MBUNGE CONDESTER AFOKA VIKALI BUNGENI, "HUU NI UUWAJI NA WIZI KAMA WIZI MWINGINE, WAHUJUMU UCHUMI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 15

  • @AyubuSimpasa
    @AyubuSimpasa 15 дней назад +1

    Yaan nakukubali sana kweli ni wewe kijana mkakamavu maua yako🥰🥰🙏🙏🙏

  • @danieljoseph6702
    @danieljoseph6702 11 дней назад

    Hongera,ni wakati was kuvunja ukimya.Haikubariki

  • @RizikiNzunda-ik4by
    @RizikiNzunda-ik4by 14 дней назад

    Hongera sana na mambegu ya Tanzania ni feki % KUBWA yanatuumiza sana

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 14 дней назад

    ❤❤❤❤❤mungu akubariki sana

  • @dentomedicalresourceslimit4602
    @dentomedicalresourceslimit4602 14 дней назад

    good blasting point!!!

  • @SinkalaRegina-rh6kg
    @SinkalaRegina-rh6kg 15 дней назад +1

    Pow San ddaake

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 15 дней назад

    Ndio mama umesema ukweli bashe ni mfanya biashara anatetea wafanya biashara maisha yako juu chakura bei juu alafu mtu akisima hapo utasema tz ni paradise country kumbe hali ni mbaya sana

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 15 дней назад +1

    Ushirika ni kuwaweka Umasikini wakulima mazao ya wakulima yauzwe kwa Makapuni binafsi na si vinginevyo

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 14 дней назад

    Mh mbunge nimekuelewa sanaa una hoja za maana ingawa hao wahujumu watakua wa kwanza kukipiga mawe wakiwaaminisha wapiga kula kwamba hufai. Wanyamwanga Amkeni huyu Mbunge ni ruru yetu

  • @hassannyalile2256
    @hassannyalile2256 15 дней назад

    Umeiva sana mbunge wangu

  • @jofreyfungo1112
    @jofreyfungo1112 14 дней назад

    Wewe ndo mbunge ndy muelewa kuhusu wizara wengine wanasifu tu bila kujua kuwa wakulima wanaumia sana

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 14 дней назад +1

    Kama mmewanyonga watumishi kwa kikokotoo!! Wakulima wenyewe wameshazikwa siku nyingi sana.
    Na mlivyokaa bungeni utadhani ni wawakilishi wa wananchi kumbe ni kikundi cha wezi na wanyonyaji. Kiufupi mnachofanya ni ujinga mtupu.

    • @dicksonshenkalwa5470
      @dicksonshenkalwa5470 14 дней назад

      Wanavyolalamika hivi naona wanatufanya wajinga ili tuwaone wanatetea wakulima sana. Ujinga mtupu.

    • @dicksonshenkalwa5470
      @dicksonshenkalwa5470 14 дней назад

      Sasa hjo si ujinga ni nini, kufoka kote huko kuonyrsha kuna upungufu bado waunga mkono hoja, huo siyo ujinga ni nini. Kweli mnatufanya wananchi wajinga.

  • @AyubuSimpasa
    @AyubuSimpasa 15 дней назад +1

    Asant sana kiongozi mwenye kujitambuwa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mombo tunakutegemea 100 asilimia