MAGUFULI ALIPOKATAA KUIPOKEA BARABARA YA KILWA (KM 5.1)
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- UJENZI wa Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam ambayo Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli alikataa kuipokea mwaka 2011, baada ya kujengwa chini ya kiwango. Ujenzi wa kipande hicho cha kilomita 5.1 kutoka Mtongani hadi Mbagala Rangi Tatu, ulikamilika mwaka 2012.
Mafundi wa Kampuni ya Kajima ndio waliokuwa wakijenga kipande hicho cha barabara .
Magufuli alikataa kuipokea barabara hiyo kutoka katika Serikali ya Japan, iliyotoa msaada wa fedha na ujenzi kufanywa na Kampuni ya Kajima, baada ya kujiridhisha kuwa ilijengwa chini ya kiwango.
Magufuli alimweleza Balozi wa Japan nchini, Masaki Okada kwamba asingeipokea barabara iliyo chini ya kiwango hata kama imetolewa kama msaada kwa Tanzania.
Baada ya msimamo huo wa Serikali, Japan ilifanya uchunguzi na kubaini kuwa kampuni hiyo ilijenga barabara hiyo chini ya kiwango.
Kutokana na hali hiyo, Balozi Okada aliahidi kurudia ujenzi wa kilometa 5.1 kipande ambacho waligundua kuwa kampuni hiyo ilijenga chini ya kiwango.
Baada ya kauli hiyo ya Balozi, Dk Magufuli alimtaka mkandarasi huyo kuondoa tabaka la lami na kuweka tabaka jingine gumu lenye sentimita saba jambo ambalo limetekelezwa baada ya marudio.Ujenzi wa Barabara ya Kilwa yenye urefu wa kilomita 13.5 kutoka bandarini hadi Mbagala Rangitatu ulizinduliwa kwa kuwekwa jiwe la msingi na Rais Jakaya Kikwete mwaka 2007.
Tangu zamani huyu jamaa alikuwa anaweza kufanya kazi vizuri
Huyu mtu alikua na uchungu na hii nchi tangu cku nyingi sana,Rest in peace Rais wangu wa muda wote!😭😭😭😭
Kabisa unaweza kazi mzee Magufuli
Mungu akuzidishie,Magufuli, Kuna mijitu inacomente pumba nyerere aliondoka na wewe utaondoka,na mimipi pamoja na wazee wako.
Mie naona tumempata mwenye maamuz ya msimamo kama baba wa Taifa
What a man😭
Chuma#Magu kimetutoka kazi umeifanya alama umeiacha tangulia kwa amani
😭😭😭😭
hapo mezakuu hata hawapigi mskofi ..wamekaa kama ma master ... jpm ni definition ya mwanaume.
Dah jamaa alkuwa si wakawaida kilometa zmejaa kichwani
safi sana
Huyu ndiye Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli tumsaidie huyu ndiye Rais wetu.
Pumzika baba
safiiii
he is very conservative love it
He is supper.
Wezi macontracta wapatikana. Waziri pia angetiwa mbaroni kutaka kumchezea Shera Raisi.
Upo sahihi tangu zamani kumbe we mzee kuwa rais hatujakosea kukuchagua
huyu ndie anetufaa ila tumuombe mungu asije shikwa pua
Aloyce Garani hongera jembe retu hapa kazi tu
Nadhani show umeiona.
mugu akubariki
Mungu amlaze mahali pema peponi
Namuombea hekima na busara zake ziendelee kuwa imara
nzur sana
Emmanuel Malando
Alikua na uwezo wa kuhutubia bila kuandaa hutuba
The great leader who knows what to do and in truly unique e cecrifise his life😢😢
asilimia kadhaa????
Jembe hiloooo
RIP mwamba utakumbukwa daima
ulikubalika toka zaman
tupo pa 1
Mchina uso wa bundi
wew ndio rais
Dah R.I.P
R.I.p comrade JpM
Rest in Peace my President
R l P
😂Huyu mzee utata aliaza zaman san