SHUHUDIA CHIDI BENZI AKIMCHANA MAKAVU HARMONIZE "HAMNIWEZI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 377

  • @awadhiismail3154
    @awadhiismail3154 4 года назад +243

    Harmonize kweli kawa mtu mkubwa yaan kaanza mziki 2014 Leo hii anamlipa cheed benzi wa miaka ya nyuma Sana daaah jamani embu gonga like hapo

  • @sadikhanboy
    @sadikhanboy 6 месяцев назад +3

    Namkubali jeshi Konde boy for everybody 💯🙏💪🔥💥🎤Jeeshi all the way!! Sadikhan boy from KENYA

  • @tobaramadhani7139
    @tobaramadhani7139 4 года назад +21

    Jeshi anajitahidi sana kuwabeba ila mijitu bangi haibebeki mbona kiuchifu katulia na maisha mazuri tu yanaenda

  • @ImamshiraziMwidau
    @ImamshiraziMwidau 4 месяца назад +1

    Its all about creativity mambo na Ubunifu..

  • @muhambeKalubala
    @muhambeKalubala 6 месяцев назад +2

    ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man❤ 9:40

  • @meshacksamson1008
    @meshacksamson1008 4 года назад +10

    Kama unamkubal harmonize gonga like hapa maana namkubal mbaka naumwa yaan

  • @lulanatty8474
    @lulanatty8474 4 года назад +2

    Teja ataka shindana na king harmo jeshiii mtu mwema 😍😘

  • @danieljems7810
    @danieljems7810 3 года назад +1

    Harmonize noma sana Kweri we ni jeshi

  • @titobernard383
    @titobernard383 4 года назад +14

    Hizi story zinatokea wapi !? Jamani hebu tusizenguane hapa !

  • @YusuphMtulla
    @YusuphMtulla 6 месяцев назад +2

    Jamaa namkubali san

  • @mussajacob8346
    @mussajacob8346 4 года назад +12

    Teja afadhiliki ashazoea maisha ya uteja chidy afadhiliki

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 4 года назад +64

    Kwani kama kaona laki 3 ndogo si angekataa!!!! Kwani kashikiwa bakola au? Konde mbele kwa mbele aturudi nyuma

  • @alicetowo3645
    @alicetowo3645 4 года назад +17

    Sjui alitak apewe sh ngp?? Binadamu bhnaa hatulizikii, angekaa tu hiy el angeipt wap Sasa, !!!,

  • @lucaswalogwa3821
    @lucaswalogwa3821 4 года назад +31

    Chid Benz amenivuruga sijaona alichofanya zaidi ya mambo ya kitoto kabisa

  • @حمودسالم-ل8ص
    @حمودسالم-ل8ص 4 года назад +15

    Uyo chid benz analake tu kwa konde man km kishajua atapewa lak3 kwnn ackatae boya tu uyo ss mbn kakubal na pes kachua kwa mzik gn alokua nao mpk alew milion naend uk

    • @zenamadhan2517
      @zenamadhan2517 4 года назад +1

      Uyo konde anahaja nae nn asingemuita atakuja muazirisha bure..teja hana amani

  • @yasinitwalika1565
    @yasinitwalika1565 6 месяцев назад +1

    Chid kichwa chake kishapagawa unapomuita sehem utegemee lolote kutokea,
    Mm nimeckia mc kasema mimi masi yeye kasikia chid benzi

  • @omarimtoro58
    @omarimtoro58 4 года назад +3

    bro chid unalipwa laki 3 na madogo mlio wa inspire. unga haujawahi kumuacha mtu salama. @chidbenz na tid.

  • @flightclubtanzania1638
    @flightclubtanzania1638 4 года назад +1

    Laki 3 hela ndogo kwa maisha haya na mziki hiiii ya zamani chid come on banaaa

  • @muhambeKalubala
    @muhambeKalubala 6 месяцев назад

    ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man❤

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 4 года назад +3

    Laki 3 hela ndogo hasa kwa msanii mkubwa kama benzi japo 5 basi

  • @jwasafiog5416
    @jwasafiog5416 4 года назад +5

    Duh kaaibishwa mdogo wangu

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 4 года назад +12

    Hata aropoke vipi.... atajijua mwenyewe.... tunasepa mbele... huyo Chizi tulishamsahau... hana jipya. Konde Boy to the World.🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bonnysureolkokolaboy4342
    @bonnysureolkokolaboy4342 4 года назад

    Huyu chalii anajiskia sana sa ndio ilikua anajiandaa mda wote huo kwenye kosta, acha ujinga mmakonde wew

  • @saidijuma9386
    @saidijuma9386 4 года назад +28

    Chidi ashakuwa hater ana chuki za wazi wzi km ktu hutk ni bora useme tu kulko chuki za kijinga hvy punguza chuki haisaidii

    • @mwajujomba7782
      @mwajujomba7782 4 года назад

      Huyu hampendi harmonize si aliwahi kumponda sasa ndo hiyo anafanya laki 3 nyingi sana kwa yeye na anaimba nini sauti lishakufa

  • @halimapatricia5882
    @halimapatricia5882 4 года назад +12

    Sahii walipwa na madogo na ww uliokomaa kwa mziki hahah unga hauachi mtu salama

  • @IqbaraAzizi
    @IqbaraAzizi 4 месяца назад +2

    Nmemuona h baba

  • @salimsalum7728
    @salimsalum7728 4 года назад +4

    Ijapokua chid benz ni mla unga bado thamani yake ipo pale pale, hakuna msanii bora wa hip-hop Tanzania hii kama yeye lazima apewe respect yake msimdharau kiiivyo

    • @rukyaabdilo7921
      @rukyaabdilo7921 4 года назад

      Umeonaa

    • @mwitajohaness8816
      @mwitajohaness8816 4 года назад

      Naona umewasahau binadamu wamjali ana nini??? Au apewe heshima ya nini shida ya wasanii Wa bongo wanajisahau sana

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +41

    Wakati mwingine ukimsaidia mwenzio nae ingalau apate chochote kitu,matokeo yake ni kulaumiwa na matusi,ni bora usimsaidie mtu ili uepushe nongwa.

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      We boya kweli laki tatu kwa msani kamsaidia nini? Chizi

    • @kamaakamaa1795
      @kamaakamaa1795 4 года назад +1

      Mariam Fritsi subscriber channel yangu apo

    • @seifdisail3007
      @seifdisail3007 4 года назад +1

      @@officialmrtop1018 mla unga unataka apewe ngapi?!

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu 4 года назад +2

      @@officialmrtop1018 laki 3 kwa dakika 10 alizoperform ni ndogo? Hapo kalipa watu wangapi na yeye kaingiza ngapi?

    • @mxofmfk8406
      @mxofmfk8406 4 года назад +3

      @@officialmrtop1018 swali ni kama laiki 3 ni ndogo mbona kapanda jukwaani kuperform, mi nilijua angekataa kupanda jukwaani na ansingekuja kwenye hiyo show

  • @williamtarama4589
    @williamtarama4589 4 года назад +8

    Nashangaa watu wanavyoropoka km huyo chiz mwnzao chid! Laki tatu kapewa kasaidiwa tu kafanya kaz gani ya maajabu hapo!? Kpewa ya kula ck kadhaa tu! Kuliko angepewa bila kufanya chochote, angejishtukia kupokea 😂

    • @feyramsozclass4015
      @feyramsozclass4015 4 года назад

      Tatizo wanafata akiwa tayali kashakula vitu vyake

    • @ndevundavo7798
      @ndevundavo7798 4 года назад

      William Tarama ata apewe milioni ishilini yote atakula unga

  • @monalisalucas6078
    @monalisalucas6078 4 года назад +1

    Watu kama woteee

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 года назад +21

    NILIKUWA NAMPENDA ILA ALICHEMSHA MDOMO AWACHIE WANA WAKE NA MAUNGA HAYAMUACHI MTU SAWA ...

    • @indiaboytz5731
      @indiaboytz5731 4 года назад

      Kweli asee uyu mshkaji ata mm amentoka kabisa nilikua fans wake mkubwa ila kafanya ungese fala uyu ana maana teja abebeki

    • @hassansalumu932
      @hassansalumu932 4 года назад

      We aunaakil

    • @nicehamis2448
      @nicehamis2448 4 года назад

      Hahahaha 😀

  • @yudadaniel4867
    @yudadaniel4867 4 года назад +12

    mijitu kama hii ndio maana inaachwaga tu yeye alikuwa anataka million 10?

    • @kamaakamaa1795
      @kamaakamaa1795 4 года назад

      Yuda Daniel subscriber channel yangu

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu 4 года назад +1

      Alivoona kumejaa alidhan ye ndo kajaza hahah

    • @mariamfritsi9761
      @mariamfritsi9761 4 года назад

      Tatizo ndio hivyo unapomsaidia mwenzio ingalao apate kitu,matokeo ni kulaumiwa,bora usisaidie kuepusha lawama.

  • @arushamix6036
    @arushamix6036 4 года назад +10

    Hiyo laki tatu Chidi alitakiwa kupewa tu bila kufanya kazi yoyote, kumpandisha stejini mnatakiwa kumpa pesa zaidi ya hiyo.

    • @fahamnitwahir9249
      @fahamnitwahir9249 4 года назад +1

      Yeye kama nan apewe hyo laki 3 bila kufanya Kaz?

    • @alicetowo3645
      @alicetowo3645 4 года назад

      Umeona eeh

    • @arushamix6036
      @arushamix6036 4 года назад

      si ndio anavyotaka yeye?

    • @ndevundavo7798
      @ndevundavo7798 4 года назад +1

      Arusha Mix yanini siya unga tu na bangi kwanza hizo nyingi

    • @tobaramadhani7139
      @tobaramadhani7139 4 года назад

      Arusha Mix we unaweza kumpa mtu ela bila kazi au unasema tu

  • @SaibMafimbo
    @SaibMafimbo 7 месяцев назад +1

    LAKI 3 YA TANZANIA 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @DisBes
    @DisBes 6 месяцев назад

    Ukiwa mteja sehemu yoyote lazima uzarauliwe

  • @sammysammy2001
    @sammysammy2001 4 года назад +2

    Hamonaz Big up

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 4 года назад +1

    si angataa kwanini kakubali kupiga show chid chiz mkorofi.

  • @johnsonbhusagwe6945
    @johnsonbhusagwe6945 4 года назад +21

    Chuma nae anabebwa habebeki yaan anazingua kinyama

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 4 года назад +14

    Hakika hela ndo kila kitu laki tatu zinaenda kukusumbua na ulegendary wako!!

    • @abastansanga7256
      @abastansanga7256 4 года назад

      😂😂😂😂

    • @pgabbermusic5423
      @pgabbermusic5423 4 года назад +2

      Ukiwa huna akili huo ukubwa wako unakua haina mana amelipwa laki tatu ila hajalazimishwa so hapo utaona upeo wa mtu kama yuko sawa au la

  • @inoskingreskape8476
    @inoskingreskape8476 3 года назад

    Harmonize jeshi king

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 4 года назад +1

    Mbona hata na yy hajatumia gharama ya kutafuta hata wa kuwalipa sasa laki3 inakuwaje ndogo wakat kuperform kwenyewe hakufk hata dk10 pia alikuwa peke yake,akiwa anapotezewa anaanza kulalamika kuwa hakumbukwi,,usipokuwa makini Chidy kila msanii mkubwa atakuogopa kukuita ksha urud kwenye kuperform kwenye mabaa na kupewa elfu20 kama miaka kadhaa iliyopta 😃😃😃

  • @raheemyusuph5694
    @raheemyusuph5694 4 года назад +5

    chid anazngua sanaa yan kiukwel daaah chid anazngua,..

  • @sideboy3164
    @sideboy3164 4 года назад +1

    Madawa noma aiseee

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph4907 4 года назад +17

    anazngua kamma ndogo kwa nini alipanda jukwaani? sio ustaarabu

  • @RajabuShaibu-m6d
    @RajabuShaibu-m6d 6 месяцев назад +1

    Jamani uyo si h baba alie mtusi konde boy

  • @ismailmajala2802
    @ismailmajala2802 4 года назад +3

    Kichwa cha habari cha kutafutia viewers 😆😆😆🤦🏽‍♂️

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 4 года назад +3

    Play back c mzuka izo ni show mbovu

  • @danielmwangonda8380
    @danielmwangonda8380 4 года назад +5

    Kuwa makin na kazi mbona hakuna alicho fanya chid kwa konde

  • @henryd.rcongo2287
    @henryd.rcongo2287 4 года назад +4

    Ili li bwana chid Benz pesa zote atauza dawa ya kulevya na iyo ma unga.konde boy fire

  • @mrishodaudi2243
    @mrishodaudi2243 4 года назад

    Nanyie mnalichukuaga lanini hilo limazalilisha buludani muwe mnaliacha limtu mnalisaidia ila halieleweki lanini

  • @osmanmussa6596
    @osmanmussa6596 6 месяцев назад

    Namuona h baba hapo mlangoni amempisha njia konde boy mziki sio uadui

  • @browntiger4849
    @browntiger4849 4 года назад +4

    Chidi kashachizika

  • @amourabbas2306
    @amourabbas2306 4 года назад +6

    Laki tatu izo Mie nazi subiri mwezi mzima aisee yeye amezikamata ndani ya siku moja. Maisha hayawezi kuwa sawa kwa kila mtu

    • @johnsilima6789
      @johnsilima6789 4 года назад +2

      Omary ndio Mimi wew hiyo ni show bro na ndo kaz yake wenzie wanaparfom had kwa million 100 kwa show moja

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад

      @@johnsilima6789 kabisa kwa msani kabisa kulipwa laki tatu ni maajabu sana

    • @s.y.b..0039
      @s.y.b..0039 4 года назад +2

      Wasanii wa bongo wamekata tamaa wajikuta ma legend wakat mafanikio kma chd yuko poa ila kashaa jkatia tamaa kwajili ya mafanikio ya wenzake na huo ni wivu mchekin na dudubaya ndo hao ma legend wanao tukana wasanii wadogo koz hawana mashair ya kuimba kizazi kipya
      Kama unapenda mzki sikiliza miziki

  • @yohanamollel988
    @yohanamollel988 4 года назад +1

    Chid Benz ni msenge kinyama kama ulikuwa na hiyo laki tatu si ung'ekataa kwenda kupiga hiyo show fala kweli!!utakufa na maunga yako so jeshi usikatwishwe tamaa na mataga kama huyo

  • @benhorta5121
    @benhorta5121 4 года назад +1

    Kweli leo ndio nimeshtuka chid bez kumbe anaakili za kitoto kbs.. Kwan hata angefanya bure kwani amelazimishwa kuja pia sisi inatuhusu nini kama mashabiki, Dogo jinga kbs shoo yenywe ya bure akuna kingilio chochote sasa laki 3 kwa dakika 15 mbona pesa nyingi sana..
    Oya temu mm shabiki yako since before 5000 subscriber ..

  • @fidemgina9979
    @fidemgina9979 4 года назад +4

    NAMUONA HECHIBB AMEKUWABODIGADI MLANGONI APO

    • @ndevundavo7798
      @ndevundavo7798 4 года назад +1

      Fide mgina mshikaji wake sana Kondeboy sasa uyo mlaaa ungaa kazingua

  • @ameeraaljassim4138
    @ameeraaljassim4138 4 года назад +3

    Kwani alilazimishwa iyo kitu alikua akitumia bado inamtatiza awepole

  • @umizandonga8867
    @umizandonga8867 4 года назад +1

    Huu ulimwengu unakwenda kuisha Sasa, watu wa hovyo hovyo wanaopotosha jamii ndio wamekuwa waheshimiwa, viongozi wa dini ambao ndio warithi wa mitume wanauwawa na kusekwa magerezani kinachofata ni nn unadhani?

  • @fathermaskeli1212
    @fathermaskeli1212 5 месяцев назад

    Kama mmempa laki3 umezingua kaka konde fanya kama unampa milioni hata 20

  • @Favour-keys
    @Favour-keys 4 года назад +1

    You got it men 👊

  • @mnyamwezitv382
    @mnyamwezitv382 4 года назад +1

    CHID BENZ KUBWA JINGA

  • @susanmwalili4365
    @susanmwalili4365 4 года назад

    My son loves You KONDE boy

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599 4 года назад

    Huyo maza na mjezi wa utopolo tumbo km Molinga

  • @6VEVONEWS
    @6VEVONEWS 8 месяцев назад

    Chid benzi ni chizi tuu huyo

  • @fadyshaby8320
    @fadyshaby8320 4 года назад

    Nadhan Kama pesa aliolipwa ni tofaut na makubaliano alitakiwa kufuata utaratibu kudai haki yake,.....alichofany n kudhalilisha tamasha na aliempa dili.......mbn kunawakati wasanii walikua wanafany shoo kwa kupewa nauli tuu....chidy atafany watu wapate hofu kumpa shoo zao........

  • @rabaonetv
    @rabaonetv 4 года назад +1

    Jamani baada ya kumwona chuma
    Basi twendeni tukajifunze uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za viwandani huku kwenye channel yetu RABAONE TV
    Mafunzo ni BURE KABISAAA
    Tunafundisha uzalishaji wa bidhaa mbali mbali kama vile sabuni aina zote, lotion, cream, mifuko na zinginezo nyingi.

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 4 года назад +1

    Chidi nae Sai anazeeka vibaya.....

  • @shillaedmund
    @shillaedmund 4 года назад +4

    Tishaa sanaaa Konde BoY🔥🔥

  • @BenjaminMwakalasya
    @BenjaminMwakalasya 6 месяцев назад

    Harmonize hatar

  • @muhambeKalubala
    @muhambeKalubala 6 месяцев назад

    ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 4 года назад +1

    Kumbe wenyewe hamjui kilichomkera, mbona head lines mnasema kulipwa laki tatu

  • @thabitisimba1143
    @thabitisimba1143 4 года назад

    mshahara wa mtumishi wa serikal wa mwezi ye anaona ndogo msenge nini hata hivo konde anajitahi masaa tu laki tatu duuu

  • @DONALDYOWAS-rr7tz
    @DONALDYOWAS-rr7tz Месяц назад

    Jid benzi amesha kua chizichiz bangi nying

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og Год назад

    Jeshi mwamba mondi tupu anaelewa

  • @dancerschanel8682
    @dancerschanel8682 3 года назад

    tisha mbaya mwanang konde gang😂

  • @kingrasdee445
    @kingrasdee445 4 года назад +2

    Flag sana kw Konde boy, sem2 chid madawa yalmfanya kaarb na kutaka kumshusha!!

  • @marthachawe7288
    @marthachawe7288 4 года назад

    Usifananishe vumbi la congo na ngano

  • @christophertarimo8877
    @christophertarimo8877 4 года назад

    Chidi Benz unayumba

  • @juliasitemba4410
    @juliasitemba4410 4 года назад +3

    Chaka yes

  • @tumabhay8576
    @tumabhay8576 4 года назад +2

    Watu wamepinda vby.

  • @ndevundavo7798
    @ndevundavo7798 4 года назад +1

    Unga haujawahi muacha mtu salama

  • @muhambeKalubala
    @muhambeKalubala 6 месяцев назад

    pôle sana kwak chid kabisa ina leta ahubu 😢

  • @faidamakoye7735
    @faidamakoye7735 4 года назад

    H nakupenda kama nini yan tembo OG yani

  • @cassianowaeast1108
    @cassianowaeast1108 4 года назад +1

    Hivi unavaaje jacket kwenye joto mmakonde mwenzangu unaniangusha 😂😂 KONDE MTOTO

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 4 года назад +11

    Ana tafuta sifa mie huwana mkubali Sema kazingua uyu kwel bangi ndo mana dudu Ana mchamba teja ni teja tu kaniboa sana

  • @alimairakoze3784
    @alimairakoze3784 4 года назад +2

    Jeshii

  • @geofreyniyonkuru5724
    @geofreyniyonkuru5724 4 года назад

    😱😱😲😲🥴🥴😸😸😸😂😂😂chid haki nushabiki wangu na wewe kwisha umezingua laki tatu sikidogo

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 4 года назад +2

    Mabaunsa nafikir wako vzr

  • @glorymillinga9843
    @glorymillinga9843 4 года назад +2

    Chidi umepitwa nawakati

  • @zakariamgowe2534
    @zakariamgowe2534 4 года назад

    Uyo teja mzinguzi c angekataa kupiga show anabebwa kisela habebeki!!!!!

  • @aboyfromkilosa4714
    @aboyfromkilosa4714 4 года назад +6

    Yeye alisema ata bure anafanya sasa kapaniki nini

  • @hameesmohamed9236
    @hameesmohamed9236 4 года назад +9

    Bange bwana 😂😂😂😂😂😂

  • @vintz338
    @vintz338 4 года назад +2

    Kama nihiv bhac diamond analipa vizur maanna chid hanaga siri

    • @vintz338
      @vintz338 4 года назад

      @@themop5408 Sasa bure ndo usilipe bhana byo haihusiani nakulipana,bhac asingelipa Kam nibure

    • @kamaakamaa1795
      @kamaakamaa1795 4 года назад

      Vin Tz subscriber channel yangu

  • @issabakari3487
    @issabakari3487 4 года назад +1

    Magufur

  • @tekonmwangi4232
    @tekonmwangi4232 4 года назад

    Me I love you harmonice

  • @humphreymwamasage9805
    @humphreymwamasage9805 4 года назад +4

    Haikustaili mkubwa kumuonesha hayo Mdogo ako ...kakukumbuka mpe hekima yake

  • @zarhaalmasi7170
    @zarhaalmasi7170 4 года назад

    Bangi mbaya

  • @giftbrezzy2226
    @giftbrezzy2226 4 года назад +1

    Jeshiiiiiiii

  • @gobbywilliam2324
    @gobbywilliam2324 4 года назад

    Media uchwara huwezi kukua kwa kuandika hbr za uongo mark my words.

  • @japharykassim6371
    @japharykassim6371 4 года назад +7

    Duuuh awa mabaunsa hizi walizovaa masikioni nao wana jamaa zao wanaoripotia kama viongozi wakubwa kumbe