NILIMSOMESHA MKE WANGU AKANIACHA NA KWENDA KUOLEWA NA MZUNGU, WAZIRI NISAIDIE
HTML-код
- Опубликовано: 25 фев 2024
- NILIMSOMESHA MKE WANGU AKANIACHA NA KWENDA KUOLEWA NA MZUNGU, WAZIRI NISAIDIE
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
As a man I can feel the pain and the heat inside his chest. Kwa kumwsikiliza tu nayasikia maumivu yake kupitia sauti yake, Mungu atamlipa alichokifanya bro. Wanaume hatuna haki duniani
Huyo baba ameingia sana achofanyiwa na mzazi mwenzie badae atakuja kujuta wanawake wanalia wanakosa msaada kwa wenziwao ww dada mungu wanakuona sana mlichomfanyia huyo baba kakupa elimu leo unamuona nakudai baa yngu pole kwa mitiani ww kuwa na imani na mungu kwa hayo unayopitia mungu yupo nawe ipo siku yatakwisha tu imani na subra kila kitu
Sisi wanawake ni mtiani sana mungu taupe imani atukumbuki ulikotoka wapi au mtu wamekutowa wapi kuamisha bali sisi tunaangalia tunakokwena mungu taupe mawazo na ufahamu wapi tuliokuwa waalha
Dah..😢 aisee aisee aisee...sikia kwa wengine na furahia kufanya lakini isikutokee.....brother pole sana, Mungu alikujua kabla hujazaliwa and he knows what path you should go through but all in all He IS WiTH You (God)..still trust him. Nimekuombea have faith.
Anaitwa nan huyu jaman nimpate maana watu tuna mtoto na baba hatak hata kumuona huyu ni baba wa wap jaman mashaAllah❤
Jamani Duniani Malaika wapo sio kila mtu mkatili
Hii comment 😢 ..Mashallah ni wachach sana
😂😂😂😂😂😂
😢😢😢Inshaalla alivyo kuzalilisha ipo siku atazalilika yeye
Subhanallah pole sana ALLAH atamlipa
Yaaan sisi wanawake tunamoto wetu wa VIFUU WALLAH 😢😢😢 ee m/mungu naomba subra na huyu mume wangu
ALLAH AKURAHISISHIENI
Inshaallah ❤❤❤❤❤❤kerry ❤❤❤amin YARABBY
Nimelia Kwa uchungu sana dah! Ifike mahala Ustawi wa Jamii waangalie haki za Wanaume pia
Zipo
@@margarethmwampondele7858 lakini hazifanyiwi haki kama za Wanaume
@@margarethmwampondele7858Sawa je zinafanyiwa kazi?haki zinatendeka?maana wameegemea kwa wanawake tu
Mi naloga wote wafe niki uwa kwa kujeluwi utashtakiwa nauwa kwa kuloga
Warah hii nimependa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Daah huyu jamaa mwanaume sana pole sana bro
Yaani ni wakiume kweli kweliii huyu kaka
Mambo ya Beijing hayo. Empower, empower mwisho wa siku pwaaa. Mungu atusaidie sana.. roho za jezzebel zimemwagwa kila kona.
😂😂😂😂,
Kuna aja ya kufungua foundation ya kuwawezesha wanaume kuwatetea nakuwapa elimu ya uwazi coz wanaume wengi wanapitia wakati mgumu na wanakosa msada..
Dah,mungu atakujaa mwengine mwenye mapenzi ya kweli.sisi hatujawapata wanaume wenye mapenzi ya dhati.duh mtihani
Huyu baba endapo kama anachosema ni kweli aisee Huyu mwanamke amemfanyia jambo baya sana. Pole sana
Mwanamke mmoja anaweza akaharibu heshima za wanawake wote,huyu dd alimkubali.huyu kk kima silahi tu
Duh wanawake tuna moto wetu haki 😢😢😢 dada hii bahati uliyo ipoteza kwa tamaa zako Mungu yupo utakuja kujuta 😢 pole sana kaka Mungu atakupa aliye sahihi insha'Allah 🙏🏻
MKIAMUA
MNA MOTO
KWEL KWEL
KUMSHINDA IBILISI
hahahahahaha 🙌
@@allahisone6386😢
Wanawake tamaa zinawaponza, mitandao inawadanganya
Sanaa 😢
Pole sana kaka lakini kuna wanawake wengi wamefanyiwa vitu vibaya saana na wanaume. Hawajatangaza wewe hapo shukuru Mungu hakukudhuru maana dunia hii umejaa ubaya Kama unamwamini Mungu omba atakupatia wa kufanana nae ❤
Hatak mwanamke anataka mtoto
Wazr gwaijima Lako hilo kamata mzngu weka ndan..then mtume mama amfuate mtoto harak sana..akaishi na babak
Huyo dada alipata mume sahihi , alichokifanya malipo duniani hapa hapa, na atakukumbuka sana, bahati hairudi ,mungu akusaidie unaupendo wa agape😢
Mungu/MUNGU sio mungu
DUNIA
NDIVYOO ILIVYOOO
huyu demu amempata mzungu online. demu kamcheat mlami. demu ataenda achika pia .
Pole sana
Kaka Pole sana , kuwa na subira na hujamtenda mkeo ubaya, lakini Mungu atakulipia Hayo mkeo amefanya atajutaa
Kaa na Mungu atakusaidia . Mbona tunanatajilisha kisha munaduharibiya maisha hatuwatiye mtandaoni
Pole Sana Kaka mungu atakulipa mwenye upendo wa kweli , huyo ungeweza kufanikiwa akakuwekea sumu , shukuru mungu ameondoka maishan mwako , alikuja kukupa somo
Pole sana ndugu yangu Mungu atakula mke mwema atakayekupenda kwa dhati
Daah! Hii imenikumbusha mnigeria mmoja aliekuwa anaishi uingereza, akarudi africa akamchukua mke na mtoto waliokuwa wamebaki africa akawapeleka London pia kuishi nao, ila kilichotokea mwanamke akaaanza kubadilika baada ya kupata mwanaume mwngine kule, na akamsingizia mumewe kesi ya kumteka mtoto wake, mumewe akafungwa miaka 3 jela na mwanamke akasafisha pesa zote za jamaa bank na baadae jamaaa akawa deported back to africa baada ya kutoka jela, Jamaa akiwa zake nigeria anaishi kwa rafki yake baada kusafishwa pesa, Mwnaamke nae akatapeliwa ela zote huko uingereza na mwanaume wake mpya na akamtoroka kukimbilia spain, mwanamke akaamua kurudi africa kumuomba mumewe msamaha, yan mumewe alikuwa na hasira nae mpaka huruma. Duuh wanawake hawa.
Alivuna alichopanda , Mungu alilipa mulemule
Ni mtihani kweli kweli!
Dah
Hao wapo wengi africa nzima
Kwa jambo kama hili msaada pekee ni kutoka kwa Mungu ambaye hawezi kumwacha wala kumsahau mtu, akutetee na kukurejeshea amani na furaha.
POLE SANA BROTHER ,KEEP ON TALKING TO GOD ATAKUPA MWANAMKE SAHIHI hawa kima Yezebel na Delila sio kabisa
Ni dunia.
Nilimsomesha mume wangu nikampa urizi wote nikamlipia kufika bulaya ila alinihalibu niko kilema na kunipiga kila mala na kuniacha bila hata chochote. Sacrifice unafanya ila juwa kwamba shatani inavuluga. Nilizania ni mime wa maisha sikumulomba chochote heshima tuu nikakosa. Basi amenitendea mabaya na kuniacha . Munapenda mitandandao ila historia ni nyingi sema sisi wa mama hatusemi .
Pole sana dada pande zote Kuna makosa ukikuta mwanaume ni mtulivu ujue mwanamke atakuwa mtu hivyo....na ukikuta mwanamke ni mpole mwanaume anakuwa mtu wa kumuumiza ...ko maisha bwana ni vita ndani ya dunia
Pole sana kaka
Dah pole sana ndugu yangu mungu hamtupi mjawake
kuoa mwanamke wa kibongo ni sawa na kujivika timed bomb! Ndoa nyingi za kibongo zipo hoi ni vile tu watu hawasemi, wamefanya siri na wameamua kufa kiume. Wanawake wanatamaa sana
Sio wote
90%
😂😂😂😂
Pole sana bushoke. Ulikua umepigwa dawa wewe na hayo mzungu na yeye kapigwa dawa. Wanawake wa kisukuma siyo kabisa.
Cousin yangu kapiqwa uku usa 🇺🇸 yeye ndio mama na mke ndie baba 😂😂😂 anaosha viombo pika chakula 😂😂😂😂 na ako na kansa
Wanawake wa kisukuma wanann Kwan mbona tamaa zinawapeleka pabaya siku hizi
Eee Mungu ungenipa mume mstarabu km huyu ningekushukuru mno.Hilo dada halina bahati.Ningemtiii sana huyu mume.
Pole sana, napitia hayo hayo ni magumu. Kiukweli sijawahi kuchukia kusikia mwanamme kamfanyia ukatili mwanamke.
Mungu atamlipa kwa fadhila zake zote alizomfanyia huyo mwanamke ,,nae ata grow zaid na zaid!
Am here again crying with a stranger 😢😢😢😢
Wee mpare dont cry things gonna be alright
Yooooo 😂😂😂😂
Pole sana njoo uniowe mm nitakuendo maana sote wahanga pole sana
labda urudi shule...kuendo ndo nini😂
Njoo huku mie nashida na ww mama
I feel your pain brother. Mimi ni muhanga wa hiyo pia, mwanamke tulyekuwa na mipango ya kufunga ndoa tulshapelekana na kutambulishana pande zote familia zikatutambua I paid everything for his university studying but still baada ya yenye kumaliza tu masomo amenkimbia. Mimi namshtakia Mwenyezi Mungu 🧎😭
Pole 😢InshaAllah Mwenyez Mungu atakulipia pia likuepukalo linakheri naww
Poleee mnoo, tunashukuru kwa story upande wa kwanza tunasubir upande wa pili
Wanaume tunapitia magumu, mengine hatuongea ili kulinda hadhi.. ila wanawake wakipata udhaifu wako watashikia bango.. sheria nyingi zinapendelea mwanamke..ujinga mtupu
Pole sana😮
Pole sana brother
dah!😪 kiukweli umenitoa machozi nimekumbuka mapito niliyopita kiukweli inaumiza lakini inamwisho😭
It is understandable also taking into account your own age, and the time it may take to heal your hear and love again and make another child, but here is experience; concentrate on healing your heart, count it a loss and move on, you entered a wrong family, you are lucky to be alive, be grateful for that.
Pole sana bro
Tunapitia mazito sana wanaume nivile tu tumeumbwa na mwiyoo miguu tu Mungu atamfanyia wepesi 👏🏿👏🏿
Ujuwe ni nin broo hata wanawake pia tuliyapitia ila sai tupo uarabun tunatafuta pesa ili yasije yakatukuta yalio pita
😂😂😂😂😂nyie mnapitia matatizo 😅😅😅😅labda sio wanaume hawa ninaowafahamu mimi
Utafutaji wa mwanaume na mwanamke haufanani hata kidogo @@omanoman2044
Mimi mke wangu nilimtimua baada ya kuanza kunionyesha ujeuri,bahati nzuri ilikua hatuna mtoto,alibeba vitu vyangu vya nyumba zote,hawa viumbe bana
Subhanallah wanawake walionekana wengi motoni ni wazito me ni mwanamke lakini nawaogopa sana me uka peke yangu kama jini 😂😂😂
😂😂😂😂
@@reynaaalrawahi4137 sio mchezo,hawa viumbe hapana
Duhh polee!! Sana
Pole sana kaka yangu
Wanawake pia wanapitia maisha magumu kwa wanaume both side are the same because we are all humans we have the same habits to the both sides.
Kweli kabisaaa
Today its not about u, today its about the guy...and from what i see he is a man. Acha kujivictimise hao ndo wale wale!!!?
@@dayana5513story Sio kweli kwa sababu wanaume 98% wameowa wanawake wanaowapenda LAKINI 70% ya wanawake hawakuolewa na wanaume wanaowapenda (chaguo lao).
Wanawake wengi sana, mume akitetereka kifedha au hata akishuka cheo kazini, mwanamke anakimbia na anatafuta mwanaume mwingine... Hii ni dhulma Kubwa sana... HAKIKA Kuna Mahakama ya Allah SW inakuja
@@hajihassan5433 Kiufupi sema tunafuga malaya tu, hata mke wangu akiona hii comment basi, atajijua mwenyewe.
Pole sana! Tuombeane!
Huyo alikuwa cyo mke sahihi Mungu alikuonyesha mapema,wako yupo Mungu anakuandalia🎉🎉
Usilie 😢😢 kaka angu mungu atakupa mke mwema uyo atakukumbuka muda sio mlefu , charmusingi muombe mungu mtoto atarudi kwako uyo achananae kabisa
Nimeria kwa uchungu mkubwa sana😢😢😢 ila malipo niduniani
mbona kaka mwenyew mzur tuu jmn wala hana tofaut na na wazungu alaf anao upendo wakweli,,uyo dada atamkumbuka sana uyu baba siku moja yaja
pole sana kaka mungu atakulipa inshaallh malipo ni duniani kaka 😢 naona huruma duu wana wake jamani
Pole Sana Kaka, wanawake siowote wasaliti ,ningekupata Kaka kama ww ningefurahi Sana amekosa bahati
Duuu pole sana
😢pole
Jamani wanawake tujitambue,mungu atatulaani
Dah wanawake makatiri sana....inauma sana
Polesana kaka mungu atakulipia
Full story iko wapi😢
Pole Sanaa
Polekaka aaalllah atakupamke bora
Wanawake kama hawa dawa yao ni ndogo sana, Unampata shemeji mnyenyekevu kama huyu, unatuletea ushenzi, Pole sana kaka! Japo mie nimechagua kukuita shemeji yangu!
Hivi hauna namba za ndugu zake? Au mtu yeyote anaye husiana na huyu mwanamke mshenzi, Ustawi wa jamii kesi hii hawawezi kuitatua, inatatuliwa ukweni kwako,
Sahihi ukweni wanatatua wanampa mtoto vizuri tuuu aiseee
Pole sana kaka mkubwa
Wanawake tumieni akili ili kuepusha majanga KWENU na kwawaume zenu pia Kwa sababu huyu mwamba kama angekuwa na jaziba angechukuwa maamuzi magumu na mabaya sana ,na chanzo ni MWANAMKE ,big up bro Kwa subra na uvumilivu wako Kwa ujumla
Sad story mwezimungu atakulipia brother 😢😢
Mwenyezi Mungu/MUNGU sio mungu
Pole kaka, ila hapo polisi ndio tatizo waliona tabia za mwanamke na mzungu dhidi yako walipaswa kuandika ripoti maalum kwenda ustawi wa jamii kuomba upatiwe HAKI za kuishi na mtoto then ustawi wangekupa mtoto maana Sheria ya mtoto Ina mpa mamlaka afisa ustawi kuamua nani akae na mtoto kw akuzingatia maslai Bora ya mtoto.
POLISI walifanya vizuri kunyamazia kwasababu hiyo KESI IMEENDA KWENYE MAHAKAMA YA MUNGU NDIYEATAKAYEMHUKUMU MKOSAJI
It's so sad story I feel his pain .
Happened to me like this😢😢😢
Ooh pole sana kumbe ni wanyantuzu ndo tabia zao hizo ndugu yangu ila pole sana kaka
Mambo yako tofauti sana duh,, umenikumbusha yalinikuta haya unakuwa sacrifice kwa mtu ambae ana malengo mengine ni huzuni sanaaa ,,,, hakika mungu akuteteeee nakuombea najua maumivu yako nilipitia haya mungu akuvushe wacha dhambi zake zitaongea nae badaeee
Daaaa m/mungu azid kunipa subra na Mume wangu tuvumiliane hapa na pale Pindi akikosa
Hakika ila nikukosa ufaham tuy wakujuw anae toa ridhiki ni mungu
@@omanoman2044 wallah nimechukua viatu vyake huyu baba avinitoshi hata kidogo yaaaan wanawake Siku izi tumekuwa mabiris kupita maelezo
@@ukhutfatumah1154 siyo kidog japo siyo wote %90ndo wamegeuka kuw wakatili hata kwa watt wao inshaallah mungu atampa wakufanana nae hata sis tulipitia haya sai tupo uarabun tunakusanya maokoto
Mwenyezi Mungu/MUNGU sio mungu
Mmmh aisee polee sanaa but munguu yup kaka pole sanaa
Aje kwangu sijasoma ila nitaish nae vzr mno hatoajutiaaa
Da kwenye miti hakuna wajenzi mimi sasa nina 45yrs nakata tamaa cna Mume da!! Pole kaka ila sio wanawake wote
Pole xn brother Yan tukuta xn haya mm ni mwakaa wa tatu nilisameeee mpka mtoto niliumiya xn
Mimi naomba huyu bwana aseme ni kijiji gani cha Bariadi kamtoa huyo mwanamke?
Ili ampeke kwao kwa mwanamke hii kesi ni ndogo sana, akawaeleze wazazi wa mwanamke, wala asihangaike, na inawezekana nami nihusishwe wakt amemfikisha kwao!
Aisee! Pole sana bwana shemeji
Huyo dada ajue karma never miss address
Asubiri mzungu mwanaume na mweusi na kama rangi yako ndivyo wote walivyo asubiri matokeo yake tu
Pole.hao wangekutana nawatu kutoka mara au Arusha wange chinjwa
Pole.kaka
Pole kaka
Duuu inauma hii story mbona sana,kaah maskini pole sana
Daah pole kaka mthani huu
Polesana
Jamaa nimemuona kwenye singo mama ya jb ni boss wa shabani😊
Jamani pole kakangu😢😢
😢
Kosa kubwa alikutana Kimburu....!!KIMBURU always will be Kimburu.....
Behind almost every betrayal lies a women.
Hongera Delilah kwa kumshughulikia Samson!
Binadamu hawana wema Salum Abdallah aliimba.
Siku nyingine tupate upande wa pili lkn hapana shaka Delila ni Delila tu
Pole sana wanawake wa sasa wamejawa na tamaa na mali
Kuna Wanaume wengi hawawezi kushtuka Mwanamke anayemfaa na asiyemfaa, Wanawake wa aina hizi wanajua sana kuigiza kwamba anakupenda sana, sometimes muwe hata mnaigiza kuwa mmepata matatizo uone reaction ya Mkeo/Mpenzi wako
Duu pole sana bro wanawake mungu anawaona 😢
Sijui huwani kwa nini ukiwa na mwanaume anakupendaaaa jua mwanamke kimeo lakini mwanamke akimpendaaaa mwanaume unakuta nacho kimeo cijui kwa nini mara nyingi inakuwa vise versa
Huenda hatukuomba MUNGU atupe wakufanana tukakurupuka 😂😂😂nimaumivu makali
Duuh! Kuna wanawake wana roho mbaya sana.. Mungu yupo
Pole brother wanawake wanatumaliza maan roho zao shetani kazitawala ndo maan wanateseka
Jamani wanaopendwa hawapendeki, wasiopendwa na wanataka kupendwa, jamani haa Kaka pole Sanaa
😢😢😢
Hapa mmi nipendelee wapi kwamuhindi or kwa mdogo wangu because Tz we are ndugu or nibaki upande wamuhindi uthikute huyu ndio mkosa just angalia tu anaongea kuhusu mtoto ila mmi nabaki kwa mtz mwenzangu i don't care about religion or traibo😅😂❤
Daah jamani wengine wamepata ila hawajui nini wafanye daah Mungu msaidie huyu baba
Wengine kilio mume wangu ananisumbua, wengine wanacheza na nafasi walizopata loooh !!
@@JudithAdonis yaani umeona EE MUNGU atusaidiee kwakwelii
Sorry bro,am watching from zambia