MHE. THEA ATOA TAKWIMU ZA KUTISHA "TUNAWAONEA HURUMA WANAUME, NI BALAA, NI LAANA, KUMEHARIBIKA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 39

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 22 дня назад +6

    Hawaezi kutoa adhabu Kali kwasababu wanaogopa marekani kuwekewa vikwazo

  • @elisantemoses9309
    @elisantemoses9309 22 дня назад +7

    Kwa watu wasomi hiyo sio kitu ya kujadili sheria zipitishwe2 . Kuuwawa au kuhasiwa hakuna mjadala

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 22 дня назад +5

    Awamu ya nne ndiyo inatawala, RIP JPM

  • @user-no2ut7yd3e
    @user-no2ut7yd3e 22 дня назад +1

    Ushauri --sheria zifanye kazi mnaogopana.

  • @elisantemoses9309
    @elisantemoses9309 22 дня назад +2

    Hongera sana mama

  • @user-ei4ls8pq4s
    @user-ei4ls8pq4s 22 дня назад +2

    kabisa mama. hatutaki kuishi na mashateni wanaoharibu watoto

  • @geey7893
    @geey7893 22 дня назад +2

    Magufuli alikua anatoa kauli 1 tu nchi inafuata nyayo. Sahiz tuna omba omba tu

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 22 дня назад +1

    Nyongeniiiiiiii au aasiweeeee

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 22 дня назад +1

    Dalili za mwisho wa dunia!kama ilivyokua nyakati za LUTU na kama ilivyokkua nyakati za NUHU. LK17:26-36, Repentance of the whole nation.

  • @user-vv6ox9xh9k
    @user-vv6ox9xh9k 22 дня назад +1

    Nyie wenyewe viongozi ndio chanzo, mnapokea ya ulaya, huo ushoga wenyewe hamkemei Kwa nguvu

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 22 дня назад +1

    Mkitaka kujua ushoga ulivyo mkubwa hapa nchini mfuatilie Mh Harrison Nwakyembe na Dada Catherine Kahabi it's so pain yaani ni hatari tupu.
    Africa tuamke na turudi kwenye utamaduni wetu

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 20 дней назад +1

    shda tpu hii chi ni aibu kbsa ktowa tamko kwel sasa kama viongoz ndyo wanangoza kwa ayo mambo uon ni mambo magumu kwel kwann zswepo sndano za kuwa wakatisha moto kabisa wafie mbali

  • @josephwilliam9736
    @josephwilliam9736 22 дня назад +1

    Wanyongwe

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 22 дня назад +2

    Hoja kama hizi waongozee mda wabunge

  • @user-zj7dr2sy7t
    @user-zj7dr2sy7t 21 день назад +1

    Mnapokea mchele kutoka marekañ
    Una virutubisho vya homon za ushoga.

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 21 день назад

    MAMA KASEMA VEMA. HALI NI MBAYA WATANZANIA WENZANGU. 😭😭😭😭

  • @AbasJeilan-ns8yp
    @AbasJeilan-ns8yp 18 дней назад

    Kweli ni laana ndio maana kila mitihan inakuja kwa kasi sana, mvua, mara vimbunga ambavyo avijawahi kutokea mafuriko makubwa sana,

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 22 дня назад +1

    Haki za binadamu za wazungu mali zetu zinasobwa tu wanakoba mikopo za mashaliti ya ushoga na wanakubali ndio Maana hawashugulikiwi

  • @PaulTajiri-vu4xu
    @PaulTajiri-vu4xu 20 дней назад

    Unajua nn pitisheni akipatikana ni kifo siyo mambo ya kelele kila siku hiyo kitu itaisha siku moja lakini kama ni kelele haina maana hiyo niaibu sana na mbaya

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 22 дня назад +1

    Museveni na bunge lake wameweka sheria kali,dhidi ya mashoga,nyie mnapiga piga kelele tu,washenzi wakubwa nyie,hizo taasisi za kulea watoto hasa za wazungu zinaeneza ushoga,

  • @nyamizimpangule8640
    @nyamizimpangule8640 22 дня назад +1

    Kwa nini WAKATI wa uchaguzi TU? Nyie wabunge mnahusika na hilo

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 22 дня назад

    Hii kuhasi utaua kizaz,ila mwanaume kw mwanaume,n kuwaw,saw,kw mwnmk alobaleh wafungwe tu,

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 22 дня назад

    Sasa hivi uko haswaaa Mhe Mbunge na humo ndani yenu una Wanawake Wabunge wanassgana na mnawajua na Wanaume wanawalawitiana humo ndani ya Bunge

  • @twigatv
    @twigatv 21 день назад +1

    ​​LISSU NA NDUGAI WAUNGANA WACHAFUA HALI YA HEWA!!!!
    ruclips.net/video/gqsYK_z0Ppg/видео.html

  • @MASTERPETRO-nk8rh
    @MASTERPETRO-nk8rh 22 дня назад

    Laana inatutafuna kwasababu WATANZANIA tunakua wenyekusherekea dini ya uchawa ktk taifahili. Sidhani kama WATANZANIA mnaimani na vitabu vyote vya dini ambavyo vilikemea na kusistiza kua mungu haungimkona wala kutiabaraka endapokama tutakubali kuongozwa na uongozi unaoliongoza taifaletu la TANGANYIKA

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 22 дня назад

    Viazi 😂😂😂😂

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 22 дня назад +1

    Wewe mbunge huna akilli adhabu ndogo au miundombinu za nyie wabunge wahovyo

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele 22 дня назад +1

    Tunamkumbuka maguful Sasa mjitafakal na hak sawa zenu nyie wamama ndio chanzo

  • @zachariagervasmatonange566
    @zachariagervasmatonange566 22 дня назад

    Dr. Ameamza vizuri ila mwishoni ajenda imebadilika😂😂😂
    Ameamza kuomba Wanaume walindwe Ili kutunza nguvu ya kuzalisha Ili kizazi kiendelee
    Mwishoni anasema Wanaume wahasiwe hapo ndo amenivuruga Kabisa 😂😂😂😂😂

    • @ambakisyemwakinunu2002
      @ambakisyemwakinunu2002 21 день назад

      😂 😂 😂 😂 😂 Ila hajamaanisha wanaume wote anawasemea wabakaji na wanaolawiti

  • @dominickrukokelwa1284
    @dominickrukokelwa1284 22 дня назад +1

    Bunge halina nguvu.
    Kwani mkizuia bajeti isipite kwanza mpaka muswada uletwe mnashindwa??
    Bunge halina nguvu

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 22 дня назад

      Wanaongea halafu mwishoni wanaipitisha hiyohyo bajeti finyu😊

  • @lazarokabinji1316
    @lazarokabinji1316 14 дней назад

    Mi nashanga wenye uchungu ni wanaweke humo bungeni mbona wanaume wapo kimya shida ipo kwenye serkal haijatilia mkazo

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 22 дня назад

    Hata mie naunga mkono wabakaji wote na warawiti waasiwe kuwafunga magerezani wakiwa na nguvu zao bado wataendelea kuwalawiti wafungwa wenzao