Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni
HTML-код
- Опубликовано: 29 янв 2015
- Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.
Tulioiona 2024 gonga like
Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤
Mrith wa bwege je umemwona??
Big Up lisu mungu akupe afya njema
Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like
Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje
@@kpetres2872 kilaza wew
Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm
2023 still watching him 🤣
Zaidi ya 1,000
Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!
InstaBlaster.
😭😭😭😭😭😭 huyu JEMBE
Ndiyo maana walitaka kukuondoa mfalume huyu
my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.
Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm
Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu
Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,
😆😆
CCM hamna kitu
Ni zaidi ya 2000
Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,
lisu uko vizuri baba
fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu
kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe
Lisu ana material mengi sana kichwani kwake
laws of Succes
Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.
Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa
Mungu akulinde Mwamba. We love you brother
lissu heshima yako.
Hio nihazina yataifa
Mungu akubariki risu ukoveeeem
Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo
I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii.
#Lissu Baba Laooo
he was too good for bunge la tanzania
Sheria imezidiwa na tundu lissu
Jamaa hatar uy7
Lisu mungu akubarik akupe nguvu
Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu
Hapindashagi
safi brother.
Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa
Safi Sana Lisu
Hivi tumbuatumbua lisu alishauli
"Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.
Ulikuwa wapiiii ww
katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu
Lisu kiboko Yao
Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.
hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .
Nimemkumbuka Kwa kweli
KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU
good lisu
lisu safi sana,..
Lisu wew ni mtu muhim sana
mrithi wa fedrick wa walema
ukawa oyeeeeeeee power
Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa
Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi
AMINA
kichwa
Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo
Lissu we nisheeeda
Otuba za king msukuma
Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.
Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa
Mwamba wangu lissu nakukubali saana
Lissu for life
Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,
Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.
maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha
kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda
sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana
Nchi limefilisiwa Na wahuni wa ccm
saf sana
safi lisu
ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana
Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema
huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu
😆😆😆
Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui
Big up Lisu
Lisu forever ♥
Mwamba wangu.
MH.Lissu Rais wng wa Moyo.
mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰
Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete
Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano
Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,
Oct. 2022..... Lissu still being Lissu!
Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania
hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?
LASDOPLUS TOURS LIMITED BLOG links yametimia Sasa yeye ni raisi
duuuuuuuuuuuuuuh ww balaaaa
Lissu ever brave, competent, not lying
LISSU
tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni
Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge
😅😅 nakuelewa xana mze bb
Genus!!!
Wangekuwepo hawa kina lissu bungeni basi ule mkataba mbovu usinge pita kabisa, siku hizi kuna wabuge wasio na uchungu na nchi sababu ni wabunge wa kura za bure 😮😮
Hakika Mungu alikuleta LISSU UTUKOMBOE JAPO MBWA SISI TUMESHUPAZA SHINGO NA KUKUONA UNAMANENO MENGI BILA KUJALI FACT ZAKO
Tundulisu anafaa kuwa Rais
ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi
Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.
Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri
he have powers he should react fast?
God bless lisu for ever and never
Liiisuuuuuuuuuuuuu!
Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!
Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!
sasa hv ukianzia mwenyekit wa mtaa anatokea c.c.m diwani c.c.m mbunge c.c.m rais c.c.m nchi gani ya mfumo huo inskosa maana ya kuanzishwa kwa vyama vingi vya siasa rais nyerere alisema maendeleo ya nchi yasipoletwa chama yataletwa na mtu leo hii tunaikumbuka siku ya nyerere day kwakuongezeana mshahara mkulima kumuongeza bei ya pamba wala hamkumbuki huu ni ujinga
That's why he survived the killing,murdering,and assassination mission of the chato king.
Your so brave br we mis you alot
lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa
Huyu jamaa Ni fire Yuko vzr
Bona alikula mda wa mwezake bila sababu
Lisu oyeeee
Lisu ukovizuri kwa uongozi.
Wewe mwanasheria unapoteza mda kaa chini kiazi.
Gasper Massawe hujitambui
Ali kuwepo bungen wana nchi tuli ona uzur wa bunge Sasa bandali ime uzwa nasubili ikulu iuzwe ili nipate mgawo wangu
Huyu spika wa bunge alikua vema sana sio kama ndugai mbunge wa upinzani anaongea yeye anasimama kujibu kwa kejer simpend ndugai hatar
Sio wewe tu Ndg yangu! Watu wengi walikuwa wammeshamchoka ndugai
Aaaaaah huyu Mzee sikuwahi kumuelewa kabisa
Hawa ndio mankunga fomu wani
yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi
uyu jamaa nikichwa sana anafaa kuwa raisi na kura yangu mm na mpa mapema sana
Lisu hatari
Mbona kipindi cha magufuli hamkufanya hayo hiyo kstiba kipindi cha magu au katiba ilikuwa likizo
tanzania aituhusu sisi raia wa kawaida ni tanzania ya viongozi tu