DIAMOND ALIVYOM SUPRISE CHID BENZ NGOMA YAO / ATAKA KUMWAGA MACHOZI
HTML-код
- Опубликовано: 13 авг 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Tukiachana na mapungufu yake hakuna msanii mwenye UPENDO kama diamond platnumz I'm so emotional najikuta nalia jamani it's big love 😭😭😭😭
Point 🎉
Ebwna hii nyimbo ata mm imeniumiza sana
Sure!!!ingawa watu wengi hawalijui hili...
@@obeydmwemezi3663yah kweli mkuu jamaa anawapenda sana wenzake
@@yaedlifemedia3203Hata meme asee
Allah akuzidishiye riski diamond ameen
Nisiwe Mwongo mbele za Mungu.
Kwa hili nmejikuta natokwa machozi.
Mondi wewe Mungu atakuzidishia maradufu
Wewe ni msanii mkubwa sana kwa mambo makubwa na mazuri unayofanya.
Hii ndiyo maana sahihi ya Real love.
Hakika hautashuka wala kupungukiwa kamwe bali utazidishiwa zaid!
Mungu akupe maisha marefu sana bro
You will always stand as my number one artist in Africa and one of the biggest artist in the world ❤❤
H
Nyimbo Kali sana diamond anajua
Hii ngoma heat tayar kabla haijatoka..hii clip namim nimeipakua naishi nayo daily🔥🔥🔥
This made me really emotional! Chidi Benz is still the top Hip Hop artist in East Africa hands down. I look forward to the day he will return to his senses and be fully sober. And Diamond has really proved that akikupenda amekupenda. One love.
Namfurahi kumuona chidi afya yake iko swari...🇰🇪🇹🇿🇰🇪
Wacheni mchezo chid ni kiboko big up brother chid u are difrant
Nilichogundua chidi anampenda sana Babu tale
Am crying can't stop it a love Tanzania music
Kenya Nairobi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🖐️
Mondi ana roho nzuri sana Msaidie mkongwe huyo
ila kwa roho aah Diamond Platnumz anayo🇰🇪🇰🇪🔥
That moment yooooo......Big time kwa Diamond
Chidy benz Kwa hizi verse Diamond Makin na chorus👏👏👏
Chibu dangote Noma saana aisee 🔥👏🔥💥🌟
Nyimbo kali sana , long time chidi hajatoa kaa hii
Chid benz,he's god of music(baphomet)....i remember ngwair and just cry alone...😢😢😢😢diamond he's just good soul...got lots of respect to his brother.
Oooooh my God, uyu Diamond ni bala sana tena sana. Chid Benz hoyi hoyi kweli. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Dmk kadhr from Nksvegaz city can waite for another Chid benz ft Diamond platinumz moment ❤🎉🎉🎉since enzi zile til now 💯💯💯🇰🇪
Chid benz👍👍👍👊👊👊🤘
Anco inuatu kipaji chake kwa sababu akuna Musani anaweza iyo kazi wewe mwalimu wa nyimbo naimani ifwate mutindo waaa ko💪❤️🌹💯💯
Uyu istukyz mbaya sana hii bit kali sana Dah chid bado yupo kwenye pick 🎉
Diamond Platm
Ukimkazia Mtoe Hio Nyimbo Itatambaa Balaa
Tena Ambane Asiwe Anavuta Unga Tunamtaka Chidi benz Arudi Kwenye gem Mond please Mshike Mkono Chid Benz
Hadi Mwili Unasisimka Haelewi Tena Mzuka Umempanda
Hata kama hua sikutambui Diamond walai ungekua mkenya you have a big heart ❤ ume nikumbusha shujaa
Enyewe wewe diamond your the best artist on earth may God bless you with everything your going bro thank you alot
I'm so emotional for this love
So amazing 🔥🔥🔥
Wawo Diamond bwanaa anajuwaa sana nakubali sanaa
Diamond muacheni ni king wa est africa na africa jumla❤
❤❤❤❤❤ngoma kali sana
Too much love bless up @Chibu 🙌🙌📌🐐🐐
"Ni kweli kabisa kweli hakuna aliyekamilika asonahili analile but kwenye hili rafiki zangu hapana nimeona love nimeona mapenz nimeona jinsi gani mapenz ya mtu yalivyo kwa mwengine nimeona kujitoa nimeona kujali dah nimejikuta nadondosha machozi tu ya furaha unajua nini ndugu zangu maisha ni kuwajali wengine na siwewe peke yako mwenyezi mungu utupe mapenz ya kupendana kama alivyo yeye anavyo tupenda.
Sana tusiwanafiki mondi mungu amuzidishie
MUNGU AKUBARIKI BWANA AWE NAWE DANOND PLAT NAMZ🎉❤
Mwanaume kila siku wanageka wanake..hatali sana 🔥
Simba na roho yke ❤❤❤
One love ma big brothers
This is beautiful,,,,a really great surprise
Wow mnyama huyu chid chid❤
Much respect to that bigest support to daimond
A love you Diamond nime ona chidy tena
Diamond Platnam nina kila sababu ya Kuita Afri-icon. Mond anajua kurudisha Fadhira.... Daaah !. Amenitoa Machozi "Trust me".
Daaaaaaaaareeeesaaaalaaam Standup🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hizo Punch line za Chidy🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Benzino ni 🔥🔥🙌
Babaake iyo verse ya pili 🎉🎉🎉 heshima yko CHID BENZ
Safi sana diamond,chid gud saana!
Platnumz is a father of music in TZ brooo endelea kutuonysha my mzur
Dah aise nasibu unajua music unataka nini safi sana kazi nzuri unajua sometime unakuta mtu unapenda kitu kiasi ambacho huwezi juzuia hisia zako mbele ya kitu ulichokipenda unapokiskia au unapokiona chid ameguswa sana na hii ngoma kama ilivyo nigusa mimi hakuna hiyo mistari ya nyimbo dah aiseh kweli acha tuishi nao hao wanao tubeza kazi nzuri
Hii kitu nimependa sana binafsi mwamba kakunjua moyo wote yaan bonge la surprise hakuna surprise kubwa kama hiyo kwa msanii yaan ata surprise ya gari ikasome yaan
Oya oya kwa msanii suprise kubwa ya kwanza inaanzia kwenye mziki wake na simba kapiga kwenye mshono
We unaijua gari kweli au
@@ikouwasi7644 😁😁😁😁
Yaaani kafurahi sana chid maaana hakuaamini kabisaa yaani ndoto imetimiaa
Chid ft Chibu by Tunaishi nao🔥🔥
Af Kuna umbwa nyengine unasema et hamuwez Simba ivi anajelewa yule maisha malefu kwako mond unajua utu unajua mbaka unajua Tena mungu bariki Kaz za guy mwamba ilove you simba
Simba wangu love simba
Chd best emcee ever
Love you chid benz ❤❤❤❤❤
More love to him congratulations simba
Kutoka Congo Diamond ni mwalimu wa wasaniiii
Daaaah brother nasibu hapo umeuwa kweli mrudishe chid benzi bwana katika ubora wake brooo
Sema kunawakati simba anakua na moyo sana amsapot jamaaa hongela sana kaka mkubwa
Huyu mwamba Chid bado mzima sana tu💪
Kabisaa bro uyu mwamba toka nianze kumjua nikiwa kijana mwenye kubalehe na kuanza kufatilia hip hop jamaa ni 🔥🔥🔥🙌
Sanaa msimbaziii ile mbaya Pande hizi 26life for life...254 timamu tunaishi na hivyo hivyo
Wow amazing 🔥💯💕
Congratulations diamond ❤❤❤❤
Wow diamond platinumz
Diamond thanks for supporting that legend
Wow ao amazing sana
Asante diamond hivyo ndio tuishi,ubarikiwe
Nakubali sana bro Chibu, hebu mrudishe huyo jamaa kwenye game asee.
Asante broo unahurum sana
Dogo mond atakama vip Mungu akubressng Sana upenfo
Ishaisha iyooo!! % dai una roho safi sana aisee
Chid still on fire.
God bless our lion Diamond platnamz
Yaani chidi hamtambui bodyguard wa Simba😂😂😂naye pia anataka kushikiwa tshirt lake na bodyguard😂
Umenichekesha wewe😀😀😀😀😀😀😀
😄😄😄😄😆
Diamondi kaniuwa🍧
ina ujumbe mzuri sanaa, safi Chibu, safi Chid unarudi kwy game
Chid kumamake ana balaaa sana
Danha bless up chibu D🔥🔥🔥
God bless up our lion Diamond platnamz
Hapo kweli Chidi benz Yupo Au Ndioo Ungaa 😂😂😂
respect my brother diamond
unyama ni mwingi Sana wasafi chanel
Good job Ragatsi
Kali sana🔥🔥
Ngoma hiyo hatali xanaaa big deal
Chid ft platinum 2naishinaooo imeweza kuliko zote
É mungu we kizur hua hakidumu ila hichi kipemida ili aweze kutufajir zaid samaani kwa ujumbe huuu kama nitamkera yeyote yule
Only his man now how make money in music industry his verry clever diamond about make money his ready to use everybody
Wow bro nice ❤❤
King Kong mnyama hatariiii
Wow nice one❤
Inayo ilkuwa suprise 🔥🔥🔥🔥
Chid ka beba nguo ya daimond hahaa
😅umeona
Daaahh Imeonesha hisia za Upendo had Imeniguda Moyoni mwangu. Naseeb tunaombea huo wimbo uusimamie had uhiti ni Wimbo wamaana sana
Simbq la masimba dangote🥰🥰🥰🔥🔥🔥
Nakubar kaka mkubwa
Oyaaaaaa ninoma kk
💎💎💎💎💎💎💎💎 Allah akuwekee watuu tunalia tuu Wala hata hatujalizwa😓😰😰😰😰 🙌🙌🙌🙌
Oya we harmonize chukua good example
Nakubari sana iyi kitu alio onesha Diamond Simba
Mzee w ku rym uko sawa chid
Hio remix Moto 🔥🔥. Diamond tumtambua hapa Kenya...aaah chid Benz hapa umeomoka..simba