MPAKA HOME: ANITHA AANIKA UKWELI WA PENZI LAKE NA MATONYA
HTML-код
- Опубликовано: 29 янв 2018
- MPAKA HOME: ANITHA AANIKA UKWELI WA PENZI LAKE NA MATONYA
NEW Season! KIle kipindi bora kabisa cha Mpaka Home, kimeingia kazini rasmi baada ya mapumziko ya muda mfupi na kwa kuanzia ‘tumetia timu’ kwa Video Queen maarufu Bongo, Zuwena Mussa ‘Anitha wa Matonya’ ambapo ameanika ukweli juu ya penzi lake na msanii wa Bongo Fleva, Seif Shabaan ‘Matonya’ baada ya kubanwa na vilivyo na Kipindi cha Mpaka Home, ili kujibu tetesi ambazo zilizagaa juu ya uhusiano wao.
Katika mahojiano hayo ya kushtukiza kama ilivyo ada ya kipindi hicho, Anitha alianika mengi ikiwemo sakata la kufukuzwa nyumbani kwao kwa sababu ambayo inashangaza.
Jionee mwenyewe uhondo wa mahojiano haya. New Season. Twen’zetu mwana kwetu.
Subscribe muda huu / uwazi1 Install #GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Category
News & Politics
License
Standard RUclips License - Развлечения
nampenda sana huyu mtangazaji, yupo vizuri
Yan watu bdo hawajamsoma huyu mtangazaji ni anajaribu kuonesha asili yake na yuko unique sana ,,ndo ananifanya nipende hiki kipindi congratulation bro
Kaz nzr Sana mtangazaji Allah akufanyie wepes ufike mbali zaidi. Alaf Anita Dah walah mzuri Sana Yani sijui nitkupt Vp yn😢😢
Nampenda sana huyu mtagazaji he’s fire 🔥
One of the best video's' queen bongo ever happen.....
I love this guy anajielewa Na anatangaza vizuri big up presenter
Anita inaonekana akusafisha ndani ndo maana kakataa wasiingie ndani
Why mnamchukia huyu mtangazaji? Honestly speaking, hichi kipindi nakipenda kwa sababu ya huyu jamaa. Acheni chuki na wivu kwa mwenzenu anapata rizki yake.
Big up bro.
Nurse for life lol 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
nurse...umeon eeh hat mi naxhangaa why wanamuhate wakat yuko poa
nacy luizer wanamchukia with no reason, wakati wao ukiwapa hiyo mic hata kutaja jina lao watababaika
Nurse for life mimi pia nampenda sana huyu mtangazaji,hakati tamaa Hata akiwekewa ngumu kuingia kwenye nyumba ya mtu,Anajua kung'ang'ania hatarii
Nurse for life Hahahahaha
Nakukubali sana kwastyle yako
I love this guy 😂😂😂
Nice job
Hahahaaa leo hamna kuingia ndani,mmekomeshwa Hatariii,mmezoea kuvamia
Anita my crush ever 😍
big up xan Anita...uko busy na life
Huyu mtangazaji nampenda sana
HUYU. MTANGAZAJI , SISI. HATU MTAKI GLOBAL. MUONDOENI
branton masalu, i say bro nakukubali sana kwa kazi nzuri unayoifanya. wivu na chuki za watu zisikubabishe,,,,big upppppp....endelea hivyo hivyo,,,,
WE MTANGAZAJE ACHA KAZI UNA HARIBU BWANA
WADAU. HIVI. MNA MUONAJE HUYU MTANGAZAJI;: ANA HARIBU MIMI. SIMPENDI BWANA
Nakumbuka tabasamu moja hv alilitoa kwenye nyimbo ya Matonya lilikua Amaizing sn.
Na huwezi kuwa na sura yakitanga
Brighton unaniacha hoi😂😂😂😂
Raha sana kuwatch hiki kipindi ukitangaza wewe....
Unpenda kusema yeah
Woow name sake
Mashaallah zuwena kweli ni mwanamke unae jijali
Mmm sio uungwana ata kumkaribisha mpk anaomba kiti na nje bas? Izo zarau na so heshima au hujui km mgeni hukirimiwa?
Mwaka Hassan wamepanga wala usinuonee huruma 😅😅😅😅😅😅
Mm na ikubari kazi ya kila mtu.
Pia nimemkubari Anita yupo kwao amuwezi kuingia ndani iyo ndio eshma
nimrembo sana
mtangazaji yuko vizuri unaeona afai nenda wewe ukatangaze kama utaweza shwain
David Phares watu wanachuki sana,mbona anajua kutangaza?
anaongea vizuri
kaza moyo mtanhazaji mngu akutie moyo pia hiyo ni kazi yako huwezi ikwepa unaambiwa kukwepa tatizo sio kumaliza tatizo ila kukabilia na tatizo ndo kumaliza tatizo hakuna kazi laisi wanaokuponda watamani hata hiyo kazi yako lakini hawana elim wala hadhi ya kushika hiyo nafasi napenda sana hiyo kazi yako maana inachangamoto bila kupitia changamoto hujakamilika kimaisha napdnda hicho kipindi
Matrida Sambali thx sana kwakumutia moyo mbona ana tukanywa kijana wa watu eti ajuwi kuhoji
Duh
Mbona kipind kizuri tu
Mnapekuwa nyumba zawatu sio vizuri wengine hawataki kujionyesha.acha zako mtangazaji kisha unacheka sana kama mtt wakike bhn
mtafute na yule aliyeigiza na kanumba movie inaitwa twins yule mdada aliyeigiza kama mery na anita
Ni mehipenda sana
Kigugumizi sanaAa
Iyo mashine bei gan
huyo anita ni mzuri
Mtangazaji hajui kabisa
Xaxa nyinyi mnaodai huu jamaa yupo fresh mna akiri au mnaropoka2 bila kujua acheni ushonga huyu jamaa hawezi hii kaz INA wa2 w2 wake kwa MFANO watangazanji wa Ayo TV wapo makini xana kaz yao pia na uandaaji wa uulizaji wa maswali kwa huyu jamaa bando tatizo kwake, labda awe anaangalia mfano kwa watangazaji wezanke wavyokuwa na akiri nyingi kwa kukuliza maswali MFANO jonijoo
kweli mwaya
uyo mtangazaji itakuw iyo globaltv ni ya mjomba ake maana kutangaza hovyooo sanaaaa
safia ndamuhawenimana hata mm nilikua nawaza hivohivo
Yataka moyo unaweza kumwagiwa maji ya moto na Leo umepatikana umekalishwa nje
Anakigugumizi hatar uyu mwandishi Wa habar gani🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 mtangazaji yuko poa , anachangamsha kipindi , na anaweza kazi yake
mpole kbsa mstarabu
😁😁😁 sasa mbona mtangazaji badala uimbe unakiss mxiuuu
Kuhoji kwenyew hujui
kweli kaka mungu akutie nguvu
Hahahaha etiii matonya kaka angu
Anita alivo kama mchaga ongea yake weeee
2021 Nyimbo kaliii sana kama imetoka juzi duuuuh
😂😂😂😂 Good job 👏
duh
Kevin shayo ndio anaweza hii
Ww kipind chako kizur lakin kwann usiongee nao mapema uwoni wanavo kuzalilisha
HAPO hamna mtangazaji
Huyu mtangazaji ana mawenge kinoma halafu mambo ya kushtukizana mnakosea sana mtakuja kufunguliwa dog siku moja mbaka mkome
huyu jamaa yupo sawa mtangazaji
mtangazaji kunakazi nyingi zakufanya inakuwaje unang'ang'ania kazi usiyoweza kuivalia uhusika
Hahahahah Anita shogaangu umepatikana nakumic sna umetususa uje bas queen of sheba
😀😀😀😀 mtangazaji uwachi
Kumbe upo
Unajielewa dada
Iko siku utakua mtangazaji bomba ucjali ila kubali kukosolewa !!
Utaratibu wako Wa kuhoji mambo bado maana maneno mingiiiiii
Kwan mchana huwez tangaza mpaka uwafuate watu usiku?
Mtagazaji ovyo.
Linaringa ringa umo ndan limeweka buz
Mtangazaji amesoma hivi vyuo vya mtaani siyo kosa lake😁😁😁
mtangazaji😂😂😂😂
safia ndamuhawenimana ameona avamie na popcorn pia.😁😀😂😂😂😂
Duh huyu jamaa hafaii,,, ni lazima uingie kwa watu .. bure tuu
Hiyo stail 2meisha washtukia badil stail et anajifanya hajui kama kuna ugen mwisho wa cku anakubal
anitah uko poa kaumbomnakapenda sana
Wemtangazaji nimekuona apo unaigia getini
sasa swali ni moja tu matonya tu
Nami nikaenda kusomea yaani ili nipate kusema YA
Maana kila msanii akiongea kidogo ya kidogo ya
Sajeeda Dhanji umenichekeshaaa
Sajeeda Dhanji nlijiingiza kwenye comments ya..nlikunywa ya kkkkkk ya..
hichi kipindi hakifai
tena wakufukuze kabisa
Mtangazaj nampndaga jaman unajtaidi kushawsh hahhhhahah
haya mambo ya sheria ya mavazi katika ufanyaji wa video huyu unaemuhoji inakuaje unamuuliza huyu ni nani? sasa duuuh
huyu mwandishi gani ambaye anazungumza ovyo ovyo hivi daaha hivi, hii kazi hakia nani ni matatizo kwakweli shigongo angalia sana inakera my GOD Kichefuchefu kiswahili hajui..duuuh
Mnaomponda Huyu Jamaa nyie mmetangaza lini?
muende kwa seba awavunje
Mademu bhana. Ooh ctaki nn cjui afu unaregeaaaaa unakubali
Ww kuhoji mtu hujui msyuu
Acheni wivu nyie wa lala hoi nyoooo
mwandishi //unang"ata maneno .jufunze rafudhi.
Sidhani kama huyu mtangazaji amesomea uandishi wa habari, hajui kabisa kumhoji mtu. Kipindi ni kizuri lkn mtangazaji ameboa, hajui kutengeneza maswali na ana papara kupita kiasi. Anafaa kufanya comedy na sio uandishi wa habari.
Huyu mkaka anaongea sana mpaka inaboa
mtangazaji uliahidi huu mwaka utabadilika lakini wapi naona maboss wamekuhurumia tu usidhalilike kwa njaa ila utangazaji huwezi bora mimi kk
siwez kukusifia et unatangaza vzuri ntapata dhambi bro
jamani uyu mtangazaji yupo sawa,hii sauti nimaumbile jamani
Mussa Kizingiti 😂😂😂😂
Mussa Kizingiti Kwan inakuuma nn wew kama yy ajui kutangaza
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂bora tuu nicheke
mtafute na vaileti
mbozed r...hahahahah
Yaan wasanii wote awa wa kileo ajawaona dah haya tutaftie na salome wa dully
Ni mwendo wa kufukua makaburi😂😂😂😂😂cant wait video vixen wote wa jadi
+mbozde r haahaahaa 😂😂😂
arafa iddy 😅
Yaani mmmh we Anita kwani sie watu watanga tunanni nakakaetu kakubandua tu ndio unatuchukia kweeendaaa
Yani nikianqalia iki kipindi nacheka sanaa uyu kaka ananichekesha hatarii
kaza moyo mtanhazaji mngu akutie moyo pia hiyo ni kazi yako huwezi ikwepa unaambiwa kukwepa tatizo sio kumaliza tatizo ila kukabilia na tatizo ndo kumaliza tatizo hakuna kazi laisi wanaokuponda watamani hata hiyo kazi yako lakini hawana elim wala hadhi ya kushika hiyo nafasi napenda sana hiyo kazi yako maana inachangamoto bila kupitia changamoto hujakamilika kimaisha napdnda hicho kipindi
Matrida Sambali wivu wao tu