MPAKA HOME : MASKINI WASTARA, JIONEE MADAWA MAKALI ANAYOTUMIA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- MPAKA HOME : JIONEE MZIGO WA DAWA ANAZOTUMIA WASTARA
NI sehemu ya pili ya Kipindi cha Mpaka Home, nyumbani kwa Wastara ikiwa ni siku chache baada ya kurejea kutoka nchini India kwa matibabu. Wastara ameonesha mzigo mkubwa wa madawa anayotumia lakini pia ameweka wazi jambo kubwa linalimuumiza zaidi.
Je, ni jambo gani hilo? Twende moja kwa moja kwenye mahojiano haya ya Kipindi kinachoongoza kwa kupendwa nchini Tanzania, cha Mpaka Home.
Install #GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Pole sana wastara Mwenyezi Mungu atakuponya mumy
Jaman,, bila aibu baazi ya watu hawana ht huruma baada ya kumuombea mnamsema,, Inshaallah Allah akufanyie wepes upate kupona
Pole sana chimom mungu atakuafu inshaallah!!! Achana na maneno ya watu
Pole sana da wastara nakupenda SANA na mungu aendelee kukupigania I'll upone insha- allah
Pore xana mungu atakusaidia ndugu
Dah aisee moyo unaniuma sana ccter kwa hali hyo iliyokufikia pole sana Allah akuepushe na hasad na pia upone kwa haraka nakupenda Am mulheart
pole Dada m/mungu atakufanyia wepesi
Pole wastara
Pole mpenz Wangu mungu akutie nguvu
pole sana daa MUNGU akupe shifaa ya haraka😘
instaBlaster.
Pole sana wastara Mungu ni mwema kwako
pole sana may habibit mwenyezimungu atakupa tahafifu
Usjali dada kipenz utapona insha'allah 😍😍
pole sana wastara Dada yangu mungu akuponye
Pole dada utapona tu
pole sana wastara
Pole sana dada Mungu akupe nafuu haraka
Mungu ni mwema dada utapona soon kwa Jina la Yesu
Pole dada angu mungu mwema utapona tyuu
pole sana Dada yangu mungu ako pamoja nawe
TUMU
Wabaya wapo wazuri pia wapo tunakupenda tupo pamoja nawe ugua pole
Jamani mumuache kabisa
Mungu akusaidiye mama up one wambea wakukome
Pole sana my
Pole sana dada
Pole sana Dada mungu atakuafu
Habari globol tv? Nawezanye kumpata wastara nijalibu kumtibu japo Mimi ni maskini siwezi kumfikia kwa uharaka.
Pole sana inshllh Allah atakufanyia sahal
Pore dada mungu atakuwafu ishallah achana nao binaadamu awaishiwi maneno
Wasta pole sana my dear,achana na wanadamu wana maneno mengi, mtazame Yesu hana maneno mengi.
Yesu kutok wap mwenxio muislm uyo han din za uongo na ajab
pole dada usikate tamaa
mmmh!!!!, pole sana damu ya yesu hikufunikeee.
Pole my dear
Pole mpenzi damu ya yesu ikuponye
Pole sana Mungu atakusaidia utapona.
Utapona tu Dada pole mungu anakuona
Allah atakufanyia wepesi
Hata uwe mtenda mazur vp wasemaj hawakosi, na wenye kubadil maneno wapo2, pole sster mungu atakupa wepes na kkponya mwamin yeye.
pole dada wastara mung mwm utapona kabixa
nimekupenda bure dada wewe lia na mungu wako tu kila sekunde
Mungu akuondolee maradhi na akupe umri mrefu. Na mwisho mwema
Allah akupe wepesi my
Mungu yuko nawewe wastara mpaka hapo umesha pona
pole dada wastala
Utapona mama pole sana
Namuona senjele kwa mbaliiiii
Namuona issah kwa pemben apo nmewamic sanaaaaa
pole sana may dada mwenyezimungu yuko pamoja na wewe kazana duwa tu ndo muhimu zaidi
Ali Asghx tutu and to make it rain I know you're busy with work and let me in and the morning after I can l open the morning and the morning, but they are you doin it was just thinking of the evening was easy for a while in and let them know that the morning if Iowa. Kuwaiti to you in!!!!!!!your
Ali Asghx
Likeability to
Kuwaiti
Likeability and the
Ali Ashes
Kuwaiti and to
Kuwaiti the morning after
Kuwaiti to you and to love it when
Kuwaiti and let me tell me know you understand the morning after I
Kuwaiti the morning and let me know so I don't understand that i
Mimi nisingewafungulia mlango sisi watanzania tuna ustaarabu fulani hivi
Brighton usijali wenye kurusha mawe et hujui wajambe kule
Mreal Lashy
wew mutagajagi unaogeaje hivyo acha uxhamba bac
Joyce Salum
Utaratibu huo wakuoji mtu mpaka madawa anayotumia sio poa kuweka public.
hivo kweli huyu mtangazaji akenda majumbani mwa wasanii halpeleki habari
sorry mamy
Huyu mum alivyokua akimtazama ni kam amepotea AMA NI KUCHOKA
Amechoka tu, kuumwa
Jamani hyu Dada namkubali
Wanaosema wastara yuajifanya jamani sio vizuri huyu dada yuamwa ukweli
Muachen wastara augue pole fugen midomo yenu.
dada wastara wanao kusema hawaja changa
Jamni mumkome wastara🤣
We Mtangazaji 😄😄😄
A
pole sana mamy mungu atakuaf ishaallah
Jali afya waache waseme midomo yao hawalipiii vati.
Yaani huyu mtangazaji mmsamehe bure anapenda kugongeawatu.muda ambao sio
Maskin wastara mungu atakusaidia mungu atawaonyesha wanao penda kutoa maneno ya kijinga pole ndugu yangu
pole sana utapona mungu atakufanyia wepesi
Asila Alhabsi pore sana
Asila Alhabsi mungu akupe wepesi upone pia hawo wanadamu wanao kusema achana nao Mungu ndio kila kitu siyo mwAnadamu
Pole my dear
Pole may hujafa hujaumbika mwenyez mungu akupe wepesi simamia imani yako kwa mungu wako
M
How did I land here? This is invading individual's privacy
pole sana wastara
Pore dada mungu atakuwafu ishallah achana nao binaadamu awaishiwi maneno