VIONGOZI wa DINI WAIBUKA na SPIKA -KUSIMAMISHWA kwa MPINA na KAULI za WABUNGE - MAKONDA APONGEZWA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • VIONGOZI wa DINI WAIBUKA na SPIKA -KUSIMAMISHWA kwa MPINA na KAULI za WABUNGE - MAKONDA APONGEZWA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 192

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад +6

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @AmadeMbezy
    @AmadeMbezy 3 месяца назад +11

    Ongereni sana mashee wetu kwa kuriona iri ata mimi roo iriniuma sana msema kweri kuchinjiwa baharini sio powa mungu awabariki sana❤❤

    • @AlistidiusKagyabukama
      @AlistidiusKagyabukama 3 месяца назад +2

      Wewe unaongea tu mpina yuko Sawa nyinyi mnafuta sifa

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf Месяц назад

      Hii taarifa ni nzuri ila ingependeza kama mungeungana WA dini zote na mkatoka na kauli moja ingekuwa powa sana

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 месяца назад +9

    Safi sana viongozi wa dini Mungu awabariki,

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 3 месяца назад +17

    Tz ndio nchi pekee Ukiwa mkweli na mtetezi wa wanyonge unapigwa vita sana

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani1138 3 месяца назад +24

    Hapa hatuna Bunge Ni aibu tupu anayetetea watu wanamwondoa
    Asante Sana viongoz wa din

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад +2

    Hongereni sana viongozi wa dini na Mungu awabariki sana

  • @MichaelPaulo-k1c
    @MichaelPaulo-k1c 3 месяца назад +6

    Hongerani Sana mashehe.

  • @JovenaryNduka
    @JovenaryNduka 3 месяца назад +11

    Yaani mmenifurahisha sana na tafadhali kazeni kamba mpina ni mbunge namba 1 tutakuwa tayari Kwa lolote Kwa kumuweka nje mpendwa wetu Yuko nyuma yake lakini Kwa kuwa tuna mama ni mpenda hali nadhani Hilo ameliona tunasubiri maamuzi yake na yenye busara

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 месяца назад

      mmmmmh??? eti mama 😂😂😂😂😂 hivi bado kunawatanzania wajinga wasio fahamu kilakitu au kumjua mtu mbaya na mwema basi nchi bado ipo gizan sana kama bado mpo watu msioona huyu mtu anaroho gani ?

    • @kinkybanjukome217
      @kinkybanjukome217 3 месяца назад

      Ni wabunge wa chama Cha mapuuzi

  • @ellylema9042
    @ellylema9042 3 месяца назад +7

    Sikikiliza Kwa makini.Sio Kila jambo ni utapeli.Mungu amekupa akili na uwezo wa kufikiri.Angalia point

    • @saivellybrutally2994
      @saivellybrutally2994 3 месяца назад +3

      Mjinga hakiwa mpumbavu ni changamoto ahsante viongozi comment zetu ziwe na mantik

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад +11

    Amani haichungiki bila ya haki. Nchi nyingi za kiafrika zinakosa amani kwaajiri ya dhuluma ya wengi. Wabunge wa Tanzania badała ya kutetea haki ya waliowachaguwa wanatetea interests za wachache wanao wadhulumu wengi. Usiposema ndiyo bungeni unakuwa Aduwi na wanakushutumu kuwa adui wa chama na serikali. Demokrasia gani hii? Mbunge ana haki ya kutetea wananchi na sio kuiunga mkono serikali na sifa nyingi kwa Rais bila ya kuwajali wananchi. Tanzania ni masikini kwa wizi na ufisadi wa watu wachache kujilimbikizia mali za watanzania. Hawakamatwi, wala kusemwa. Ukiwasema bungeni yanakupata yaliyompata Mpina.

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 3 месяца назад +4

    Mpina ana ujasiri sana, anajua wajibu wake kama mbunge. Siyo hao wanaolinda wezi

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 2 месяца назад

    Safi saana mmeongea ya maana

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 3 месяца назад +2

    Shekhee tunakupenda kwakusimamia ukwer tunakupenda sn tupo nyuma Yako tunakulinda sn nyinyi niwatetezi wawnyonge sn sn sn ilove mashekh Kwa pamoja

  • @georgesungura
    @georgesungura 3 месяца назад +1

    ongereni sana mmenigusa sana

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 3 месяца назад

    Shukrani sana viongozi

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga7361 3 месяца назад +1

    Mpina hongera

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618 3 месяца назад +2

    Spika jaribu kuona hayo yaliyoanza kufanyika. Hao ni wachache mama yangu tafuta Sheria zingine arudi mpina inaonekana ni mhemko wa watu kutafuta heshima kwako. Mrudishe mpina

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 3 месяца назад +3

    Vijana mashekh mmeongea vzr msichoke kuelimisha

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 3 месяца назад

    Asante sana viongozi

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up 3 месяца назад

    Asanteni sana shekh kwa ukweli huu. Askofu wetu Malasusa hutosikia akiongea ukweli wa kuikosoa serikali kwa maovu yake ...kazi yake ni kujipendekeza kwa mama ili aitwe ikulu kula kuku ....!! Nasikitika sana kwa viongizi wa KKKT hasa baadhi ya maaskofu wababaishaji wakiongozwa na Malasusa

  • @JOSEPHPETERMACHOTA
    @JOSEPHPETERMACHOTA 3 месяца назад

    Safi sana ndugu zetu

  • @TinahFrank
    @TinahFrank 10 дней назад

    Kabisa

  • @BraytonMwakitalima
    @BraytonMwakitalima 3 месяца назад

    Mungu awabariki sana

  • @PeterMandata
    @PeterMandata 3 месяца назад

    Upo sahihi sana

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo6095 3 месяца назад

    Asante kwa mtazamo wenye busara

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 3 месяца назад

    Safi sana mashehe

  • @nurumohamed7225
    @nurumohamed7225 3 месяца назад +3

    Masheikh 😊😊 mnaswali msikiti gani mbona hatujawahi kuwaona?

    • @NixonJohnson-zn8nk
      @NixonJohnson-zn8nk 3 месяца назад +1

      Uwa one wapi mbona unaleta ushabiki kwenye Mambo ya msingi acha basi..

  • @luganouswege628
    @luganouswege628 3 месяца назад +1

    Pamoja

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 3 месяца назад

    dah, Yani mungu mkubwa Kama kweri ma shehe mmeliona hili, hakika mungu analipenda hili taifa, safi Sana ndungu zangu mungu awalinde.

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 месяца назад +3

    Eti matapeli pale wanatapeli nini!!!?

  • @johnjoel5012
    @johnjoel5012 2 месяца назад

    Dini ni dini , siasa ni siasa. Hacha moja.

  • @cheekszebedayo9340
    @cheekszebedayo9340 3 месяца назад

    Safi sana sasa msukuma yeye aendelee kuwakinda mawaziri cz ndio walimteua awawakilishe

  • @josephjeremiah-x5v
    @josephjeremiah-x5v 3 месяца назад +1

    Tupo pamoja viva

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 3 месяца назад

    Exactly.

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 3 месяца назад +3

    Mpina Yuko kwajili yakutetea wananch wake wabunge wengine wote niwatetezi waserekali yule msukuma anazarau sana wakat mpina kamzd elimu

    • @nashirkamugisha9425
      @nashirkamugisha9425 3 месяца назад

      Mpina ni katika wabunge WASIO NA AKILI
      MPIMA SAMAKI KWA RULA. Kipindi cha uwaziri wake tulipata tabu Sana kwa maamuzi yake ya kijuha. Hizi kelele zotee wivu wa kunyimwa uwaziri

    • @margarethsaramaki3966
      @margarethsaramaki3966 3 месяца назад

      @@nashirkamugisha9425
      Mbona umejibu hivyo umemsikia sheikh alivyosema? Mbunge anamwambia mbunge mwezake hana akili
      Na ndiyo yale yale unayosema wewe ebu sikiliza tena hiyo clip
      Tujifunze kuwa wastaarabu na hekima itawale

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 месяца назад

      ​​@@nashirkamugisha9425Hivi bidhaa gani huuzwa bila vipimo? Wewe ukienda sokoni mbona humlaumu muuza butcher kwa kupima nyama kwenye mzani (kwa kilo)? Au kîtambaa cha nguo kwa mita? Au umeme na maji kwa "unit"! Chuki, hiana, fitina, husuda na gubu vinakumeng'enya! Sasa kati yako na Mh. Mpina nani juha au zezeta?

    • @Cryptocurrency_Tanzania
      @Cryptocurrency_Tanzania 3 месяца назад

      Funga mdomo.​@@nashirkamugisha9425

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 3 месяца назад

    Shehe, viongozi zetu was dini Mungu awajalie kwakutusaidia Kwa hili mhe. Mpina ananyanyaswa sana na anadharirishwa sana Lkn Supika wa bunge anaona Şafi tu inatisha sana kumbe msema kweli hapendwi? Tanzania liliisha kuwa shamba la bibi? Wananchi tunaumia sana ila hatuna jinsi, Mungu atatutetea tu.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад

    Pita Bila kupigwa mtajuta

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 месяца назад

    Ni mbunge Musukuma na Tabasamu na Gwajima mpaka Mh Mpina akauliza unanisimanga au unachangia?kamuuliza mbunge Musukuma
    Bora sheikh umeliona hili na kuamua kulisema Mungu akubariki na akulinde daima🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 3 месяца назад

    ninyi niviongozi kutoka taasisi gan?? na uko arusha sehemu gan?hujajitambulisha vizur

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 3 месяца назад

    Nawapongeza Sana viongoz wa dini Kwa kupaza sauti

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 месяца назад

    Nimewapenda sana,hatuna bunge tuna bunge la vioja,spika anawalinda wasema ovyo akina msukuma,kibajaji lusinde hawaombewi mwongozo.wanalindana hao kwani Naibu spika Zungu alipomwambia Esta Bulaya atapotezwa alikuwa amelikosea nini.Endeleeni kukumea kwa uwazi na ukweli.

  • @gililwise
    @gililwise 2 месяца назад

    Mashee nawapenda siyo wanafiki penye ukweli wanasimamia ukweli

  • @MonayLai
    @MonayLai 3 месяца назад

    Mmenena vema viongozi wa dini Mungu awabariki. Ila nawasihi muendelee kukemea mabo maovu kama utekaji na viongozi kutuhumiwa kama wale waliolawiti yule mkuu wa mkoa mbona kesi kimya imefikia wapi? Tunaomba mkemee kwa nguvu ushoga utekaji ubakaji na ulawiti

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 3 месяца назад

    Mbona huongei la maana au udhani kuita waandishi utakuwa na Uwezo wa kupanga hujo

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven 3 месяца назад

    Hawa maSheikh gani sijui na hawa wamekuwa wakiudhalilisha sana uislamu. Ni aibu sana kuwa na Viongozi kama hawa

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 3 месяца назад

    Hiyo kanzu yenyewe imevaliwa leo

  • @RaphaelElikana
    @RaphaelElikana 3 месяца назад

    Spika alijua kinachoendelea ndiyo maana alikaa kimya kipindi wabunge wasiojitambua wanamshambulia mhe Mpina

  • @AlexNjelekela-e6e
    @AlexNjelekela-e6e 2 месяца назад

    Tunarishwa sukari ambazo wanaziribegi hadi makampuni ya simu yanatuingizia sukari Mungu tuokoe

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 3 месяца назад

    uyo mpina ndio akutetetwe wale wale wanyekupinga aya

  • @gbbuku4714
    @gbbuku4714 3 месяца назад

    Mmmh ma shekh washakula posho asa huyo mwarabu alovaa lemba nae kiongozi wa Dini 😂😂

  • @EmmanuelMbogoni-n3f
    @EmmanuelMbogoni-n3f 3 месяца назад

    Mimi ni mkiristo ila nini mashekh mliosimama apa Mungu awalinde hakika ndo mnaijua dini nimependezwa nanyi sasa Uo ndo Uislam na ndio Mungu anataka

  • @nolanazalet5152
    @nolanazalet5152 3 месяца назад +4

    Unajua niseme jambo moja bunge la chama kimoja ndo madhara yake ndo haya mtu amejenga hoja mnamfukuza kwa nn? Mjitafakali wananchi wanaona mnachokifanya wameelimika nyinyi Ni wasomi tumieni usomi wenu kwa kujibu hoja sio kumfukuza tunaomba mmrudishe.

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 3 месяца назад

    ❤❤

  • @allyhongoa5462
    @allyhongoa5462 2 месяца назад

    Lo kiongozi umeongea kwa uchungu sana !

  • @MAGARITanzania
    @MAGARITanzania 3 месяца назад

    Mmh

  • @Dhikriqadiriarazaqia
    @Dhikriqadiriarazaqia 3 месяца назад

    Salaaam naomba kuuliza hawa ni Viongozi wa dini gani?
    Maana hapa namuona mtu😂?

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад +2

    MASHEKH WA WAPI HAO SIWATAMBUI😊,,,(wahuni)

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 3 месяца назад

    Hapo hakuna cha ukali kwani kwa kilichotokea, inaonesha wazi pia spika ana jambo analolifahamu. Haiwezekani mtu atoe maneno mabovu na spika yupo.

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 3 месяца назад

    Tuliani hovyoo. Mungu a tusaidie tupate watu.

  • @saadune
    @saadune 3 месяца назад

    Hivi hawa mashehe wanaishi nchi hii??? Poleni waTz

  • @magallahramadhani8762
    @magallahramadhani8762 3 месяца назад

    Masheikh hamuogopi kutekwa na kupelekwa mbuga ya wanyama na kupigwa risasi ya taya😮😮

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 3 месяца назад

      Waliuliwa kina mkwawa kinjekitile ila bado walitokea kina nyrerere na wenzake kudai haki.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 месяца назад

    Wambie wasiibe kura.kwani haki ndo msingi wa amani.

  • @saidishamte635
    @saidishamte635 3 месяца назад

    Hawa viongozi wanatoa maoni Yao TU hawajamsema spika kwamba hatendi hakki bungeni .ila wanawasema viongozi wenye kuwadharau viongozi wao .ni pamoja na mpina kudharau mamlaka ya bunge .na wanawasema wabunge wenye kuwadharau wabunge wengine .hata kama mbunge mwenzenu amekisea basi sio vyema ukamwambia Hana akili .sio jambo zuri hata kidogo..na Mimi maoni yangu ni kwa watanzania wenzangu tuwe na heshima kwa muhimili wa bungu..mahakama na serikali.asante ni sana

  • @abednego3876
    @abednego3876 3 месяца назад +6

    Hawa matapeli wa wapi! Wanaharibu uislam, uisalm sio dini ya unafiki.

    • @saidabdillahi8107
      @saidabdillahi8107 3 месяца назад

      Kweli hawa matapeli kama ulikuwepo Msukuma aliomba Mbunge akapimwe Akili kwa record zake hakukurupuka tuu wako wabunge wengi alimchaguwa mmoja tuu kupima samaki kwa ruler na kuchoma nyavu za wavuvi masikini na kusema uongo

    • @makejamaduhu7618
      @makejamaduhu7618 3 месяца назад

      Huamini kama mashehe? Waamini kabisa ni viongozi wa dini

    • @harunimanula-r1d
      @harunimanula-r1d 3 месяца назад

      Unapaswa kupimwa akili, na kisha uelewa wa dini yako, kwan uislam na siasa haviachani,,uislam ni unyenyekevu, sifa ya mnyenyekevu ni haki haki huletaamani

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 3 месяца назад

    Viongozi wa kidini au wahuni wa kidini

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 3 месяца назад

    jamani sikilizeni point, watu wanaongea point alafu mnazarau, blgup mashehe.

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 3 месяца назад +1

    Aman hii ikipotea mtaitqfuta , shda nn kqtiba na sheria zipo shda n watu wanakaa juu ya sheria wao kama kina nan kisa viongoz

  • @kichwachafamilia
    @kichwachafamilia 3 месяца назад

    Dear tulia oyeee mpina oyooooooooooooo

  • @MohammedMtoza
    @MohammedMtoza 3 месяца назад

    Felia kumfundisha felia

  • @omariSaliboko
    @omariSaliboko 3 месяца назад +1

    Tuwapige chini 2025

  • @hashimmawazo5503
    @hashimmawazo5503 3 месяца назад

    Mm ,mm naona masheihe wa mchongo tu.asa spika apo kosa lake nini? Fanyeni kazi ya dini acheni kununuliwa

  • @Kokhaako
    @Kokhaako 3 месяца назад +1

    Mnaonyoosha maelezo ni nyinyi mliokabidhiwa aslimia 98% ya viti vya bunge vilivyokuwa si halali yenu muende mukateteye maslahi ya matumbo yenu.

  • @QasimuSwedi
    @QasimuSwedi 3 месяца назад +1

    Nyie tushagundua lengo lenu ni watu waseme waislam wanafujo wanapenda kuingilia mambo kwanza hapo nyinnyi hakuna shee ata mmoja na ili kujua hilo kua huwenda pia wakawa sio waislam kabisa ila wamevishwa hizo kanzu kwa lengo lakuonyesha kua sisi waislam tunafujo ila chunguzeni hawa watu ata kanzu zenyewe hawajui kuvaamtazameni huyo mwenye kanzu nyeupe kwanza nguo alovaa ndani yakanzu dalili yakwanza amevaa kanzu siku anahojiwa na muonekano wao wote tizama mikono yake na nasema kwa kinya kipanahawa lengo nikuchafua wala sio viongozi wadini bali nawatu tu

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 3 месяца назад

    Sisi waislam viongozi wetu wana aiba fulani hivi. Na tuna taasisi zinazojulikana na viongozi wetu wanajulina (BAKWATA, ANSAR, N.K)

  • @fatmajafar8275
    @fatmajafar8275 2 месяца назад

    Mashekhe semeen kuhusu haki kuliko amani amani no zao la haki

  • @mashakakwembe7482
    @mashakakwembe7482 3 месяца назад

    Ss wapenda haki tutasimama na mpina na wakikuzingua Zaid hama lichama lao jiunge upinzani na utashinda achana na Hilo genge la wezi na watetea wezi

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib 3 месяца назад +2

    NYIE WAHUNI NI VIONGOZI WA DINI GANI?

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale 3 месяца назад

      acha ujinga WEWE uhuni wao nini au walishakufanya je!

    • @Al.habeebAl.habaaib
      @Al.habeebAl.habaaib 3 месяца назад

      @@EzekiaMtwale Tulia Wewe Mgalitia usie kuwa na Akili.
      Sisi waislam tunajuana.
      Hao si masheikh wala viongozi wa dini yetu tukufu ya UISLAM

  • @2003hintay
    @2003hintay 3 месяца назад +2

    Yaani hawa ni viongozi wa dini, dah

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 3 месяца назад

    Katiba imepitwa na wakati abadilishe ndo tatizo kubwa

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 месяца назад

    Hakuna amani bila haki ningewaona wa maana kama mngeanza kupigania Kwanza Haki na utawala bora na katiba mpya kabla ya kujidanganya ati kuna amani au kuimba wimbo wa amani .Amani ipi?

  • @sadikishemkai
    @sadikishemkai 3 месяца назад

    Nyie.mmetumwa.viongozi.wa.dini.gani.mnajuanini.kuhusu.bunge.mpaka.mumkosoe.sipika.hamnakazi.za.kufanya

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 3 месяца назад

    Ukweli unajulikana ni sawa na maji na mafuta,..kile anachosimamia Mh.Luhaga Mpina ni suala la kitaifa,wananchi tunaona tafadhari arudishwe bungeni👈

  • @peterkibiriti5601
    @peterkibiriti5601 3 месяца назад

    Uongozi wa dini gani

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 месяца назад

    Baadhi wanaenda bungeni na tabia zao ....wala hawaziachi nyumbani

  • @abdisalamjamal2128
    @abdisalamjamal2128 3 месяца назад

    Unamaana gani kupiga magoti na kumuomba Mungu umezungumza kama Padre ndani ya Kanisa na wewe ni Muisilamu inashangaza.

    • @josephwilliammnyune5464
      @josephwilliammnyune5464 3 месяца назад

      Kwani ni mapadre tu, wanaopiga magoti wakimuomba Mungu? Waislam hawafanyi hivyo? Wanaposujudu, hawapigi magoti? Fuatilia hoja. Shida zetu hazichagui dini. Zinatukumba wote sawasawa.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 3 месяца назад +1

    Waambie wakome kutafuta pesa chafu kwaajili ya uchaguzi

  • @Olengujati-uo6gx
    @Olengujati-uo6gx 3 месяца назад

    Me ningekuwa mpina ningepima hafu ,madaktari wakithibitisha kuwa yupo pw akamatwe msukuma

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад

    Awagombeze aje na fimbo spika mbona hueleweki

  • @eudesjonasbukhay9437
    @eudesjonasbukhay9437 2 месяца назад

    Nani kawapanga?aliwasikiliza vizuri kabla ya kuwaita waandishi?mnaaibisha Mkoa wa Arusha hatuna watu
    wenye akili kama zenu.
    viongozi wa dini wana
    upeo mkubwa ...sijaelewa mmeongea nn?

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 3 месяца назад +3

    Sisi hatukufahamuni kama nyinyi masheikh nyinyi mmevaa vibarakashia ili muonekane masheikh

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 3 месяца назад

      Km huna lakusema bora unyamaze uzimdharau mtu hat km hujui.

  • @MnyampaWokhaya
    @MnyampaWokhaya 3 месяца назад

    Masheikh au Mashehena duuuuh????

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 3 месяца назад

    Hakuna mashehe hapa

  • @yonaisack
    @yonaisack 26 дней назад

    Msidhani hatunaakiri akili tunazosana

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 3 месяца назад

    MATAPERII. NYINYI SUBILINÌ UCHAGÙŹI HÀMNA HOŸA

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 3 месяца назад

    Tukubali kishinda na kushindwa katika uchaguzi tunaendea ya serikali za mtaa ni ujumbe mzito toka kwa kiongozi wa dini.

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 3 месяца назад

    Nimesoma comment nimegundua waislam hawapendani

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 3 месяца назад

    Sikiliza ponti

  • @sophiemsuya6507
    @sophiemsuya6507 3 месяца назад

    Mimi sijawaelewa kabisaaaa. Wamelenga kutufunda nini haswa! Waandishi wetu muwe makini namnachoandika. Ila nashauri kuwe na bunge lisilokuwa na mawazo mgando. Na ikiwezekana awepo spika asiye na chama yaani spika huru ili kuondoa uchama bungeni kwa sababu bunge ni la Wtz wote.

  • @HamadAthuman-p2o
    @HamadAthuman-p2o 3 месяца назад

    Huyuhuyu mnae mtetea juzi tu alipokua Waziri wa uvuvi kila mmoja alilia Ng'ombe Mitego ya Samaki kila mmoja aliomba Mungu nyinyi mnakosoa Bunge Musukuma alisema kawaida tu huyu Mpina kila 1 anamlaumu Bashe Mwiguru Kitira Ulega nk toka alipokoswa uwaziri Kawa mkosoaji na maneno yake hayana Ushahidi na nyinyi mnatumika kwa kisingizio Cha Dini

    • @PoulFred
      @PoulFred 3 месяца назад

      Mpina alivyokuwa wazir wa uvuvi samaki waliongezeka sana hata bei ya samaki ilishuka sana wew hujuwi chochote ni mpumbavu mmoja tu mpina ameonewa sana kisa kusimamia haki ya walio wengi tena ww ni choko mmoja tu wa kijani

  • @sadikingonyani8124
    @sadikingonyani8124 3 месяца назад

    Mashegheh wetu mna uelewa wowote wa uendeshaji wa BUNGE? kanuni na sheria za BUNGE Mnazifahamu? Isije mkajiingiza chaka. Nyinyi ni VIONGOZI wa dini zehebu au jumuhia gani? Sawa tunawatakia uanaharati mwema