#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #EXCLUSIVE: ESHA BUHETI AFICHUA ALIVYOTAKA KUJIUA na KUWAUA WATOTO WAKE, WALIVYOKUTANA na MUME WAKE...
    KWENYE EXCLUSIVE za IMELDA MTEMA amepiga stori na mwigizaji na mjasirimali Bongo Esha Buheti ambaye amefunguka mengi...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 56

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 Год назад +11

    Mi Ushaur wangu usifanye kaz na mama mkwe

  • @diyembarak5506
    @diyembarak5506 Год назад +1

    Hongera dada esha mungu awazidishie

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Год назад +7

    Mmmh mama mkwe ktk biashara yako siyo sawa hata km mwanae kakusupport siyosawa... Esha big mistake umefanya na ndoa yako changa. Anyway all the best

  • @inongee1141
    @inongee1141 Год назад +15

    Hapo bado utakuja kujutia maisha yako utafanyeje biashara. Office moja na mama mkwe wako mmmh.hapana kwakweli

    • @michaelmymy1307
      @michaelmymy1307 Год назад

      Hatari

    • @cdeleo9336
      @cdeleo9336 Год назад

      Duuh yupo ofisi moja na mamamkwe?? yatampata makubwa

    • @khalsasalim7930
      @khalsasalim7930 Год назад +2

      Mama mkwe cashier 😂 analinda pesa ya mtt wake hajaitoa bure bure

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 Год назад +1

      Hyo Mama mkwe nae punga hajaona kwingine kwa kufanya kazi kah

    • @inongee1141
      @inongee1141 Год назад +1

      @@cdeleo9336 yaani.inamaana huyo mume hamuamini mkewe hadi kumuweka mama ake awe cashia ni bora angendelea kuuzia biashara yake pale pale nyumbani bila kumshilikisha huyo Mume yatakayo kuja mkuta nima kubwa sana .wekeni alama kwenye hii comment Yangu. nimekaa pale 👉👉

  • @user-cd5jy9me1y
    @user-cd5jy9me1y Год назад

    Hongereni sana wanangu

  • @enechrister4722
    @enechrister4722 Год назад

    It's nice but Ican not hear the voice

  • @raybby9291
    @raybby9291 Год назад +5

    Katika kitu kikubwa ulichoharibu ni kufanya kazi na mama mkwe huwajui mawifi na wakwe ww watakugeuka waseme biashara ya mtoto wao apo umekosea sana mlitakiwa kumpa pesa atafute biashara yake

  • @irenemichael5140
    @irenemichael5140 Год назад

    Kwa ushauri tu hiyo biashara si yako ni ya familia ya mme wako ...na ht ww mwenyewe umetoa ushahidi kwa kusema mume wako ndo kakufungulia hiyo biashara , mama yake na ndugu zake nao wako hapohapo......usijiachie bado safari unayo....sijui kwnn unashindwa kuona nyuma ya pazia ...pole sana

  • @salmanassor4852
    @salmanassor4852 Год назад +3

    Sura ya dadaetu esha inaonekana anaishi na maumivu anahuzuni kubwa ndaniyake lakini inaonyesha kuigiza furaha allah akutienguvu dadaesha

  • @riziki6610
    @riziki6610 Год назад

    Dada mm nakupenda sana wewe

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Год назад +1

    Isha unaropoka sana, babe,Hadi kusema mama mkwe ni keshia,mie naona kama unamdhalilisha mume wako huyu wa sasa na mama mkwe wako wa sasa.dah

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Год назад +1

    Pole sana ila unahitaji kukutana na Psychologist akuweke sawa. Unahitaji tiba ya Psychologia

  • @HidayaKarim-wy9yc
    @HidayaKarim-wy9yc Год назад +1

    Yani apo kwenye biashara na mamakwe imenisikitisha sana 😢😢

  • @sheehamadnganzi8317
    @sheehamadnganzi8317 Год назад +3

    Esha muuza pombe tena,dah Allah atujalie mwisho mwema nshallah

  • @wandejuma5227
    @wandejuma5227 Год назад +1

    Da Esha kuna siku ulisema ww huuzi pombe imekuaj tena😢

  • @marrylinmshana7273
    @marrylinmshana7273 Год назад

    Hapo kwa mamamkwe Esha fikiria upya dear

  • @maisarahakizimana7074
    @maisarahakizimana7074 Год назад +3

    He mama mkwe, shikamoo

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Год назад

      Marahaba hujambo wew wakwetu 🇧🇮 acha umbea😂😂

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Год назад

      Mhhhh makubwa kuachana naeee

    • @husna34562
      @husna34562 Год назад

      ​@@khadidjasuleiman8006 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SaraphinaSHALOM
    @SaraphinaSHALOM Год назад

    Hapo kwa mama mkwe kua officini kwako co kwli, mtafutieni biashara nyingne ya kufanya mbali na hapo unless otherwise utakosa uhuru na offic yko

  • @odalomary5446
    @odalomary5446 Год назад +1

    Apo cashia mama mkwe apana..kama kweli mnaaminiana na mumewe bola muweke mtu mwingine..lakini mhuuu

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Год назад

    Hpo hpana,Esha wakwe nawifi ukitaka uheshimiane nao kaa nao mbali.Ungefanya mwenyewe angekujengea mwenyewe,KMA alitaka namama mkwe afanye hyo kzi bass angemfungulie kwake.Guo upendo dada Esha utakuja kujutia zaidi ya hapo.Bdo sio kwako nikwafamiliya.Kwahyo huwezi kuwa huru.Mama mkwe anajua pesa mnayopata nishida

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 Год назад +2

    Ofisi moja na mamkwe

  • @henriettenkuba3240
    @henriettenkuba3240 Год назад

    Hata chakula cha Esha kinaonekana Smart.kiukweli chakula cha shishi kina vitu vingi bavyo havina maana

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 Год назад +4

    dada mbona utakuja juta na mamukwe sio watu jamani ungebaki kule ulikua jamani we hangalia mwanaume wa kwanza si mulikaa myaka 10 ya ndoa huo kijana mi sioni

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Год назад +1

    Jamani nifahamisheni hiyo mikopo inatolewa wapi nami nahitaji naomba usaidizi wa yeyote mwenye kujua

  • @riziki6610
    @riziki6610 Год назад

    Haya hongara dada

  • @elvisboniface9665
    @elvisboniface9665 Год назад +2

    Dada ushaa zeeka jaman

  • @riziki6610
    @riziki6610 Год назад

    Na mm nataka kufunga wa hotel

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 Год назад +2

    Wee si ni muislam. Mbona unauza pombe?

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 Год назад

    Mama mkwe waambie wanao hao wakutafutie shughuli nyingine au kapumzike nyumbani.
    Kibongo bongo haijakaa sawa, mtapishana hapo na ndoa itakufa

  • @witnessmlay7415
    @witnessmlay7415 Год назад

    Mama Mkwe cashier? My dear utakuja kulia ushangae😄 mana akizingua nguvu ya kumsema utatolea wapi?

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 Год назад

      Mhhh nimeogopa Mungu ni mwema.lakini aware maelewano wadumu bila makwaluzo inshallah

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 Год назад

    Kumbe kasha kuwa mbibi ehee

  • @marrylinmshana7273
    @marrylinmshana7273 Год назад

    Hapo kwa mamamkwe Esha fikiria upya dear