Mzee Muhogo mchungu kwa mara kwanza nilimwona live kariakoo duka fulani la Waarabu. Kavaa ovyo tu kwani mkewe hamtunzi mmewe kuwa nadhifu maana ni kioo cha jamii. Hata hapo kwenye hafla hajawa smati. Pole M.Mchungu.
Key nakukubali sana unakipaji mashallah sema nakushauri jiweke smart upo lafu sana ilo shat limepauka nakushauri tu cz nakupenda kama nimekosea nisameheni
😂🤣Uyu mzee majina yake yanaweza kutoshea yote kwa kadi ya kitambulisho cha Tanzania kweli . Pengine atengenezewe passport lefu ili majina yake yote yatosheye . Daa zaidi 😂🤣💪👊booom
Utamaduni wawa TANZANIA unapotea yaani baadhi ya waandishi hawawasalimii wakubwa zao kama ilivyo desturi umamsikia mtu anamwambia mkubwa wakr heshima yako ndio salamu gani sikama baba yako huyu mzee ukimwamkia utakatika ulimi
Mziwanda hujajua kuuliza maswali kwa mtu mzima na vijana hembu jaribu kuuliza vizuri na sio heshima yako salimia.kwa heshima kwani shikamoo ni ushamba?
Tatizo la baadhi ya waandishi wa habari hawajipangi kumuuliza mtu maswali inaelekea wanakupuka na cjui kama wamepitia kwenye chuo cha uandishi wa habari kama huyu hajui jinsi yakumuuliza mtu
Maisha halisi ya MTU sio kuhojiwa kwenye ukumbi nijuavyo Mimi,maisha halisi ni kuwa yuko nyumbani mnaona maisha anayoishi na kama ana miradi mnaiona sasa uko kutuambia maisha halisi ya msanii alafu atuoni anapoish,mnafeli wapi watangazaji
Aki Mzee mhogo mchungu wafurahisha sana mungu akulinde babaa
Mzee Muhogo mchungu kwa mara kwanza nilimwona live kariakoo duka fulani la Waarabu. Kavaa ovyo tu kwani mkewe hamtunzi mmewe kuwa nadhifu maana ni kioo cha jamii. Hata hapo kwenye hafla hajawa smati. Pole M.Mchungu.
Nimempenda sana huyu mzee najibu automatic
Safi sana mzee majibu konkiii 👏👏👏
Key nakukubali sana unakipaji mashallah sema nakushauri jiweke smart upo lafu sana ilo shat limepauka nakushauri tu cz nakupenda kama nimekosea nisameheni
😂😂😂😂 ujuemb umefka
😅😅😅
😂🤣Uyu mzee majina yake yanaweza kutoshea yote kwa kadi ya kitambulisho cha Tanzania kweli . Pengine atengenezewe passport lefu ili majina yake yote yatosheye . Daa zaidi 😂🤣💪👊booom
Sijazaa mm Anaezaa ni Mkewangu 🤣🤣🤣🤣 Majibu Konkii mwaga mboga nimwage Ugalii"
Dah! Kweli huyu Muhogo mchungu.😀😁
Diana mashallah
Utamaduni wawa TANZANIA unapotea yaani baadhi ya waandishi hawawasalimii wakubwa zao kama ilivyo desturi umamsikia mtu anamwambia mkubwa wakr heshima yako ndio salamu gani sikama baba yako huyu mzee ukimwamkia utakatika ulimi
Mziwanda umepatikana leo 😄🤣😂
Mziwanda hujajua kuuliza maswali kwa mtu mzima na vijana hembu jaribu kuuliza vizuri na sio heshima yako salimia.kwa heshima kwani shikamoo ni ushamba?
Hapo sasa
Nishida mzee mchungu majibu makalu mnoooooo
K mziwanda leo umepatikana
Nakubali mzee
Saaafii Sana mzee muogo
Nakupenda Mzee
Aliyesikia mtangazaji akisema halfa badala ya hafla gonga like 😁😁
Huyu Dada aisee sijawahi elewa kazi yake 😏🙄
Mzee we unawaweza wandish. Congore kwKo
Uko.vizuri
Kweli makolo shida. Neno ghafla limemshinda kutamka mpaka anasema ghalafu😂😂😂😂
Safi sana Muhogo mchungu
Mzee muhogo amejaza hekima kweli.
Kimeumana Leo hayo majibu tu 😂 😂😂😂
Safi sana mzee muogo majibu yako mazur
Mtangazaji na mhogomchungu kimeumana 😂😂😂😂mana sikwamajibizanohao 🤣
Mbona mkali mzee Muhogo mchungu. Hasira kwa uwingi.
Mziwanda leo umezidiwa lugha😀😀
Oya mzuanda JIFUNZE maswali ya kuwa uliza watu wazima Kama hao
hawa wasanii wapongezwe maana wametuburudisha sana miaka mingi
hajzaa kazaa mkeo 🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸
🤣🤣🤣🤣🤣 dah huyu mnzee hafai
Tatizo la baadhi ya waandishi wa habari hawajipangi kumuuliza mtu maswali inaelekea wanakupuka na cjui kama wamepitia kwenye chuo cha uandishi wa habari kama huyu hajui jinsi yakumuuliza mtu
🤪Nziwanda Leo kazi unayo hutoshi hapo 🤣
Majibu konki !!!! nahisi Mzee kalazimishwa kuhojiwa!!!!
Muzee mhogo mchungu nimhuni aliezeeka
Tatizo mwanamke huyu mchaga kiswahili kiswahili sio asili yako ndio mana intervew inakua ngumu mno
Yaani huyu Dada sijawahi muelewa Kbsa sijuwi ana maswali gani,, Eneo waliopo na Maswali yake haviendani kbs 🙄😏
Majibu KAMA ameanguka PUNDA
Me here au kengele?
Kiswahili kinapotea
Apo c kwenye maisha yake halis ila umemkuta tu kwenye sherehe ungemfata nyumban kwake tukakuona kulivyo
Yn mie ngachoka
huyu jamaa mbona yupo kimya siku hizi
Maisha halisi ya MTU sio kuhojiwa kwenye ukumbi nijuavyo Mimi,maisha halisi ni kuwa yuko nyumbani mnaona maisha anayoishi na kama ana miradi mnaiona sasa uko kutuambia maisha halisi ya msanii alafu atuoni anapoish,mnafeli wapi watangazaji
Hiyo ndio najiuliza kila siku, wanacho andika na wanachohoji ni tofauti
@@abdallahpesa1456 au wanaona ndo watatzamwa sana
Mzee kumbe yupo
Ni kweli angekuepo kanumba solo la filami lingefika mbali
Muongo mkubwa wew
Hahahahahahahaha muhogo mchungu chizi kwelikweli
😂😂😂😂leo umepatikana
Namkubali
Sawa
Mbengo mnachosha kila saa mkifanya interview lazima mlinganishe mondi na harmonize
That's fuct
😁😁😁😁sijajua..nitafanya utafiti
Kanumba kaondoka na bongo movie
Baada yamajuto nakukubali sn baba.
Hahaha alhumhum
Eti mnaonyesha mjengo
Mwandishi Rudi shule hujui kuendesha mahojiano.
Hajielewi huyu mzer
Kweli majina konki
Masweli ya kisenge kweli Yan mnalinganisha wasanii wamaigizo namziki ndonn
Muhogo mchungu jeuri balaaa ruvuma oyeeee
Kwenye hii ghalufa. 😂😂😂😂
Muhogo msanii
Mtangazsji msanii
Ngoma suluhu
🤣🤣🤣🤣 jamani majina ayo
Msamiati kwa uwingiiiii hadi kupotosha.
Ila maswalli mengine kolable wakat hajawah. Kuimba
Hapo na maisha Harris añaishi ukumbin et
Ndy eti 😂😂
Hautarudia tena wewe 😂😂
Yani huyu jamaa si mchezo anaakili sana licha yakua amezeeka
Sio Alfa ni Hafla
Tatizo nikwamba hizo picha za nyumba sio za hao walengwa tunaomba utuoneshe halisi
"Halfa" au "hafla"??!! Hahahahaaaaaa
Watangazaji wengi wa sasa mnatakiwa umkajifunze kuoji maswali
Halfa au Hafla?
Mzee mtata hatar sana
Sasa huyu sio Mtangazaji...anahoji bila content kabisaa
Nmecheka na hy majb na sura yk kavu
Hatar
Inapendeza
Kwenye Halfa huna sumu
Leo umekamatika😅😅mpaka umekosa pouzzz hauridii tena kumhoj🤣🤣
😂😂😂😂😂
Akiwa na Nyumba hiyo nakunya hap hadi mkoani
😅😅😅😅
Muhogo mchungu kwa nyanya
Waandish wa habr wa sk hz wapuuzi kwel unataka ujue nyumba zake za nn??
Unamhusianisha na diamond wa nn
Ujinga mttup
Mtangazaji sio alfa ni hafla
Ni hafla sio halfa. Wewe vipi!!
Hafla dada sio halfa.
Hahahaha hihihihi
😀😀😀😀😀 htr na nusu mzee mchungu
Huyo muhogo mchungu atoe hizo ndevu ziko kama uchafu maana hazihudumii zinaonekana kama uchafu
Kivipi my
Nyie mnataka ndevu zake au kazi zake??
Ongeza bidii ya kufikiri , tafadhali
Umenichekesha wewe jamaa
😃😃😃😃
kumamako
Mzee kachanganyikiwa
Kachanganyikiwa kivipi
Haka tomboy kachoko sana
Hizo nyumba munazo zituma za waingizaji au mwatuma tu
Wanataka view 😏
nimemkubar muhogo mchungu
Mzungu huyu amzimia diamond
ruclips.net/video/zcjWqCFgGhM/видео.html
UPO VIZURI@MUHOGO MCHUNGU
Diamond platnumz kazimia kwenye show 😢😢ruclips.net/video/e_uV56dLtMI/видео.html
kwakwer kwenye gugo ata miee mwalimu wangu walah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣