THE CLASSIC MATONYA PT 1 : NLIANZA KU RAP/NILIJIBANZA NA WALINZI KUPATA NAFASI/P FUNK ALINISAIDIA
HTML-код
- Опубликовано: 16 фев 2024
- Moja ya waimbaji bora wa muda wote Tanzania Matonya amefika ndani ya The Classic kupiga story kuhusu safari yake ya kumuziki sambamba na maisha yake kwa ujumla,katika sehemu hii ya kwanza Matonya anelezea namna alivyoweza kupambana kimuziki tangu akiwa rapper hadi akiwa muimbaji mkubwa.
Proff jay big up mwamba
Watu wengi wanakutaja kuwasaidia
Big up Tonya
Am just happy to see this man again Tonya.memories ulizoacha akilini mwetu ni unforgettable.Vaileti,Anita na Siamini greatest hits
Jabir, interview na Said Comorian hata kwa simu. Napenda kujua wapi Backyard, heartbeat, Kameta na Sophia records zilipotelea na producer wake.
Iko sawa sana
Daaah safi Sana mkubwa nimenjoy Sana Tonya time
Jabiri nakukubali sn mwanangu
asante sana Kenneth,Much love
Mikka Karri Mwamba kafanya HITs nyingi sana na kama vile ulivyosema kwavile hayupo Tanzania na Hata huko nyuma alikuwa anakuja na Kuondoka ndio maana hayupo sana midomoni mwa watu kama vile P Funk na Master j.
Ila He is definetly one of the Best too.
Yani anaingia kabiisa TOP 3.
True mimi back 1999 nasikiza midundo ya mwamba
Bro jabiri naomba sana Sky akuinvite tupate bonge la interview tujifunze zaidi
Pamoja bro
@@KuviFacts💯
Mkali wa Sound crafter Henry Rico Ndani ya hayo Goat
HENRICO anahusika vipi Hapa..? Tafadhali😳
Big up for the show recognising Tanzania hip hop legends. Mikka Mwamba on The Classic?
mkali wa vocal oya lile violet sio pw classic kabisaaaaa
❤ngwear asimliwa mara nyingi na kila msanii ila kafa masikini tofauti na kazi zake alizo fanya
Byther way why ngwea anasifiwa na kila msanii up was poor
@@bossbillionare mtihani huu shida kubwa
Tonya time hatari sana bonge la kipaji toka Tanga town
Yawezekana menega wa ngwea akawa nyuma ya msoto wa jomba licha ya ngwea kuogopewa tz nzima
Tonya nimnyama sana
Kuvichaka niaje tuleteee bon crewz walioimba huyu jamaa (kaka poa) na waswahili walio imba pengo
Mtafute Benjamin wa Mambo jambo na Saida kaloli. Time flani mtoto mtundu sielewi afu wanangoma lao zamaani.
Matonya hapewe maua yake🎉
Rudi shule kwanza
Kazi nzuri Jabir.
Shukran
@@KuviFacts umeweza kuibua hisia za watu wengi na kuwarudisha enzi zao. Umeweza kutuweka karibu na wasanii tuliowapenda, media nyingi watakutamani maana hawana watu wakufanya kitu kama unachofanya. Big up Jabir
Mzee Jabir Mount Rushmore ni mlima kweli umechongwa sanamu za baadhi ya marais wa USA
Sawa sawa ila ile ya kina Jordan na Bron si ni bado ile ndo nimekusudia ya kufikirika ile 😁,Asante sana kwa comment yako kaka 🙌🏾
MWAMBIE MATONYA MAANA HILO JINA ANAPEWA MTOTO AKIZALIWA MVUA INANYESHA ATAITWA MATONYA ILA KAMA WAKIUME ATAITWA MWAMVULA SIO HIYO YA OMBAOMBA ALIYOSEMA NA KAMA UKIAMUA KUTUMIA JINA LA ASILI FULANI FUATILIA MAANA YAKE SIO KUTAFSIRI TOFAUTI NDIO
Mwamvula ni jinsia IPI? Na matonya
AM KENYAN I WANT TO KNOW ABOUT MB DOGGY MAN...........
Tazama interview za nyuma alifika hapa
Mt Rushmore ni mlima wa kweli imechongwa na sura za Ma-Raisi wa Marekani, ipo kama sehemu ya utalii.. sasa kiteknologia kweli wanafanya hizo za NBA nk.. upo sahihi Jabir, Kwenye Mt Rushmore ya Ma Producer Bongo..Mika LAZIMA
sure kaka,Asante sana