ROMA NA STAMINA WALIVYOTINGISHA FIESTA DSM + SUPRISE YA CHIDI BENZ
HTML-код
- Опубликовано: 5 ноя 2016
- Ni wakali wengine kwenye muziki wa bongofleva, ni wakali wengine ambao hawatasahaulika kwenye rekodi za FIESTA DAR ES SALAAM 2016 kwa shangwe waliloliamsha, jitazamie mwenyewe uone.
ROMA, STAMINA NA BLUE KWANGU MM NDO WASANII PEKEE WALIOYATENDEA HAKI MACHO, MASIKIO NA MOYO WANGU! PURE TALENT, REAL ENTERTAINERS!! BIG UP!
Hawa washkaji ndo walikuwa stori ya town after this masterpiece! Hii fiesta niliisikiliza kwenye redio na kisimu changu kidogo mpaka asubuhi
🤣🤣🤣🤣🤣
HAWA JAMAA WANAWEZA MIA MIA....... ONE OF THE BEST AND STERLING PERFORMANCES THEY KEPT THE CROWD ALIVE FROM START TILL THE END KUDOS....
cxhfxyjfkg
Kweli tumemmiss Sana Kaka Roma, arudi tu nyumbani Aisee
Fiesta nzima hii ndo show kali sana watching it from Dubai thanx to Millard Ayo.
l felt like a person gone crazy becoz l have been watching this show for so long time since l was abroad
Best performance in East and central Africa come teach Kenyan musicians how its done on stage salute Roma and the crew stamina big up sana #254
hapo umefeli
watching from state of KUWAIT, this people are dopest
Yani stamina wewe noma sana Roma mkatoliki yani nyie ni balaa 2021 😍😍😍😍
2020 Rostam, from south Africa Cape town
kali kuliko, hongera roma na stamina. kazi nzuri
Aloooo vibe sana kaka roma Rudi tz utuburudishe bhana tumemisi michano zako kwenye stage
Hip hop imetisha big up brother's, na nimependa mlivyompa shavu King Kong salute
Bonge 1 la Show....thankx team nzima ya Ayo❤❤❤❤
Ebhana eeeeeeeeeeeeeeeh bonge moja ya show big up sana ROSTAM
Hip hop J, nature hanawajua Hawa jamaa kwamba wanawakilisha vizur Hip hop, R,O,M,A & S,T,A,M,I,N,A Sauut kwaoo.
aiseeee amna wakali kama awa wametisha sana zaidi yasana
seeing Chid Benz back puts a smile on my face
Woow. Roma + Stamina.... Show kali sana,.... honestly
thats its what we call is a suprise... ..ckuwepo kwenye shoo lakin kam vile nilikuwepo... tamu sanaaaaaa...
Wenye fiesta yao big up sana Rostam
Awa ndo wanachangamsha fiesta zoteeeeeh
Na ndo mafundi east Africa kwa show kaliiiiiiih
Awajamaa awawezekan noma sanaa😂💪🏽💪🏽
Kat ya Shows Nzur Nilizo zion Ni Show kubwa Wamefanya
sina mengi zaidi ya hongera mko vizuri
Fid q, Salut kwa Kututunzia Vijana Hawakuangush wanapita kama Q, Roma& Stamina Zaid ya Imooooo.
Tuiheshimu sana fiesta wakubwa 🔥🔥🔥🔥🔥
The energy ya hawa majamaa ilikuwa so high. Yaani zaidi ya international artist
Hahahahahahah umeona eeeh
Nyinyi wakali bwanaaa 🙌🏼🙌🏼
asante chid benzi mungu akujalie urudi kwenye chati kama mwanzo bado unaweza broo
Ili kundiiii like xn
Best Perfomance hawa jamaa wameweza no. 1 of all performance
ɷ Heey Friendsss I Havee Justt Wonnnn Brand New MacAir From visittttt : - twitter.com/FighterCpmocsb8/status/803536250690945025
Go and win again.
YUSUF JUMA
blu ni fundi jukwan
Haijawahi tokea na haitatokea performance kama hii ever ......
no 1 performance of mine
Roma nomaaaaa
weuuuweeeee moshi wa ubani hauez kufuka ukawa mshumaaa
stamina the king of hiphop
This guyz is the mans of the show believe me
roma na stamina mmetisha xana kwenye hii FIESTAR bigap xana
hapo hakuna cha mikonojuuuu wananhoosha wenyewe bg up kwenu
Hawa ndio wenye Hip Hop Bongooo Acha Kubisha kubisha kitu Uschokijua Muppoo Tz.
vijana hawa Roma v& Stamina Funiko km Nature fiesta2010
saluti stamina an roma
Rostam ni shidaaaaaah 🔥🔥🔥🔥🔥
Mariam Mursal 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
akuna cha tekno wala alade wala kiba hawa jamaa ni kifo hatari wana sepa na kijiji
ukweli bro daah alafu wanachochana ni mafunzo maze
gfrey q mkali
QARAISER Q wanajuwa kinima
The best perfomance for the all tyme is this hata lil wayne hajawai pata shangwe kam hl.
Hii ndio show kali
ebanaaa hawaa wasengee nuksiii nimekubalii fiestaa wameibebaa
show kaliiiii sanaaa√√√√√saluti romaa
Roma and Stamina hawa ndio wenye stej ya Fiesta Dar na Mikoa yote Unabishaaaaa!.
Hiii ndiyo show!
Hip-hop is my best 🤣🤣🤣💓💓💓💓💓💓💓
oya wajanja wacheni niwape fact ya uhakika yani....kama ni hip hop ndani ya east and central hamna mfano wa hawa wajomba wawili nikimaanisha stamina na king Roma.
Roma Na Stamina Wameuwaaaaaaa Hii Fiesta 2016
umoja kama huu ndo tunautaka mashabiki,,, na subiri ya alikiba na diamond
Utasubiri sana haiwezekani hata jua litoke usiku
Hamna kitu hao
Nice video bro I like this
Watching 7 years later and still wondering how dop was the performance….
My all time performance
hahahahaha I'm enjoy good show Roma ft stamin
NOMA SANA
yaaaanii hiii sichoki kuingalia eti
Roma hizo ni Salam message Tosha kw weus Wakajipange mzee hata wapande stej wote Hawamuwez, Romaaaaa.
Roma na stamina nitawapigia number yenu ninayo aisee noma noma
watishaaaa penda sana rostam
Wozaaaaaaaaaa! metoboa ile mbaya!
mans of the show......... HIP POP STAND UP......
Daah asee hawajamaa wametisha fieta nzima
Heheheee
Fieta ee
Na cheed bazino
wachafu acheni usenge hi ni vibe
noma sana
daaaaaaaaa hawa majamaaaa nmerdhka
2023 bado tupo hapa❤️❤️❤️
show nzuri..ila Roma kazingua kuvaa nguo zenye rangi ya Bendera ya USA..huu niudhaifu mkubwa kwa mzalendo wa Tz
NICKSON Jackson
Hilo vazi nisehemu ya Sana'a yake,litafakar sana linganisha na wimbo hlfu changanya nakazi yasanaa
Bonge la show akiii for real
best perfomance
Roma anatishaaaaaaaaaaa
Show ya kibabe hao wengine naskia semaa yeyaaa ila hawa Roma na stamina wamekimbiza
Wametsiha sana
Noma sana
Nawakubali sana
daaaaah nilitamani nilie chid ananisikitisha sana jamaa anakipaji but madawa yamemrudisha chidy "chid nakuombea urudi mungu akujaalie sana"
Amin lkn sai naona ameushinda moyo amewacha dawa uko sawa pia mwili umerudi pongezi kwake
Mmetisha kinoma noma B gap xana 👊👊👊👊👊
Daaah ilikuwa noma sana hii show ilinikutanisha na bonge la mtoto
wacha weeeeee 😁😂😂😆
Roma na stamina ROSTAM ntaangalia mara elfu hamsini
Hawa ndio the best in 2017 fiesta
Hiyo ilikuwa 2016
Dj zeroo 🔥🔥🔥
akuna wakumficha Roma ni🔥🔥🔥 wakuotea mbali
Nakukubali Sana #Rostam
HipHop 2020💥💥💥
chid benz noooma sana
Roma uko juu
Eeeeh! Bwaana nimeanqalia waxanii wotee lkn...niukwel ROSTAM ndo walonoqexhaa FIESTA !!
hiii nomaaa aiseeeeee
it is nice freestyle
safi sana wanangu
Hii show naiangaliaga sana yan kila mwaka lzm niicheck
bonge moja la shoo ya kibabe
Fiesta ya mwisho yeny mzuka 2016
Iko vzr sanaaaaa
🔥🔥
i do wish to cooperate with u alor to support u only humnle
Roma tisha sana
Rostam ninomaaa!
Chid I love u kka