Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 янв 2015
  • Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.

Комментарии • 289

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 4 месяца назад +34

    Tulioiona 2024 gonga like

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 3 месяца назад +11

    Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤

  • @makimbiliotvtv2644
    @makimbiliotvtv2644 7 лет назад +46

    Big Up lisu mungu akupe afya njema

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze2612 3 года назад +55

    Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 3 года назад

      Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje

    • @priscusaugust7251
      @priscusaugust7251 2 года назад

      @@kpetres2872 kilaza wew

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Год назад

      Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm

    • @ismailyusuf3543
      @ismailyusuf3543 Год назад

      2023 still watching him 🤣

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 11 месяцев назад

      Zaidi ya 1,000

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 6 лет назад +42

    Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!

  • @kelvinmbena4562
    @kelvinmbena4562 7 лет назад +28

    my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Год назад

      Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Год назад

      Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 6 лет назад +53

    Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 6 лет назад +20

    Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,

  • @liberatimasawe9520
    @liberatimasawe9520 7 лет назад +35

    lisu uko vizuri baba

  • @frankkabombo8439
    @frankkabombo8439 8 лет назад +20

    fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu

  • @sadikisalumu5253
    @sadikisalumu5253 5 лет назад +21

    kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe

  • @lawsofsucces5784
    @lawsofsucces5784 7 лет назад +42

    Lisu ana material mengi sana kichwani kwake

  • @ken-ul2jg
    @ken-ul2jg 6 месяцев назад +3

    Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.

  • @eliamkamba6899
    @eliamkamba6899 3 года назад +12

    Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa

  • @ernestmatimba9964
    @ernestmatimba9964 2 года назад +5

    Mungu akulinde Mwamba. We love you brother

  • @shimmysima1311
    @shimmysima1311 8 лет назад +40

    lissu heshima yako.

  • @betramkapinga795
    @betramkapinga795 8 лет назад +15

    Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo

  • @chiefkaitaba8293
    @chiefkaitaba8293 Год назад +4

    I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii.
    #Lissu Baba Laooo

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 3 года назад +7

    he was too good for bunge la tanzania

  • @twayibmood7319
    @twayibmood7319 4 года назад +5

    Sheria imezidiwa na tundu lissu
    Jamaa hatar uy7

  • @danielsinkamba3719
    @danielsinkamba3719 5 лет назад +8

    Lisu mungu akubarik akupe nguvu

  • @ashirafubesta1018
    @ashirafubesta1018 Год назад +9

    Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu

  • @htmmusic9240
    @htmmusic9240 7 лет назад +18

    safi brother.

  • @MadeliTV
    @MadeliTV 3 месяца назад +1

    Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa

  • @petermwasipu1778
    @petermwasipu1778 8 лет назад +18

    Safi Sana Lisu

  • @sharifunchimbi785
    @sharifunchimbi785 4 года назад +6

    Hivi tumbuatumbua lisu alishauli

  • @msemakwelimdhalendo7782
    @msemakwelimdhalendo7782 3 года назад +11

    "Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.

  • @festussichula8866
    @festussichula8866 5 лет назад +16

    katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu

  • @datiusgabriel8277
    @datiusgabriel8277 8 лет назад +23

    Lisu kiboko Yao

  • @mooking7913
    @mooking7913 6 лет назад +9

    Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.

  • @isaali9630
    @isaali9630 7 лет назад +22

    hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .

  • @yohanaswalo4716
    @yohanaswalo4716 3 месяца назад +2

    Nimemkumbuka Kwa kweli

  • @bugdadiajm8270
    @bugdadiajm8270 7 лет назад +13

    KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU

  • @issaibuni5747
    @issaibuni5747 7 лет назад +13

    good lisu

  • @innocentnkya2770
    @innocentnkya2770 7 лет назад +14

    lisu safi sana,..

  • @emmiliananasri7726
    @emmiliananasri7726 3 года назад +7

    Lisu wew ni mtu muhim sana

  • @markomoter3190
    @markomoter3190 9 лет назад +11

    mrithi wa fedrick wa walema

  • @paulothomas7270
    @paulothomas7270 8 лет назад +19

    ukawa oyeeeeeeee power

  • @mragahpallangyo6261
    @mragahpallangyo6261 4 года назад +5

    Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa

  • @greenmedia002
    @greenmedia002 2 года назад +3

    Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi

  • @mosesmpeta3241
    @mosesmpeta3241 8 лет назад +14

    kichwa

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Год назад +2

    Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo

  • @othumanmassanja1472
    @othumanmassanja1472 8 лет назад +12

    Lissu we nisheeeda

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 5 лет назад +3

    Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 3 года назад +2

    Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Год назад +2

    Mwamba wangu lissu nakukubali saana

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 3 года назад +8

    Lissu for life

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 Год назад +1

    Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 4 года назад +5

    Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.

  • @liberatimasawe9520
    @liberatimasawe9520 7 лет назад +5

    maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha

    • @emmanuelyusto6240
      @emmanuelyusto6240 7 лет назад

      kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda

  • @francissalamba8112
    @francissalamba8112 7 лет назад +22

    sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana

  • @sadickgugud2556
    @sadickgugud2556 7 лет назад +10

    saf sana

  • @hajinyange4522
    @hajinyange4522 7 лет назад +7

    safi lisu

  • @liontvonline951
    @liontvonline951 5 лет назад +2

    ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 года назад

    Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema

  • @emmanuelngadaya1412
    @emmanuelngadaya1412 8 лет назад +6

    huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu

    • @Bruno-ed1ps
      @Bruno-ed1ps 2 года назад

      😆😆😆

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 11 месяцев назад

      Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui

  • @abdillahichicha8035
    @abdillahichicha8035 5 лет назад +5

    Big up Lisu

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 2 года назад +5

    Lisu forever ♥

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Год назад +1

    Mwamba wangu.
    MH.Lissu Rais wng wa Moyo.

  • @FrankFrankmapanacom-eh1xy
    @FrankFrankmapanacom-eh1xy Год назад

    mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰

  • @xaveryngonyani-nb1nx
    @xaveryngonyani-nb1nx Год назад

    Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 5 лет назад +2

    Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 6 лет назад +2

    Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,

  • @ayendamethusela3310
    @ayendamethusela3310 Год назад +5

    Oct. 2022..... Lissu still being Lissu!

  • @olendumbekiseya4583
    @olendumbekiseya4583 Год назад +1

    Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 7 лет назад +23

    hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 3 года назад +33

    Lissu ever brave, competent, not lying

  • @clementcharles5687
    @clementcharles5687 9 лет назад +6

    tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 Год назад

    Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge

  • @user-ws6dq3vq7t
    @user-ws6dq3vq7t 9 месяцев назад +1

    😅😅 nakuelewa xana mze bb

  • @kassimnasseb4845
    @kassimnasseb4845 4 года назад +4

    Genus!!!

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 11 месяцев назад

    Wangekuwepo hawa kina lissu bungeni basi ule mkataba mbovu usinge pita kabisa, siku hizi kuna wabuge wasio na uchungu na nchi sababu ni wabunge wa kura za bure 😮😮

  • @yusuphraphael6142
    @yusuphraphael6142 11 месяцев назад

    Hakika Mungu alikuleta LISSU UTUKOMBOE JAPO MBWA SISI TUMESHUPAZA SHINGO NA KUKUONA UNAMANENO MENGI BILA KUJALI FACT ZAKO

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 5 лет назад +3

    Tundulisu anafaa kuwa Rais

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 2 года назад

    ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Год назад

    Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi

  • @beberurafiki1273
    @beberurafiki1273 Год назад +1

    Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.

  • @abisaiamos1245
    @abisaiamos1245 6 лет назад +2

    Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri

  • @linnwambui3389
    @linnwambui3389 6 лет назад +1

    he have powers he should react fast?

  • @anoldstephano6301
    @anoldstephano6301 Год назад +1

    God bless lisu for ever and never

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 3 года назад +3

    Liiisuuuuuuuuuuuuu!

  • @tecnof1232
    @tecnof1232 5 лет назад +2

    Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!

    • @raphaelsamwel2640
      @raphaelsamwel2640 5 лет назад

      Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!

  • @GachumaMwita
    @GachumaMwita 4 месяца назад

    sasa hv ukianzia mwenyekit wa mtaa anatokea c.c.m diwani c.c.m mbunge c.c.m rais c.c.m nchi gani ya mfumo huo inskosa maana ya kuanzishwa kwa vyama vingi vya siasa rais nyerere alisema maendeleo ya nchi yasipoletwa chama yataletwa na mtu leo hii tunaikumbuka siku ya nyerere day kwakuongezeana mshahara mkulima kumuongeza bei ya pamba wala hamkumbuki huu ni ujinga

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 Год назад +1

    That's why he survived the killing,murdering,and assassination mission of the chato king.

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 2 года назад

    Your so brave br we mis you alot

  • @allyally6529
    @allyally6529 7 лет назад +7

    lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa

  • @eliusponde8564
    @eliusponde8564 Год назад

    Huyu jamaa Ni fire Yuko vzr

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 3 месяца назад

    Bona alikula mda wa mwezake bila sababu

  • @emmiliananasri7726
    @emmiliananasri7726 3 года назад +2

    Lisu oyeeee

  • @erickmarcokabete5389
    @erickmarcokabete5389 7 лет назад +14

    Lisu ukovizuri kwa uongozi.

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe7397 6 лет назад +5

    Wewe mwanasheria unapoteza mda kaa chini kiazi.

  • @daudichirstopher6173
    @daudichirstopher6173 Год назад

    Ali kuwepo bungen wana nchi tuli ona uzur wa bunge Sasa bandali ime uzwa nasubili ikulu iuzwe ili nipate mgawo wangu

  • @sniperbogo6210
    @sniperbogo6210 3 года назад +1

    Huyu spika wa bunge alikua vema sana sio kama ndugai mbunge wa upinzani anaongea yeye anasimama kujibu kwa kejer simpend ndugai hatar

    • @carolsalvii281
      @carolsalvii281 2 года назад

      Sio wewe tu Ndg yangu! Watu wengi walikuwa wammeshamchoka ndugai

  • @edwardkasubi1495
    @edwardkasubi1495 6 лет назад +1

    Aaaaaah huyu Mzee sikuwahi kumuelewa kabisa

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 3 месяца назад

    Hawa ndio mankunga fomu wani

  • @emmanuelngollej6415
    @emmanuelngollej6415 5 лет назад +1

    yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 Год назад

    uyu jamaa nikichwa sana anafaa kuwa raisi na kura yangu mm na mpa mapema sana

  • @deogratiousmchau8162
    @deogratiousmchau8162 7 лет назад +4

    Lisu hatari

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp 5 месяцев назад

    Mbona kipindi cha magufuli hamkufanya hayo hiyo kstiba kipindi cha magu au katiba ilikuwa likizo

  • @godyemily-fx4md
    @godyemily-fx4md 11 месяцев назад

    tanzania aituhusu sisi raia wa kawaida ni tanzania ya viongozi tu