VIDEO: Siku Waziri Kitwanga alijibu maswali Bungeni na kudaiwa amelewa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Hii ndio Video ya Aliyekuwa Waziri Kitwanga akijibu maswali Bungeni na kudaiwa alilewa

Комментарии • 145

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 4 года назад +16

    Kuhusu kuongea taratibu sio ulevi bali watu wengine wamepewa uwezo mkubwa kifikra lakini kiutamkaji anakuwa hana wepesi hivyo anaongea taribu.Hata Musa alipotumwa na Mungu kuwaendea Waisraeli mikokoni mwa farao kule misri.Alimwambia Mungu,umenituma mimi niende lakini unafahamu mimi ninamdomo mzito si mwepesi wa kuongea,Mungu akamwambia nitakupa mtu wa kusema badala yako,naye ji binamu yako Haruni.Musa alikuwa na uwezo mkubwa sana lakini alinyimwa uwezo wa kuongea maneno mengi.Kiukweli huyu mzee alionewa tu.

  • @abdulbasitsaid7323
    @abdulbasitsaid7323 4 года назад +14

    Huyu jamaa ni msomi mzuri na ana akili nzuri za mipango na maendeleo

  • @ceasermbisso6589
    @ceasermbisso6589 8 лет назад +4

    Well done Mr.JP for a good work,they are still more to come.

  • @lauriansimon6805
    @lauriansimon6805 6 лет назад +10

    Wamemwonea sana mheshimiwa wetu!!

  • @emmanuelmomolo9083
    @emmanuelmomolo9083 2 года назад +10

    Nimeangalia na kuangalia Sana nimerudia na kurudia mno...mimi sijaona tatizo aisee maana majibu yake yalikuwa straight Sana na hakukosea

  • @alexmashimbaisululu6309
    @alexmashimbaisululu6309 8 лет назад +3

    My lovely country Tanzania, my motherland why people are making you sad? Oohh my motherland Tanzania,

  • @martinmiston4403
    @martinmiston4403 8 лет назад +3

    Hongereni kwa habari zenu.

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir3363 2 года назад +1

    Kuongea taratibu kama hivi hata Muheshimiwa Mpango Makamu wa Raisi mi nampenda sana sana kwa sababu anapozungumza huaga anazungumza taratiiibu. Kama hamuniamini naomba mumsikilize Mh Mpango ambae ni Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Tanzania

  • @peterkaombwe6251
    @peterkaombwe6251 8 лет назад +4

    mi kwa upande wangu sijaona alipokosea mr charles iyo pombe iko wapi acheni kushabikia tu...

  • @benedictormatemla8947
    @benedictormatemla8947 3 года назад +2

    Mbona kajibu vizuri tu

  • @lilianmwinamila9506
    @lilianmwinamila9506 8 лет назад +4

    Tutajua Kama kalewa akizungumza Bungeni next time tutaona tofauti,kwa sasa kama hujawahi msikiliza hautojua

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir3363 2 года назад +1

    Waziri hawezi kwenda Bungeni akiwa amelewa so huyu hakulewa kabisaaaaaa

  • @peterkaombwe6251
    @peterkaombwe6251 8 лет назад +14

    mi kwa upande wangu sijaona alipokosea mr charles

  • @josephjosephgeorge3195
    @josephjosephgeorge3195 2 года назад +1

    Shida hapa alisema ukweli wa Hali halisi ya utekelezaji,jeshi linaongezeka sio la miaka 54 liko vile vile

  • @ugaboy4736
    @ugaboy4736 5 лет назад +2

    Nimeirudia hii crip kutafuta kosa nimeche
    MsHa kwa kweli

  • @loveness_g2619
    @loveness_g2619 8 лет назад +8

    ila mbona kajibu fresh tu......

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 4 года назад +2

    yaan narudia na kurudia lakini sijaona amekosea wapi

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 2 года назад +1

    Kichwa iliyojaa madini🤣🤣👍👍

  • @jovinarchard
    @jovinarchard 8 лет назад +16

    kwa upande wangusijona mahali alipokosea labda tumepigwa changa la macho je kuna uthibitisho wa vipimo?????????????????? na ninani kampima ulevi acheni ushabiki bila kutafakari.

    • @justinemaengo967
      @justinemaengo967 5 лет назад

      Yupo ok

    • @shadymbuki87
      @shadymbuki87 4 года назад

      We unadhani kiongozi ni mwendawazimu kumuomba naibu waziri ajibu swali wakati waziri yupo? ni kwa sababu alishapimwa na akataarifiwa.

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 2 года назад +1

    Au ndio kiki za kutuzima na tozo maan cc tunatak za miamala ya simu zishuke

  • @ashagrills1319
    @ashagrills1319 8 лет назад +3

    wamemuoneatu mbona mi cjaona kibaya alicho kiongea

  • @mmary70
    @mmary70 8 лет назад +1

    Kuna issue somewhere, hii sio issue..... MJPM atueleze vizuri

  • @gebopeter3958
    @gebopeter3958 8 лет назад +3

    asee by mzee kalewa kweli mpak kuomgea mdomo mzit hivyooo

  • @yahyagonga
    @yahyagonga 2 года назад +1

    Mwenyewe kasema hakulewa!

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад +1

    Wazir Hana uwezo alipiewa uwazir kwa kua ni msukuma

  • @godfreykinyamagoha8707
    @godfreykinyamagoha8707 8 лет назад +2

    hatareeeeeeee sana team anti viroba

  • @HamisMberwa
    @HamisMberwa 7 месяцев назад

    Hapa Mwamba walimuonea😢😢😢

  • @halimambwego8287
    @halimambwego8287 8 лет назад +1

    Hapo elfu nne mia mbili... Sauti yake yaelekea kidogo ila angempa worning... Au shart hili wanalo kwenye mkataba wao mmh hapo sijaujua

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 8 лет назад +2

    Dah eeh Mungu eeh

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 2 года назад +1

    Baadaye nimegundua hakulewa bali nasikia aliwahi kupata strock.

  • @jacksonlema9536
    @jacksonlema9536 8 лет назад +4

    Hakukuwa na sababu ya ulazima ya kumvua uwaziri huyu kiongozi. Hekima na busara lazima itumike sana kabla ya kufanya maamuzi. No one is perfect.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 года назад +1

    Huyu jamaa nimebain hii ndio stail yake ya usemaj

  • @feezdidthis2220
    @feezdidthis2220 8 лет назад +5

    me sioni ulevi hapo , wamemuonea bure

  • @johnngimba3857
    @johnngimba3857 8 лет назад +1

    Imekuwa shida sana

  • @piusbarber4970
    @piusbarber4970 8 лет назад +1

    Viroba hivyo vina vunja nguvu viungo daaa 😀😀😀😀😙😙😙😙

  • @aliissa6632
    @aliissa6632 5 лет назад +3

    Huyu alikua ndie waziri sio waitara kuongea hajui

  • @fabiantanzania5795
    @fabiantanzania5795 8 лет назад +2

    mbona kajibu vizuri jamani .tena kajibu taratibu hadi raha

  • @evanskowero3869
    @evanskowero3869 8 лет назад +1

    jamani lugha 2 yenyewe inaonyesha katupia vitu sasa wanaosema hawana masikio?

  • @williammalima7905
    @williammalima7905 8 лет назад +1

    Mhe. Waziri kashughulikiwa. Katika hili hakukuwa na haja ya onyo. Ni aibu kwa Kiongozi wa ngazi ya juu kama yeye kuwa mdhaifu kimaadili kiasi hicho.

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 8 лет назад +3

    chunguzeni vizuri kwanini magufuli kamtimua huyu jamaa, labda walikua na yao ya zamani kwa sasa vile magufuli amekua boss Basi amuonyesha misuli yake !

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi8570 8 лет назад +1

    duuuu ..aibu sana

  • @salomekapinga4046
    @salomekapinga4046 8 лет назад

    kaaaa. ..!!! urafiki urafiki analeta urafiki kazini..hata kusema Jamani anajikanyaga tuu ptuuuh...!!!

  • @graciousjerry1322
    @graciousjerry1322 8 лет назад +4

    Mbona asa me cjaona alipolewa bagwituuuu! au kusema rafik yangu?
    kweli safar hiii mtanyooooka

    • @fabiantanzania5795
      @fabiantanzania5795 8 лет назад +2

      +Scarlet Pimpernel sijaona alipo lewa

    • @mariammobeto5512
      @mariammobeto5512 4 года назад

      @@fabiantanzania5795 amelewa muanglie na msikilize vzr 2 utamuelewa sauty yake

  • @mathiusabraham3127
    @mathiusabraham3127 8 лет назад +2

    Waziri kazingua, we have a long way to go

  • @hawahamisi6237
    @hawahamisi6237 8 лет назад +2

    😂😂😂😂 amekunywa dadii mix mbege jamani mzeee🏃

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 2 года назад +4

    Pamoja na pombe ,hawa jamaa walikuwa na akili sana

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 Год назад

    Mbona aliongeaga vizuri tu?wapi.kakosea nilitaka Waziri aongee harakaharaka anawahi wapi

  • @binsaid4868
    @binsaid4868 8 лет назад +1

    Ni shidaaaaa

  • @raphaeldayos5662
    @raphaeldayos5662 4 года назад +2

    Hahahahah hi kalii

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 4 года назад

    Nyie hamjui kuwa ulikuwa mchezo tu ili kumkwepeshs na Ligumi

  • @eliasnavytanga
    @eliasnavytanga 4 года назад +1

    Huyu Waziri au conductor wa bus? Hana jibu wala ushauri. Vipi mtu kama huyu atachaguliwa kuwa waziri?

  • @lucykimambo1616
    @lucykimambo1616 8 лет назад +1

    daa,yan hawa wabunge wa safari hii,pasua kichwa

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 8 лет назад +2

    Haaaa hiseee Kitwanga kweli umwetwangwa

  • @abduladhimually3542
    @abduladhimually3542 8 лет назад +1

    Hon.president just try even to give the chance to youth jeneration as makonda&Hapi Ali

  • @kingbrown523
    @kingbrown523 8 лет назад +1

    eeh mungu

  • @danielmarco5222
    @danielmarco5222 3 месяца назад

    Mwishoni ndo nimeelewa jmaaa alikuwa maji

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 8 лет назад +1

    Pombe sio chai jamani

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 8 лет назад +1

    kalewa mpaka vidole vya mikono vinatetemeka

  • @jonathanwilliam5447
    @jonathanwilliam5447 8 лет назад +2

    wengine wajifunze

  • @barkasalim8216
    @barkasalim8216 8 лет назад +2

    Mi siona kama kama kalewa

  • @isaiahnanyaro2055
    @isaiahnanyaro2055 8 лет назад +1

    tz tunaitaji huwajibikaji

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 6 лет назад +2

    Magufuri tatizo lake huwa anakurupuka tu!kutaka.sifa mchwara. Hiyo ndiyo Ongea yake. Msikilize ktk crip ya kuomba ubunge tena akiwa na Magufuli pembeni. ALIMUONEA TU.BABA WA MAPOZI.

  • @didaskimaro
    @didaskimaro 8 лет назад +4

    pombe atar kajikaza kiumee

  • @jumaamani494
    @jumaamani494 8 лет назад +1

    Amekunywa Mbege

  • @آبےوفےيےصےلآلشےآجےريے

    ايش يقول

  • @chodahpro
    @chodahpro 8 лет назад +1

    ningekuwa Mimi ndiye yeye ningempa madaraka...naibu waziri siku hiyo nisingeingia bungeni kabisa...dah ila siku ya kufa nyani miti yote uteleza

  • @aidanswai9900
    @aidanswai9900 8 лет назад +1

    Asamehewe coz kajikaza sana

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 8 лет назад +1

    dahhh!! jamaa kweli yuko tungi dadeki ila kajitahidi 😆😆😆 mwaka huu bakora tu mpaka munyooke

  • @godlovethomas5111
    @godlovethomas5111 6 лет назад +1

    Mbona ilikuwa poa tu

  • @hajiupete1702
    @hajiupete1702 8 лет назад +1

    ha ha haaaaaa tungo sio aiseee

  • @georgethomas2627
    @georgethomas2627 8 лет назад +1

    ni yupi atakayekuwa ni msafi???

  • @mckaayamenyamueventsmanagm6815
    @mckaayamenyamueventsmanagm6815 8 лет назад

    Naon serikali hawakutaka kujaja isue ya Lugumi direct wakaona wajifiche kwenyebLugumi

  • @rhodenmlimbila3910
    @rhodenmlimbila3910 8 лет назад +1

    MUNGU ATUSAIDIE SANA WA TANZANIA HII NI AIBU.

  • @sosthenesngumbu4775
    @sosthenesngumbu4775 8 лет назад +1

    hajaharibu nyodo tuu

  • @godfreymapunda8337
    @godfreymapunda8337 8 лет назад

    Dah! Kwel n jiiiiipu

  • @makangangereza3517
    @makangangereza3517 8 лет назад +1

    nadhani ni pozi tuu

  • @meshackmbeyu7802
    @meshackmbeyu7802 8 лет назад +1

    wabunge viraza kila hoja wao ndio

  • @mckaayamenyamueventsmanagm6815
    @mckaayamenyamueventsmanagm6815 8 лет назад +1

    pombe si chai

  • @thomaspatrick4095
    @thomaspatrick4095 8 лет назад +1

    ndio viogozi Wetu Mungu atusaidie tu

  • @INNOCENTNANGAY
    @INNOCENTNANGAY 7 месяцев назад

    Si katoa lock tuu

  • @stanleyomary4009
    @stanleyomary4009 8 лет назад +1

    Duuuuh hataree

  • @hajiupete1702
    @hajiupete1702 8 лет назад +1

    yuko tungi kabsaaaaaa !!

  • @almasijumanne565
    @almasijumanne565 8 лет назад +1

    😂😂😂😂dar kwerrr aiseee ila kajikazaaaaa

  • @mahafudhmaulid7481
    @mahafudhmaulid7481 8 лет назад +1

    hakuna jambo la ubora kwenye mambo kma haya

  • @enockfumbuka28
    @enockfumbuka28 8 лет назад +3

    HII NI DHARAU KUBWA SANA DHIDI YA BUNGE !

  • @slyboy1990
    @slyboy1990 8 лет назад +1

    mzee wa mchupa

  • @josiahpaul4996
    @josiahpaul4996 8 лет назад

    noma

  • @innocentiweni2044
    @innocentiweni2044 8 лет назад

    Kiukweli mimi cjawahi kumsikia akiongea huyo waziri, ila hapo inaonyesha hakuna la maana, ni kweli ana kila dalili za pombe hapo halipo.

    • @joelmusokwa9724
      @joelmusokwa9724 8 лет назад

      nilimpenda sana waziri kitwanga kuliko mawaziri wote hasa juu ya kauli zako khs kudili na madawa ya kulevya ila pombe ni shetani mbaya sana

  • @ChettaFlyee
    @ChettaFlyee 8 лет назад

    Nimependa pale binge letu TUKFUU haha sio TUKUFU

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi8570 8 лет назад +1

    raid amsameh tu

  • @hemedichaurembo2618
    @hemedichaurembo2618 8 лет назад

    Dooh

  • @hamzaadrin8304
    @hamzaadrin8304 8 лет назад

    Sasa Si Bora Ya Huyu Kuliko Yule Aliyesema Sanamu Libomolewe

    • @aminawangu
      @aminawangu 8 лет назад

      +Hamza Adrin yaani

    • @hamzaadrin8304
      @hamzaadrin8304 8 лет назад

      Hii haina ubishi Yule Aliyesema Eti bora sanamu la mashujaa libomolewe Awekwe Diamond Alinishangaza sana AMINA AHMED​

    • @hamzaadrin8304
      @hamzaadrin8304 8 лет назад

      Kweli kabisa Scarlet Pimpernel​ sasa na yule cijajuwa Ana ngoja nini bungeni wakimchunguza watakuta na yeye alilewa

  • @graciousjerry1322
    @graciousjerry1322 8 лет назад

    +Scarlet haswaaaa

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 8 лет назад +1

    Babu hatak discation

  • @sirnyoniinspirationstv5327
    @sirnyoniinspirationstv5327 8 лет назад

    China shanyongwa

  • @stivbarnaba1555
    @stivbarnaba1555 8 лет назад +1

    duuh!!!! hahahaa magu msamehee jamaa cyo mzoefu wa tungi kabixa....

  • @granddark5926
    @granddark5926 8 лет назад

    تكونا اح اح اح

  • @kimkayndo
    @kimkayndo 8 лет назад +1

    hahah

  • @martinegeofrey3666
    @martinegeofrey3666 8 лет назад

    Viroba take away

  • @mczundaoriginal2491
    @mczundaoriginal2491 8 лет назад

    mmmmmmmmmmmmmmmmmmm