TUNDA MAN: MATONYA ALINITELEKEZA NCHI ZA WATU KISA UMAARUFU | MABAUNSA WAKANITIMUA | SNR
HTML-код
- Опубликовано: 26 фев 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#SNR #tundaman
Tunda man moja ya legend sana hapa bongo big up bro
Sana tunda
Kwani Mombasa kuna nini mbona mnatuonea sana ?? Tz mashoga kibao tena ni mastar kabisa na mnawajua ila kila mkitaka kutaja ushoga mnaunasibisha na Mombasa.. makosa.
Nawashangaa akati dar ndio kwenyewe 😂
Kweli kabisa. Hao wanasema hivyo ili kuficha yao
Wataje hao wasanii
Kwa kweli tena wawazi wazi kwenyw masherehe wanaonekana na hadi mitandaoni
@@BONGOINMOTION unawajua wewe hao wanaoimba nyinmbo za mpalange tu🤮
Broo mkipost andikeni pat ngapi bas ,londom inazingua ,unaanza kipande cha pili kabla ya mwanzo
sawa sawa hapana shaka kaka
@@dar24media respect nawakubar
Tunda acha kutupa lawama kaka. Sio kila situation ni ya kuongea kwenye mídia kaka
Hili nalo, hoviooo! Kwanza huna nyota
Lakin si unamjua au humjui?
@@jameskilasa759umempa jibu zuri,yan kuna mijitu ina chuki za waz waz kabisa,huu ni wivu una msumbua hovyo 😏😏😏
Wewe una nyota mfirwaji wewe
ndio maana kuandika ujui
Tunda Man ameongelea Mombasa. Ni kweli Watanzania tulielezwa story na hadithi nyingi za kuuogopesha sana sina uhakika kama ilikuwa kweli