DR SLAA ANAHOJI MKOPO ULIOKOPWA NA SERIKALI YA ZANZIBAR.NANI ATAULIPA, ZANZIBAR HAINA HAKI YA KUKOPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 июн 2024

Комментарии • 79

  • @shaabanmakame2690
    @shaabanmakame2690 Месяц назад +5

    Mama,Dr,Mh Samia tuletee pesa ndugu zako Watanganyika wache waumie kuumia kwa zamu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Месяц назад +5

    Mkome kwani mliambiwa mvae koti

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Месяц назад +2

    Mimi ni Mzanzibari na Samia kura yangu anayo 2025 inshaallah

  • @k2plusstudio858
    @k2plusstudio858 Месяц назад +1

    Uzee tena Zanzibar inapata Uhuru hela yake sh 1 za na laundi 8 ya uingereza kitu cha umoja wa mataifa walitulipia Tanzania bara banki kuu walichangia asilimia zaidi ya 8 gawiwo lake inatakiwa apewe asilimia 8 ajalipwa miaka kibao sisi tunadaiwa na Zanzibar hela hatuwezi kuilipa

  • @rashidsaid7823
    @rashidsaid7823 Месяц назад +1

    Huyu mnafiki alikuwa aseme haya wakati alipopewa Ubalozi...Na ni uongo Mkopo hakusaini Mh.Sada,alisaini Dr.Natu Mwamba.

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 Месяц назад +1

    Asalam alykum
    Mzee slaa acha ujinga ww
    Ss wazanzibar mumetudhulumu kwa miaka mingi sana kuanzia tangia raisi wenu kambarage nyerere up to raisi wenu magufuli
    Leo Allah sw ametuletea mama etu mama samia juu ya haki zetu za Zanzibar inawaumiza
    Sasa sisi wazanzibar tumeshasema kuwa huu muungano hatufaii mukawa kimya bcoz nyinyi tanganyika mume vaa koti la muungano
    Sasa vunjeni muungano or wekeni mfumo wa kila nchi iwe na mamlaka yake ,iwe na mkuu wake wa nchii
    Tanganyika iwe na mkuu wake wa nchi na Zanzibar iwe na mkuu wake wa nchi
    Acheni maneno muacheni mama afanye kazi

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 Месяц назад +5

    Sasa kwanini isikope ndio ujuwe haina haja ya muungano ss zanzibar

  • @rashidsaid7823
    @rashidsaid7823 Месяц назад +1

    Mlikuwa wapi siku zote?

  • @user-wz7tm6bp1g
    @user-wz7tm6bp1g 25 дней назад

    Dah! Kumbe ndo hivyo MAMLAKA KAMILI muhimu jamani tuwafamu wenzetu ACT

  • @shaabanmakame2690
    @shaabanmakame2690 Месяц назад +2

    Uzalendo utakuwepo wapi ?wkt muna taifa la kukodi toeni tanganyika yenu nyie wazembe wa Kitanganyika😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Месяц назад +1

    BRAVO KOMREDI SILAA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....WATANZANIA TUNAKUELEWA NA TUKO NYUMA YAKO.

  • @user-ec8zv7lq8y
    @user-ec8zv7lq8y Месяц назад +1

    Muungano wetu bado kuna mambo mengi hayajakaa sawa

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Месяц назад

    Watayalipa wazanzibar wenyewe,,,

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Watanganyika wengi kwa sababu ya matumbo yao na njaa zao hawaoni shida yo yote.

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Месяц назад +1

    Watanganyika amkeni muvunje Muungano hata Sisi Wazanzibari tumewachoka ila hawa ma CCM yanatuganda Wazanzibari

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Месяц назад

      Nje ya Muungano hakuna nchi inayoitwa Zanzibar.

    • @omarhababuu3159
      @omarhababuu3159 Месяц назад

      ​@@venancemwanya4212nazani. Akiliyako imeungana namshipa wamavi

    • @muflih85
      @muflih85 Месяц назад

      Zanzibar ipo tokea kabla ya muungao na iyo Zanzibar ndo inayojuulikana zaidi duniani kuliko iyo Tanganyika yenu na ingekua Zanzibar Wana passport zao iyo Tanganyika yenu ndo ingezidi kufa mana hakuna mtu angeijua

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Месяц назад

    Ukweli unauma.
    Baba Dr. Slaa nchi hii mambo magumu! Hawa wanaosifia kila kukicha.
    Shida kubwa na waTanzania elimu hizi za siasa hatuna.
    Hawa CCM ni mchwa !!

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Месяц назад

      Yetu macho na kusikiliza Hotuba Maoni ya watanzania na vyana vyote Tunachoomba Amani tu Tanzania

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Месяц назад

    Wewe ni fitina hakuna kiongozi fitina kama huyu babu ni fitina na samia bado miaka 10 sio 5 mitano alipewa na katiba cc tutaanza 25 na 30 usijitoe akili leo sptali kujengwa unanuna dhaifu mkubwa

  • @isackcharukula-wy2hn
    @isackcharukula-wy2hn Месяц назад

    Duuu hatari

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 Месяц назад

    Huyu mzee namkubali sana

  • @isackcharukula-wy2hn
    @isackcharukula-wy2hn Месяц назад

    Wanao bishi professor semeni nyie mnachokijua

  • @rashidsaid7823
    @rashidsaid7823 Месяц назад

    Kwa Mujibu wa Katiba ya Muungano,Zanzibar haina mamlaka ya Kukopa ,wewe Boya Slaa ulitaka Zanzibar ikakope wapi na haina uwezo huo?

  • @shaabanmakame2690
    @shaabanmakame2690 Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂TANGANYIKA OYEEEEEEEEE DADEKI MPK MUSEME DADEKI

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Месяц назад

    WATANGANYIKA WALIO CCM NA WALIO VYAMA VYENGINE, NYOTE MTALIPA MADENI NA MIKOPO WANAYOKOPA WAZANZIBARI KWA DHAMBI MLIYOWAFANYIA!

  • @user-qv4jb7mt5q
    @user-qv4jb7mt5q Месяц назад

    Baba unapokata tamaa na kusema ungetamani kufa, maana yake unataka sisi watoto wako au wafuasi wako tufe pia kwavile wewe ndio dira yetu, mfano mwingine ni kama vile waisraeli walivyotaka kubaki utumwani kwenye mateso Misri badala ya kwenda nchi ya ahadi, na Moses akawakemea.

  • @ahmedhemed3983
    @ahmedhemed3983 Месяц назад

    Hi

  • @AbdallaJuma-tx5ck
    @AbdallaJuma-tx5ck Месяц назад

    Nyinyi watanganyika sasa mnajuwa kuhusu muungano.miaka 60.mnatuibia wazanzibar sasa mutulie kama moja kutesa kwa zamu.wajinga nyinyi

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Месяц назад

    Mpuuzi wewe zazibary isikope nyee mkope wewe babu huna akili mmeidhulumu zazazibr kwa miaka 60 nyie mjenge barabara sisi tusijenge

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Месяц назад +1

    Asante mzee wangu Niko upande wako inatia saaana UCHUNGU 😂😂

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Месяц назад

    Ulipopewa ubalozi ulikaa kimnya sasa hivi huupati tena ubalozo

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +2

    Kama wanajeshi hawajalipwa alafu hawsemi kwa nini tuwasemee? Kama hawasemi basi wanafurahia hiyo hali. Dr Slaa asante kwa kutujulisha kinacho fanyika katika Tanganyika watu wenye akili wapate kuelewa ni wazalendo wasiyo wachawa CCM wote ni wachawa wakubwa. Professor Mkumbo alipokuwa tumbo halina kitu alikuwa na chama cha upinzani. Lakini baada ya kupata mshiko wa kujaza tumbo lake ni mbaya kuliko CCM original.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +3

    Wachawa CCM wanapiga makofi kwa kila neno linalo toka mudomoni mwake huyo mama yao

  • @haidarybabuu2075
    @haidarybabuu2075 Месяц назад

    Vunjeni muungano kwanza ila tuache zanzibar ijitawala

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Месяц назад

    Acheni udhaifu acheni uroho acheni wivu acheni udini roho zenu mbaya sana samia bodo anamiaka 10

  • @user-lq8mi3zz2c
    @user-lq8mi3zz2c Месяц назад +1

    Pole sana kwa kweli inauma sana yote unayosema ni kweli

  • @user-vi1ds6gw9g
    @user-vi1ds6gw9g Месяц назад

    Asante mzee Slaa watz tuliharibiwa toka mwanzo kabisa, siku zote mimi namlaumu mwalimu alitukosea sana kutufundishwa kiswahili peke yake hili limekuwa tatizo kubwa sana la uelewa wa mambo kwa upana wake, tutazunguka na kuwalaumu watanzania lakini tatizo letu liko hapo hapo tu, yaani kuongoza watz ni rahisi mno maana ni kuswaga tu!😭😭😭🇹🇿🇹🇿

    • @ZuenaSharifu
      @ZuenaSharifu Месяц назад

      Atasaiz hujacherewa kuongea kingereza

  • @lucasmkui3160
    @lucasmkui3160 Месяц назад

    Unayecoment kwakutoamaneno yauchochezi achamaramoja amri.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Месяц назад +1

    KATIBA MPYA NI LEO

  • @bongo39
    @bongo39 Месяц назад +3

    Mama yako aliopo kijijini ndio atalipa

  • @RukiyaKombo-mm5pr
    @RukiyaKombo-mm5pr Месяц назад +1

    Ww mzee mbinafsi sana na nyinyi ndio munao iekea mmguu Zanzibar tangu zaman tunawajua saiv unaumia hutaki kuona maendeleo yoyot ktk nnchi ya Zanzibar duh apao ulipo utubu ufanye ibda t utakufa ulimi nnje kwa ubinasi wabaya wenzio wot washtangulia

  • @alisalum5845
    @alisalum5845 Месяц назад +1

    Tutalipa Watanzania sote, kama vile Tanganyika mukikopa tunalipa tanzania sote

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Месяц назад +2

    Wacha kelele wewe mzee basi muungano uvunjike ili na sisi wazanzibar tutambulike kimataifa na kuweza kukopa wenyewe kila mtu afe na chake

  • @RukiyaKombo-mm5pr
    @RukiyaKombo-mm5pr Месяц назад +1

    Ww mze mnafiki hakiamungu hayo unayosema ww yot wazanzibar washayasema kabla ya rais samia ikafika hadi masheh kufungwa ila uliufyta kimya kisa raisi anaetawala sio mzazibar ila saiv unaongea uo unafiki wako ww na ubaguzi t

  • @alinassor1201
    @alinassor1201 Месяц назад +1

    Bado hamjasema

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Месяц назад +1

    Hawa watanzania wanaoiunga ccm mkono nilini watafunguka akili zao

  • @user-dd1ci8eu1c
    @user-dd1ci8eu1c Месяц назад

    Ume ongea kwa uchungu mkuu hadi mimi nime bubujikwa na machozi😂😂

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j Месяц назад +1

    Wewe mzee huaminiki una tabia ya uzushi uliwasingizia chadema kuna kundi la utekaji na utesaji na una ushahidi, kisa ulihadaika na madaraka mafupi ya ubalozi....

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Месяц назад

    Jana husein mwinyi ameongezea watumishi wake hadi transport allowance vipi rais wetu samiah?

  • @salimukimwaga-fu8cc
    @salimukimwaga-fu8cc Месяц назад

    Bado inataka kujengwa Barbara ya dar to zanz sijui Kuna faida gani au usafiri wa kwenda zanz kununua mihogo ni kuijazia madeni nchi

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 Месяц назад

    Watalipa wabara tu Dada yetu kopa tu nyie mmestuka sasa hivi kuna mikopo mingi tu kila Safari Ya samia si munamuona Saada yupo tulieni kabisa

  • @RukiyaKombo-mm5pr
    @RukiyaKombo-mm5pr Месяц назад +1

    Kila raisi hakosi Wat wanafiki km hawa Ww muache mama apige kazi mbona hukusema kipind chamagu kikwete wakat wenzako wanamsema hao ila kwa chuki zako t kwa huyu mama saiv ndo unaporoja t roho mbaya io yko kisia mzanzibar

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Месяц назад

    Dr Slaa. Wewe ni muongo angekuwa hana hela angeweza kwenda Korea pamoja na wote alioondoka nao mpaka wasanii

    • @user-dd1ci8eu1c
      @user-dd1ci8eu1c Месяц назад

      Kwani huwezi kwenda na wasanii kwa mkopo tulia wewe huekewi kinacho endelea

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Месяц назад

      Edson hujui kuwa hayo ni matumizi mabaya ya pesa kusafiri na lundo la watu tele huku watu wabapata tabu kwa Bima za Afya hasa kwa Mama Wajawazito na Watoto hawatibiwi bure

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Месяц назад

    asante sana baba Dr silaa je nauliza madeni ya Zanzibar yatalipwa na. Tanganyika itakua ni kinyume Cha Sheria atutapenda kulipia Zanzibar madeni yake je nauliza nikwanini basi sisi watanganyika tutawaliwe kwa njia iyo tunataka Zanzibar wapewe ulinzi tuuu

    • @saidal-hind5338
      @saidal-hind5338 Месяц назад +1

      Mulitumwa muungane hata ccm zanzibar tunahitaji uhuru wetu hatutaki kukopewa hakuna nchi hiyo

    • @rashidsaid7823
      @rashidsaid7823 Месяц назад

      Ulitakiwa kujiuliza kwanza kwanini Zanzibar haiwezi kukopa ?

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Месяц назад

    Watanganyika bado hatujapata uhuru mpaka kesho hiyo 61 ilipata uhuru Tanu pekeake na leo inaitwa CCM na kwa kuwa Nyerere alifanya maamuzi ya Vyama vingi kimakosa basi ndio kinachotutafuna mpaka kesho,laiti kama Nyerere angekubali kura za chama kimoja huenda hii nchi leo ingekuwa mbali kimaendeleo kuliko Taifa lo lote hapa Africa,7bu kila mwanasiasa angepanga foleni ktk chama kimoja na wangekuwa juu zaidi kwakuwa akina Lissu wangeshakuwa Maraisi na Mbowe unadhani tugekuwa hapa tulipo

  • @rashidsaid7823
    @rashidsaid7823 Месяц назад

    Uongo mwengine mkopo ule haukutolewa na EXIM BANK ya China

  • @user-wp3fp9ts2q
    @user-wp3fp9ts2q Месяц назад

    docta Slaha usomi wako wote hujajuwa kuwa akopae ndie alipae

  • @salimukimwaga-fu8cc
    @salimukimwaga-fu8cc Месяц назад

    Watanganyika hawana u hungu na nchi Yao tumewaachia wa hachache kuisemea Tanganyika

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4j Месяц назад +4

    Vunjeni muungano ili Zanzibar ikope na kulipa wenyewe.

  • @ahmedhemed3983
    @ahmedhemed3983 Месяц назад

    Hi

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu Месяц назад +2

    Watanganyika wanaumi hahaha atabado samia bado 10 achatuwatawale