THE CLASSIC MATONYA PT 1 : NLIANZA KU RAP/NILIJIBANZA NA WALINZI KUPATA NAFASI/P FUNK ALINISAIDIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 фев 2024
  • Moja ya waimbaji bora wa muda wote Tanzania Matonya amefika ndani ya The Classic kupiga story kuhusu safari yake ya kumuziki sambamba na maisha yake kwa ujumla,katika sehemu hii ya kwanza Matonya anelezea namna alivyoweza kupambana kimuziki tangu akiwa rapper hadi akiwa muimbaji mkubwa.

Комментарии • 37

  • @anthonyemanuel8614
    @anthonyemanuel8614 4 месяца назад +2

    Proff jay big up mwamba
    Watu wengi wanakutaja kuwasaidia
    Big up Tonya

  • @saidilome-ue2df
    @saidilome-ue2df 4 месяца назад +1

    Am just happy to see this man again Tonya.memories ulizoacha akilini mwetu ni unforgettable.Vaileti,Anita na Siamini greatest hits

  • @ntopangonyani6964
    @ntopangonyani6964 4 месяца назад +2

    Jabir, interview na Said Comorian hata kwa simu. Napenda kujua wapi Backyard, heartbeat, Kameta na Sophia records zilipotelea na producer wake.

  • @kelvinmhanga3052
    @kelvinmhanga3052 Месяц назад

    Iko sawa sana

  • @wakikuba7
    @wakikuba7 4 месяца назад +1

    Daaah safi Sana mkubwa nimenjoy Sana Tonya time

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 4 месяца назад +3

    Jabiri nakukubali sn mwanangu

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад

      asante sana Kenneth,Much love

  • @chotarawakingoni8148
    @chotarawakingoni8148 4 месяца назад +1

    Mikka Karri Mwamba kafanya HITs nyingi sana na kama vile ulivyosema kwavile hayupo Tanzania na Hata huko nyuma alikuwa anakuja na Kuondoka ndio maana hayupo sana midomoni mwa watu kama vile P Funk na Master j.
    Ila He is definetly one of the Best too.
    Yani anaingia kabiisa TOP 3.

  • @nasrikileo7291
    @nasrikileo7291 4 месяца назад +3

    Bro jabiri naomba sana Sky akuinvite tupate bonge la interview tujifunze zaidi

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад +1

      Pamoja bro

    • @j4cinyo
      @j4cinyo 4 месяца назад

      @@KuviFacts💯

  • @ndesafanamfala5800
    @ndesafanamfala5800 4 месяца назад +2

    Mkali wa Sound crafter Henry Rico Ndani ya hayo Goat

  • @THETHELONIOUS
    @THETHELONIOUS 4 месяца назад

    Big up for the show recognising Tanzania hip hop legends. Mikka Mwamba on The Classic?

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 4 месяца назад

    mkali wa vocal oya lile violet sio pw classic kabisaaaaa

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j 4 месяца назад +1

    ❤ngwear asimliwa mara nyingi na kila msanii ila kafa masikini tofauti na kazi zake alizo fanya

    • @bossbillionare
      @bossbillionare 4 месяца назад

      Byther way why ngwea anasifiwa na kila msanii up was poor

    • @user-dg7wf6fg2j
      @user-dg7wf6fg2j 4 месяца назад

      @@bossbillionare mtihani huu shida kubwa

  • @wazirihamdu6106
    @wazirihamdu6106 4 месяца назад

    Tonya time hatari sana bonge la kipaji toka Tanga town

  • @bossbillionare
    @bossbillionare 4 месяца назад

    Yawezekana menega wa ngwea akawa nyuma ya msoto wa jomba licha ya ngwea kuogopewa tz nzima

  • @HafidhiKirobo
    @HafidhiKirobo 4 месяца назад

    Tonya nimnyama sana

  • @timothymikola2317
    @timothymikola2317 4 месяца назад

    Kuvichaka niaje tuleteee bon crewz walioimba huyu jamaa (kaka poa) na waswahili walio imba pengo

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 4 месяца назад

    Mtafute Benjamin wa Mambo jambo na Saida kaloli. Time flani mtoto mtundu sielewi afu wanangoma lao zamaani.

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 4 месяца назад +1

    Matonya hapewe maua yake🎉

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 4 месяца назад

    Kazi nzuri Jabir.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад +1

      Shukran

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 4 месяца назад

      @@KuviFacts umeweza kuibua hisia za watu wengi na kuwarudisha enzi zao. Umeweza kutuweka karibu na wasanii tuliowapenda, media nyingi watakutamani maana hawana watu wakufanya kitu kama unachofanya. Big up Jabir

  • @signecha_
    @signecha_ 4 месяца назад

    Mzee Jabir Mount Rushmore ni mlima kweli umechongwa sanamu za baadhi ya marais wa USA

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад

      Sawa sawa ila ile ya kina Jordan na Bron si ni bado ile ndo nimekusudia ya kufikirika ile 😁,Asante sana kwa comment yako kaka 🙌🏾

  • @mtulionline3338
    @mtulionline3338 4 месяца назад +1

    MWAMBIE MATONYA MAANA HILO JINA ANAPEWA MTOTO AKIZALIWA MVUA INANYESHA ATAITWA MATONYA ILA KAMA WAKIUME ATAITWA MWAMVULA SIO HIYO YA OMBAOMBA ALIYOSEMA NA KAMA UKIAMUA KUTUMIA JINA LA ASILI FULANI FUATILIA MAANA YAKE SIO KUTAFSIRI TOFAUTI NDIO

    • @khalidgugu4964
      @khalidgugu4964 4 месяца назад

      Mwamvula ni jinsia IPI? Na matonya

  • @oscarkibet1344
    @oscarkibet1344 4 месяца назад +2

    AM KENYAN I WANT TO KNOW ABOUT MB DOGGY MAN...........

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад +1

      Tazama interview za nyuma alifika hapa

  • @MrTzakaSanTz
    @MrTzakaSanTz 4 месяца назад

    Mt Rushmore ni mlima wa kweli imechongwa na sura za Ma-Raisi wa Marekani, ipo kama sehemu ya utalii.. sasa kiteknologia kweli wanafanya hizo za NBA nk.. upo sahihi Jabir, Kwenye Mt Rushmore ya Ma Producer Bongo..Mika LAZIMA

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  4 месяца назад

      sure kaka,Asante sana