Pole Deo , tumia tangawizi kwa mafua. Naomba nishauri natamani nisafiri kwenda kufanya kazi New Zealand au Australia kwa job offer ya delivery driver vehicle. Hiyo claim ya kuomba ukimbizi imekaaje?
@@shijamoviestv288tupo wengi sana ambao tunahitaji kujikwamua kimaisha kupitia ninyi ambao mmesha fanikisha badhi ya ndoto hizi je! Mnatusaidiaje kuja?
Hata Mimi nimetoka kwenye live ya Devota🎉🎉🎉 acha nifuatilie video zako🎉
Pamoja sana brother... from TEGETA dsm
Jambo kaka Mimi ni mkimbizi naitaji sana namba Yako kaka nataka unijuze mambo kidogo kaka yungu mungu akubariki sana kaka
Shija nakutafuta
Pamoja sana kiongozi
Nimekupata sana nilikuona kwenye live ya Devote acha nianze mwanzo video zote❤
Bwana atakuponya
ulisoma TOSA?
Kaka naomba kuliza ..unapojitambulisha pale airport je unaificha passport au unakuwa nayo tu ...naitaj kufaham hapo
Ficha passport yaani ficha au kama kuna unayemuamini mpe ,wengine wanafrash chooni kabisa😂
Pole Deo , tumia tangawizi kwa mafua. Naomba nishauri natamani nisafiri kwenda kufanya kazi New Zealand au Australia kwa job offer ya delivery driver vehicle. Hiyo claim ya kuomba ukimbizi imekaaje?
Kama umepata visa nijulishe
Ule msemo wako wa katka filam nimetoka mara moja ulaya leo hii kweli upo ulaya mdomo una umba ongela sana bro
Faza nitakucheki kwenye namba ako
Shija mm asha wa umoja club nakutafuta sana shija
0756661333
@@shijamoviestv288tupo wengi sana ambao tunahitaji kujikwamua kimaisha kupitia ninyi ambao mmesha fanikisha badhi ya ndoto hizi je! Mnatusaidiaje kuja?
Mbona mnaangaika sana kutafuta makazi kwenye nchi za watu kwani kwenu mmeua au ndo kukata tamaa ya maisha
Nyumbani Kuna mafutiko na Hakuna Umeme na gharama za maisha zimepanda
Unatoboa Kwa shida sana hapa home
Brother ninashida na namba yako naweza kupata
0756661333