Kuhusu kuongea taratibu sio ulevi bali watu wengine wamepewa uwezo mkubwa kifikra lakini kiutamkaji anakuwa hana wepesi hivyo anaongea taribu.Hata Musa alipotumwa na Mungu kuwaendea Waisraeli mikokoni mwa farao kule misri.Alimwambia Mungu,umenituma mimi niende lakini unafahamu mimi ninamdomo mzito si mwepesi wa kuongea,Mungu akamwambia nitakupa mtu wa kusema badala yako,naye ji binamu yako Haruni.Musa alikuwa na uwezo mkubwa sana lakini alinyimwa uwezo wa kuongea maneno mengi.Kiukweli huyu mzee alionewa tu.
Kuongea taratibu kama hivi hata Muheshimiwa Mpango Makamu wa Raisi mi nampenda sana sana kwa sababu anapozungumza huaga anazungumza taratiiibu. Kama hamuniamini naomba mumsikilize Mh Mpango ambae ni Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Tanzania
kwa upande wangusijona mahali alipokosea labda tumepigwa changa la macho je kuna uthibitisho wa vipimo?????????????????? na ninani kampima ulevi acheni ushabiki bila kutafakari.
chunguzeni vizuri kwanini magufuli kamtimua huyu jamaa, labda walikua na yao ya zamani kwa sasa vile magufuli amekua boss Basi amuonyesha misuli yake !
Magufuri tatizo lake huwa anakurupuka tu!kutaka.sifa mchwara. Hiyo ndiyo Ongea yake. Msikilize ktk crip ya kuomba ubunge tena akiwa na Magufuli pembeni. ALIMUONEA TU.BABA WA MAPOZI.
Kuhusu kuongea taratibu sio ulevi bali watu wengine wamepewa uwezo mkubwa kifikra lakini kiutamkaji anakuwa hana wepesi hivyo anaongea taribu.Hata Musa alipotumwa na Mungu kuwaendea Waisraeli mikokoni mwa farao kule misri.Alimwambia Mungu,umenituma mimi niende lakini unafahamu mimi ninamdomo mzito si mwepesi wa kuongea,Mungu akamwambia nitakupa mtu wa kusema badala yako,naye ji binamu yako Haruni.Musa alikuwa na uwezo mkubwa sana lakini alinyimwa uwezo wa kuongea maneno mengi.Kiukweli huyu mzee alionewa tu.
Huyu jamaa ni msomi mzuri na ana akili nzuri za mipango na maendeleo
Well done Mr.JP for a good work,they are still more to come.
Wamemwonea sana mheshimiwa wetu!!
Nimeangalia na kuangalia Sana nimerudia na kurudia mno...mimi sijaona tatizo aisee maana majibu yake yalikuwa straight Sana na hakukosea
My lovely country Tanzania, my motherland why people are making you sad? Oohh my motherland Tanzania,
Hongereni kwa habari zenu.
Kuongea taratibu kama hivi hata Muheshimiwa Mpango Makamu wa Raisi mi nampenda sana sana kwa sababu anapozungumza huaga anazungumza taratiiibu. Kama hamuniamini naomba mumsikilize Mh Mpango ambae ni Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Tanzania
mi kwa upande wangu sijaona alipokosea mr charles iyo pombe iko wapi acheni kushabikia tu...
Mbona kajibu vizuri tu
Tutajua Kama kalewa akizungumza Bungeni next time tutaona tofauti,kwa sasa kama hujawahi msikiliza hautojua
Waziri hawezi kwenda Bungeni akiwa amelewa so huyu hakulewa kabisaaaaaa
mi kwa upande wangu sijaona alipokosea mr charles
Maoni yako!!
Shida hapa alisema ukweli wa Hali halisi ya utekelezaji,jeshi linaongezeka sio la miaka 54 liko vile vile
Nimeirudia hii crip kutafuta kosa nimeche
MsHa kwa kweli
Mm mwenyewe nipo apa natafuta kosa silionii
ila mbona kajibu fresh tu......
yaan narudia na kurudia lakini sijaona amekosea wapi
Kichwa iliyojaa madini🤣🤣👍👍
kwa upande wangusijona mahali alipokosea labda tumepigwa changa la macho je kuna uthibitisho wa vipimo?????????????????? na ninani kampima ulevi acheni ushabiki bila kutafakari.
Yupo ok
We unadhani kiongozi ni mwendawazimu kumuomba naibu waziri ajibu swali wakati waziri yupo? ni kwa sababu alishapimwa na akataarifiwa.
Au ndio kiki za kutuzima na tozo maan cc tunatak za miamala ya simu zishuke
wamemuoneatu mbona mi cjaona kibaya alicho kiongea
Kuna issue somewhere, hii sio issue..... MJPM atueleze vizuri
asee by mzee kalewa kweli mpak kuomgea mdomo mzit hivyooo
Mwenyewe kasema hakulewa!
Wazir Hana uwezo alipiewa uwazir kwa kua ni msukuma
hatareeeeeeee sana team anti viroba
Hapa Mwamba walimuonea😢😢😢
Hapo elfu nne mia mbili... Sauti yake yaelekea kidogo ila angempa worning... Au shart hili wanalo kwenye mkataba wao mmh hapo sijaujua
Dah eeh Mungu eeh
Baadaye nimegundua hakulewa bali nasikia aliwahi kupata strock.
Hakukuwa na sababu ya ulazima ya kumvua uwaziri huyu kiongozi. Hekima na busara lazima itumike sana kabla ya kufanya maamuzi. No one is perfect.
Huyu jamaa nimebain hii ndio stail yake ya usemaj
me sioni ulevi hapo , wamemuonea bure
Imekuwa shida sana
shida ya nini??
Viroba hivyo vina vunja nguvu viungo daaa 😀😀😀😀😙😙😙😙
Huyu alikua ndie waziri sio waitara kuongea hajui
mbona kajibu vizuri jamani .tena kajibu taratibu hadi raha
jamani lugha 2 yenyewe inaonyesha katupia vitu sasa wanaosema hawana masikio?
Mhe. Waziri kashughulikiwa. Katika hili hakukuwa na haja ya onyo. Ni aibu kwa Kiongozi wa ngazi ya juu kama yeye kuwa mdhaifu kimaadili kiasi hicho.
chunguzeni vizuri kwanini magufuli kamtimua huyu jamaa, labda walikua na yao ya zamani kwa sasa vile magufuli amekua boss Basi amuonyesha misuli yake !
Wangekuwa na bifu angemteua kuwa waziri?
duuuu ..aibu sana
kaaaa. ..!!! urafiki urafiki analeta urafiki kazini..hata kusema Jamani anajikanyaga tuu ptuuuh...!!!
Mbona asa me cjaona alipolewa bagwituuuu! au kusema rafik yangu?
kweli safar hiii mtanyooooka
+Scarlet Pimpernel sijaona alipo lewa
@@fabiantanzania5795 amelewa muanglie na msikilize vzr 2 utamuelewa sauty yake
Waziri kazingua, we have a long way to go
😂😂😂😂 amekunywa dadii mix mbege jamani mzeee🏃
Pamoja na pombe ,hawa jamaa walikuwa na akili sana
Mbona aliongeaga vizuri tu?wapi.kakosea nilitaka Waziri aongee harakaharaka anawahi wapi
Ni shidaaaaa
Hahahahah hi kalii
Nyie hamjui kuwa ulikuwa mchezo tu ili kumkwepeshs na Ligumi
Huyu Waziri au conductor wa bus? Hana jibu wala ushauri. Vipi mtu kama huyu atachaguliwa kuwa waziri?
daa,yan hawa wabunge wa safari hii,pasua kichwa
Haaaa hiseee Kitwanga kweli umwetwangwa
Hon.president just try even to give the chance to youth jeneration as makonda&Hapi Ali
Tafakari tena!
eeh mungu
Mwishoni ndo nimeelewa jmaaa alikuwa maji
Pombe sio chai jamani
kalewa mpaka vidole vya mikono vinatetemeka
wengine wajifunze
Mi siona kama kama kalewa
tz tunaitaji huwajibikaji
Magufuri tatizo lake huwa anakurupuka tu!kutaka.sifa mchwara. Hiyo ndiyo Ongea yake. Msikilize ktk crip ya kuomba ubunge tena akiwa na Magufuli pembeni. ALIMUONEA TU.BABA WA MAPOZI.
Kabisa ndugu yangu!
pombe atar kajikaza kiumee
Amekunywa Mbege
ايش يقول
اسش
ningekuwa Mimi ndiye yeye ningempa madaraka...naibu waziri siku hiyo nisingeingia bungeni kabisa...dah ila siku ya kufa nyani miti yote uteleza
kweli mbaba kazingua
Asamehewe coz kajikaza sana
dahhh!! jamaa kweli yuko tungi dadeki ila kajitahidi 😆😆😆 mwaka huu bakora tu mpaka munyooke
Mbona ilikuwa poa tu
ha ha haaaaaa tungo sio aiseee
ni yupi atakayekuwa ni msafi???
Naon serikali hawakutaka kujaja isue ya Lugumi direct wakaona wajifiche kwenyebLugumi
manuel
p
MUNGU ATUSAIDIE SANA WA TANZANIA HII NI AIBU.
hajaharibu nyodo tuu
Dah! Kwel n jiiiiipu
nadhani ni pozi tuu
wabunge viraza kila hoja wao ndio
pombe si chai
ndio viogozi Wetu Mungu atusaidie tu
Si katoa lock tuu
Duuuuh hataree
yuko tungi kabsaaaaaa !!
😂😂😂😂dar kwerrr aiseee ila kajikazaaaaa
hakuna jambo la ubora kwenye mambo kma haya
HII NI DHARAU KUBWA SANA DHIDI YA BUNGE !
mzee wa mchupa
noma
Kiukweli mimi cjawahi kumsikia akiongea huyo waziri, ila hapo inaonyesha hakuna la maana, ni kweli ana kila dalili za pombe hapo halipo.
nilimpenda sana waziri kitwanga kuliko mawaziri wote hasa juu ya kauli zako khs kudili na madawa ya kulevya ila pombe ni shetani mbaya sana
Nimependa pale binge letu TUKFUU haha sio TUKUFU
😂
Llian Mwinamila duuuh
raid amsameh tu
Dooh
Sasa Si Bora Ya Huyu Kuliko Yule Aliyesema Sanamu Libomolewe
+Hamza Adrin yaani
Hii haina ubishi Yule Aliyesema Eti bora sanamu la mashujaa libomolewe Awekwe Diamond Alinishangaza sana AMINA AHMED
Kweli kabisa Scarlet Pimpernel sasa na yule cijajuwa Ana ngoja nini bungeni wakimchunguza watakuta na yeye alilewa
+Scarlet haswaaaa
Babu hatak discation
China shanyongwa
Hee
duuh!!!! hahahaa magu msamehee jamaa cyo mzoefu wa tungi kabixa....
تكونا اح اح اح
hahah
Viroba take away
mmmmmmmmmmmmmmmmmmm