MPAKA HOME KWA FEISAL SALUM, MAMA MZAZI AFUNGUKA MAZITO/DADA NA KAKA ZAKE WAKOSHWA NA UJIKO WA FEI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Leo Agosti 2 2022 Mpenja Tv tunakuletea mahojiano na familia ya Mchezaji wa Yanga Feisal Salum Abdallah maarufu kama Fei Toto.
    .
    Mama mzazi wa Feisal amezungumza mengi ndani ya Mahojiano haya.
    .
    Fungua video hii kupata uhondo wote wa habari hii.
    .

Комментарии • 209

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 2 года назад +23

    Mtangazaji unajitahidi sana kuipatia lafudhi ya Kiunguja, big up unajua kuendana na mazingira ya kazi yako

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 2 года назад +10

    Asante nimeskia mama yake yuko kazini

  • @witneyzpaul4047
    @witneyzpaul4047 2 года назад +5

    Huyu fei toto nampenda sana ,kumbe macho karith upande wa mama zake🥰❤️

  • @zollax_tz4164
    @zollax_tz4164 2 года назад +7

    Kwel fey YANGA damu mpk makochi ni ya kijani🔥na njano🔥🔥🔥🔥🔥

  • @samueldavid8853
    @samueldavid8853 2 года назад +9

    Emb fanya kuniombea namba za ma mdogo wake Fei mzuri sana mashallah ♥ me ba mdogo wake fei

  • @aminamzee6295
    @aminamzee6295 2 года назад +6

    Mungu akubariki mwanangu uko vizuri Sana kwenye Tim yet ya yanga🙏💚💚💚💚💚🏃🏃

  • @nassorochongwe9093
    @nassorochongwe9093 2 года назад +5

    Mama yake bado yupo vizuri

  • @atanaskafwimb8955
    @atanaskafwimb8955 Год назад +1

    Upo vzr kaka feithal japo nipo Simba ila Huwa nakupenda sana

  • @shaacollection801
    @shaacollection801 2 года назад +5

    Ukiona rangi ya yanga mashaallah

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 года назад +8

    Zanzibar home sweet home

  • @Abdulhamid_Suleiman
    @Abdulhamid_Suleiman 2 года назад +7

    Alwatan broh unaupiga mwingi sana Allah akubariq kwa talent yako

  • @fatmaamin3848
    @fatmaamin3848 2 года назад +5

    Huyu mama wau ni mzanzibari

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Год назад +1

    MASHAALLAH NIMEPENDA SANA

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 2 года назад +18

    Ma mdgo wa fei toto maashaallah sjui ameolewa huyu

  • @shaacollection801
    @shaacollection801 2 года назад +5

    Good family

  • @omaryally7677
    @omaryally7677 Год назад

    Mmmh farhaty mashaallah

  • @shinjemwagala232
    @shinjemwagala232 2 года назад

    Asante sana brother

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 года назад +24

    Huyu mdogoake fei bana kkkk anaonekana mtu wa mambo sana

  • @neemapaulmwananchi7116
    @neemapaulmwananchi7116 Год назад

    Mim uxhauri wangu kwako achan nawatu penye rizik hapakoxi kelel au walitaka kukuharibia tu kipaji chako kaa mbali nao

  • @mgenihasnuu8448
    @mgenihasnuu8448 2 года назад +3

    Mama fei yuko vzr

  • @ChuseIcon
    @ChuseIcon 2 года назад +13

    Fanyeni ivo Kwa Kila mchezaji mzawa.
    Nijambo zur sana

  • @Zaburi-
    @Zaburi- 2 года назад +13

    Mtangazaji punguza mbwembwe acha mtu ajieleze, una interference nyingi sana wakati mtu anaongea, you did good job though but learn some techniques

    • @jerryfaraja1094
      @jerryfaraja1094 2 года назад +2

      Sure jamaa anazengua sana,,sifa mingi

    • @sozoartifex
      @sozoartifex 2 года назад

      Exactly hapangirii vitu

    • @dandassimon3116
      @dandassimon3116 Год назад

      Mimi sipendi watu wanaozuia riziki za wachezaji kwani maisha ya mchezaji ni mpira , na akipata dau kubwa inabidi aachiwe atafute maisha mazuri ya familia lķn utakuta anazuia lakini kama ni hitaji mpeni anayotaka .

  • @alenialex6941
    @alenialex6941 2 года назад +5

    Mtangazaji punguza mbwembwe

  • @erickkapinga2045
    @erickkapinga2045 Год назад

    Erick kapinga
    Tujifunze toka kwa wazazi hawa kujuwa matokeo ya mwanao hapo baadae

  • @bahatimahone4922
    @bahatimahone4922 2 года назад +4

    Mtangazaji mbona unalembuwa kama dem kaza sout

  • @magimsolohanya5570
    @magimsolohanya5570 Год назад +1

    Feisal for every things

  • @akidamakui9364
    @akidamakui9364 Год назад

    Fei Anajua Sana Boli kongole kwake

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 года назад +6

    Mtangazaji punguza uongeaji mwingi usiokua namaana yaan hujatulia hata kidogo paka kero

    • @sozoartifex
      @sozoartifex 2 года назад

      Sanaaa

    • @sozoartifex
      @sozoartifex 2 года назад +1

      Anaongea vitu vingii afu nahama hama madaaa sanaa kwa sababu ya maswalii ya ovyoo mengii sio kwa ubaya ila apunguzee tuuu mamboo mengiiii

  • @asmajuma4960
    @asmajuma4960 2 года назад +2

    Hi familiya iko very nice nimeipenda bule😊

    • @alira3080
      @alira3080 Год назад

      Njoo tujenge yetu

    • @alira3080
      @alira3080 Год назад

      Njoo tuungane tuunde familia yetu

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 2 года назад +5

    Huku uarabuni tunamkubali sana fei toto fundi wa mpira Tanzania

  • @nestorymapunda4596
    @nestorymapunda4596 2 года назад +3

    Mpenja tv mko vizuri san

  • @lightnessmsangi3148
    @lightnessmsangi3148 Год назад

    Arsenal lovers ❤

  • @abdallahridhiwanijk2295
    @abdallahridhiwanijk2295 2 года назад +1

    Hajapewa mpunga aache kuchukua hela ndefu akuskilize wew haijakuja tu hio ofa ya simba

  • @emanueljunior2996
    @emanueljunior2996 Год назад

    Unguja bwana wanajitahidi huwa wanahimiza wanaangalia kile mtoto anachokitaka hususani kwa vipaji wanajali sana binafsi nawapenda mno

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 2 года назад +10

    SAFI SANA MPENJA MNAMFUATILIA MTU NA SIFA ZAKE ANAZIPATA 🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏

  • @josephmakonga3201
    @josephmakonga3201 2 года назад +4

    Mtangazaji unajichekeshaaa

    • @bujashidaniel5537
      @bujashidaniel5537 2 года назад

      Umeona ee

    • @samueldavid8853
      @samueldavid8853 2 года назад

      Anamtaka ma mdogo

    • @sozoartifex
      @sozoartifex 2 года назад

      Anamaswalii mengi tofauti na mada muhimuu mwisho wa siku anapayuka mambo mengii na kujichekesha juu

  • @msimbatiboy7517
    @msimbatiboy7517 2 года назад +4

    Mama kama mama 🙏

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 2 года назад +4

    Masha Allah 💚💛💚💚💛💚

  • @nobyytz
    @nobyytz Год назад +1

    Daaaaah 2taumia xana ukiondoka jembe letu

  • @tinabapemacho8650
    @tinabapemacho8650 2 года назад +1

    Mashallah

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 2 года назад +5

    Huyu jamaa anajibu maswali vizuri sana hana kukurupuka

  • @jumaomary974
    @jumaomary974 Год назад

    ipo sawa family

  • @magrethjacobadliano7277
    @magrethjacobadliano7277 2 года назад +2

    Hi angefanya milladyo ingependaza sana

  • @josephinejoseph3919
    @josephinejoseph3919 2 года назад +4

    💚💛

  • @fredymwakikono1575
    @fredymwakikono1575 Год назад

    Kabla hajaanza kula ugali kwa sukari hapa 😂😂😂

  • @mnyonetv8437
    @mnyonetv8437 2 года назад +1

    Mtangazaji kwa asha

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 2 года назад +7

    Mama.mrembo mashallah kafanan na mwanawe

  • @eddybayour2208
    @eddybayour2208 Год назад

    nice

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 2 года назад +14

    Manshalaaa good family❤️❤️❤️

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 2 года назад +3

    Huyu adili mtu stimu,macho km pweza

  • @guccij6236
    @guccij6236 2 года назад +2

    Naomba namba za uyo mamdogo please 😟

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 2 года назад +3

    Toto anasura ya mama

  • @chikagovietnam1648
    @chikagovietnam1648 Год назад

    Pamoja

  • @mahamoudmursal9474
    @mahamoudmursal9474 Год назад

    Mahamud

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 2 года назад +1

    Mama mzazi na baba mzazi wapo wapi?

  • @faizbonge9992
    @faizbonge9992 2 года назад +1

    Jitahidi ktk mahujiano unaacha vitu muhimu vya kuuliza,

    • @sozoartifex
      @sozoartifex 2 года назад

      Kwelii ndugu yanguu anamambo mengii sanaaaaa

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 2 года назад +4

    Family 🥰🥰🥰🥰❤

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 2 года назад +2

    Majirani tutoe ushirikiano kwa waandishi kama hawa mmmmmh jiraniiiii

  • @thamaneliya4076
    @thamaneliya4076 2 года назад +2

    mnacho kelaga mnatu malizia bando na matangazo

  • @HH54508
    @HH54508 2 года назад +1

    Duh mbona kamera inakwenda sana mrama kulikoni mpigapicha mikono ina nini

  • @tunnhajj2222
    @tunnhajj2222 2 года назад

    Zanzibar home

  • @islamsuleymani2652
    @islamsuleymani2652 Год назад

    Adili kma adili hahahahaaa yaan jamaa anazingua anavyoongea

  • @eliayloksi6660
    @eliayloksi6660 Год назад

    Naomba namba ya hyo dada

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 2 года назад +1

    Mama mzazi wa Fei yuko wapi?

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 2 года назад +1

    Kuna Mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa Feo toto!!!!..

  • @juliusmagoti5650
    @juliusmagoti5650 Год назад

    Halafu leo mama huyu anatoka anasema Yanga imemtesa sana Feisal, aibu sana kwa mama

  • @shedadiabdul654
    @shedadiabdul654 2 года назад +3

    Mama yake Baba yake mbona hatuwaoni?

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 2 года назад +4

    Sema mtangazi unaongea ata mlengwa hamalizi neno umekaa kma bichi boy

    • @sozoartifex
      @sozoartifex 2 года назад

      Nikajua nimeona peke yanguu

  • @witinesselipidius
    @witinesselipidius Год назад

    Napend San na nimepeda family yake vip no yake

  • @hamiduhk3856
    @hamiduhk3856 2 года назад +4

    wanzanzibar wakarimu lakn pia ni wajeuri ukitaka kuamini cheki mwanzo wa interview

    • @is-haqsalim9754
      @is-haqsalim9754 2 года назад

      kaka mbona kosa moja unahukumu kila ktu je wewe ni mkamilifu wa yte kwa nini unasema wazaznzibar

    • @hamiduhk3856
      @hamiduhk3856 2 года назад

      @@is-haqsalim9754 tatizo lako uelewa wako ni mdg wapi hapo ktk maelezo yang nilipopitisha hukm???cwez kuhukum cx ni iyo ni sifa ya allah... nilichondk ni sifa ya wanzanzibar ni watu wakarimu lkn piah ni wajeuri kwa maana gani? hawana mihemko ya kijinga hata wakiona k2 au jambo lenye ufahari wao wanachukulia kwa kawaida ndo mana nikaandk "ukitaka kuamini kuwa ni wajeur chek mwanzo wa interview hao wadada wa dukani;

    • @is-haqsalim9754
      @is-haqsalim9754 2 года назад

      mashallah napnda ufafanuzi wako inapndeza ukielezea hivyo mana neno wajeuri limekaa lugha tata

    • @uaeuae4814
      @uaeuae4814 2 года назад

      Kaz mnayo mana mnavowasakama ao wazanzibar cjui tumewakosea nn

  • @fatumampumbo6186
    @fatumampumbo6186 2 года назад +1

    Eti nimetembezwa apandani😂😂😂😂

  • @yl_sports_af1994
    @yl_sports_af1994 2 года назад +1

    Nimeongea Na Kidozo Hahahaha

  • @alaikamyale784
    @alaikamyale784 2 года назад +3

    Huyu mtangazaji anatembea tembea ovyo kwenye nyumba ya watu mh.!

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 года назад +2

    Mamaake fey bado yuko vizur sana

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 2 года назад +1

    👏👏👏👏

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 года назад +4

    Mtangazaji maswali yakoooo mengi ya ovyoo unasahau km upo kwenye family ya watu...unaongeaa mpka unaowahoji wanapoteza points

    • @fatmaabdul2712
      @fatmaabdul2712 2 года назад +1

      Tena anamazoea mabaya Sana harafu mbea

    • @sozoartifex
      @sozoartifex 2 года назад

      Nikajua nimeona peke yangu anaongea personal sanaa

    • @issaofficialvideo6375
      @issaofficialvideo6375 2 года назад

      Acheni uchoyo kwn kaj kwenu

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky 2 года назад

      @@issaofficialvideo6375 Uchoyo wa nini? Umeona kuna chakula hapo? Hujui kusoma unaparamia tu watu ovyooo km huyo mtangazaji stupid

  • @catherineodede2017
    @catherineodede2017 2 года назад

    Hogela sama

  • @sembasitianayinzaki1253
    @sembasitianayinzaki1253 2 года назад +3

    Raaaaaaaaaaha!

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 2 года назад

    Adil anaonesha mtu Wa starehe

  • @hagaijonas388
    @hagaijonas388 2 года назад

    nakbl

  • @OmanOman-iu7jf
    @OmanOman-iu7jf 2 года назад +2

    Fei sasa Yule mwanamke.anayelia uliyo.mtoa mimba yuko.wapi

  • @aickatesha4542
    @aickatesha4542 Год назад

    Sofa💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @mirajiali3926
    @mirajiali3926 2 года назад +4

    Baba fei toto yuko wapi hatujamuona

  • @mohamedaden5881
    @mohamedaden5881 2 года назад +3

    Mtangazaji huna adhabu unaongea Sana

  • @jamesassanga8581
    @jamesassanga8581 2 года назад +2

    Huyu jamaa kasomea kweli uandishi/utangazaji??? Anaongea sana kuliko hata anayemuoji

  • @abdallahridhiwanijk2295
    @abdallahridhiwanijk2295 2 года назад +1

    Huyo mdada anenunua vitu hapo dukani ni mshine kweli kweli amegeuka kidogo tu nimeona hio pua subiri niende zangu nyumbni nikatafute mke bhana

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 года назад

      😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 года назад

      Nikupe namba yake??

  • @maimaredy9265
    @maimaredy9265 2 года назад

    NmePenda unavyoongea

  • @eliakimubura5229
    @eliakimubura5229 2 года назад +4

    Ahahahhahahhahahahaha mpenj nawakubl

  • @angelngoye4910
    @angelngoye4910 2 года назад

    Hujui kutangaza unaboaa

  • @mohhamedally9103
    @mohhamedally9103 2 года назад

    Kuwa na hishima wewe mwenyewe hataki kamera unamlazimisha mke wawatu acha ujinga wewe

  • @japhetnyuma9561
    @japhetnyuma9561 2 года назад

    😀😀😀😀😀😀

  • @juma9295
    @juma9295 Год назад

    Ģh

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 2 года назад +3

    Mamdogo julie Instagram yako gani kama unanisoma? Nimekupenda nakutafuta toka interview ile ulifanya mwaka jana na channel nyingine ilikuja hapo

  • @emanueljunior2996
    @emanueljunior2996 Год назад

    Unguja bwana wanajitahidi huwa wanahimiza wanaangalia kile mtoto anachokitaka hususani kwa vipaji wanajali sana binafsi nawapenda mno

  • @yusuphmakhahala6570
    @yusuphmakhahala6570 2 года назад +6

    Wazanzibari wanazigua sana usishangae brother wanavokujibu.

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 2 года назад +3

      Sasa kajibiwa vibaya wapi mbona chuki nyingi na wewe

    • @uaeuae4814
      @uaeuae4814 2 года назад

      Sasa wanamjibu vip.

  • @omarihamadumetishasanalava4725
    @omarihamadumetishasanalava4725 2 года назад +1

    Nice

  • @dayanajeremia7412
    @dayanajeremia7412 2 года назад

    👏👏👏👏👏

  • @nguzzorajab6380
    @nguzzorajab6380 2 года назад +5

    Mtangazaji unaujuaji sana mpaka unakera masta Acha watu wamzungumzie mtu wao..

    • @sadayusuph1907
      @sadayusuph1907 2 года назад

      Mtangazj ni zao from University of Dar es salaam 🥰

    • @sozoartifex
      @sozoartifex 2 года назад

      Sure hauliziii vizuriiiii

  • @jumasharif3580
    @jumasharif3580 Год назад +1

    ,mko vizur watangazaj Allah awasaidie mfke mbali

  • @Marjeby
    @Marjeby 2 года назад +3

    Dogo uko na kipaji sana cha kutangaza kaza utafika mbali