MPAKA HOME: ANITHA AANIKA UKWELI WA PENZI LAKE NA MATONYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 янв 2018
  • MPAKA HOME: ANITHA AANIKA UKWELI WA PENZI LAKE NA MATONYA
    NEW Season! KIle kipindi bora kabisa cha Mpaka Home, kimeingia kazini rasmi baada ya mapumziko ya muda mfupi na kwa kuanzia ‘tumetia timu’ kwa Video Queen maarufu Bongo, Zuwena Mussa ‘Anitha wa Matonya’ ambapo ameanika ukweli juu ya penzi lake na msanii wa Bongo Fleva, Seif Shabaan ‘Matonya’ baada ya kubanwa na vilivyo na Kipindi cha Mpaka Home, ili kujibu tetesi ambazo zilizagaa juu ya uhusiano wao.
    Katika mahojiano hayo ya kushtukiza kama ilivyo ada ya kipindi hicho, Anitha alianika mengi ikiwemo sakata la kufukuzwa nyumbani kwao kwa sababu ambayo inashangaza.
    Jionee mwenyewe uhondo wa mahojiano haya. New Season. Twen’zetu mwana kwetu.
    Subscribe muda huu / uwazi1 Install #GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
    Category
    News & Politics
    License
    Standard RUclips License
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 123

  • @amurikakombe7213
    @amurikakombe7213 6 лет назад +17

    nampenda sana huyu mtangazaji, yupo vizuri

  • @chusecurrents4324
    @chusecurrents4324 4 года назад +2

    Yan watu bdo hawajamsoma huyu mtangazaji ni anajaribu kuonesha asili yake na yuko unique sana ,,ndo ananifanya nipende hiki kipindi congratulation bro

  • @hassanisadiki824
    @hassanisadiki824 6 лет назад +2

    Kaz nzr Sana mtangazaji Allah akufanyie wepes ufike mbali zaidi. Alaf Anita Dah walah mzuri Sana Yani sijui nitkupt Vp yn😢😢

  • @maryjane7043
    @maryjane7043 6 лет назад +2

    Nampenda sana huyu mtagazaji he’s fire 🔥

  • @hassanabdaramani1046
    @hassanabdaramani1046 6 лет назад +1

    One of the best video's' queen bongo ever happen.....

  • @sheilajuma2332
    @sheilajuma2332 6 лет назад

    I love this guy anajielewa Na anatangaza vizuri big up presenter

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 6 лет назад +10

    Anita inaonekana akusafisha ndani ndo maana kakataa wasiingie ndani

  • @nohatredbutlove5786
    @nohatredbutlove5786 6 лет назад +30

    Why mnamchukia huyu mtangazaji? Honestly speaking, hichi kipindi nakipenda kwa sababu ya huyu jamaa. Acheni chuki na wivu kwa mwenzenu anapata rizki yake.
    Big up bro.

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky 6 лет назад +1

      Nurse for life lol 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @nacyluizer3734
      @nacyluizer3734 6 лет назад +1

      nurse...umeon eeh hat mi naxhangaa why wanamuhate wakat yuko poa

    • @nohatredbutlove5786
      @nohatredbutlove5786 6 лет назад

      nacy luizer wanamchukia with no reason, wakati wao ukiwapa hiyo mic hata kutaja jina lao watababaika

    • @waukweelinikkon6555
      @waukweelinikkon6555 6 лет назад +1

      Nurse for life mimi pia nampenda sana huyu mtangazaji,hakati tamaa Hata akiwekewa ngumu kuingia kwenye nyumba ya mtu,Anajua kung'ang'ania hatarii

    • @mwajumakweli6753
      @mwajumakweli6753 6 лет назад

      Nurse for life Hahahahaha

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 6 лет назад +3

    Nakukubali sana kwastyle yako

  • @veronicakalondji2375
    @veronicakalondji2375 6 лет назад +2

    I love this guy 😂😂😂

  • @maherimasase9932
    @maherimasase9932 3 года назад

    Nice job

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 6 лет назад +2

    Hahahaaa leo hamna kuingia ndani,mmekomeshwa Hatariii,mmezoea kuvamia

  • @andymusengajoseph3263
    @andymusengajoseph3263 6 лет назад +1

    Anita my crush ever 😍

  • @nacyluizer3734
    @nacyluizer3734 6 лет назад

    big up xan Anita...uko busy na life

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 6 лет назад +7

    Huyu mtangazaji nampenda sana

    • @jumaamwarab8327
      @jumaamwarab8327 4 года назад

      HUYU. MTANGAZAJI , SISI. HATU MTAKI GLOBAL. MUONDOENI

  • @rajabkamanza4771
    @rajabkamanza4771 5 лет назад

    branton masalu, i say bro nakukubali sana kwa kazi nzuri unayoifanya. wivu na chuki za watu zisikubabishe,,,,big upppppp....endelea hivyo hivyo,,,,

    • @jumaamwarab8327
      @jumaamwarab8327 4 года назад

      WE MTANGAZAJE ACHA KAZI UNA HARIBU BWANA

    • @jumaamwarab8327
      @jumaamwarab8327 4 года назад

      WADAU. HIVI. MNA MUONAJE HUYU MTANGAZAJI;: ANA HARIBU MIMI. SIMPENDI BWANA

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 лет назад

    Nakumbuka tabasamu moja hv alilitoa kwenye nyimbo ya Matonya lilikua Amaizing sn.

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 2 года назад +1

    Brighton unaniacha hoi😂😂😂😂
    Raha sana kuwatch hiki kipindi ukitangaza wewe....

  • @eliyababungire7050
    @eliyababungire7050 6 лет назад

    Unpenda kusema yeah

  • @zuenasalim7136
    @zuenasalim7136 6 лет назад

    Woow name sake

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 6 лет назад

    Mashaallah zuwena kweli ni mwanamke unae jijali

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan8742 6 лет назад +3

    Mmm sio uungwana ata kumkaribisha mpk anaomba kiti na nje bas? Izo zarau na so heshima au hujui km mgeni hukirimiwa?

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky 6 лет назад

      Mwaka Hassan wamepanga wala usinuonee huruma 😅😅😅😅😅😅

  • @sashababy1321
    @sashababy1321 6 лет назад +1

    Mm na ikubari kazi ya kila mtu.
    Pia nimemkubari Anita yupo kwao amuwezi kuingia ndani iyo ndio eshma

  • @mirriamthuomirriamthuo2899
    @mirriamthuomirriamthuo2899 6 лет назад

    nimrembo sana

  • @davidphares5316
    @davidphares5316 6 лет назад +6

    mtangazaji yuko vizuri unaeona afai nenda wewe ukatangaze kama utaweza shwain

    • @newkhamza1339
      @newkhamza1339 6 лет назад

      David Phares watu wanachuki sana,mbona anajua kutangaza?

  • @josephmagesa3659
    @josephmagesa3659 6 лет назад

    anaongea vizuri

  • @matridasambali6652
    @matridasambali6652 6 лет назад +6

    kaza moyo mtanhazaji mngu akutie moyo pia hiyo ni kazi yako huwezi ikwepa unaambiwa kukwepa tatizo sio kumaliza tatizo ila kukabilia na tatizo ndo kumaliza tatizo hakuna kazi laisi wanaokuponda watamani hata hiyo kazi yako lakini hawana elim wala hadhi ya kushika hiyo nafasi napenda sana hiyo kazi yako maana inachangamoto bila kupitia changamoto hujakamilika kimaisha napdnda hicho kipindi

    • @godfroidbasubire8355
      @godfroidbasubire8355 6 лет назад

      Matrida Sambali thx sana kwakumutia moyo mbona ana tukanywa kijana wa watu eti ajuwi kuhoji

  • @wildqueen5781
    @wildqueen5781 6 лет назад

    Duh

  • @thauratali3656
    @thauratali3656 6 лет назад +5

    Mbona kipind kizuri tu

  • @khadijaarkam5701
    @khadijaarkam5701 6 лет назад

    Mnapekuwa nyumba zawatu sio vizuri wengine hawataki kujionyesha.acha zako mtangazaji kisha unacheka sana kama mtt wakike bhn

  • @agripinajoseph3801
    @agripinajoseph3801 6 лет назад +1

    mtafute na yule aliyeigiza na kanumba movie inaitwa twins yule mdada aliyeigiza kama mery na anita

  • @isaacsalumu7772
    @isaacsalumu7772 6 лет назад +1

    Ni mehipenda sana

  • @mohamedisarafi2025
    @mohamedisarafi2025 6 лет назад

    Kigugumizi sanaAa

  • @subehaahaji1504
    @subehaahaji1504 6 лет назад

    Iyo mashine bei gan

  • @kinglance9816
    @kinglance9816 6 лет назад +1

    huyo anita ni mzuri

  • @queenkaiza2880
    @queenkaiza2880 5 лет назад

    Mtangazaji hajui kabisa

  • @barytz5977
    @barytz5977 6 лет назад +1

    Xaxa nyinyi mnaodai huu jamaa yupo fresh mna akiri au mnaropoka2 bila kujua acheni ushonga huyu jamaa hawezi hii kaz INA wa2 w2 wake kwa MFANO watangazanji wa Ayo TV wapo makini xana kaz yao pia na uandaaji wa uulizaji wa maswali kwa huyu jamaa bando tatizo kwake, labda awe anaangalia mfano kwa watangazaji wezanke wavyokuwa na akiri nyingi kwa kukuliza maswali MFANO jonijoo

  • @rahemaramadan1452
    @rahemaramadan1452 6 лет назад

    kweli mwaya

  • @safian.9518
    @safian.9518 6 лет назад +1

    uyo mtangazaji itakuw iyo globaltv ni ya mjomba ake maana kutangaza hovyooo sanaaaa

    • @marianundwe2720
      @marianundwe2720 6 лет назад

      safia ndamuhawenimana hata mm nilikua nawaza hivohivo

  • @restutakivamba88
    @restutakivamba88 6 лет назад +1

    Yataka moyo unaweza kumwagiwa maji ya moto na Leo umepatikana umekalishwa nje

  • @chynabongo4036
    @chynabongo4036 6 лет назад

    Anakigugumizi hatar uyu mwandishi Wa habar gani🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Queencecyvlogs
    @Queencecyvlogs 6 лет назад +1

    🤣🤣🤣 mtangazaji yuko poa , anachangamsha kipindi , na anaweza kazi yake

  • @mariamangel1264
    @mariamangel1264 5 лет назад

    mpole kbsa mstarabu

  • @juliusmatalo2211
    @juliusmatalo2211 4 года назад

    😁😁😁 sasa mbona mtangazaji badala uimbe unakiss mxiuuu

  • @rahmayusri6061
    @rahmayusri6061 6 лет назад

    Kuhoji kwenyew hujui

  • @rosechami649
    @rosechami649 6 лет назад

    kweli kaka mungu akutie nguvu

    • @tonypj3464
      @tonypj3464 3 года назад

      Hahahaha etiii matonya kaka angu

    • @tonypj3464
      @tonypj3464 3 года назад

      Anita alivo kama mchaga ongea yake weeee

    • @tonypj3464
      @tonypj3464 3 года назад

      2021 Nyimbo kaliii sana kama imetoka juzi duuuuh

  • @hassanissa611
    @hassanissa611 6 лет назад

    😂😂😂😂 Good job 👏

  • @sadamasare3458
    @sadamasare3458 6 лет назад

    duh

  • @nziegamaleys3144
    @nziegamaleys3144 6 лет назад

    Kevin shayo ndio anaweza hii

  • @sameeralsuleimanalsulieman686
    @sameeralsuleimanalsulieman686 6 лет назад

    Ww kipind chako kizur lakin kwann usiongee nao mapema uwoni wanavo kuzalilisha

  • @abtehseen2391
    @abtehseen2391 6 лет назад

    HAPO hamna mtangazaji

  • @innocentkimata7274
    @innocentkimata7274 5 лет назад

    Huyu mtangazaji ana mawenge kinoma halafu mambo ya kushtukizana mnakosea sana mtakuja kufunguliwa dog siku moja mbaka mkome

  • @salumzengula6841
    @salumzengula6841 6 лет назад

    huyu jamaa yupo sawa mtangazaji

  • @boscomuyinga2164
    @boscomuyinga2164 6 лет назад

    mtangazaji kunakazi nyingi zakufanya inakuwaje unang'ang'ania kazi usiyoweza kuivalia uhusika

  • @dorahndauka3046
    @dorahndauka3046 6 лет назад

    Hahahahah Anita shogaangu umepatikana nakumic sna umetususa uje bas queen of sheba

  • @christinajonas374
    @christinajonas374 6 лет назад

    😀😀😀😀 mtangazaji uwachi

  • @elivtv5444
    @elivtv5444 6 лет назад

    Kumbe upo

  • @doyjack95jack39
    @doyjack95jack39 6 лет назад

    Unajielewa dada

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад

    Iko siku utakua mtangazaji bomba ucjali ila kubali kukosolewa !!

  • @meshackmganga4639
    @meshackmganga4639 6 лет назад

    Utaratibu wako Wa kuhoji mambo bado maana maneno mingiiiiii

  • @sharifahamisi9091
    @sharifahamisi9091 6 лет назад

    Kwan mchana huwez tangaza mpaka uwafuate watu usiku?

  • @africanoupdateds9361
    @africanoupdateds9361 6 лет назад +2

    Mtagazaji ovyo.

  • @tumainclassic9481
    @tumainclassic9481 5 лет назад +1

    Linaringa ringa umo ndan limeweka buz

  • @risandilaizer9266
    @risandilaizer9266 6 лет назад +2

    Mtangazaji amesoma hivi vyuo vya mtaani siyo kosa lake😁😁😁

  • @safian.9518
    @safian.9518 6 лет назад +1

    mtangazaji😂😂😂😂

    • @nafisamohamad3182
      @nafisamohamad3182 6 лет назад

      safia ndamuhawenimana ameona avamie na popcorn pia.😁😀😂😂😂😂

  • @salimmbarak618
    @salimmbarak618 6 лет назад

    Duh huyu jamaa hafaii,,, ni lazima uingie kwa watu .. bure tuu

  • @abuually2104
    @abuually2104 6 лет назад

    Hiyo stail 2meisha washtukia badil stail et anajifanya hajui kama kuna ugen mwisho wa cku anakubal

  • @musicpeoplecaraudio7441
    @musicpeoplecaraudio7441 6 лет назад

    anitah uko poa kaumbomnakapenda sana

  • @roidatadey4599
    @roidatadey4599 6 лет назад

    Wemtangazaji nimekuona apo unaigia getini

  • @kinglance9816
    @kinglance9816 6 лет назад

    sasa swali ni moja tu matonya tu

  • @sajeedavirani6331
    @sajeedavirani6331 6 лет назад +1

    Nami nikaenda kusomea yaani ili nipate kusema YA
    Maana kila msanii akiongea kidogo ya kidogo ya

    • @catherinemsofe8020
      @catherinemsofe8020 6 лет назад

      Sajeeda Dhanji umenichekeshaaa

    • @amounanyale9220
      @amounanyale9220 6 лет назад

      Sajeeda Dhanji nlijiingiza kwenye comments ya..nlikunywa ya kkkkkk ya..

  • @latb2747
    @latb2747 6 лет назад

    hichi kipindi hakifai

  • @febisalameck6507
    @febisalameck6507 5 лет назад

    Mtangazaj nampndaga jaman unajtaidi kushawsh hahhhhahah

  • @hamadsongora2450
    @hamadsongora2450 6 лет назад

    haya mambo ya sheria ya mavazi katika ufanyaji wa video huyu unaemuhoji inakuaje unamuuliza huyu ni nani? sasa duuuh

  • @hamadsongora2450
    @hamadsongora2450 6 лет назад

    huyu mwandishi gani ambaye anazungumza ovyo ovyo hivi daaha hivi, hii kazi hakia nani ni matatizo kwakweli shigongo angalia sana inakera my GOD Kichefuchefu kiswahili hajui..duuuh

  • @amoselias2197
    @amoselias2197 6 лет назад +2

    Mnaomponda Huyu Jamaa nyie mmetangaza lini?

  • @shukranikapange608
    @shukranikapange608 6 лет назад

    muende kwa seba awavunje

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 6 лет назад +1

    Mademu bhana. Ooh ctaki nn cjui afu unaregeaaaaa unakubali

  • @amanilengaram5755
    @amanilengaram5755 6 лет назад

    Ww kuhoji mtu hujui msyuu

  • @nellyrukundo3387
    @nellyrukundo3387 5 лет назад

    Acheni wivu nyie wa lala hoi nyoooo

  • @williamsonbais9131
    @williamsonbais9131 6 лет назад

    mwandishi //unang"ata maneno .jufunze rafudhi.

  • @jameskwene4767
    @jameskwene4767 6 лет назад

    Sidhani kama huyu mtangazaji amesomea uandishi wa habari, hajui kabisa kumhoji mtu. Kipindi ni kizuri lkn mtangazaji ameboa, hajui kutengeneza maswali na ana papara kupita kiasi. Anafaa kufanya comedy na sio uandishi wa habari.

  • @liliankaigarula7665
    @liliankaigarula7665 6 лет назад

    Huyu mkaka anaongea sana mpaka inaboa

  • @mussakizingiti3552
    @mussakizingiti3552 6 лет назад +3

    mtangazaji uliahidi huu mwaka utabadilika lakini wapi naona maboss wamekuhurumia tu usidhalilike kwa njaa ila utangazaji huwezi bora mimi kk
    siwez kukusifia et unatangaza vzuri ntapata dhambi bro

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 6 лет назад

      jamani uyu mtangazaji yupo sawa,hii sauti nimaumbile jamani

    • @lebahatikivuyo6941
      @lebahatikivuyo6941 6 лет назад

      Mussa Kizingiti 😂😂😂😂

    • @faridaadamu2776
      @faridaadamu2776 5 лет назад

      Mussa Kizingiti Kwan inakuuma nn wew kama yy ajui kutangaza

  • @rosechami649
    @rosechami649 6 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂bora tuu nicheke

  • @mbozder2748
    @mbozder2748 6 лет назад +3

    mtafute na vaileti

    • @nacyluizer3734
      @nacyluizer3734 6 лет назад +1

      mbozed r...hahahahah

    • @ibrahimjuma8577
      @ibrahimjuma8577 6 лет назад +1

      Yaan wasanii wote awa wa kileo ajawaona dah haya tutaftie na salome wa dully

    • @mbozder2748
      @mbozder2748 6 лет назад

      Ni mwendo wa kufukua makaburi😂😂😂😂😂cant wait video vixen wote wa jadi

    • @bintiiddy7043
      @bintiiddy7043 6 лет назад

      +mbozde r haahaahaa 😂😂😂

    • @mbozder2748
      @mbozder2748 6 лет назад

      arafa iddy 😅

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany561 3 года назад

    Yaani mmmh we Anita kwani sie watu watanga tunanni nakakaetu kakubandua tu ndio unatuchukia kweeendaaa

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 5 лет назад

    Yani nikianqalia iki kipindi nacheka sanaa uyu kaka ananichekesha hatarii

  • @matridasambali6652
    @matridasambali6652 6 лет назад

    kaza moyo mtanhazaji mngu akutie moyo pia hiyo ni kazi yako huwezi ikwepa unaambiwa kukwepa tatizo sio kumaliza tatizo ila kukabilia na tatizo ndo kumaliza tatizo hakuna kazi laisi wanaokuponda watamani hata hiyo kazi yako lakini hawana elim wala hadhi ya kushika hiyo nafasi napenda sana hiyo kazi yako maana inachangamoto bila kupitia changamoto hujakamilika kimaisha napdnda hicho kipindi