RC MWANRI KAIBUKA NA JIPYA "WOTE WAONDOKE MJINI, KAGUA CHUMBA KWA CHUMBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 июн 2019

Комментарии • 70

  • @sulejiTv
    @sulejiTv 5 лет назад +23

    laiti ww ungekua speaker wa Bunge ungekua poa sana mana hauna cha uyu ni CCM wala cha uyu ni CHADEMA hongera sana kwa msimamo wako na mungu aku Simamie Vilivyo Amen.

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 5 лет назад +14

    Huyo jamaaa kajiachia kwa kicheko kma yupo kwake daah me mwenyewe kanichekesha

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 5 лет назад +16

    Huyu ilipaswa ateuliwe kuwa IGP. Dingi Noma sana

    • @abrahmaniomar9858
      @abrahmaniomar9858 5 лет назад

      hana hiyo haki ya kuinginya kwenye private life ya wafanyakazi. haki za binadamu uwezi fanya hinyo. muheshimiwa fuata sheria na kanuni za katiba

  • @fatmashafi6355
    @fatmashafi6355 4 года назад

    Mungu akusimamie mh mwanri

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 5 лет назад +4

    Mwanri:Ukitoka hapa unateremka unakuta Nazareti wamevaa butka
    Mwanri:Huyu anakaa hapa mbna ananiangalia kinyongee
    SAY YES! HABARI IMEKWISHA

    • @praygodjonas1314
      @praygodjonas1314 5 лет назад

      Najua watu wameshika vyumba mjini,ukitoka hapa unakuta Nazareti wamevaa bukta,nitaftie wawili tu uone mtiti wake😂

  • @jordanfromyt2861
    @jordanfromyt2861 5 лет назад

    Wala sioni ukatili apo , kazi nzuri kabisa akileta upuhudhi sukumandani

  • @sayaichandika139
    @sayaichandika139 5 лет назад

    Safi Sana Kamanda piga kazi.

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya714 5 лет назад +8

    Afadhari kuwaa mjasiliamali hii mambo ya kazi ya umma basua kichwa🤣

  • @rashidmlapi9265
    @rashidmlapi9265 5 лет назад +3

    Rasi huyu anakaa hapa?..mbona ananiangalia kinyonge...waambie huku kuna kizaazaa,say yes hapa limekwisha.....!!!

  • @anithaflorian1157
    @anithaflorian1157 5 лет назад +1

    Say yes habari imekwisha daaah

  • @hoseabigaye5787
    @hoseabigaye5787 3 года назад

    2021

  • @nolanraphael8502
    @nolanraphael8502 5 лет назад

    Nomaa sanaaaa

  • @swaggagamingtv6841
    @swaggagamingtv6841 5 лет назад +2

    Huyu mzee ni shida👿😈👿😈👿😈👿😈

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 5 лет назад +3

    Npate majina muone mtiti wake kma unajitaka uje ukae say yes

  • @fredymahenge3063
    @fredymahenge3063 5 лет назад +1

    Lakini hii sio sawa

    • @manenolugendo6396
      @manenolugendo6396 5 лет назад

      Yuko sawa anawapa ujumbe huku kama anawachangamsha siokwamba anawafokea hapana mchizi yupo free sana tena ukifanya kazi na Boss wahivu raha sana mana anakuonya huku anacheka sasa ole wako upuuzie utamuona mbaya

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 лет назад

    Yes sir!!!!!

  • @angelherman5464
    @angelherman5464 5 лет назад +1

    ndio mana nakataa kuajiriwa na serikali bora tu nijiajir habar ya kupelekeshwa sitaki mia

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 5 лет назад +2

    Utapta nyumba kwa nyumba

  • @michaelmagow714
    @michaelmagow714 5 лет назад

    Say yes!

  • @collinnicholaus8152
    @collinnicholaus8152 5 лет назад +4

    Meen am the first to comment

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 5 лет назад +1

    Sasa m bona unaogea kwa ukali tena jamani

  • @salimhussain8382
    @salimhussain8382 5 лет назад

    Huyu jamaa ni
    Moto

  • @abdillahjuma8474
    @abdillahjuma8474 4 года назад

    Wewee mwenyw kwanz unakaa hapa😂😂😂

  • @sdiketz3053
    @sdiketz3053 5 лет назад +1

    Chumba kwa chumba

  • @aziziyaledi8822
    @aziziyaledi8822 5 лет назад +3

    Huyo DC WA MKOA WA TABORA mbona anakua na mamlaka ambayo hayapo anawezaje kumsimamisha kazi mtumishi asie muajili yeye tuache uonevu tumieni cheo chenu vizuri

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 лет назад +1

    Hako kajamaaa kamecheka kimbea utazani kuku mwenye mafua. Hivyo vimesenja vya wakubwa.Full kupeleka umbea

  • @felistamashinga123
    @felistamashinga123 5 лет назад

    Tatizo sio kukaa mjini au hamlashauri tatizo linakuja pale utendaji unapokuwa duni au kuhitajika na unakosekana bila sababu au taarifa,hata kama unakaa mjini lakini saa moja na nusu upo kazin siku zote za kaz na za emergency tatizo lipo wapi? Kuanza kumkagua mtu et had chumban kwamba hii nyumba inakaliwa na nguo za ndani zipo!!!! Mmmh hilo mi wala sijakubaliana nae

  • @frankfiretz
    @frankfiretz 5 лет назад

    😆😆😆😆 eti unakaa hapa usijekuta nazungumza na wewe kumbe wewe hukai hapa...say yes habari imekwishaaaa

  • @bahatimwashambwa5959
    @bahatimwashambwa5959 5 лет назад +2

    Ahahhaa et say yes

    • @asifiwekyando9265
      @asifiwekyando9265 5 лет назад

      Asiwapangie watu cha kufanya kwani kodi anawalipia yeye

  • @azzaalsalty4806
    @azzaalsalty4806 5 лет назад

    Mate yanamtoka mzee

  • @fikirinyangasi7973
    @fikirinyangasi7973 5 лет назад

    Ivi ayo tv mnamlipa huyu mzee,,,,! ,?????

  • @fredricco5975
    @fredricco5975 5 лет назад

    Eskizia

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 лет назад

    Huyu mwari ni kiboko hataki masiala yuko siliasi.

  • @zanzibarkwanza2735
    @zanzibarkwanza2735 5 лет назад

    Nauza dagaa

  • @eddyevarist2593
    @eddyevarist2593 5 лет назад

    mmh hii kali kwan walivyosign mikataba ya kazi kipengele cha kurelocate kilikua vip, mfano mtu anafamilia watoto na mke na wamesettle hapo mjini atahamaje kwa siku2,vip uhamisho watoto shule, mke kazi au biashara, sidhan kama ni rahis hivyo, unless kama mtu anaish peke yake tu, huku kwa wenzetu kwanza hamna kitu kama hiki mrad umeingia kazin kwa wakat umetoka kwa wakat na kazi zinaenda hawajal unaishi wapi

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 5 лет назад

    Mzee jembeeee

  • @japhetmaphie2206
    @japhetmaphie2206 5 лет назад

    Utawala bora huo,,,😏😣😏

  • @SmartVictor
    @SmartVictor 5 лет назад

    The policies of Tanzania are fucked up!!!

  • @danymsinga7048
    @danymsinga7048 5 лет назад

    Say yes habar imekwishaaaa hiyoo🤣🤣

  • @jassbplanety2134
    @jassbplanety2134 5 лет назад +1

    Somaaaaa hiyooooooooooo😁😁😁😁

  • @furkankorkmaz2308
    @furkankorkmaz2308 5 лет назад

    hahaahahaahha

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 5 лет назад

    MBONA MTUKUFU HAJAHAMIA DODOMA

  • @kassymanyota283
    @kassymanyota283 5 лет назад

    Uwo wuzililishaj

  • @nolanraphael8502
    @nolanraphael8502 5 лет назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @naitwai
    @naitwai 5 лет назад

    unahitaji followers Instagram??
    👇👇👇
    ruclips.net/video/cuLX3yW3Ps4/видео.html

  • @francissindimwo6297
    @francissindimwo6297 5 лет назад

    Unatufurahisha kwa utendaji wako wa kazi

  • @salvatory2987
    @salvatory2987 5 лет назад +2

    😂 😂 😂 😂 😂 We unakaa wapi???? Huyu mzee nae bana, mtumishi anakaa kokote ili mradi kazini anafika kwa wakati, mwajiri nyumbani kwangu kunakuhusu nn? Badae mtataka kujua nakula nn kila siku, je inawahusu????

    • @antonyhope8031
      @antonyhope8031 5 лет назад

      Anapunguza matumizi ya mafuta ya magari

    • @luganomwambulukutu5311
      @luganomwambulukutu5311 5 лет назад

      Usilete habari za kaluma kenge

    • @salvatory2987
      @salvatory2987 5 лет назад

      @@antonyhope8031 angejenga nyumba za watumishi kama anataka kuwapangia pakuishi

  • @pindabutter2736
    @pindabutter2736 5 лет назад

    Amna lolote, mnawakalipia wenye nnchi, alafu wachina ambao wanaotesa watu wetu, amfanyi kitu. acha ukali ukali wenu wakipumbavu, ama onyesha kwa kila mtu, sio unawachekeachekea wakoloni, sijui kwanini tabia zenu za kisenge senge

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya714 5 лет назад +4

    Afadhari kuwaa mjasiliamali hii mambo ya kazi ya umma basua kichwa🤣