MPAKA HOME KWA FEISAL SALUM, MAMA MZAZI AFUNGUKA MAZITO/DADA NA KAKA ZAKE WAKOSHWA NA UJIKO WA FEI.
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Leo Agosti 2 2022 Mpenja Tv tunakuletea mahojiano na familia ya Mchezaji wa Yanga Feisal Salum Abdallah maarufu kama Fei Toto.
.
Mama mzazi wa Feisal amezungumza mengi ndani ya Mahojiano haya.
.
Fungua video hii kupata uhondo wote wa habari hii.
.
Mtangazaji unajitahidi sana kuipatia lafudhi ya Kiunguja, big up unajua kuendana na mazingira ya kazi yako
Asante nimeskia mama yake yuko kazini
Huyu fei toto nampenda sana ,kumbe macho karith upande wa mama zake🥰❤️
Kwel fey YANGA damu mpk makochi ni ya kijani🔥na njano🔥🔥🔥🔥🔥
Emb fanya kuniombea namba za ma mdogo wake Fei mzuri sana mashallah ♥ me ba mdogo wake fei
😂
🤣🤣
Tuko wengi tunaihitaji
😂😂😂
😂😂 jaman wanaume mna shda gani?
Mungu akubariki mwanangu uko vizuri Sana kwenye Tim yet ya yanga🙏💚💚💚💚💚🏃🏃
Mama yake bado yupo vizuri
Upo vzr kaka feithal japo nipo Simba ila Huwa nakupenda sana
Ukiona rangi ya yanga mashaallah
Zanzibar home sweet home
Alwatan broh unaupiga mwingi sana Allah akubariq kwa talent yako
Hata maji tu hupewi
Huyu mama wau ni mzanzibari
MASHAALLAH NIMEPENDA SANA
Ma mdgo wa fei toto maashaallah sjui ameolewa huyu
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣
Chombo kwel kwel sio masiyara
Good family
Mmmh farhaty mashaallah
Asante sana brother
Huyu mdogoake fei bana kkkk anaonekana mtu wa mambo sana
Hahaha kwel bhn ulijuaje
Km mvutaj ivi
Da nimepend San family yake feitoto na ninamkubal San et kama vip nipate no yake
No. Yake et
Mim uxhauri wangu kwako achan nawatu penye rizik hapakoxi kelel au walitaka kukuharibia tu kipaji chako kaa mbali nao
Mama fei yuko vzr
Fanyeni ivo Kwa Kila mchezaji mzawa.
Nijambo zur sana
Mtangazaji punguza mbwembwe acha mtu ajieleze, una interference nyingi sana wakati mtu anaongea, you did good job though but learn some techniques
Sure jamaa anazengua sana,,sifa mingi
Exactly hapangirii vitu
Mimi sipendi watu wanaozuia riziki za wachezaji kwani maisha ya mchezaji ni mpira , na akipata dau kubwa inabidi aachiwe atafute maisha mazuri ya familia lķn utakuta anazuia lakini kama ni hitaji mpeni anayotaka .
Mtangazaji punguza mbwembwe
Hatuliii hapangiliii mambooo
Mbn ajahoji mambo muhimu
Erick kapinga
Tujifunze toka kwa wazazi hawa kujuwa matokeo ya mwanao hapo baadae
Mtangazaji mbona unalembuwa kama dem kaza sout
Umeona 😄
Feisal for every things
Fei Anajua Sana Boli kongole kwake
Mtangazaji punguza uongeaji mwingi usiokua namaana yaan hujatulia hata kidogo paka kero
Sanaaa
Anaongea vitu vingii afu nahama hama madaaa sanaa kwa sababu ya maswalii ya ovyoo mengii sio kwa ubaya ila apunguzee tuuu mamboo mengiiii
Hi familiya iko very nice nimeipenda bule😊
Njoo tujenge yetu
Njoo tuungane tuunde familia yetu
Huku uarabuni tunamkubali sana fei toto fundi wa mpira Tanzania
Uarabuni ya nyoko au
Mpenja tv mko vizuri san
Arsenal lovers ❤
Hajapewa mpunga aache kuchukua hela ndefu akuskilize wew haijakuja tu hio ofa ya simba
Unguja bwana wanajitahidi huwa wanahimiza wanaangalia kile mtoto anachokitaka hususani kwa vipaji wanajali sana binafsi nawapenda mno
SAFI SANA MPENJA MNAMFUATILIA MTU NA SIFA ZAKE ANAZIPATA 🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏
Mtangazaji unajichekeshaaa
Umeona ee
Anamtaka ma mdogo
Anamaswalii mengi tofauti na mada muhimuu mwisho wa siku anapayuka mambo mengii na kujichekesha juu
Mama kama mama 🙏
Masha Allah 💚💛💚💚💛💚
Hujamboooo dear
Daaaaah 2taumia xana ukiondoka jembe letu
Mashallah
Huyu jamaa anajibu maswali vizuri sana hana kukurupuka
ipo sawa family
Hi angefanya milladyo ingependaza sana
Kweliii
Umenena kabisa
💚💛
Kabla hajaanza kula ugali kwa sukari hapa 😂😂😂
Mtangazaji kwa asha
Mama.mrembo mashallah kafanan na mwanawe
nice
Manshalaaa good family❤️❤️❤️
💚💛
Huyu adili mtu stimu,macho km pweza
Hahahahahaha
Naomba namba za uyo mamdogo please 😟
🤭🤭🤭
Toto anasura ya mama
Pamoja
Mahamud
Mama mzazi na baba mzazi wapo wapi?
Hawapendi camera
Jitahidi ktk mahujiano unaacha vitu muhimu vya kuuliza,
Kwelii ndugu yanguu anamambo mengii sanaaaaa
Family 🥰🥰🥰🥰❤
Majirani tutoe ushirikiano kwa waandishi kama hawa mmmmmh jiraniiiii
sio Zanzibar wanavo ogopa camera
mnacho kelaga mnatu malizia bando na matangazo
Duh mbona kamera inakwenda sana mrama kulikoni mpigapicha mikono ina nini
Zanzibar home
Adili kma adili hahahahaaa yaan jamaa anazingua anavyoongea
Naomba namba ya hyo dada
Mama mzazi wa Fei yuko wapi?
maliza clip....yupo kahojiwa
Kuna Mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa Feo toto!!!!..
Halafu leo mama huyu anatoka anasema Yanga imemtesa sana Feisal, aibu sana kwa mama
Mama yake Baba yake mbona hatuwaoni?
mama yake si umesikia yupo kazini au
Wako kzn.
Sema mtangazi unaongea ata mlengwa hamalizi neno umekaa kma bichi boy
Nikajua nimeona peke yanguu
Napend San na nimepeda family yake vip no yake
wanzanzibar wakarimu lakn pia ni wajeuri ukitaka kuamini cheki mwanzo wa interview
kaka mbona kosa moja unahukumu kila ktu je wewe ni mkamilifu wa yte kwa nini unasema wazaznzibar
@@is-haqsalim9754 tatizo lako uelewa wako ni mdg wapi hapo ktk maelezo yang nilipopitisha hukm???cwez kuhukum cx ni iyo ni sifa ya allah... nilichondk ni sifa ya wanzanzibar ni watu wakarimu lkn piah ni wajeuri kwa maana gani? hawana mihemko ya kijinga hata wakiona k2 au jambo lenye ufahari wao wanachukulia kwa kawaida ndo mana nikaandk "ukitaka kuamini kuwa ni wajeur chek mwanzo wa interview hao wadada wa dukani;
mashallah napnda ufafanuzi wako inapndeza ukielezea hivyo mana neno wajeuri limekaa lugha tata
Kaz mnayo mana mnavowasakama ao wazanzibar cjui tumewakosea nn
Eti nimetembezwa apandani😂😂😂😂
Nimeongea Na Kidozo Hahahaha
Huyu mtangazaji anatembea tembea ovyo kwenye nyumba ya watu mh.!
Anamambo mengiiiii
Mamaake fey bado yuko vizur sana
Mkweli
👏👏👏👏
Mtangazaji maswali yakoooo mengi ya ovyoo unasahau km upo kwenye family ya watu...unaongeaa mpka unaowahoji wanapoteza points
Tena anamazoea mabaya Sana harafu mbea
Nikajua nimeona peke yangu anaongea personal sanaa
Acheni uchoyo kwn kaj kwenu
@@issaofficialvideo6375 Uchoyo wa nini? Umeona kuna chakula hapo? Hujui kusoma unaparamia tu watu ovyooo km huyo mtangazaji stupid
Hogela sama
Raaaaaaaaaaha!
Adil anaonesha mtu Wa starehe
nakbl
Fei sasa Yule mwanamke.anayelia uliyo.mtoa mimba yuko.wapi
Kafariki
@@adilaadila1128 kweli au unanitania ww
Sofa💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
Baba fei toto yuko wapi hatujamuona
Ashafarki
Baba fei amefariki mbona
@@OmanOman-iu7jf ok
@@mirajiali3926 powa
@@timibakat7345 hapana hajafariki
Mtangazaji huna adhabu unaongea Sana
Sanaaaaa
Huyu jamaa kasomea kweli uandishi/utangazaji??? Anaongea sana kuliko hata anayemuoji
Mtangazaji yuko vizuri.
Tatizo umbea umemzid anatamani aingie vyumban aone palivo
Huyo mdada anenunua vitu hapo dukani ni mshine kweli kweli amegeuka kidogo tu nimeona hio pua subiri niende zangu nyumbni nikatafute mke bhana
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Nikupe namba yake??
NmePenda unavyoongea
Ahahahhahahhahahahaha mpenj nawakubl
Hujui kutangaza unaboaa
Kuwa na hishima wewe mwenyewe hataki kamera unamlazimisha mke wawatu acha ujinga wewe
😀😀😀😀😀😀
Ģh
Mamdogo julie Instagram yako gani kama unanisoma? Nimekupenda nakutafuta toka interview ile ulifanya mwaka jana na channel nyingine ilikuja hapo
Kakufanya Nini huyo ma mdogo wake 😂😂😂😂😂
@@far-hatharoub5511 😂😂😂
😂 😂.
@@yunyuny5538 😅😅😅
@@yunyuny5538 asema maana ndio nipo hapa mwenyewe 😂
Unguja bwana wanajitahidi huwa wanahimiza wanaangalia kile mtoto anachokitaka hususani kwa vipaji wanajali sana binafsi nawapenda mno
Wazanzibari wanazigua sana usishangae brother wanavokujibu.
Sasa kajibiwa vibaya wapi mbona chuki nyingi na wewe
Sasa wanamjibu vip.
Nice
👏👏👏👏👏
Pip
Mtangazaji unaujuaji sana mpaka unakera masta Acha watu wamzungumzie mtu wao..
Mtangazj ni zao from University of Dar es salaam 🥰
Sure hauliziii vizuriiiii
,mko vizur watangazaj Allah awasaidie mfke mbali
Dogo uko na kipaji sana cha kutangaza kaza utafika mbali