#EXCLUSIVE
HTML-код
- Опубликовано: 22 ноя 2022
- #EXCLUSIVE: AMBER LULU 'LIVE' AKIPIKA MASOTOJO UTAMTAKA - "NAPENDA KUMPIKIA MUME WANGU" | MPAKA HOME
KWENYE MPAKA HOME ya wiki hii tumefika hadi nyumbani kwa staa wa muziki Bongo Amber Lulu ambaye amefunguka mengi..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Get man bwana🤣🤣🤣
Uliyeona ungo umetobokapembeni agonge like😂
Mbna umpinafasi uyo Dada mwengine ajieleze vzur kuhusu ngoma yke na biashara zke sio poa ku concentrate na umber pekee. 254
Bure you think 😂??
Safari ilikua ya amber 😅 sio ya dada mwengjne
Nice life 👌🥰
Ila mtangazani unamoyo wa kula na watu wanamakucha namna hio mnashea tu hapo 😜🤣🤣
Mtangazaji ni wa hovyo.
Nimependa saana vile anaishi yaaaaani yupo namaisha Yake Safi mashaallaah nimependa masotojo wooow mama wa nyumbani kumbe Maisha Yake halisi yupo vele ❤️🌹❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wooow
Uyu kaka hajui kitangaza anaboa
Yaani acha kabisa ata hiyo sauti yake mmh
Mwamba maik unaweka karibu sana so sauti yako inakuwa mbaya, iweke mbari kidgo
Nyumba za watu ila wasanii mkishikwa na shida ndio tunajua maisha Yao halisi
Don't u see the bell...??
Watu mnamuonaga uwoya mzuri mbona wa kawaida sana
Sana
Mnawaira wandishi habari alafu mnajifanya mmevamiwa gafla
Mrembo huyo Namuelewaga sama pesa Sina🤪😂😂😂
Jamani hayo mapishi mie hoi
Huy myangazaji mbona kama mroho sana
Huu ni uongo hiyo ni apartment inakodishwa
Wewe kaka punguza kufoka kha!
😂😂😂
Changu ni chumba kimoja nimejua tofali na siment bei gani ninashukuru mungu sitamani vikubwa vya watu Alhmdullh 🙏🙏
🤣🤣🤣
😃
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣relax mama amber amekodiii tu sio kwake hapo
@@baemajesta2805 Agtchuu
😀😀😀mimi hyo milion 3 nimesha malizia madirisha nyumban kwangu🤣🤣🤣🤣🤣
Mtangazaji huna utulive jifunze kazi usiboe watazamaji
Mmmh presenters kazi tunayo
Huwa wanatoaga taarfa, Sasa kama hawatoi taarfa ndo inakuaj Kwa mfano MTANGAZAJI anaenda Kwa amber halaf hakumti inakuaj
Huyu mtangazaji mawenge sana
we mtangazaji ivi Kweli unahakili au unawezaje kumlinganisha Ambar Lulu na uwoya ule muzee cakwanza Uwoya anamyaka 38 alagu Ambar Lulu juzi kaeneza myaka 23 Ambar Ni mzuli na kingali mdogo
Intaveer auna hata utulivu mmh🙄
Kweke au 😳😳wana sifa 😜😜
Huyu wa mwanza kweli mwanza dar noma
Tabora mnyamwezi huyo
Hawana ila kukodi
Sijapenda unavomuuliza maswali juu ya mt ambae ashaacjana nae.
Napenda
heee kumbe Amba lulu ana ishi nyumba kali
Kakodi apartment tu.
@@mlapikauma7660 kwahiyo kakodi kwajili intavyu au
Thubutu 👌 nenda goba hii apartment ipo goba n nxur kufanyia part ila ipo ndan ndan kidog njia y vumbi kulia kutokeA goba center
Huyu mtangazaji ni msengeremaa😏😏😏
Uyo nae namikucha s achukue kijiko
Ayo makucha analisha wenzake uchafu
Huyu mtangazaji mapepe na ana makelele!
Umeona ee 😂😂
Mtangazaji ana makelele ana rusha mimate
jamani Ambar anaishi maisha mazuli. daa
Thubutu hy n apatment ipo goba unalipia 120k per day watu tunaendaga kula bat huko tunalipia tunaenda n pombe zetu huko
Si vizuri kuingia kwa nyumba ya mtu ivo bila taarifa badikisheni hiyo tabia yenu si ungwana ww mtangazaji koma hiyo tabia yako kuvizia bila taarifa
Hawezi kwenda bila taarifa hiyo issue inapangwa kabla yakushoot video so hivyo uonavyo nikama maigizo yani ni mchezo
What did she say again? She's paying 3 million monthly? That's only rent, let us do some math guys, in 6 month She's wasting 18 million just for rent. Most of Tanzanian who called themselves stars hawana nyumba why? When you're renting means you're wasting your money.
Waongo tu🤣🤣🤣 but they don't know that they're wasting time
@@jemimajackson7822 honestly......please let your people know what I'm doing on my RUclips channel...type Riziki's kitchen stay blessed 🙌
Pesa ya Tanzania iyo
You know she’s lying about paying that amount sasa essay ya nn😂
Hapa sio kwake makochi yake ya blue
kumbe?
Jamani mtangazaji hii n apartment unalipia 120k kulala one night ina twoo room kitchen ina daining , seating room 😅hpo kwnz ncheke huwa nafanyiaga birthday hpo dah @umbelulu umetisha kwa kutupga n kitu kizito
Shida wanapanga hadi watangazaji. Ahaha hamna reality
😂😂😂😂😂
😀😀😀😀khaaa
Iv kweli...maana ata zile pazia za jikoni hamna
Kukbe Amber Lulu ana matako hana hips!
Yes
Mtangajazi Ana kiherehere saana mwehu anafatafata mtu nkaa anajiforce
Amber anaishii kinondoni
Huo niuongo mnajifanya mumevamia kumbe waongo huwexi kendal kwamtu bilataarifa alafu nakamera msitufanye weu kwasaba bu hapo manzoni mwandshi alimkutamtu kwani siangeenda kutowa taalifa kama kunamgeni
Waandishi Habari sikuhizi hakuna, FRANK MTAO uko wapi ??
Chefu kabisa mapepe
Mtangazaji anaongea sanaaa 🙄
Yan siwez kula na mijitu inamakucha ivyo
Huyu mtangazaji nafikili hizi interview hajazipanga , yan anakwenda na kipindi kutokana na mazingila ya m2 anaye mfata na jinsi alivyo alafu anasongeaha kipindi so ni mbunifu , so maboss zake wameona hicho ndio Mana kaajiliwa so KWA wale wanao muona ana boa sjui itakuaje
Hivi ni kweli hawatoagi Taarifa??
Sikunyingine ubonyeze kengere ndugu muandishi😂
Hiyo mikucha kama mwanga😏
Maisha ya wasanii wa bongo hovyooo...hata pazia lq jikoni???
labda kwa ajili ni jiko hewa ila ungo umeniacha hoi umetoboka
This presenter is super loud,not professional!
Kajege
Jamani me huo ungo tuu hoi 🤣🤣
Sasa mtangazaji hicho chakula kitajaa mate ya mtangazaji!
😂😂😂😂
Kanenepa mashavu
Waandish mnakaz kubwa san
kwa nn mnahoji watu hawana mbele wala nyuma.. huyu katufanya sisi mafala kwa kuchukua hyo Air Bnb n kusema ndo kwake 🤣🤣🤣
Yaani wasanii wanbongo😂😂🤣🙌
😂😂😂😂😂😂😂😂
Uyu mtangazaji anaboa kaka kirekebishe pia hana point mdomon ,,khaaaa sio poa
Ila huyu mtangazaji mjinga na hilo lisaut
Kaka mroho huyu nyooo😏
MTANGAZAJI ANAZINGUA HATA KAMA UDAKU NDIYO UMGANDE MTU KAMA NZI.
Jmn amba udg nikweli huna sahani jmn mpk tunakula kwenye dishi ya kuseviya sema nimekupenda bule
Vijiko hamna???? uwiii
Mtangaziji kama anaimba singeli vile maneno mengi tu
Mc uyo mpo Africa tandika
Dah huyu demu sasa ivi na mjengo wakishuwa dah ni balaa je?nifanikio ya music wala tena juu katika kumbukumbu zangu sijuwi kama anamzidi linah ao ruby.dah maisha kamari kweli.
Huo msinia km mibakuli ya hospital 🤣🤣🤣🤣
Kwake au kapanga
Amber anapongea kama demu wang wa sasa hivi, wallah tena
haha
Bc mngekula alafu mkaendelea na stori nyngn 😁😁
Hakun share yao
Mh ungo unamatobo huo hatar 😀😀😀
MTANGAZAJI UNAFOKA SANA BWANA.. SAUTI KA MCHUNGAJI ANA HUBIRI😒
Alikuwa mc uyu mpo Africa tandika🤣🤣🤣
Full acting dah hiki kipindi wanajipanga km wanaigiza
Umeona eeeeeh
Mbona hamvai heplony mkiwa jikon au ndo mpaka wawaandae na interview mkimbie mwengee kununua
Mtangazaji sio profesional jaman unaongea mnooo
Sorry ndugu zangu naomba kuuliza je ni maeneo gani mazuri yaliyotulia unawaza ukajenga nyumba na ukaweza kufanya biashara kama kupangisha na biashara zingine lakini nimaeneo yanayoanza kuendelea na hayana mlundikanao wanyumba
Naishi nyumba ya elfu 70 ila uwa inaniuma kutoa je iyo 3 m
,😂😂😂😂😂😂
We mkaka kaa mbali anapika apo akikudhur mtu hayuko poa bd unamdic
Mziki mkubwa hata mahojiano hayasikiki vizuri.. maswali ya uchonganishi tu 🚶
Mtangazaji nichauroho alisubiriya tu anabugiya
Wanalipia pesa nyingi wangejenga ningewaona wa maana
😂😂😂😂😂😂😂
Hhhaà Ku sabuscrabuuuu😂😂😂😂 iv mmesikia km ambv mm nimesikia
KAKA ANAPAYUKA ANAROPOKA KAMA KALISHWA USEMBE HAMPI PUMZI HATA KIDOGO JAMANI
🤣😂🤣😂🗣🤦♂️
Amba Ni muzuli bwana na amekua kibonge 🤣🤣🤣🤣we gigy uko wapi uanze kulopoka lopoka juu ukigundua kwamba Ambar anaishi maisha mazuli ivi najua wivu wako utakufanya uanze kumtukana
Umeona eee
Mtu unapanga bonge la nyumba better save the money and buy your own ☝️
Fanya kile moyo wako unapenda
Acha makasiriko huna huna tuu
Sijuwi kwanini simpendi huyu mtangazaji 😏 anaboa mno. Yaani anavuka mipaka ya kazi yake. Hampi mtu distance kidogo 😡😡 anazoom hadi mtu anavyopika na kufungua fridge...siyo poa unaona kabisa jinsi Lulu alivyokuwa uncomfortable 😏😏😏 halafu anavyokula nyama tu za watu 😏😏😏
Hapo kwenye Nyama hapo naweza kurusha kwa dirisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
inaelekea wewe kwako wageni huwakalibishagi chakula roho mbaya tu kama haumpend ni wewe umefata nn kwenye kipi chake uchawi tu ulio nao unakutesa nyooo chefu 😏
@@rosemzava5149 🤣🤣🤣🤣🤣😂
That's how it's supposed to be his doing it well
Nawapenda mtangaxaji na amber lulu
Grobal camera zenu haina maajabu
Huyu mtangazaji nianaongea saana apunguze maneno
Huyu mtangazaji mbona ana vuka mipaka?
Mimi nimesema hivyo hivyo👍🏿 halafu kuna lijitu lika replay ujinga ktk comment yangu.
Makucha sasa mmmmmmn
Ila mchafu jiko chafu hatari mpangilio ovyo
Hugo mama MTU mzima ovyo na tumbo lakee
😂😂😂😂jamn
Mtangazaji kiukweli tafuta kazi ya kufanya nyingne hii ya utangazaji hata haikufai maana una sauti mbaya
Mtangazi unaongea Sana unaboa nahiyo maiki itakuwa imejaa mate
🤣😂😂😂 wallah Suzy umenichekesha
Jamani izi apartment kwa siku 120 ziko goba kha waandishi nyoko zao 😂😂😂😂
😂😂😂😂
Kwa siku 120 imekuwa hotel au guest House 🤣
Maisha ya kuigiza😃😃😃
Hilijamaa linamakelele hataalijui kufanya kipindi yaan linamakelele hataalijuikuongea kwaswag na utulivu makelele duuuuuuuh
Ujinga mwingi
Batani ya kengele ipo halafu unapiga hodi🤣🤣
Mbona ungo wakupetea mchele umechanika sas
Ndugu Hawa watu wanamaisha ya kawaida sana uku kwetu Kuna baba ni taajili balaaa ananyumba ya kifahari Kuna siku nimeenda dukani kwake anaduka kubwa la kuuza vifaaa vya mixiki nk Sasa wakat nipo pale mvua ikanyesha sikufanikiwa kwenda kwa uo mda eeeeh kaletewa chakula kutoka kwake ugari maharage hayo maharage kwa ndani yamewekwa mchicha na ni chakula ambacho alikula na watu wote pale nilishangaaa sana mtu mzito kama yule anakula ugari maharage nilisema usione mtu anamakeke nje ndani wa wa ajabu sana