TUNDA MAN: MATONYA ALINITELEKEZA NCHI ZA WATU KISA UMAARUFU | MABAUNSA WAKANITIMUA | SNR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 фев 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #SNR #tundaman

Комментарии • 22

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 4 месяца назад +2

    Tunda man moja ya legend sana hapa bongo big up bro

  • @PaulJuma-bj7jb
    @PaulJuma-bj7jb 3 месяца назад +1

    Sana tunda

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 4 месяца назад +7

    Kwani Mombasa kuna nini mbona mnatuonea sana ?? Tz mashoga kibao tena ni mastar kabisa na mnawajua ila kila mkitaka kutaja ushoga mnaunasibisha na Mombasa.. makosa.

    • @ruu6592
      @ruu6592 4 месяца назад +1

      Nawashangaa akati dar ndio kwenyewe 😂

    • @yahyamohamed1831
      @yahyamohamed1831 4 месяца назад +1

      Kweli kabisa. Hao wanasema hivyo ili kuficha yao

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION 4 месяца назад +1

      Wataje hao wasanii

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 4 месяца назад

      Kwa kweli tena wawazi wazi kwenyw masherehe wanaonekana na hadi mitandaoni

    • @yahyamohamed1831
      @yahyamohamed1831 4 месяца назад +1

      @@BONGOINMOTION unawajua wewe hao wanaoimba nyinmbo za mpalange tu🤮

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 4 месяца назад +3

    Broo mkipost andikeni pat ngapi bas ,londom inazingua ,unaanza kipande cha pili kabla ya mwanzo

    • @dar24media
      @dar24media  3 месяца назад +2

      sawa sawa hapana shaka kaka

    • @hezronjoseph405
      @hezronjoseph405 3 месяца назад +2

      @@dar24media respect nawakubar

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 4 месяца назад +2

    Tunda acha kutupa lawama kaka. Sio kila situation ni ya kuongea kwenye mídia kaka

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 4 месяца назад +1

    Hili nalo, hoviooo! Kwanza huna nyota

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 4 месяца назад +3

      Lakin si unamjua au humjui?

    • @rynesalewa7043
      @rynesalewa7043 4 месяца назад +1

      ​@@jameskilasa759umempa jibu zuri,yan kuna mijitu ina chuki za waz waz kabisa,huu ni wivu una msumbua hovyo 😏😏😏

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 4 месяца назад

      Wewe una nyota mfirwaji wewe

    • @yudadaniel4867
      @yudadaniel4867 4 месяца назад

      ndio maana kuandika ujui

    • @rajenderrobert8605
      @rajenderrobert8605 4 месяца назад

      Tunda Man ameongelea Mombasa. Ni kweli Watanzania tulielezwa story na hadithi nyingi za kuuogopesha sana sina uhakika kama ilikuwa kweli