laiti ww ungekua speaker wa Bunge ungekua poa sana mana hauna cha uyu ni CCM wala cha uyu ni CHADEMA hongera sana kwa msimamo wako na mungu aku Simamie Vilivyo Amen.
Yuko sawa anawapa ujumbe huku kama anawachangamsha siokwamba anawafokea hapana mchizi yupo free sana tena ukifanya kazi na Boss wahivu raha sana mana anakuonya huku anacheka sasa ole wako upuuzie utamuona mbaya
Huyo DC WA MKOA WA TABORA mbona anakua na mamlaka ambayo hayapo anawezaje kumsimamisha kazi mtumishi asie muajili yeye tuache uonevu tumieni cheo chenu vizuri
Tatizo sio kukaa mjini au hamlashauri tatizo linakuja pale utendaji unapokuwa duni au kuhitajika na unakosekana bila sababu au taarifa,hata kama unakaa mjini lakini saa moja na nusu upo kazin siku zote za kaz na za emergency tatizo lipo wapi? Kuanza kumkagua mtu et had chumban kwamba hii nyumba inakaliwa na nguo za ndani zipo!!!! Mmmh hilo mi wala sijakubaliana nae
mmh hii kali kwan walivyosign mikataba ya kazi kipengele cha kurelocate kilikua vip, mfano mtu anafamilia watoto na mke na wamesettle hapo mjini atahamaje kwa siku2,vip uhamisho watoto shule, mke kazi au biashara, sidhan kama ni rahis hivyo, unless kama mtu anaish peke yake tu, huku kwa wenzetu kwanza hamna kitu kama hiki mrad umeingia kazin kwa wakat umetoka kwa wakat na kazi zinaenda hawajal unaishi wapi
Amna lolote, mnawakalipia wenye nnchi, alafu wachina ambao wanaotesa watu wetu, amfanyi kitu. acha ukali ukali wenu wakipumbavu, ama onyesha kwa kila mtu, sio unawachekeachekea wakoloni, sijui kwanini tabia zenu za kisenge senge
laiti ww ungekua speaker wa Bunge ungekua poa sana mana hauna cha uyu ni CCM wala cha uyu ni CHADEMA hongera sana kwa msimamo wako na mungu aku Simamie Vilivyo Amen.
Huyo jamaaa kajiachia kwa kicheko kma yupo kwake daah me mwenyewe kanichekesha
Huyu ilipaswa ateuliwe kuwa IGP. Dingi Noma sana
hana hiyo haki ya kuinginya kwenye private life ya wafanyakazi. haki za binadamu uwezi fanya hinyo. muheshimiwa fuata sheria na kanuni za katiba
Mungu akusimamie mh mwanri
Mwanri:Ukitoka hapa unateremka unakuta Nazareti wamevaa butka
Mwanri:Huyu anakaa hapa mbna ananiangalia kinyongee
SAY YES! HABARI IMEKWISHA
Najua watu wameshika vyumba mjini,ukitoka hapa unakuta Nazareti wamevaa bukta,nitaftie wawili tu uone mtiti wake😂
Wala sioni ukatili apo , kazi nzuri kabisa akileta upuhudhi sukumandani
Safi Sana Kamanda piga kazi.
Afadhari kuwaa mjasiliamali hii mambo ya kazi ya umma basua kichwa🤣
Rasi huyu anakaa hapa?..mbona ananiangalia kinyonge...waambie huku kuna kizaazaa,say yes hapa limekwisha.....!!!
Jembe sana huyu mtu
Say yes habari imekwisha daaah
2021
Nomaa sanaaaa
Huyu mzee ni shida👿😈👿😈👿😈👿😈
Npate majina muone mtiti wake kma unajitaka uje ukae say yes
gigo tz 😁😁😁😁
Lakini hii sio sawa
Yuko sawa anawapa ujumbe huku kama anawachangamsha siokwamba anawafokea hapana mchizi yupo free sana tena ukifanya kazi na Boss wahivu raha sana mana anakuonya huku anacheka sasa ole wako upuuzie utamuona mbaya
Yes sir!!!!!
ndio mana nakataa kuajiriwa na serikali bora tu nijiajir habar ya kupelekeshwa sitaki mia
Utapta nyumba kwa nyumba
Say yes!
Meen am the first to comment
Sasa m bona unaogea kwa ukali tena jamani
Huyu jamaa ni
Moto
Wewee mwenyw kwanz unakaa hapa😂😂😂
Chumba kwa chumba
Huyo DC WA MKOA WA TABORA mbona anakua na mamlaka ambayo hayapo anawezaje kumsimamisha kazi mtumishi asie muajili yeye tuache uonevu tumieni cheo chenu vizuri
Huyo ni RC not DC
Maelekezo ya serikali sio maneno yake unataka afanyaje yaliyotoka juu ni amri
sio DC ni Rc wewe!
Kazi zote za umma ni za rais na yeye ni mwakilishi wa rais anashindwaje kukuachisha kazi ikiwa mkurugenzi anaweza ashindwe RC
Naona wewe unajifanya unajikuna
Hako kajamaaa kamecheka kimbea utazani kuku mwenye mafua. Hivyo vimesenja vya wakubwa.Full kupeleka umbea
Abby Adams hahah John Riva huyo
Tatizo sio kukaa mjini au hamlashauri tatizo linakuja pale utendaji unapokuwa duni au kuhitajika na unakosekana bila sababu au taarifa,hata kama unakaa mjini lakini saa moja na nusu upo kazin siku zote za kaz na za emergency tatizo lipo wapi? Kuanza kumkagua mtu et had chumban kwamba hii nyumba inakaliwa na nguo za ndani zipo!!!! Mmmh hilo mi wala sijakubaliana nae
😆😆😆😆 eti unakaa hapa usijekuta nazungumza na wewe kumbe wewe hukai hapa...say yes habari imekwishaaaa
Ahahhaa et say yes
Asiwapangie watu cha kufanya kwani kodi anawalipia yeye
Mate yanamtoka mzee
Ivi ayo tv mnamlipa huyu mzee,,,,! ,?????
Eskizia
Huyu mwari ni kiboko hataki masiala yuko siliasi.
Nauza dagaa
mmh hii kali kwan walivyosign mikataba ya kazi kipengele cha kurelocate kilikua vip, mfano mtu anafamilia watoto na mke na wamesettle hapo mjini atahamaje kwa siku2,vip uhamisho watoto shule, mke kazi au biashara, sidhan kama ni rahis hivyo, unless kama mtu anaish peke yake tu, huku kwa wenzetu kwanza hamna kitu kama hiki mrad umeingia kazin kwa wakat umetoka kwa wakat na kazi zinaenda hawajal unaishi wapi
Mzee jembeeee
Utawala bora huo,,,😏😣😏
The policies of Tanzania are fucked up!!!
Say yes habar imekwishaaaa hiyoo🤣🤣
Somaaaaa hiyooooooooooo😁😁😁😁
Jassb Planety jux
ngapi ukooo
hahaahahaahha
MBONA MTUKUFU HAJAHAMIA DODOMA
aaaaaah
Uwo wuzililishaj
🤣🤣🤣🤣
unahitaji followers Instagram??
👇👇👇
ruclips.net/video/cuLX3yW3Ps4/видео.html
Unatufurahisha kwa utendaji wako wa kazi
ukosawa kiogoz siokazi kijijin viogozi mijin Kama. awamuire
😂 😂 😂 😂 😂 We unakaa wapi???? Huyu mzee nae bana, mtumishi anakaa kokote ili mradi kazini anafika kwa wakati, mwajiri nyumbani kwangu kunakuhusu nn? Badae mtataka kujua nakula nn kila siku, je inawahusu????
Anapunguza matumizi ya mafuta ya magari
Usilete habari za kaluma kenge
@@antonyhope8031 angejenga nyumba za watumishi kama anataka kuwapangia pakuishi
Amna lolote, mnawakalipia wenye nnchi, alafu wachina ambao wanaotesa watu wetu, amfanyi kitu. acha ukali ukali wenu wakipumbavu, ama onyesha kwa kila mtu, sio unawachekeachekea wakoloni, sijui kwanini tabia zenu za kisenge senge
Afadhari kuwaa mjasiliamali hii mambo ya kazi ya umma basua kichwa🤣
😆😆😆