NILIJARIBU KUIBA MTOTO MUHIMBILI KUNUSURU NDOA YANGU
HTML-код
- Опубликовано: 20 мар 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Kuliko kuiba ni bora ku adapt mama yangu.ukweli mwanamke akikosa mtoto ni changamoto .Mungu awasaidie wagumba matumbo yoote yaliyofungwa yafunguliwe kama Sarah wa Ibrahim.
Sana ni mtihani
Mama pole sana kwa changamoto kubwa kama hiyo 😢 Kama hutojali mimi pia ni mwanao wa kufikia sababu pia sina Mama 🥺🙏
Yani nyie acheni tu!
Maicha haya.
Mumgu ndy faraja chukua mtt yatima au wandug mlee kwa upendo kama mwanao na Mungu atakulipia
Bora yatima wa ndugu akikua wanamchukua inauma😢
Mim nilichelewa tu mwaka mmoja lakin niliyoyapitia ni mungu ndio anajua aiseee
Yesu ninjibu dada Amin Yesu anaweza amin
Mungu waangalie wagumba wote na wanao chelewa kupata watoto kwajicho lako lenye huruma kwamaana ww ndie dokta mkuu kwa madokta wote kwa neno lako ulisema hakuna tasa wala mwenye kuharibu mimba muda umefika sasa wa kutimiza maneno yako mataka tifu mungu wetu usie shindwa na lolote mikononi mwako tenda sasa kama ulio tenda kwa sala .
Amin
Hakuna kitu kinaumiza kama kukosa mtoto aiseee mwanamke yoyote analijua hilo
Pole Sana....Mimi Naheshimu Sana Wagumba....Mungu Mkubwa Atakupa Kitu Kizuri Kuliko Mtoto
Tafuta pesa utaishi maisha mazuri tu na utasau hayo yote Kuna watu wameezaa watoto kumi kumi na Bado wanatabika kwenye ndoa zao, na Kuna watu wameezaa na wanaume za watu na hizo mali pia hawazipati, na uzuri wewe ulikuwa mke wa ndoa haki Yako ungeipata tu, ushauli wangu pambana tutafute pesa hakuna kaburi la MGUMBA Dunia hii makabri yote ni sawa
Ww una kiwango kikubwa cha ujinga unalinganisha pesa na mtoto pesa nini
Kabisaaa
Ww huelewi kama pesa nifuraha kwako OK
Bonge la point
Inauma Sana kukosa mtoto mungu akutie nguvu kipenzi changu
pole sana mama mtihan hutoka kwa Mungu tafuta mwana wakumlea tu japo upate faraja.Mimi nna watoto watano nachekwa kila siku na walimwengu ilifika mahali nikaona bahati ni laana.ila nikikaa nikaangalia watu wanavyoteseka kupata watoto basi sina budi kukaa nakushukuru Mungu kwa uzazi nilioupata.
YESU ni jibu la mambo yote....muite tu ktk roho na kweli naye atakuitika atakuonyesha mambo makubwa na magumu usiyoyajua
Pole sana dadangu mungu ana kusudio lake kutokupa mtt 😢😢😢
Yupo Mungu mpaji mama,mwamini yeye tutapata muujiza wako
Mungu yupoooo
Aisee stori nimeipenda
Husiwaze sana kikubwa umuombe mungu
Mungu afungue tumbo lako afute machozi yako akufanyie kicheko kama alivyomfanyia ana
Pole sana dear, mimi nilifanya adoption, nilichukua mtoto wa mwaka mmoja, kwa sasa ana miaka 7, najisikia kufarijika sana kuitwa mama, nakushauri fanya hivyo na na wewe.
Hongera sana
Ulifanyaje ndg mbona nasikia process ngum
Mamangu badili ya kuiba mtoto unaweza kuomba kihalali
Pole sana mama Allah ni mwema atakupa mtoto
Nakuelewa sana dada angu me nimepitia hiyo hali nilikaa ktk ndoa miaka 16 bila mtoto hadi nikamruhusu mume wangu aoe na tukapata mtoto Kwa bi mdogo lakinu Mungu mkubwa sana mwaka wa pili na Mimi nikapata katoto. Ka kike
Maashaallah
Maashaallah inatokea hiyo
Kwani isingewezekana ukapandishiwa mbegu ukazaa maana nasikia watu wanafanya hayo 😢😢😢😢
Mmh pesa nyingi mno ndio maana wengi hawawez kumudu garama
La,! Pole sana Dada yetu
Mm nakupa pole mama Nakuunga mkono na Mungu alikulinda kwani hukua na dhamira mbaya juu
Pole sana
Pole sana Mungu akutetee.
Mungu hajakuonea mama hawana heri naww watoto
Mungu yupo wewe UTAZAA saiz watu wana miaka 53 na Wana zaa.... Dada NENDA kwa watu wa Mungu..
Mungu akutie nguvu Mimi nilikaa miaka saba nakuelewa ila wewe ni supa umani
Dada nakupongeza
Ombirangu kirasiku mungu awa peuzao
Mungu anaweza amini siku yako ipo,na usiijiite mgumba mamayangu
Mpaka😢Pole Mungu ndo mjua yote
Pole mama
Hakuna kitu kizuri kama kuitwa mama hata mtto asikufae lkn umezaha pesa sio kitu cha samani kama mtto ukipata ndio unasema wakazigan lkn kama haujapata unatamani Allah kareem
Mungu atakujaalia utapata mtoto, nakushauli uje Dar, hapa Dar, lipo kanisa maeneo ya Kigogo Polisi post, yupo mchungaji anaitwa Malache Joseph, mungu atakusaidia
Kwani binadamu ndo anatoa watoto Mungu
Nashabgaa auanauza watoto huyo@@Zainab_salat
Amen 🙏🏻
Kweli Mungu halali ipo siku Mungu atamjaria siku moja
Pole dada yote hiyo kheir watt wa siku hizi mtihani mtupu
Muguakijibu mama
Wachafu midia
Kuiba mtoto sio sababu maana vituo vya yatima vipounaenda unapewa shughuli ipo kwenye utu wa mumtunza huyo mtoto kama wako
Umeona
Roho hiyo ya kutaka kuiba, Mungu aiondoe na kukisafisha. Ebu fikiria huyo uliyetaka kumuibia mtoto kama ungefanikisha ukakuta mwenyewe pia amepitia mateso makubwa kama wewe je ungejisikiaje?
Naomba kukutanishwa na uyo mam mm pia ni muhanga😢
Pole inauma
Nipe no ya simu nitakuelekeza utatue changamoto Kama hutojali
Watoto ni mpango wa Mungu wanawake ndio wanaonyooshewa tu kidole ila pia wansume nao wanayo matatizo ya uzazi
Mim najua unavyohisi 😢mungu tusaidie
Mm Nina miaka 16 mwaka Leo mke wangu ninae lakini Mimi nina mtoto mmoja.
Pole sana mama
Mtimbira kwetu jamani
Ila mm ninaimani kwa sasa utapata maana mbinu ninyingi kwa sasa
Sisi ambao hatuna watoto tunanyanyasika sanaaa
😢😢pole ndugu yangu Mungu yupo usikate tamaa
Mi ninaamin hakuna mgumba dawa zipo
Hakuna ukumba unayo nitafute
Unaptikana wapi Irene
😂😂😂2095
2095amepigaje hapo
Jamani watu wapo makini balaaa😅
Unaiba mtoto kunusuru ndoa? Kuiba mtoto ni dhambi kama unaiba Kwa Nini isiwe unaiba Kwa roho yako inapenda kuwa Mama
Na je hajui madhara Kwa anae muibia yeye hamtaki mwanae kwani
M
Kwahiyo wewe Dada Doctor wanasema tatizo lako nini?
Labda ungejaribu nje ya Tanzania
Km hana pesa ya kwenda nje utamlipia ghalama
@swaumuabdallah6886 Hilo sio jibu.
Mimi nimetoa wazo. Na kwenda nje sio watu wote walioenda nje walikua na pesa. Kama hivyo yeye anavyo Sema ameazisha tahasisi pia Kuna tahasisi ambazo husaidia anaweza changing pesa ili akafanyiwe vipimo nje yote hiyo ni kutafuta uvumbuzi .and for me saying that was just a suggestion.
Mgumba huna kizazi
Kuna mgumba na tasa
@@preciouspeter6126mgumba ndiyo nani na tasa ni nani