Ndio mama umesema ukweli bashe ni mfanya biashara anatetea wafanya biashara maisha yako juu chakura bei juu alafu mtu akisima hapo utasema tz ni paradise country kumbe hali ni mbaya sana
Mh mbunge nimekuelewa sanaa una hoja za maana ingawa hao wahujumu watakua wa kwanza kukipiga mawe wakiwaaminisha wapiga kula kwamba hufai. Wanyamwanga Amkeni huyu Mbunge ni ruru yetu
Kama mmewanyonga watumishi kwa kikokotoo!! Wakulima wenyewe wameshazikwa siku nyingi sana. Na mlivyokaa bungeni utadhani ni wawakilishi wa wananchi kumbe ni kikundi cha wezi na wanyonyaji. Kiufupi mnachofanya ni ujinga mtupu.
Sasa hjo si ujinga ni nini, kufoka kote huko kuonyrsha kuna upungufu bado waunga mkono hoja, huo siyo ujinga ni nini. Kweli mnatufanya wananchi wajinga.
Yaan nakukubali sana kweli ni wewe kijana mkakamavu maua yako🥰🥰🙏🙏🙏
Hongera,ni wakati was kuvunja ukimya.Haikubariki
Hongera sana na mambegu ya Tanzania ni feki % KUBWA yanatuumiza sana
❤❤❤❤❤mungu akubariki sana
good blasting point!!!
Pow San ddaake
Ndio mama umesema ukweli bashe ni mfanya biashara anatetea wafanya biashara maisha yako juu chakura bei juu alafu mtu akisima hapo utasema tz ni paradise country kumbe hali ni mbaya sana
Ushirika ni kuwaweka Umasikini wakulima mazao ya wakulima yauzwe kwa Makapuni binafsi na si vinginevyo
Mh mbunge nimekuelewa sanaa una hoja za maana ingawa hao wahujumu watakua wa kwanza kukipiga mawe wakiwaaminisha wapiga kula kwamba hufai. Wanyamwanga Amkeni huyu Mbunge ni ruru yetu
Umeiva sana mbunge wangu
Wewe ndo mbunge ndy muelewa kuhusu wizara wengine wanasifu tu bila kujua kuwa wakulima wanaumia sana
Kama mmewanyonga watumishi kwa kikokotoo!! Wakulima wenyewe wameshazikwa siku nyingi sana.
Na mlivyokaa bungeni utadhani ni wawakilishi wa wananchi kumbe ni kikundi cha wezi na wanyonyaji. Kiufupi mnachofanya ni ujinga mtupu.
Wanavyolalamika hivi naona wanatufanya wajinga ili tuwaone wanatetea wakulima sana. Ujinga mtupu.
Sasa hjo si ujinga ni nini, kufoka kote huko kuonyrsha kuna upungufu bado waunga mkono hoja, huo siyo ujinga ni nini. Kweli mnatufanya wananchi wajinga.
Asant sana kiongozi mwenye kujitambuwa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mombo tunakutegemea 100 asilimia