UTAPENDA MAISHA HALISHI YA MUHOGO MCHUNGU UTACHEKA MAJIBU YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2021

Комментарии • 124

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад +1

    Aki Mzee mhogo mchungu wafurahisha sana mungu akulinde babaa

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 2 года назад +1

    Mzee Muhogo mchungu kwa mara kwanza nilimwona live kariakoo duka fulani la Waarabu. Kavaa ovyo tu kwani mkewe hamtunzi mmewe kuwa nadhifu maana ni kioo cha jamii. Hata hapo kwenye hafla hajawa smati. Pole M.Mchungu.

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 года назад +7

    Nimempenda sana huyu mzee najibu automatic

  • @mannabu9333
    @mannabu9333 2 года назад +2

    Safi sana mzee majibu konkiii 👏👏👏

  • @muscatinternational4041
    @muscatinternational4041 2 года назад +2

    Key nakukubali sana unakipaji mashallah sema nakushauri jiweke smart upo lafu sana ilo shat limepauka nakushauri tu cz nakupenda kama nimekosea nisameheni

  • @paulkaruma8480
    @paulkaruma8480 2 года назад +2

    😂🤣Uyu mzee majina yake yanaweza kutoshea yote kwa kadi ya kitambulisho cha Tanzania kweli . Pengine atengenezewe passport lefu ili majina yake yote yatosheye . Daa zaidi 😂🤣💪👊booom

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 2 года назад +2

    Sijazaa mm Anaezaa ni Mkewangu 🤣🤣🤣🤣 Majibu Konkii mwaga mboga nimwage Ugalii"

  • @meekman1805
    @meekman1805 2 года назад +3

    Dah! Kweli huyu Muhogo mchungu.😀😁

  • @dianamashallah3191
    @dianamashallah3191 2 года назад

    Diana mashallah

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 2 года назад +1

    Utamaduni wawa TANZANIA unapotea yaani baadhi ya waandishi hawawasalimii wakubwa zao kama ilivyo desturi umamsikia mtu anamwambia mkubwa wakr heshima yako ndio salamu gani sikama baba yako huyu mzee ukimwamkia utakatika ulimi

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 2 года назад +2

    Mziwanda umepatikana leo 😄🤣😂

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 2 года назад +3

    Mziwanda hujajua kuuliza maswali kwa mtu mzima na vijana hembu jaribu kuuliza vizuri na sio heshima yako salimia.kwa heshima kwani shikamoo ni ushamba?

  • @halimamnyati9311
    @halimamnyati9311 2 года назад +1

    Nishida mzee mchungu majibu makalu mnoooooo

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 2 года назад +2

    K mziwanda leo umepatikana

  • @hamadrashid8065
    @hamadrashid8065 Год назад

    Nakubali mzee

  • @rosestephano7657
    @rosestephano7657 2 года назад

    Saaafii Sana mzee muogo

  • @oliviershadrack1620
    @oliviershadrack1620 2 года назад

    Nakupenda Mzee

  • @sarahmaganga9734
    @sarahmaganga9734 2 года назад +1

    Aliyesikia mtangazaji akisema halfa badala ya hafla gonga like 😁😁

    • @Mimy_keys
      @Mimy_keys 2 года назад

      Huyu Dada aisee sijawahi elewa kazi yake 😏🙄

  • @jafarbweyegwa9840
    @jafarbweyegwa9840 2 года назад +1

    Mzee we unawaweza wandish. Congore kwKo

  • @eliudtibanimunguwidsoni4290
    @eliudtibanimunguwidsoni4290 2 года назад

    Uko.vizuri

  • @jumasaidi8157
    @jumasaidi8157 2 года назад +1

    Kweli makolo shida. Neno ghafla limemshinda kutamka mpaka anasema ghalafu😂😂😂😂

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад +1

    Safi sana Muhogo mchungu

  • @davidthegreat7779
    @davidthegreat7779 2 года назад +1

    Mzee muhogo amejaza hekima kweli.

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 2 года назад +3

    Kimeumana Leo hayo majibu tu 😂 😂😂😂

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 2 года назад +1

    Mtangazaji na mhogomchungu kimeumana 😂😂😂😂mana sikwamajibizanohao 🤣

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 2 года назад

    Mbona mkali mzee Muhogo mchungu. Hasira kwa uwingi.

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 2 года назад +1

    Mziwanda leo umezidiwa lugha😀😀

  • @issaissah8832
    @issaissah8832 2 года назад +2

    Oya mzuanda JIFUNZE maswali ya kuwa uliza watu wazima Kama hao

  • @kainimlowe7555
    @kainimlowe7555 2 года назад +1

    hawa wasanii wapongezwe maana wametuburudisha sana miaka mingi

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад +1

    hajzaa kazaa mkeo 🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸

  • @mustaphahassan8407
    @mustaphahassan8407 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣 dah huyu mnzee hafai

  • @seifmbembe95
    @seifmbembe95 2 года назад +1

    Tatizo la baadhi ya waandishi wa habari hawajipangi kumuuliza mtu maswali inaelekea wanakupuka na cjui kama wamepitia kwenye chuo cha uandishi wa habari kama huyu hajui jinsi yakumuuliza mtu

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 2 года назад +1

    🤪Nziwanda Leo kazi unayo hutoshi hapo 🤣

  • @mkudembeteni7667
    @mkudembeteni7667 2 года назад +1

    Majibu konki !!!! nahisi Mzee kalazimishwa kuhojiwa!!!!

  • @user-vm7pz3sq8l
    @user-vm7pz3sq8l 10 месяцев назад

    Muzee mhogo mchungu nimhuni aliezeeka

  • @omarimaftah-wu5zb
    @omarimaftah-wu5zb 9 месяцев назад

    Tatizo mwanamke huyu mchaga kiswahili kiswahili sio asili yako ndio mana intervew inakua ngumu mno

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 2 года назад

    Yaani huyu Dada sijawahi muelewa Kbsa sijuwi ana maswali gani,, Eneo waliopo na Maswali yake haviendani kbs 🙄😏

  • @massoudsultan3926
    @massoudsultan3926 2 года назад

    Majibu KAMA ameanguka PUNDA

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 2 года назад

    Me here au kengele?
    Kiswahili kinapotea

  • @mdungially2342
    @mdungially2342 2 года назад +1

    Apo c kwenye maisha yake halis ila umemkuta tu kwenye sherehe ungemfata nyumban kwake tukakuona kulivyo

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 года назад

    huyu jamaa mbona yupo kimya siku hizi

  • @timilaishemalamba3058
    @timilaishemalamba3058 2 года назад +1

    Maisha halisi ya MTU sio kuhojiwa kwenye ukumbi nijuavyo Mimi,maisha halisi ni kuwa yuko nyumbani mnaona maisha anayoishi na kama ana miradi mnaiona sasa uko kutuambia maisha halisi ya msanii alafu atuoni anapoish,mnafeli wapi watangazaji

    • @abdallahpesa1456
      @abdallahpesa1456 2 года назад +1

      Hiyo ndio najiuliza kila siku, wanacho andika na wanachohoji ni tofauti

    • @timilaishemalamba3058
      @timilaishemalamba3058 2 года назад

      @@abdallahpesa1456 au wanaona ndo watatzamwa sana

  • @yunusumohammedi8576
    @yunusumohammedi8576 2 года назад

    Mzee kumbe yupo

  • @levinamwanakulya9379
    @levinamwanakulya9379 2 года назад

    Ni kweli angekuepo kanumba solo la filami lingefika mbali

  • @aliyshemhiru746
    @aliyshemhiru746 2 года назад

    Muongo mkubwa wew

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo 2 года назад

    Hahahahahahahaha muhogo mchungu chizi kwelikweli

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 2 года назад

    😂😂😂😂leo umepatikana

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 2 года назад

    Namkubali

  • @dicksonmagabe5194
    @dicksonmagabe5194 2 года назад

    Sawa

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 2 года назад +2

    Mbengo mnachosha kila saa mkifanya interview lazima mlinganishe mondi na harmonize

  • @halimaomar2986
    @halimaomar2986 2 года назад

    😁😁😁😁sijajua..nitafanya utafiti

  • @levinamwanakulya9379
    @levinamwanakulya9379 2 года назад

    Kanumba kaondoka na bongo movie

  • @zahorsalum663
    @zahorsalum663 2 года назад

    Baada yamajuto nakukubali sn baba.

  • @munatwalib2808
    @munatwalib2808 2 года назад

    Hahaha alhumhum

  • @harunimwanawima7851
    @harunimwanawima7851 2 года назад

    Eti mnaonyesha mjengo

  • @MaryChibwana
    @MaryChibwana 2 года назад

    Mwandishi Rudi shule hujui kuendesha mahojiano.

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 2 года назад

    Hajielewi huyu mzer

  • @nyamizimpangule8640
    @nyamizimpangule8640 2 года назад

    Kweli majina konki

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 2 года назад

    Masweli ya kisenge kweli Yan mnalinganisha wasanii wamaigizo namziki ndonn

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 2 года назад

    Muhogo mchungu jeuri balaaa ruvuma oyeeee

  • @jumasaidi8157
    @jumasaidi8157 2 года назад

    Kwenye hii ghalufa. 😂😂😂😂

  • @ramadhanmohd2097
    @ramadhanmohd2097 2 года назад

    Muhogo msanii
    Mtangazsji msanii
    Ngoma suluhu

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣 jamani majina ayo

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 2 года назад

    Msamiati kwa uwingiiiii hadi kupotosha.

  • @aminamjema2470
    @aminamjema2470 2 года назад

    Ila maswalli mengine kolable wakat hajawah. Kuimba

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 2 года назад +1

    Hapo na maisha Harris añaishi ukumbin et

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 года назад

    Hautarudia tena wewe 😂😂

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 2 года назад

    Yani huyu jamaa si mchezo anaakili sana licha yakua amezeeka

  • @wanderenyeura9011
    @wanderenyeura9011 2 года назад

    Sio Alfa ni Hafla

  • @abdallahabubakar688
    @abdallahabubakar688 2 года назад

    Tatizo nikwamba hizo picha za nyumba sio za hao walengwa tunaomba utuoneshe halisi

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 2 года назад

    "Halfa" au "hafla"??!! Hahahahaaaaaa

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 2 года назад

    Watangazaji wengi wa sasa mnatakiwa umkajifunze kuoji maswali

  • @frankgeorgemadiwa4855
    @frankgeorgemadiwa4855 4 месяца назад

    Halfa au Hafla?

  • @faidamashala6874
    @faidamashala6874 2 года назад

    Mzee mtata hatar sana

  • @nyapolasuleiman3485
    @nyapolasuleiman3485 2 года назад

    Sasa huyu sio Mtangazaji...anahoji bila content kabisaa

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад

    Nmecheka na hy majb na sura yk kavu

  • @felisternselu6287
    @felisternselu6287 2 года назад +1

    Hatar

  • @abrahamumusa2229
    @abrahamumusa2229 2 года назад

    Inapendeza

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 2 года назад

    Kwenye Halfa huna sumu

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 2 года назад +1

    Leo umekamatika😅😅mpaka umekosa pouzzz hauridii tena kumhoj🤣🤣

  • @hassanmasoud8167
    @hassanmasoud8167 2 года назад

    Akiwa na Nyumba hiyo nakunya hap hadi mkoani

  • @ahmedalhashmy6445
    @ahmedalhashmy6445 2 года назад

    😅😅😅😅

  • @khalfanjuma7678
    @khalfanjuma7678 2 года назад

    Muhogo mchungu kwa nyanya

  • @yobothegreat8207
    @yobothegreat8207 2 года назад +1

    Waandish wa habr wa sk hz wapuuzi kwel unataka ujue nyumba zake za nn??
    Unamhusianisha na diamond wa nn
    Ujinga mttup

  • @fortunatahulilo8411
    @fortunatahulilo8411 2 года назад

    Mtangazaji sio alfa ni hafla

  • @MaryChibwana
    @MaryChibwana 2 года назад

    Ni hafla sio halfa. Wewe vipi!!

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 2 года назад

    Hafla dada sio halfa.

  • @kaylaassiah9461
    @kaylaassiah9461 2 года назад

    Hahahaha hihihihi

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 2 года назад

      😀😀😀😀😀 htr na nusu mzee mchungu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад

    Huyo muhogo mchungu atoe hizo ndevu ziko kama uchafu maana hazihudumii zinaonekana kama uchafu

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 Год назад

    Umenichekesha wewe jamaa

  • @faridaabdallah2213
    @faridaabdallah2213 2 года назад

    😃😃😃😃

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 2 года назад

    kumamako

  • @sahachi397
    @sahachi397 2 года назад

    Mzee kachanganyikiwa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      Kachanganyikiwa kivipi

  • @xamael1989
    @xamael1989 2 года назад

    Haka tomboy kachoko sana

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Hizo nyumba munazo zituma za waingizaji au mwatuma tu

  • @saudahuseni3714
    @saudahuseni3714 2 года назад

    nimemkubar muhogo mchungu

  • @kimggiy3540
    @kimggiy3540 2 года назад

    Mzungu huyu amzimia diamond
    ruclips.net/video/zcjWqCFgGhM/видео.html

  • @georgebundala1915
    @georgebundala1915 2 года назад

    UPO VIZURI@MUHOGO MCHUNGU

  • @kondegangmusic5866
    @kondegangmusic5866 2 года назад

    Diamond platnumz kazimia kwenye show 😢😢ruclips.net/video/e_uV56dLtMI/видео.html

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 2 года назад

    kwakwer kwenye gugo ata miee mwalimu wangu walah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣