MATONYA ANAFUNGUKA SAKATA LA KUKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA CHINA |'MIMI SIO FALA' | 'WATU WALIJAA'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 фев 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #MATONYA #HAROUNTAMBWE #SNR

Комментарии • 39

  • @frankkulwa3981
    @frankkulwa3981 4 месяца назад +2

    Safi sana Matonya. Umetulia, very wise responses na unamjua Mungu.

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 4 месяца назад +1

    Tonya umefanya interview nzuri sana. Unaongea vizuri unasikika vizuri. Congract🎉🎉

  • @salumchuma7762
    @salumchuma7762 4 месяца назад +2

    Tonya Time the LEGEND...Daah baada ya interview hii imenifanyia ni ka search ngoma zote za tonya kuanzia "Namtafuta mremboooo"..

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 4 месяца назад +2

    One of my favourite artist

  • @kuchdady
    @kuchdady 4 месяца назад +3

    Brother una utulivu sana kwenye kuunda swali na rafudhi including matamshi...hata anaeojiwa hua huru kujibu...I wish one day to have face to face

  • @katibampya8442
    @katibampya8442 4 месяца назад +3

    Nilikuwa naishi nae bahari beach kwa mwenye nyumba mmoja. Tonyaaaaa

  • @user-bi9pl4eu2o
    @user-bi9pl4eu2o 4 месяца назад +1

    Big up brother matonya

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 Месяц назад

    Anita wangu vaireti❤❤❤

  • @powerofpraisingandworshipp7875
    @powerofpraisingandworshipp7875 4 месяца назад +1

    He is a legend ila kwa ushaur angewek hiyo nyimbo siamini aloimba hapo live kwan nzur mnoo nimeipend aisee

  • @khamiskhamis7070
    @khamiskhamis7070 4 месяца назад

    MATONYA... LEGEND

  • @badifundi6089
    @badifundi6089 4 месяца назад +8

    Kidogo niseme anahojiwa na Millard ayo😂

  • @katibampya8442
    @katibampya8442 4 месяца назад +1

    Tonya ni tester wa dorimeeee, ila sahv ameacha, na alikuwa anafanyia hiyo shughuli hotel flan bahari beach

  • @mocomoja4229
    @mocomoja4229 4 месяца назад

    Bonge la kipindi big up kwa tambwe T 2

  • @habari254
    @habari254 4 месяца назад

    Interview ya nguvu sana .Hongera

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 4 месяца назад +1

    Tamaa mbele mauti nyuma !!!! Binadamu atosheke na jasho lake, dunia mapito tu !

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 4 месяца назад +2

    Jamaa anajuwa kujieleza vizuri Sana.

  • @Neema-wh1eo
    @Neema-wh1eo 4 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @nabbeely5295
    @nabbeely5295 4 месяца назад

    Hahaha tonya time!! Umetudaganya huo mchongo wa whatsap .

  • @Pemba680
    @Pemba680 4 месяца назад

    Amezeeka

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n 3 месяца назад

    Anaejua umri wa matonya plz mii nimesearch nimeshindwa kupata ana miaka mingap huyu jamaa asa hvi?

  • @mlindwajafari5858
    @mlindwajafari5858 3 месяца назад

    Anasema pasport yake haina muhuri wa china mara kasema nilipita china

  • @user-cz2co3bc3g
    @user-cz2co3bc3g 4 месяца назад

    I'm going to tell you about mAnya

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic 4 месяца назад

    Tonya 2

  • @cbhofficial3432
    @cbhofficial3432 4 месяца назад

    Mzee wa spair tair

  • @mohamedihatibu3524
    @mohamedihatibu3524 4 месяца назад

    Tonya mbili

  • @user-yc3gs9hm2y
    @user-yc3gs9hm2y 4 месяца назад

    Tonya

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 4 месяца назад +1

    Lakini ma boss zako aswa chief kiumbe ni drug dealer mkubwa ata serekali ina mtambua

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 4 месяца назад

      Mbona yuko huru kama serikali inamtambua, acha upuuzi na skendo zisizo na uthibitisho.

    • @prezzyvassach3218
      @prezzyvassach3218 4 месяца назад

      Hakuna Kitu Kama Hicho!!

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 4 месяца назад +1

    Nimepata kitu cha kujifunza Tonya umeongea point Sana kwel baba umri ushaenda unajielewa Sana bro

  • @DM_15
    @DM_15 4 месяца назад

    Tonya katudanganya hapo kwenye wasap wasap nijuzituu hapa wakatiule ilikua wasap bongohakuna katupiga huyu

    • @badifundi6089
      @badifundi6089 4 месяца назад +2

      WhatsApp Ilikua Launched 2013 October

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 4 месяца назад

      Mda huo ata fb aikuwepo

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 4 месяца назад

      Shaloboy Duuh

    • @DM_15
      @DM_15 4 месяца назад

      @@badifundi6089 nihatari kaka ogopa story za wasanii waongo waongosana

    • @user-wd6ne7ov1o
      @user-wd6ne7ov1o 4 месяца назад

      ​@@shaloboy3861Facebook ilianzishwa February 2004. WhatsApp ilianza 2009