MPAKA HOME : MASKINI WASTARA, JIONEE MADAWA MAKALI ANAYOTUMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • MPAKA HOME : JIONEE MZIGO WA DAWA ANAZOTUMIA WASTARA
    NI sehemu ya pili ya Kipindi cha Mpaka Home, nyumbani kwa Wastara ikiwa ni siku chache baada ya kurejea kutoka nchini India kwa matibabu. Wastara ameonesha mzigo mkubwa wa madawa anayotumia lakini pia ameweka wazi jambo kubwa linalimuumiza zaidi.
    Je, ni jambo gani hilo? Twende moja kwa moja kwenye mahojiano haya ya Kipindi kinachoongoza kwa kupendwa nchini Tanzania, cha Mpaka Home.
    Install #GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Комментарии • 86

  • @pinahoscar6735
    @pinahoscar6735 5 лет назад +2

    Pole sana wastara Mwenyezi Mungu atakuponya mumy

  • @lailahasan2200
    @lailahasan2200 4 года назад +1

    Jaman,, bila aibu baazi ya watu hawana ht huruma baada ya kumuombea mnamsema,, Inshaallah Allah akufanyie wepes upate kupona

  • @zamamuuhamisi6654
    @zamamuuhamisi6654 5 лет назад +2

    Pole sana chimom mungu atakuafu inshaallah!!! Achana na maneno ya watu

  • @aishaabdul3551
    @aishaabdul3551 5 лет назад +1

    Pole sana da wastara nakupenda SANA na mungu aendelee kukupigania I'll upone insha- allah

  • @adamhasani6468
    @adamhasani6468 5 лет назад

    Dah aisee moyo unaniuma sana ccter kwa hali hyo iliyokufikia pole sana Allah akuepushe na hasad na pia upone kwa haraka nakupenda Am mulheart

  • @nayfatmwimbepolesanakaka8259
    @nayfatmwimbepolesanakaka8259 5 лет назад +1

    pole Dada m/mungu atakufanyia wepesi

  • @evancetilya5140
    @evancetilya5140 4 года назад

    Pole wastara

  • @jennylaswai2993
    @jennylaswai2993 5 лет назад +1

    Pole mpenz Wangu mungu akutie nguvu

  • @alimashaban6318
    @alimashaban6318 5 лет назад +3

    pole sana daa MUNGU akupe shifaa ya haraka😘

  • @pendoernest9444
    @pendoernest9444 5 лет назад

    Pole sana wastara Mungu ni mwema kwako

  • @wardabb2458
    @wardabb2458 6 лет назад +1

    pole sana may habibit mwenyezimungu atakupa tahafifu

  • @wardambaraka2769
    @wardambaraka2769 5 лет назад

    Usjali dada kipenz utapona insha'allah 😍😍

  • @rahmambaruku5407
    @rahmambaruku5407 5 лет назад

    pole sana wastara Dada yangu mungu akuponye

  • @sophicatesalim9757
    @sophicatesalim9757 3 года назад

    Pole dada utapona tu

  • @leahmoyo4002
    @leahmoyo4002 5 лет назад

    pole sana wastara

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 5 лет назад

    Pole sana dada Mungu akupe nafuu haraka

  • @zubedajuma5607
    @zubedajuma5607 6 лет назад +1

    Mungu ni mwema dada utapona soon kwa Jina la Yesu

  • @kaizafarmsTZA
    @kaizafarmsTZA 5 лет назад

    Pole dada angu mungu mwema utapona tyuu

  • @maryanne6326
    @maryanne6326 5 лет назад +1

    pole sana Dada yangu mungu ako pamoja nawe

    • @fatimalf7693
      @fatimalf7693 5 лет назад +1

      TUMU

    • @eriasanga6090
      @eriasanga6090 5 лет назад

      Wabaya wapo wazuri pia wapo tunakupenda tupo pamoja nawe ugua pole

  • @elvismbilizi5641
    @elvismbilizi5641 6 лет назад +3

    Jamani mumuache kabisa
    Mungu akusaidiye mama up one wambea wakukome

  • @suzankuleyogerababa1624
    @suzankuleyogerababa1624 5 лет назад

    Pole sana my

  • @athanaziakamana5300
    @athanaziakamana5300 5 лет назад

    Pole sana dada

  • @shufaamusa8789
    @shufaamusa8789 5 лет назад

    Pole sana Dada mungu atakuafu

  • @thabiti395
    @thabiti395 3 месяца назад

    Habari globol tv? Nawezanye kumpata wastara nijalibu kumtibu japo Mimi ni maskini siwezi kumfikia kwa uharaka.

  • @saedbare8733
    @saedbare8733 5 лет назад

    Pole sana inshllh Allah atakufanyia sahal

  • @mwanahamisibunju583
    @mwanahamisibunju583 5 лет назад

    Pore dada mungu atakuwafu ishallah achana nao binaadamu awaishiwi maneno

  • @babyyshayo3633
    @babyyshayo3633 5 лет назад

    Wasta pole sana my dear,achana na wanadamu wana maneno mengi, mtazame Yesu hana maneno mengi.

    • @sharifaabdallah2248
      @sharifaabdallah2248 3 года назад

      Yesu kutok wap mwenxio muislm uyo han din za uongo na ajab

  • @maulidimkessa6078
    @maulidimkessa6078 5 лет назад

    pole dada usikate tamaa

  • @stevenmakundi3310
    @stevenmakundi3310 6 лет назад

    mmmh!!!!, pole sana damu ya yesu hikufunikeee.

  • @khadijajuma3887
    @khadijajuma3887 5 лет назад

    Pole my dear

  • @justinaloda5469
    @justinaloda5469 5 лет назад

    Pole mpenzi damu ya yesu ikuponye

  • @joycekasakisya7755
    @joycekasakisya7755 5 лет назад

    Pole sana Mungu atakusaidia utapona.

  • @shakiraalexia1555
    @shakiraalexia1555 6 лет назад

    Utapona tu Dada pole mungu anakuona

  • @nasabimohamed5721
    @nasabimohamed5721 5 лет назад

    Allah atakufanyia wepesi

  • @jimmymbella4362
    @jimmymbella4362 4 года назад

    Hata uwe mtenda mazur vp wasemaj hawakosi, na wenye kubadil maneno wapo2, pole sster mungu atakupa wepes na kkponya mwamin yeye.

  • @stellalugan3206
    @stellalugan3206 6 лет назад

    pole dada wastara mung mwm utapona kabixa

  • @annaluhwago5516
    @annaluhwago5516 5 лет назад +1

    nimekupenda bure dada wewe lia na mungu wako tu kila sekunde

    • @said306nyatu9
      @said306nyatu9 5 лет назад

      Mungu akuondolee maradhi na akupe umri mrefu. Na mwisho mwema

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад

    Allah akupe wepesi my

  • @faridahamis5157
    @faridahamis5157 6 лет назад +1

    Mungu yuko nawewe wastara mpaka hapo umesha pona

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 5 лет назад

    pole dada wastala

  • @jusitinegraceedouard5393
    @jusitinegraceedouard5393 6 лет назад +1

    Utapona mama pole sana

  • @adamhasani6468
    @adamhasani6468 5 лет назад

    Namuona senjele kwa mbaliiiii

  • @adamhasani6468
    @adamhasani6468 5 лет назад

    Namuona issah kwa pemben apo nmewamic sanaaaaa

  • @wardabb2458
    @wardabb2458 6 лет назад

    pole sana may dada mwenyezimungu yuko pamoja na wewe kazana duwa tu ndo muhimu zaidi

    • @halimaosman4204
      @halimaosman4204 6 лет назад

      Ali Asghx tutu and to make it rain I know you're busy with work and let me in and the morning after I can l open the morning and the morning, but they are you doin it was just thinking of the evening was easy for a while in and let them know that the morning if Iowa. Kuwaiti to you in!!!!!!!your

    • @halimaosman4204
      @halimaosman4204 6 лет назад

      Ali Asghx
      Likeability to
      Kuwaiti
      Likeability and the

    • @halimaosman4204
      @halimaosman4204 6 лет назад

      Ali Ashes
      Kuwaiti and to
      Kuwaiti the morning after
      Kuwaiti to you and to love it when
      Kuwaiti and let me tell me know you understand the morning after I
      Kuwaiti the morning and let me know so I don't understand that i

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 6 лет назад +1

    Mimi nisingewafungulia mlango sisi watanzania tuna ustaarabu fulani hivi

  • @mreallashy3525
    @mreallashy3525 6 лет назад +2

    Brighton usijali wenye kurusha mawe et hujui wajambe kule

  • @joycesalum3893
    @joycesalum3893 6 лет назад +1

    wew mutagajagi unaogeaje hivyo acha uxhamba bac

  • @sumatraveler1957
    @sumatraveler1957 5 лет назад

    Utaratibu huo wakuoji mtu mpaka madawa anayotumia sio poa kuweka public.

  • @OmarOmar-gy9hh
    @OmarOmar-gy9hh 6 лет назад

    hivo kweli huyu mtangazaji akenda majumbani mwa wasanii halpeleki habari

  • @eugenkejo6900
    @eugenkejo6900 5 лет назад

    sorry mamy

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 6 лет назад +1

    Huyu mum alivyokua akimtazama ni kam amepotea AMA NI KUCHOKA

  • @mwaafricaharisi4518
    @mwaafricaharisi4518 6 лет назад

    Jamani hyu Dada namkubali

  • @thoyarashid5782
    @thoyarashid5782 6 лет назад

    Wanaosema wastara yuajifanya jamani sio vizuri huyu dada yuamwa ukweli

  • @mirriam.mwangangi4614
    @mirriam.mwangangi4614 6 лет назад +1

    Muachen wastara augue pole fugen midomo yenu.

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 6 лет назад +1

    dada wastara wanao kusema hawaja changa

  • @rosekingalu9930
    @rosekingalu9930 6 лет назад +2

    Jamni mumkome wastara🤣

  • @khadijaamani5574
    @khadijaamani5574 5 лет назад

    We Mtangazaji 😄😄😄

  • @babyyshayo3633
    @babyyshayo3633 5 лет назад +1

    Jali afya waache waseme midomo yao hawalipiii vati.

  • @angelinaelishachisongela7859
    @angelinaelishachisongela7859 5 лет назад

    Yaani huyu mtangazaji mmsamehe bure anapenda kugongeawatu.muda ambao sio

  • @asilaalhabsi6481
    @asilaalhabsi6481 6 лет назад +1

    Maskin wastara mungu atakusaidia mungu atawaonyesha wanao penda kutoa maneno ya kijinga pole ndugu yangu

    • @fyimariammathias6400
      @fyimariammathias6400 6 лет назад

      pole sana utapona mungu atakufanyia wepesi

    • @rehemamtonyi7206
      @rehemamtonyi7206 5 лет назад

      Asila Alhabsi pore sana

    • @rosechengula7073
      @rosechengula7073 5 лет назад

      Asila Alhabsi mungu akupe wepesi upone pia hawo wanadamu wanao kusema achana nao Mungu ndio kila kitu siyo mwAnadamu

    • @cyliviambanga196
      @cyliviambanga196 5 лет назад

      Pole my dear

    • @khadijabakali2897
      @khadijabakali2897 5 лет назад

      Pole may hujafa hujaumbika mwenyez mungu akupe wepesi simamia imani yako kwa mungu wako

  • @kilikubisiak6499
    @kilikubisiak6499 6 лет назад

    M

  • @tewydora9674
    @tewydora9674 5 лет назад

    How did I land here? This is invading individual's privacy

  • @sotivembwama4822
    @sotivembwama4822 5 лет назад

    pole sana wastara

  • @mwanahamisibunju583
    @mwanahamisibunju583 5 лет назад

    Pore dada mungu atakuwafu ishallah achana nao binaadamu awaishiwi maneno