MATONYA ANASIMULIA SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA | ILIVYOKUWA CHANZO CHA BIFU LAKE NA DIAMOND | PART 2
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Matonya #harountambwe #snr
Ile ngoma yake ya SIAMINI aifanyie promotion upya maana mashairi yake na beats zake bado zina mvuto sana, ni biashara nzuri ambayo haijulikani kwa wengi tkt enzi izi
umesema unahogopa kesho ata mimi na hogopa kesho
Tambwee ipo siku watakuelewa inshaallah
Yuko vizuri sanaaaa ndo first time nimemskiliza ila yupo vizuri sanaaa
Yaani amenikosha kusema naiogapa kesho sijui nikifa nakwenda wapi .. yaani matonya anajielewa sana mungu akupe umri mrefu
Mziki zamani bana walikuwa wanatunga wanaumiza vichwa syo sahv watu wanaimba matusi tu
Yaani mwanzo mpaka mwisho Tonya time katulia sana kwenye interview utadhani alijipanga... I love him
Nahisi kunakitu Tonya anatamani usivikumbuke kumuuliza kabisa ila mwambie napenda nyimbo zake tatu
1. Dunia mapito nilikuwa kwenye mapito pia
2. Anitha ni jamaa
3. Vaileth hizi nyimbo niutatamtupuu tonya niliandika sana dedication nyimbo zako
Nimefurahi ulipo sema the best dunia mapito niliandika zangu kali #1 dunia mapito
Haroun Tambwe ushakua Host mkubwa ebu sasa tafuta Studio kubwa kaka
Moja ya wasanii wakubwa Tanzania, nyimbo zake zinaishi sana🙏🙏💪💪💪👍👍👍
Best song siamini macho yangu
Safi
kujibu maswali nayo ni changamoto
ishu ya tundaman na father p kumwandikia matonya ni kweli walikuwa wanahusika?
Interview poa sana !
Tonya sauti anayo aisee
Dunia Mapito nyinmbo pendua kueto🇲🇿
A very good Interview nice one
nimemkubari sana anajua kujielezea
Hio ngoma ya #SIAMINI kuna jina la mwanamke kalitaja na kamuimbia mwanamke lipo iloo mie nalijuaa hilo vip wenzangu mna lisikiaga hilo jina.
#Zuhura
Good brother matonya
🎉🎉🎉🎉