MATONYA ANASIMULIA SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA | ILIVYOKUWA CHANZO CHA BIFU LAKE NA DIAMOND | PART 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Matonya #harountambwe #snr

Комментарии • 24

  • @PETERROBERTKIMAMBO
    @PETERROBERTKIMAMBO Месяц назад

    Ile ngoma yake ya SIAMINI aifanyie promotion upya maana mashairi yake na beats zake bado zina mvuto sana, ni biashara nzuri ambayo haijulikani kwa wengi tkt enzi izi

  • @IdiOruwa
    @IdiOruwa Месяц назад

    umesema unahogopa kesho ata mimi na hogopa kesho

  • @allychapa155
    @allychapa155 7 месяцев назад

    Tambwee ipo siku watakuelewa inshaallah

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 6 месяцев назад +1

      Yuko vizuri sanaaaa ndo first time nimemskiliza ila yupo vizuri sanaaa

  • @rahmasalum9814
    @rahmasalum9814 6 месяцев назад

    Yaani amenikosha kusema naiogapa kesho sijui nikifa nakwenda wapi .. yaani matonya anajielewa sana mungu akupe umri mrefu

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 6 месяцев назад

    Mziki zamani bana walikuwa wanatunga wanaumiza vichwa syo sahv watu wanaimba matusi tu

  • @weekendservicechoir
    @weekendservicechoir 7 месяцев назад

    Yaani mwanzo mpaka mwisho Tonya time katulia sana kwenye interview utadhani alijipanga... I love him

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 6 месяцев назад

    Nahisi kunakitu Tonya anatamani usivikumbuke kumuuliza kabisa ila mwambie napenda nyimbo zake tatu
    1. Dunia mapito nilikuwa kwenye mapito pia
    2. Anitha ni jamaa
    3. Vaileth hizi nyimbo niutatamtupuu tonya niliandika sana dedication nyimbo zako

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 6 месяцев назад

    Nimefurahi ulipo sema the best dunia mapito niliandika zangu kali #1 dunia mapito

  • @davidowino3022
    @davidowino3022 7 месяцев назад

    Haroun Tambwe ushakua Host mkubwa ebu sasa tafuta Studio kubwa kaka

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 6 месяцев назад

    Moja ya wasanii wakubwa Tanzania, nyimbo zake zinaishi sana🙏🙏💪💪💪👍👍👍

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 7 месяцев назад +1

    Best song siamini macho yangu

  • @nehemia397
    @nehemia397 7 месяцев назад

    kujibu maswali nayo ni changamoto

  • @markkaitira8622
    @markkaitira8622 7 месяцев назад

    ishu ya tundaman na father p kumwandikia matonya ni kweli walikuwa wanahusika?

  • @habari254
    @habari254 7 месяцев назад

    Interview poa sana !

  • @barakanyamwala3630
    @barakanyamwala3630 6 месяцев назад

    Tonya sauti anayo aisee

  • @MomadeabdulAbdul-i3w
    @MomadeabdulAbdul-i3w 7 месяцев назад

    Dunia Mapito nyinmbo pendua kueto🇲🇿

  • @jeremiahmtui6822
    @jeremiahmtui6822 7 месяцев назад

    A very good Interview nice one

  • @samwelemily7437
    @samwelemily7437 7 месяцев назад

    nimemkubari sana anajua kujielezea

  • @bupain2713
    @bupain2713 7 месяцев назад

    Hio ngoma ya #SIAMINI kuna jina la mwanamke kalitaja na kamuimbia mwanamke lipo iloo mie nalijuaa hilo vip wenzangu mna lisikiaga hilo jina.

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 7 месяцев назад

    Good brother matonya

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 7 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉