BARAKA MPENJA AKITANGAZA WACHEZAJI WAPYA YANGA VS SIMBA/DABI YA KARIAKOO NGAO YA JAMII/CHAMA/MUKWALA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Matangazaji wa mpira miguu nchini Tanzania Baraka Mpenja amefanya
    Mahojiano na Mpenja Tv na kuzungumzia kuhusu usajili uliofanywa na timu za Tanzania,huku akifanya majaribio namna atakavyoitangaza Derby ya Kariakoo

Комментарии • 155

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741 Месяц назад +69

    Mwamba wa umalila unajua hadi unajua tena wanao mkubali Baraka mpenja bila choyo gonga like tujuane

  • @Abdul-zg7ci
    @Abdul-zg7ci Месяц назад +24

    Mungu ajalie uzima cku hyo saut ya rad iwe inarindima azam tv nkubali sana baraka mpenja

  • @gundererthemustache5818
    @gundererthemustache5818 Месяц назад +17

    Nakukubali Sana kaka mpenja nakucheki from qatar
    +254 ndio gheto Mombasa

  • @FiniasBugobola
    @FiniasBugobola Месяц назад +17

    Nakubali mpenja iyo mechi ya simba na yanga uwe ni wew saut ya radi🎉🎉🎉🎉

  • @raphaelkihindo6092
    @raphaelkihindo6092 Месяц назад +11

    Huu mwaka furaha itatawala sana msimbazii ee Mungu tujalie uzima na kupinga roho zote za nguvu za giza

  • @zachariamasomi
    @zachariamasomi Месяц назад +13

    Sahiv tu- brand Derby yetu ni ya kwanza Africa Mambo mengine kujiamin tu

  • @mohamedngwenya45
    @mohamedngwenya45 Месяц назад +7

    Mpenja we ni ze beeeest brOoooo asietaka ahame nchi hii ...

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo6796 Месяц назад +13

    ❤❤❤❤tunajua Bwana baraka huwezi kutuangisha pia Imani yangu Toka moyoni najua siku ukitangaza Simba wanashinda,,,,,

    • @mwambietv7614
      @mwambietv7614 Месяц назад

      nakubali Sana home boy wee ndo namba 1 Kwa nchi hii kwenye kutangaza soka Mwamba wa Umalila wee ni nomaaa hakuna kama wewe

  • @lazarolakara979
    @lazarolakara979 Месяц назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mapenzi yangu kwa baraka mpenja ni kubwa sana

  • @user-cp2fr6ct5g
    @user-cp2fr6ct5g Месяц назад +10

    Nakubar rady

  • @SAKINAJUMA-ey8qd
    @SAKINAJUMA-ey8qd Месяц назад +8

    Safi Sana baraka

  • @AmisseIssaTorres
    @AmisseIssaTorres Месяц назад +5

    Kaka nakuomba hiyo siku mungu atujalie atuwezeshe tuweze kufika mshalah torres nikiwa namatili mozambiki❤

  • @wistonmajenda
    @wistonmajenda Месяц назад +6

    Kuna mwamba wa Lusaka /Kuna mwamba umalila /Kuna mwamba wagadugu unyama sana🙌

  • @gkwaV
    @gkwaV Месяц назад +6

    No. 1

  • @user-wg2vl1rh4l
    @user-wg2vl1rh4l Месяц назад +5

    Wakuu tupangieni B.MPENJA na JEMS SAMWEL waje wanogeshe haya mambo.

  • @user-xn7ho1sg7s
    @user-xn7ho1sg7s Месяц назад

    Nakupenda sana mpenja fundi❤❤❤

  • @GodfreyMduma
    @GodfreyMduma Месяц назад +5

    Tunasubir sana nakukubali saut ya radi mpenja utupe udavuudavu wakutosha huku ukipandisha ligi yetu kutokana na V A R kwa mama yakwan,za afrika

  • @FatherKunutti
    @FatherKunutti Месяц назад +1

    Jaa Sharle Ahoua

  • @Mosesndela24
    @Mosesndela24 Месяц назад +6

    baraka wewe Tanzania huna mpinzani unajuaaaaaaa kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉 maua yako

  • @hamzasaidi7158
    @hamzasaidi7158 Месяц назад +7

    😀😀😀 ila mpenja ukiwa unatangaza laa sana

  • @kingomediatv
    @kingomediatv Месяц назад +7

    We Sema tu Hawa Wazee San wanamzid adi mzee Magoma 😅😂😂😂

  • @user-bs1kq9em8g
    @user-bs1kq9em8g Месяц назад +1

    Mpenja nakuelewaga sana ukitangaza dsby

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 Месяц назад +2

    Kutoka Mombasa Kenya with love👍

  • @IssaMkwata
    @IssaMkwata Месяц назад +4

    Baraka mtu wa maana sana tasnia ya utangazaji wa mpira wa miguu

  • @hassanmakame4382
    @hassanmakame4382 Месяц назад +4

    Mwamba wa malila❤❤❤❤

  • @AnnaSiame-j5x
    @AnnaSiame-j5x Месяц назад +3

    Nakuku bar sana mpenja

  • @user-zg5lg3yq9c
    @user-zg5lg3yq9c Месяц назад +2

    Ulivo tangaza mm roho juu kama vile ndio naitizama simba yangu dah 😂

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato Месяц назад +5

    Nimefurahi namna unavyo tangaza mpenja ila natamani ungetangaza na magoli

  • @SalumuSalumu-hi9qf
    @SalumuSalumu-hi9qf Месяц назад

    Nakupa asilimia zote kak baraka

  • @JeanMinani-r5q
    @JeanMinani-r5q Месяц назад

    Aiseee baraka nomaaaa ,anajua anajua saaaaana from Burundi

  • @SmilingPhoenix-td1rz
    @SmilingPhoenix-td1rz Месяц назад

    Nakubali sana kaka

  • @davismwape7500
    @davismwape7500 Месяц назад

    My favorite 1...mpenja ila mzinga the best 1...

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 Месяц назад +1

    Umetisha sana 🔥🔥🔥

  • @RamadhaniMpenda
    @RamadhaniMpenda Месяц назад +1

    Nakubali sana kaka mpenja

  • @RAYMON-pv1gd
    @RAYMON-pv1gd Месяц назад

    Kaka mpenja wewe hapa Tanzania Huna mpinzani mama yako kaka 🎉🎉🎉

  • @MarcoTelemala-w9d
    @MarcoTelemala-w9d Месяц назад

    Wow classic mtangazaji hongera sana kaka

  • @ChristopherEdifonce
    @ChristopherEdifonce Месяц назад

    Kaka na kukubali sana ukiwa tangaza mpira

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад +3

    Super

  • @MuhammedMuhando
    @MuhammedMuhando Месяц назад +1

    Kweli kabisa

  • @CizaRichard-c4u
    @CizaRichard-c4u Месяц назад

    Mimi nipo Burundi ,East Africa Baraka Mpenja huna mpinzani tuna kukubali sana ,unajua kutangaza mpira ,wanaokuchukia wewe mungu anawaona watakwenda motoni

  • @SufianSeringo-kq2ld
    @SufianSeringo-kq2ld Месяц назад

    Jamani mbona wachezaji wa Simba wakitangazwa kama ulaya vile duh sio poa

  • @gresimanity3946
    @gresimanity3946 Месяц назад

    baraka mpenja hautofautiani na semaji la CAF hakika 2na enjoy mko na v2 nyie❤

  • @YohanamaduhuMadaso
    @YohanamaduhuMadaso Месяц назад

    Itakuwa poa sana kama ataitangaza mpenja

  • @LeapaRoine
    @LeapaRoine Месяц назад

    Namkubali sana Mwamba wa Umalila. Kikubwa apunguze kumpenda Chama

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 Месяц назад +9

    Ni wakwanza❤🎉😂😂😂

  • @Mkudemkde
    @Mkudemkde Месяц назад

    Ujuzi auzeek

  • @user-sc5dr6dn3w
    @user-sc5dr6dn3w Месяц назад

    Navotamka majina yawachezaji wapya wa simba mpaka raha sana

  • @rehemambwanji3883
    @rehemambwanji3883 Месяц назад

    Mwamba upo sawa

  • @ThomasDonard
    @ThomasDonard Месяц назад +10

    Kusoma comment tu kuandika aaah😂

  • @JonathanAbraham-f1b
    @JonathanAbraham-f1b Месяц назад +1

    Baraka mpenja ninoma xana!!!!!

  • @FredVunjabei-k9d
    @FredVunjabei-k9d Месяц назад +1

    Kabixa

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Месяц назад

    nguvu moja mpenja

  • @JumaHamdani
    @JumaHamdani Месяц назад

    Mm apa nakubali shoo ya baraka mpenja

  • @salmahemed5840
    @salmahemed5840 Месяц назад

    Baraka wewe n noma sana

  • @davicekombe4932
    @davicekombe4932 Месяц назад

    Nimependa iyo intro 😂😂😂😂😂

  • @nicholausjuliusmassawe6080
    @nicholausjuliusmassawe6080 Месяц назад

    Brother unajua

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 Месяц назад +1

    Apo umesema kutumia VAR TZ ndio nchi ya kwanza kwa Africa sio kweli kk angalia vizuri ktk nchi nyengine mana SA na toka mwaka juzii wanatumia .

    • @saydonahmed5469
      @saydonahmed5469 Месяц назад

      Uongo, mpaka leo South Africa hawatumii VAR

  • @IZAACManyonyi
    @IZAACManyonyi Месяц назад

    Uyu Jamaa ni hatari sana

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Месяц назад

    Naukubar sana🎉🎉🎉🎉

  • @ChimmeJulius
    @ChimmeJulius Месяц назад

    Congratulations my bro nice job

  • @EMMANUELKAJUNA
    @EMMANUELKAJUNA Месяц назад +2

    Nakukubali sana saut yaladi

  • @AminielEmanwel
    @AminielEmanwel Месяц назад

    ❤nakupenda sana

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад +3

    Mwaka huu watauana

  • @showshowtv1854
    @showshowtv1854 Месяц назад

    Jamaa yuko pw kinoma anajua

  • @JaclenoauloSiita.Kitulia-xn5fc
    @JaclenoauloSiita.Kitulia-xn5fc 29 дней назад

    Mimi jaclene. Paulo. Natokea. Simiyu. Naitakie. Dimu. Yangu. Yanga

  • @sirlehmwenjia1297
    @sirlehmwenjia1297 Месяц назад

    Mpenja bahna unajua sana kak

  • @Shadrackkapesa
    @Shadrackkapesa Месяц назад

    nakukubali mwamba wa malila

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter Месяц назад

    kikosi cha yanga kinatisha

  • @donatusnicolaus6403
    @donatusnicolaus6403 Месяц назад +3

    Mpenja mpenja mbn mifano yote mibaya anaisema Yanga wew vp bhn😎😎😎😎

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 Месяц назад +1

    Mwamba upo vizuri sn unakipaji kikubwa sn mkuu ishi mingi uzidi kutupa burudani kwenye soka letu kiongozi 🔥

  • @BoaziNjojo
    @BoaziNjojo Месяц назад

    Rady mwamba

  • @KulwaMartine
    @KulwaMartine Месяц назад

    Nakukubali sana mwamba wa malilaaaaaaaa❤❤❤❤

  • @StalonySilvester
    @StalonySilvester Месяц назад

    Dah!! Natamani pafike chapa maana nashauku sana hakuona kikosi cha mnyama

  • @BAHATIOMAR
    @BAHATIOMAR Месяц назад +1

    Mpenja iyoo dabi. Utangaze ww

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt Месяц назад

    Baraka shikamoo

  • @JosephMagezi-r4n
    @JosephMagezi-r4n Месяц назад

    Chama ohhhhh ohhhhh Chama baba

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 Месяц назад

    mwamba wa Umalila wee ni namba 1

  • @BoniphaceCosta-kd2yw
    @BoniphaceCosta-kd2yw Месяц назад

    Simba unyama sana

  • @NasryHalid
    @NasryHalid Месяц назад

    Sawa😂

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Месяц назад +1

    Unatakiwa ulipwe mara mbili pia mpeja kwa kuwa umetangaza goli mara mbili huini kama ni faida pia

  • @emanuellyanga8785
    @emanuellyanga8785 Месяц назад

    Una hatari sana baraka hiyo siku tunaisubili kwa hamu san mashabiki

  • @AminaSendekwa
    @AminaSendekwa Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉kwako mpenja

  • @jairatu688
    @jairatu688 Месяц назад +1

    Jenny kishai yuko wapi jaman

  • @DjTopd
    @DjTopd Месяц назад

    Baraka w ninoma

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga Месяц назад

    Nakubari xn mwamba wa malila

  • @MartineHusein
    @MartineHusein Месяц назад

    Nakukubali sanaa mwamba wa umalila fahari ya tete

  • @obadiadaniel7274
    @obadiadaniel7274 Месяц назад

    Baraka penja umetisho nimekupa Maua Yako😂😂😂😂😂

  • @ThomasPhissoo
    @ThomasPhissoo Месяц назад

    Tunakukubal brw

  • @SalimMohd-g6x
    @SalimMohd-g6x Месяц назад +1

    Mpenja babaaa wee acha humtu

  • @janecharles8922
    @janecharles8922 Месяц назад +1

    Yanga inaogopesha nyie mhhh cjui

  • @kubuleabdul6032
    @kubuleabdul6032 Месяц назад +3

    Umefaulu kupanga kikosi ila sasa yanga hawatoki

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 Месяц назад

      Sasa ni muda wa vijembe na matambo. Tar. 8 itakuwa siku ndefu sana.

  • @FatmaAdam-e7t
    @FatmaAdam-e7t Месяц назад

    Nice

  • @saimonifredi4653
    @saimonifredi4653 Месяц назад +4

    Kaka hujawai kunichosha UKITANGAZA.....Hiyo ndo raha yako

  • @SimonimatoneyusuphMatone
    @SimonimatoneyusuphMatone Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад +1

    Kwa kawaida ngao ya jamiii duniani huwa ni mshindi wa kwanza,why timu nne?

  • @user-ei3ry9dy2w
    @user-ei3ry9dy2w Месяц назад

    Ila mpenja n mnyama

  • @KelvinRobert-mn2mn
    @KelvinRobert-mn2mn Месяц назад

    😂😂😂😂,ww teal Acha kumaliza kikos wataogopa leta yimu uwanjan😢😢😢

  • @MariamunikolousTangamjini
    @MariamunikolousTangamjini Месяц назад

    Kwaiyo ukiwa tz nitaitwa rashid ila nikiwa England nitaitwa Rushford 😂😂😂

  • @mudyo.mponji6520
    @mudyo.mponji6520 Месяц назад

    Mwamba nanusu 🔥🔥🔥🔥🔥👆

  • @SimonimatoneyusuphMatone
    @SimonimatoneyusuphMatone Месяц назад