MZEE MAGOMA NA MWAIPOPO WAFUNGUKA MAZITO,HATA MAMA FATMA KARUME TULIMWAMBIA,YANGA NA HERSI WAJUE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 77

  • @husseinmwanjela8644
    @husseinmwanjela8644 Месяц назад +1

    Wazee mpo sawa sanaa Allah awaongoze

  • @augustinemainde
    @augustinemainde Месяц назад +2

    Matapeli bwana ,mmezidiwa,eti mjenge apartment😂😂😂😂

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 Месяц назад +6

    ACHENI UWONGO MTOTO WA JUMA MWAMBELO KASHATUAMBIA YOTE TENA NA VIELELEZO ETI TUKAMCHUKUA NYIE MLIKUWA KAMA NANI?? NA HUO UWEZO WA KUTEUA MLIUPATA WAPI??

  • @JumaDea
    @JumaDea Месяц назад +1

    Mizee mingine bana😅😅😅😅😅

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 Месяц назад +3

    😊Nyie mnaowaji hawa matapeli tutawavizia mtakiona cha moto

  • @peterpata8825
    @peterpata8825 Месяц назад +3

    Na kwanini muende kimya kimya mahakamani 😂😂😂

  • @user-ki7hd3lg2q
    @user-ki7hd3lg2q Месяц назад +1

    Ivi hawa wakifungwa jela mtasema wanaonewa😂😂😂😂

  • @sadathboutique6253
    @sadathboutique6253 Месяц назад +4

    Awa wazee ata tv ya kuangalia mpira awana eti wanataka wawape yanga😅😅

  • @azizjuma6125
    @azizjuma6125 Месяц назад +1

    MALIPO YOOTE ...... DAAAH MAGOMA

  • @user-xg9ix9ex9h
    @user-xg9ix9ex9h Месяц назад +2

    Acheni wapige kelele yanga itabaki kwa wanachama wengi ila tunawasubiri wasogee waone moto

  • @PauloMtalimbo
    @PauloMtalimbo Месяц назад +1

    Wazeeeee Wana hoja tusiongereeee ushabiki alafu kngne izi timu zetu zinapokezana ushindi uyu akichukua miaka kadhaaaa Zina anza polojo mwngn tn akichukua akimalza miaka yake Simba na yanga timu za siasa

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza Месяц назад

    Hawana hoja ila njama za kuihujumu yanga na hawatafanikiwa

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 Месяц назад

    Sura kama kisugu

  • @SaraJinalangu
    @SaraJinalangu Месяц назад +1

    Hawa wazee washaingia uoga tayari na ndo maana leo wanaweweseka aisee maana kwenye maelezo aliyoyatoa siku 3 nyuma na Leo ni tofauti babu kashageukia qibla tayari

  • @salminsomba2491
    @salminsomba2491 Месяц назад +1

    Anachozungumza magoma hajui sheria tatizo muandishe nae hana anachokijua hivyo wote hapo hawaelezi ukweli

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 Месяц назад

    Hivi vizee viweke jela.kwanza ni wahunumu

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty Месяц назад

    Uwekezaji icwesababu yakupora wazawa ynga imeundwa somje2 from no wapi

  • @user-nb9nj7vp2t
    @user-nb9nj7vp2t Месяц назад +1

    IVI HUYU MUNAMUELEWA, WENZANGU? Maana anasema mahakaman hakuna nyalaka, mala hatujawashtaki wao,mala wakabizi office, mala tunatak kikao na viongoz mbona mim sielewi

  • @JosephObeth
    @JosephObeth Месяц назад +1

    Yani huyu mwaipopo bado yupo anahatali sana minaona angestafu tu awe mtazamaji

  • @drdd774
    @drdd774 Месяц назад

    Kwa umri huu mnakubari kutengeneza migogoro, ngoja mahakama imalize mapitio msije kurudi na kuomba radhi.

  • @sanil3097
    @sanil3097 Месяц назад

    😅😅😅😅😂😂😂mwaipopo umenitoa mbavu huku😅😅😅 sijui hizi kuku za kisasa zinatuhalibu ubongo nimekunyooshea mikono🖐️🤚

  • @JumaHUssi
    @JumaHUssi Месяц назад +1

    huyu hajielewi. analalamikia mwanasheria kubaki na faili miezi 2, yeye amekaa na hukumu mwaka mzima.

  • @ereneusalexanderisaya5432
    @ereneusalexanderisaya5432 Месяц назад

    Mwaipopo dini imekushinda unaamia mipira ama kweli.

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Месяц назад

    Ndio mjijue Sasa sh eria hamzijui mnae nda kichwa kichwa tu mtajijambia mna roho za hasada san a

  • @user-yh3fy6ft7x
    @user-yh3fy6ft7x Месяц назад +1

    😂😂😂😂mwaipopo sasa 😂😂😂😂😂 sura kama kanywa ndimu😂😂😂

  • @ereneusalexanderisaya5432
    @ereneusalexanderisaya5432 Месяц назад

    Siku zote mko wapi kwenye majukumu au majukum yenu ni kalatasi

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e Месяц назад

    Hata wangemva mapembe ya shetani,hawapati team wara office, engineer ana MUNGU wake atashindatu hii vita, YESU wake amesimama imara,,. Ameeen

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 Месяц назад

      nyie si ndy hao chawa wa injinia ht iweje mzee magoma yupo sw 100 %

  • @habibukassam9702
    @habibukassam9702 Месяц назад +1

    We mzee kawadanganye ukoo wako mnafirana na wanga wenzenu mmerivaa mwaka huu co yanga ilio pita mtajuta na mjini mtahama

  • @edgarkaijage1750
    @edgarkaijage1750 Месяц назад

    Awawazee wananjaa

  • @user-lz1dw3dm5g
    @user-lz1dw3dm5g Месяц назад

    Waongo nyie

  • @user-ze8dv7xo1g
    @user-ze8dv7xo1g Месяц назад

    Hili mizee ni mijizi na matapeli yaogopwe kama ukoma

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Месяц назад

    Kwani haya yote mngeyasema kwenye vikao halali mngekosa nini ? ili kama msingekubaliana ndipo mngechukua hatua hiyo? Kuna kitu mmekidhamiria ili kupata faida binafsi na sio kwa manufaa ya Yanga. Kezi imekuwa ni siri na kwa kificho mno. Mlikuwa mnaficha kwa faida ipi? Huyo hakimu ana maslahi gani katika hili kiasi hata cha kushindwa kuwaita au kuwaarifu Viongozinwa Yanga kuwa kina kesi inayowahusu ofisini kwake ?

  • @issambassa5901
    @issambassa5901 Месяц назад

    Sasa ivih hakuna ujanja ujanja mzee nendeni vijijini mkalime

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza Месяц назад

    Hawa wazee wameoza akili

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Месяц назад

    Lete kurujuwan bhana wasiwasumbue😂😂

  • @emiliankatura1684
    @emiliankatura1684 Месяц назад +1

    Hayo maelezo mtaenda kutoa huko mbele.

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Месяц назад

    Nyie nikama Nani m najikuta Nani nyie w awili kama sio kusu mbua watu tu achen i uchawi bwana wac hawi wakubwa nyie mlipo hapo mnajua kingereza nyie havy o kabisa nyie mnato a utulivu yanga mna jikuta Nani hovyo ka bisa nyie

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Месяц назад

    nyie njaa zinawasumbua ona hata sura zinaonesha njaa imetawala

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 Месяц назад

    Tatizo sio muda wa kuweka wazi hiyo kesi ila nia yenu yakwenda mahakamani ilikuwa ni ovu na kuisabotage Yanga

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Месяц назад

    vipi mtoto wa juma mwambeo ametoa ushahidi baba yake ndio mtu pekee rita wanamtambua vipi leo nyie mnamtaja abedi wakati abedi kati ya watu saba waliotakiwa na rita wakachangue balaza la wadhamini je wadhamini walichaguliwa

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza Месяц назад

    Wazee waliposema wanatafuta suluhu nimeaelewa ,saluhu kwenye nchi yetu ni bahasha tu

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад +3

    WAZEE MPO KWENYE MSITARI WALA MSIYUMBISHWE MPAKA PAELEWEKE UBAYA UBWELA UBWELA

  • @frankmataka7185
    @frankmataka7185 Месяц назад

    hao matapeli injinia hakuna kuwapa pesa hao mtoto wa juma mwambelwa hawajui tieni ndani

  • @SefuHabibu-sn8cx
    @SefuHabibu-sn8cx Месяц назад

    Kaeni na iyo katiba yenu sisi tunabaki na timu yetu ondokeni zenu uko katiba ya nchi unafananisha na katiba ya yanga acheni uchochezi na kauli mbaya

  • @AllyPeter-l7l
    @AllyPeter-l7l Месяц назад

    Ila mwaipopo

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Месяц назад

    Hapo kwenye picha ndo shida ilipozidi hapo kwann wakuzuie

  • @user-yh3fy6ft7x
    @user-yh3fy6ft7x Месяц назад

    😂😂😂😂sijui nacheka nini yani hapo unapowaona hao watu ukiwatafakari japo sekunde moja wana matatizo gani 😂😂😂😂😂 wanataka nini hapo 😂😂maana inaonekana hata mihogo hawajala hapo😂😂😂

  • @AAbubakariSharif
    @AAbubakariSharif Месяц назад

    Vijana wa 2000 awawez kujuwa aya

  • @jurdanforwardersltd1460
    @jurdanforwardersltd1460 Месяц назад

    Ipo siku nyie wazee watakuja kuwakumbuka,kwani katiba ndio kila kitu bila kuhisimamia na kuiweka sawa itakuja leta shida hapo baadae.Hata simba lilitaka kutokea ili lakini kelele za wadau ndio zilisahidia.

  • @peterpata8825
    @peterpata8825 Месяц назад

    Wahuni

  • @oleoles9424
    @oleoles9424 Месяц назад

    Hawa njaa zinawasumbua,someni kilichoamuliwa

  • @JumaMwilima
    @JumaMwilima Месяц назад

    Acheni uongo nyinyi wazee ukwel katoa mtt wa mambeo

  • @MohammediKilindo
    @MohammediKilindo Месяц назад

    Alafu uyu magoma nimegundua ni muongo sana aiwezekani mtu aseme bola atoke samia kuliko injinia kwa mada gani sasa

  • @robsondalink6206
    @robsondalink6206 Месяц назад

    Mbona wana uoga sasa

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt Месяц назад

    HIVI HIKI CHAMA CHAO NI CHA WATU WAWILI TUU AU AMA.....!!!?

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Месяц назад

    Mbona mmamsemea mlieshtaki? Mlikubaliana mshtakiane kimchongo na huyo abeid

  • @aminahkhuzwayo-iv1wl
    @aminahkhuzwayo-iv1wl Месяц назад +1

    Mzee mwaipopo ilo shati hujabadili wiki hii..
    Utaiweza Yanga kweli!?😂😂😂

  • @Jobiso
    @Jobiso Месяц назад

    Wameanza kujirudi ee

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Месяц назад

    Uyo katikisa makalio yake sio yanga

  • @bakomungia9809
    @bakomungia9809 Месяц назад

    Alaf msimshirikishe rais samia na mambo yenu.mnatafuta uruma na gadi kwa kumpaka mafuta na mgongo wa chupa.mh samia nimtu wa pwani akimsikiliza mtu anavyoongeatu yeye kashamjua uyu yuko wp

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад

    Haya mashetani vipi

  • @dianaemmanuel3471
    @dianaemmanuel3471 Месяц назад

    Njaa mbaya nyumba zenu hazina hata hazi mtajua hamjui yaani tuwape timu yetu nyie jitasimini

  • @edgarkaijage1750
    @edgarkaijage1750 Месяц назад

    Awawazee mnawapa kiki ,awanachochote ,naombakujua wamewekeza shilingi ngapi kwa yanga ,mpira biashara tuwache ushabiki wa kijinga

  • @dianaemmanuel3471
    @dianaemmanuel3471 Месяц назад

    Jela inawahusu si mnajiweka wajuaji nyie wazee

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Месяц назад +1

    We siyo mwanachama, hiyo haki utaipataje?

  • @prince783
    @prince783 Месяц назад +1

    Mabadiliko yasifanye tuwapuuze wazee wetu hawa ndo waliotoka mbal na yanga ndo wanajua miiko . Kwaio injinia akae vizur na hawa wazee kuna njia watamuonesha .wametoa mfano wa manji ..isije ikawatokea puani badae

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 Месяц назад

      Acha kuamini ushirikina awa wazee maisha yao yamewashinda waje waiweze yanga,mpira mipango sio roho mbaya ya awa wazee

    • @user-iz3hs8jl5p
      @user-iz3hs8jl5p Месяц назад

      mzee gan hana busara aache ujinga

    • @user-iz3hs8jl5p
      @user-iz3hs8jl5p Месяц назад

      ndo maana meno yamemzidi mdomoni

  • @Kadebecomedy
    @Kadebecomedy Месяц назад +1

    Watazani ukweli kwenye mafanikio ni Ngumu kukuelewa mpaka jambo liwe jambo ndipo wataelewa....hawa wazee wataambulia matusi tu na sio kuwaelewa kile wanachowaeleza.....hapo ni Double D

  • @alimahazi9553
    @alimahazi9553 Месяц назад

    Ww peleka umasikini wako

  • @edwinmakingi3631
    @edwinmakingi3631 Месяц назад

    Mbombo ngafu

  • @oberdosward6494
    @oberdosward6494 Месяц назад +1

    Njaaa inawasumbua nyie wazee

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo2138 Месяц назад

    Huyu nani kwani?

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 Месяц назад

    Shikilieni hapohapo wazee wetu

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Месяц назад

      NYANI HAONI KUNDU LAKE MPAKA UMUWEKEE KIOO ATI WAZEE SHIKILIA HAPO YA NYOKO MBONA MZEE KILOMONI ANA HOJA KUHUSU MO MLIJIBU UTUMBO MKAMTUKANA SANA HALAFU YULE AKICHEZEA SIMBA BAADAE KAUONGOZA SIMBA SASA MAGOMA KACHEZA WAPI LINI KAONGOZA YANGA WAPI NA LINI HISTORIA YAKE NI KUINGIA MSITUNI KUTEKA TIMU KUANZISH MAKUNDI YA KUPINGA KILA UONGOZI ILI WAPATE PESA SASA HIVI MMEULA WA CHUYA KUNA WASOMI YANGA MLIMSEMA MZEE KIKOMONI ATI OOO SISI TUNATAKA FURAHA TU HATA KAMA HAKUNA HIYO B 20 SAWA TU SASA HUO SI UJINGA ALISEMA RAGE MBU MBU MBU WANAOUNGA MKONO MAGOMA NI WALE MBU MBU MBU WA RAGE. HILO NDO KOMBE LENU MAANA MMENUNA MIAKA 3 NA BADO MNAMTUMIA HUYO MBWA KOKO MSHAKWAMA.