#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 ноя 2022
  • #EXCLUSIVE: AMBER LULU 'LIVE' AKIPIKA MASOTOJO UTAMTAKA - "NAPENDA KUMPIKIA MUME WANGU" | MPAKA HOME
    KWENYE MPAKA HOME ya wiki hii tumefika hadi nyumbani kwa staa wa muziki Bongo Amber Lulu ambaye amefunguka mengi..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 195

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +4

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @esthercharles5945
    @esthercharles5945 Год назад +6

    Uliyeona ungo umetobokapembeni agonge like😂

  • @dulax2457
    @dulax2457 Год назад +8

    Mbna umpinafasi uyo Dada mwengine ajieleze vzur kuhusu ngoma yke na biashara zke sio poa ku concentrate na umber pekee. 254

  • @zamzamhaji1229
    @zamzamhaji1229 Год назад +2

    Nice life 👌🥰
    Ila mtangazani unamoyo wa kula na watu wanamakucha namna hio mnashea tu hapo 😜🤣🤣

  • @valentina6413
    @valentina6413 Год назад +5

    Mtangazaji ni wa hovyo.

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 Год назад +8

    Nimependa saana vile anaishi yaaaaani yupo namaisha Yake Safi mashaallaah nimependa masotojo wooow mama wa nyumbani kumbe Maisha Yake halisi yupo vele ❤️🌹❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 Год назад +1

    Wooow

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +6

    Uyu kaka hajui kitangaza anaboa

    • @user-qh2bx5em6j
      @user-qh2bx5em6j Месяц назад

      Yaani acha kabisa ata hiyo sauti yake mmh

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 Год назад

    Mwamba maik unaweka karibu sana so sauti yako inakuwa mbaya, iweke mbari kidgo

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 Год назад +6

    Nyumba za watu ila wasanii mkishikwa na shida ndio tunajua maisha Yao halisi

  • @fatmerhabibth8015
    @fatmerhabibth8015 Год назад +1

    Don't u see the bell...??

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +7

    Watu mnamuonaga uwoya mzuri mbona wa kawaida sana

  • @ruu6592
    @ruu6592 Год назад +5

    Mnawaira wandishi habari alafu mnajifanya mmevamiwa gafla

  • @akimudominik5695
    @akimudominik5695 Год назад +6

    Mrembo huyo Namuelewaga sama pesa Sina🤪😂😂😂

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 Год назад +1

    Jamani hayo mapishi mie hoi

  • @abelimembe6990
    @abelimembe6990 Год назад +6

    Huy myangazaji mbona kama mroho sana

  • @charityguard823
    @charityguard823 Год назад +4

    Huu ni uongo hiyo ni apartment inakodishwa

  • @GracieTyno
    @GracieTyno Год назад +6

    Wewe kaka punguza kufoka kha!

  • @asiashaban5809
    @asiashaban5809 Год назад +4

    Changu ni chumba kimoja nimejua tofali na siment bei gani ninashukuru mungu sitamani vikubwa vya watu Alhmdullh 🙏🙏

    • @peninaismail9848
      @peninaismail9848 Год назад

      🤣🤣🤣

    • @asiashaban5809
      @asiashaban5809 Год назад

      😃

    • @baemajesta2805
      @baemajesta2805 Год назад

      😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣relax mama amber amekodiii tu sio kwake hapo

    • @asiashaban5809
      @asiashaban5809 Год назад

      @@baemajesta2805 Agtchuu

    • @naimamalekela812
      @naimamalekela812 Год назад

      😀😀😀mimi hyo milion 3 nimesha malizia madirisha nyumban kwangu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @miriamdastan1699
    @miriamdastan1699 Год назад +4

    Mtangazaji huna utulive jifunze kazi usiboe watazamaji

  • @razakiali1630
    @razakiali1630 Год назад

    Mmmh presenters kazi tunayo

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Год назад +1

    Huwa wanatoaga taarfa, Sasa kama hawatoi taarfa ndo inakuaj Kwa mfano MTANGAZAJI anaenda Kwa amber halaf hakumti inakuaj

  • @musason1680
    @musason1680 Год назад +1

    Huyu mtangazaji mawenge sana

  • @zainabukabura9876
    @zainabukabura9876 Год назад +3

    we mtangazaji ivi Kweli unahakili au unawezaje kumlinganisha Ambar Lulu na uwoya ule muzee cakwanza Uwoya anamyaka 38 alagu Ambar Lulu juzi kaeneza myaka 23 Ambar Ni mzuli na kingali mdogo

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 Год назад

      Intaveer auna hata utulivu mmh🙄

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +3

    Kweke au 😳😳wana sifa 😜😜

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад +1

    Huyu wa mwanza kweli mwanza dar noma

  • @mlapikauma7660
    @mlapikauma7660 Год назад +4

    Hawana ila kukodi

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu7258 Год назад

    Sijapenda unavomuuliza maswali juu ya mt ambae ashaacjana nae.

  • @jamilajamila5532
    @jamilajamila5532 Год назад

    Napenda

  • @zainabukabura9876
    @zainabukabura9876 Год назад +3

    heee kumbe Amba lulu ana ishi nyumba kali

    • @mlapikauma7660
      @mlapikauma7660 Год назад

      Kakodi apartment tu.

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Год назад

      @@mlapikauma7660 kwahiyo kakodi kwajili intavyu au

    • @ringolisarichard1298
      @ringolisarichard1298 Год назад

      Thubutu 👌 nenda goba hii apartment ipo goba n nxur kufanyia part ila ipo ndan ndan kidog njia y vumbi kulia kutokeA goba center

  • @rosekimath2614
    @rosekimath2614 Год назад +1

    Huyu mtangazaji ni msengeremaa😏😏😏

  • @ahmedyhassan4059
    @ahmedyhassan4059 Год назад +4

    Uyo nae namikucha s achukue kijiko

  • @Juliet_Adolphine_Amisi1911
    @Juliet_Adolphine_Amisi1911 Год назад +2

    Ayo makucha analisha wenzake uchafu

  • @Sppah697
    @Sppah697 Год назад +11

    Huyu mtangazaji mapepe na ana makelele!

  • @zainabukabura9876
    @zainabukabura9876 Год назад +14

    jamani Ambar anaishi maisha mazuli. daa

    • @ringolisarichard1298
      @ringolisarichard1298 Год назад +2

      Thubutu hy n apatment ipo goba unalipia 120k per day watu tunaendaga kula bat huko tunalipia tunaenda n pombe zetu huko

  • @nasramuhammad2046
    @nasramuhammad2046 Год назад +3

    Si vizuri kuingia kwa nyumba ya mtu ivo bila taarifa badikisheni hiyo tabia yenu si ungwana ww mtangazaji koma hiyo tabia yako kuvizia bila taarifa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Год назад

      Hawezi kwenda bila taarifa hiyo issue inapangwa kabla yakushoot video so hivyo uonavyo nikama maigizo yani ni mchezo

  • @Rizikiskitchen
    @Rizikiskitchen Год назад +8

    What did she say again? She's paying 3 million monthly? That's only rent, let us do some math guys, in 6 month She's wasting 18 million just for rent. Most of Tanzanian who called themselves stars hawana nyumba why? When you're renting means you're wasting your money.

    • @jemimajackson7822
      @jemimajackson7822 Год назад +2

      Waongo tu🤣🤣🤣 but they don't know that they're wasting time

    • @Rizikiskitchen
      @Rizikiskitchen Год назад +1

      @@jemimajackson7822 honestly......please let your people know what I'm doing on my RUclips channel...type Riziki's kitchen stay blessed 🙌

    • @maryamthabiti
      @maryamthabiti Год назад

      Pesa ya Tanzania iyo

    • @Queenofdsouth
      @Queenofdsouth 6 месяцев назад

      You know she’s lying about paying that amount sasa essay ya nn😂

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 Год назад +4

    Hapa sio kwake makochi yake ya blue

  • @ringolisarichard1298
    @ringolisarichard1298 Год назад +7

    Jamani mtangazaji hii n apartment unalipia 120k kulala one night ina twoo room kitchen ina daining , seating room 😅hpo kwnz ncheke huwa nafanyiaga birthday hpo dah @umbelulu umetisha kwa kutupga n kitu kizito

  • @Sppah697
    @Sppah697 Год назад +4

    Kukbe Amber Lulu ana matako hana hips!

  • @vevocres
    @vevocres 3 месяца назад

    Mtangajazi Ana kiherehere saana mwehu anafatafata mtu nkaa anajiforce

  • @badrunizal9875
    @badrunizal9875 Год назад

    Amber anaishii kinondoni

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад

    Huo niuongo mnajifanya mumevamia kumbe waongo huwexi kendal kwamtu bilataarifa alafu nakamera msitufanye weu kwasaba bu hapo manzoni mwandshi alimkutamtu kwani siangeenda kutowa taalifa kama kunamgeni

  • @moseskillagane4848
    @moseskillagane4848 Год назад +4

    Waandishi Habari sikuhizi hakuna, FRANK MTAO uko wapi ??

  • @maggiemaroon1570
    @maggiemaroon1570 Год назад +5

    Mtangazaji anaongea sanaaa 🙄

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Год назад +2

    Yan siwez kula na mijitu inamakucha ivyo

  • @allyshabani7513
    @allyshabani7513 Год назад

    Huyu mtangazaji nafikili hizi interview hajazipanga , yan anakwenda na kipindi kutokana na mazingila ya m2 anaye mfata na jinsi alivyo alafu anasongeaha kipindi so ni mbunifu , so maboss zake wameona hicho ndio Mana kaajiliwa so KWA wale wanao muona ana boa sjui itakuaje

  • @cutemagemage4956
    @cutemagemage4956 Год назад

    Hivi ni kweli hawatoagi Taarifa??

  • @nasibukaboma7646
    @nasibukaboma7646 Год назад +1

    Sikunyingine ubonyeze kengere ndugu muandishi😂

  • @ummyidriss1972
    @ummyidriss1972 Год назад +2

    Hiyo mikucha kama mwanga😏

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Год назад +4

    Maisha ya wasanii wa bongo hovyooo...hata pazia lq jikoni???

    • @ruthben6516
      @ruthben6516 Год назад

      labda kwa ajili ni jiko hewa ila ungo umeniacha hoi umetoboka

  • @lorettahamaro9065
    @lorettahamaro9065 Год назад +4

    This presenter is super loud,not professional!

  • @ishakabati1776
    @ishakabati1776 Год назад

    Kajege

  • @ashavitalis4504
    @ashavitalis4504 Год назад

    Jamani me huo ungo tuu hoi 🤣🤣

  • @Sppah697
    @Sppah697 Год назад +4

    Sasa mtangazaji hicho chakula kitajaa mate ya mtangazaji!

  • @taslimanyange2850
    @taslimanyange2850 Год назад +1

    Kanenepa mashavu

  • @sixbetussebastian7990
    @sixbetussebastian7990 Год назад

    Waandish mnakaz kubwa san

  • @feezdidthis2220
    @feezdidthis2220 Год назад +4

    kwa nn mnahoji watu hawana mbele wala nyuma.. huyu katufanya sisi mafala kwa kuchukua hyo Air Bnb n kusema ndo kwake 🤣🤣🤣

    • @mkmn4723
      @mkmn4723 Год назад

      Yaani wasanii wanbongo😂😂🤣🙌

    • @monicagerald6676
      @monicagerald6676 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rens6841
    @rens6841 Год назад

    Uyu mtangazaji anaboa kaka kirekebishe pia hana point mdomon ,,khaaaa sio poa

  • @njuuhjera9971
    @njuuhjera9971 Год назад +3

    Ila huyu mtangazaji mjinga na hilo lisaut

  • @dayanamoshi6943
    @dayanamoshi6943 Год назад +1

    Kaka mroho huyu nyooo😏

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Год назад +3

    MTANGAZAJI ANAZINGUA HATA KAMA UDAKU NDIYO UMGANDE MTU KAMA NZI.

  • @maimunarashid4313
    @maimunarashid4313 Год назад

    Jmn amba udg nikweli huna sahani jmn mpk tunakula kwenye dishi ya kuseviya sema nimekupenda bule

  • @lisahhans295
    @lisahhans295 8 месяцев назад

    Vijiko hamna???? uwiii

  • @nasrahozza9231
    @nasrahozza9231 Год назад +1

    Mtangaziji kama anaimba singeli vile maneno mengi tu

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Год назад

    Dah huyu demu sasa ivi na mjengo wakishuwa dah ni balaa je?nifanikio ya music wala tena juu katika kumbukumbu zangu sijuwi kama anamzidi linah ao ruby.dah maisha kamari kweli.

  • @jointjoint4507
    @jointjoint4507 Год назад +1

    Huo msinia km mibakuli ya hospital 🤣🤣🤣🤣

  • @eddiebilly3475
    @eddiebilly3475 Год назад

    Kwake au kapanga

  • @Boaz22
    @Boaz22 Год назад +3

    Amber anapongea kama demu wang wa sasa hivi, wallah tena

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +1

    Bc mngekula alafu mkaendelea na stori nyngn 😁😁

  • @annastaziajohn9269
    @annastaziajohn9269 Год назад

    Mh ungo unamatobo huo hatar 😀😀😀

  • @buddahmakucha6848
    @buddahmakucha6848 Год назад +3

    MTANGAZAJI UNAFOKA SANA BWANA.. SAUTI KA MCHUNGAJI ANA HUBIRI😒

    • @jamilasaidi7270
      @jamilasaidi7270 Год назад

      Alikuwa mc uyu mpo Africa tandika🤣🤣🤣

  • @princessmimi4404
    @princessmimi4404 Год назад +3

    Full acting dah hiki kipindi wanajipanga km wanaigiza

    • @ruu6592
      @ruu6592 Год назад

      Umeona eeeeeh

  • @nathaliakenny4369
    @nathaliakenny4369 Год назад +3

    Mbona hamvai heplony mkiwa jikon au ndo mpaka wawaandae na interview mkimbie mwengee kununua

  • @aishamossile6336
    @aishamossile6336 Год назад +1

    Mtangazaji sio profesional jaman unaongea mnooo

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Год назад

    Sorry ndugu zangu naomba kuuliza je ni maeneo gani mazuri yaliyotulia unawaza ukajenga nyumba na ukaweza kufanya biashara kama kupangisha na biashara zingine lakini nimaeneo yanayoanza kuendelea na hayana mlundikanao wanyumba

  • @rosemaryrwabibi5908
    @rosemaryrwabibi5908 Год назад +1

    Naishi nyumba ya elfu 70 ila uwa inaniuma kutoa je iyo 3 m

  • @rehemamatinya4144
    @rehemamatinya4144 Год назад

    We mkaka kaa mbali anapika apo akikudhur mtu hayuko poa bd unamdic

  • @maggiemaroon1570
    @maggiemaroon1570 Год назад +3

    Mziki mkubwa hata mahojiano hayasikiki vizuri.. maswali ya uchonganishi tu 🚶

  • @Juliet_Adolphine_Amisi1911
    @Juliet_Adolphine_Amisi1911 Год назад

    Mtangazaji nichauroho alisubiriya tu anabugiya

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 Год назад

    Wanalipia pesa nyingi wangejenga ningewaona wa maana

  • @rukaiya86
    @rukaiya86 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @JacklineMakule-id8hn
    @JacklineMakule-id8hn Год назад

    Hhhaà Ku sabuscrabuuuu😂😂😂😂 iv mmesikia km ambv mm nimesikia

  • @luluwhite3818
    @luluwhite3818 Год назад +2

    KAKA ANAPAYUKA ANAROPOKA KAMA KALISHWA USEMBE HAMPI PUMZI HATA KIDOGO JAMANI

  • @zainabukabura9876
    @zainabukabura9876 Год назад +5

    Amba Ni muzuli bwana na amekua kibonge 🤣🤣🤣🤣we gigy uko wapi uanze kulopoka lopoka juu ukigundua kwamba Ambar anaishi maisha mazuli ivi najua wivu wako utakufanya uanze kumtukana

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Год назад +1

    Mtu unapanga bonge la nyumba better save the money and buy your own ☝️

    • @Teddy-fq5oc
      @Teddy-fq5oc Год назад +2

      Fanya kile moyo wako unapenda

    • @Teddy-fq5oc
      @Teddy-fq5oc Год назад +1

      Acha makasiriko huna huna tuu

  • @AdoAshu80
    @AdoAshu80 Год назад +44

    Sijuwi kwanini simpendi huyu mtangazaji 😏 anaboa mno. Yaani anavuka mipaka ya kazi yake. Hampi mtu distance kidogo 😡😡 anazoom hadi mtu anavyopika na kufungua fridge...siyo poa unaona kabisa jinsi Lulu alivyokuwa uncomfortable 😏😏😏 halafu anavyokula nyama tu za watu 😏😏😏

    • @rosemzava5149
      @rosemzava5149 Год назад +3

      Hapo kwenye Nyama hapo naweza kurusha kwa dirisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @tatutatu1570
      @tatutatu1570 Год назад +5

      inaelekea wewe kwako wageni huwakalibishagi chakula roho mbaya tu kama haumpend ni wewe umefata nn kwenye kipi chake uchawi tu ulio nao unakutesa nyooo chefu 😏

    • @alexandrucarmen3185
      @alexandrucarmen3185 Год назад +1

      @@rosemzava5149 🤣🤣🤣🤣🤣😂

    • @naimanimo4925
      @naimanimo4925 Год назад +5

      That's how it's supposed to be his doing it well

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 Год назад +3

      Nawapenda mtangaxaji na amber lulu

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 Год назад

    Grobal camera zenu haina maajabu

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад

    Huyu mtangazaji nianaongea saana apunguze maneno

  • @Sppah697
    @Sppah697 Год назад +3

    Huyu mtangazaji mbona ana vuka mipaka?

    • @AdoAshu80
      @AdoAshu80 Год назад

      Mimi nimesema hivyo hivyo👍🏿 halafu kuna lijitu lika replay ujinga ktk comment yangu.

  • @happyfihavango4151
    @happyfihavango4151 Год назад +2

    Makucha sasa mmmmmmn

  • @natalisaid5414
    @natalisaid5414 Год назад +1

    Ila mchafu jiko chafu hatari mpangilio ovyo

  • @taslimanyange2850
    @taslimanyange2850 Год назад +2

    Hugo mama MTU mzima ovyo na tumbo lakee

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Год назад +2

    Mtangazaji kiukweli tafuta kazi ya kufanya nyingne hii ya utangazaji hata haikufai maana una sauti mbaya

  • @suzanmhagama9233
    @suzanmhagama9233 Год назад +1

    Mtangazi unaongea Sana unaboa nahiyo maiki itakuwa imejaa mate

  • @erycamichael2113
    @erycamichael2113 Год назад +1

    Jamani izi apartment kwa siku 120 ziko goba kha waandishi nyoko zao 😂😂😂😂

  • @fridaminja7191
    @fridaminja7191 Год назад

    Maisha ya kuigiza😃😃😃

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829 Год назад +1

    Hilijamaa linamakelele hataalijui kufanya kipindi yaan linamakelele hataalijuikuongea kwaswag na utulivu makelele duuuuuuuh

  • @godfreylugson
    @godfreylugson Год назад +2

    Ujinga mwingi
    Batani ya kengele ipo halafu unapiga hodi🤣🤣

  • @abelimembe6990
    @abelimembe6990 Год назад +1

    Mbona ungo wakupetea mchele umechanika sas

    • @rosemaryrwabibi5908
      @rosemaryrwabibi5908 Год назад

      Ndugu Hawa watu wanamaisha ya kawaida sana uku kwetu Kuna baba ni taajili balaaa ananyumba ya kifahari Kuna siku nimeenda dukani kwake anaduka kubwa la kuuza vifaaa vya mixiki nk Sasa wakat nipo pale mvua ikanyesha sikufanikiwa kwenda kwa uo mda eeeeh kaletewa chakula kutoka kwake ugari maharage hayo maharage kwa ndani yamewekwa mchicha na ni chakula ambacho alikula na watu wote pale nilishangaaa sana mtu mzito kama yule anakula ugari maharage nilisema usione mtu anamakeke nje ndani wa wa ajabu sana