Uzee tena Zanzibar inapata Uhuru hela yake sh 1 za na laundi 8 ya uingereza kitu cha umoja wa mataifa walitulipia Tanzania bara banki kuu walichangia asilimia zaidi ya 8 gawiwo lake inatakiwa apewe asilimia 8 ajalipwa miaka kibao sisi tunadaiwa na Zanzibar hela hatuwezi kuilipa
Asalam alykum Mzee slaa acha ujinga ww Ss wazanzibar mumetudhulumu kwa miaka mingi sana kuanzia tangia raisi wenu kambarage nyerere up to raisi wenu magufuli Leo Allah sw ametuletea mama etu mama samia juu ya haki zetu za Zanzibar inawaumiza Sasa sisi wazanzibar tumeshasema kuwa huu muungano hatufaii mukawa kimya bcoz nyinyi tanganyika mume vaa koti la muungano Sasa vunjeni muungano or wekeni mfumo wa kila nchi iwe na mamlaka yake ,iwe na mkuu wake wa nchii Tanganyika iwe na mkuu wake wa nchi na Zanzibar iwe na mkuu wake wa nchi Acheni maneno muacheni mama afanye kazi
Zanzibar ipo tokea kabla ya muungao na iyo Zanzibar ndo inayojuulikana zaidi duniani kuliko iyo Tanganyika yenu na ingekua Zanzibar Wana passport zao iyo Tanganyika yenu ndo ingezidi kufa mana hakuna mtu angeijua
Ukweli unauma. Baba Dr. Slaa nchi hii mambo magumu! Hawa wanaosifia kila kukicha. Shida kubwa na waTanzania elimu hizi za siasa hatuna. Hawa CCM ni mchwa !!
Wewe ni fitina hakuna kiongozi fitina kama huyu babu ni fitina na samia bado miaka 10 sio 5 mitano alipewa na katiba cc tutaanza 25 na 30 usijitoe akili leo sptali kujengwa unanuna dhaifu mkubwa
Baba unapokata tamaa na kusema ungetamani kufa, maana yake unataka sisi watoto wako au wafuasi wako tufe pia kwavile wewe ndio dira yetu, mfano mwingine ni kama vile waisraeli walivyotaka kubaki utumwani kwenye mateso Misri badala ya kwenda nchi ya ahadi, na Moses akawakemea.
Kama wanajeshi hawajalipwa alafu hawsemi kwa nini tuwasemee? Kama hawasemi basi wanafurahia hiyo hali. Dr Slaa asante kwa kutujulisha kinacho fanyika katika Tanganyika watu wenye akili wapate kuelewa ni wazalendo wasiyo wachawa CCM wote ni wachawa wakubwa. Professor Mkumbo alipokuwa tumbo halina kitu alikuwa na chama cha upinzani. Lakini baada ya kupata mshiko wa kujaza tumbo lake ni mbaya kuliko CCM original.
Asante mzee Slaa watz tuliharibiwa toka mwanzo kabisa, siku zote mimi namlaumu mwalimu alitukosea sana kutufundishwa kiswahili peke yake hili limekuwa tatizo kubwa sana la uelewa wa mambo kwa upana wake, tutazunguka na kuwalaumu watanzania lakini tatizo letu liko hapo hapo tu, yaani kuongoza watz ni rahisi mno maana ni kuswaga tu!😭😭😭🇹🇿🇹🇿
Ww mzee mbinafsi sana na nyinyi ndio munao iekea mmguu Zanzibar tangu zaman tunawajua saiv unaumia hutaki kuona maendeleo yoyot ktk nnchi ya Zanzibar duh apao ulipo utubu ufanye ibda t utakufa ulimi nnje kwa ubinasi wabaya wenzio wot washtangulia
Ww mze mnafiki hakiamungu hayo unayosema ww yot wazanzibar washayasema kabla ya rais samia ikafika hadi masheh kufungwa ila uliufyta kimya kisa raisi anaetawala sio mzazibar ila saiv unaongea uo unafiki wako ww na ubaguzi t
Wewe mzee huaminiki una tabia ya uzushi uliwasingizia chadema kuna kundi la utekaji na utesaji na una ushahidi, kisa ulihadaika na madaraka mafupi ya ubalozi....
Kila raisi hakosi Wat wanafiki km hawa Ww muache mama apige kazi mbona hukusema kipind chamagu kikwete wakat wenzako wanamsema hao ila kwa chuki zako t kwa huyu mama saiv ndo unaporoja t roho mbaya io yko kisia mzanzibar
Edson hujui kuwa hayo ni matumizi mabaya ya pesa kusafiri na lundo la watu tele huku watu wabapata tabu kwa Bima za Afya hasa kwa Mama Wajawazito na Watoto hawatibiwi bure
asante sana baba Dr silaa je nauliza madeni ya Zanzibar yatalipwa na. Tanganyika itakua ni kinyume Cha Sheria atutapenda kulipia Zanzibar madeni yake je nauliza nikwanini basi sisi watanganyika tutawaliwe kwa njia iyo tunataka Zanzibar wapewe ulinzi tuuu
Watanganyika bado hatujapata uhuru mpaka kesho hiyo 61 ilipata uhuru Tanu pekeake na leo inaitwa CCM na kwa kuwa Nyerere alifanya maamuzi ya Vyama vingi kimakosa basi ndio kinachotutafuna mpaka kesho,laiti kama Nyerere angekubali kura za chama kimoja huenda hii nchi leo ingekuwa mbali kimaendeleo kuliko Taifa lo lote hapa Africa,7bu kila mwanasiasa angepanga foleni ktk chama kimoja na wangekuwa juu zaidi kwakuwa akina Lissu wangeshakuwa Maraisi na Mbowe unadhani tugekuwa hapa tulipo
Mama,Dr,Mh Samia tuletee pesa ndugu zako Watanganyika wache waumie kuumia kwa zamu 😂😂😂😂😂😂😂
Mkome kwani mliambiwa mvae koti
Mimi ni Mzanzibari na Samia kura yangu anayo 2025 inshaallah
Uzee tena Zanzibar inapata Uhuru hela yake sh 1 za na laundi 8 ya uingereza kitu cha umoja wa mataifa walitulipia Tanzania bara banki kuu walichangia asilimia zaidi ya 8 gawiwo lake inatakiwa apewe asilimia 8 ajalipwa miaka kibao sisi tunadaiwa na Zanzibar hela hatuwezi kuilipa
Huyu mnafiki alikuwa aseme haya wakati alipopewa Ubalozi...Na ni uongo Mkopo hakusaini Mh.Sada,alisaini Dr.Natu Mwamba.
Asalam alykum
Mzee slaa acha ujinga ww
Ss wazanzibar mumetudhulumu kwa miaka mingi sana kuanzia tangia raisi wenu kambarage nyerere up to raisi wenu magufuli
Leo Allah sw ametuletea mama etu mama samia juu ya haki zetu za Zanzibar inawaumiza
Sasa sisi wazanzibar tumeshasema kuwa huu muungano hatufaii mukawa kimya bcoz nyinyi tanganyika mume vaa koti la muungano
Sasa vunjeni muungano or wekeni mfumo wa kila nchi iwe na mamlaka yake ,iwe na mkuu wake wa nchii
Tanganyika iwe na mkuu wake wa nchi na Zanzibar iwe na mkuu wake wa nchi
Acheni maneno muacheni mama afanye kazi
Sasa kwanini isikope ndio ujuwe haina haja ya muungano ss zanzibar
Mlikuwa wapi siku zote?
Dah! Kumbe ndo hivyo MAMLAKA KAMILI muhimu jamani tuwafamu wenzetu ACT
Uzalendo utakuwepo wapi ?wkt muna taifa la kukodi toeni tanganyika yenu nyie wazembe wa Kitanganyika😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
BRAVO KOMREDI SILAA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....WATANZANIA TUNAKUELEWA NA TUKO NYUMA YAKO.
User kama hueleweki
Kama Nini kata muungano
Muungano wetu bado kuna mambo mengi hayajakaa sawa
Watayalipa wazanzibar wenyewe,,,
Watanganyika wengi kwa sababu ya matumbo yao na njaa zao hawaoni shida yo yote.
Watanganyika amkeni muvunje Muungano hata Sisi Wazanzibari tumewachoka ila hawa ma CCM yanatuganda Wazanzibari
Nje ya Muungano hakuna nchi inayoitwa Zanzibar.
@@venancemwanya4212nazani. Akiliyako imeungana namshipa wamavi
Zanzibar ipo tokea kabla ya muungao na iyo Zanzibar ndo inayojuulikana zaidi duniani kuliko iyo Tanganyika yenu na ingekua Zanzibar Wana passport zao iyo Tanganyika yenu ndo ingezidi kufa mana hakuna mtu angeijua
Ukweli unauma.
Baba Dr. Slaa nchi hii mambo magumu! Hawa wanaosifia kila kukicha.
Shida kubwa na waTanzania elimu hizi za siasa hatuna.
Hawa CCM ni mchwa !!
Yetu macho na kusikiliza Hotuba Maoni ya watanzania na vyana vyote Tunachoomba Amani tu Tanzania
Wewe ni fitina hakuna kiongozi fitina kama huyu babu ni fitina na samia bado miaka 10 sio 5 mitano alipewa na katiba cc tutaanza 25 na 30 usijitoe akili leo sptali kujengwa unanuna dhaifu mkubwa
Duuu hatari
Huyu mzee namkubali sana
Wanao bishi professor semeni nyie mnachokijua
Kwa Mujibu wa Katiba ya Muungano,Zanzibar haina mamlaka ya Kukopa ,wewe Boya Slaa ulitaka Zanzibar ikakope wapi na haina uwezo huo?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂TANGANYIKA OYEEEEEEEEE DADEKI MPK MUSEME DADEKI
WATANGANYIKA WALIO CCM NA WALIO VYAMA VYENGINE, NYOTE MTALIPA MADENI NA MIKOPO WANAYOKOPA WAZANZIBARI KWA DHAMBI MLIYOWAFANYIA!
Baba unapokata tamaa na kusema ungetamani kufa, maana yake unataka sisi watoto wako au wafuasi wako tufe pia kwavile wewe ndio dira yetu, mfano mwingine ni kama vile waisraeli walivyotaka kubaki utumwani kwenye mateso Misri badala ya kwenda nchi ya ahadi, na Moses akawakemea.
Hi
Nyinyi watanganyika sasa mnajuwa kuhusu muungano.miaka 60.mnatuibia wazanzibar sasa mutulie kama moja kutesa kwa zamu.wajinga nyinyi
Mpuuzi wewe zazibary isikope nyee mkope wewe babu huna akili mmeidhulumu zazazibr kwa miaka 60 nyie mjenge barabara sisi tusijenge
Asante mzee wangu Niko upande wako inatia saaana UCHUNGU 😂😂
Ulipopewa ubalozi ulikaa kimnya sasa hivi huupati tena ubalozo
Kipindi kile madudu haya hawakuwepo.
Kama wanajeshi hawajalipwa alafu hawsemi kwa nini tuwasemee? Kama hawasemi basi wanafurahia hiyo hali. Dr Slaa asante kwa kutujulisha kinacho fanyika katika Tanganyika watu wenye akili wapate kuelewa ni wazalendo wasiyo wachawa CCM wote ni wachawa wakubwa. Professor Mkumbo alipokuwa tumbo halina kitu alikuwa na chama cha upinzani. Lakini baada ya kupata mshiko wa kujaza tumbo lake ni mbaya kuliko CCM original.
Wachawa CCM wanapiga makofi kwa kila neno linalo toka mudomoni mwake huyo mama yao
Vunjeni muungano kwanza ila tuache zanzibar ijitawala
jitawaleni ns mtoke wote huku kwetu .
Acheni udhaifu acheni uroho acheni wivu acheni udini roho zenu mbaya sana samia bodo anamiaka 10
Pole sana kwa kweli inauma sana yote unayosema ni kweli
Asante mzee Slaa watz tuliharibiwa toka mwanzo kabisa, siku zote mimi namlaumu mwalimu alitukosea sana kutufundishwa kiswahili peke yake hili limekuwa tatizo kubwa sana la uelewa wa mambo kwa upana wake, tutazunguka na kuwalaumu watanzania lakini tatizo letu liko hapo hapo tu, yaani kuongoza watz ni rahisi mno maana ni kuswaga tu!😭😭😭🇹🇿🇹🇿
Atasaiz hujacherewa kuongea kingereza
Unayecoment kwakutoamaneno yauchochezi achamaramoja amri.
KATIBA MPYA NI LEO
Mama yako aliopo kijijini ndio atalipa
Ww mzee mbinafsi sana na nyinyi ndio munao iekea mmguu Zanzibar tangu zaman tunawajua saiv unaumia hutaki kuona maendeleo yoyot ktk nnchi ya Zanzibar duh apao ulipo utubu ufanye ibda t utakufa ulimi nnje kwa ubinasi wabaya wenzio wot washtangulia
Tutalipa Watanzania sote, kama vile Tanganyika mukikopa tunalipa tanzania sote
Wacha kelele wewe mzee basi muungano uvunjike ili na sisi wazanzibar tutambulike kimataifa na kuweza kukopa wenyewe kila mtu afe na chake
Ww mze mnafiki hakiamungu hayo unayosema ww yot wazanzibar washayasema kabla ya rais samia ikafika hadi masheh kufungwa ila uliufyta kimya kisa raisi anaetawala sio mzazibar ila saiv unaongea uo unafiki wako ww na ubaguzi t
Bado hamjasema
Hawa watanzania wanaoiunga ccm mkono nilini watafunguka akili zao
Kama vile tumefiwa.
Ume ongea kwa uchungu mkuu hadi mimi nime bubujikwa na machozi😂😂
Wewe mzee huaminiki una tabia ya uzushi uliwasingizia chadema kuna kundi la utekaji na utesaji na una ushahidi, kisa ulihadaika na madaraka mafupi ya ubalozi....
Jana husein mwinyi ameongezea watumishi wake hadi transport allowance vipi rais wetu samiah?
Bado inataka kujengwa Barbara ya dar to zanz sijui Kuna faida gani au usafiri wa kwenda zanz kununua mihogo ni kuijazia madeni nchi
Watalipa wabara tu Dada yetu kopa tu nyie mmestuka sasa hivi kuna mikopo mingi tu kila Safari Ya samia si munamuona Saada yupo tulieni kabisa
Kila raisi hakosi Wat wanafiki km hawa Ww muache mama apige kazi mbona hukusema kipind chamagu kikwete wakat wenzako wanamsema hao ila kwa chuki zako t kwa huyu mama saiv ndo unaporoja t roho mbaya io yko kisia mzanzibar
kazi gani anapiga kuzurura ndiyo kazi.pole
Dr Slaa. Wewe ni muongo angekuwa hana hela angeweza kwenda Korea pamoja na wote alioondoka nao mpaka wasanii
Kwani huwezi kwenda na wasanii kwa mkopo tulia wewe huekewi kinacho endelea
Edson hujui kuwa hayo ni matumizi mabaya ya pesa kusafiri na lundo la watu tele huku watu wabapata tabu kwa Bima za Afya hasa kwa Mama Wajawazito na Watoto hawatibiwi bure
asante sana baba Dr silaa je nauliza madeni ya Zanzibar yatalipwa na. Tanganyika itakua ni kinyume Cha Sheria atutapenda kulipia Zanzibar madeni yake je nauliza nikwanini basi sisi watanganyika tutawaliwe kwa njia iyo tunataka Zanzibar wapewe ulinzi tuuu
Mulitumwa muungane hata ccm zanzibar tunahitaji uhuru wetu hatutaki kukopewa hakuna nchi hiyo
Ulitakiwa kujiuliza kwanza kwanini Zanzibar haiwezi kukopa ?
Watanganyika bado hatujapata uhuru mpaka kesho hiyo 61 ilipata uhuru Tanu pekeake na leo inaitwa CCM na kwa kuwa Nyerere alifanya maamuzi ya Vyama vingi kimakosa basi ndio kinachotutafuna mpaka kesho,laiti kama Nyerere angekubali kura za chama kimoja huenda hii nchi leo ingekuwa mbali kimaendeleo kuliko Taifa lo lote hapa Africa,7bu kila mwanasiasa angepanga foleni ktk chama kimoja na wangekuwa juu zaidi kwakuwa akina Lissu wangeshakuwa Maraisi na Mbowe unadhani tugekuwa hapa tulipo
Uongo mwengine mkopo ule haukutolewa na EXIM BANK ya China
docta Slaha usomi wako wote hujajuwa kuwa akopae ndie alipae
Watanganyika hawana u hungu na nchi Yao tumewaachia wa hachache kuisemea Tanganyika
Vunjeni muungano ili Zanzibar ikope na kulipa wenyewe.
Hi
Watanganyika wanaumi hahaha atabado samia bado 10 achatuwatawale