VIONGOZI wa DINI WAIBUKA na SPIKA -KUSIMAMISHWA kwa MPINA na KAULI za WABUNGE - MAKONDA APONGEZWA...
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- VIONGOZI wa DINI WAIBUKA na SPIKA -KUSIMAMISHWA kwa MPINA na KAULI za WABUNGE - MAKONDA APONGEZWA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Ongereni sana mashee wetu kwa kuriona iri ata mimi roo iriniuma sana msema kweri kuchinjiwa baharini sio powa mungu awabariki sana❤❤
Wewe unaongea tu mpina yuko Sawa nyinyi mnafuta sifa
Hii taarifa ni nzuri ila ingependeza kama mungeungana WA dini zote na mkatoka na kauli moja ingekuwa powa sana
Safi sana viongozi wa dini Mungu awabariki,
Tz ndio nchi pekee Ukiwa mkweli na mtetezi wa wanyonge unapigwa vita sana
Hapa hatuna Bunge Ni aibu tupu anayetetea watu wanamwondoa
Asante Sana viongoz wa din
Hongereni sana viongozi wa dini na Mungu awabariki sana
Hongerani Sana mashehe.
Yaani mmenifurahisha sana na tafadhali kazeni kamba mpina ni mbunge namba 1 tutakuwa tayari Kwa lolote Kwa kumuweka nje mpendwa wetu Yuko nyuma yake lakini Kwa kuwa tuna mama ni mpenda hali nadhani Hilo ameliona tunasubiri maamuzi yake na yenye busara
mmmmmh??? eti mama 😂😂😂😂😂 hivi bado kunawatanzania wajinga wasio fahamu kilakitu au kumjua mtu mbaya na mwema basi nchi bado ipo gizan sana kama bado mpo watu msioona huyu mtu anaroho gani ?
Ni wabunge wa chama Cha mapuuzi
Sikikiliza Kwa makini.Sio Kila jambo ni utapeli.Mungu amekupa akili na uwezo wa kufikiri.Angalia point
Mjinga hakiwa mpumbavu ni changamoto ahsante viongozi comment zetu ziwe na mantik
Amani haichungiki bila ya haki. Nchi nyingi za kiafrika zinakosa amani kwaajiri ya dhuluma ya wengi. Wabunge wa Tanzania badała ya kutetea haki ya waliowachaguwa wanatetea interests za wachache wanao wadhulumu wengi. Usiposema ndiyo bungeni unakuwa Aduwi na wanakushutumu kuwa adui wa chama na serikali. Demokrasia gani hii? Mbunge ana haki ya kutetea wananchi na sio kuiunga mkono serikali na sifa nyingi kwa Rais bila ya kuwajali wananchi. Tanzania ni masikini kwa wizi na ufisadi wa watu wachache kujilimbikizia mali za watanzania. Hawakamatwi, wala kusemwa. Ukiwasema bungeni yanakupata yaliyompata Mpina.
Mpina ana ujasiri sana, anajua wajibu wake kama mbunge. Siyo hao wanaolinda wezi
Safi saana mmeongea ya maana
Shekhee tunakupenda kwakusimamia ukwer tunakupenda sn tupo nyuma Yako tunakulinda sn nyinyi niwatetezi wawnyonge sn sn sn ilove mashekh Kwa pamoja
*UkweLi
Haki huinua taifa
ongereni sana mmenigusa sana
Shukrani sana viongozi
Mpina hongera
Spika jaribu kuona hayo yaliyoanza kufanyika. Hao ni wachache mama yangu tafuta Sheria zingine arudi mpina inaonekana ni mhemko wa watu kutafuta heshima kwako. Mrudishe mpina
Vijana mashekh mmeongea vzr msichoke kuelimisha
Asante sana viongozi
Asanteni sana shekh kwa ukweli huu. Askofu wetu Malasusa hutosikia akiongea ukweli wa kuikosoa serikali kwa maovu yake ...kazi yake ni kujipendekeza kwa mama ili aitwe ikulu kula kuku ....!! Nasikitika sana kwa viongizi wa KKKT hasa baadhi ya maaskofu wababaishaji wakiongozwa na Malasusa
Safi sana ndugu zetu
Kabisa
Mungu awabariki sana
Upo sahihi sana
Asante kwa mtazamo wenye busara
Safi sana mashehe
Masheikh 😊😊 mnaswali msikiti gani mbona hatujawahi kuwaona?
Uwa one wapi mbona unaleta ushabiki kwenye Mambo ya msingi acha basi..
Pamoja
dah, Yani mungu mkubwa Kama kweri ma shehe mmeliona hili, hakika mungu analipenda hili taifa, safi Sana ndungu zangu mungu awalinde.
Eti matapeli pale wanatapeli nini!!!?
Dini ni dini , siasa ni siasa. Hacha moja.
Safi sana sasa msukuma yeye aendelee kuwakinda mawaziri cz ndio walimteua awawakilishe
Tupo pamoja viva
Exactly.
Mpina Yuko kwajili yakutetea wananch wake wabunge wengine wote niwatetezi waserekali yule msukuma anazarau sana wakat mpina kamzd elimu
Mpina ni katika wabunge WASIO NA AKILI
MPIMA SAMAKI KWA RULA. Kipindi cha uwaziri wake tulipata tabu Sana kwa maamuzi yake ya kijuha. Hizi kelele zotee wivu wa kunyimwa uwaziri
@@nashirkamugisha9425
Mbona umejibu hivyo umemsikia sheikh alivyosema? Mbunge anamwambia mbunge mwezake hana akili
Na ndiyo yale yale unayosema wewe ebu sikiliza tena hiyo clip
Tujifunze kuwa wastaarabu na hekima itawale
@@nashirkamugisha9425Hivi bidhaa gani huuzwa bila vipimo? Wewe ukienda sokoni mbona humlaumu muuza butcher kwa kupima nyama kwenye mzani (kwa kilo)? Au kîtambaa cha nguo kwa mita? Au umeme na maji kwa "unit"! Chuki, hiana, fitina, husuda na gubu vinakumeng'enya! Sasa kati yako na Mh. Mpina nani juha au zezeta?
Funga mdomo.@@nashirkamugisha9425
Shehe, viongozi zetu was dini Mungu awajalie kwakutusaidia Kwa hili mhe. Mpina ananyanyaswa sana na anadharirishwa sana Lkn Supika wa bunge anaona Şafi tu inatisha sana kumbe msema kweli hapendwi? Tanzania liliisha kuwa shamba la bibi? Wananchi tunaumia sana ila hatuna jinsi, Mungu atatutetea tu.
Pita Bila kupigwa mtajuta
Ni mbunge Musukuma na Tabasamu na Gwajima mpaka Mh Mpina akauliza unanisimanga au unachangia?kamuuliza mbunge Musukuma
Bora sheikh umeliona hili na kuamua kulisema Mungu akubariki na akulinde daima🙏🏼🙏🏼🙏🏼
ninyi niviongozi kutoka taasisi gan?? na uko arusha sehemu gan?hujajitambulisha vizur
Nawapongeza Sana viongoz wa dini Kwa kupaza sauti
Nimewapenda sana,hatuna bunge tuna bunge la vioja,spika anawalinda wasema ovyo akina msukuma,kibajaji lusinde hawaombewi mwongozo.wanalindana hao kwani Naibu spika Zungu alipomwambia Esta Bulaya atapotezwa alikuwa amelikosea nini.Endeleeni kukumea kwa uwazi na ukweli.
Mashee nawapenda siyo wanafiki penye ukweli wanasimamia ukweli
Mmenena vema viongozi wa dini Mungu awabariki. Ila nawasihi muendelee kukemea mabo maovu kama utekaji na viongozi kutuhumiwa kama wale waliolawiti yule mkuu wa mkoa mbona kesi kimya imefikia wapi? Tunaomba mkemee kwa nguvu ushoga utekaji ubakaji na ulawiti
Mbona huongei la maana au udhani kuita waandishi utakuwa na Uwezo wa kupanga hujo
Hawa maSheikh gani sijui na hawa wamekuwa wakiudhalilisha sana uislamu. Ni aibu sana kuwa na Viongozi kama hawa
Hiyo kanzu yenyewe imevaliwa leo
Spika alijua kinachoendelea ndiyo maana alikaa kimya kipindi wabunge wasiojitambua wanamshambulia mhe Mpina
Tunarishwa sukari ambazo wanaziribegi hadi makampuni ya simu yanatuingizia sukari Mungu tuokoe
uyo mpina ndio akutetetwe wale wale wanyekupinga aya
Mmmh ma shekh washakula posho asa huyo mwarabu alovaa lemba nae kiongozi wa Dini 😂😂
Mimi ni mkiristo ila nini mashekh mliosimama apa Mungu awalinde hakika ndo mnaijua dini nimependezwa nanyi sasa Uo ndo Uislam na ndio Mungu anataka
Unajua niseme jambo moja bunge la chama kimoja ndo madhara yake ndo haya mtu amejenga hoja mnamfukuza kwa nn? Mjitafakali wananchi wanaona mnachokifanya wameelimika nyinyi Ni wasomi tumieni usomi wenu kwa kujibu hoja sio kumfukuza tunaomba mmrudishe.
Mjitafakari au mjitafakali?
@@edsonnelson4464*TafakaRi
Shida ni kwamba tukiwaita wasomi tunakuwa tumewatukuza
Hujaelewa ?@@edsonnelson4464
❤❤
Lo kiongozi umeongea kwa uchungu sana !
Mmh
Salaaam naomba kuuliza hawa ni Viongozi wa dini gani?
Maana hapa namuona mtu😂?
MASHEKH WA WAPI HAO SIWATAMBUI😊,,,(wahuni)
Kama wewe hulivyo muuni.
Wee
Hapo hakuna cha ukali kwani kwa kilichotokea, inaonesha wazi pia spika ana jambo analolifahamu. Haiwezekani mtu atoe maneno mabovu na spika yupo.
Tuliani hovyoo. Mungu a tusaidie tupate watu.
Hivi hawa mashehe wanaishi nchi hii??? Poleni waTz
Masheikh hamuogopi kutekwa na kupelekwa mbuga ya wanyama na kupigwa risasi ya taya😮😮
Waliuliwa kina mkwawa kinjekitile ila bado walitokea kina nyrerere na wenzake kudai haki.
Wambie wasiibe kura.kwani haki ndo msingi wa amani.
Hawa viongozi wanatoa maoni Yao TU hawajamsema spika kwamba hatendi hakki bungeni .ila wanawasema viongozi wenye kuwadharau viongozi wao .ni pamoja na mpina kudharau mamlaka ya bunge .na wanawasema wabunge wenye kuwadharau wabunge wengine .hata kama mbunge mwenzenu amekisea basi sio vyema ukamwambia Hana akili .sio jambo zuri hata kidogo..na Mimi maoni yangu ni kwa watanzania wenzangu tuwe na heshima kwa muhimili wa bungu..mahakama na serikali.asante ni sana
Hawa matapeli wa wapi! Wanaharibu uislam, uisalm sio dini ya unafiki.
Kweli hawa matapeli kama ulikuwepo Msukuma aliomba Mbunge akapimwe Akili kwa record zake hakukurupuka tuu wako wabunge wengi alimchaguwa mmoja tuu kupima samaki kwa ruler na kuchoma nyavu za wavuvi masikini na kusema uongo
Huamini kama mashehe? Waamini kabisa ni viongozi wa dini
Unapaswa kupimwa akili, na kisha uelewa wa dini yako, kwan uislam na siasa haviachani,,uislam ni unyenyekevu, sifa ya mnyenyekevu ni haki haki huletaamani
Viongozi wa kidini au wahuni wa kidini
jamani sikilizeni point, watu wanaongea point alafu mnazarau, blgup mashehe.
Aman hii ikipotea mtaitqfuta , shda nn kqtiba na sheria zipo shda n watu wanakaa juu ya sheria wao kama kina nan kisa viongoz
Dear tulia oyeee mpina oyooooooooooooo
Felia kumfundisha felia
Tuwapige chini 2025
Mm ,mm naona masheihe wa mchongo tu.asa spika apo kosa lake nini? Fanyeni kazi ya dini acheni kununuliwa
Mnaonyoosha maelezo ni nyinyi mliokabidhiwa aslimia 98% ya viti vya bunge vilivyokuwa si halali yenu muende mukateteye maslahi ya matumbo yenu.
Nyie tushagundua lengo lenu ni watu waseme waislam wanafujo wanapenda kuingilia mambo kwanza hapo nyinnyi hakuna shee ata mmoja na ili kujua hilo kua huwenda pia wakawa sio waislam kabisa ila wamevishwa hizo kanzu kwa lengo lakuonyesha kua sisi waislam tunafujo ila chunguzeni hawa watu ata kanzu zenyewe hawajui kuvaamtazameni huyo mwenye kanzu nyeupe kwanza nguo alovaa ndani yakanzu dalili yakwanza amevaa kanzu siku anahojiwa na muonekano wao wote tizama mikono yake na nasema kwa kinya kipanahawa lengo nikuchafua wala sio viongozi wadini bali nawatu tu
Sisi waislam viongozi wetu wana aiba fulani hivi. Na tuna taasisi zinazojulikana na viongozi wetu wanajulina (BAKWATA, ANSAR, N.K)
Mashekhe semeen kuhusu haki kuliko amani amani no zao la haki
Ss wapenda haki tutasimama na mpina na wakikuzingua Zaid hama lichama lao jiunge upinzani na utashinda achana na Hilo genge la wezi na watetea wezi
NYIE WAHUNI NI VIONGOZI WA DINI GANI?
acha ujinga WEWE uhuni wao nini au walishakufanya je!
@@EzekiaMtwale Tulia Wewe Mgalitia usie kuwa na Akili.
Sisi waislam tunajuana.
Hao si masheikh wala viongozi wa dini yetu tukufu ya UISLAM
Yaani hawa ni viongozi wa dini, dah
Katiba imepitwa na wakati abadilishe ndo tatizo kubwa
Hakuna amani bila haki ningewaona wa maana kama mngeanza kupigania Kwanza Haki na utawala bora na katiba mpya kabla ya kujidanganya ati kuna amani au kuimba wimbo wa amani .Amani ipi?
Nyie.mmetumwa.viongozi.wa.dini.gani.mnajuanini.kuhusu.bunge.mpaka.mumkosoe.sipika.hamnakazi.za.kufanya
Ukweli unajulikana ni sawa na maji na mafuta,..kile anachosimamia Mh.Luhaga Mpina ni suala la kitaifa,wananchi tunaona tafadhari arudishwe bungeni👈
Uongozi wa dini gani
Baadhi wanaenda bungeni na tabia zao ....wala hawaziachi nyumbani
Unamaana gani kupiga magoti na kumuomba Mungu umezungumza kama Padre ndani ya Kanisa na wewe ni Muisilamu inashangaza.
Kwani ni mapadre tu, wanaopiga magoti wakimuomba Mungu? Waislam hawafanyi hivyo? Wanaposujudu, hawapigi magoti? Fuatilia hoja. Shida zetu hazichagui dini. Zinatukumba wote sawasawa.
Waambie wakome kutafuta pesa chafu kwaajili ya uchaguzi
Me ningekuwa mpina ningepima hafu ,madaktari wakithibitisha kuwa yupo pw akamatwe msukuma
Awagombeze aje na fimbo spika mbona hueleweki
Nani kawapanga?aliwasikiliza vizuri kabla ya kuwaita waandishi?mnaaibisha Mkoa wa Arusha hatuna watu
wenye akili kama zenu.
viongozi wa dini wana
upeo mkubwa ...sijaelewa mmeongea nn?
Sisi hatukufahamuni kama nyinyi masheikh nyinyi mmevaa vibarakashia ili muonekane masheikh
Km huna lakusema bora unyamaze uzimdharau mtu hat km hujui.
Masheikh au Mashehena duuuuh????
Hakuna mashehe hapa
Msidhani hatunaakiri akili tunazosana
MATAPERII. NYINYI SUBILINÌ UCHAGÙŹI HÀMNA HOŸA
Tukubali kishinda na kushindwa katika uchaguzi tunaendea ya serikali za mtaa ni ujumbe mzito toka kwa kiongozi wa dini.
Nimesoma comment nimegundua waislam hawapendani
Sikiliza ponti
Mimi sijawaelewa kabisaaaa. Wamelenga kutufunda nini haswa! Waandishi wetu muwe makini namnachoandika. Ila nashauri kuwe na bunge lisilokuwa na mawazo mgando. Na ikiwezekana awepo spika asiye na chama yaani spika huru ili kuondoa uchama bungeni kwa sababu bunge ni la Wtz wote.
Huyuhuyu mnae mtetea juzi tu alipokua Waziri wa uvuvi kila mmoja alilia Ng'ombe Mitego ya Samaki kila mmoja aliomba Mungu nyinyi mnakosoa Bunge Musukuma alisema kawaida tu huyu Mpina kila 1 anamlaumu Bashe Mwiguru Kitira Ulega nk toka alipokoswa uwaziri Kawa mkosoaji na maneno yake hayana Ushahidi na nyinyi mnatumika kwa kisingizio Cha Dini
Mpina alivyokuwa wazir wa uvuvi samaki waliongezeka sana hata bei ya samaki ilishuka sana wew hujuwi chochote ni mpumbavu mmoja tu mpina ameonewa sana kisa kusimamia haki ya walio wengi tena ww ni choko mmoja tu wa kijani
Mashegheh wetu mna uelewa wowote wa uendeshaji wa BUNGE? kanuni na sheria za BUNGE Mnazifahamu? Isije mkajiingiza chaka. Nyinyi ni VIONGOZI wa dini zehebu au jumuhia gani? Sawa tunawatakia uanaharati mwema