ISHA MASHAUZI - ''NILIKUWA SINA URAFIKI na MAMA, WATU WANASEMA NAVUTA BANGI'' | MPAKA HOME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2023
  • ISHA MASHAUZI - ''NILIKUWA SINA URAFIKI na MAMA, WATU WANASEMA NAVUTA BANGI'' | MPAKA HOME
    MPAKA HOME ya Global TV imefika nyumbani kwa mwanamuziki mkongwe wa Taarab Bongo, Isha Mashauzi ambaye amefunguka mengi ikiwemo sababu za kuvunjika kwa ndoa zake mbili...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 81

  • @suzanneamwai5700
    @suzanneamwai5700 3 месяца назад +1

    Napenda sana watanzania ni wakarimu sana isha kila interview ana maneno ya hekima sana nampenda sana isha

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 Год назад +2

    Mashallah wajina nimependa sana mavazi ya mtoto wako ya kiheshima sana anajihifadhi ongera mwaya marezi bora

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Год назад +3

    Isha ni mzuri ni kweli haringi mkarimu sana nakumbuka wakati nikiwa dar nikienda mango garden hana maringo

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Год назад +2

    Hongera sana dada yangu mpenzi😍😍Allah akuzidishie 😍😍

  • @alsam4881
    @alsam4881 Год назад +10

    Huo mziki kwa nyuma unakera sana badala ya tusikie interview vizuri, lakini tunasikia kelele ya mziki tu.

    • @juliennenzeyimana3274
      @juliennenzeyimana3274 Год назад +2

      Yani kirasiku ni makelele za muziki yani anakera sana

    • @alsam4881
      @alsam4881 Год назад +2

      @@juliennenzeyimana3274 Hawana elimu ya uandishi wa habari vizuri na Ndiyo maana wanafanya vitu bila hata ya kufikiri kama ni sawa au la?

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +1

    Marshals dada nyumba nzuri feniture nzuri nawewe mzuri sauti nzuri

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +1

    Kwakweli hongera Dada yanguhatashilole mwanae kafanya vizurihongereni sana

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +2

    Nimependa life yako lssa mashauz

  • @christinanyangi534
    @christinanyangi534 Год назад +5

    uyu dada uwa anamoyo mzuri mno🥰🥰

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour2764 Год назад +2

    Mashaallah Aysha mashauzi penda sana

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 Год назад +1

    Mashaa Allah hongera mtoto analelewa vzr naako na stara

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +1

    Sawa kabisa endelea kuwahivyohivyo Dada yangu

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 Год назад +1

    Maishallah wajina allah akuzidishie

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 Год назад +1

    Maa Shaa Allah ❤️

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +1

    Ni vizuri kutokuwa na Freund salam salam inatosha misifa unaenda harusi anaekuchangia unamchanganya Avoid to have Freund nivuri sana

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 10 месяцев назад

    Asante sana mama, ustaa hauzi kukuzika 💪❤️

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

    • @tatotato506
      @tatotato506 Год назад

      Ukiwa unamuoji mtu punguza hi sautiyamziki

  • @raniaazizi1303
    @raniaazizi1303 7 месяцев назад

    Hicho kibukta cha maua unakipenda sana ww, interview siwezi kuwatch mziki uko juu sipendi kelele

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Год назад

    Hongera Isha

  • @salummohamed1495
    @salummohamed1495 Год назад

    Nakubar isha from Mozambique 🇲🇿

  • @zainabmusa2006
    @zainabmusa2006 Год назад

    MASHA ALLAH🙏

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад +1

    Hongera Dada 😍😍🔥

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Год назад +1

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад

    Upo vizuri

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад

    Mtangazaji mziki huo unaboa sana🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +1

    Gabi miaka 15 kwenye ndoa hongera sana Gabi du

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +1

    Aisee nimeejoy kweli

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +1

    Mambo ya gold dada wyangu jipende maisha mafupi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад

    Safi sana isha❤❤❤👍👍👍🙏🙏

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад

    Mashallah sister nakupenda malez yako baby

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Safi dada

  • @hamedahameed148
    @hamedahameed148 Год назад +2

    Ila nikweli uongo unauma kuliko ukweli

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Dada lsha Uko very normal kumbe ulianza na mzee Yusuf

  • @vincej9275
    @vincej9275 Год назад

    Interview nzuri lakini background music punguza kidogo.

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Год назад

    Ameen🤗🤗🤗🤗 daar mkubwa 🤗🤗

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Kweli kabisa Dada yangu

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 Год назад

    🎉🎉🎉

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    Kabinti.kazurii smart

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 Год назад +2

    Dada asili yako mweusi km mwanao huo mkorogo tunakukumbuka ulivoanza kuimba

  • @zuhurakaho1553
    @zuhurakaho1553 Год назад +1

    Igogo moja jamani

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Da

  • @mmn7480
    @mmn7480 Год назад +1

    vidole kama ndizi za kuchoma

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +1

    Sorry lnshalah mashauzi

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    🙌🙌🙌🙌👌👌👌❤️❤️waau

  • @qz680
    @qz680 14 дней назад

    TOENI MZIKI ILI TUSIKIE VIZURI INTERVIEW

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Una stress lala tuu ndugu yangu

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Год назад

    Mtoto wa Aisha ni mpole sana na ana jistili Tena nimuogo hata kamera anaogopa da! Kwanza sio mtoto wa mitandao, ila mtoto wa kajala uwii! Kakubuhu muda mno

  • @gulfomanbb2119
    @gulfomanbb2119 Год назад +1

    Mie yle sijamnyima mtt kashindwa kulea

  • @leilabuisha9976
    @leilabuisha9976 Год назад +1

    Hizo kelele zimezidi ata zinakera.

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Kwakweli Dada yangu nimekufahia unachoongea nikweli

  • @user-ot5vi1tj9s
    @user-ot5vi1tj9s 6 месяцев назад

    ...

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Una Baby facedada yangu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Kwakweli kujiamini Ni muhimu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Kwakweli

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 Год назад

    Minakupenda isha huna kisran jmn mda wote unatabasam

  • @himoda7647
    @himoda7647 Год назад +1

    Gaby umeenda Asubh San Duuh piga chai

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Gabby pia napenda lnterview zako uliza ujinga ujinga kila kitu cha huakika

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 Год назад

    Hongera kumbe Hadi wasanii wanatumiaga majagi ya
    Plastiki navikarai vya alfu moja

    • @tatotato506
      @tatotato506 Год назад

      Sikasema apo yeye anaishi maisha yoyoteyale aishi kisanii

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 Год назад +1

      Sasa atumie chombo cha sh ngap mwee nimecheka

  • @thandiweonkhwazi8164
    @thandiweonkhwazi8164 Год назад

    Punguzeni sauti ya mziki. Interview ina kelele

  • @emmyonyekachi8197
    @emmyonyekachi8197 Год назад

    Kipindi kizuri ila hujui kutangaza

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja6771 Год назад

    Ukimbi km duka la mapambo

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Ulishaanza kuona supi dadayangu😀😄

  • @Gojo_fan7207
    @Gojo_fan7207 Год назад

    Toka siku gani muislam akaombea chakula hivo.

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 Год назад

      Ndio utujuze mnaombeaje maana wengine hatujui tunaona sawa

  • @mmn7480
    @mmn7480 Год назад +1

    Ndani kuchafu mashauzi yote mfyuuuu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Kwakweli