Mhe Magufuli, Kudorora kwa Ujenzi | TBC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 мар 2015
  • Mhe.Magufuli anakutana na swali bungeni baada ya kuondoka kwa mkandarasi anayejenga barabara ya Dodoma kwenda Mayamaya tangu 2011.

Комментарии • 71

  • @moemussa5212
    @moemussa5212 3 года назад +26

    Kuna Watu Tumerudi Kumkumbuka JPM RIP Mzee Baba

  • @edisonkashaija4067
    @edisonkashaija4067 3 года назад +29

    Mungu mkubwa sana, tunakushukuru mungu kwa kutuletea mtu huyu walau nasi tumemtumia kwa kuasi kilichokupendeza, Amina mpokee muweke mahali pema peponi

  • @OverdozClassic
    @OverdozClassic 3 года назад +44

    Nimefika hapaa baada ya kifo 😭😭

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +13

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @edisonkashaija4067
    @edisonkashaija4067 3 года назад +5

    Mungu akupokee akusamehe dhambi zako na akuweke mahali pema peponi🙏🙏🙏

  • @jamesthomas390jj
    @jamesthomas390jj 3 года назад +24

    Ukisikiliza haya majibu yake, kuna sehemu anasema hela zilikosekana za kumlipa mkandarasi ndo maana ujenzi ukasimama kwa muda. Saa hizi chini ya uongozi wake hakuna hicho kisingizio ndio maana mkandarasi akizingua tu kinawaka. Hongera sana JPM

  • @sonkosolembasimba821
    @sonkosolembasimba821 3 года назад +12

    Knowledge gives you a confidence.

  • @neozoran244
    @neozoran244 Год назад +3

    Greatest Of All Time (G.O.A.T) ❤️💪

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад +5

    Daaaa jamani nimefika hapa baada ya kufariki R..I.P baba tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi heri wafu wafao ktk
    Bwana na matendo yao huwafuata.Hakika matendo yako yamekufuata.

  • @emmanuelmkeba7901
    @emmanuelmkeba7901 3 года назад +12

    Huyu jamaa hata hapo alipokuwa akiongea yaani unaona Kama cheo hicho kilikuwa kidogo kwake yaani alishauvaa uraisi muda mrefu tu hapo ni Waziri lakini Kama vile raisi

  • @nicken3250
    @nicken3250 3 года назад +5

    Dahh.. Noma Sana. RIP

  • @enocjim6950
    @enocjim6950 3 года назад +14

    RIP John pombe magufuli

  • @zabroncharles3022
    @zabroncharles3022 3 года назад +4

    Fallen hero, son of the land

  • @pamojacomedytv7563
    @pamojacomedytv7563 2 года назад +3

    Pumzika kwaamani baba yetu😭😭😭😭😭🤲🙏🙏🙏🙏

  • @mussanganda505
    @mussanganda505 2 года назад +1

    Mungu akulaze mahala pema pepponi,tulikupenda lkn Mungu kakupenda zaidi,

  • @calmandrelaxationessential2407
    @calmandrelaxationessential2407 3 года назад +10

    Daaah, tumebaki na videos zake tu 😒😒😒, RIP Magufuli

  • @feisaltamimi6231
    @feisaltamimi6231 5 лет назад +13

    huyu jamaa kweli ni mchapa kazi tangu zamani

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 года назад +5

    Buriani mzee magufuri

  • @hassanjr5318
    @hassanjr5318 3 года назад +4

    Ukiona unasifiwa sana baada ya kufa .....jua huyu mtu alikuwa mzuri na haki inadhihirika mara nyingi mara baada ya kufa ....watu wengi wazuri uzuri wao hujulikana na kusifiwa baada ya kufa mfano Ruge mutahaba, Gaddafi , ss magufuli

  • @nyutwaclassic
    @nyutwaclassic 5 лет назад +5

    Mungu akulinde mh. Dkt JPM HAPA KAZI 2

  • @mosesmussa3669
    @mosesmussa3669 4 года назад +2

    Big up Mzee baba

  • @majidomar4770
    @majidomar4770 5 лет назад +7

    Nakupenda kwa kuwa unaipenda lugha yetu ila plz chukuwa juuhudi ya maksudi kukuza kiswahili

  • @benardomari5863
    @benardomari5863 3 года назад +2

    RIP

  • @mwamengele
    @mwamengele 3 года назад +4

    RIP MWAMBA

  • @princepiusmutaihwa9606
    @princepiusmutaihwa9606 3 года назад +5

    Apokelewe ktk makao ya milele

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi656 3 года назад +2

    upumzike dr JPM

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 3 года назад +13

    Sijui bona m2 akifa tuna Anza kufutilia nikiwa mmonja wao napitia video zake 😭😭Rip

  • @elishazahabu3600
    @elishazahabu3600 6 лет назад +11

    Huyo saivi ni muheshimiwa Raisi

  • @eliudmaster2175
    @eliudmaster2175 3 года назад +1

    Naam

  • @msalabanireko1518
    @msalabanireko1518 2 года назад

    Akik mungu ana makusudi yke

  • @officialdesigner5556
    @officialdesigner5556 3 года назад +2

    Pumzika kwa amani JPM wew sio kiongoz tu pia ulikuwa mtumishi mwema

  • @mohamedmnjeja1429
    @mohamedmnjeja1429 3 года назад +4

    Mwamba way back

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 года назад +3

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @maltinngua6640
    @maltinngua6640 6 лет назад +1

    noma nomaa

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 2 года назад

    Daaah

  • @frankstarstz470
    @frankstarstz470 3 года назад +1

    Mueshimiwa magu

  • @yohanabuluba1318
    @yohanabuluba1318 2 года назад

    Hogera Sana

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад +2

    Kumbe barabara ya Mpwampwa ilianza kujengwa toka 2013, Dada yangu nataka utambue mpaka Leo 2021 bado haijakamilika,,,,,,,,na hakuna dalili ya kumalizika mwaka huu!

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 3 месяца назад

    Mpaka reo haijaisha jpm hayupo kira kitu hovyo busy kuiba pesa

  • @emanuelnyab9872
    @emanuelnyab9872 2 года назад +1

    Buriani kamanda pumzika kwa amani

  • @user-kf6tz1px6f
    @user-kf6tz1px6f 4 месяца назад

    Wengine tulimjua mapema na kwa maana hiyo hatushangai kwa kilichotokea maana alia mini katika ukweli.

  • @paulmangana4263
    @paulmangana4263 3 года назад

    RIP #JPM.bye #Daddy

  • @magigegeofrey4507
    @magigegeofrey4507 3 года назад +4

    Rip magufuli

  • @alfonsimwalongo9164
    @alfonsimwalongo9164 2 года назад

    Jamaaa alikuwa anasoma sana yani

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 3 года назад

    Professional killer na mtesaji mkuu

  • @flownluvanda5263
    @flownluvanda5263 5 лет назад +2

    Hili jembe kweli kweli ndomana Rais wetu

  • @stn4873
    @stn4873 5 лет назад +2

    chuuumaaa

  • @issackdauda5071
    @issackdauda5071 2 года назад

    R.i.p jpm

  • @johnkapesula122
    @johnkapesula122 2 года назад

    Laaah JPM

  • @ungaroboungarobo5531
    @ungaroboungarobo5531 3 года назад +1

    Am after the death

  • @platnumzkawiche1861
    @platnumzkawiche1861 3 года назад

    john pombe joseph ulale salama umetuacha imara

  • @husseinkatuga414
    @husseinkatuga414 3 года назад +1

    RlP magu

  • @lonyorilaizer2649
    @lonyorilaizer2649 3 года назад +1

    Mpaka leo bado

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 2 года назад

      Ni kweli, basi ni Ngasere na Al sayed tu kwakuwa hakuna barabara Mpwapwa

  • @amanikudeli5297
    @amanikudeli5297 2 года назад

    r i p

  • @aminamussa5122
    @aminamussa5122 8 лет назад +4

    Failing to prepare is preparing to fail.

  • @frankkashner
    @frankkashner 2 года назад

    Nimemmis JPM nimeona nirudie speech za uwaziri za uraisi nimemaliza

  • @eliassirocha3988
    @eliassirocha3988 Год назад +1

    Alikuwa jembe

  • @abelmapuri4407
    @abelmapuri4407 2 года назад

    RIP