Uyo chid benz analake tu kwa konde man km kishajua atapewa lak3 kwnn ackatae boya tu uyo ss mbn kakubal na pes kachua kwa mzik gn alokua nao mpk alew milion naend uk
Ijapokua chid benz ni mla unga bado thamani yake ipo pale pale, hakuna msanii bora wa hip-hop Tanzania hii kama yeye lazima apewe respect yake msimdharau kiiivyo
@@officialmrtop1018 swali ni kama laiki 3 ni ndogo mbona kapanda jukwaani kuperform, mi nilijua angekataa kupanda jukwaani na ansingekuja kwenye hiyo show
Nashangaa watu wanavyoropoka km huyo chiz mwnzao chid! Laki tatu kapewa kasaidiwa tu kafanya kaz gani ya maajabu hapo!? Kpewa ya kula ck kadhaa tu! Kuliko angepewa bila kufanya chochote, angejishtukia kupokea 😂
Mbona hata na yy hajatumia gharama ya kutafuta hata wa kuwalipa sasa laki3 inakuwaje ndogo wakat kuperform kwenyewe hakufk hata dk10 pia alikuwa peke yake,akiwa anapotezewa anaanza kulalamika kuwa hakumbukwi,,usipokuwa makini Chidy kila msanii mkubwa atakuogopa kukuita ksha urud kwenye kuperform kwenye mabaa na kupewa elfu20 kama miaka kadhaa iliyopta 😃😃😃
Wasanii wa bongo wamekata tamaa wajikuta ma legend wakat mafanikio kma chd yuko poa ila kashaa jkatia tamaa kwajili ya mafanikio ya wenzake na huo ni wivu mchekin na dudubaya ndo hao ma legend wanao tukana wasanii wadogo koz hawana mashair ya kuimba kizazi kipya Kama unapenda mzki sikiliza miziki
Chid Benz ni msenge kinyama kama ulikuwa na hiyo laki tatu si ung'ekataa kwenda kupiga hiyo show fala kweli!!utakufa na maunga yako so jeshi usikatwishwe tamaa na mataga kama huyo
Kweli leo ndio nimeshtuka chid bez kumbe anaakili za kitoto kbs.. Kwan hata angefanya bure kwani amelazimishwa kuja pia sisi inatuhusu nini kama mashabiki, Dogo jinga kbs shoo yenywe ya bure akuna kingilio chochote sasa laki 3 kwa dakika 15 mbona pesa nyingi sana.. Oya temu mm shabiki yako since before 5000 subscriber ..
Huu ulimwengu unakwenda kuisha Sasa, watu wa hovyo hovyo wanaopotosha jamii ndio wamekuwa waheshimiwa, viongozi wa dini ambao ndio warithi wa mitume wanauwawa na kusekwa magerezani kinachofata ni nn unadhani?
Nadhan Kama pesa aliolipwa ni tofaut na makubaliano alitakiwa kufuata utaratibu kudai haki yake,.....alichofany n kudhalilisha tamasha na aliempa dili.......mbn kunawakati wasanii walikua wanafany shoo kwa kupewa nauli tuu....chidy atafany watu wapate hofu kumpa shoo zao........
Jamani baada ya kumwona chuma Basi twendeni tukajifunze uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za viwandani huku kwenye channel yetu RABAONE TV Mafunzo ni BURE KABISAAA Tunafundisha uzalishaji wa bidhaa mbali mbali kama vile sabuni aina zote, lotion, cream, mifuko na zinginezo nyingi.
Harmonize kweli kawa mtu mkubwa yaan kaanza mziki 2014 Leo hii anamlipa cheed benzi wa miaka ya nyuma Sana daaah jamani embu gonga like hapo
Chid benzi ni tejja
Chid benzi mbumbavu tuuu ngoma hana
Ndo maana wana hasira nae
Sema nshukuruni diamond alie mtowa
Awadhi Ismail subscriber channel yangu
Namkubali jeshi Konde boy for everybody 💯🙏💪🔥💥🎤Jeeshi all the way!! Sadikhan boy from KENYA
Jeshi anajitahidi sana kuwabeba ila mijitu bangi haibebeki mbona kiuchifu katulia na maisha mazuri tu yanaenda
Its all about creativity mambo na Ubunifu..
ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man❤ 9:40
Kama unamkubal harmonize gonga like hapa maana namkubal mbaka naumwa yaan
Teja ataka shindana na king harmo jeshiii mtu mwema 😍😘
Harmonize noma sana Kweri we ni jeshi
Hizi story zinatokea wapi !? Jamani hebu tusizenguane hapa !
Jamaa namkubali san
Teja afadhiliki ashazoea maisha ya uteja chidy afadhiliki
Kumamako
@@LeilyMwakajumbajewewe
Kwani kama kaona laki 3 ndogo si angekataa!!!! Kwani kashikiwa bakola au? Konde mbele kwa mbele aturudi nyuma
Kweli angekataa tato unga haumuachi mutu salama
Ngada c mchezo
Sio bure konde atakuwa anakutomba wew🇹🇿🇹🇿
@@danmsafi2383 si alianzia kwako ndo maana unajua
Sjui alitak apewe sh ngp?? Binadamu bhnaa hatulizikii, angekaa tu hiy el angeipt wap Sasa, !!!,
Chid Benz amenivuruga sijaona alichofanya zaidi ya mambo ya kitoto kabisa
Uyo chid benz analake tu kwa konde man km kishajua atapewa lak3 kwnn ackatae boya tu uyo ss mbn kakubal na pes kachua kwa mzik gn alokua nao mpk alew milion naend uk
Uyo konde anahaja nae nn asingemuita atakuja muazirisha bure..teja hana amani
Chid kichwa chake kishapagawa unapomuita sehem utegemee lolote kutokea,
Mm nimeckia mc kasema mimi masi yeye kasikia chid benzi
bro chid unalipwa laki 3 na madogo mlio wa inspire. unga haujawahi kumuacha mtu salama. @chidbenz na tid.
Omari Mtoro sdguyreh
Laki 3 hela ndogo kwa maisha haya na mziki hiiii ya zamani chid come on banaaa
ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man❤
Laki 3 hela ndogo hasa kwa msanii mkubwa kama benzi japo 5 basi
Duh kaaibishwa mdogo wangu
Hata aropoke vipi.... atajijua mwenyewe.... tunasepa mbele... huyo Chizi tulishamsahau... hana jipya. Konde Boy to the World.🤣🤣🤣🤣🤣
Uhakika
Umeona eeeh mteja anatav
Unga bwana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Diana Samson subscriber channel yangu
Huyu chalii anajiskia sana sa ndio ilikua anajiandaa mda wote huo kwenye kosta, acha ujinga mmakonde wew
Chidi ashakuwa hater ana chuki za wazi wzi km ktu hutk ni bora useme tu kulko chuki za kijinga hvy punguza chuki haisaidii
Huyu hampendi harmonize si aliwahi kumponda sasa ndo hiyo anafanya laki 3 nyingi sana kwa yeye na anaimba nini sauti lishakufa
Sahii walipwa na madogo na ww uliokomaa kwa mziki hahah unga hauachi mtu salama
Nmemuona h baba
Ijapokua chid benz ni mla unga bado thamani yake ipo pale pale, hakuna msanii bora wa hip-hop Tanzania hii kama yeye lazima apewe respect yake msimdharau kiiivyo
Umeonaa
Naona umewasahau binadamu wamjali ana nini??? Au apewe heshima ya nini shida ya wasanii Wa bongo wanajisahau sana
Wakati mwingine ukimsaidia mwenzio nae ingalau apate chochote kitu,matokeo yake ni kulaumiwa na matusi,ni bora usimsaidie mtu ili uepushe nongwa.
We boya kweli laki tatu kwa msani kamsaidia nini? Chizi
Mariam Fritsi subscriber channel yangu apo
@@officialmrtop1018 mla unga unataka apewe ngapi?!
@@officialmrtop1018 laki 3 kwa dakika 10 alizoperform ni ndogo? Hapo kalipa watu wangapi na yeye kaingiza ngapi?
@@officialmrtop1018 swali ni kama laiki 3 ni ndogo mbona kapanda jukwaani kuperform, mi nilijua angekataa kupanda jukwaani na ansingekuja kwenye hiyo show
Nashangaa watu wanavyoropoka km huyo chiz mwnzao chid! Laki tatu kapewa kasaidiwa tu kafanya kaz gani ya maajabu hapo!? Kpewa ya kula ck kadhaa tu! Kuliko angepewa bila kufanya chochote, angejishtukia kupokea 😂
Tatizo wanafata akiwa tayali kashakula vitu vyake
William Tarama ata apewe milioni ishilini yote atakula unga
Watu kama woteee
NILIKUWA NAMPENDA ILA ALICHEMSHA MDOMO AWACHIE WANA WAKE NA MAUNGA HAYAMUACHI MTU SAWA ...
Kweli asee uyu mshkaji ata mm amentoka kabisa nilikua fans wake mkubwa ila kafanya ungese fala uyu ana maana teja abebeki
We aunaakil
Hahahaha 😀
mijitu kama hii ndio maana inaachwaga tu yeye alikuwa anataka million 10?
Yuda Daniel subscriber channel yangu
Alivoona kumejaa alidhan ye ndo kajaza hahah
Tatizo ndio hivyo unapomsaidia mwenzio ingalao apate kitu,matokeo ni kulaumiwa,bora usisaidie kuepusha lawama.
Hiyo laki tatu Chidi alitakiwa kupewa tu bila kufanya kazi yoyote, kumpandisha stejini mnatakiwa kumpa pesa zaidi ya hiyo.
Yeye kama nan apewe hyo laki 3 bila kufanya Kaz?
Umeona eeh
si ndio anavyotaka yeye?
Arusha Mix yanini siya unga tu na bangi kwanza hizo nyingi
Arusha Mix we unaweza kumpa mtu ela bila kazi au unasema tu
LAKI 3 YA TANZANIA 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Ukiwa mteja sehemu yoyote lazima uzarauliwe
Hamonaz Big up
si angataa kwanini kakubali kupiga show chid chiz mkorofi.
Chuma nae anabebwa habebeki yaan anazingua kinyama
😂😂😂😂😂
Johnson Bhusag
Hakika hela ndo kila kitu laki tatu zinaenda kukusumbua na ulegendary wako!!
😂😂😂😂
Ukiwa huna akili huo ukubwa wako unakua haina mana amelipwa laki tatu ila hajalazimishwa so hapo utaona upeo wa mtu kama yuko sawa au la
Harmonize jeshi king
Mbona hata na yy hajatumia gharama ya kutafuta hata wa kuwalipa sasa laki3 inakuwaje ndogo wakat kuperform kwenyewe hakufk hata dk10 pia alikuwa peke yake,akiwa anapotezewa anaanza kulalamika kuwa hakumbukwi,,usipokuwa makini Chidy kila msanii mkubwa atakuogopa kukuita ksha urud kwenye kuperform kwenye mabaa na kupewa elfu20 kama miaka kadhaa iliyopta 😃😃😃
chid anazngua sanaa yan kiukwel daaah chid anazngua,..
Madawa noma aiseee
anazngua kamma ndogo kwa nini alipanda jukwaani? sio ustaarabu
Jamani uyo si h baba alie mtusi konde boy
Kichwa cha habari cha kutafutia viewers 😆😆😆🤦🏽♂️
Play back c mzuka izo ni show mbovu
Kuwa makin na kazi mbona hakuna alicho fanya chid kwa konde
Ili li bwana chid Benz pesa zote atauza dawa ya kulevya na iyo ma unga.konde boy fire
Nanyie mnalichukuaga lanini hilo limazalilisha buludani muwe mnaliacha limtu mnalisaidia ila halieleweki lanini
Namuona h baba hapo mlangoni amempisha njia konde boy mziki sio uadui
Chidi kashachizika
Laki tatu izo Mie nazi subiri mwezi mzima aisee yeye amezikamata ndani ya siku moja. Maisha hayawezi kuwa sawa kwa kila mtu
Omary ndio Mimi wew hiyo ni show bro na ndo kaz yake wenzie wanaparfom had kwa million 100 kwa show moja
@@johnsilima6789 kabisa kwa msani kabisa kulipwa laki tatu ni maajabu sana
Wasanii wa bongo wamekata tamaa wajikuta ma legend wakat mafanikio kma chd yuko poa ila kashaa jkatia tamaa kwajili ya mafanikio ya wenzake na huo ni wivu mchekin na dudubaya ndo hao ma legend wanao tukana wasanii wadogo koz hawana mashair ya kuimba kizazi kipya
Kama unapenda mzki sikiliza miziki
Chid Benz ni msenge kinyama kama ulikuwa na hiyo laki tatu si ung'ekataa kwenda kupiga hiyo show fala kweli!!utakufa na maunga yako so jeshi usikatwishwe tamaa na mataga kama huyo
Kweli leo ndio nimeshtuka chid bez kumbe anaakili za kitoto kbs.. Kwan hata angefanya bure kwani amelazimishwa kuja pia sisi inatuhusu nini kama mashabiki, Dogo jinga kbs shoo yenywe ya bure akuna kingilio chochote sasa laki 3 kwa dakika 15 mbona pesa nyingi sana..
Oya temu mm shabiki yako since before 5000 subscriber ..
NAMUONA HECHIBB AMEKUWABODIGADI MLANGONI APO
Fide mgina mshikaji wake sana Kondeboy sasa uyo mlaaa ungaa kazingua
Kwani alilazimishwa iyo kitu alikua akitumia bado inamtatiza awepole
Huu ulimwengu unakwenda kuisha Sasa, watu wa hovyo hovyo wanaopotosha jamii ndio wamekuwa waheshimiwa, viongozi wa dini ambao ndio warithi wa mitume wanauwawa na kusekwa magerezani kinachofata ni nn unadhani?
Kama mmempa laki3 umezingua kaka konde fanya kama unampa milioni hata 20
You got it men 👊
CHID BENZ KUBWA JINGA
My son loves You KONDE boy
Huyo maza na mjezi wa utopolo tumbo km Molinga
Chid benzi ni chizi tuu huyo
Nadhan Kama pesa aliolipwa ni tofaut na makubaliano alitakiwa kufuata utaratibu kudai haki yake,.....alichofany n kudhalilisha tamasha na aliempa dili.......mbn kunawakati wasanii walikua wanafany shoo kwa kupewa nauli tuu....chidy atafany watu wapate hofu kumpa shoo zao........
Jamani baada ya kumwona chuma
Basi twendeni tukajifunze uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za viwandani huku kwenye channel yetu RABAONE TV
Mafunzo ni BURE KABISAAA
Tunafundisha uzalishaji wa bidhaa mbali mbali kama vile sabuni aina zote, lotion, cream, mifuko na zinginezo nyingi.
Chidi nae Sai anazeeka vibaya.....
Tishaa sanaaa Konde BoY🔥🔥
Harmonize hatar
ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man
Kumbe wenyewe hamjui kilichomkera, mbona head lines mnasema kulipwa laki tatu
mshahara wa mtumishi wa serikal wa mwezi ye anaona ndogo msenge nini hata hivo konde anajitahi masaa tu laki tatu duuu
Jid benzi amesha kua chizichiz bangi nying
Jeshi mwamba mondi tupu anaelewa
tisha mbaya mwanang konde gang😂
Flag sana kw Konde boy, sem2 chid madawa yalmfanya kaarb na kutaka kumshusha!!
Usifananishe vumbi la congo na ngano
Chidi Benz unayumba
Chaka yes
Watu wamepinda vby.
Unga haujawahi muacha mtu salama
pôle sana kwak chid kabisa ina leta ahubu 😢
H nakupenda kama nini yan tembo OG yani
Hivi unavaaje jacket kwenye joto mmakonde mwenzangu unaniangusha 😂😂 KONDE MTOTO
Ana tafuta sifa mie huwana mkubali Sema kazingua uyu kwel bangi ndo mana dudu Ana mchamba teja ni teja tu kaniboa sana
Ana maeneno mengi sasa tabia zake asili zinaonekana
We tako nn
Jeshii
😱😱😲😲🥴🥴😸😸😸😂😂😂chid haki nushabiki wangu na wewe kwisha umezingua laki tatu sikidogo
Mabaunsa nafikir wako vzr
Chidi umepitwa nawakati
Uyo teja mzinguzi c angekataa kupiga show anabebwa kisela habebeki!!!!!
Yeye alisema ata bure anafanya sasa kapaniki nini
Ndo apo sasa
Nashangaa
Bange bwana 😂😂😂😂😂😂
Kama nihiv bhac diamond analipa vizur maanna chid hanaga siri
@@themop5408 Sasa bure ndo usilipe bhana byo haihusiani nakulipana,bhac asingelipa Kam nibure
Vin Tz subscriber channel yangu
Magufur
Me I love you harmonice
Haikustaili mkubwa kumuonesha hayo Mdogo ako ...kakukumbuka mpe hekima yake
Bangi mbaya
Jeshiiiiiiii
Media uchwara huwezi kukua kwa kuandika hbr za uongo mark my words.
Duuuh awa mabaunsa hizi walizovaa masikioni nao wana jamaa zao wanaoripotia kama viongozi wakubwa kumbe
Hiyo ni idara TPSI ipo chini ya jeshi la polisi pia