NILIJARIBU KUIBA MTOTO MUHIMBILI KUNUSURU NDOA YANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 мар 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 86

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 3 месяца назад +6

    Kuliko kuiba ni bora ku adapt mama yangu.ukweli mwanamke akikosa mtoto ni changamoto .Mungu awasaidie wagumba matumbo yoote yaliyofungwa yafunguliwe kama Sarah wa Ibrahim.

  • @ConsciousBNB
    @ConsciousBNB 3 месяца назад +12

    Mama pole sana kwa changamoto kubwa kama hiyo 😢 Kama hutojali mimi pia ni mwanao wa kufikia sababu pia sina Mama 🥺🙏

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 3 месяца назад

      Yani nyie acheni tu!
      Maicha haya.

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 3 месяца назад +7

    Mumgu ndy faraja chukua mtt yatima au wandug mlee kwa upendo kama mwanao na Mungu atakulipia

    • @zakiamseka9698
      @zakiamseka9698 3 месяца назад

      Bora yatima wa ndugu akikua wanamchukua inauma😢

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 3 месяца назад +4

    Mim nilichelewa tu mwaka mmoja lakin niliyoyapitia ni mungu ndio anajua aiseee

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu 3 месяца назад +1

    Yesu ninjibu dada Amin Yesu anaweza amin

  • @tabiasaidi2931
    @tabiasaidi2931 3 месяца назад +3

    Mungu waangalie wagumba wote na wanao chelewa kupata watoto kwajicho lako lenye huruma kwamaana ww ndie dokta mkuu kwa madokta wote kwa neno lako ulisema hakuna tasa wala mwenye kuharibu mimba muda umefika sasa wa kutimiza maneno yako mataka tifu mungu wetu usie shindwa na lolote mikononi mwako tenda sasa kama ulio tenda kwa sala .

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 3 месяца назад +5

    Hakuna kitu kinaumiza kama kukosa mtoto aiseee mwanamke yoyote analijua hilo

  • @user-po5pt3sp6c
    @user-po5pt3sp6c 2 месяца назад

    Pole Sana....Mimi Naheshimu Sana Wagumba....Mungu Mkubwa Atakupa Kitu Kizuri Kuliko Mtoto

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 3 месяца назад +13

    Tafuta pesa utaishi maisha mazuri tu na utasau hayo yote Kuna watu wameezaa watoto kumi kumi na Bado wanatabika kwenye ndoa zao, na Kuna watu wameezaa na wanaume za watu na hizo mali pia hawazipati, na uzuri wewe ulikuwa mke wa ndoa haki Yako ungeipata tu, ushauli wangu pambana tutafute pesa hakuna kaburi la MGUMBA Dunia hii makabri yote ni sawa

  • @mwanas2
    @mwanas2 3 месяца назад

    pole sana mama mtihan hutoka kwa Mungu tafuta mwana wakumlea tu japo upate faraja.Mimi nna watoto watano nachekwa kila siku na walimwengu ilifika mahali nikaona bahati ni laana.ila nikikaa nikaangalia watu wanavyoteseka kupata watoto basi sina budi kukaa nakushukuru Mungu kwa uzazi nilioupata.

  • @mamamwajei8789
    @mamamwajei8789 3 месяца назад +2

    YESU ni jibu la mambo yote....muite tu ktk roho na kweli naye atakuitika atakuonyesha mambo makubwa na magumu usiyoyajua

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 3 месяца назад +2

    Pole sana dadangu mungu ana kusudio lake kutokupa mtt 😢😢😢

  • @FelisterKisendi-yb7uj
    @FelisterKisendi-yb7uj 3 месяца назад +2

    Yupo Mungu mpaji mama,mwamini yeye tutapata muujiza wako

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 3 месяца назад +2

    Mungu yupoooo

  • @RashidAbbas-zy6xx
    @RashidAbbas-zy6xx 3 месяца назад +1

    Aisee stori nimeipenda

  • @user-ug9nl8lo1o
    @user-ug9nl8lo1o 3 месяца назад +2

    Husiwaze sana kikubwa umuombe mungu

  • @agnessjohn1222
    @agnessjohn1222 2 месяца назад

    Mungu afungue tumbo lako afute machozi yako akufanyie kicheko kama alivyomfanyia ana

  • @shekhainahgloryraphael2419
    @shekhainahgloryraphael2419 3 месяца назад +1

    Pole sana dear, mimi nilifanya adoption, nilichukua mtoto wa mwaka mmoja, kwa sasa ana miaka 7, najisikia kufarijika sana kuitwa mama, nakushauri fanya hivyo na na wewe.

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 3 месяца назад +4

    Mamangu badili ya kuiba mtoto unaweza kuomba kihalali

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 2 месяца назад

    Pole sana mama Allah ni mwema atakupa mtoto

  • @maimunamsakamali9152
    @maimunamsakamali9152 3 месяца назад +4

    Nakuelewa sana dada angu me nimepitia hiyo hali nilikaa ktk ndoa miaka 16 bila mtoto hadi nikamruhusu mume wangu aoe na tukapata mtoto Kwa bi mdogo lakinu Mungu mkubwa sana mwaka wa pili na Mimi nikapata katoto. Ka kike

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад +4

    Kwani isingewezekana ukapandishiwa mbegu ukazaa maana nasikia watu wanafanya hayo 😢😢😢😢

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 3 месяца назад +2

      Mmh pesa nyingi mno ndio maana wengi hawawez kumudu garama

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 3 месяца назад +2

    La,! Pole sana Dada yetu

  • @user-rb7qo3di6q
    @user-rb7qo3di6q 3 месяца назад

    Mm nakupa pole mama Nakuunga mkono na Mungu alikulinda kwani hukua na dhamira mbaya juu

  • @pascalhabonimana813
    @pascalhabonimana813 3 месяца назад

    Pole sana

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 2 месяца назад

    Pole sana Mungu akutetee.

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 3 месяца назад +4

    Mungu hajakuonea mama hawana heri naww watoto

  • @vickgrace4487
    @vickgrace4487 2 месяца назад

    Mungu yupo wewe UTAZAA saiz watu wana miaka 53 na Wana zaa.... Dada NENDA kwa watu wa Mungu..

  • @user-hw3nv4ld2u
    @user-hw3nv4ld2u 3 месяца назад +1

    Mungu akutie nguvu Mimi nilikaa miaka saba nakuelewa ila wewe ni supa umani

  • @user-co1tx2cz1r
    @user-co1tx2cz1r 3 месяца назад

    Dada nakupongeza

  • @user-gs7tf2lz4b
    @user-gs7tf2lz4b 3 месяца назад

    Ombirangu kirasiku mungu awa peuzao

  • @lynnpaul8634
    @lynnpaul8634 3 месяца назад

    Mungu anaweza amini siku yako ipo,na usiijiite mgumba mamayangu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 3 месяца назад

    Mpaka😢Pole Mungu ndo mjua yote

  • @rajabubakari5881
    @rajabubakari5881 2 месяца назад

    Pole mama

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 2 месяца назад

    Hakuna kitu kizuri kama kuitwa mama hata mtto asikufae lkn umezaha pesa sio kitu cha samani kama mtto ukipata ndio unasema wakazigan lkn kama haujapata unatamani Allah kareem

  • @user-ug9nl8lo1o
    @user-ug9nl8lo1o 3 месяца назад +1

    Mungu atakujaalia utapata mtoto, nakushauli uje Dar, hapa Dar, lipo kanisa maeneo ya Kigogo Polisi post, yupo mchungaji anaitwa Malache Joseph, mungu atakusaidia

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat 3 месяца назад +3

      Kwani binadamu ndo anatoa watoto Mungu

    • @OmanOman-dd5qk
      @OmanOman-dd5qk 3 месяца назад

      Nashabgaa auanauza watoto huyo​@@Zainab_salat

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 3 месяца назад

      Amen 🙏🏻
      Kweli Mungu halali ipo siku Mungu atamjaria siku moja

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад

    Pole dada yote hiyo kheir watt wa siku hizi mtihani mtupu

  • @user-gs7tf2lz4b
    @user-gs7tf2lz4b 3 месяца назад

    Muguakijibu mama

  •  3 месяца назад +1

    Wachafu midia

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 3 месяца назад +2

    Kuiba mtoto sio sababu maana vituo vya yatima vipounaenda unapewa shughuli ipo kwenye utu wa mumtunza huyo mtoto kama wako

  • @evaemil856
    @evaemil856 2 месяца назад

    Roho hiyo ya kutaka kuiba, Mungu aiondoe na kukisafisha. Ebu fikiria huyo uliyetaka kumuibia mtoto kama ungefanikisha ukakuta mwenyewe pia amepitia mateso makubwa kama wewe je ungejisikiaje?

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 3 месяца назад +2

    Naomba kukutanishwa na uyo mam mm pia ni muhanga😢

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 3 месяца назад +2

      Pole inauma

    • @user-nj7yx5yy4n
      @user-nj7yx5yy4n 2 месяца назад +1

      Nipe no ya simu nitakuelekeza utatue changamoto Kama hutojali

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 3 месяца назад

    Watoto ni mpango wa Mungu wanawake ndio wanaonyooshewa tu kidole ila pia wansume nao wanayo matatizo ya uzazi

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 3 месяца назад

    Mim najua unavyohisi 😢mungu tusaidie

  • @mohamedsaide3405
    @mohamedsaide3405 3 месяца назад

    Mm Nina miaka 16 mwaka Leo mke wangu ninae lakini Mimi nina mtoto mmoja.

  • @jamilagadaf7196
    @jamilagadaf7196 3 месяца назад

    Pole sana mama

  • @gaudencekangipe7910
    @gaudencekangipe7910 2 месяца назад

    Mtimbira kwetu jamani

  • @DoreenVictor-qi9ld
    @DoreenVictor-qi9ld 3 месяца назад

    Ila mm ninaimani kwa sasa utapata maana mbinu ninyingi kwa sasa

  • @elizaberthlyimo8286
    @elizaberthlyimo8286 2 месяца назад

    Sisi ambao hatuna watoto tunanyanyasika sanaaa

    • @user-mq4qc2jw4v
      @user-mq4qc2jw4v 2 месяца назад

      😢😢pole ndugu yangu Mungu yupo usikate tamaa

  • @rehemamgata224
    @rehemamgata224 2 месяца назад

    Mi ninaamin hakuna mgumba dawa zipo

  • @ireneshikuku
    @ireneshikuku 3 месяца назад +1

    Hakuna ukumba unayo nitafute

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 3 месяца назад

    😂😂😂2095

  • @user-eu3xx5kn1w
    @user-eu3xx5kn1w 3 месяца назад

    2095amepigaje hapo

    • @lynnpaul8634
      @lynnpaul8634 3 месяца назад

      Jamani watu wapo makini balaaa😅

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 3 месяца назад

    Unaiba mtoto kunusuru ndoa? Kuiba mtoto ni dhambi kama unaiba Kwa Nini isiwe unaiba Kwa roho yako inapenda kuwa Mama

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 3 месяца назад

      Na je hajui madhara Kwa anae muibia yeye hamtaki mwanae kwani

  • @mwashumkigoda
    @mwashumkigoda 2 месяца назад

    M

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 3 месяца назад +1

    Kwahiyo wewe Dada Doctor wanasema tatizo lako nini?
    Labda ungejaribu nje ya Tanzania

    • @swaumuabdallah6886
      @swaumuabdallah6886 3 месяца назад

      Km hana pesa ya kwenda nje utamlipia ghalama

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 3 месяца назад

      @swaumuabdallah6886 Hilo sio jibu.
      Mimi nimetoa wazo. Na kwenda nje sio watu wote walioenda nje walikua na pesa. Kama hivyo yeye anavyo Sema ameazisha tahasisi pia Kuna tahasisi ambazo husaidia anaweza changing pesa ili akafanyiwe vipimo nje yote hiyo ni kutafuta uvumbuzi .and for me saying that was just a suggestion.

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 3 месяца назад

    Mgumba huna kizazi