Mungu Hilo la msingi pia
Lyembo lya wiza saana okabheja nwanike ukolyemba elembo ele
Baad ya kuusikiliza kwenye harusi nimeamua nidownload sipend nyimbo za kisukuma lkn kwenye huu nimeupend San pongez kwa mwimbaji👏👏👏
Good creative
Beat imetulia sana
Wimbo mzuri unamafundisho makubwa sana hasa kwa vijana tunaopambana
❤❤❤ wimbo mzuri hongera sana lakn kashinje apewe mafuta ajipake 😅😅
Hakika dada wimbo mzuri sana tena unamafundisho mazur . Hongera sana
Yaan nimeurudia lakini sichoki kuuuangalia, tushokagi kaya, mpaka machozi ya furaha yananitoka😅😅❤
Kazi nzr Sana Dada yetu unazidi kutuwakilisha bariad ndani
Ujumbe muhimu sana kwa wa Tanzania wote. Hongeraa sana mama
Kati ya hao wababa nimemuona X wangu😃😃😃😃😃😃😃
😆😆😆
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
@@letisiamakonda3873 🤣🤣🤣
@@daudcharles4816 🙈🙈🙊🙉😃
Watu wengine wamejaa kukosoatu badala ya kusifia kile amewaza na kukowasilisha, huu ujumbe first one umegusa msukuma yaani unahamasisha wasukuma, na namba two, unagusa watu wote wanaojua kabila la kisukuma , atakama ni msukuma nae akumbuke kwao jamani au kuna ubaya yeye kukumbushwa
Nazunyagha sengi ong’wise 😊wabeja sana
Eliza kuna mtu ana hitaji uje uimbe kwenye sherehe tukupateje tuko magu
Wimbo mzuri dada Elizabeth unamafundisho sana
Jaman Elizabeth umenikumbusha kaya gete
Watu tumeupenda sana huu wimbo mama yetu endelea kutufunza
Wimbo mzuri nimeupenda
Duh kweli huu wimbo umenikumbusha mbali
Dada yangu barikiwa Sana kazi tunaislewa yaan mpka imenigussa Sana ogomabhele maliloto, bhugali, nyamaa jangokomele ,na manda , nshigino dah❤️❤️❤️❤️😂😂😂
Da wimbo mazur san mama ❤❤❤❤❤❤❤ wasukuma hyeeeeeeeeeedd❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Umetisha wajinaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii video mwisho wa Maneno❤️💪💪💪
Beat lake ni Next Level-Big Up sana Studio👏👏👏
Ujumbe wake unagusa wengi✅
Daaaaah nimeikubal sana,,seba agwambeleje sana ilumbu wane o dutwa mchane🔥🔥
Hizi zote laha za wasukuma
Safi sana ubarikiwe
Bariadi moja♥️♥️♥️♥️
Wimbo mzur ubalikiwe mama❤❤
Wimbo mkali balaa,,,hongera sana mama
Hongera sanaaaaaaaaaaaaaa
Safi sana tufikie na uku Kwa kk Ako manyara
💯💯💯👌👌🌹🌹🌹🌹😍😍😍😍😍🥀🥀wimbo unanibamba nikiwa gulf weuweeeeee natikisa kichwa nikiwa hamamuuuuu Nalibehi kwiza nkoi🇴🇲🇴🇲🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umeuwa dada ake
❤❤❤
@@marypeter161 😍👌👌👌👌😍😍😍😍🔥🔥kaya nikukayaaa
@@marypeter161 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💋
Waooooooooh wa kukaya❤️❤️❤️❤️
Unanikosha sana na nyimbo zako ❤❤❤
Piga kazi dada wimbo mzuri
sana pia Ujumbe mzuri
Wimbo mzuri Sana Mimi sio msukuma ila hii nyimbo inaujumbe
Neyooo lulu ahaaa nanigwaa luluu dushokagiii kayaaaaaa🙆🏾♂️
tojage nkoi😁😁😁
Ujumbe mzuri sana tutafute ila tukumbuke nyumbani safi sana shemeji yangu
Mnyama
Mzazi Ni mzazi tukumbuke nyumbani jamn😢😢😮😮😮
Nakupenda mnoo mama angu💋💋💋🥰🥰🥰🥰
Tunarudi madam tupo nyumban❤❤❤😂😂😂
🎉🎉🎉🤗🤗 Barikiwa sana Kwa wimbo mzuri I🎉🎉🎉🎉
Safi sana
Sengi wabheja Kutwizukija
Ivi asili yawasukuma kumbe vazi Kama lakimasai amependeza Sana jmn
Lyimbo lya wiza. Aliyo lulu ingobho sha mashigela, nuzwalile ngobho sha kukaya nu bhegije no bhagheshi.
Hongera mama kwa huyu hongera
Eliza tisha sana nakutafutia platform ufanye kazi kubwa Mikoa ya nyanda, za juu kusini yote..... ❤❤❤❤
Neyo mayo olekesoga gete
Ling'waka lashilaga
Obeja Mayu
Kulaga Uhangame
kaz nzur Sana ya kufanyia kaz
Wimbo mzur san ,kaz nzur san
Hakika wimbo wako unagusa sana
Aiseeee nmemis nyumbn kwa mama yangu gafra..hapo kweny mashishanga sasa daaaaah💕💕💕
Asante mama❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Umeua sana eliza daaaa
Moto go peteroliiiii💥💥💥
Kwa wimbo huu mm umenixhawixhi sana wimbo huuu
❤❤❤❤safi san
❤yani kama vile zahabu ya kisukuma had mala 30 nalidia siuchoki
Kipaji kikubwa sana, watu kama hawa wanatakiwa kupewa support.
Naomba mawasiliano yako kuna sherehe naitaji uimbe kwangu dada
Wimbo mzuri ajabu mm pia nimekuja nyumbani kula sikuu kuu yapasaka
Nakupenda sana eliza pambana
Kazi nzuri nimeipanda sana dada
Hegeko gete olesawa gete mayo,♥️♥️
Nakotokilwe sana mayo wane ukimbaga chidha
Mimi Hadi Leo nipo nyumban
Wamasai Mko vizuri,wimbo mzuri
Naipenda cn huu wimbo hongera dada
Nashokaga Kaya ❤️❤️❤️
G'wanauswe Mungu agwambeleje🤲🙏♥️♥️♥️♥️
Anaimba kisukuma Arusha ndiyo kwao?!!;
Nyimbo nzur sana ongera endelea ku2wakilisha vizur wasukuma lkn mavaz yakimasai tena mbona kama 2naiga tamadun ambayo syo yetu
kwenye mavazi kweli kachemsha hata kuruka ruka ivo kimasai kaiga
Nakukubari Sana kamanda pambana2 kipenz
Good work Eliza your songs blessed me keep going
Nakotokilwe sana mayo wane ikimbaga chidha
Good bless you
Alafu kapanda ngamia mwenyew kapendeza
Hongera sana lizumeimba vizuri 🥰🥰🥰🥰
Kwani we ni maasai😂
Kwanini wewe elizabhet uigize mila ya kabila ambalo sio la kwako harafu ujumbe unaelenga kabila lingine
Ananyimbo nzur San dad huyu
Nimeupenda San hii nyimbo inahamasisha
hogera dada yangu eliza
Hongera mama kazi nzuri umeifanya nimeipenda sana
Nyimbo Kali sana daah....😅😅